Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

The Story Book: Ukweli wa Maajabu Ya Miujiza Ya Yesu ! (All Jesus Miracles in Swahili)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 авг 2024
  • 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
    𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
    𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
    𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
    𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
    𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
    𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 1,5 тыс.

  • @stanleywalker6708
    @stanleywalker6708 3 года назад +195

    Mungu akubariki sana jamal, wapi ata likes kumi zake!

  • @monicabh1668
    @monicabh1668 2 года назад +44

    Wakristo tujuane hebu,Bwana yesu Kristo asifiwe,Hallelujah 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏YESU Kristo ni mwana wa Mungu aliye hai.

  • @kelvinantony7833
    @kelvinantony7833 3 года назад +277

    Kama umekubali Yesu anaweza weka like yako hapa

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад +1

      Sijaelewa yesu anaweza nini tena

    • @japhetmasawemasawe5468
      @japhetmasawemasawe5468 Год назад +1

      Yesu Ni mfalme wa wafalme

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад +1

      @@japhetmasawemasawe5468 1 Timotheo 2
      5 Kwa sababu Mungu ni mmoja,
      na mpatanishi kati ya Mungu na
      wanadamu ni mmoja, Mwanadamu
      Kristo Yesu;
      Yesu mwanadamu km wewe ufalme katowa wapi

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад +1

      @@japhetmasawemasawe5468 Mathayo 22
      29 Yesu akajibu, akawaambia,
      Mwapotea, kwa kuwa hamyajui
      maandiko wala uweza wa Mungu.
      Nawe utapotea kwa sababu hujui maandiko soma biblia yako vizuri utaelewa

    • @DavidGithaiga-lx2ic
      @DavidGithaiga-lx2ic 10 месяцев назад

      Anaweza..Jamal..we love you..ur pure talent from God brother

  • @abdallahrajabu2818
    @abdallahrajabu2818 3 года назад +87

    Jamal Jamal Jamal hakika unakitu chakipekee sana like zake tafadhal

  • @collinskipkorir4501
    @collinskipkorir4501 Год назад +17

    YESU WA NAZARETI , WAPI LIKES ZA PROF🔥🔥

  • @sofialinus8241
    @sofialinus8241 3 года назад +85

    YESU KRISTO ndie njia ya Kweli na uzima, hakuna atakae-ingia mbinguni bila kupitia kwake

    • @dannymdete3931
      @dannymdete3931 2 года назад +3

      Kweliii

    • @izmoo1835
      @izmoo1835 Год назад +3

      Yes

    • @nduwimanaamidou4009
      @nduwimanaamidou4009 Месяц назад

      Kwa wana wa Israel

    • @nduwimanaamidou4009
      @nduwimanaamidou4009 Месяц назад

      Kwa wana wa Israel

    • @DulaMudi
      @DulaMudi 23 дня назад

      uwong-o yesu ni mtume wamungu nawara siyo mungu m musipotee katika ii Dunia tambuweni Kuma maisha myengini Bada yaiii Dunia je nyinyi munawo hamini kuwa yesu nimungu siku ikikufiki yeni sijuwi mungu mutamuwambia nini badirikene muda ndo uuu

  • @beatricepeter301
    @beatricepeter301 3 года назад +291

    kama umesikia k2 ndani ya Roho yako tujuane apa love you Jesus.. i cannot get tired of listening to the word of lord Jesus n our saviour...

  • @Kazimily_Music
    @Kazimily_Music 3 года назад +76

    Mimi ndimi njia ya kweli na uzima mtu hawezi kufika kwa baba bila ya kupitia kwangu alie niona mimi amemwona Baba asema YESU mwokozi wa ulimwengu 🙏🙏🙏🙏
    AMINI NAWE AKUPONYE

  • @salehabri6957
    @salehabri6957 Год назад +4

    ISSA bin Mariam,ni kiumbe wa mungu aliozaliwa bila baba kila alifanya ni kwa uwezo wa mungu tu,hakua mungu Wala mtoto wa mungu,hakusulubiwa Wala kuuwawa,alipaisbwa ,kwa miujiza ya mungu yupo hai na atarudi kabla siku ya mwisho.

    • @kwangahudispensary7238
      @kwangahudispensary7238 4 месяца назад

      Huyo ni isa wenu sisi Yesu wetu alikufa kwa kusulubiw na akafufuka

  • @najalinanyambo3971
    @najalinanyambo3971 3 года назад +225

    Mtuliza mawimbi yesu 💥💥💥💥 like Tafadhari kama unapenda story kama hizi

    • @salumabdallah2990
      @salumabdallah2990 3 года назад +4

      mtuliza mawimbi ni yesu au mungu?

    • @selector728
      @selector728 3 года назад +2

      Tafadhali sio tafadhari

    • @selector728
      @selector728 3 года назад

      @@salumabdallah2990 tulia ww

    • @itNeza
      @itNeza 3 года назад +2

      Like ya Nini acheni Mambo yakisenge 🤔🙄

    • @seebs1156
      @seebs1156 3 года назад

      @@salumabdallah2990 kwan wewe ukifa unamsubili nani kaburin???

  • @gbreezy_tz
    @gbreezy_tz 3 года назад +78

    Hii ndio story ambayo itampa baraka na mafanikio ya kila aina kw jamal april(The professor) mungu akubariki sana professor wa maprofessor🙏🙏

  • @leahmgunda177
    @leahmgunda177 2 года назад +16

    Umenitajia mtu nimpendae maishani mwangu hakika nimefurahi sana.Dumu kutujuza na mengine .

  • @blessjacob9196
    @blessjacob9196 2 года назад +36

    I love you Jesus my savior my Lord my king my everything ❤️

    • @saudatoller642
      @saudatoller642 7 месяцев назад

      Apo sas unakufuru, ikiwa yeye ndio kila k2 kwako, je yle aliemuagiza Kuja hapa dunian kw ajili yetu tumpe nafc gan

  • @farajamsigwa1304
    @farajamsigwa1304 Год назад +13

    Ubarikiwe Sana mtumishi wa Bwana kupitia miujiza na mtendo makuu aliyoyafanya Yesu imenipeleke kukua kwa Iman yangu. Mungu azidi kujifunua kwako kila utakapo Pata kibali cha kufafanusha habari zake🙏🏽

  • @norbertlilungulu5018
    @norbertlilungulu5018 3 года назад +17

    Utuhurumie dunia na corona eeh Yesu! Utuponye na magonjwa yetu eeh Yesu! Amen

  • @abdulsanga57
    @abdulsanga57 3 года назад +44

    Kama umeirudia zaid ya mara mbili gonga like kwa professor

  • @noti1k752
    @noti1k752 3 года назад +48

    Nipeeni likes za mwokozi wetu yesu💥

  • @wencesmarc6847
    @wencesmarc6847 Год назад +23

    Am proud of you LORD JESUS

  • @belafontesteven5144
    @belafontesteven5144 3 года назад +181

    Muujiza uliosahaulika hapa ni huu kwamba huyu Yesu anaendelea kufanya miujiza hata sasa na yupo hai hata leo, mwamini uokoke.

  • @ummylucky4885
    @ummylucky4885 2 года назад +20

    Nisamehe Yesu Kwa maovu niliyokutendea😭😭nikumbuke katika uzima wa milele🙏🙏

  • @jimmyjohn8184
    @jimmyjohn8184 3 года назад +11

    Hapo mzee umeshahubiri Injili, tena kwa kwa mashiko kabisa. Barikiwa sana

  • @veronicakg7372
    @veronicakg7372 3 года назад +54

    ❤️ Christian for life👑💯

  • @RealGiftLydia
    @RealGiftLydia 2 года назад +8

    Huyo ndie Star wangu number 1 ninae mwamini nakutamani kumuona siku moja maana nimekaa kaa mlinzi kila itwayo leo. Nakupenda sana Yesu kuliko kitu chochote hapa chini ya juwa😭🙏

  • @barakamollel5090
    @barakamollel5090 3 года назад +35

    Mungu ni mwema siku zote kwa watu wote!!

  • @musstiamulannoamulanno1243
    @musstiamulannoamulanno1243 3 года назад +14

    Uyo ndiyo mwanaume
    Yesu

  • @pastorypatrick9472
    @pastorypatrick9472 3 года назад +16

    Asiyeamini matendo na maelekezo ya Bwana Yesu namuombea neema ya Yesu imshukie ili aweze kuamini.

  • @jofreyfumboonline4866
    @jofreyfumboonline4866 3 года назад +30

    Naomba Jamal Mungu aendelee kukupa neema ya kutuelimisha maan hata wakristo wengi umetuzidi kufuatilia maandiko nimekupenda bro..

  • @rayfaakim1920
    @rayfaakim1920 3 года назад +64

    Ngoja Nika pike futari nikimaliza kufuturu nije kuangalia the story book Nije kusikia miujiza ya Yesu story in iingie wakati nimeshiba 👌👌👌👌👌

    • @enemtatuka5863
      @enemtatuka5863 3 года назад

      Utoa kar ya mwakaa hiii jamn

    • @emmysam1510
      @emmysam1510 3 года назад

      🤣🤣

    • @MishiPapalan
      @MishiPapalan 3 года назад +1

      Hapo kama kunamtu atasema yesu mungu basi balaa lake mana huyukaka kaeleza vizuli kama yesu ni mtume wa mungu wala sio mungu

    • @MishiPapalan
      @MishiPapalan 3 года назад

      Yesu kasema yeye mwana wa adamu

    • @monicabh1668
      @monicabh1668 2 года назад +1

      @@MishiPapalan bado mtabisha tuu ila itabaki kuwa Yesu Kristo ni mwana wa Mungu.

  • @willywox5040
    @willywox5040 3 года назад +22

    Ujawahi niangusha na hautakuja kuniangusha kaka! wewe ni genius tu💪👍"SALUTE"

  • @julietjotham8812
    @julietjotham8812 3 года назад +166

    I love JESUS you love JESUS we love our master 🙏💓💓💓💓

  • @kingpin2511
    @kingpin2511 3 года назад +195

    Mnipee likes Za Professor Tafadhali

  • @ndabatv518
    @ndabatv518 3 года назад +4

    Yesu Yesu Yesu Yesu Yesu....ndiye MTU 100% na ni Mungu 100%

    • @deathrow8004
      @deathrow8004 3 года назад

      Wapi yesu kasema YEYE no mungu?IKIWA Ni mungu pia kwenye kiti cha enzi alikua amebaki nani

    • @ibrahimissakhamis4268
      @ibrahimissakhamis4268 3 года назад

      Hahaha wewe jamani hemu kasome kwanza kuna mtu anaitwa Nabii Suleiman huyu mtu alikuwa na uwezo hata wa kuamrisha upepo Hakika kumbuka pia Yessu huyu ni Nabii wa Mungu na pia Atakuja kuwakataa siku ya kiama kwa nyinyi mnavyomkosea mnamuita Mungu bali yeye ni Binadamu tena kama nilivyo Mimi na wewe na pia Ameumbwa na Mungu mmoja tu Ambaye hakuzaa wala hakuzaliwa na pia hakufanana na kitu chochote

    • @assfzainab912
      @assfzainab912 4 месяца назад

      Mungu wa kuzaliwa na binadamu mmm🤔

    • @kwangahudispensary7238
      @kwangahudispensary7238 4 месяца назад

      Yesu ni Mungu,,roho mtakatifu ni Mungu na Mungu baba ni Mungu..ukiwa huna elimu ya theology huwezi elew hili,,na nawaxihi wakristu msibishane na waislamu katika hili .

    • @assfzainab912
      @assfzainab912 4 месяца назад

      @@kwangahudispensary7238 CJAMALIZA KUSOMA KOMENT YAKO LKN HAKUNA MUNGU ROHO WALA MOYO WALA MAPAFU M7NGU NI MMOJA TU HAKUZAA WALA HAKUZALIWA WALA HAKUNA KIUMBE K8NACHO FANANA NAYE

  • @IbrahimAli-tf4dw
    @IbrahimAli-tf4dw 3 года назад +42

    Ela ya vitafunio nmenunua bando kwa ajili ya Jamal naombeni like zake nikologee chai tupu nisukumie 😁😁

  • @seasonepisode3328
    @seasonepisode3328 3 года назад +20

    Uyo ndie Yesu king of kings..yy ndie muhukumu wa ulimwengu huu..yy ndie njia ya kufika mbinguni bila yy akuna binadamu ata 1 atae weza ingia mbinguni..ukimkosa Yesu umekosa vyotee na ukimpata Yesu umepata vyotee..Yesu nakupenda kwakua ulinipenda bila ww mimi si kitu .ww ndie mwenye mamlaka mbinguni na duniani ww ndie mwenye funguo za mauti na uzima..Yesu niongoze nifike salama.

  • @AmosiDeogratius
    @AmosiDeogratius 3 года назад +51

    Nipe likes Kama umemuangalia Jamal akiwa kwenye code mavazi makaliii kwelii hii Ni wasafi WCB for life✌️

  • @Ccj77
    @Ccj77 3 года назад +27

    Every knee will bow and confess Jesus is Lord ( Lord in Jewish national name of God: - Jehovah, the Lord.) Every mouth will confess "Jesus is Almighty Jehovah"

  • @johnwafula5599
    @johnwafula5599 Год назад +5

    Hapana mwingine kama yesu asifiiwe na kutukuzwa milele, Amen.

  • @saraabdulatif6171
    @saraabdulatif6171 3 года назад +20

    Hakuna kama Yesu nahata wanapomshusha hakuna siku watafanikiwa Yesu atakuwa juuu jamali ubarikiwe unajuwa kuna vitu maimamu wamisikitini hawasemi lakini Mungu anajeshi ambalo linamfanyia kazi yake

    • @mwarabumbarak4342
      @mwarabumbarak4342 3 года назад

      Lakini Yesu huyo huyo atakuja kukufukuza siku ya mwisho Kwa sababu yeye katumwa tu kwa waisraeli.
      Luka 13:25-28
      Wakati mwenye
      nyumba atakaposimama na kuufunga mlango, nanyi mkaanza kusimama nje na kuubisha mlango, mkisema, Ee Bwana, tufungulie; yeye atajibu na kuwaambia, Siwajui mtokako;
      26 ndipo mtakapoanza kusema, Tulikula na kunywa mbele yako, nawe ulifundisha katika njia zetu.
      27 Naye atasema, Nawaambia, Siwajui mtokako; ondokeni kwangu ninyi nyote mlio wafanyaji wa udhalimu.
      28 Ndipo kutakapokuwa na kilio na kusaga meno, mtakapomwona Ibrahimu na Isaka na Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu, nanyi wenyewe mmetupwa nje.

    • @harrisonsamwel3112
      @harrisonsamwel3112 2 года назад

      @@mwarabumbarak4342 umesoma lakini hujaelewa vitu vilivyo wazi hujaelewa pameandikwa nini hapo japo panaeleweka na yote hii ni sababu ya mafundisho ya uovu mliyopewa

    • @mariammbeye8239
      @mariammbeye8239 2 года назад

      @@mwarabumbarak4342 tatizo umebeba kipande hata hujui ilikuaj mwanzo biblia ni msitu mnene peaneni ya uongo tu

    • @roidysimchimba7103
      @roidysimchimba7103 2 года назад

      Hongera Sarah hakika mungu iko saa na wakat watamuelewa zaid maana kristo kumwelewa inahtaj nguvu ya rohoni

  • @donathakihombo4298
    @donathakihombo4298 2 года назад +2

    Utukufu kwake yeye astahiliye. YESU KRISTO WA NAZARETI, MUNGU MWENYE NGUVU.

  • @godfreydeus1832
    @godfreydeus1832 3 года назад +85

    " I'm the only way of trust and life, no one can come to the father except through him" Jesus said..simply Huwezi kwenda kwa Mungu bila kumuamini Yesu.

    • @hopgraphic2965
      @hopgraphic2965 3 года назад +2

      tumuamini Yesu au Mungu ?

    • @godfreydeus1832
      @godfreydeus1832 3 года назад +4

      Yesu ni Mungu.

    • @kendrick956
      @kendrick956 3 года назад +8

      Yesu ni roho ya mungu ukimuamini yeye bas umemuamini mungu 👌👌

    • @hopgraphic2965
      @hopgraphic2965 3 года назад +4

      @@godfreydeus1832 kama Yesu ni Mungu ? Mungu ni nani ?

    • @godfreydeus1832
      @godfreydeus1832 3 года назад +2

      @@hopgraphic2965 Mungu ni mmoja ambaye ndo Jesus Christ, he dead on cross because of our Sina.

  • @maggiek5002
    @maggiek5002 3 года назад +21

    Jesus we need ur miracles too,, gonga like Kama unaaimini atakutendea muugiza pia🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @BestLife486
    @BestLife486 3 года назад +151

    My Lord Jesus christ is the king of kings

  • @yunisdavid7350
    @yunisdavid7350 2 года назад +2

    Nampenda huyu mfalme napia natakumtumikia kwa moyo wangu wote l, Love my 👑

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 3 года назад +8

    Yesu Kristu Nabii Issa Alleh Salaam. Mungu ni wetu sote

  • @ericmukabwa4563
    @ericmukabwa4563 2 года назад +8

    Glory Glory Glory ❤️

  • @peterkichochi7510
    @peterkichochi7510 3 года назад +7

    Sijui kwanini msikitini hawatufundishi haya kweli hawatutakii amani. Daah mfungo wangu umekuwa mwepesi

    • @monicahovda4524
      @monicahovda4524 3 года назад

      Weeee!!!!! Si Mtawatimua hao Maimamu, Maanake Mtaona eeeeh wanamtaja Yesu na hapo Sio kanisani, Mtanzania kuona wamechanganyikiwa Mtawapopoa kwa Mawe, na kama walikuja na njia Moja watarudi na njia Saba😛😛😂😂😂😂🤪😂😂

    • @jumasaid2792
      @jumasaid2792 3 года назад

      Mh!! Mzee baba umesema kitu usichokijuaaaa kwani huyu aliekufanya wew uandike baada ya kusikia ni mkristo au muislamu?

    • @yasinali4377
      @yasinali4377 2 года назад

      Hakika kuna watu wanalaana mbna ujawahi sema km mnna hakuna sheh au muumini wa dini aloshiba uislamu kubadilisha dininya kiislamu kuwa mkristo ila mapasta na wakuu wa church washatokea kuwa waislamu jiulise kwann kichwan mwako

    • @yasinali4377
      @yasinali4377 2 года назад

      Halafu jiulize kwann kuna baibo ya kale na ya sasa wakati qur ani nimmoja tokea iletwe hadi kufa kwetu ndo iyoiyo haitobadilika milele na haikatai ujio wa yesu ila inakataa yesu dio mungu na ni jina linaloitwa na ukristo ss wailamu anaitwa NABII ISSA IBN MARYAM

  • @almassylivester4691
    @almassylivester4691 3 года назад +42

    Yohana 1:10
    Alikuwako ulimwenguni, hata kwa yeye ulimwengu ulipata kuwako, wala ulimwengu haukumtambua. YESU KRISTO NI MUNGU.

    • @adamkamaze9888
      @adamkamaze9888 2 года назад +1

      Yesu ni mtume Tu wa Mungu wala yeye sio Mungu .yesu ni binadamu kama wewe tofauti yake na wewe kuwa yeye alikuwa mtume wa Wana wa izrael

    • @sikitu8957
      @sikitu8957 2 года назад +3

      @@adamkamaze9888 yesu sio binadamu kama sisi
      Tambuwa vitabu vya dini vinatuambia kuwa kila binadamu alizaliwa Na dhambi ya asili
      Tofauti na yesu tu
      Malaika alisema kutazaliwa neno la Mungu kwa iyo yesu ni neno la Mungu lililovaa Mwili

    • @monicabh1668
      @monicabh1668 2 года назад +2

      @@adamkamaze9888 yesu ni NENO

    • @officialmtiamoyo6922
      @officialmtiamoyo6922 2 года назад +3

      @@adamkamaze9888 Hapana Mwanadamu hawezi kuumba, Yesu ni Mungu

    • @christinamwilawi8335
      @christinamwilawi8335 2 года назад

      @@adamkamaze9888 masihi ni neno lenye asili ya kiebrania linalomaanisha MKOMBOZI...na sisi wakistro tunaamini kupitia maandiko ya MUNGU yaani biblia kwamba tulianguka dhambini na hivyo MUNGU kabla hajatuumba alijua hilo litatokea na ndiposa akaandaa mpango wa UKOMBOZI wa mwanadam KABLA YA KUWEKWA KWA MISINGI YA DUNIA......muda ulipofika ambao obvious aliupanga yeye akaacha kiti chake cha enz juu mbingun akachukua jinsi ya ubinadam akaja duniani akaishi na AKAFA NA KUMWAGA DAMU ili sisi wadhambi tukimuamini na kuamin kafara yake pale msalabani na kuomba msamaha tunapata ONDOLEO LA DHAMBI ZETU...zamani walikua wanachinja kondoo na wanyama kama kielelezo cha zoezi zima litakavyokua pale kondoo halisi atakapokuja na kuchijwa,,,, ndio maana YESU alipokufa pale msalabani akasema imekwisha NA kondoo aliekuepo hekaluni kwa ajili ya kuchinjwa alikimbia na kisu kikamdondoka kuhani na pazia la hekalu lilipasuka.....kumaanisha kwamba TUKIO HALISI LA kuchinjwa na kumwaga damu lililokua practised kama kielelezo limeshatimia hivyo hakuna haja tena ya kuendelea kuchinja kondoo na kutoa kafara kwa ajili ya kusamehewa dhambi.....ndio maana sasahvWAKRISTO HATUCHINJI WANYAMA KWA AJILI YA KAFARA YA KUSAMEHEWA DHAMBI'''''''''' NIMEJARIBU KUKUELEZEA YESU NI NANI ALIKUA WAP NA NINI LENGO LA KUJA NA KUFA MSALABANI.....LABDA UNAWEZA KUPATA PICHA KIDOGO.........Kuhusu uungu wake malaika Gibril ameiweka vizuri kabisa katika INJILI YA MATAYO 1 fungu la 23''''''''' anasema TAZAMA bikra atachukua mimba nae atamaa mwana ....naye ataitwa emmanueli YAANI MUNGU PAMOJA NASI.....mpango wa MUNGU kuja kutukomboa aliupanga yeye na ilikua ni kwamba avae namna ya ubinadam ...azaliwe kwa uwezo wa roho mtakatifu...aishi nasi....akamatwe ,.....asulubiwe ....siku ya tatu afufuke katika wafu...PLAN IMEISHA ....sasa kama una maswali kuhiusu hio plani ukifika firdaus utamuuliza kwa nini hakushuka moja kwa moja tu kama alivyo....kwa nini aliamua kuzaliwa?? asante
      ​ @Hop Graphic

  • @nikitalucas2323
    @nikitalucas2323 3 года назад +26

    Jesus is king of all kings Jesus is son of God Jesus is lion of Judah hallelujah 🦁👑🙏🙏🙏❤️❤️❤️✝️✝️✝️

    • @adamkamaze9888
      @adamkamaze9888 2 года назад +2

      Mbona hamueleweki wengine wanasema ni Mungu na wengiine ni mtoto wa Mungu hamuoni kuwa ni ukafiri Mungu ampe utume mja wake ili kuwafikishia nanyi mnamuita Mungu Kwa matamanio ya nafsi zenu

    • @faumahona5769
      @faumahona5769 2 года назад

      @@adamkamaze9888 huo ni mtazamo wako

    • @flova7022
      @flova7022 2 года назад +1

      @@adamkamaze9888 waislamu hua mnaniacha Hoi sana,,, mbna wakristu hatufatiliii mambo yenu? Afu nahisi mnafundishwa kutuchukia dini zingine,,, wakristu twaamini Yesu ni Mungu ,,,maana Mungu ni mmoja na nafsi tatu yaani Mungu Baba, Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu,,,hiii hata mtutishie kutuuua Kwa jihadi hatubadiliki....cha msingi ni kuwa Mungu wawakristu na waislamu ni mmoja...tupendane...hizi dini ni mapito

    • @rachealnazi9115
      @rachealnazi9115 Год назад

      Mbona sisi wa kristo hua hatu fatilii mambo ya kiislaam lakini wa islam wakisikia tu Yesu utaona waki complain

    • @ShikaAdabuICTLab
      @ShikaAdabuICTLab 2 месяца назад

      acha ushamba

  • @vivianoforo4760
    @vivianoforo4760 3 года назад +91

    Nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa sana. Nipeni likes za Jamal jmn😂

  • @godfreycharles2792
    @godfreycharles2792 3 года назад +7

    Kwa haya uliyoyaeleza juu ya Yesu Kristo Mwana wa Mungu aliye hai, amini Mr. Jamal, ushuhuda na wokovu hautakuacha na Neema ya Mungu itakufuatilia. Amen

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 11 месяцев назад +2

    Nyinyi wakristo hamuoni yesu na wanafunzi wake waisilamu kweli kanzu kofia shuka kila kitu uisilamu mashaAllah❤❤

    • @DulaMudi
      @DulaMudi 23 дня назад

      wambie awo wapotevu wadunia

  • @eliasmapuli2674
    @eliasmapuli2674 2 года назад +3

    Nice story nimempokea yesu katika maisha yangu yote

  • @julietjotham8812
    @julietjotham8812 3 года назад +16

    Huyo ndomtuliza kiburi Cha bahari, Nampenda Sana YESU kwakuwa alinipenda Kwanza🙏💯💓💓💓

    • @salumabdallah2990
      @salumabdallah2990 3 года назад

      wewe yesu anakujua?

    • @seasonepisode3328
      @seasonepisode3328 3 года назад +2

      @@salumabdallah2990 utaelewa siku akishuka apo utaelewa kama anakujua au akujui

    • @salumabdallah2990
      @salumabdallah2990 3 года назад

      jibu kwa hoja usijibu kwa mzunguko jee wewe anakujua?

    • @seasonepisode3328
      @seasonepisode3328 3 года назад +1

      @@salumabdallah2990 Mt 28:19 SUV
      Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu...👈👈Yesu anamjua yule alie fanywa kua mwanafunzi wake lzm ubatizwe kwa maji mengi ww utakua wa Yesu ila kama ujabatizwa ww sio wake.

    • @salumabdallah2990
      @salumabdallah2990 3 года назад +1

      @@seasonepisode3328 yesu ni nani?

  • @johnmichael8596
    @johnmichael8596 3 года назад +5

    Thanks, mwili wa damu na nyama havikukushawishi ufanye story hii bali Roho wa Mungu. God bless🙏🏿!!

  • @ramazecha2877
    @ramazecha2877 2 года назад +1

    Allah ndie mungu wa viumbe vyote akiwemo yusu ni kumbe wa mungu kma mmi na WWE hana haki ya kuabdudiwa hla ujumbe wke ndio maneno alio tumwa na mungu atuletee ssi wanadamu ......kma mna bisha naomba andiko linalosema mmi yesu ndimi mungu niabuduni mmi

  • @asueddy1465
    @asueddy1465 3 года назад +8

    Yeye pamoja na Jamaa zake wote wakamwamini Yesu 16:46

  • @elijahbaya5428
    @elijahbaya5428 Год назад +4

    Jamal kwani wewe mkristo ama ni muislam Kwa sababu ni vigumu sana muislam kueleza ama kufafanua ubora wa mkristo. Na ni vigumu sana muislam kuamini kuwa yesu ni mwana wa MUNGU, lakini kama wewe unayaamini hayo basi naomba MUNGU azidi kukupa neema ya ufahamu zaidi na hekima. Na ubarikiwe sana🙏😇

  • @paulpraise.w.m7121
    @paulpraise.w.m7121 3 года назад +14

    Hongera Sana prof.. Hili ni jambo kubwa sana umefanya Mungu akupe uwezo mkubwa zaidi wa kuendelea kufanya mkubwa zaidi yatakayo leta manufaa kwenye ufalme wa Mungu na watu wake.

  • @gibbs1320
    @gibbs1320 Год назад +1

    Yesu Mwana wa Mwenyezi Mungu. Yeye ndiye njia ya uzima na ukweli. Mimi ni nani nikatae kupita katika njia yako ?! Na iwe utakavyo juu yangu na hatma ya maisha yangu ya hapa duniani. Amina

  • @vinmwasele8032
    @vinmwasele8032 3 года назад +12

    Upo vzuri sana umepta mule mule Mungu akuongoze na kukuongezea kipaji cha hizi simuliizi zako🙏

  • @cgm9211
    @cgm9211 3 года назад +36

    🇰🇪🇰🇪 Shukran , much love from Kenyan people............

  • @rosaliemane2194
    @rosaliemane2194 3 года назад +42

    Amen, Jesus is the lord Glory to him . Thx for the History , May God bless u . Keep it up .

  • @leahmgunda177
    @leahmgunda177 2 года назад +21

    Hey narrater,very happy to hear the story of my Lord;yes the Lord of lords.

  • @georgeslupopo6215
    @georgeslupopo6215 5 месяцев назад +1

    Neno La Mungu wetu katika Bwana Wetu Yesu-Kristo Li sifiwe milele na atamilele, Amen !🙏

  • @voyagemakile3223
    @voyagemakile3223 3 года назад +27

    I love you Jesus❤🕊🙏

  • @neyemrode4165
    @neyemrode4165 3 года назад +14

    Jesus is the way, truth and life

  • @steavmcper7322
    @steavmcper7322 3 года назад +42

    JESUS IS MY EVERYTHING

  • @EstherLyatuu
    @EstherLyatuu Год назад +3

    Yesu ni maisha yangu, kama umeirudia hii zaidi gonga like

  • @bedabedan2617
    @bedabedan2617 3 года назад +18

    "Malaika wanaimba na kusema
    "Yesu ni "Bwana"

  • @amosmunezero9958
    @amosmunezero9958 2 года назад +20

    My Lord! the perfect and Almighty one!! Believing in you gives me peace!

  • @GodWithUs_GodVoice
    @GodWithUs_GodVoice 2 года назад +1

    Atukuzwe MUNGU BABA, MUNGU MWANA NA MUNGU ROHO MTAKATIFU AMINA.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 года назад +44

    This is over all stories 🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌

  • @sylvesterkalinga1214
    @sylvesterkalinga1214 3 года назад +9

    Mwamba umehubili bila kuchukua sadaka nimekupenda

  • @roxxanetz54
    @roxxanetz54 3 года назад +20

    Jesus my Lord and My Salvation😍 Love you my God

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 3 года назад +2

    Jamali unaitajika uokoke wewe ukiwa huju kwa Yesu utafundisha vzr zaidi Na MUNGU ATAKUPA UWEZO WA KWELI SUYO 2 STORY.

  • @yahayahussein8240
    @yahayahussein8240 3 года назад +34

    Jaman izi like watu wanazo omba zina nini!? Ebu nipeni na Mimi like za PROFESSOR JAMAL APRIL nikanywee chai

  • @Izikiel55
    @Izikiel55 3 года назад +13

    Guess wat!! Hii ndyo stor niliyokuwa nikisubir for years now,thanx Jamal,may God bless ya!!!

  • @mohamedsaleh9312
    @mohamedsaleh9312 3 года назад +11

    Hakika haya nikweli 🙏

  • @user-pi6yz9vw8l
    @user-pi6yz9vw8l 4 месяца назад +2

    Bwana namwokozi wetu alleluia alleluia alleluia amin❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @suzanfelix8065
    @suzanfelix8065 3 года назад +3

    Jina yesu kiboko Cha wachawii 😅chezea yesu wew

  • @evandan7
    @evandan7 3 года назад +34

    Japokuwa proffesor Jamal April ni muislam, naamini anaijua vizuri Biblia hata kushinda wakristo wengine wengi

    • @rehema2018
      @rehema2018 3 года назад +1

      Soon atakua mkristo sabab anapenda sana ukristo

    • @shemdaud6233
      @shemdaud6233 3 года назад

      Kweli

    • @kahindoheritier4688
      @kahindoheritier4688 3 года назад +1

      Kila mtu anaweza juwa ila watu awapendi kusoma biblia , njo kwamana imeandikwa “ watu wangu wanapoteya kwa kukosa maarifa”

    • @prayerchamber1600
      @prayerchamber1600 3 года назад

      Lakini maneno ya biblia na quran haina utofauti sanaa... Mitindo ya kuishi na lugha inayotumiwa ndo naona ikitofautiana.... Yani wote tunaita Mungu kwa kiswahili.

    • @millionairejeffreysunofbez3766
      @millionairejeffreysunofbez3766 2 года назад +3

      @@prayerchamber1600 kuna tofaut kubwa sana ww , bible ndio msingi wa waisha, ktk bible majini yameitwa masaliti na mafuasi ya ibilis, ktk guran majini yamepewa nafasi had sura na yanatukuzwa

  • @khassimramadhani866
    @khassimramadhani866 3 года назад +19

    Mwambaaa naelewa sana story kiukwel una elimisha sanaa kaka

    • @zabronbaltazary5048
      @zabronbaltazary5048 3 года назад

      Unajua mungu akujalie hekima ktk kuandaa kazi yako. Unawafunulia funzo ambao hawana nafasi ya kwenda ibadan.

    • @jemesipasco9994
      @jemesipasco9994 3 года назад

      nzur

  • @YorandaBonephas
    @YorandaBonephas 4 месяца назад +1

    Asante naubalikiwe uendelee hivyohivyo kutuletea habali njema za mkombozi wetu yesu Kristy wanazaleti Alie hai Amina.

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 3 года назад +4

    Naona Wayahudi waliomuua Yesu wame dis like☺️

  • @renathamartin6272
    @renathamartin6272 3 года назад +7

    Amina barikiwa na Mungu aliye hai. Halafu mi napenda unsvyoanza kutoa background, litrev mpaka findings na concludions. Mi ntakutafuta unifunze maana u mwalimu mwema. Hakika we ni Prof na zaidi

  • @Paplick9
    @Paplick9 3 года назад +5

    Ubarikiwe sana Kaka kwa kukumbusha watu uwepo wa mungu kama tupo pamoj weka like apo

  • @annamakome2979
    @annamakome2979 2 года назад +2

    Amina kubwa. Na ubarikiwe unaetoa simulizi hii maana Mungu ana makusudi nawe ili kila sikio lisikie habari za Yesu Kristo na kumwamini.

  • @BBCswahili_Uingereza
    @BBCswahili_Uingereza 3 года назад +8

    Kazi nzuriii professor ,gonga like hapa Kama unamkubali Prof.jamal

    • @shabanijaphet6696
      @shabanijaphet6696 3 года назад

      Kama unaipenda the story book weka ma like Kama yote

  • @chubakabahindwa4549
    @chubakabahindwa4549 3 года назад +4

    Iyi ni story ya kwanza imenifurahisha

  • @emmanuelmanix8502
    @emmanuelmanix8502 3 года назад +27

    GLORY BE TO JESUS

  • @richmontana1296
    @richmontana1296 3 года назад +25

    I appreciate All Members of this Team 🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌🙌Professor You Kill It.. In Tambwe Voice PINDI BOVU SANAA..!

  • @selfaakinyi7824
    @selfaakinyi7824 3 года назад +15

    Yesus, Yesus, Yesus the true, the way and the life, 🙏🙏🙏.

  • @brinasally7451
    @brinasally7451 Год назад +3

    God of gods,the omnipresent, God of Nazareth, ..thanks for your mighty deeds 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽.I love you Jesus

  • @mzalendohuru...4967
    @mzalendohuru...4967 3 года назад +24

    Jesussss ,that my boss

  • @josephandrew3444
    @josephandrew3444 2 года назад +2

    Safi sana hakuna nabii au mtume kupata tokea ulimwenguni alietenda kazi kubwa na kushangaza sana uponyaji ndio balaa! Thus why his alpha and Omega hallelujah

  • @michaeldoroleo4864
    @michaeldoroleo4864 2 года назад +1

    leo hii Yesu kristo ana zaidi ya wafuasi milioni elfu mbili duniani kote,jina lake ndio jina maarufu na lenye mvuto kuliko jina lolote lile,aliishi maisha ya kipekee na kitakatifu yasiyo na dhambi,miaka elfu mbili iliyopita mpaka leo Yesu ni kama ameishi jana,hakika Yesu kristo ni Mungu kati yetu.

  • @lizzymasawe6566
    @lizzymasawe6566 3 года назад +4

    Kaeni kwa kutulie muhaho wa nini yaaan mjue wengine mnamapepo Coz katajwa yesu mnapata mhaho wa nini jesus is really he is king of king’s

  • @dottomarko1890
    @dottomarko1890 3 года назад +2

    Haleluyaaa haleluyaaa haleluyaaa naliamini jina lake yesu na nalipenda kwa kuwa yeye ndy njia kwer na uzima wa milele

  • @irjackjackson4739
    @irjackjackson4739 2 года назад +8

    Thanks for talking about my Jesus Christ... My lord

    • @moxasaidi3398
      @moxasaidi3398 2 года назад

      huyo anaongea juu yA mitume yote ndani ya uislamu yesu sio Mungu kwani Mungu ni mmoja tuu na ni Allah S.W ambae alimuumba yesu na mitume yote

  • @josephmwalimu8522
    @josephmwalimu8522 2 года назад +4

    I love you Jesus my savior Lord and my everything