Tangazo la post limekua tofauti hotuba ya shekh. Alieandika post hiyo aombe radhi kwakua kawakosea watazamaji. Mwenyez Mungu amjaalie shekh maisha marefu yenye afya njema inshallah
Your sermon is for intellectuals. Those who have a cheap mind will not really get the msg across. May Allah strengthen you and your family for sure all umma.
mashaAllah sheikh huyu ndio naanza kumuona leo na kumalizia lakini kwa kweli nimeskiza masheikh wengi lakini kweli kila wimbi na nguvu yake Allah akupe umri mwema na umri mrefu na kwa hakika watakao kukuelewa ni wale wenye hikma zaidi Allah atuzidishie hikma Sisi wasikizaji
Mimi sio mu islam alakini mafundisho ya sheikh huyu yameni saidia sana tena sana kabisa, ksema ukweli huyu ni mhubiri wa wanaadamu. Mungu akubarili mwalimu
Wakristo tulio mkubali Sheikh like zenu hapa
Manshaallah alhamdulillah m/mungu akutunze shekhe.akufungulie kheri zaidi na zaidi uzidi kutuelimisha.🤲🏼
Mashallah, the highest level of understanding, we need intellectuals kama wewe. Allah atuongezee sote elimu.
Ameen
Mimi ni Mkristo nimpenda mafundisho yako
Asante kwa elimu.Nimejifunza kitu hapa sikutoka bure.
Jazakallahu kheir sheikh
Masha Allah Tabaraka Rahmani mawaidha manzuri saaana Allah ampe umri mrefu wenye kheri na yy
Shehe hongera sana nimejifunza vitu vingi kutoka kwako m/mungu akujalie umri mwema mrefu wenye heri na afya na kizazi chema ww na sisi
Subhan ALLAH JazakALLAH khairan kwa Mawaidha very Perfect reminder
Mashallah, ALLAH amzidishie afya ili tuelimike zaidi
Allahumma barik Sheikh,
Shukran kwa kutuelimisha🙏
Masha Allah sheikh God bless you tunajifuza mawaiza mazuri sana
Wallah huu Sheikh ❤❤❤❤
MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤SHEIKH U SAY EVERYTHING IS TRUE 👍 🙏 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mashallah tabarakallahu, mu gu akukithie haja zako,akuongezee elmu uzidi kuelimisha umma aamiin ya'arabb
Manshaallah tabarakallah 🎉🎉
Asalam alaikum,huyu sheikh Allah ampe elimu zaidi,afya na maisha marefu yenye amali njema.naomba jina la huyu sheikh pls.
Shk. Adinani
Jazzak Allah kheri cheik wetu tunakupenda sana
Naaam shukrn San kwa maawaidha mazur Allah akuhifadh shekh
Tangazo la post limekua tofauti hotuba ya shekh.
Alieandika post hiyo aombe radhi kwakua kawakosea watazamaji.
Mwenyez Mungu amjaalie shekh maisha marefu yenye afya njema inshallah
Mashallah tabaraka wataala Allah akupe Kila lenye kheir uzidi kufikisha ujumbe inshallah
Assalamu Alaikum warahmatullah wabarakatuh naomba Nina la sheikh tafadhali Jazakallah Khair
Shukran sana sheikh wetu umetuelimisha vizuri sana.
M.mungu akubariki sana
Good lesson
Sheikh mashaAllah madini kibao mashaAllah mashaAllah 🎉🎉
jamaa ana akili sana,very high reasoning,me ni mkristo lakini najifunza sana hapa
Hongera
Bwana akufungulie neema zake
Masha Allah twakukaribisha pia ktk uislamu
Allah akuongoze nduguyangu uwone haki nauyifate
Nikwambie kitu kaka elimu ya dunia unaipata na kuichukua kwa MTU wa dini yeyote awe mkristo ama muislamu ama pagani
Mashaallah Allah amzidishie huyu shekh alhamdulilah nimefarijika
Assalam aleykum warahmatullah wabarkatuh alhamdulillah maneno ya huyu mwalim ni mazito sana allah amjalie mwisho mwema
Kuna utofauti mkubwa kati yako shekh na baadhi ya mashekha wengi wa Tanzania..you are most intelligent..
M/mungu akuzidishie elimu na afya njema uzidi kutupa dawa m/mungu akuongoze wewe nasisi Amin
Mungu akubarik sheikh mawaidha mazuri sana na yamaana sana ,mungu akubarik ameen
ما شاء الله
Mashallah mashallah mashallah barakallah fiika
MashaaAllah MashaaAllah true Sheikh
Taqbirrrr🎉 Allahu Akbar🙏
Shekher uko vizuri sana shida iko wapi kuhusu yesu kwamba kweli hujui kuhusu yesu
MASHA ALLAH
Mashallah Mashallh Mashalah
Sheikh nimependa mawaidha yako sana, Mwenyezi Mungu akuzidishie.
Jazaka Allah heri
Naaam! Yani sitamani hata neno moja kutokulisikia vizuri! Allah akupe umri mrefu wenye manufaa kwa umma sheikh!
MaaShaaAllah.❤❤❤ Kweli khutba yake nzuri sana, hata mimi nimeipenda.
Allah (SWT) amjaze kila la kheir Sheikh. Allahumma Aamin 🤲
Jazakum Allah Khair
Mashalla alhabulilai ustaz 🤲🤲🤲🤲🤲🤲📿
Allah akubariki
Mashaallah tabarakaah
Shukran Shukran sheikh wetu mawaiza mazuri sana
Yaarabi tupe mwisho mwema
Amiin
Mashaallah,🙏 Tabarakallahu Sheikh🤝🎉
Maneno ya hikma, Masha Allah
Mashallah ❤❤ kweli
Mashaalah
ALLAH SUBHANAHU WATAALA AMPE UMRI MREFU AZIDI KUTUELIMISHA. ALLAHUMMA AAAMIN.
Mungu akupe maisha malefu uendelee kuwaelimisha walio jisahauu
Dah .. alhamdulillah Allah atubariki shekh
Mashallah sheikh
Mbona hii shekhe ana hikma nyingi 😊😊😊👏🏽👏🏽👏🏽
Allah ampe afya na umri shekh
Mashaallah tabaraka allah yaan nimepata faida nyingi sana asubui hii allah akupe afya njema uzidi kutuelimisha inshaallah
Mashaa Allah Tabaraka llah mawaitha penye mafunzo
Allah akupe umri uziidi kutuwelemisha
Allah akuhifadhi
ALLAH akupe gheri sana sheigh wetu
May Alla bless and protect you
Masha allah tabarakllah
Your sermon is for intellectuals. Those who have a cheap mind will not really get the msg across. May Allah strengthen you and your family for sure all umma.
Maashaallha Allah akulipe pepo na umat wa muhammad Allah atuepushe na moto ishaallah. Mswalie mtumeee.
S.A.W
Alhamdulillah
Mashallah mashallah mashallah
Tunakupenda Kwa ajili Allah
Allamdullillah mashaallah mawaidha mazuri sana
Mashaallah allah akuzidishie
Shukran
Masha Allah, Masha Allah, Masha Allah, Allah akubarik.
Allah Akuzidishiye ilm na umri mrefu na afya uzidi kutunufaaisha na kutuelimisha
masha'Allah sheikh wetu
Allah akulipe shehe
Mimi ni romani lakini nimependa mafundisho yako gd bless your
God bless you to and welcome to islam
Allah akuongoze uwe na maono juu ya haki!
mashaAllah sheikh huyu ndio naanza kumuona leo na kumalizia lakini kwa kweli nimeskiza masheikh wengi lakini kweli kila wimbi na nguvu yake Allah akupe umri mwema na umri mrefu na kwa hakika watakao kukuelewa ni wale wenye hikma zaidi Allah atuzidishie hikma Sisi wasikizaji
Maashaallah ❤ ( aminiii)
MashaAllah, Allahu barik feek
MashaAllah mungu akulipe sheikh
ماشاء الله تبارك الله عليك Allaah akubarik
Your genius ❤❤❤❤❤
Mimi binafsi uislam hua siupendi lakini kwa huyu shehe nimempenda sana tena sana
Asalam aleykum mungu atupe subrisa yakusikiliza huyu mwalim
Mashaa llah 🌹 huyu shekh nimempenda burereee
Takbirrrrr
Napendagaa mawaidha yakee
anaitwa nani?
Mashallah sheikh adinan
Mimi sio mu islam alakini mafundisho ya sheikh huyu yameni saidia sana tena sana kabisa, ksema ukweli huyu ni mhubiri wa wanaadamu. Mungu akubarili mwalimu
Allah akuzidishie mawaidha mazuri sana
MASHAALLAH❤
Mashaallah
❤❤mashallah
MashaaAllah. Allah akujalie
ASalam Aleikum Allahuna Azidishe elimu
Sahihi kabisa sheikh wetu
Masshaallah
MashAllah
Hii ni hotuba na mawaidha yaliyojaa elimu'busara'na hekima kubwa Mwenyezi Mungu akujalie Kila la heri uzidi kutupa darasa
Mashaa Allah nataka nije kukuona nikija Uganda in shaa Allah
Naomba jina la huyu sheikh wetu.
Sheikh Murtada
Maasha-Allah
ALLAHU AKBARR
Mashaa Allah shk uko na hekima Allah Akujazi kila la kheri Ameen
Masha allah jazakallah qyer sheikh has spoken with wisdom
Mashallah. Kuna Elimu nyingi ndani yake. Ana elimu na busara
❤❤❤
Uko smart sana shekhe hongera sana.