MCHUNGAJI SIMBAULANGA AMALIZA UTATA JE? YESU NDIYE ISSA WA KISLAMU BIBLIA NA QURANI VYATOA MAJIBU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 927

  • @MSUYA-n1t
    @MSUYA-n1t Месяц назад +5

    Ukweli ndio huo mchungaji . Ubarikiwe na Mungu mwenye kutupa nafsi na uhai atukumbuke na kutupa maarifa tusiangamie,kwani amwaminiye hatapotea bali atakuwa salama Amina.🙏

    • @MuddyAlli
      @MuddyAlli 17 дней назад

      Kwanza hakuna kitabu cha mungu kinaitwa bibria hakuna

  • @annamasumbuko-h6f
    @annamasumbuko-h6f 23 дня назад +2

    Amen. ISSA na Yesu Kristo ni tofauti kabisa barikiwa Kwa mafundisho na Mungu wa Wakristo ni tofauti na Mungu wa dini nyingine

    • @jumanjenga7682
      @jumanjenga7682 19 дней назад

      @@annamasumbuko-h6f There’s only one Jesus Christ.One who was born of Virgin Mary .whether you Moslem or Christian

    • @BurhaanMohamed-vp8xu
      @BurhaanMohamed-vp8xu 11 дней назад

      Hhhhh na mungu tena inamana kuna miungu mingi

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 4 дня назад

      @@BurhaanMohamed-vp8xu usiabudu miungu mingine, Mungu mmoja Yahweh, wengine miungu

  • @sarahkeivaly3351
    @sarahkeivaly3351 Месяц назад +5

    MTUMISHI huyu ni HAZINA ya nyumba ya MUNGU ktk nchi yetu Tanzania!!
    Ee Bwana YESU naomba umpe umri mrefu zaidi kwa ajili ya kanisa Tanzania;
    Naomba haya ktk Jina lenye nguvu la Yesu Kristo, Amen!!

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413 26 дней назад

    Asante sana mtumishi wa Mungu nimebalikiwa sana nakuelewa kati ya Yesu na issa binimariamu kumbe ni watu tofauti

  • @salimdiabyonlinetv4873
    @salimdiabyonlinetv4873 20 дней назад +3

    YESU NA ISSA NI MWANADAMU MMOJA NANI MZALIWA NA MARYAMU, HAMNA TOFAUTI YOYOTE, KWA NINI MUTOE ANGALIZO KWA KANISA! YESU AMBAE NI ISSA YUPO HAI NA HAKUFA, NA NI MTUME WA ALLAH (S.W), TUPE HOJA ZAKO KWENYE AGANO LA KALE SI HIZO MPYA MULOFUTA FUTA NA KUPOTOSHA, DINI NI MOJA TU NANI YA UISLAMU.❤

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 19 дней назад

      Dini haiwezi kuwa moja hata wahindu, wabudha,wana dini yao

    • @pascalmgassa8441
      @pascalmgassa8441 15 дней назад

      Uislam unalazimisha sana uongo uwe kweli...sababu za kurudi Issa ni nyepesi sana na sababu za kurudi Yesu ni nzito sana na zina makusudi ya Mungu 100% kwa mwanadamu

  • @PaulRichard-vq9xz
    @PaulRichard-vq9xz 8 дней назад

    Huyu mchungaji Mungu ambariki sana nmeelewa haswaaaaaaaaaaaaaaa

  • @rashidmohamed1949
    @rashidmohamed1949 Месяц назад +5

    "Muslim : Who is God?
    Christian : Jesus
    Muslim : Is Jesus the son of Mary?
    Christian : Yes
    Muslim : Who created Mary?
    Christian : God.
    Muslim : Who is God?
    Christian: Jesus
    Muslim : Jesus is the begotten son?
    Christian : Yes
    Muslim : Who is his father?
    Christian : God.
    Muslim : Who is God?
    Christian : Jesus.
    Muslim : Jesus is a servant of God?
    Christian : Yes
    Muslim : Jesus died on the cross?
    Christian : Yes
    Muslim : Who resurrected him?
    Christian : God.
    Muslim : Is Jesus a messenger?
    Christian : Yes
    Muslim : Who sent him?
    Christian : God.
    Muslim : Who is God?
    Christian : Jesus.
    Muslim: Did Jesus worship while on earth?
    Christian: Yes
    Muslim: Whom did he worship?
    Christian: God.
    Muslim : Who is God?
    Christian : Jesus.
    Muslim : Did God have a beginning?
    Christian : No
    Muslim: Then who was born on 25 DEC?
    Christian : Jesus.
    Muslim : Is Jesus God?
    Christian : Yes
    Muslim : Where's God?
    Christian : In Heaven.
    Muslim : How many Gods are there in heaven?
    Christian : Only one God.
    Muslim : Where's Jesus?
    Christian : He is seated on the right hand of his father.
    Muslim : Then how many are they in heaven?
    Christian : Only one God.
    Muslim : Then how many seats?
    Christian : One
    Muslim : Where's Jesus?
    Christian: Seated next to God.
    Muslim : How are they seated on one chair?
    This proved that Jesus is a messenger of Allah not god. And Alhamdulillah we also believe in Jesus.We respect him as our prophet.
    Only one god in the all worlds (ALLAH)

    • @rashidmohamed1949
      @rashidmohamed1949 Месяц назад +1

      Kuwa mkristo ni mtihani .
      Namshukuru Muumba kunijalia kuwa katika dini moja ya kweli 'UISLAM'
      Sasa Mzee kama huyu kasoma usiku na mchana bado anamwabudu mtoto wa maryam.

  • @romathosimfukwe4240
    @romathosimfukwe4240 Месяц назад +1

    Waoooo that's great lesson be blessed Pastor.

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano Месяц назад +4

    Jina Yesu ni atakayewaokoa watu wake na dhambi zao, lakini sio Issa maana Yesu si mtu bali Yesu ni Neno lililotumwa likafanyika mwili. Hivyo Yesu SIO ISSA. NI UONGO WAZI WAZI.

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 24 дня назад

      @@MjumbeAgano Unachozungumza unajichanganya tu. Yesu sio mtu wakati mwenyewe alikua akisema yeye ni binadamu.tena ni Imanuel.Yesu ni neno ina maana neno lilisulubiwa msalabani? Hua mnazungumza vitu visivyo na maana kabisa. Neno ndio lilisulubiwa? Neno ndio lilikufa?

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 5 дней назад

      ​@@hashimchaoga9566Alikuwa mtu alipokuwa duniani lakini yeye ni mwana wa Mungu

  • @SimonKalikumbe
    @SimonKalikumbe 21 день назад

    Asante ubarikiwe mtumishi wa mungu tunkuombe maisha marefu

  • @Rashid-vm1fk
    @Rashid-vm1fk Месяц назад +3

    Amina Mtumishi wa Bwana ubarikiwe sana kwa mafundisho yako mwenye kuelewa ameelewa asiyeamini atuhukumiwa umefanya kazi vema ubarikiwe sana.

  • @Hezekia-ke6cy
    @Hezekia-ke6cy Месяц назад

    Asanteee mwalimu wale hicho chuma cha Yesu.watulie wakitaka wabishane na vitabu vyao ukweli umewapa

  • @setelitemba3944
    @setelitemba3944 Месяц назад +3

    Mtumishi unachambua vizuri sana wao wawe na issa wao nasi tuwe na yesu wetu

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Месяц назад

      Nyie huyo Yesu mlipewa na wazungu baada ya bibi zenu kuswagwa utumwani, mkapewa mafundisho toka ulaya.

  • @user-bv2cb9qj9j
    @user-bv2cb9qj9j Месяц назад +1

    Mungu akubariki na akulinde mbele za Magahidi Asante sana.

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Месяц назад +3

    Yesu ( yehoshua) uinuliwe juu juu sana,,,, barikiwa family yangu na tupe neema ya kuendana sawasawa na Neno lako

  • @albertmkangya8195
    @albertmkangya8195 Месяц назад

    Ubarikiwe na Bwana Yesu mchungaji.

  • @didasmajor9288
    @didasmajor9288 Месяц назад +5

    Barikiwa sana mtumishi, Mungu akubariki sana, Wakristo kuweni makini

    • @Rashid-vm1fk
      @Rashid-vm1fk Месяц назад

      @@didasmajor9288 hapotei mtu hapa YESU KRISTO Ndiye Anayeokoa

    • @veronicatresphory
      @veronicatresphory Месяц назад

      Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo akubariki sana

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413 26 дней назад

    Mungu wa mbinguni aishie milele aliponye kanisa lake ambalo ni wakristo wa kweli wanaomuabudu Mungu ktk roho na kweli Duniani kote ktk jina la yesu Amin

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 Месяц назад +4

    Nakuelewa sana mwalimu ndio maana unawamudu sana mashekhe.....
    Mungu aendelee kukupa nguvu na ujasiri , barikiwa sana

    • @amourhassan7075
      @amourhassan7075 Месяц назад

      Jifunze ndugu yangu. Mzee kapotea njia huyo

  • @jannffer
    @jannffer Месяц назад +1

    great teacher

  • @DuuSaid
    @DuuSaid Месяц назад +4

    Hakuna baba Alie mbinguni mungu Hana mtoto hajazaa wela hajazaliwa sisi binadam ni viumbe wake ametuumba kuanzia adaam

    • @lupaprince1229
      @lupaprince1229 Месяц назад

      Tatizo lenu, mnataka kusema ili MUNGU awe na mwana lazima awe na Mke, MUNGU amejulikana kuwa ni BABA wa roho zetu, baba wa duniani anajulikana ni baba aliyetuzaa kimwili.... hata zamani wayahudi bado wanamwita MUNGU baba, ila Mpinga Kristo alipokuja duniani mwaka wa 600 akaja kupinga kuwa MUNGU siyo BABA wala hana wana, lengo kubwa ni kupinga Wokovu wa MUNGU kwa wanadamu, kwa sababu Mpinga Kristo ni yule anayesema Yesu si Mwana wa MUNGU, hivyo ameudanganya ulimwengu na wanakana Wokovu wa kweli, atakaporudi YESU, ndipo watajua kuwa YESU siyo ISSA, watakapoona Alama za Misumali mikononi mwake, ndipo watakapoelewa kuwa Yesu alisulubiwa na kufa, na kufufuka....sasa maamuzi ni juu yako, Umwamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana waliomuona Yesu au umwamini Mtume wa uongo aliyekuja miaka 600 asiyewahi kumuona wala kusikia mafundisho ya Yesu.
      KUMBUKA, Ukweli unatangulia, kisha uongo unafuata ili kupotosha Ukweli....utaamua mwenyewe kumfuata YESU wa Biblia ambaye Alikufa na Kufufuka au kumfuata Mohammad aliyedanganya kuwa Yesu hakufa wala si Mwana wa Mungu

    • @user-ub1xk6yz6l
      @user-ub1xk6yz6l Месяц назад

      Waislam ni watu wamwili zaidi kuliko wa rohoni wao wanafikiri kuzaliwa kimwili tu. Hapo ndo mmefeli. Ndo maana mnaishia kutawadha mwili. "Tawadha roho" yaani kuacha dhambi. Vyakula na matendo ya mwili yanawapoteza mwili na matendo yake yanaishia udongoni.

    • @ImaniTinda-h6x
      @ImaniTinda-h6x Месяц назад

      @@lupaprince1229 nimekupenda Bure ndugu yangu Kwa ufafanuzi mzur hongera

    • @ImaniTinda-h6x
      @ImaniTinda-h6x Месяц назад

      Muhammad uko aliko anajuta Kwa kuwapoteza wanadam na ndo maana kila siku wanamtakia rehema na amani viwe juu yake, Hana amani Muhammad jaman uko aliko

    • @OmariShuli
      @OmariShuli Месяц назад

      ​@@lupaprince1229Unaonekana una maarifa kidogo. ulitakiwa ukisome kitabu chake kisha ujiulize; huyu Muhammad ambaye watu wanasema hakujua kusoma wala kuandika,alieishi mbali sana na khabari za jerusalem, watu wake ni waabudu masanam, ujasiri wa kuandika haya ameutoa wapi? kwanini kwanini mara awasifu wana wa israel na kuwatia peponi, na mara awaponde na kuwatia motoni?kwanini kama anatafuta umaarufu asiwasifu baba zake, babu zake na hata maqurashi wenzake? kwani kitu gani hasa alichokuwa akitafuta? Ukijiuliza mswali haya akili yako utiweka huru, kisha utaanza kuisoma bibilia kwa utafiti na kuisoma qurani kwa uchungazi.
      Wakristo wameshindwa kuitetea dini yao ndipo wakaja na hoja mbili za kutaka kumaliza mjadala kiujanja:-
      1-- YESU SIO ISA
      2--MUNGU NI BABA WA KIROHO.
      Wangekuwa na hoja hizi tangu mwanzo kusingekuwa na mihadhara. kwa sababu vinavyo zungumziwa ni vitu viwili tofauti kabbisa. Lkn mihadhara imeendelea kwa miaka mingi kwa msingi kuwa watu wanazungumzia kitu kimoja ktk uwelewa tafauti, na kila mmoja anajiona yeye ndio yuko sahihi na anajitahidi kumuelewesha mwenzake usahihi.

  • @BarakaMwaikenda-ty1bt
    @BarakaMwaikenda-ty1bt 26 дней назад +1

    Amina baba umetufungua

  • @justusngonyani165
    @justusngonyani165 Месяц назад +32

    Issa sio Yesu.Wakristo haealazimishi Yesu kuwa Issa,bali waislamu wanalazimisha Issa kuwa Yesu

    • @wakeshojana
      @wakeshojana Месяц назад +8

      Lazima wahalalishe dini yao kwa uongo kila wakati!!

    • @sulleysidey2844
      @sulleysidey2844 Месяц назад

      basi itahalalishwa dini ya paulo

    • @AGM19697
      @AGM19697 Месяц назад +2

      Uislamu umejaribu kukopi maandiko ya wakristo na wayahudi na matokeo yake baadhi ya mambo umechanganya sana mfano
      Yesu sio issa na wala aliyetolewa sadaka ni Issaka na sio Ismaili

    • @user-sn4iq6cu1f
      @user-sn4iq6cu1f Месяц назад

      ​@@AGM19697eeee!! hahaha yan anaongea kma vle amesoma,

    • @sulleysidey2844
      @sulleysidey2844 Месяц назад

      @@user-sn4iq6cu1f mm sijasoma

  • @kuulejoackiml8313
    @kuulejoackiml8313 17 дней назад

    Glory be to God be blessed continue spraying gospel Muslims change know the truth Jesus Christ is the way to heaven not Muhammad please please

  • @rajabumsuya-hg8jd
    @rajabumsuya-hg8jd Месяц назад +5

    Huyu mzee Allah amuongoze na afanye jitihada ya kuongoka tatizo la kuwapotosha watu bwana nafsi ikitoka akija mwenye amana kuichukua amana hakuna muda tena utajuta majuto ambayo hayatokusaidia

    • @patrickmunishi2277
      @patrickmunishi2277 Месяц назад

      ALICHO SEMA NI KWELI SIO KWELI?

    • @OmariShuli
      @OmariShuli Месяц назад

      ​@@patrickmunishi2277Alichosema sio kweli. Ni uongo mtupu.

    • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
      @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl Месяц назад

      Allah sio mungu majini ni waslam ndomana mafundisho yenu ya ajabu ajabu

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 19 дней назад

      Yaani wewe mwenyewe una mashaka na dini yako, Ndiyo maana koran inakwambia kama unamashaka nenda kaulize kwa watu wa kitabu

  • @AyubuAnderson
    @AyubuAnderson Месяц назад

    Amen mtumishi wa neno la mungu nmefalijika san hakika bwana yesu ndio mkombozi wa dunia na yeye Ndio njia uzima wa milele, anae mkataa yesu ajuwe ata baba wa mbingu na ardhi amemkataa

  • @alimaulid9543
    @alimaulid9543 Месяц назад +3

    Qur an imemwita yesu ka masihi
    Sura ya pili aya 45
    إِذْ قَالَتِ الْمَلَائِكَةُ يَا مَرْيَمُ إِنَّ اللَّهَ يُبَشِّرُكِ بِكَلِمَةٍ مِّنْهُ اسْمُهُ الْمَسِيحُ عِيسَى ابْنُ مَرْيَمَ وَجِيهًا فِي الدُّنْيَا وَالْآخِرَةِ وَمِنَ الْمُقَرَّبِينَ
    Na pale Malaika walipo sema: Ewe Maryamu! Hakika Mwenyezi Mungu anakubashiria (mwana) kwa neno litokalo kwake. Jina lake ni Masihi Isa mwana wa Maryamu, mwenye hishima katika dunia na Akhera, na miongoni mwa walio karibishwa (kwa Mwenyezi Mungu).

    • @bitsanjE
      @bitsanjE Месяц назад +1

      Hayo ni maneno ya shetani,, hakuna malaika hapo

  • @SolomonMwankuga
    @SolomonMwankuga Месяц назад

    Mungu akubariki sana mchungaji kwa somo zuri sana.

  • @justusngonyani165
    @justusngonyani165 Месяц назад +5

    Mafundisho ya wakristo yanapatikana kwenye biblia.Mafundisho ya waislamu yanapatikana kwenye Quran.

    • @daudmtoba191
      @daudmtoba191 Месяц назад

      @@justusngonyani165 soma ikra soma uku mbavu ziki Banwa alafu mnasema nabii wa MUNGU Muhammad sio na bii wa MUNGU AMBAE NI YEHOVA ABAN MSEMO WENU INALLILA WAHINALLILA RAJUN

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 Месяц назад

      Na hadithi

  • @AminimunguWilfried-fw2eh
    @AminimunguWilfried-fw2eh Месяц назад

    Barikiwa mtu wa Mungu issa siyo Yesu

  • @officialbrothacley4777
    @officialbrothacley4777 Месяц назад +3

    Isa ( Kiarabu : عِيسَى , romanized : ʿĪsā ) ni jina la kale la Kiarabu na tafsiri ya Yesu . Jina Isa ni jina linalotumika kwa Yesu katika Quran . Hata hivyo, si tafsiri pekee; inahusishwa zaidi na Yesu kama inavyoonyeshwa katika Uislamu , na kwa hivyo, hutumiwa sana na Waislamu . Wakristo Waarabu kwa kawaida humrejelea kwa jina Yeshua ( Kiarabu : يَسُوع , romanized : Yasūʿa ), aina mbadala ya jina Yoshua.

  • @joanithagidion9796
    @joanithagidion9796 22 дня назад

    Ameeni barikiwa na Mungu akutunze

  • @AnnaLwanda-oj4jn
    @AnnaLwanda-oj4jn Месяц назад +4

    Ameen I mchungaji Mungu akubariki sana tunaelewa sana kumbe wametudangunya tumeujua ukweli sasa

    • @Saidishokakiburuji
      @Saidishokakiburuji Месяц назад +1

      MCHUNGAJI USIBABAISHE ENDELEA KUPOTOSHA TU

    • @petermwaibofu7580
      @petermwaibofu7580 Месяц назад

      Imekula kwalo​@@Saidishokakiburuji

    • @jonasdaniel1025
      @jonasdaniel1025 Месяц назад +1

      Wewe ndo wababaika na wahadhiri wako wa mchongo wakina mazinge

  • @andrewnyamwaro5174
    @andrewnyamwaro5174 Месяц назад +1

    Yesu si Issa. Tusilazimishane juu hilo. Tunayemeamini tunamjua. Si Issa.

  • @zenahussein2242
    @zenahussein2242 Месяц назад +4

    Duh, msikiti wa al aqsa uliopo Jerusalem, sio makkah.

    • @patrickmunishi2277
      @patrickmunishi2277 Месяц назад

      ule utapigwa chini siku sio nyingi

    • @malifedhaanyasio811
      @malifedhaanyasio811 16 дней назад

      ​@@patrickmunishi2277kaka kwataarifako ule msikiti mayaudi hatawanye nn hawawezi kuupora mpaka kiama kinasimama

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Месяц назад

    Barikiwa sana mtumishi wa BWANA,,,,nimeelewa

  • @UswegeJohn-ov3ym
    @UswegeJohn-ov3ym Месяц назад +3

    Wewe ndiye Mwalimu na Mchungaji mkweli na Msomi!
    Be blessed in richly!

  • @AndrewMabagala
    @AndrewMabagala Месяц назад

    Leo umenisaidia jambo mchungaji wangu. Barikiwa sana

  • @songabethel
    @songabethel Месяц назад +3

    Siku zote ukipokea jambo lolote kwa kubisha bila kutaka kuelewa kamwe huwezi kuelewa isipokuwa ukitaka kuelewa usitangulize ubishi jitahid tu kufanya research hata kimya kimya kwa faida yako kwani utajua ukweli

  • @AloyceMrema-i6u
    @AloyceMrema-i6u 20 дней назад

    Good thanks!!!

  • @salumharuna5872
    @salumharuna5872 Месяц назад +5

    Kumbe wachungaji waongo namna hii Duh, hakuna sehemu Qur'an imesema Malaika alimtokea Maryam akiwa Makkah, kwa nini usiseme ukweli kama wamuogopa Mungu. Na huyu ndio mchungaji tegemewa kwa wakristo. Malaika alimtokea Maryam katika msikiti wa Aqsa ambao upo Palestina mpaka leo cha ajabu mchungaji anadanganya kweupeee🤣

    • @SimonHaule-tp3ny
      @SimonHaule-tp3ny Месяц назад

      Kwa akili ya kuvukia barabara tu,muhamad kazaliwa karne ya tano,Yesu yupo karne ya kwanza,kwa hiyo msikiti huo al aqsa upo palestina karne ya 1 ? wakati msikiti umejengwa na idris wa jordan baada ya mujahidina kuiteka jerusalem.

    • @salumharuna5872
      @salumharuna5872 Месяц назад +1

      @@SimonHaule-tp3ny Hoja ilikua uongo wa huyo mchungaji wenu kua Qur'an imesema malaika alimtokea Maryam huko Makkah, hoja sio lini msikiti umejengwa maana akili yako ya kuvukia barabara imeshindwa kutofautisha kati ya kujengwa na kufanyiwa maboresho.

    • @FrankBella-qe4tj
      @FrankBella-qe4tj Месяц назад

      Majini mnasali nayo msikitini

    • @user-vl7zi7rz8y
      @user-vl7zi7rz8y Месяц назад

      Jamani yesu

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 19 дней назад

      ​@@salumharuna5872Ebu nawewe tuonyeshe mahali alipozaliwa YESU ktk koran yenu

  • @YustoBashweka
    @YustoBashweka Месяц назад

    Ubarikiwe Mchungaji kwa somo ili make wakristo wengi wamepotoshwa na mafundisho potofu

  • @hamoodhhamoodalsharji7584
    @hamoodhhamoodalsharji7584 Месяц назад +3

    Endelea kuwapoteza

    • @denisnjaila2182
      @denisnjaila2182 Месяц назад

      Ww ndo umepotea

    • @peteryohana891
      @peteryohana891 Месяц назад

      Acha ubishi ndugu wewe kubari uwokorewe na yesu,uwe mteule

    • @David-im8fw
      @David-im8fw Месяц назад

      Mmeshikwa pabaya mnahemea juu juu! nyambafu zenuwaislamu

  • @franciskabila8136
    @franciskabila8136 Месяц назад

    Asante mwalimu umejenga imani yangu kweli.ubarikiwe sana

    • @AlkadoNkundwe-wb3of
      @AlkadoNkundwe-wb3of Месяц назад

      Imani ya uongo

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Месяц назад +1

      ​@@AlkadoNkundwe-wb3ofKama ilivyokua Shakahola kule Kenya ni mahodari wa kudanganya watu na kupindisha maandiko

  • @rajabumwinyi8050
    @rajabumwinyi8050 Месяц назад +4

    Hivi mchungaji ulisoma Quriani gani iliyo sema Mariam alilelewa Makkah?

    • @omarikhalfan1079
      @omarikhalfan1079 Месяц назад

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

    • @omarikhalfan1079
      @omarikhalfan1079 Месяц назад

      😅😅😊😊😊😊😊 😊

    • @AlkadoNkundwe-wb3of
      @AlkadoNkundwe-wb3of Месяц назад

      Anawapotosha makafiri wenzake,

    • @ImaniTinda-h6x
      @ImaniTinda-h6x Месяц назад

      Iyo iyo ya kwenu

  • @WillBat-gc9ex
    @WillBat-gc9ex Месяц назад +1

    Barikiwa sana mchungaji hata isaya benson aliwahi kufundisha hivohivo ba bilifuatilia saba nikajua kweli wachngaji bandh yenu mmekuwa vizuri na wengine mungu ataendelea kuwa fungua siku hadi siku mbarikiwe sana wachungaj wote dunian

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu9837 Месяц назад +6

    Kweli wakristo ni watu wa kuburuzwa

    • @Rashid-vm1fk
      @Rashid-vm1fk Месяц назад

      @@nassorsharifu9837 wakuburuzwa ni ww usiyejua maana ya mandiko unayekwenda kama kipofu maana hata kitabu chako mwenyewe hukijui kinakuelekeza nini kazi kupinga tu,hata kama hujui acha waliokwenda darasani wakufundishe usiyoyajua ww.

    • @Rashid-vm1fk
      @Rashid-vm1fk Месяц назад

      @@nassorsharifu9837 Mi nakukumbusha Mwamini YESU KRISTO usipomwamini hata ufie masjid au juu ya jiwe jeusi alkahaba huko Maka utakwenda jehanam kweupeeee.hii utaikumbuka siku moja we subili tu.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Месяц назад

      ​@@Rashid-vm1fkAkisha kumuamini huyo yesu wenu kristo ndio atapata nini?

    • @Rashid-vm1fk
      @Rashid-vm1fk Месяц назад

      @@Sheba4651 nitapata uzima wa milele

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Месяц назад

      @@Rashid-vm1fk Akupe nani nzima wa milele. Hiyo siku ikifika Yesu atasema hajui utokako.

  • @WilliamWami
    @WilliamWami Месяц назад

    Asante sana mwalomu wangu.

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Месяц назад +5

    Ukitafakari Quran na vitabu vungine vya kiislam unabaki unashangaa tu, unawaza labda walidhani vitasomwa na wao wenyewe tu, kwahiyo uongo wa vitabu vyao usingejulikana abadan.

    • @user-mc2xd4eu2p
      @user-mc2xd4eu2p Месяц назад +2

      Wewe umesoma kitabu gani cha kiislam au umekaririshwa porojo?

    • @WestonMbuba-ff4jk
      @WestonMbuba-ff4jk Месяц назад

      ​@@user-mc2xd4eu2p
      Anzia na Qur'uan tu, ina taarifa nyingi zisizo sahihi

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr Месяц назад

      Timetheo 4:4 wataacha kweli ya MUNGU na kufuata HADITHI ZA UONGO

    • @machajuma6565
      @machajuma6565 Месяц назад

      Jitafakari ndugu yangu una unachokijua ktk bibilia wala Qur-an tukufu

  • @BENS-ok4vh
    @BENS-ok4vh Месяц назад

    Bravo pastor na fichua just ya wenye uhui wanne juu ya uso wa mwanadamu

  • @user-dt5wp5qo4n
    @user-dt5wp5qo4n Месяц назад +6

    Yesu sio isa,leo nimejua ukweli,kumbe ndio maana waaisilamu wanasema,isa hakufa na sisi tunasema yesu alikufa na amepaa mbinguni,mungu akubariki mchungaji simbaulang,

    • @user-sn4iq6cu1f
      @user-sn4iq6cu1f Месяц назад

      kwani yesu kwalugha yakiingereza inatamkwa vp na kwakiarabu inatamkwaje? Usijirizishe ktk mitandao ukasema asante mtumishi wakati hujaenda kusoma sasa bs mm nilwambie k2 kma utaenda kusoma kwl kwl kwajil yakmjua mungu ndugu yngu unaweza kuchanganyikiwa

    • @FredrickKagusa-wt9bw
      @FredrickKagusa-wt9bw Месяц назад +2

      ​@@user-sn4iq6cu1fKwa kiarabu anaitwa yasuor siyo isa tafuta biblia ya kiarabu tafuta neno yesu

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 Месяц назад +2

      @@FredrickKagusa-wt9bw sawa kabisa hata mimi ninayo haisemi Issa bali Yasour

    • @user-sn4iq6cu1f
      @user-sn4iq6cu1f Месяц назад

      @@FredrickKagusa-wt9bw icho itakua ni kiarabu cha kimakonde

    • @user-sn4iq6cu1f
      @user-sn4iq6cu1f Месяц назад

      @@odilomwemeziernest646 kiarabu cha kizaramu icho

  • @faridalharthi8621
    @faridalharthi8621 Месяц назад +1

    Kwani Yesu ametokana yuko Yonani ? , kweli Waarabu wanamwita bwana Yesu ( Yasua ) , lakini wamelipata wapi ? Na pia Waswahili wamelipata wapi jina hili (Yesu ) ? , hebu tazama tofauti baina ya majina haya mawili , licha ya hivyo Waingereza pia wanamwita ( Jusus ) , na wayahidi pia wanamwita (Emmanuel ) na nchi nyenginezo za Ulaya wanamwita (Isso ) , nchi mbalimbali za Ulimwengu wanamwita kwa majina tofauti tofauti ! ، sasa tujiulize ! Ni jina lake NANI HASA ? Kati ya majina yasiyo na idadi kwa tofauti zao ?
    Tazama jina Muhammad ! Ulimwengu mzima Waisilamu na wasio waisilamu wanamwita jina hilo hilo moja Muhammad , kwanini basi tofauti iwe kwa Bwana ISSA tu ??? , ebu zingatieni kwa hili tu basi

  • @HusseinMussa-o4p
    @HusseinMussa-o4p 7 дней назад

    Issa: Jina zuri kama hilo la Kiafrika linalomaanisha “ Mungu ni wokovu ” kwa Kiswahili.

  • @MiltraudNyagali-fw3hu
    @MiltraudNyagali-fw3hu Месяц назад +1

    Ni kweli cc wakristo hatuabudu mungu mmoja na waislam wao hawamwamini kama Yesu ni Mungu na wao wana Mungu wao ambae ni Allah

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Месяц назад

      @@MiltraudNyagali-fw3hu Sasa naji alianza Bikira Maria kumzaa Yesu au Yesu kumuumba Bikira Maria kupitia kwa Adam. Ni sawa na historia ya kuku na yai nani kaanza lakini ni rahisi kwani Noah alichukua katika Chombo chake kuku wawili wa jinsia tofauti wakatengeneza mayai.Haya Yesu na mama yake Maria ilikuaje? Mungu na mama yake Maria ilikuaje?

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 19 дней назад

      ​@@hashimchaoga9566YESU alikuwepo kabla hata ya ulimwengu kuwako,kuzaliwa na Mariam haimaanishi kwamba hakuwepo, maana ili mwanadamu atokee kwenye mwili huu lazima apitiye kwa mwanamke

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 19 дней назад

      @@FridayMwassa Hizo ni stori tu za Warumi na Wagiriki.Aliekiwepo na asie mwanzo na hafi ni Mungu Mwenyezi tu ambae hakuzaa wala hakuzaliwa na hana mshirika wala mfanowe. Hizo komedi za kuwepo halafu azaliwe ndio atokee duniani tena Mungu hafanyi.Amini tu Yesu ni mtume mwaminifu wa Mungu na alitumwa Nazareti kuja kuwakomboa wana wa Israel waliopotea.Mungu alimtuma Malaika kwa Mariam kumjulisha kupata Mimba na kuzaa mtoto wa kiume basi.Mengind ni nyongeza tu za waandishi. Yesu alikuja kufundisha ikiwemo injili zake na za akina Mussa na wengineo waliomtangulia Asie mwanzo asie mwisho ni mmoja tu Mungu Mwenyezi. Yesu yuko katika mitume 25 wa mwenyezi Mungu wa kwanza ni Adam wa mwisho Muhammad

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 19 дней назад

      @@FridayMwassa Hizo ni stori tu za Warumi Wagiriki na kanisa. Aliekuwepo asie mwisho na hafi ni mmoja tu. Huyo hakuzaa hakuzaliwa hana mfanowe na hana mshirika. Wengine wote 25 ni mitume wake watiifu waliotumwa kueneza neno lake na Yesu alitumwa. Nazareti kuja kuwaokoa wana wa Israel

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 17 дней назад

      ​@@FridayMwassaYesu alikuwepo akitokea wapi? Inajulikana ni Mungu tu mmoja ndio alikuwepo yeye hana mwanzo hana mwisho hakuzaa hakuzaliwa na wala hafi na si Myahudi kama Yesu Mungu hana dini si mkristo.Hawa Warumi Wagiriki na Kanisa wameongeza mengi tu ambayo si ya kweli

  • @user-jl1db6lc1w
    @user-jl1db6lc1w Месяц назад

    Mungu akubariki kwa somo hii maana hata mimi nilidhani tuko sawa.

  • @jannffer
    @jannffer Месяц назад

    Great revelation

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 20 дней назад +1

    Hakuna Yesu wawili.Yesu ndie Issa aliyezaliwa na Mariamu.Isipokuwa Sifa za Waisilamu tafauti sifa wanaoamini Wakristo.Jina lake halisi Yeshua.Issa

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 19 дней назад

      Kama sifa ni tofauti huoni kwamba ni watu wawili tofauti,kipi kitabu kilianza kuandika habari za YESU Kati ya koran au injili,walio andika habari za YESU walikuwa wayahudi kama YESU lakini inakuja Koran ya Muhammad inapotosha kwa makusudi

    • @jumanjenga7682
      @jumanjenga7682 19 дней назад

      @@FridayMwassa In English there’s only one Jesus Christ whether you’re Moslem or Christian.

  • @ModestMwakikoti
    @ModestMwakikoti 22 дня назад

    Umeeleza vizur sana wewe kweli ni mtumishi wa mungu aliye hai

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 Месяц назад

    Teacher good

  • @williamissaya8091
    @williamissaya8091 Месяц назад

    Habari hii ni very very special kwa wakristo wote waweze kujua siyo kwa waislamu ila wale watakao pata neema ya kuingia kwenye ukristo.

  • @bethaniahemalautukufu-np3so
    @bethaniahemalautukufu-np3so Месяц назад

    Asante baba pasta Simba ulanga

  • @japhetmtafya5072
    @japhetmtafya5072 Месяц назад

    Asante mtumishi kutungua ufahamu wakristo

    • @user-mc2xd4eu2p
      @user-mc2xd4eu2p Месяц назад

      @@japhetmtafya5072 anawapoteza huyo amka soma usitegemee hawa wawasomee maandiko wanawapoteza

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Месяц назад

      Mmezowea kudanganyana tu kama yaloyotokea Shakahola. Ni dini ya kutunga tunga tu. Ni kweli kama Mungu ndio Yesu basi hajafa kwani Mungu hafi mnaona mnavyojichanganya. Mnaposema Yesu kafa halafu kafufuka basi mseme si Mungu kwani Mungu hafi

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Месяц назад

      Kuna vitabu na hadithi nyingi za uongo Na ndio anasoma huyu mchungaji. Hata waandishi wa Biblia walireject mengi tu na hata biblia ya Wayahudi haina agano jipya yawezekana wameona kuna uongo uongo mwingi. Na biblia ziko za vitabu 66 na 78 ya Warumi. Hao waprostestant wameona kuna vitabu vya uongo hawakuvijumuisha katika biblia

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Месяц назад

      Kuna hadithi za uongo kwamba ukitaja jina la Yesu Israel unakamatwa na kufunguliwa mashtaka.Ajabu Yesu katumwa Israel kuja kuwakomboa lakini walimkataa hadi kumuua kwa sababu tofauti na si za ukombozi huo unaohadithiwa.Lakini ajabu hakuna anaewalaumu wayahudi kwa waliomtendea Yesu. Taurati ilikataza nguruwe na yesu pia pamoja na masanamu msalaba na kilichomo ni sanamu lile kwani hakuna picha halisi ya Yesu wala Mariam . Yesu alikataza kuabudu masanamu kwa hivi akiyavunja ni sawa

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 Месяц назад +1

    Asante Sana Mtumishi wa Mungu Elimu Nzuri ili kupunguza malumbano,,wa kule wabaki wa kule na wa Huku Wabaki Wa huku

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Месяц назад +2

    Issa anafujo...kwa Nini avunje misalaba ya wakristo,,,,,ndo mana Hawa wenzetu wanakuwaga na fujo na ubishiii,,,,kumbe ni tabia za nabii wao ,,,,, yehoshua amebeba upendo na amani,,,,,,, asante MUNGU kwa kujifungua ufahamu wangu

    • @AlkadoNkundwe-wb3of
      @AlkadoNkundwe-wb3of Месяц назад

      Sio huyo huyo alipindua pindua meza na kuchapa watu viboko mle sinagogini ?

    • @AminiKayanda
      @AminiKayanda Месяц назад

      Km n fujo kaanza uyo yesu wa kwenye bibilia maana alipoingia kwenye cnagogi alikasilika kuona watu wanafanya biashala kwenye nyumba ya mungu wake

    • @yakobomkristo872
      @yakobomkristo872 26 дней назад

      ​@@AminiKayanda Toa Andiko Wapi Yesu Kafanya Fujo Hizo Kwenye SINAGOGI!?

  • @danielchacha2973
    @danielchacha2973 Месяц назад +1

    Baba, umenielewesha sana na kwa lugha nyepesi Ubarikiwe na Bwana Yesu. OMBI WEKA VYA WAISLAM VIELELEZO WAZI KTK MASOMO YAKO TUIMALIZIE KAZI NZURI UNAYOITENDA PAMOJA NA WENGINE. ONA PIA CHANNEL MOJA YA mtumiahi Christian Prince.

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Месяц назад

      Huyu anasoma vitabu na hadithi za uongo zilizokua rejected. Sio maandiko yote ni ya kweli. Waislam wanaamini Yesu huyo huyo bali wanapinga baadhi ya mambo mengine kuhusu Yesu huyo huyo. Mungu hafi kamwe nyinyi mnasema Mungu ndio Yesu halafu kafa. hivi ndio vitu ambavyo waislam wanapinga.Au Yesu ni Mungu inakuaje sasa Mungu azaliwe tena na Maria aliyemuumba na nani alianza Maria kumzaa Yesu au Yesu kumuumba Maria mambo yasiyowezekana kama haya ndio waislam wanapinga na si injili mpya. Msalaba ulikuwepo kabla ya Yesu na kazi yake ya kuulia Yesu haikufanyika kwa Yesu pekee. Yesu kama ni Mungu hawezi kuteswa wala kufa hizo ni dhihaka kwa mwenyezi Mungu. Mwokozi ni mtume yeyote wa Mwenyezi Mungu hata Mussa aliyeshushiwa amri kumi za Mungu ambazo ndizo mkombozi ukizifuata

    • @messiah-l4r
      @messiah-l4r Месяц назад

      Nioneshe amri 10 za MUSA kwenye Quran? ​@@hashimchaoga9566

  • @joelmusili1733
    @joelmusili1733 Месяц назад +1

    Asante Mwl wangu,Kwa mafundisho yako niliuliza maswali kwenye mhadhara msikiti wa chihota tandika yalikosa majibu mhadhala ukavuligika ukiongozwa na mazinge mwaka 2000

    • @VitusMakala
      @VitusMakala Месяц назад

      Huna uwezo wa kumuuliza mazinge swali ashindwe kujibu

    • @zenahussein2242
      @zenahussein2242 Месяц назад +1

      😂😂😂 Yani mazinge anakimbiwa wewe ndio umkimbize kweli. Acha futuhi zako 😂😂😂

  • @ModestMwakikoti
    @ModestMwakikoti 22 дня назад

    Ok

  • @bethaniahemalautukufu-np3so
    @bethaniahemalautukufu-np3so Месяц назад

    Baba safii vumbua uwongo wa waarabu na kitabuchao

  • @Visionofeagle9689
    @Visionofeagle9689 Месяц назад

    Amina Aminaaaa

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Месяц назад

    Amen amen

  • @jannffer
    @jannffer Месяц назад +1

    Napenda vile unafudisha Mungu akubaliki

    • @amirmape6474
      @amirmape6474 Месяц назад

      Unapenda kuongopewa hakuna sehemu kwenye Quran inayosema mariam mama yake issa aliishi maka analeta ujanja wa kijinga Quran haikusema mariam kwamba amelelewa kwenye msikiti wa maka

  • @jeanclaudensabimana
    @jeanclaudensabimana 28 дней назад

    Laa ilaah illa Allah.

  • @fmngombaela551
    @fmngombaela551 24 дня назад

    bambo navela nkani izi ine mpwanu msumba Amen amen

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Месяц назад +2

    1 Yoh. 4:1-3. Inasema roho isiyomkiri Yesu Kristo haitokani na Mungu, ndiyo roho ya mpinga Kristo. Kwa andiko hili na mengine, ni dhahiri Uislam ni roho ya mpinga Kristo

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 Месяц назад +2

    Siku utakayo toka roho ndo utamjuwa Mungu wake.

    • @silvesterrichardhelenya1319
      @silvesterrichardhelenya1319 Месяц назад

      Wewe ndiyo unaotoa mnatishwa tishwa tu kufa ni kusinzia hakuna maumivu wakati wa kufa

    • @user-yw3qh6qj8g
      @user-yw3qh6qj8g Месяц назад

      Wewe ni poyoyo,sikiliza chuma hicho

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 Месяц назад

      Hujui kitu wewe endelea kuosha mkundu msikitini ukidanganywa juwa ndio ibada ya mungu muumba mbingu na nchi

  • @user-zh1dp1tx7g
    @user-zh1dp1tx7g 12 дней назад

    Kristo ni yeye yule Jana , leo na hata milele amina, na ukweli nikwamba neno la maana kwao waaminio ni nguvu Bali wanaopotea ni upuuzi

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Месяц назад +1

    Namuhurumia sana huyu anaeshikilia spika muda wote uo Kwa huyu mzee wa hovyo mm ningeshaingia ganzi mkono zamani

    • @WillBat-gc9ex
      @WillBat-gc9ex Месяц назад

      Hujielewi wewe kachekiwe akili

    • @saleemadhiyabalkhatri7800
      @saleemadhiyabalkhatri7800 Месяц назад

      Kabisa hatamie nimgempa akashika mwenyewe kisa chakupooza mkono aalaaa

    • @lilianphilipo9219
      @lilianphilipo9219 Месяц назад

      ​@@saleemadhiyabalkhatri7800hata msipoamini Kuna ndugu pale kashaeleza. Ukikemea pepo kwa Jina la Isa halitoki ng'ooo utakesha ila sema YESU uone shughuli yake

  • @BarakaMwaikenda-ty1bt
    @BarakaMwaikenda-ty1bt 26 дней назад

    Mimi mwenyewe nlipotoshwa kwa miaka mingi ila saivi nmejifunza

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 Месяц назад +1

    Poleni sana Wakristo maana hamjui pa kushika, Kila atakaye kuja kwenu kuwaeleza habari za Kristo Yesu anazidi kuwachanganya. Wayahudi wa dhehebu la Kikristo la Othodox Mungu wanamwita Allah, je leo akija mkristo wa Kiyahudi akakufundisha kuwa Mungu ni Allah mtamkubari?. Isa na Yesu ni kitu kimoja lakini tofauti hapa ni mapokeo na mafundisho.

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 Месяц назад

      Ndugu umeopotea sn, Yesu kazaliwa ktk hori la ngombe - Bethlehem lkn Issa kazaliwa kandokando ya msikiti huko Mecca,.
      Je uhoni tofauti??

    • @piusmdoe3200
      @piusmdoe3200 Месяц назад

      Pamoja na maelezo yote hayo hujaelewa tu

    • @OmariShuli
      @OmariShuli Месяц назад

      ​@@hamisijuma3276 tuletee kitabu chochote cha kiislaam kilichosema kuwa Yesu amezaliwa makka. na pia anayea sema amezaliwa kwenye kihori ni Luka, nenda ukamsome na Mathayo.

    • @rizikiyahya5254
      @rizikiyahya5254 Месяц назад

      ​@@hamisijuma3276Maka gani leta ushahidi wa aya. Ni uongo hakuna aya inayosema Mariam alikuwa Makka!

    • @justusngonyani165
      @justusngonyani165 Месяц назад

      Issa sio Yesu.Hawana sifa zinazofanana.Wasiofanana sio wamoja.Tukikubaliana sio mmoja,kuna hasara GANI?

  • @meisanmariah8993
    @meisanmariah8993 Месяц назад +1

    🔥🙏

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania1539 Месяц назад

    Amen. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.

  • @seifserenge3340
    @seifserenge3340 Месяц назад +2

    Endelea kuwadanganya hao wakristo. Waislam wana kamba madhuburi isiokatika. Haki na batili iko wazi, endeleeni kufata dini ya wazungu mtakuja kuona mwisho wake. Wewe huijui Quran wala iyo biblia yenu

    • @nestarnestar4520
      @nestarnestar4520 Месяц назад +1

      Iv we unajitambua kweli? Et tufate dini ya wazungu wakati hata kusali tunasali kiswahili, nyie mnafata dini ya warabu ndo maana hata kusali Ni kiarabu, Sasa wewe ndugu yako Ni yupo msukuma wa kukaya af unasali kiarabu

    • @user-be8mu6fm3t
      @user-be8mu6fm3t Месяц назад +1

      Wanafata kiarabu hata hawajui chimbuko la uongo wa Mohammad

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 Месяц назад

    Kwa sheria ya Mwenyezi Mungu.

  • @MohamedAhmed-yi1yf
    @MohamedAhmed-yi1yf Месяц назад +2

    Jesus (peace be upon him) is called is issa

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 Месяц назад +1

      Big Liar !!!! Jesus is not Issa even Bible God is not Allah of Quran

  • @OmariShuli
    @OmariShuli Месяц назад +1

    Swifa za Mungu tunaye muabudu sisi waislaam:- Jina lake ni Mwenye ezi Mungu. hakuzaa wala hakuzaliwa wala hafanani na kitu chochote, ni mmoja na wa pekee, hana mshirika ktk uungu wake wala ktk jina lake wala ktk swifa zake wala ktk vitendo vyake. Hana msaidizi wala mshauri wala waziri yeye ndiye aloanzosha viumbe na ataye virejesha tena ni mweye kuhuyisha na kufisha na ndiye mmliki wa siku ya malipo.

    • @favoritebrayo
      @favoritebrayo Месяц назад

      eee tunajua yeye ni sanamu tu hawezi zaa hana hio nguvu wapiga kristo nyinyi

    • @khambhai360
      @khambhai360 Месяц назад

      ​@@favoritebrayoSasa wewe chizi sanamu ndiye aliyeumba mbingu Na ardhi Na viumbe wote maana ye ndiye Allah.Mwenyezi Mungu wetu tunayemwamini waislamu.

    • @favoritebrayo
      @favoritebrayo Месяц назад

      @@khambhai360 nani amekwambia Allah ndiye kaumba😏😏😏😏

    • @khambhai360
      @khambhai360 Месяц назад

      @@favoritebrayo yes, Ni Mungu setup Allah ndio kaumba katuumba Sisi ndio maana tunamsujudia,tunafunga Kwa ajili yake.Nyie kanisani mnaenda kuimba Na kuvaa nguo zisizo Na stara.

    • @favoritebrayo
      @favoritebrayo Месяц назад

      @@khambhai360 hio ni wewe umesema wala huna andiko la kudhibitisha

  • @amirmape6474
    @amirmape6474 Месяц назад +2

    Duhh eti mariam aliyemzaa issa aliishi maka kweli muongo huyu pasta hakuna sehemu kwenye Quran kwamba mariam alikuwa anaishi maka kasome tena

    • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
      @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl Месяц назад

      Nendeni mkafute kwenye vitabu vyenu sasa majini yamewafundisha kukataa

    • @loner_wolf
      @loner_wolf 23 дня назад

      ​@@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hlpunguani , mwambie akwambie quran anayosoma kaitoa wapi ...? Au nikupe kazi wewe , ikikutana na mtoto wa madrasa mwambie akusomee surat al imran akifika hapo kwa makka asimame alafu njoo na kisu unichome jichoni nipo hapa😅

    • @loner_wolf
      @loner_wolf 23 дня назад

      Hamsomi ndiomaana WAZUNGU kwakuwa wanasoma sana WANASILIMU makundi kwa makundi . Mtabaki ninyi mazezeta msiotaka kutafuta ukweli mnakalili tu mnadhani dini ni team za mpira, dini sio kubishana , nikusoma na kufanya research , mtu mjinga anakwambia eti maryam amelelewa makka unakubali na quran anayoisingizia hana .😂😂

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 19 дней назад

      ​@loner_wolf Kusilimu kwa wazungu haimaanishi kwamba koran ni ya kweli.Kila Siku wanasilimu na bado wanawapiga kwa mabomu

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 5 дней назад

      ​@@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hlTwambie wewe alikozaliwa

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp 22 дня назад

    Waislamu Wana mohadi wakristo hawana wakristo Wana yesu waislamu Wana isakuzaliwa tofauti historia yao tofauti
    Kwa mfano habubakali kwakizungu au kiswahili anaitwaje

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 Месяц назад +1

    Ni kweli hawafanani, yesu wenu nyie wakristo ni mungu, tena mlipiga mikwaju mkasulubu akawa laana.
    Bila shaka Isa hawezi kufanana na yule jamaa mliyemwamba mtini akafa kalaaniwa, na aliye laaniwa huwa wa Jehanam tu.
    Wagalatia 3:13

    • @abeidpazia1720
      @abeidpazia1720 Месяц назад

      Mbona nyie mwasema yesu amekufa msalabani Ili nyie muokolewe,,Sasa mbona biblia yasema wababa wasiuliwe Kwa dhambi watotowao,na watoto wasife Kwa dhambi za babazao Kila mtu afe Kwa Kwa dhambi yake mwenyewe..whyy

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Месяц назад

      @@abeidpazia1720Wakristo hawajui washike wapi waache wapi, ndio imani za kudanganywa zilivyo, kuna kawimbo wanaimba kanisani, Kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe 😂😂
      .... Sasa Yesu kabeba ipi na wao wamebakia na ipi, bila shaka Issa si yule jamaa waliyempiga akafa kalaaniwa.

  • @user-yv1gj2zn4z
    @user-yv1gj2zn4z Месяц назад +1

    Wewe mchungaji unapoteza watu

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Месяц назад

    Nami naongezea mtumishi wa MUNGU,,,,pepo ukilikemea kwa jina la YESU Toka ,,,linatoka haraka sana,,,,ila subutu useme kwa jina la ISSA Toka uone kama pepo litatoka,,,,,halitatoka kamwe,,utakeshaa

  • @athmanidi7388
    @athmanidi7388 Месяц назад +1

    😊 pasta Tafadhali Mkiristo anaamini Yesu NI Mungu .

  • @NammanaMobile
    @NammanaMobile Месяц назад +2

    Kama issa siyo yesu.... Basi hata jesus siyo yesu.. Mana apo shida ni lugha tu.
    Ila ningependa nikuache na faida moja ili ujue kama wazungu siyo watu wa zuri... Chukua neno jesus... Afu toa j ya mwanzo afu nambie kinacho sound apo ni kitu gan... Afu ndo utajua au hujui kama mlilishwa matango poli na wazungu.

    • @Jerie-q1c
      @Jerie-q1c Месяц назад

      Haongelei tafsiri ya majina ktk Lugha.
      Anaongelea life content zao kwa Mujibu wa maandiko kwamba ni watu wawili tofauti

    • @SolomonMwankuga
      @SolomonMwankuga Месяц назад

      Si lugha tu msikilize pastor vizuri, Isa atavunja misalaba ,ataoa mambo mengi ameeleza yanayo mtofautisha Yesu na Isa.

  • @ibrahimmussa7478
    @ibrahimmussa7478 Месяц назад

    Mwenyezi mungu akuongoze uwe unaongea ukweli na ushahidi.

  • @user-un3hr5kh6z
    @user-un3hr5kh6z Месяц назад

    Yesu na jizazi vip SI tofauti

    • @rafiurashid1021
      @rafiurashid1021 Месяц назад

      Namsikitikia huyo mzee Simba ulanga kuona anazeeka na ujinga kichwani, anasema eti yesu alikuwa mkiristo! Niwapi yesu aliingia kanisani na kuendesha ibaada?

  • @mzeemwinyihassan9774
    @mzeemwinyihassan9774 7 дней назад

    Pia wachungaji mmnaona kibarua kimeingia nyasi ndio mmnabadilisha mafundisho

  • @ernestmbasha6428
    @ernestmbasha6428 Месяц назад

    Walsham waskalili dini kutoka kwa wazazi waliowaongoza , waisome vizuri Quruan

  • @habibuchakusaga7981
    @habibuchakusaga7981 Месяц назад +2

    Mzee umechanganyikiw Mariam na mwanae Isa wameish Jerusalem kwenye mskit wa Al aqsa upon mpaka Leo hii we unasema Maka acha kupoteza watu

    • @canibalgazaboy8325
      @canibalgazaboy8325 Месяц назад

      Acha ufata upepo nyie waislam mnadanganywa mambo mengi sana na mnafata

    • @saleemadhiyabalkhatri7800
      @saleemadhiyabalkhatri7800 Месяц назад

      Yy huyu babu kaona msikiti kaona ndio makka kama hichokitabu mkweli mwaminifu sijui mtoto gani kakaa anajisanif saa anakiandika mwenyew hadithi akasimulie wajinga wenzie babu nae kakikuta juu ya rafu kakibeba kuja kuhadithia maskini😅😂

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Месяц назад

      ​@@saleemadhiyabalkhatri7800YESU alipokuwa anazaliwa haukuwepo msikiti wowote hapa duniani acheni uongo waislam

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu Месяц назад +1

    Yesu ana majina mengi na Kila sehemu watu wanamuita tofauti, Wafasaransa wanamwita JEZY, Waingereza wanamwita Christ, waarabu wanamwita ISSA. Kuamini ni kitu kingine na ukweli ni kitu kingine. Unaweza ukaamini kitu ambacho sio sahihi.

    • @stephanosospeter1709
      @stephanosospeter1709 Месяц назад

      Wew na wew giza kweli, ina maana aulewi anachokiongea apo, yahswa au ali masih ni nini kwa kiaharabu?

    • @danielgiiti7295
      @danielgiiti7295 Месяц назад

      Waislamu Ni kabila au ?

    • @danielgiiti7295
      @danielgiiti7295 Месяц назад

      Waarabu hawaiti hivyo wewe acha kitu Kama hujui

    • @AloyceMrema-i6u
      @AloyceMrema-i6u 20 дней назад

      Acha uongo waarabu hawamwiti Yesu ISSA
      Mshamba hata kiarabu chenyewe hukijui mnalishwa matango pori😅

  • @athumanmkomwamkomwa2912
    @athumanmkomwamkomwa2912 Месяц назад

    Jamani simbaulanga anawapoteza isa ni kiarabu nan yesu ni kizungu na kiarabu na warabu hilo jina wamelipata kwenye qur,aan na quraan sio kiarabu niluga ya kimungu kwamaana hata waarabu wenyewe wanaji funza qur,aan kwahiyo isa wamaka na yesu wanatheret nikitu kimoja na mungu wao nimmoja na mungu wawaislaam na mungu waeakiristo nimungu mmoja na mariamu aliotajwa kwennye gur,aan mariamu aliotajwa kwenye bibilia nimmoja na musa qur,aan na musa wa bibilia nimmoja ibrahimu wa quraan na ibrahimu wa bibilia nimmoja daudi wa quraan na deudi wabibilia nimmoja tafadhalini wakiristo msipotezwe mkakosa radhi za alla Simba ulanga schochote Wala sio lolote mtu Kama wewe mtegemee yule AmBAR anatushushia mvua wewe na Mimi na yule Ambae anatulete ma baala ya mafurio wewe na Mimi huyo ndoo waku sikilizwa na Wala sio Simba ulanga kasema hivyo kutokana napumzi yake Ina afya

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Месяц назад +1

    ISSA IBN MARIYAM NDIO YESU ..... HILO HALIHITAJI MJADALA ....... ZAKARIA NDIO ALIYEMLEA MARIYAM MTOTO WA IMRAN . YAAN MARIYAM NI MTOTO PEKEE WA MZEE IMRAN , NA IMRAN NDIO BABU YAKE YESU . MARIYAM BAADA YA KUFIWA NA WAZAZI WAKE ALILELEWA NA ZAKARIA , NA HUYU ZAKARIA NDIO BABA MZAZI WA NABII YAHAYA AU YOHANA MBATIZAJI KWA BIBLIA .
    ZAKARIA NA MARIAM NA YAHAYA HAWAJAWAHI KUISHI UARABUNI . WALA UISLAM HAUKUANZISHWA NA WAARABU . HIZO NI PROPAGANDA ZA MAKANISANI ....... MANABII WOTE KUANZIA ADAM , MPKA MUHAMMAD , YAAN IBRAHM ,ISAKA NA ISMAIL, ISAYAH, YAKOUB ,MUSSA,NUHU, ISSA, YAHAYA, WOOOOOTE WALIKUWA WANAUJUMBE WA MUNGU NI MMOJA NA NDIO MWENYE HAKI YA KUABUDIWA......
    HII TRINITY NA UKRISTO NI MPANGO WA BINADAM TENA WARUMI KUTOKA ROMA NA BAADAE WAKAUNGANA NA WAZUNGU WOTE WALIPOPOTEZA UTAWALA WA KIKOLONI .

    • @AGM19697
      @AGM19697 Месяц назад

      @@loner_wolf Hiyo ni kulingana na nyie. Lakini katika vitabu vyetu sisi na vya Wayahudi sifa za hao wawili zinakinzana. Ndio maana sisi tunasema sio mmoja ni wawili tofauti.
      Toka jina Yeoshua mpaka Issa ni majina tofauti kabisa. Biblia za kiarabu zimeandika Yesua/Yeoshua/Yesu mapepo yatatoka na kukimbia. Njoo kwenye maombezi utashuhudia ndugu zako Waislamu wakitolewa pepo kwa jina la Yesu na sio issa
      Hata tufanye experiment ndogo twende kutoa mapepo kwa jina la issa hakuna pepo litakalostuka. Ila kwa jina la Ye

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 5 дней назад

      Unaropoka tu bila andiko, Mariam mama yake YESU mzazi wake aliitwa joakim na dada yake Mariam aliitwa Salome mama yao wakina Yohana mtakatifu na Yakobo lakini kwasababu Mmecopy mambo msiyo yajua mmebaki mazuzu

    • @AGM19697
      @AGM19697 4 дня назад

      @@loner_wolf Ushapagawa na mapepo njoo tuyatoe kwa jina la Yesu.
      Huyo issa wenu hawezi hata mponya mwenye mafua.
      Kifupi issa wa kurwani sio Yesu wa biblia