The Story Book : Yesu Alipotelea Wapi Miaka 18 Ambayo Maandiko Hayamuongelei?
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2024
- The Story Book : Yesu Alipotelea Wapi Miaka 18 Ambayo Maandiko Hayamuongelei?
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Kama unaamini mungu Yupo basi nipeni like 🙏
afu utazila au
We likes zinakusaidia nn mzee😂😂
Ushamba huo bobuuu
Zinakusaidia nn
Acha kuwapa watu zambi je unataka kuniambia hizo like zako na views ni sawa???? Acha kutupa zambi za namna hiyo....Futa hii comment hakika utaulizwa ulikuwa na maana gani KUANDIKA MANENO HAYO?
Uishi Sana brother Jamal uendelee kutupa maarifa God bless you 🙏 tujuane tunayemwombea miaka mingi brother jamar miaka mingi kwa like hapa.
Sasa like za nn..!?
Tujuane kwann..!?
Tujuane tunayemkubal professor
ℌ𝔞𝔨𝔲𝔫𝔞 𝔪𝔞𝔞𝔞𝔯𝔦𝔣𝔞 𝔥𝔞𝔭𝔬 𝔦𝔳𝔶𝔬 𝔥𝔱𝔞 𝔫𝔶𝔦𝔢 𝔪𝔫𝔞𝔧𝔲𝔞 𝔪𝔴𝔦𝔰𝔥𝔬 𝔴𝔞 𝔡𝔲𝔫𝔦𝔞 𝔶𝔢𝔰𝔲 𝔫𝔡𝔦𝔢 𝔞𝔱𝔞𝔪𝔞𝔩𝔦𝔷𝔞 𝔨𝔴𝔞 𝔨𝔲𝔯𝔢𝔧𝔢𝔞 𝔨𝔴𝔞𝔨𝔢 𝔪𝔢𝔞𝔫𝔦𝔫𝔤 𝔥𝔢'𝔰 𝔞 𝔰𝔲𝔭𝔢𝔯𝔫𝔞𝔱𝔲𝔯𝔞𝔩 𝔟𝔢𝔦𝔫𝔤 𝔨𝔴𝔞𝔫𝔦 𝔥𝔞𝔡𝔦 𝔶𝔢𝔶𝔢 𝔞𝔰𝔬𝔪𝔢 𝔫𝔢𝔫𝔬 𝔞𝔲 𝔶𝔢𝔶𝔢 𝔫𝔡𝔦𝔬 𝔞𝔣𝔲𝔫𝔷𝔢 𝔥𝔢𝔢𝔢𝔢𝔢𝔯 𝔪𝔨𝔬 𝔤𝔯𝔢𝔢𝔢𝔫 😢😢😢😢
Yesu miaka 18 alikuwa ana pewa mafundisho na alifanyiwa majaribia mengi ambayo wewe nami atuyawezi atunaaja yakuyajua ila jua yesu alishinda naalikuwa teyari kukuokoa sisi kiroho na akawa teyari kubeba dhambi yawe nami jambo ambalo sisi limetushinda kama unaungana nami like comment yesu ndio mshindi naanapaswa kuabdiwa kama mungu alivyo mwamin amina
Yesu sio mungu na hafai kuabudiwa,anae faa kuabudiwa pekee ni Mungu muumba wa mbingu na ardhi!Kipindi Yesu yupo tumboni mwa mamaake,nani alie abudiwa?
Kama unaamini Mungu yupo nipe like na weka neno Ameni🙏🙏
Amina
Mungu yupo milele ndio mkuu wa wakuu mfalme wa waflme mungu mkuu
AMEN AMEN AMEN
Ameni
Amen
Amen Amen Amen nina imani kua Mungu yupo nakilasiku namuona kupitia matendo na makuu yake 🙏🙏kama unaamini kama mimi like hap jmn
KAMA UNAAMINI YESU NI MWANA WA MUNGU SIO BINADAMU , Gonga like👍
Ndiyo! Na amini ivo kbs
Yesu ndio tegemeo langu
Hata mm na ww pia ni mwana wa mungu kwa mujibu na maneno ya Yesu Yohana 20:17
Mungu akusamehe
❤
Hata ikiwa ni ukweli Yesu aliwahi kusafiri nchi hizo ila sio kwa ajili ya kutafuta elimu sababu tayari alikuwa mwenye upeo wa juu aliojaaliwa na Mungu hata alipokuwa mchanga alipomtetea Mama yake kwenye shutma za uzinzi...Mungu ndiye aliye mkhiari na kumpa elimu hiyo angali mtoto na hivyo kwenye usafiri aloufanya,Mungu alikuwa yuathibitisha ubinadamu wake na na si eti alikuwa yuaitafuta elimu...Naomba upafanyie research zaidi hapo ili usijejipata ukipotosha wengi kwa kupitia vitabu vya watu wasomjua Mungu na kuwafanya kama mashahidi wa Historia ya Yesu... Shukran kwa research Ila usiegemee sana vitabu walivyoandika watu unaposimulia visa vya Manabii
Ninashukuru sana kwa ushauri uliotoa ( kwa hiyo anataka kusema Yesu alisomea kutembea juu ya maji.)
hata sasa hivi tunaona wasomi wakubwa hapa duniani bado wanaitafuta elimu, unapo zani wajua ndipo unajikuta ujui, pia hakuna sehemu inayo sema alikua akitafuta elimu tu badi alikuwa akiwafundisha pia, umelewa?
Nimependa ulicho andika
Ukimsikiliza vizuri
Kwanza hajabase na nadharia yoyote
Pili hajasema alikuwa anajifunza bali alikuwa anawachallenge na kila alipo pita wanashangazwa na upeo wake
@@sleeprelaxation8431 😀
1. Kwani ninyi hajui kwamba Yesu alikua mwana pekee wa Mungu?
2. Kwani ninyi hajui kwamba Mambo Yote Yesu alifundisha alitowa kwa Baba Yake Mungu alie juu zaidi?
3. Kwani ninyi hajui kwamba Yesu alikuako kabla ya ABRAHAM na aliishi Mbinguni?
4. Kwani ninyi hajui kwamba Biblia ni Neno au barua kutoka kwa Mungu wa muingu , Yehova.
Basi msikengeushwe na watu wasio chukua mda na kuisoma Biblia na kuitafakari.
Eee Mungu wangu uliye hai,E Yesu kristo ee Roho mtakatifu ikikupendeza funua neema yako anaesoma na ataesoma ushuhuda wangu akujue na akupokee,Amen
Pole sana NA mungu akusameh
Ushauri wangu kwako Jamal! Achana na story za Yesu kwenye story book.
Waachie Theologians, na wahubiri.zungumzia story zingine kabisa.
Yes u are right, watu wengi ana wapotosha
Anahitaji ashuhudiwe Mana hajui kilicho Cha roho hakitafsiriki kilimwengu/kimwili fixion story
Waoga wa kweli,, muovu huogopa kweli
Kwanini unaogopa changamoto? Hata yeye ajataka kwenda deep kwakukataa mambo kama haya usemayo wewe, Ila soma saana ufunuliwe.
Wala theologia hawana majibu halisi kumzungumzia Yesu kristo Yesu ni spiritual all of us no one will understand him except who he believe spiritually Yesu hamilikiwi na wanatheologia ni wa kila mtu atakaye amin kuwa Yeye ni Bwana
Wajumbe leo na mm nimewah nipen like zangu wajumbe
Sawa bhn
Nachoamini YESU NI MWANA WA MUNGU❤️😍
Wewe umesema yeye muhusika anasema ni mwana wa adamu
😍😍
Yesu ni mwana wa Mungu aliyejuu
@@Baharia92 wewe unaamini nini... mbili Jamal ni jina la kikristu au kiislam. ...povu ruksa
@@flova7022 jamal ni jina lenye asili ya kiarabu,Kuna majina yenye asili ya kiarabu lakini wenyewe siyo waislam ukitaka kujua hili labda fuatilia nchi za mashariki ya kati mfano Lebanon,Siria,Palestina na Iraq.Kuhusu hilo la Issa(yesu)kuwa mtoto wa Mungu ni suala la imani ya kikristo ambalo siwezi kuliingilia.Kwa sababu naheshimu imani ya wengine,Kwa sisi Waislam tunaamini vingine kuhusu yesu na Kwa upande wa wakristo pia wanaamini vyengine kuhusu yesu(Issah)mlengwa ni mmoja huyo.Kwa waislam pia Tunamuamini yesu(Issah) kama nabii wake na ni moja ya nguzo ya imani ya kwenye uislam,zipo sita mojawapo ni hiyo kuamini mitume na manabii wake,Ukisema mimi yesu(issah)simtak lakini Mussa(moses) ama wengine nawataka automatical utakua umetoka kwenye uislam.Hatubishani ni kupeana tu ama kufahamishana.Mwisho sisi ni watanzania kumkashifu mtu kwa imani yake siyo miongoni mwa jadi ama asili yetu,muasisi wa taifa letu Nyerere alitujenga tuishi kwa umoja mpagani mkristo,muislam na wengine ndiyo maana tumeishi kwa amani mpaka leo.Sema kuna baadhi tu wapo kwenye kuhatarisha amani kama tuonavyo nchi nyengine za wenzetu.🙏🙏🙏🙏
Kama unaamini Yesu ni nabii toa like tujuane waumini wa kweli👍
Unabii unatoka kwake
Na'am masii Issa bin mariam
Yesu mwana wa Mungu aliye hai
@@sumayimahule2748 sisi waislam tunajua kama Yesu hayupo hai Alishapaa mbinguni long time... Uhai wake ni upi ndug wakat mnasema aliuliwa msalabani
He is not just a prophet ,,,but almasihi
Hii kazi anayofanya prof. Jamal ni ngumu sana, just imagine kila wiki inabidi afanye research juu ya story flani mpya, then katika hiyo story anachimba sana. Hata wahadhiri wa vyuo vikuu kazi zao sio ngumu kama hii maana wao hurudia topics zilezile zilizofundishwa mwaka uliopita. Hakika huyu jamaa anahitaji pongezi sana👏
Saaaaaaana
Alishakusanya material na kwenda kupeleka kwenye TV it means hadithi zote anakuwa nazo kinachobaki ni kutoa tu
@@valentinekigahe9707 ila si tayari umesema alikusanya.? So bado amefanya kazi kubwa, bila kujali ni lini amefanya.
Hakika😍
@valentine kigahe sio kweli bhana, hawezi Sanya kila kitu. Me ntakataa katukatu.
Wampenda kristo like💋💋
Yesu alizaliwa kwa uweza wa Roho mtakatifu aliongozwa na Roho mtakatifu alifundishwa kila kitu na Roho mtakatifu na mwisho wa yote Yeye Ni Mungu ambae alijuwa MAMBO yote ndiyo maana katika umri mdogo miaka kumi na miwili aliwashangaza viongozi wa Dini waandishi na wanazuoni kwa akiri kubwa alikyokuwa nayo.
Nadhani bado upo gizani
Kwaiyo mungu alikuwa anafundishwa
Hiyo miaka mingine alikuwa wapi? Ila Issa ni mtu poa sana
@@kilalasalu361 ww ndo upo gizan
@@kilalasalu361 wewe na Jamal wenu ndo mpo gizani
Kutoka Burundi but naishi Nairobi nampenda huu jama kupitiliza mnipee like plz
Mtoto wa kiume unaomba like,dada ako ataomba nini?
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
Ila we jamaa ni critically thinker
🇧🇮
Hakika mimi Naamini Mungu Yupo Na Ni Mmoja Hana Mshirika Wake,Hakuzaa Wala Hakuzaliwa Na Wala Hana Mfano Wake Na Ndo Maana Tunamuabudu Kwa Sababu Anasifa Za Kipekee Zisizofanana Na Kitu Kingine chochote.
HUO NDIO UKWELI WALA HAKUZAA WALA KUZALIWA.
Amiin allahumma amiin
Narudia Yesu siyo Isa na wala hakuwa muislamu. Msimuingize Yesu Kristo kwenye dini zinazokubali kuwa majini ni rafiki zake.
Yesu hakuwa na urafiki na majini. Mnapenda sana kuingiza Imani ya kistaarabu ya Kikristo na taratibu zenu jlimradi tu muweze kujifanya mko sawa lakini kwaujumla na uhalisia kila kitu kijulikane YESU KRISTO atabaki kuwa Mwana wa Mungu.
🤣🤣
Toa ushahidi ww kuwa alikuwa mkristo
YESU SIO MUNGU NA MAPEPO NA MJINI TUNAYAONA.MAKANISANI 2 MISKITINI HAKUNA UJINGA HUO FALA WEWE TAFUTA MUME AKUOWE KANISANI DINI YAKO INAKURUHUSU.
@@barakashaban9698 ANATAKA KUOLEWA HUYO.
@@salimmalaka256 kweli kabisa nakubali
Yesu.
Mwana wa daudi.
Mfalme wa wayahudi.
Aliyewakomboa watu wake na dhambi zao.
Ni neno aliyeshuka akakaa kwetu.
Kumbe sio watanzania😅
BWANA YESU CHRISTO WA NAZARETH ALIYE HAI APEW SIFAA TENA Yeye Ni Bwana Mpaka Usio Kuwa Nakipimo🥰🥰🔥🔥
Amen
Amenii
Amen
Yesu alikataa kusifiwa lkn nyie kina nani usifie ? Hebu soma Yohana 17:3 ndiyo utamjuwa mungu wa kweli
Huyu jamaa unaweza ukasema hakunaga...ni wachache sana wenye kipaji kama hiki mfano wakr kama othman maalim vile anakuhadithia kitu mpaka unaijengea picha ile story anakuhadithia, may allah bless and protect you Jamal we proud for you brother...❤
Yesu ndiye njia kweli na uzima wa milele hakuna mwingine tena
That is very very true
Rudi shule ukasome
Akasome nn? Yesu ndio ukweli na uzima ,ukimuamini yeye hutaangamia, akasome nn tena
Yesu ndio njia
Lete andiko
Mungu yupo ndiyo yesu mwana wamungu
Kaka yangu Jamal wee ndo king wa the story, ila plz keep it up, coz nilikuwa nakunywa pombe, kuona story hii hata bila kuisha kiu ya pombe yote imekata Kisha ninekaa kuangalia the story book yako but iyo story ya yesu kwenda India😂 nilicheka,na izo nchi zingine za uwongo but niko kawaida2 nakunywa zangu Pepsi not (jokes) sio tena pombe kama before but, God is Great for all peoples in the World, Bro ur the Best 🙏🏽🌍. 100% Mungu yupo pia ndo King Wetu.
😃🤣
🤣🤣🤣
Hii inanifanya niamini kwa kazi za watu wenye kipaji Cha kuonyesha makubwa kwa vitendo zaidi bila kuangalia vyeti wala historia. Kweli hii Ni kazi ya Professor
Yesu hakuwahi kusoma dini yoyote na mbaya zaidi wabudha Ni Imani potofu ya mashetani .
Lakini Yesu siyo Isa Bari kwa lugha ya kiyahudi Ni Yeshua yaani Mungu mwenye kuokoa jina Isa linatumiwa na wapinga Imani na kupotosha ukristo.
Atakuwaje mungu ambaye amesurubiwa na wanadamu wake?
@@feisaldasilvajr311 👍👍 Good question
@@feisaldasilvajr311hivi vitu kama huvielewi sasa utaelewa baadae
Yeshua ni mwana wa #Haruni toka ukoo wa #ibrahim baba wa imani. Na yesu ni mwana wa mungu kiimani aliyezaliwa kwa uwezo wa roho mtaka hai(mtakatifu). Yesu sio mungu bali anaonekana katika utatu mtaka hai(mtakatifu). Yesu pia alitukana wanadamu kwa majuto wa namna alivyojitoa kwajili yetu na bado tukawa tunawaza mabaya ""baba naomba kikombe hiki kiniepuke" imeandikwa bibliani. Budha sio imani ya kishetani bali ni watu wanaomba kwa uzingativu na ukimya kama anavyosema muumba kuwa ""muombe kwa utulivu na uzingativu pasi kelele" wao hufuata hivyo. Mungu hakuumba dini na wala dini haikupeleki peponi bali kukufanya kuwa na utaratibu wa kuwa karibu na muumbaji wako kwa kuongozwa na dini kutenda yampendezayo. Na kwa haki. Asante
Prof. Jamal, your research and reporting type is great than many others. Katika Tanzania upo juu kabisa. Unajua kuwianisha mambo mbalimbali hata ya kidini ambayo ni very sensitive. Your, research questions, are perfect than ever. All the BEST
I really love this Man like nothing else 💝💝
Nchi zote hizo yesu alitumia usafiri gni kufika
Now I can agree that the Bible was truly corrupted.
@@hellenjelimokiplagat5615 yes indeed
Unapenda aje mwanaume mwenzako....He dsav respect not love
God is the King 👑🙏🏽😇.
Wish u Good Morning from Dubai 5:32 am👑.
"Waeseni walikaa jangwani ili kujitakasa wakimsubiri Masihi, na mmoja wa wanafunzi wa Waeseni ni Yohana Mbatizaji". Father Ricardo Maria (2014).
Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.
Isaya 9:6
Kama mfalme Suleiman hakusoma chuo chochote na alikuwa na hekima kuliko watu wote Sasa Yesu Kristo ✝️ Ana hekima kuliko mtu yoyote aliwahi kuishi duniani kuwepo
Yesu Mambo aliyoyafanya ni mengi San yasingeweza kuandikwa yote. Ata kama mbigu ingekuwa kratasi, miti iwe kalamu bahari iwe wino hakika wino ungekwisha
Hio sasa kufuru
move hizi n nzuri sanaaaaa zinafundisha zaidi katika njia ya imani endeleeni kuzirusha ili tujengwe kiroho kupitia move hizi za Yesu mwana wa Mungu
God bless you Jamal 🙏 you are the best stories teller 🥰🤝
Story fake
Itikadi yetu Waislamu kuhusu Yesu ni kuwa hajawahi kufa wala hakufufuka na wala hajawahi kusulubiwa
Wala Yesu sio mtoto wa Mungu. Bali Ni Nabii wa Mungu aliyeletwa kupitia uzao wa Maryam(Maria) bila ya Baba
Kilichotokea ni kuwa wakati Watu walipotaka kumuua Mwenyezi Mungu alimpaisha mbinguni(na ndipo alipo hadi sasa).
Baada ya kupaishwa Mungu akampa sura ya Yesu mmoja kati ya wale watu na ndie waliemsulubu na akafa
Yesu wa waislamu na wa wakristu ni tofauti kuanzia kuzaliwa na pia malezi.
@@janaleokesho8374 Yeah
Hata kiitikadi. Sisi tunamuamini Yesu Kama Ni Nabii wa Mungu, wakristo wanamuamini kivyengine
😆😆😆😆😆
wakristo Mohammed hatumjui kabisa
I don’t like Wasafi TV, but because of you, i am watching. Endelea kuleta story kama hizi. Stay blessed indeed 🙏🏾💕
Ndio maana unaambiwa wasafi ni kama maji usipo yanywa utayaoga
Hupendi mbona unafatilia sasa hayo ni maswal wazungu wanatuzungusha kma kichwa maji utajikuta unachuki moyoni kisa dini kumbuka tumeletewa ili tuibiwe africani amkaaa ww
Ukweli ni kwamba yesu hakuwahi kwenda darasa lolote wala kufundishwa na mwalimu yoyote Yesu alikuja duniani neno analijua Tena, kwa muda mwingi ambao haukuzungumzwa Yesu alikuwa akifanya kazi ya useremala kazi aliokuwa akiifanya Mzee Joseph mume wa Maria mama yake na Yesu habari hizi hazikuandikwa ama hazikuzungumziwa kwa maana hazina muhimu sana katika ukombozi wetu wanadamu
kwani ukisema babake utapungukiwa nin hadi useme mume wa mamake
Nilukua nimegukumbuka San aca nisikiliz mambo yako🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿
Imeandikwa,Mungu akasema Yousouph mchukue Mkeo na Mwanao Mkimbilie Misti,Maana Herode anataka Amuangamize, Kwahyo Yesu Alikimbilia Africa
Hakuna amjuae Baba Wala hakuna amjuae Mwana isipokua yule tu ambae mwana amependa kumfunulia ujui chochote kuhusu Yesu.
Dunia iko na mambo mengi sana nyuma ya pazia ambayo binadamu wengi atuyajui ayo unayoyajua yanatosha ukitaka kujua kila kitu kuhusu dunia utachanganyikiwa na utapoteza imani.. we amini kuna mungu tu inatosha
Mnafundshwa muamke mmepotezwa mnaanz kusema mnachanganyikiwa😂😂
Kwa sababu nna amini technology ina dumu🥰 nampenda Allah
Ameen
Jamal April hujui ni roho gani uliyo nayo. Utasema mimi nipo kazini na bla bla zote lakini nakuhakikishia kama kuna kitu utakijutia kabla ya kuondoka hapa duniani ni kuupotosha ukweli kuhusu Kristo iwe kwa kujua au kwa kuto kujua. Naomba Mungu wa mbinguni kwakupitia kifo cha huyo Yesu unaejaribu kumfanya aonekane wakawaida kwa watu AKUREHEMU na huo upofu wa fikra ukutoke Kwa jina la Yesu.
Nilitaka nishanga kweli bro ata kakufungia mwaka hautupi. Nimefurahi Sana shukrani 🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳
Congratulations JAMAL una story yenye uzito mkubwa kweli mungu azidi kukuongeza ujuzi kaka nataman sana kuwa kama wew
from Missouri U.S.A much lovee watz wenzangu
Hapa Kuna kitu ndani yake maana kwa Mim Profesa mdogo Kuna kitu nakiona kwa mbali sana juu ya Yesu na kimefichwa lkn nashindwa hata kidogo kukielezea Ila Mungu mwenyewe anajua maana mwanadam naona anakwenda lkn Kuna sehemu anakwama yaan kama Kuna pazia hivi na siku ikiwa wazi tu basi Yesu karudi, lkn big up Jamal April, Professor 🙏🏿🙏🏿
Once am with Jesus I will never die
i believe in jesus jamal thanks 4 give us a lot of story about jesus
kazi nzuri Jamal, Yesu alikua Mtume wa Mungu na sio Mungu, kingine lazima muelewe kila mtu Mungu kampa atakavyo yeye, kusema Yesu alizunguka kutafuta elimu Sijambo la kubishana sababu Hata Mtume Mussa aliambiwa aende ktk makutano yabahari mbili atakutana na mtu mwenyeelimu zaidi yake, Lamsingi Mitume wote inatakiwa tuwakubali na kuwaheshimu, lamwisho Jamal hajatumia maneno yake yeye kafanya research ktk vitabu tofauti vya kale. kwaiyo kama unataka kujua zaidi nawewe unanafasi ya kwenda kusoma.
Umenena vyema, lkn Ili ujue nafasi ya YESU katika uungu ni mpaka u some sana na kuuamini utatu mtakatifu. Nitakuacha na swali,
Mwanzo 1:26
[26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu;
And God said, Let us make man in our image, after our likeness:
Je hapa MUNGU BABA, aliposema "Tumfanye"..... " Wetu" Hapa tunaona nafsi zaidi ya moja, Je hawa wengine ni wakina nani?
Katika kulitafuta jibu, utapata mwanga.
Kasimp tena
Emmanuel God with us ✝️🕊️🔥 Yesu Ni Mungu take it or leave it.
@@yhwh353 astaghfirrllah
@@salsashmomy When "ALLAH -- The all knowing" got the "TRINITY" wrong!!!
And when Allāh will say, "O Jesus, Son of Mary, did you say to the people, 'Take me and my mother as deities besides Allāh?'" He will say, "Exalted are You! It was not for me to say that to which I have no right. If I had said it, You would have known it. You know what is within myself, and I do not know what is within Yourself. Indeed, it is You who is Knower of the unseen.
- Saheeh International (5:116)
--- Surah Al -Maidah :116
First Kenyan here🇰🇪🇰🇪
Am always here bro .
We jamaaa daah! Utakuwa unajua mambo mengi sana2 sema hutak kuharbu iman za watu respect sana brooh
Ingefaa jamal mustafa kuwa mkristo kweli kweli maana siku ya mwisho hukumu yako itakuwa kubwa zaidi maana uliijua kweli ya Yesu kristo
Leo nimependa content sababu mimi ni mkristo na naipenda sana dini yangu
Na ninapoona muislamu kama jamal anapoongelea ukristo bila kukosoa bali kwa mema nafurah sana na ni kuonyesha kujal na kiheshimu iman ya mtu mwingne
ANA ZUNGUMZIA STORI YA ISA (JESUS) HATA QUR'ANI IMEMZUNGUMZIA PAMOJA NA MANABII WENGI WENGINE.
@@salimmalaka256 Quran haijamuandik hivo imemuandik tofauti
@@madetetv6576 QUR'ANI IMEMUANDIKA KAMA YEYE NI NABII NA HAJAFA M'UNGU KAMCHUKUWA YUKO MBINGUNI NA YUKO HAI NA ATARUDI TENA DUNIANI UNAPOSEMA QUR'ANI HAIJAMUANDIKA HIVYO UMEMAANISHA NINI?? ULITAKA IMU ANDIKE KAMA MTOTO WA MUNGU AU YEYE MUNGU??? YEYE NI NABII KAMA MANABII WENGINE 2.
@@salimmalaka256 Qur'an imechanganya vitu apo ukisoma vizuri utajua Kuna vitu haviko sawa ndugu imechanganya kuhusu story ya Mariam Mama yake Yesu na story ya Mariam wa kipindi Cha Musa
@@salimmalaka256 na pia Kuna kitu akikosawa katika Qur'an yaani Allah aliwadanganya wayahudi kwa kumfanya mtu Kama Yesu asisulubiwe na sio wayahudi, wayahudi na Mama yake Yesu Kristo wote wanajua Yesu amesulubiwa na si vinginevyo.
Eyesu uliyejifanya binadamu ukiwa sehemu ya nafsi tatu tunakuomba utende miujiza kama ilivyo kawaida yako ww ndiye ujuaye ukweli kuhusu hilo nakuomba katika jina lako takatifu jifunue kwangu japo ninadhambi ilikuondoa huu upotoshaji unaotendeka juu yako japo mm sina hofu na ww namini ww ni mungu tenda ilikuondoa huu unafiki amina
Mambo ya imani ukiyafutilia ni🤯🤯 ko yaacge kama yalivyo!! Be blessed bro🙏🏽🙏🏽
Mukubwa 💙 vraiment 🤗
Nakupa kumi juu ya kumi (10/10)
Niko fan wako wakwanza kufata vidéo zako zote, Niko nafata elimu nisio ijuwa kwa kila atua 💪 👏🤝
Mashaallahh pr jamaal allah akuzidishie elmu na umrireefu wenye manufaa💓
Indeed you're a professor. Thanks jamar one day we gonna meet! InshaAllah.
Kenya twakupenda💗💟
Apo nimesikia Yesu alitembea Sana Europe,America na Asia ila sijamsikia akikatiza Africa,Eeh mungu nimekosa Mimi mwenye mawazo finyu na mwenye shingo ngumu kugeuka,hivyo basi ningeomba maarifa zaidi kwa uzao wangu ulioniwekea tangu mwanzo,niliacha kupiga ramli na kutii mizimu nikafuata mafundisho yako yaliyonipa mwangaza na Amani.
Amen🙏🙏🙏🙏🙏
My best role model n story teller, I appreciate your skills Brother
Glory to God 🙏🙏❤
For God so Loved the world 🌍 that he gave us the only begotten son so that whomever believe in him should not perish but have Ever over lasting life
Erimu ya Yesu ni erimu ya kimungu mambo ya mungu ukitaka kuyachunguza yaitajika roh mtakatifu akushukie kweli kweli mungu achunguzwi ata kidogo yani
Story ya Leo nzur 💋😘
Nan kasema mbaya
Nzuri sana hindu
Iko sawa sana nipeeni hizo likes pls
Jamal your the best teacher in world, God bless you
This man Jamal April,Jamal Mustafa, Professor is something else mungu akupe neema my brother huzidi kutupa hizi hadithi.
But not like this
yohana 3; 31-36 yesu hakusoma chuo chochote duniani
Miaka hyo chuo kitoke wap Elimu walikuwa wanapata kupitia kufanya kazi za kila cku kutokana na uhitaji wa maisha ndiyo unajifunza unadhani walivyosema Yusuph alikuwa fundi selemara Unahis huo ujuzi aliupata Chuo cha Veta jibu hapana ila aliujulia wap bas Kuna namna alijifunza ndiyo shule yenyewe hiyo Sasa sio mpka uende Chuo ndiyo ujifunze
Vyuo vilikuepo... Soma kitabu cha danieli ndugu.
Unajidanganya na hayo maandiko, bado hujafikiria vizuri.
Shida wakristo tunazani kwakua Yesu ana uwezo mkuu hakuhitaji kujifunza wala kusikia lolote kutoka kwa yeyote.
Ila kumbuka kua Yesu alikua ni mwanadam asilimia mia na uungu pia mia. Hivyo alikua mwanadam mdaisi, na tabia hii alioonesha tangu utotoni, na alikua ikipendelea elimu ya mambo ya kidini.
Kwaio mim sishangai kusikia Yesu alisoma, tena alisoma mambo ya dini, hata ivyo ilikua ni ndoto yake kuwa mwalimu na mwenye wafuasi.
@@barakadavidmakome6353 mungu asilimia mia na mwanadamu asilimia mia dah kuna sehemu binadam tumefeli ktk kufikiri 😮
@@ilhamswaleh3428 sio swala la kufikiri ni maandiko ndugu!
JAMAL thenks 2 much love from usa Portland Oregon
Ilove story of Jamal 💥 unanfanya niipende xna ,na io biti haswaaa
Safi kabisa professor
I love history, history is life, long live Jamal April
Me to i love jamar history
Kila mtu abaki na Imani yake na moja ya sifa ya kuamini ni kutokuwa na mashaka, ndiomana hata msimulizi kasema kila mtu abaki na yake anayo ya amini.
Kwa kweli nikisikia habari kama hizi nafurahia sana kwa kweli...
Tumkimbilie Mola yy ndo alituleta duniani na yy ndo atatutwaa jina Lake litukuzwe,praise to God
Asante sana kwa kuelezea History ya yesu kulingana na Elimu ya msikiti.
Thank you for your education but always is JESUS,BIBLE,AND CHRISTIANITY now we want to be educated on MTUME MUHAMMAD S.A.W,QURAN AND ISLAMIC THANKS
Umedanganya. Acha uongo mzee. Bila shaka wewe ni muislamu. Acha ushetani ndugu, na hilo ndiyo tatizo kubwa na baadhi ya uislamu, wanatumia Taqiyah ambayo ni njia ilioruhusiwa kwenye qur'an kusambaza uislamu hata kwa uongo.
1)Vitabu vinavyomzunguzia YESU kwenye Biblia viliandikwa aidha na mashahidi waliomuona au na waandishi waliokua karibu na mashahidi waliomuona. Hawa mashahidi walimjua YESU kwanzia alipoanza kuhubiri akiwa na hiyo miaka 30. Hiyo ndiyo sababu ya watu kuwa na hadithi za maisha YAKE za kipindi hiki kuliko kipindi ambacho alikua Hajaanza kuhubiri ingawa hadithi za kipindi Akiwa mchanga na akiwa na miaka 12 zimeongelewa kwa kifupi sana kwa sababu hakuna shahidi waliotumika kuandika au mwandishi yoyote Alikua naye wakati huo.
2) Biblia kuunganishwa kuwa Biblia ilikua kwenye karne ya 4 ambapo tayari kulikua na maandiko mengi yasio ya kweli yaliochujwa kwa msingi wa kuangalia ukaribu wa uandishi wa hivyo vitabu na matukio yenyewe. Vitabu vyote vinne vya injili viliandikwa karne ya kwanza ambapo mashahidi waliokua hai kipindi YESU akiwepo duniani nao walikuwepo kuweza kuvisahihisha na kuvithibitisha kama vinasema kweli au la, hata wanafunzi wake walikua hai kipindi hiki. Karne za baadae ndipo vikaibuka vitabu vingi vya uongo, ambavyo viliandikwa hata karne kadhaa baada ya YESU na wanafunzi wake na waliokua na wanafunzi wake kutokuwepo muda mrefu. Katika kuchuja vitabu kuingia kwenye Biblia walikua wakikagua kwa msingi huo. Vitabu vilivyoachwa viliandikwa Karne ya pili hadi ya tatu (kwamba miaka 100 hadi 200 zaidi ya kipindi alichoishi YESU duniani) baada ya YESU na vingine vikaandikwa na watu ambao hata hawakuwepo maeneo ya matukio, hiki kikavi disqualify kutokua reliable. Huyu jamaa angeishi karne ya tatu bila shaka na yeye angeandika kitabu chake cha uongo kuwasokota watu kama anavyofanya na hii video yake hapa.
3) Kuhusu kuchukua kanisa miaka 500 kujadili Biblia iandike nini kuhusu YESU nayo ni uongo kwa sababu Ukristo ulianza officially karne ya 4 na karne hiyo hiyo hii Biblia tunayotumia leo ikawa "canonized". Kabla ya hapo Wakristo walikua wakikamatwa wanauawa na Warumi kama Nero. Kwamba watu wachukue miaka 500 wanajadili kitu hao ni watu au ma vampire? Hahahahah! Hivi kwa busara za kawaida tu, ni lini binadamu wamewahi kukaa miaka hata 50 wanajadili kitu kimoja? Acha upuuzi bro.
4) Yaani ushahidi wako ni hadithi mtu aliotunga karne ya 19 na 20??! Hakuna mwana historia mwenye akili timamu anaweza kuchukua hadithi iliotungwa karne ya 19 na 20 kwamba miaka ya 1850 hadi 1950 kuelezea maisha ya mtu aliyeishi miaka ya 20AD. Hivi kweli mtu unaweza kuwa mjinga kiasi cha kuamini mtu wa sasa anaweza akajua mtu aliyeishi miaka 1900 iliopita alikua akifanya nini na wapi wakati mashahidi tu wa kipindi chake hawakuviandika hivyo? Dah!
Kingine, YESU alipoanza kuzungumziwa ndipo ulikua mwanzo wa kazi Aliotumwa na BABA YAKE, MUNGU BABA, kuifanya. Kwa kifupi, kilichomleta duniani hasa ni hiyo miaka mitatu iliozungumziwa. YESU hakuja kusambaza dini, Alikuja kuhubiri wokovu na ufalme wa Mbinguni. Huyu jamaa anajaribu ku focus sehemu ambayo siyo ya msingi, na isiyo na ushahidi unaokubalika kihistoria wakati bila shaka amekosa eneo la msingi kuliko yote ambalo ni kumwamini YESU. YESU alisema, "Hakuna atakayefika kwa BABA ila kupitia kwangu!". Kwamba hakuna atakayefika mbinguni bila kumwamini YEYE kama BWANA na MWOKOZI wa maisha yake. Amini kuwa hili ni kweli kwa sababu Alisema tena kuwa YEYE ndiye njia, kweli na uzima. Mwamini YESU utapata neema itakayokuhakikishia uzima wa milele. Kila la heri ndugu zangu!
Umeelezea vzr adi nmependa👍seems you know alot check yu on email
Nice description!!!
Big up bro
Nice description!!!
Sasa mimi naomba unieleweshe hapa mkuu....TUTUMIE KITABU KIPI SASA KATIKA MAFUNDIAHO GENESIS au AGANO JIPYA?
Mimi nakubaliana na wewe , mambo megi hayakuandikwa kwenye bible. Endelea kutupa story Mungu akupe maisha marefu
Nakuombea uishi maisha marefu sana kaka Na Ubarikiwe sana ❤👍
Kusudi la kutunga vitabu zaidi ya hamsini vya injili na kutangaza uwepo wake, ni kudhoofisha vitabu vinne vya injili ya kweli na kuingiza udanganyifu uliokusudiwa na wapinga Kristo.📖📖📖
Thnks for story
Bro Jamal🥰🥰🥰🥰🥰
Hii clip inadhibitisha yesu hakuwa mungu na si mungu kama watu wanavyodai, mungu hawezi jifunza elimu au kufundishwa elimu, mungu hafindishwi quran imeeleza yesu alitenda miujiza kwa idhini ya mwenyezi mungu .
Jamal kama unamwamini Mungu basi nafurahi🙏
I love prophet Muhammad and prophet عيسى peace be upon him.
It's none of our concern
It’s about Jesus today! Pls express yourself when he speaks of your Muhammad next time !
Jamal you are doing an extremely wonderful job....kuvihadidhia hadithi hizi na ambazo lazima afanye research kwa upana na undani zaidi sio kazi rahisi...you deserve it man....just continue.We love what you does alot.
Mbona siku hizi amenyamaza sana huyu Mr Jamal mstafa
Yes
Mungu awabariki sana kutuletea taarifa nzuri
It's now time for this guy to give us a story about prophet mohammed.
Muhammad akisimuliwa wote mtasilimu.
@@ymsumi1918 😂😂😂every one but me
Km hutaweza bila shaka unatamani uje sikia yale unayotaka kuyasikia,
Yesu alisema kila lililofichwa litakuwa wazi na kila lililosemwa kwa siri litahubiriwa. Kazi kwako.
Wooow mungu azidi kutufunulia ukweli,be blessed bro
!!!!?😎💎🔥 Mungu ni mkubwa sana katika dunia
Namshukuru Kwa kujua kumbee yesu alikuani mwisilam inshaallah kama unaupeo wakutosha basi utakua umeelewa apo
Na mtume muhamad utoto wake na ujana alikuwa wapi !. naomba uteleeze nimependa sana
Kila kitu kuhus uislam kimeandikwa tayar kwahy no chance to challenge wala kuquestion maan utaambiwa kasome sehem flan I
Duh lla umebezi kusoma vitabu tofaut tofaut navitabu vyote vinaongea tofauti kuhusu Yesu Yesu kwenda lndia 😳🤔 lla Yesu Alienda kusoma apana maana Mungu Alimpa uwezo wakili na miujiza maana roho wa Mungu Alikuwa ndani yake Mungu Ajatafuta elimu ya kidunia kwa sababu dunia llikuwepo na vitu vyake na elimu ya Dunia hii aiwezi kushindana na elimu ya Mungu kwa sababu wasomi wengi wazamani ndio walio mkataa Yesu kwa sababu Yesu walisema kuwa ajasoma lnakuwaje tena waseme alienda kusoma
Ila yesu aliwahi kufikia hadi kenya "fort Jesus" 😃
AKAPIGA KANGETA PALE MAKADARA AU 🤣🤣🤣🤣🤣
Kama unaamini yesu nibwana weka like
Mnacho shindwa kuelewa yesu alikua nibinadamu anaweza kusoma na kufanya mengine kama sisi tu
KWELI BRO
Isipokua Yesu alikua nauwezo wakufufua wafu, yeye pia alifufuka
@@dostovan5142 YESU HAJAFA NA NDIO MAANA ATARUDI NA AKIFA ATAZIKWA ATAFUFULIWA SIKU YA MWISHO KAMA VIUMBE VYOTE VILE.
@@dostovan5142 ALIE WAFUFUA NI M'MUNGU KWA MAOMBI YA YESU SIO YESU AKIFUFUWA
Aimen ubarikiwe 🙏🙏