The Story Book : Yesu Alipotelea Wapi Miaka 18 Ambayo Maandiko Hayamuongelei?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • The Story Book : Yesu Alipotelea Wapi Miaka 18 Ambayo Maandiko Hayamuongelei?
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 1,5 тыс.

  • @martinhit400
    @martinhit400 Год назад +1117

    Kama unaamini mungu Yupo basi nipeni like 🙏

    • @officiallcoolest_khid3223
      @officiallcoolest_khid3223 Год назад +19

      afu utazila au

    • @alphabusara8710
      @alphabusara8710 Год назад +11

      We likes zinakusaidia nn mzee😂😂

    • @alphabusara8710
      @alphabusara8710 Год назад +7

      Ushamba huo bobuuu

    • @jumaabas6837
      @jumaabas6837 Год назад +4

      Zinakusaidia nn

    • @mastaplan
      @mastaplan Год назад +7

      Acha kuwapa watu zambi je unataka kuniambia hizo like zako na views ni sawa???? Acha kutupa zambi za namna hiyo....Futa hii comment hakika utaulizwa ulikuwa na maana gani KUANDIKA MANENO HAYO?

  • @sporthighlights9563
    @sporthighlights9563 Год назад +181

    Uishi Sana brother Jamal uendelee kutupa maarifa God bless you 🙏 tujuane tunayemwombea miaka mingi brother jamar miaka mingi kwa like hapa.

    • @lostjournals9859
      @lostjournals9859 Год назад +2

      Sasa like za nn..!?
      Tujuane kwann..!?

    • @sporthighlights9563
      @sporthighlights9563 Год назад +1

      Tujuane tunayemkubal professor

    • @DavieArmsty
      @DavieArmsty Месяц назад

      ℌ𝔞𝔨𝔲𝔫𝔞 𝔪𝔞𝔞𝔞𝔯𝔦𝔣𝔞 𝔥𝔞𝔭𝔬 𝔦𝔳𝔶𝔬 𝔥𝔱𝔞 𝔫𝔶𝔦𝔢 𝔪𝔫𝔞𝔧𝔲𝔞 𝔪𝔴𝔦𝔰𝔥𝔬 𝔴𝔞 𝔡𝔲𝔫𝔦𝔞 𝔶𝔢𝔰𝔲 𝔫𝔡𝔦𝔢 𝔞𝔱𝔞𝔪𝔞𝔩𝔦𝔷𝔞 𝔨𝔴𝔞 𝔨𝔲𝔯𝔢𝔧𝔢𝔞 𝔨𝔴𝔞𝔨𝔢 𝔪𝔢𝔞𝔫𝔦𝔫𝔤 𝔥𝔢'𝔰 𝔞 𝔰𝔲𝔭𝔢𝔯𝔫𝔞𝔱𝔲𝔯𝔞𝔩 𝔟𝔢𝔦𝔫𝔤 𝔨𝔴𝔞𝔫𝔦 𝔥𝔞𝔡𝔦 𝔶𝔢𝔶𝔢 𝔞𝔰𝔬𝔪𝔢 𝔫𝔢𝔫𝔬 𝔞𝔲 𝔶𝔢𝔶𝔢 𝔫𝔡𝔦𝔬 𝔞𝔣𝔲𝔫𝔷𝔢 𝔥𝔢𝔢𝔢𝔢𝔢𝔯 𝔪𝔨𝔬 𝔤𝔯𝔢𝔢𝔢𝔫 😢😢😢😢

  • @FestoLucas-lv9ig
    @FestoLucas-lv9ig Месяц назад +6

    Yesu miaka 18 alikuwa ana pewa mafundisho na alifanyiwa majaribia mengi ambayo wewe nami atuyawezi atunaaja yakuyajua ila jua yesu alishinda naalikuwa teyari kukuokoa sisi kiroho na akawa teyari kubeba dhambi yawe nami jambo ambalo sisi limetushinda kama unaungana nami like comment yesu ndio mshindi naanapaswa kuabdiwa kama mungu alivyo mwamin amina

    • @kdloon2030
      @kdloon2030 20 дней назад

      Yesu sio mungu na hafai kuabudiwa,anae faa kuabudiwa pekee ni Mungu muumba wa mbingu na ardhi!Kipindi Yesu yupo tumboni mwa mamaake,nani alie abudiwa?

  • @eddy_dejongeddie1431
    @eddy_dejongeddie1431 Год назад +125

    Kama unaamini Mungu yupo nipe like na weka neno Ameni🙏🙏

  • @sifamugwaneza8774
    @sifamugwaneza8774 Год назад +74

    Amen Amen Amen nina imani kua Mungu yupo nakilasiku namuona kupitia matendo na makuu yake 🙏🙏kama unaamini kama mimi like hap jmn

  • @bensonbarnaba1431
    @bensonbarnaba1431 Год назад +95

    KAMA UNAAMINI YESU NI MWANA WA MUNGU SIO BINADAMU , Gonga like👍

  • @issamakau5841
    @issamakau5841 Год назад +97

    Hata ikiwa ni ukweli Yesu aliwahi kusafiri nchi hizo ila sio kwa ajili ya kutafuta elimu sababu tayari alikuwa mwenye upeo wa juu aliojaaliwa na Mungu hata alipokuwa mchanga alipomtetea Mama yake kwenye shutma za uzinzi...Mungu ndiye aliye mkhiari na kumpa elimu hiyo angali mtoto na hivyo kwenye usafiri aloufanya,Mungu alikuwa yuathibitisha ubinadamu wake na na si eti alikuwa yuaitafuta elimu...Naomba upafanyie research zaidi hapo ili usijejipata ukipotosha wengi kwa kupitia vitabu vya watu wasomjua Mungu na kuwafanya kama mashahidi wa Historia ya Yesu... Shukran kwa research Ila usiegemee sana vitabu walivyoandika watu unaposimulia visa vya Manabii

    • @yesuyuhaipectv9176
      @yesuyuhaipectv9176 Год назад +8

      Ninashukuru sana kwa ushauri uliotoa ( kwa hiyo anataka kusema Yesu alisomea kutembea juu ya maji.)

    • @sleeprelaxation8431
      @sleeprelaxation8431 Год назад +4

      hata sasa hivi tunaona wasomi wakubwa hapa duniani bado wanaitafuta elimu, unapo zani wajua ndipo unajikuta ujui, pia hakuna sehemu inayo sema alikua akitafuta elimu tu badi alikuwa akiwafundisha pia, umelewa?

    • @castorymagehema8429
      @castorymagehema8429 Год назад +2

      Nimependa ulicho andika

    • @Markhomestz
      @Markhomestz Год назад +5

      Ukimsikiliza vizuri
      Kwanza hajabase na nadharia yoyote
      Pili hajasema alikuwa anajifunza bali alikuwa anawachallenge na kila alipo pita wanashangazwa na upeo wake

    • @jacksonsimbibalegana7758
      @jacksonsimbibalegana7758 Год назад

      @@sleeprelaxation8431 😀

  • @Bondea-zj2yf
    @Bondea-zj2yf 8 месяцев назад +3

    1. Kwani ninyi hajui kwamba Yesu alikua mwana pekee wa Mungu?
    2. Kwani ninyi hajui kwamba Mambo Yote Yesu alifundisha alitowa kwa Baba Yake Mungu alie juu zaidi?
    3. Kwani ninyi hajui kwamba Yesu alikuako kabla ya ABRAHAM na aliishi Mbinguni?
    4. Kwani ninyi hajui kwamba Biblia ni Neno au barua kutoka kwa Mungu wa muingu , Yehova.
    Basi msikengeushwe na watu wasio chukua mda na kuisoma Biblia na kuitafakari.

  • @tranqyiltranqyil7822
    @tranqyiltranqyil7822 Год назад +8

    Eee Mungu wangu uliye hai,E Yesu kristo ee Roho mtakatifu ikikupendeza funua neema yako anaesoma na ataesoma ushuhuda wangu akujue na akupokee,Amen

  • @richardkonzo5717
    @richardkonzo5717 Год назад +13

    Ushauri wangu kwako Jamal! Achana na story za Yesu kwenye story book.
    Waachie Theologians, na wahubiri.zungumzia story zingine kabisa.

    • @dostovan5142
      @dostovan5142 Год назад

      Yes u are right, watu wengi ana wapotosha

    • @Ezammwakisambwe
      @Ezammwakisambwe Год назад +1

      Anahitaji ashuhudiwe Mana hajui kilicho Cha roho hakitafsiriki kilimwengu/kimwili fixion story

    • @AlkadoNkundwe-wb3of
      @AlkadoNkundwe-wb3of 6 месяцев назад

      Waoga wa kweli,, muovu huogopa kweli

    • @selemanmaganga-le4zg
      @selemanmaganga-le4zg Месяц назад

      Kwanini unaogopa changamoto? Hata yeye ajataka kwenda deep kwakukataa mambo kama haya usemayo wewe, Ila soma saana ufunuliwe.

    • @IsackIsacksamson
      @IsackIsacksamson 27 дней назад

      Wala theologia hawana majibu halisi kumzungumzia Yesu kristo Yesu ni spiritual all of us no one will understand him except who he believe spiritually Yesu hamilikiwi na wanatheologia ni wa kila mtu atakaye amin kuwa Yeye ni Bwana

  • @josephatsebastian6910
    @josephatsebastian6910 Год назад +64

    Wajumbe leo na mm nimewah nipen like zangu wajumbe

  • @T.B.JOSHUALEGACYLIVESON30yrs
    @T.B.JOSHUALEGACYLIVESON30yrs Год назад +32

    Nachoamini YESU NI MWANA WA MUNGU❤️😍

    • @Baharia92
      @Baharia92 Год назад

      Wewe umesema yeye muhusika anasema ni mwana wa adamu

    • @philipojohn191
      @philipojohn191 Год назад

      😍😍

    • @violetsangamysongs1815
      @violetsangamysongs1815 Год назад

      Yesu ni mwana wa Mungu aliyejuu

    • @flova7022
      @flova7022 Год назад

      @@Baharia92 wewe unaamini nini... mbili Jamal ni jina la kikristu au kiislam. ...povu ruksa

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Год назад

      @@flova7022 jamal ni jina lenye asili ya kiarabu,Kuna majina yenye asili ya kiarabu lakini wenyewe siyo waislam ukitaka kujua hili labda fuatilia nchi za mashariki ya kati mfano Lebanon,Siria,Palestina na Iraq.Kuhusu hilo la Issa(yesu)kuwa mtoto wa Mungu ni suala la imani ya kikristo ambalo siwezi kuliingilia.Kwa sababu naheshimu imani ya wengine,Kwa sisi Waislam tunaamini vingine kuhusu yesu na Kwa upande wa wakristo pia wanaamini vyengine kuhusu yesu(Issah)mlengwa ni mmoja huyo.Kwa waislam pia Tunamuamini yesu(Issah) kama nabii wake na ni moja ya nguzo ya imani ya kwenye uislam,zipo sita mojawapo ni hiyo kuamini mitume na manabii wake,Ukisema mimi yesu(issah)simtak lakini Mussa(moses) ama wengine nawataka automatical utakua umetoka kwenye uislam.Hatubishani ni kupeana tu ama kufahamishana.Mwisho sisi ni watanzania kumkashifu mtu kwa imani yake siyo miongoni mwa jadi ama asili yetu,muasisi wa taifa letu Nyerere alitujenga tuishi kwa umoja mpagani mkristo,muislam na wengine ndiyo maana tumeishi kwa amani mpaka leo.Sema kuna baadhi tu wapo kwenye kuhatarisha amani kama tuonavyo nchi nyengine za wenzetu.🙏🙏🙏🙏

  • @mamuoman7849
    @mamuoman7849 Год назад +90

    Kama unaamini Yesu ni nabii toa like tujuane waumini wa kweli👍

    • @danielmlwafu4380
      @danielmlwafu4380 Год назад +3

      Unabii unatoka kwake

    • @naweytagawa
      @naweytagawa Год назад +2

      Na'am masii Issa bin mariam

    • @sumayimahule2748
      @sumayimahule2748 Год назад +6

      Yesu mwana wa Mungu aliye hai

    • @mamuoman7849
      @mamuoman7849 Год назад +1

      @@sumayimahule2748 sisi waislam tunajua kama Yesu hayupo hai Alishapaa mbinguni long time... Uhai wake ni upi ndug wakat mnasema aliuliwa msalabani

    • @simeonmimuofjudahfirstmedia
      @simeonmimuofjudahfirstmedia Год назад

      He is not just a prophet ,,,but almasihi

  • @ahmetmwandu8499
    @ahmetmwandu8499 Год назад +74

    Hii kazi anayofanya prof. Jamal ni ngumu sana, just imagine kila wiki inabidi afanye research juu ya story flani mpya, then katika hiyo story anachimba sana. Hata wahadhiri wa vyuo vikuu kazi zao sio ngumu kama hii maana wao hurudia topics zilezile zilizofundishwa mwaka uliopita. Hakika huyu jamaa anahitaji pongezi sana👏

    • @saidissa4741
      @saidissa4741 Год назад +2

      Saaaaaaana

    • @valentinekigahe9707
      @valentinekigahe9707 Год назад +2

      Alishakusanya material na kwenda kupeleka kwenye TV it means hadithi zote anakuwa nazo kinachobaki ni kutoa tu

    • @Jitu_Lisilofikirika.
      @Jitu_Lisilofikirika. Год назад +2

      @@valentinekigahe9707 ila si tayari umesema alikusanya.? So bado amefanya kazi kubwa, bila kujali ni lini amefanya.

    • @Officialpiejotv
      @Officialpiejotv Год назад +1

      Hakika😍

    • @Officialpiejotv
      @Officialpiejotv Год назад +1

      @valentine kigahe sio kweli bhana, hawezi Sanya kila kitu. Me ntakataa katukatu.

  • @shedrackdamian2870
    @shedrackdamian2870 Год назад +32

    Wampenda kristo like💋💋

  • @thevoiceofdeliverance6061
    @thevoiceofdeliverance6061 Год назад +21

    Yesu alizaliwa kwa uweza wa Roho mtakatifu aliongozwa na Roho mtakatifu alifundishwa kila kitu na Roho mtakatifu na mwisho wa yote Yeye Ni Mungu ambae alijuwa MAMBO yote ndiyo maana katika umri mdogo miaka kumi na miwili aliwashangaza viongozi wa Dini waandishi na wanazuoni kwa akiri kubwa alikyokuwa nayo.

    • @kilalasalu361
      @kilalasalu361 Год назад +3

      Nadhani bado upo gizani

    • @msangiramadhan1911
      @msangiramadhan1911 Год назад +2

      Kwaiyo mungu alikuwa anafundishwa

    • @mastaplan
      @mastaplan Год назад +2

      Hiyo miaka mingine alikuwa wapi? Ila Issa ni mtu poa sana

    • @naahnicky4682
      @naahnicky4682 Год назад +1

      @@kilalasalu361 ww ndo upo gizan

    • @dostovan5142
      @dostovan5142 Год назад

      @@kilalasalu361 wewe na Jamal wenu ndo mpo gizani

  • @allydavy6919
    @allydavy6919 Год назад +109

    Kutoka Burundi but naishi Nairobi nampenda huu jama kupitiliza mnipee like plz

  • @amourworldbeats
    @amourworldbeats Год назад +13

    Hakika mimi Naamini Mungu Yupo Na Ni Mmoja Hana Mshirika Wake,Hakuzaa Wala Hakuzaliwa Na Wala Hana Mfano Wake Na Ndo Maana Tunamuabudu Kwa Sababu Anasifa Za Kipekee Zisizofanana Na Kitu Kingine chochote.

  • @nigananurunjema
    @nigananurunjema Год назад +30

    Narudia Yesu siyo Isa na wala hakuwa muislamu. Msimuingize Yesu Kristo kwenye dini zinazokubali kuwa majini ni rafiki zake.
    Yesu hakuwa na urafiki na majini. Mnapenda sana kuingiza Imani ya kistaarabu ya Kikristo na taratibu zenu jlimradi tu muweze kujifanya mko sawa lakini kwaujumla na uhalisia kila kitu kijulikane YESU KRISTO atabaki kuwa Mwana wa Mungu.

    • @boscomwanisongole9173
      @boscomwanisongole9173 Год назад

      🤣🤣

    • @barakashaban9698
      @barakashaban9698 Год назад

      Toa ushahidi ww kuwa alikuwa mkristo

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +4

      YESU SIO MUNGU NA MAPEPO NA MJINI TUNAYAONA.MAKANISANI 2 MISKITINI HAKUNA UJINGA HUO FALA WEWE TAFUTA MUME AKUOWE KANISANI DINI YAKO INAKURUHUSU.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +2

      @@barakashaban9698 ANATAKA KUOLEWA HUYO.

    • @barakashaban9698
      @barakashaban9698 Год назад

      @@salimmalaka256 kweli kabisa nakubali

  • @ShaskaMakota
    @ShaskaMakota Год назад +5

    Yesu.
    Mwana wa daudi.
    Mfalme wa wayahudi.
    Aliyewakomboa watu wake na dhambi zao.
    Ni neno aliyeshuka akakaa kwetu.

  • @epmzmusifiwar6694
    @epmzmusifiwar6694 Год назад +21

    BWANA YESU CHRISTO WA NAZARETH ALIYE HAI APEW SIFAA TENA Yeye Ni Bwana Mpaka Usio Kuwa Nakipimo🥰🥰🔥🔥

  • @naimabdul1231
    @naimabdul1231 7 месяцев назад +1

    Huyu jamaa unaweza ukasema hakunaga...ni wachache sana wenye kipaji kama hiki mfano wakr kama othman maalim vile anakuhadithia kitu mpaka unaijengea picha ile story anakuhadithia, may allah bless and protect you Jamal we proud for you brother...❤

  • @petermaroaofficial
    @petermaroaofficial Год назад +17

    Yesu ndiye njia kweli na uzima wa milele hakuna mwingine tena

  • @philipoloo9780
    @philipoloo9780 Год назад +9

    Mungu yupo ndiyo yesu mwana wamungu

  • @bernadvincent6608
    @bernadvincent6608 Год назад +15

    Kaka yangu Jamal wee ndo king wa the story, ila plz keep it up, coz nilikuwa nakunywa pombe, kuona story hii hata bila kuisha kiu ya pombe yote imekata Kisha ninekaa kuangalia the story book yako but iyo story ya yesu kwenda India😂 nilicheka,na izo nchi zingine za uwongo but niko kawaida2 nakunywa zangu Pepsi not (jokes) sio tena pombe kama before but, God is Great for all peoples in the World, Bro ur the Best 🙏🏽🌍. 100% Mungu yupo pia ndo King Wetu.

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 Год назад +12

    Hii inanifanya niamini kwa kazi za watu wenye kipaji Cha kuonyesha makubwa kwa vitendo zaidi bila kuangalia vyeti wala historia. Kweli hii Ni kazi ya Professor

  • @thevoiceofdeliverance6061
    @thevoiceofdeliverance6061 Год назад +8

    Yesu hakuwahi kusoma dini yoyote na mbaya zaidi wabudha Ni Imani potofu ya mashetani .
    Lakini Yesu siyo Isa Bari kwa lugha ya kiyahudi Ni Yeshua yaani Mungu mwenye kuokoa jina Isa linatumiwa na wapinga Imani na kupotosha ukristo.

    • @feisaldasilvajr311
      @feisaldasilvajr311 Год назад +1

      Atakuwaje mungu ambaye amesurubiwa na wanadamu wake?

    • @barakashaban9698
      @barakashaban9698 Год назад

      @@feisaldasilvajr311 👍👍 Good question

    • @dostovan5142
      @dostovan5142 Год назад

      @@feisaldasilvajr311hivi vitu kama huvielewi sasa utaelewa baadae

    • @alfredkayabu3210
      @alfredkayabu3210 3 месяца назад

      Yeshua ni mwana wa #Haruni toka ukoo wa #ibrahim baba wa imani. Na yesu ni mwana wa mungu kiimani aliyezaliwa kwa uwezo wa roho mtaka hai(mtakatifu). Yesu sio mungu bali anaonekana katika utatu mtaka hai(mtakatifu). Yesu pia alitukana wanadamu kwa majuto wa namna alivyojitoa kwajili yetu na bado tukawa tunawaza mabaya ""baba naomba kikombe hiki kiniepuke" imeandikwa bibliani. Budha sio imani ya kishetani bali ni watu wanaomba kwa uzingativu na ukimya kama anavyosema muumba kuwa ""muombe kwa utulivu na uzingativu pasi kelele" wao hufuata hivyo. Mungu hakuumba dini na wala dini haikupeleki peponi bali kukufanya kuwa na utaratibu wa kuwa karibu na muumbaji wako kwa kuongozwa na dini kutenda yampendezayo. Na kwa haki. Asante

  • @kinasaba
    @kinasaba 4 месяца назад

    Prof. Jamal, your research and reporting type is great than many others. Katika Tanzania upo juu kabisa. Unajua kuwianisha mambo mbalimbali hata ya kidini ambayo ni very sensitive. Your, research questions, are perfect than ever. All the BEST

  • @osodojunior3436
    @osodojunior3436 Год назад +110

    I really love this Man like nothing else 💝💝

  • @bernadvincent6608
    @bernadvincent6608 Год назад +22

    God is the King 👑🙏🏽😇.
    Wish u Good Morning from Dubai 5:32 am👑.

  • @gospelman3720
    @gospelman3720 Год назад +14

    "Waeseni walikaa jangwani ili kujitakasa wakimsubiri Masihi, na mmoja wa wanafunzi wa Waeseni ni Yohana Mbatizaji". Father Ricardo Maria (2014).

  • @yhwh353
    @yhwh353 Год назад +2

    Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.
    Isaya 9:6
    Kama mfalme Suleiman hakusoma chuo chochote na alikuwa na hekima kuliko watu wote Sasa Yesu Kristo ✝️ Ana hekima kuliko mtu yoyote aliwahi kuishi duniani kuwepo

  • @meshackmlaki2066
    @meshackmlaki2066 Год назад +11

    Yesu Mambo aliyoyafanya ni mengi San yasingeweza kuandikwa yote. Ata kama mbigu ingekuwa kratasi, miti iwe kalamu bahari iwe wino hakika wino ungekwisha

  • @OmegaNelson-ho1no
    @OmegaNelson-ho1no Год назад +1

    move hizi n nzuri sanaaaaa zinafundisha zaidi katika njia ya imani endeleeni kuzirusha ili tujengwe kiroho kupitia move hizi za Yesu mwana wa Mungu

  • @michelinebosibori4027
    @michelinebosibori4027 Год назад +74

    God bless you Jamal 🙏 you are the best stories teller 🥰🤝

  • @Hussein-ol4wn
    @Hussein-ol4wn Год назад +4

    Itikadi yetu Waislamu kuhusu Yesu ni kuwa hajawahi kufa wala hakufufuka na wala hajawahi kusulubiwa
    Wala Yesu sio mtoto wa Mungu. Bali Ni Nabii wa Mungu aliyeletwa kupitia uzao wa Maryam(Maria) bila ya Baba
    Kilichotokea ni kuwa wakati Watu walipotaka kumuua Mwenyezi Mungu alimpaisha mbinguni(na ndipo alipo hadi sasa).
    Baada ya kupaishwa Mungu akampa sura ya Yesu mmoja kati ya wale watu na ndie waliemsulubu na akafa

    • @janaleokesho8374
      @janaleokesho8374 Год назад

      Yesu wa waislamu na wa wakristu ni tofauti kuanzia kuzaliwa na pia malezi.

    • @Hussein-ol4wn
      @Hussein-ol4wn Год назад

      @@janaleokesho8374 Yeah
      Hata kiitikadi. Sisi tunamuamini Yesu Kama Ni Nabii wa Mungu, wakristo wanamuamini kivyengine

    • @philipojohn191
      @philipojohn191 Год назад

      😆😆😆😆😆

    • @dostovan5142
      @dostovan5142 Год назад

      wakristo Mohammed hatumjui kabisa

  • @siriyamwanamkemkakamavu
    @siriyamwanamkemkakamavu Год назад +29

    I don’t like Wasafi TV, but because of you, i am watching. Endelea kuleta story kama hizi. Stay blessed indeed 🙏🏾💕

    • @davidcurtis175
      @davidcurtis175 Год назад +1

      Ndio maana unaambiwa wasafi ni kama maji usipo yanywa utayaoga

    • @yangatv2264
      @yangatv2264 Год назад

      Hupendi mbona unafatilia sasa hayo ni maswal wazungu wanatuzungusha kma kichwa maji utajikuta unachuki moyoni kisa dini kumbuka tumeletewa ili tuibiwe africani amkaaa ww

  • @festosungura5251
    @festosungura5251 Год назад +8

    Ukweli ni kwamba yesu hakuwahi kwenda darasa lolote wala kufundishwa na mwalimu yoyote Yesu alikuja duniani neno analijua Tena, kwa muda mwingi ambao haukuzungumzwa Yesu alikuwa akifanya kazi ya useremala kazi aliokuwa akiifanya Mzee Joseph mume wa Maria mama yake na Yesu habari hizi hazikuandikwa ama hazikuzungumziwa kwa maana hazina muhimu sana katika ukombozi wetu wanadamu

    • @thekingdragon8358
      @thekingdragon8358 3 месяца назад

      kwani ukisema babake utapungukiwa nin hadi useme mume wa mamake

  • @Gerardirankunda2885
    @Gerardirankunda2885 Год назад +15

    Nilukua nimegukumbuka San aca nisikiliz mambo yako🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿

  • @icon_masanaa
    @icon_masanaa 3 дня назад

    Imeandikwa,Mungu akasema Yousouph mchukue Mkeo na Mwanao Mkimbilie Misti,Maana Herode anataka Amuangamize, Kwahyo Yesu Alikimbilia Africa

  • @S1rb0ny
    @S1rb0ny Год назад +6

    Hakuna amjuae Baba Wala hakuna amjuae Mwana isipokua yule tu ambae mwana amependa kumfunulia ujui chochote kuhusu Yesu.

  • @Habaritrending.tanzania
    @Habaritrending.tanzania Год назад +2

    Dunia iko na mambo mengi sana nyuma ya pazia ambayo binadamu wengi atuyajui ayo unayoyajua yanatosha ukitaka kujua kila kitu kuhusu dunia utachanganyikiwa na utapoteza imani.. we amini kuna mungu tu inatosha

    • @ymsumi1918
      @ymsumi1918 Год назад

      Mnafundshwa muamke mmepotezwa mnaanz kusema mnachanganyikiwa😂😂

  • @yurisongoro2895
    @yurisongoro2895 Год назад +32

    Kwa sababu nna amini technology ina dumu🥰 nampenda Allah

  • @danielpauljoho4949
    @danielpauljoho4949 7 месяцев назад +1

    Jamal April hujui ni roho gani uliyo nayo. Utasema mimi nipo kazini na bla bla zote lakini nakuhakikishia kama kuna kitu utakijutia kabla ya kuondoka hapa duniani ni kuupotosha ukweli kuhusu Kristo iwe kwa kujua au kwa kuto kujua. Naomba Mungu wa mbinguni kwakupitia kifo cha huyo Yesu unaejaribu kumfanya aonekane wakawaida kwa watu AKUREHEMU na huo upofu wa fikra ukutoke Kwa jina la Yesu.

  • @shadrickmwanjabala4681
    @shadrickmwanjabala4681 Год назад +9

    Nilitaka nishanga kweli bro ata kakufungia mwaka hautupi. Nimefurahi Sana shukrani 🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳

  • @JeremiahKazungu
    @JeremiahKazungu 6 месяцев назад +1

    Congratulations JAMAL una story yenye uzito mkubwa kweli mungu azidi kukuongeza ujuzi kaka nataman sana kuwa kama wew

  • @christonchristian7448
    @christonchristian7448 Год назад +6

    from Missouri U.S.A much lovee watz wenzangu

  • @benjaminjackson8567
    @benjaminjackson8567 Год назад +2

    Hapa Kuna kitu ndani yake maana kwa Mim Profesa mdogo Kuna kitu nakiona kwa mbali sana juu ya Yesu na kimefichwa lkn nashindwa hata kidogo kukielezea Ila Mungu mwenyewe anajua maana mwanadam naona anakwenda lkn Kuna sehemu anakwama yaan kama Kuna pazia hivi na siku ikiwa wazi tu basi Yesu karudi, lkn big up Jamal April, Professor 🙏🏿🙏🏿

  • @kennethjunior6071
    @kennethjunior6071 Год назад +6

    Once am with Jesus I will never die

  • @MarryMush-j8u
    @MarryMush-j8u Месяц назад

    i believe in jesus jamal thanks 4 give us a lot of story about jesus

  • @bashiryusuph7109
    @bashiryusuph7109 Год назад +15

    kazi nzuri Jamal, Yesu alikua Mtume wa Mungu na sio Mungu, kingine lazima muelewe kila mtu Mungu kampa atakavyo yeye, kusema Yesu alizunguka kutafuta elimu Sijambo la kubishana sababu Hata Mtume Mussa aliambiwa aende ktk makutano yabahari mbili atakutana na mtu mwenyeelimu zaidi yake, Lamsingi Mitume wote inatakiwa tuwakubali na kuwaheshimu, lamwisho Jamal hajatumia maneno yake yeye kafanya research ktk vitabu tofauti vya kale. kwaiyo kama unataka kujua zaidi nawewe unanafasi ya kwenda kusoma.

    • @raphaelonyango5690
      @raphaelonyango5690 Год назад +3

      Umenena vyema, lkn Ili ujue nafasi ya YESU katika uungu ni mpaka u some sana na kuuamini utatu mtakatifu. Nitakuacha na swali,
      Mwanzo 1:26
      [26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu;
      And God said, Let us make man in our image, after our likeness:
      Je hapa MUNGU BABA, aliposema "Tumfanye"..... " Wetu" Hapa tunaona nafsi zaidi ya moja, Je hawa wengine ni wakina nani?
      Katika kulitafuta jibu, utapata mwanga.

    • @jglaiser
      @jglaiser Год назад

      Kasimp tena

    • @yhwh353
      @yhwh353 Год назад +3

      Emmanuel God with us ✝️🕊️🔥 Yesu Ni Mungu take it or leave it.

    • @salsashmomy
      @salsashmomy Год назад

      @@yhwh353 astaghfirrllah

    • @yhwh353
      @yhwh353 Год назад

      @@salsashmomy When "ALLAH -- The all knowing" got the "TRINITY" wrong!!!
      And when Allāh will say, "O Jesus, Son of Mary, did you say to the people, 'Take me and my mother as deities besides Allāh?'" He will say, "Exalted are You! It was not for me to say that to which I have no right. If I had said it, You would have known it. You know what is within myself, and I do not know what is within Yourself. Indeed, it is You who is Knower of the unseen.
      - Saheeh International (5:116)
      --- Surah Al -Maidah :116

  • @mkuudaudi1880
    @mkuudaudi1880 Год назад +37

    First Kenyan here🇰🇪🇰🇪

  • @com5766
    @com5766 Год назад +9

    We jamaaa daah! Utakuwa unajua mambo mengi sana2 sema hutak kuharbu iman za watu respect sana brooh

  • @stephenmasawe1602
    @stephenmasawe1602 Год назад +2

    Ingefaa jamal mustafa kuwa mkristo kweli kweli maana siku ya mwisho hukumu yako itakuwa kubwa zaidi maana uliijua kweli ya Yesu kristo

  • @lostjournals9859
    @lostjournals9859 Год назад +4

    Leo nimependa content sababu mimi ni mkristo na naipenda sana dini yangu
    Na ninapoona muislamu kama jamal anapoongelea ukristo bila kukosoa bali kwa mema nafurah sana na ni kuonyesha kujal na kiheshimu iman ya mtu mwingne

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      ANA ZUNGUMZIA STORI YA ISA (JESUS) HATA QUR'ANI IMEMZUNGUMZIA PAMOJA NA MANABII WENGI WENGINE.

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 Год назад

      @@salimmalaka256 Quran haijamuandik hivo imemuandik tofauti

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад

      @@madetetv6576 QUR'ANI IMEMUANDIKA KAMA YEYE NI NABII NA HAJAFA M'UNGU KAMCHUKUWA YUKO MBINGUNI NA YUKO HAI NA ATARUDI TENA DUNIANI UNAPOSEMA QUR'ANI HAIJAMUANDIKA HIVYO UMEMAANISHA NINI?? ULITAKA IMU ANDIKE KAMA MTOTO WA MUNGU AU YEYE MUNGU??? YEYE NI NABII KAMA MANABII WENGINE 2.

    • @yhwh353
      @yhwh353 Год назад

      @@salimmalaka256 Qur'an imechanganya vitu apo ukisoma vizuri utajua Kuna vitu haviko sawa ndugu imechanganya kuhusu story ya Mariam Mama yake Yesu na story ya Mariam wa kipindi Cha Musa

    • @yhwh353
      @yhwh353 Год назад

      @@salimmalaka256 na pia Kuna kitu akikosawa katika Qur'an yaani Allah aliwadanganya wayahudi kwa kumfanya mtu Kama Yesu asisulubiwe na sio wayahudi, wayahudi na Mama yake Yesu Kristo wote wanajua Yesu amesulubiwa na si vinginevyo.

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq Год назад +1

    Eyesu uliyejifanya binadamu ukiwa sehemu ya nafsi tatu tunakuomba utende miujiza kama ilivyo kawaida yako ww ndiye ujuaye ukweli kuhusu hilo nakuomba katika jina lako takatifu jifunue kwangu japo ninadhambi ilikuondoa huu upotoshaji unaotendeka juu yako japo mm sina hofu na ww namini ww ni mungu tenda ilikuondoa huu unafiki amina

  • @dnx_Gr
    @dnx_Gr Год назад +4

    Mambo ya imani ukiyafutilia ni🤯🤯 ko yaacge kama yalivyo!! Be blessed bro🙏🏽🙏🏽

  • @gu-away5246
    @gu-away5246 Год назад +10

    Mukubwa 💙 vraiment 🤗
    Nakupa kumi juu ya kumi (10/10)
    Niko fan wako wakwanza kufata vidéo zako zote, Niko nafata elimu nisio ijuwa kwa kila atua 💪 👏🤝

  • @jumamfinanga6867
    @jumamfinanga6867 Год назад +8

    Mashaallahh pr jamaal allah akuzidishie elmu na umrireefu wenye manufaa💓

  • @yuathmtenzi2114
    @yuathmtenzi2114 Год назад +5

    Indeed you're a professor. Thanks jamar one day we gonna meet! InshaAllah.

  • @wambuamwinzi
    @wambuamwinzi Год назад +12

    Kenya twakupenda💗💟

  • @einsteinfromeastern2704
    @einsteinfromeastern2704 Год назад +8

    Apo nimesikia Yesu alitembea Sana Europe,America na Asia ila sijamsikia akikatiza Africa,Eeh mungu nimekosa Mimi mwenye mawazo finyu na mwenye shingo ngumu kugeuka,hivyo basi ningeomba maarifa zaidi kwa uzao wangu ulioniwekea tangu mwanzo,niliacha kupiga ramli na kutii mizimu nikafuata mafundisho yako yaliyonipa mwangaza na Amani.

  • @vema_tv
    @vema_tv Год назад +14

    My best role model n story teller, I appreciate your skills Brother

  • @SichaliJuan
    @SichaliJuan 2 месяца назад +2

    Glory to God 🙏🙏❤

  • @kennethjunior6071
    @kennethjunior6071 Год назад +4

    For God so Loved the world 🌍 that he gave us the only begotten son so that whomever believe in him should not perish but have Ever over lasting life

  • @DicksonMchapo
    @DicksonMchapo Месяц назад

    Erimu ya Yesu ni erimu ya kimungu mambo ya mungu ukitaka kuyachunguza yaitajika roh mtakatifu akushukie kweli kweli mungu achunguzwi ata kidogo yani

  • @hindujuma6524
    @hindujuma6524 Год назад +37

    Story ya Leo nzur 💋😘

  • @zacharykuria5789
    @zacharykuria5789 Год назад +10

    Iko sawa sana nipeeni hizo likes pls

  • @kelvinbernard5453
    @kelvinbernard5453 Год назад +16

    Jamal your the best teacher in world, God bless you

  • @kevinmakori7552
    @kevinmakori7552 Год назад +3

    This man Jamal April,Jamal Mustafa, Professor is something else mungu akupe neema my brother huzidi kutupa hizi hadithi.

  • @alexalute6712
    @alexalute6712 Год назад +23

    yohana 3; 31-36 yesu hakusoma chuo chochote duniani

    • @islachristabinastaravista8104
      @islachristabinastaravista8104 Год назад +1

      Miaka hyo chuo kitoke wap Elimu walikuwa wanapata kupitia kufanya kazi za kila cku kutokana na uhitaji wa maisha ndiyo unajifunza unadhani walivyosema Yusuph alikuwa fundi selemara Unahis huo ujuzi aliupata Chuo cha Veta jibu hapana ila aliujulia wap bas Kuna namna alijifunza ndiyo shule yenyewe hiyo Sasa sio mpka uende Chuo ndiyo ujifunze

    • @amirbalali6483
      @amirbalali6483 Год назад

      Vyuo vilikuepo... Soma kitabu cha danieli ndugu.

    • @barakadavidmakome6353
      @barakadavidmakome6353 Год назад +1

      Unajidanganya na hayo maandiko, bado hujafikiria vizuri.
      Shida wakristo tunazani kwakua Yesu ana uwezo mkuu hakuhitaji kujifunza wala kusikia lolote kutoka kwa yeyote.
      Ila kumbuka kua Yesu alikua ni mwanadam asilimia mia na uungu pia mia. Hivyo alikua mwanadam mdaisi, na tabia hii alioonesha tangu utotoni, na alikua ikipendelea elimu ya mambo ya kidini.
      Kwaio mim sishangai kusikia Yesu alisoma, tena alisoma mambo ya dini, hata ivyo ilikua ni ndoto yake kuwa mwalimu na mwenye wafuasi.

    • @ilhamswaleh3428
      @ilhamswaleh3428 Год назад

      @@barakadavidmakome6353 mungu asilimia mia na mwanadamu asilimia mia dah kuna sehemu binadam tumefeli ktk kufikiri 😮

    • @barakadavidmakome6353
      @barakadavidmakome6353 Год назад

      @@ilhamswaleh3428 sio swala la kufikiri ni maandiko ndugu!

  • @yakoboesenga5754
    @yakoboesenga5754 Год назад +2

    JAMAL thenks 2 much love from usa Portland Oregon

  • @msifunimasawe215
    @msifunimasawe215 Год назад +4

    Ilove story of Jamal 💥 unanfanya niipende xna ,na io biti haswaaa

  • @jameskinuthia4480
    @jameskinuthia4480 Год назад +17

    Safi kabisa professor

  • @johnsonomari8561
    @johnsonomari8561 Год назад +7

    I love history, history is life, long live Jamal April

  • @saimonjmai801
    @saimonjmai801 Год назад +2

    Kila mtu abaki na Imani yake na moja ya sifa ya kuamini ni kutokuwa na mashaka, ndiomana hata msimulizi kasema kila mtu abaki na yake anayo ya amini.

  • @annachales9623
    @annachales9623 Год назад +6

    Kwa kweli nikisikia habari kama hizi nafurahia sana kwa kweli...

  • @nasramuhammad2046
    @nasramuhammad2046 Год назад

    Tumkimbilie Mola yy ndo alituleta duniani na yy ndo atatutwaa jina Lake litukuzwe,praise to God

  • @moshantoj
    @moshantoj Год назад +6

    Asante sana kwa kuelezea History ya yesu kulingana na Elimu ya msikiti.

  • @wllsntim5740
    @wllsntim5740 Год назад

    Thank you for your education but always is JESUS,BIBLE,AND CHRISTIANITY now we want to be educated on MTUME MUHAMMAD S.A.W,QURAN AND ISLAMIC THANKS

  • @joshuamassawe2474
    @joshuamassawe2474 Год назад +9

    Umedanganya. Acha uongo mzee. Bila shaka wewe ni muislamu. Acha ushetani ndugu, na hilo ndiyo tatizo kubwa na baadhi ya uislamu, wanatumia Taqiyah ambayo ni njia ilioruhusiwa kwenye qur'an kusambaza uislamu hata kwa uongo.
    1)Vitabu vinavyomzunguzia YESU kwenye Biblia viliandikwa aidha na mashahidi waliomuona au na waandishi waliokua karibu na mashahidi waliomuona. Hawa mashahidi walimjua YESU kwanzia alipoanza kuhubiri akiwa na hiyo miaka 30. Hiyo ndiyo sababu ya watu kuwa na hadithi za maisha YAKE za kipindi hiki kuliko kipindi ambacho alikua Hajaanza kuhubiri ingawa hadithi za kipindi Akiwa mchanga na akiwa na miaka 12 zimeongelewa kwa kifupi sana kwa sababu hakuna shahidi waliotumika kuandika au mwandishi yoyote Alikua naye wakati huo.
    2) Biblia kuunganishwa kuwa Biblia ilikua kwenye karne ya 4 ambapo tayari kulikua na maandiko mengi yasio ya kweli yaliochujwa kwa msingi wa kuangalia ukaribu wa uandishi wa hivyo vitabu na matukio yenyewe. Vitabu vyote vinne vya injili viliandikwa karne ya kwanza ambapo mashahidi waliokua hai kipindi YESU akiwepo duniani nao walikuwepo kuweza kuvisahihisha na kuvithibitisha kama vinasema kweli au la, hata wanafunzi wake walikua hai kipindi hiki. Karne za baadae ndipo vikaibuka vitabu vingi vya uongo, ambavyo viliandikwa hata karne kadhaa baada ya YESU na wanafunzi wake na waliokua na wanafunzi wake kutokuwepo muda mrefu. Katika kuchuja vitabu kuingia kwenye Biblia walikua wakikagua kwa msingi huo. Vitabu vilivyoachwa viliandikwa Karne ya pili hadi ya tatu (kwamba miaka 100 hadi 200 zaidi ya kipindi alichoishi YESU duniani) baada ya YESU na vingine vikaandikwa na watu ambao hata hawakuwepo maeneo ya matukio, hiki kikavi disqualify kutokua reliable. Huyu jamaa angeishi karne ya tatu bila shaka na yeye angeandika kitabu chake cha uongo kuwasokota watu kama anavyofanya na hii video yake hapa.
    3) Kuhusu kuchukua kanisa miaka 500 kujadili Biblia iandike nini kuhusu YESU nayo ni uongo kwa sababu Ukristo ulianza officially karne ya 4 na karne hiyo hiyo hii Biblia tunayotumia leo ikawa "canonized". Kabla ya hapo Wakristo walikua wakikamatwa wanauawa na Warumi kama Nero. Kwamba watu wachukue miaka 500 wanajadili kitu hao ni watu au ma vampire? Hahahahah! Hivi kwa busara za kawaida tu, ni lini binadamu wamewahi kukaa miaka hata 50 wanajadili kitu kimoja? Acha upuuzi bro.
    4) Yaani ushahidi wako ni hadithi mtu aliotunga karne ya 19 na 20??! Hakuna mwana historia mwenye akili timamu anaweza kuchukua hadithi iliotungwa karne ya 19 na 20 kwamba miaka ya 1850 hadi 1950 kuelezea maisha ya mtu aliyeishi miaka ya 20AD. Hivi kweli mtu unaweza kuwa mjinga kiasi cha kuamini mtu wa sasa anaweza akajua mtu aliyeishi miaka 1900 iliopita alikua akifanya nini na wapi wakati mashahidi tu wa kipindi chake hawakuviandika hivyo? Dah!
    Kingine, YESU alipoanza kuzungumziwa ndipo ulikua mwanzo wa kazi Aliotumwa na BABA YAKE, MUNGU BABA, kuifanya. Kwa kifupi, kilichomleta duniani hasa ni hiyo miaka mitatu iliozungumziwa. YESU hakuja kusambaza dini, Alikuja kuhubiri wokovu na ufalme wa Mbinguni. Huyu jamaa anajaribu ku focus sehemu ambayo siyo ya msingi, na isiyo na ushahidi unaokubalika kihistoria wakati bila shaka amekosa eneo la msingi kuliko yote ambalo ni kumwamini YESU. YESU alisema, "Hakuna atakayefika kwa BABA ila kupitia kwangu!". Kwamba hakuna atakayefika mbinguni bila kumwamini YEYE kama BWANA na MWOKOZI wa maisha yake. Amini kuwa hili ni kweli kwa sababu Alisema tena kuwa YEYE ndiye njia, kweli na uzima. Mwamini YESU utapata neema itakayokuhakikishia uzima wa milele. Kila la heri ndugu zangu!

    • @Deedlr4767
      @Deedlr4767 Год назад +1

      Umeelezea vzr adi nmependa👍seems you know alot check yu on email

    • @zawadilutufyo8771
      @zawadilutufyo8771 Год назад +1

      Nice description!!!

    • @bhm675
      @bhm675 Год назад +1

      Big up bro

    • @zawadilutufyo8771
      @zawadilutufyo8771 Год назад +1

      Nice description!!!

    • @mastaplan
      @mastaplan Год назад +1

      Sasa mimi naomba unieleweshe hapa mkuu....TUTUMIE KITABU KIPI SASA KATIKA MAFUNDIAHO GENESIS au AGANO JIPYA?

  • @graceanthony3870
    @graceanthony3870 Год назад +1

    Mimi nakubaliana na wewe , mambo megi hayakuandikwa kwenye bible. Endelea kutupa story Mungu akupe maisha marefu

  • @budaboss8435
    @budaboss8435 Год назад +8

    Nakuombea uishi maisha marefu sana kaka Na Ubarikiwe sana ❤👍

  • @orestsanga6294
    @orestsanga6294 Год назад +1

    Kusudi la kutunga vitabu zaidi ya hamsini vya injili na kutangaza uwepo wake, ni kudhoofisha vitabu vinne vya injili ya kweli na kuingiza udanganyifu uliokusudiwa na wapinga Kristo.📖📖📖

  • @suzanrichard3648
    @suzanrichard3648 Год назад +8

    Thnks for story
    Bro Jamal🥰🥰🥰🥰🥰

  • @Users2523
    @Users2523 Год назад

    Hii clip inadhibitisha yesu hakuwa mungu na si mungu kama watu wanavyodai, mungu hawezi jifunza elimu au kufundishwa elimu, mungu hafindishwi quran imeeleza yesu alitenda miujiza kwa idhini ya mwenyezi mungu .

  • @christiandayisenga3773
    @christiandayisenga3773 Год назад +4

    Jamal kama unamwamini Mungu basi nafurahi🙏

  • @aweisali1723
    @aweisali1723 Год назад +1

    I love prophet Muhammad and prophet عيسى peace be upon him.

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 Год назад +1

      It's none of our concern

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 Год назад

      It’s about Jesus today! Pls express yourself when he speaks of your Muhammad next time !

  • @GodfreyMuiruri
    @GodfreyMuiruri Год назад +15

    Jamal you are doing an extremely wonderful job....kuvihadidhia hadithi hizi na ambazo lazima afanye research kwa upana na undani zaidi sio kazi rahisi...you deserve it man....just continue.We love what you does alot.

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 Год назад +2

    Mungu awabariki sana kutuletea taarifa nzuri

  • @kinyamal8201
    @kinyamal8201 Год назад +5

    It's now time for this guy to give us a story about prophet mohammed.

    • @ymsumi1918
      @ymsumi1918 Год назад

      Muhammad akisimuliwa wote mtasilimu.

    • @kinyamal8201
      @kinyamal8201 Год назад

      @@ymsumi1918 😂😂😂every one but me

    • @AlkadoNkundwe-wb3of
      @AlkadoNkundwe-wb3of 6 месяцев назад

      Km hutaweza bila shaka unatamani uje sikia yale unayotaka kuyasikia,
      Yesu alisema kila lililofichwa litakuwa wazi na kila lililosemwa kwa siri litahubiriwa. Kazi kwako.

  • @akiruleah6093
    @akiruleah6093 Год назад +6

    Wooow mungu azidi kutufunulia ukweli,be blessed bro

  • @darkdhmafia8666
    @darkdhmafia8666 Год назад +8

    !!!!?😎💎🔥 Mungu ni mkubwa sana katika dunia

  • @jumamstapha9558
    @jumamstapha9558 Год назад

    Namshukuru Kwa kujua kumbee yesu alikuani mwisilam inshaallah kama unaupeo wakutosha basi utakua umeelewa apo

  • @edsonkennedy2448
    @edsonkennedy2448 Год назад +16

    Na mtume muhamad utoto wake na ujana alikuwa wapi !. naomba uteleeze nimependa sana

    • @ymsumi1918
      @ymsumi1918 Год назад +1

      Kila kitu kuhus uislam kimeandikwa tayar kwahy no chance to challenge wala kuquestion maan utaambiwa kasome sehem flan I

  • @emmanuelemmanuel3047
    @emmanuelemmanuel3047 Год назад +2

    Duh lla umebezi kusoma vitabu tofaut tofaut navitabu vyote vinaongea tofauti kuhusu Yesu Yesu kwenda lndia 😳🤔 lla Yesu Alienda kusoma apana maana Mungu Alimpa uwezo wakili na miujiza maana roho wa Mungu Alikuwa ndani yake Mungu Ajatafuta elimu ya kidunia kwa sababu dunia llikuwepo na vitu vyake na elimu ya Dunia hii aiwezi kushindana na elimu ya Mungu kwa sababu wasomi wengi wazamani ndio walio mkataa Yesu kwa sababu Yesu walisema kuwa ajasoma lnakuwaje tena waseme alienda kusoma

  • @clinton_leen
    @clinton_leen Год назад +3

    Ila yesu aliwahi kufikia hadi kenya "fort Jesus" 😃

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      AKAPIGA KANGETA PALE MAKADARA AU 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @younglunya-vy3xb
    @younglunya-vy3xb Месяц назад +1

    Kama unaamini yesu nibwana weka like

  • @pierretembele8129
    @pierretembele8129 Год назад +8

    Mnacho shindwa kuelewa yesu alikua nibinadamu anaweza kusoma na kufanya mengine kama sisi tu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      KWELI BRO

    • @dostovan5142
      @dostovan5142 Год назад

      Isipokua Yesu alikua nauwezo wakufufua wafu, yeye pia alifufuka

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад

      @@dostovan5142 YESU HAJAFA NA NDIO MAANA ATARUDI NA AKIFA ATAZIKWA ATAFUFULIWA SIKU YA MWISHO KAMA VIUMBE VYOTE VILE.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад

      @@dostovan5142 ALIE WAFUFUA NI M'MUNGU KWA MAOMBI YA YESU SIO YESU AKIFUFUWA

  • @elizabethndaile8984
    @elizabethndaile8984 Год назад +2

    Aimen ubarikiwe 🙏🙏