UKWELI MCHUNGU HISTORIA YA ARIDHI YA PALESTINE ILIOFICHWA TOKA ENZI ZA MANABII WATEULE.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • • UKWELI MCHUNGU HISTORI... #KHIDMATV #drsule #mawaidha #education #elimu

Комментарии • 750

  • @jumamaka5491
    @jumamaka5491 8 дней назад

    Masha Allah sheikh suleiman kwa ilm yako Allah akupe maarifa uweze kutufunza zaidi na zaidi Insha Allah

  • @user-hh4kb9ng4e
    @user-hh4kb9ng4e 4 месяца назад +3

    Yesu ni tofauti na manabii wengine wote,yesu ni zaidi ya nabii Musa,.

    • @MohamediOmari-nz4vv
      @MohamediOmari-nz4vv 3 месяца назад

      Kama uwelewi utabaki kujiona wewe ni zaidi kumbe ujui chochote

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 месяца назад

      ​@@MohamediOmari-nz4vvyuko sahihi manabii wote walifanya dhambi Yesu pekee ndiyo mtalatifu na hiyo ndiyo sifa ya Mungu

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 10 месяцев назад +6

    Mungu akubaarik sheikh SULE.

  • @kombogambare3574
    @kombogambare3574 5 месяцев назад +1

    Mash Allah Mola akuajalie na akuzidishie Elm Dr.Sule

  • @graciousmedia8235
    @graciousmedia8235 8 месяцев назад +2

    Kwa upande wangu mimi ni mkristo na nitabaki kuwa Hivyo siku zangu zote maana nnaemuamini nimeona akinipigania hivyo watu waseme watakavyo lkn hakuna dini yoyote duniani itampeleka mtu Mbinguni ila tuu imani yako na matendo mema ndio yatakayotufanya tupate kibali mbele za Mungu . Bishaneni tuu lkn kama Imani yako haiko kwa Mungu na matendo yako hayampendezi Mungu ndug zangu tutakua ni bure

    • @tahirnephessalum3678
      @tahirnephessalum3678 8 месяцев назад +1

      umepotea ndugu yangu ktk adamu utafute ukweli uiokoe nafsi yake

  • @KhadijaKhadijadawa
    @KhadijaKhadijadawa 10 месяцев назад +5

    Mashallah dr sule Allah akulipe umefafanua vzr sanaaa

  • @HamiduMbaraka
    @HamiduMbaraka 7 дней назад

    Allah s.w akuzidishie

  • @user-pc8ou6md7d
    @user-pc8ou6md7d 9 месяцев назад +11

    Mjue sana Mungu ili uwe na amani. Ukisikikiza mengineyo utachanganyikiwa hakuna sheikh ama mtume atakaye kupeleka mbinguni. Mungu peke yake kupitia kwa Yesu Kristo

  • @bgpin7497
    @bgpin7497 6 месяцев назад +5

    mimi ndimi njia huendi mbinguni ila kwa mafundisho ya yesu hivi mwaka huu ni mwaka wangapi wa kiislamu na ibrahimu alikuwa dini gani

    • @mwanamisidogo1985
      @mwanamisidogo1985 5 месяцев назад +1

      mwaka 1445 ramadhan ikiisha tunaingia 1446 in shaa Allah

  • @BigirimanaAhmad
    @BigirimanaAhmad 7 дней назад

    Usijali Dr Sule hao makafiri lazma wapinge maneno yako.

  • @user-hm5cv7bc4x
    @user-hm5cv7bc4x 7 месяцев назад

    Alla akubarik kwa kulinga nia dini ya kiislam mungu mungu akulinde na maadui wa dini ya uislam

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 3 месяца назад +1

    Hongera kuhubiri Biblia inavyosema.

  • @brownmwailunda1436
    @brownmwailunda1436 4 месяца назад

    WEWE Sule uisilamu ni njia ya Imani tu,Wewe ni Mtumishi wa Mungu

  • @ShahiraIssaSalim-zy5rc
    @ShahiraIssaSalim-zy5rc 8 месяцев назад +1

    Maa shaa Allah, Doctor sule❤

  • @ismailabuti
    @ismailabuti 9 месяцев назад +2

    Asante Sana sheykh

  • @user-fs4fn5lz7h
    @user-fs4fn5lz7h 5 месяцев назад +1

    Mashaallah allah akupe umri mrefu shekh sule

    • @user-yv7ij4zh4k
      @user-yv7ij4zh4k 4 месяца назад +1

      Huyo Sheikh mambo mengi anayoongea ni mwongo usiamini kila kitu anachoongea. Mfano anaposema kwamba Koran imeelezea zaidi Historia ya Wayahudi huo ni uongo maana Uislamu umekuja miaka 600 baada ya Kristo na wakati huo tayari Dini za Kiyahudi na Kikristo zilikuwepo. Pia Koran Waislamu wote wanakubaliana kwamba Koran sio kitabu cha Kihistoria na ukisoma Koran utagundua mambo mengi Muhammad aliiba kutoka kuhadithiwa na Mapadre wa Kikatoliki hasa Padre Waraqa ibn Naufal.
      Halafu huyo Sheikh Sulle anatoa hadithi bila andiko mfano anaposema Musa aliishi Hebron hilo andiko anatoa wapi? Katika Biblia au Quran hakuna sehemu hata moja inasema Musa aliishi Gaza.
      Kwahiyo huyu jamaa ni mwongo.

  • @davidngenda924
    @davidngenda924 9 месяцев назад +2

    Hongera umejitahidi kuisoma torati ya musa hususa ni kitabu cha mwanzo katika Biblia takatifu ❤ . Hebron haiko Gaza but iko kusini mashariki mwa Jerusalem remember hili, pili wayahudi suala la kumkataa Yesu Christo liko kibiblia ktk kitabu cha injili ya Luka. Jambo la tatu hamna wa kuwa uwa wayahudi ni kizazi ambacho mungu aliwaapia Abraham, Isaac na yakobo. ❤ Rudi ktk ukristo tuitunze dini ya Mwenyezi Mungu

    • @BakariMnefi
      @BakariMnefi Месяц назад

      Huna akili mzur ww dini ya haki ya kiislam ni hekima kwako njoo huku

  • @user-eb3sr5wi5v
    @user-eb3sr5wi5v 9 месяцев назад +1

    Shukran shehe wetu kutujuza tusoyajua,,,,,munguakujaalie heri inshaalah

    • @wesnsomba
      @wesnsomba 9 месяцев назад

      Ukijaaliwa kusoma vitabu husika (na siku hizi vinapatikana kwa urahisi tu) utakuja kugundua kuwa huyo sheikh kaongea vitu vingi tu ambavyo sio vya kweli. Wayahudi wanamuabudu Mungu Jehovah na MOSSAD ni shirika ambalo halina hata umri wa miaka 80.

    • @carolihando6271
      @carolihando6271 8 месяцев назад

      Punguzo kudanganya, Joshua hakuwa mwislamu maana uislamu ulianza miaka ya 560 AD, YOSHUA NI WA KABLA hata ya Yesu Kristo. Sijui alianzisha dini kabla hajazaliwa?

  • @hassanbasabose8726
    @hassanbasabose8726 8 месяцев назад +3

    MashaAllah Doctor Sule Allah akuzidishie umri🤲🤲

  • @FrankTemba-c6g
    @FrankTemba-c6g 5 дней назад

    Hao ni watu wa mungu

  • @rashidyshemkande8099
    @rashidyshemkande8099 10 месяцев назад +2

    maashaAllah

  • @Malangalusaede
    @Malangalusaede 2 месяца назад

    Amen

  • @AliSalimRashid
    @AliSalimRashid 5 месяцев назад

    Allah akulinde na Kila baya hususani ktk Ramadan Kareem Asante

  • @MoshiKaranga
    @MoshiKaranga 28 дней назад

    mungu afanye wepesi

  • @samiukhamis2703
    @samiukhamis2703 9 месяцев назад +1

    Mashaallah

  • @DoricasWawire-ff9os
    @DoricasWawire-ff9os 9 месяцев назад +1

    Shekhe uko sawa kelele za chura haizuii tembo maji love Muslim❤❤❤

  • @AMBAKACHOGO
    @AMBAKACHOGO 7 месяцев назад

    Ma Sha Allah

  • @user-il7pd9et7d
    @user-il7pd9et7d 9 месяцев назад +4

    Unachanganya ndo tatizo mtaulizwa mengi mbele ya Allah

  • @evansmtalo9406
    @evansmtalo9406 9 месяцев назад +2

    Kumbe unajua kusali nje ya uislam ni bahati.YESU ANAKUPENDA SANA.

    • @hujatswai5798
      @hujatswai5798 9 месяцев назад

      Ni sehemu gani amesema kusali nje ya uislamu ni bahati?

  • @jitihadaharuna9448
    @jitihadaharuna9448 9 месяцев назад

    Shehe upo vizuri nimeipata elimu kubwa sana

  • @shabanimataka8418
    @shabanimataka8418 9 месяцев назад +3

    Msiope vta wakristo vita n lazim kwetu kwaiyo jiandaeni nailo na mda wa kuwepo kwa hii dunia n mdogo sana kwatulipofikia ALLAH anataka aabudiwe yy pekeyake na wala kusiwepo mungu baba, mungu mwana, mungu roho mtakatifu, izo zote n shilki na mda wake umeisha kwaiyo mayaudi ndo wakutimulieni yuki

    • @WILLSONTELEPHONE
      @WILLSONTELEPHONE 4 месяца назад +1

      😁😁😁
      I won't bow to that your Allah

    • @nassorsharifu9837
      @nassorsharifu9837 4 месяца назад

      ​@WILLSONTELEPHOwala hupunguzi chochot kwa AllahNE

    • @WILLSONTELEPHONE
      @WILLSONTELEPHONE 4 месяца назад

      @@nassorsharifu9837 Will attack only weak souls as you, Brighter minds won't, atiii mtume kabisa wa MUNGU naemjua Mimi mnamwombea Rahman, Hivi kumbe na yeye alikosea Siyo? 😁😁😁
      Huoni kuwa nikikataa kumwombea Rahman mtume wenu nimepunguza kitu😁😁😁

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 15 дней назад

      Mungu wa waarabu hatumtaki,sisi tu uzao wa Ibrahim na Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo ndiye tutakaye mwabudu

  • @SimonMulwa-sy9yu
    @SimonMulwa-sy9yu 2 месяца назад

    Kwangu Mimi ningesema wakristo na waislaamu wakae na kuishi pamoja,tutumie yetu pamoja na kila mmja aieshimu Imani ya mwezake.

  • @mwambaimara1950
    @mwambaimara1950 9 месяцев назад +1

    Hakuna jipya Yesu anakuja.

  • @onesmomasala-rg2wd
    @onesmomasala-rg2wd 4 месяца назад +1

    Waisalam takibri

  • @mohamedimzee8523
    @mohamedimzee8523 5 месяцев назад

    Mashaalah

  • @user-ke8iq9ue1h
    @user-ke8iq9ue1h 5 месяцев назад +2

    Wewe unapambana na aliyewaruhisu kuishi nchi hiyo

  • @lihumbolihumbo1330
    @lihumbolihumbo1330 7 месяцев назад +3

    Huyu ni Muongo kwelikweli, Musa hakufika Kanaani wakati anatoka Misri, alifia kwenye mlima Sinai, Waisrael walifikishwa kwanaani na Yoshua, endelea kuwadanganya wasiojua😂😂

    • @akimuabdallah8039
      @akimuabdallah8039 5 месяцев назад

      Kwa Imani yako na maandiko yako ya biblia kama mkristo upo sahihi ila anayeongea ni muislamu anatumia quruani. Nafkili umeelewa

    • @user-vp6ol1fb8p
      @user-vp6ol1fb8p 5 месяцев назад

      Kwani ww ulikuepo karna hizo acha makasiriko

    • @NgebaSumahili
      @NgebaSumahili Месяц назад

      Soma vieuri kijana

    • @NgebaSumahili
      @NgebaSumahili Месяц назад

      ​@@user-vp6ol1fb8punamjua yesu kupitia vitabu vya Léo?😂😂😂

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 15 дней назад

      ​@@akimuabdallah8039Tuonyeshe kwenye koran yako palipo taja Yoshua

  • @EMMANUELMBWAMBO-is4tn
    @EMMANUELMBWAMBO-is4tn 4 месяца назад

    Biblia imemaliza kilakitu historia yakitabu cha Mungu. Imeeleza kila kitu juu ya haya, stori hii ya kiongozi unatoa imekua uongo kwa maana ya maana halisi, kuanzia kwenye uzao wa Ibrahim kuzaliwa kwa Ismail ilikuwa ni laana kinachoendelea kwa vita ni matokeo ya laana sio mpango wa Mungu, Kuzaliwa kwa Isumail ni ushauri wa Sara kwa Ibrahm baada ya kutoamini ahadi ya Mungu kwao, Ibrahim akakengeuka akamlala Hajra mjakazi, akamzaa Ismaili kabla ya ahadi ya Mungu. Baada ya mpango wa Mungu kutimia Sara kupata mtoto Isaka, nd Sara akamwambia Ibrahm amfukuze Hajra na mtoto wake kwa wivu mkubwa, Ibrahm akamuuliza Mungu, Mungu akamwambia ibrahm awali hukuniuliza juu ya kuzaa na Hajra msikilize mkeo, Hajra akakimbilia Maka na mtoto wake. Nd maana Ibrahm akaanza kumsikiliza Mungu peke ake hata kwa jaribu kubwa lakumchinja Isaka. Mungu akajua juu ya Ibrahm kumsikiliza. Kasomeni Biblia nd inazungumzia kila kitu sio story ni maana halisi ya Mungu kwetu

  • @jjtm164
    @jjtm164 9 месяцев назад +1

    1.Baba mwongo hadith za mtungo,--- elimi ya kibure-
    2.Ibrahim hakuoyeshwa ndoto,-
    3. Hajira ni mjakazi wa Sara aliyempa Ibrahim. Lakini inje ya ndoa likaitwa agano la kimwili, isack agano la kiriho

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 9 месяцев назад

      Baba wa uongo ni huyu mwiisrael wa mchongo mnaemwani na atadanganya wengi,funguka macho kwenye alama ya bendera utajitambua,ila mkumbuke YESU alitahadharisha mapemaaa watakuja wengi wa uongo kwa jina lake ila mtawatambua kutokana na mienendo yao, waisraeli hawa wa mchongo wanatumia mwavuli wa ukristo kufanikisha malengo yao, wamejaa makanisani wakijificha na misaada, na xx wanaidhinisha na mapemzi ya jinzia Moja, je? MUNGU atuambia tuzae tuongezeke tuijaze dunia hapo tutakua tunaijaza dunia au kuipunguza Dunia? wanadamu musiwe na mihemko tafakarini mambo kwa ueledi mkubwa mkiwa mnamuomba MUNGU awaomgoze na kuwafunulia yaliyofichika.

  • @gamarmahsan8254
    @gamarmahsan8254 5 месяцев назад

    اللهم صل وسليم عليه

  • @hujatswai5798
    @hujatswai5798 9 месяцев назад +2

    Kwa wanaoufahamu vyema uislamu wataelewa kuwa hii vita palestina watashinda pale tu watakapokuwa waislamu.... Amini kuwa kwa sasa bado hawajawa waislamu.

    • @tahirnephessalum3678
      @tahirnephessalum3678 8 месяцев назад

      watashinda ila sio sasa hii vita itakuja kumalizwa na nabii issa mwenyewe

    • @user-yv7ij4zh4k
      @user-yv7ij4zh4k 4 месяца назад

      90% ya Wapalestina ni Waislamu sasa sijui hoja yako ni nini

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 15 дней назад

      ​@@tahirnephessalum3678Is atakuja kuvunja misalaba na kuuwa nguruwe

  • @user-mi4rl3pq4i
    @user-mi4rl3pq4i 9 месяцев назад +3

    Busara siyo kulaumiana Bali kila mmoja athibitike katika Imani yake. Siku itafika kila mmoja wetu atapokea kulingana na anavyoamini. Maana hakimu wa haki na wa mwisho ni Mungu mwenyewe. Shika sana kile ulichonacho na unachokiamini.

  • @user-ui4hp3wv2z
    @user-ui4hp3wv2z 9 месяцев назад +1

    Mitihan IPO unaposena ukweli lazima upate mitihan shekhe pamban mungu atakulip

  • @masoudymichael
    @masoudymichael 10 месяцев назад +1

    Mungu mwema🎉

  • @thomassalyeem1331
    @thomassalyeem1331 9 месяцев назад +1

    Tafadhali usiwadanganye wenzio. Uisilamu umeanzishwa na anayeitwa Mtume Mohamedi AD. Kabla ya hapo Uisilamu haukuwepo.

    • @bakari52
      @bakari52 6 месяцев назад

      Hujui na hutaki kujua. Toeni sadaka mtajirishe mapasta

  • @amukoyawycliffe-u2t
    @amukoyawycliffe-u2t 8 месяцев назад +1

    Hakika ilineno limeingia katika kinywa changu maridadi hashwa dini ya islamu wapo wa kweli mpaka binguni insha'Allah

  • @fuadaladawi1255
    @fuadaladawi1255 9 месяцев назад +3

    Mpaka warudi Poland ndio kwao.palestine for Arabs.

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 месяца назад

      Kw

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 месяца назад

      Unamaanisha daudi, suleman na Musa kwao no Poland

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 15 дней назад

      Kwahiyo Daudi na suleman walikuwa wapoland

  • @aloycembaruku
    @aloycembaruku 3 месяца назад

    Du bonge la somo.Tena hapo Ibrahim alipoomba kununua eneo nimepaelewa mno hapo

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 9 месяцев назад +12

    Kwa anayesubiri kusikia kutoka kwako, wala hasomi vitabu atakuona unajua sana, lakini ukweli hujui bali unapapasa papasa tu historia na unachanganya mambo. Sehemu kubwa umechukua kwenye biblia, lakini kwa kuchanganya mambo kwasababu huna ujuzi wa kutosha kuhusu biblia. Labda ungetumia Quran yako.

    • @MATIKO9640
      @MATIKO9640 5 месяцев назад

      Uko sahihi

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 5 месяцев назад +1

      Unateseka ukiwa wapi?

    • @dhulhijjabilali143
      @dhulhijjabilali143 4 месяца назад +1

      Lete yak0 acha n0ngwA

    • @ramadhanmwamleu2693
      @ramadhanmwamleu2693 4 месяца назад

      Shida yenu mumezoea uongo hamtak kuambiwa ukwel

    • @user-qj7xp7wo1v
      @user-qj7xp7wo1v 4 месяца назад

      Yan wewe ndio bogus kbsa nahisi wazazi wako washakukatia tamaa.. intelligence yako iko chin sn.. yan maana ya mjinga ndio ww mtu ambae hajui na hataki kujifunza ndio ww ss

  • @simonuriyo7968
    @simonuriyo7968 7 месяцев назад

    Dr, Sulle Biblia inahitaji ufunuliwe na Roho wa Mungu sio kama Vitabu vingine vya kidini 1 You Must Be Born Again, Asante, Simon Uriyo Capetown

  • @user-dc3bj8mv8s
    @user-dc3bj8mv8s 5 месяцев назад

    Surre unavimba mishipa bule histolia ya waisrael na wafilisti, wayahudi na wapalestina iko wazi sana huwezi kupotosha hata sentesi moja, mzee bola ujiuzie zako uganga wako!

  • @zainabuzainabu7403
    @zainabuzainabu7403 5 месяцев назад

    Mola akulinde na hasadi.inshaalah

  • @phchouse
    @phchouse 10 месяцев назад +5

    Vita itapiganwa na wajinga. Africa tugange yetu. Tulifanywa watumwa tusiendelee kuwa watumwa wa mambo ya wengine

  • @nehemiaayo9527
    @nehemiaayo9527 10 месяцев назад +5

    Unacho fundisha ni Bible tu sii uwambie kuwa kasome Bible

    • @yusrahb4461
      @yusrahb4461 7 месяцев назад

      Yesu alipewa injili sio bible

    • @nehemiaayo9527
      @nehemiaayo9527 7 месяцев назад

      @@yusrahb4461 mfarisayo mkubwa acha ushabiki wa kijinga nani kakwambia YESU alipewa Bible kitabu chochote chenye neno la Mungu ni miliki ya Mungu chakwako ni Cha mtume wako pambana na hali yako mfarisayo

  • @KennedyOwiti-im3lj
    @KennedyOwiti-im3lj 8 месяцев назад

    Nakuelewa saana Mzee wangu ila wanichanganya katika mengine

  • @nambaga
    @nambaga 4 месяца назад

    Wewe bana acha uongo,, Wayahudi wenyewe wanasema Yesu hakua Messiah na aliwawa akafa mwarabu akaja na dini yke miaka 600 baadae wanasema na uongo ati Yesu hakufa

  • @ayengobenjamin8014
    @ayengobenjamin8014 10 месяцев назад +3

    Utawadanganya wasiojua historia

    • @mombasa0076
      @mombasa0076 10 месяцев назад

      KAMA WEWE UNAJUA HISYORIA TUELEZE TUIJUWE.
      KUPINGA HAISAIDII

    • @HasaniPazia
      @HasaniPazia 4 месяца назад

      Wewe toa ujuacho tujue kuwa unajua.vvinginevyo wacha ujulishwe.nikisema ufundishwe,wewe hufun dishiki.kaa usikilize.

  • @user-ot2uc1os3g
    @user-ot2uc1os3g 9 месяцев назад +3

    Huyu jamaa ni Muongo hatari kweli eti waliotoka kwenye jahazi au safina walikuwa themanini khaa😢😢😢😢

    • @KalibaniSeif
      @KalibaniSeif 5 месяцев назад

      Unashangaa nini jahazi lina beba condena nne 😂😂

    • @Sabiyumva-mb3rh
      @Sabiyumva-mb3rh 5 месяцев назад

      Huu ni muongo kabisa anacho kizunguza hakijui kwa sababu ni moto wa shetani hajui yesu ni Nani

  • @theheraldbroadcastingnetwo4836
    @theheraldbroadcastingnetwo4836 8 месяцев назад

    Waislamu wote wakiaja kuhubiri chuki dhidi ya mayahudi, hakuna Vita hapo gaza

    • @yusrahb4461
      @yusrahb4461 7 месяцев назад

      ruclips.net/user/shortssUJrXNCfUrk?si=TnODsAZ0Exualw3B

    • @yusrahb4461
      @yusrahb4461 7 месяцев назад

      Hawa hawa ndio walitaka kumuua Yesu na hawa mtambui afadhali waislamu wanamtambua

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn9779 7 месяцев назад +1

    Ww endelea kuwapotosha hao huko msikitini. Ipo siku mungu atakudai damu yao.

    • @AbdallaMzee-gz9gs
      @AbdallaMzee-gz9gs 5 месяцев назад

      Ww pokea mshahara mnono tuu uko kanisani ujione una dini siku ikizuiliwa pumzi ndio utajua

  • @josephcharo1356
    @josephcharo1356 7 месяцев назад

    Asante sana kwa kutambua kuwa maombi yenu kazi bure. Haya basi nawarai mrudi kwa mungu wa Israel muache kuabudu sanafu kupitia dini gushi iitwayo uislamu

    • @eiddykenga5816
      @eiddykenga5816 6 месяцев назад

      Tafuteni dini ya haki wala sio ukiristo wa paulo..tafuta dini ya yesu ilikua gani

  • @user-so8uh8bt5t
    @user-so8uh8bt5t 5 месяцев назад

    Kusikia mtasikia lakini hamtaelewa macho mnayo laki humuoni

  • @peninahndunge1769
    @peninahndunge1769 5 месяцев назад

    Wana akiri nyingi sababu ni wateule wa MUNGU

  • @jacobmahona187
    @jacobmahona187 9 месяцев назад +1

    Tunajuwa Sana kwamba wayahudi sio wakristo Ila hivyohivyo walivyo watabaki Taifa la Mungu NI historian ndefu siwezi elezea hapa bado wanaheshiwa na wakristo Kama Taifa la Mungu

    • @SabaMandalasi-hf9un
      @SabaMandalasi-hf9un 9 месяцев назад

      Soma vitabu acha kukalili

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 9 месяцев назад

      Funguka channel yako utufundishe mkuu

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 9 месяцев назад +1

      ​@@SabaMandalasi-hf9un ufalme wa Israel umeondolewa Kwa muda, wakapewa walomfuata YESU KRISTO alezaliwa Jerusalem na mwanamke wa kiyahudi. Ndo maana wakristo hawata ilaani Israel 🇮🇱. Ipo siku ufalme wao utaludishwa ili kuhukumu mataifa mengine na dini zao.

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 9 месяцев назад

      ​@@martinisadru9899acha uongo anaehukum ni mungu anaeombwa ni mungu hakuna binadam yeyote mpata kifo atakae muhukum mwenzie zaid ya muumba wake

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 9 месяцев назад

      @@magorymara5515 soma bibilia Daniel 7:22, hapo walio kabiziwa jukimu la ku hukumu ni wanadamu walio watakatifu, wata wahukumu wanadamu waovu.

  • @ngessisseya9760
    @ngessisseya9760 5 месяцев назад

    HARAN SIO MECCA SAUDI ARABIA ,HARANI KWA SASA IPO KUSINI MWA UTURUKI KANDO YA MTO EUPHRATES, IBRAHIM HAJAWAHI KUKANYAGA SAUD ARABIA, HISTORY UNAIPOTOSHA

  • @AlfaSejegwa
    @AlfaSejegwa 2 месяца назад

    Jamaa uliaza vizuri sehem umechemka umesema yoshua alisimamisha juwa kuwa ilikuwa ijumaa ili jumamosi isifike kwakuwa wayahudi sabato hawafanyi kazi tena unauliza watu gani walingia gafla unasema waisilam.

  • @Tito-dc6vy
    @Tito-dc6vy 9 месяцев назад +1

    Mwenzio.ckuelewi.shekh.maana.unachanganya.mambo

  • @user-kb7bk3sq6v
    @user-kb7bk3sq6v 2 месяца назад

    Makafiri njo hawamukubali dr sule

  • @martinnkuba6683
    @martinnkuba6683 8 месяцев назад +1

    Hovyo kabisa hamjatoa tamko lolote la vijana wetu wa kitanzania walio uawa na hamas, au kwa sababu ni wakristo

  • @MTUWAMUNGU3-7-15
    @MTUWAMUNGU3-7-15 8 месяцев назад

    Safiiii sana shekhe

  • @gjlisa
    @gjlisa 9 месяцев назад +2

    Nilitamani sana kusikia habari ya uzao wa Ishmael na uzao wa Isaac hapo ndipo msingi wa nani ni nani na nani anapashwa kukaa wapi ma kizazi chake ulipo. Na sio kusikia habari za kizazi cha Essau na Yakobo ambao wao ni damu Isaac.

    • @gjlisa
      @gjlisa 9 месяцев назад

      Damu moja. Wana wa Isaac

  • @pendosamwel1682
    @pendosamwel1682 6 месяцев назад

    Usitafute urafiki kwa Wakristo. mungu wa Korani ndie asiyejulikana ila mnamtetea kwa jasho la ktosha

  • @tumainijumanne2126
    @tumainijumanne2126 7 месяцев назад +1

    Mwl ww ni mzuri ila ni mwalimu wa vipofu na kwasbabu hiyo unao taka wakuwelewe hatakuwele milele,ogopa uongu,
    Nipe haya ni Muyaudi gani amini kiyana ya wafu.
    Pili nipe haya inayosema Musa alituma vijana ishilini na mbili 22?:
    Pole Yako.

  • @theprinceaaron2553
    @theprinceaaron2553 4 месяца назад

    Unaposema Maarabu, mayahudi..... Hii ni lugha chafu iliotumika na waarabu kutukana Wayahudi.....

  • @user-cv5ip1es9e
    @user-cv5ip1es9e 4 месяца назад

    Mashaallh Mungu akueke na Mtume pepon

  • @user-tu1yi8fg7l
    @user-tu1yi8fg7l 5 месяцев назад +1

    ❤Asante n8mejifunza haswa

  • @user-ki6mk5xx5g
    @user-ki6mk5xx5g 5 месяцев назад

    Mwanaume anatafuta jina (keep up)

  • @babuuosama8752
    @babuuosama8752 9 месяцев назад +1

    Ukweli Mchungu nyie msiyo kuwa na kitabu bali muna vitabu vinawababaishia kufahamu lipi la ukweli sababu ni mkusanyiko wa vitabu Porojo Uwongo mwingi wa wandishe na mafarisayo.

  • @muhindoabubaker7989
    @muhindoabubaker7989 5 месяцев назад

    Ndio hivo bro

  • @saltariusnkwera4268
    @saltariusnkwera4268 8 месяцев назад

    Ukweli wa biblia utabaki palepale Palestina ni mwiba kwa Israel uadui wa watu hao aliweka MUNGU mwenyewe na aliandaa kipatanisho ambaye ni Yesu Kristo kwa hiyo waisraeli na wapalestina wasipo kubali kufanywa wana wa MUNGU kwa kumwamini Yesu vita zitaendelea kurudia rudia mpaka mwisho wa dunia.

  • @mnyiweudzungwa
    @mnyiweudzungwa 9 месяцев назад +1

    Dr Sule ni Muongo sana. Anaitumia Historia ya kwenye Bibilia bila kuijua Biblia Yenyewe. Aje tumfundishe.

    • @user-tf7sp4qe6t
      @user-tf7sp4qe6t 8 месяцев назад +1

      Wameambiwa wawaulize watu wa kitabu Wakristo. Waislamu msione aibu.hii kuchanganya changanya Biblia na vitabu vingine vingine hamueleweki

    • @abuiabui8143
      @abuiabui8143 5 месяцев назад

      Naww thibitixha kwa bble yako

    • @Habibi7-dz1fk
      @Habibi7-dz1fk 4 месяца назад

      Mna vichwa vigumu saanakulewaa

  • @antonykongondo592
    @antonykongondo592 9 месяцев назад

    Matho juu

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah7892 9 месяцев назад +1

    Crip zako za kwanza umeongea vzr kuhusu Yesu saiv umeanza kukoroga wala husomi nyakati kuwa uisilamu unakwisha unajimaliza wenyewe kabla kiama wala hakuna vita ya 3 ya dunia.

  • @user-ct6fy9tp3k
    @user-ct6fy9tp3k 9 месяцев назад

    Manshalla

  • @cleophaxgeremy2148
    @cleophaxgeremy2148 7 месяцев назад +1

    Na ukae ukijua Yoshua hakuwa na dini sheikh,,so usiseme eti Yoshua alikuwa Muislamu😂😂,naomba tupatane na ww tupelekane ana kwa ana na iwe oress confress ju ya history ya Palestine na Wayahudi,,,na usisahu asilimia kubwa ya hadithi yooooote umeiba kwa Bible..

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 9 месяцев назад +1

    Mimi ni mkristu huyu shehe amesoma ni mkweli anayo sema ni kweli wala msiponde. Yupo sahihi

    • @cosmasmwaitete5004
      @cosmasmwaitete5004 9 месяцев назад +1

      Hamia kwao Kama Unaona ni mkweli
      Nenda mkaabudu majini na wenzako na ukawe mganga wa kienyeji, jitambue wewe unayejiita Mkristo fake

    • @sadrimunisi1268
      @sadrimunisi1268 9 месяцев назад

      Mbona unazungumzia kwa ubaya dini ya mwenyezimungu nenda taratibu bwana cosmas

    • @cosmasmwaitete5004
      @cosmasmwaitete5004 9 месяцев назад

      Mmmmmm Tisa iskariote , Kama Vipi mfuate huko

    • @sadrimunisi1268
      @sadrimunisi1268 9 месяцев назад

      Shida yetu sisi wa africa atusomi atutaki kujua lolote tulivokaririshwa ww ni mkristo ndivyo hivyo hivyo utaki kusikia upande wa pili embubjarbu kufwatilia dini inayokuwa kwa kasi ulimwenguni ni dini gani?
      Jaribu kusoma vzuri usitumie hisia kufanya jambo tumia akili ikuongoze.

  • @godyphilemon3053
    @godyphilemon3053 7 месяцев назад

    Wayahud wanaomkataa Yesu cyo wote wengne wanamkubal kuwa ni mwokozi wa ulimwengu,ila pia ktk historia yako nimekubali kuwa baadh ya maneno umeyatoa kwenye BIBLIA

  • @brightonmbilinyi1397
    @brightonmbilinyi1397 5 месяцев назад

    Sule yeah analudi jiandae kumulaki

  • @pendosamwel1682
    @pendosamwel1682 6 месяцев назад

    Acha kudanganya watu. Joshua na Daudi hawajawahi kuwa Waislamu na kwa sababu ya uongo wenu, mtapigwa hadi mtanyooka.

  • @judychepkirui5313
    @judychepkirui5313 4 месяца назад

    Nimechanganyikiwa

  • @joramsengi9123
    @joramsengi9123 9 месяцев назад +4

    Mbona anafundisha biblia na hasemi . 😂😂 ila Sure

    • @geofreymaghali183
      @geofreymaghali183 6 месяцев назад +1

      Hapo sasa😂😂. Tena sehemu zingine anapotosha

    • @DuliBrillant-mr8er
      @DuliBrillant-mr8er 2 месяца назад

      Hivi kwan hii biblia kateremshiwa nabii gan? Achen kupngana na msiokua na elim nayo kwa kudanganywa na wakubwa wa kanisa

    • @joramsengi9123
      @joramsengi9123 2 месяца назад

      ​​@@DuliBrillant-mr8er Sisi hatuamini kwamba Biblia iliteremshwa . Tunaamini Biblia imeandikwa na watu kwa mafunuo ya Mungu na kuongozwa na Roho Mtakatifu.
      Ni nyie tu ndo mnaamini vitabu vimeshuswa 😅😅 usitulazimishe

  • @user-tg1pc1yb3q
    @user-tg1pc1yb3q 8 месяцев назад +1

    Kwa mtu asiyejua maandiko lazima adanganywe na watu kama hawa

  • @joshuasaningo9866
    @joshuasaningo9866 4 месяца назад

    Mmeshaanza

  • @clementkivegalo2604
    @clementkivegalo2604 9 месяцев назад +4

    Wenye vichwa vizuri na wanaotenga muda wa kusoma vitabu vitakatifu wanajua MCHELE na PUMBA.

    • @Habibi7-dz1fk
      @Habibi7-dz1fk 4 месяца назад

      Tatizo lenu makafiri vichwa vyenu vigumu saana kuelewa

    • @user-lq6kr2gl7n
      @user-lq6kr2gl7n 4 дня назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 6 месяцев назад

    Suala la mpira hapo umedanganya,wanaomiliki vilabu vya Moira vikubwa ni waarabu.

  • @raykyando7571
    @raykyando7571 10 месяцев назад +2

    Halafu hao ni WAYAHUDI sio mayahadi kuweni na adabu kidogo na hawa hawajawahi kuwa waislamu hata siku moja, walipokwenda utumwani babeli ( iraq) walijaribu kutumikia miungu ya kule, Mungu aliwaadhibu kwa kutumikia miungu migeni wewe unasemaje hawa wanakuwa waislamu

    • @josephevaristi8923
      @josephevaristi8923 10 месяцев назад +1

      Wananikeraga Hawa mazoba kudharau wengne wakat dini yao ya mchongo eti mayahudi,,,kinachoendelea Gaza ndo wanachostahili

    • @YUSCOTV-pl4eo
      @YUSCOTV-pl4eo 9 месяцев назад

      Tulia ww ungesimulia ww km unajua

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 9 месяцев назад

      Wale sio wakristo Wala waislamu Wala wayahidi,wale ni wa mchongo kazi ya mmagaribi hakuna myahudi aliyesababisha vita wayahidi wameshika vyema AMRI kumi za MUNGU kwa nidhamu kubwa

  • @KennedyOwiti-im3lj
    @KennedyOwiti-im3lj 8 месяцев назад

    Iinamaana waislamu wakiunganika lengo NI kufuta mayahudi usoni pa nchi! Dah Hilo kauli siyo sawa

    • @yusrahb4461
      @yusrahb4461 7 месяцев назад

      ruclips.net/user/shortssUJrXNCfUrk?si=TnODsAZ0Exualw3B

  • @mohamedmsama4833
    @mohamedmsama4833 7 месяцев назад

    Marhyo 23, 24 inasema yata tokea makirito ya uongo yatawadanganya weengi tulifanya miujiza kwa jina lako

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 9 месяцев назад

    Kweli waislamu niwaigizaji waongo wakufamtu

    • @tahirnephessalum3678
      @tahirnephessalum3678 8 месяцев назад

      waongo ni nyie mlimchukua muigizaji bryan deacon mkamuita yesuz kisha mkadai yesu ni Mungu mpaka leo mnatumia picha ya muigizaji mkidai ndiye Mungu yaan nyinyi ni mbumbubu ila hamjitambui tu

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 8 месяцев назад

      @@tahirnephessalum3678 mbona mtume wenu alimsilimisha shetani pamoja na majini hahaaa kwasasa shetani ni mwislamu

  • @diversetv74
    @diversetv74 9 месяцев назад +1

    Kama unajua ivo kwamba wayahudi walio wachache wanaiongiza dunia kwann unawachokoza kama sio kupigwa ad upagawe?