Ila watu hawajui tuu muko vizur sana me nawaamini sana pamoja kunawaganga mataper na nyinyi wp matape ila muko vzr mungu awabariki kwa kuwaokoa wenzenu😍😍😍
Greater is the name of the lord.. Waislamu mmefuata nni hapa.... Ukiimwa kanywe jik ama clolox.... Wachawi wapigwe ee.... Uislamu na Majini na uchawi kitu moja tu
Manabii wote wa jumapili niwauongo kigezo ni wamevuja amri kumi za mungu mandiko yanasema mtawajua kwa matendo yao pia neno Lina sema msiamini Kila roho Bali zijaribuni hizo roho Kama zinatokana na mungu
Wanaomkufuru mtumishi Wa mungu kumbukeni hata yesu alisemwa anatumia majini ila yeye alisema pepo hawezi mpiga vita pepo wanaotoka ngome moja.Tuachie mungu mwenyewe ahukumu.mtumishi yesu anakupitia kuokoa watu walio umia.Fanya kazi ya mungu.
msijaji vibaya kila mmoja na imani yake ww unaejiona dini yako ni sahihi ulienda ukaludi nyoooooo tena mkome kujiesabia haki mtaumbuka siku ya mwisho acha kila mtu aamini anachokiamini lakini katika yote YESU wetu ni mzuri anatulinda hasa mimi glory namshukulu Sana
Mmetusha kwa uongo JAMANI huyu MTU hata jina mlilompa halijui eti anaitwa HABDALA DANGANYENI WAPUMBAVU NA WAJINGA KAMA NINYI NA ACHENI KUCHAGUA DINI ZA WATU KWA KUJIITA NA KUJIFAMYA WATU WA MUNGU,KUMBE WAFUASI WA SHETANI ANAWATUMIA KUDANGANYA WATU.
Mungu Yuko nyie ninachojua anaye uliza na msemaji wote ni wahuuwaji wanakula wanakunywa damu na pasta hili awadanganye mpaka awe na watu waliouliwa nayeye
Obedi Fanueli usiingize Dini za watu Na majina ya watu kwenye migogoro isiyo Na lazima je wote walijaa kanisani hapo ni wakristo pekee? Acha hiyo tabia ndugu sio nzuri kabisa , huyu ni nyumbani wa mungu anahudumia watu wote waliopo Dunia Na sio anahudumia Dini ya mtu flani naomba ulielewe hilo vizuri
mh pole kijana unafki hauna madhehebu mnadanganyw na hao manabii wa uongo mna baki mme weka maskio juu ss apo mie sion zaid ya move na hizo huwa zina tengenezwa tu baba jina lake lenyew kulitamka hawez hlf useme mwislam sie hatupo ivo chunga mdomo wako bado unasafar ndef ya maisha usikurupuke ww kikubwa muombe mungu akupe mwisho ulio mwma tu bas acha kukashf dini uaangukia pabaya abudu kwa iman unayo iyamin ww na sio kwa kukshfu ok yangu hayo chunga ulimi utakuponza
Amin unachoamn maan kila mtu na uelew wake mnao pinga ndo nyie mnaendaga kwa waganga kila kukicha ikishindikan mnaanza kutaft makanisa Kama hujawah pitia matatizo unawez sema chochot
Katik kitabu cha ufunuo mwisho kabisa neno linasema.... Yule nabii wa uwongo na yule mnyama na ibilisi wakatupwa Katik ziwa la moto..... So ujue sio ajabu ukiona nabii wa uwongo anampondea shetan lakin ilihali wote mahali pao ni sehem ileile. Uw macho mteule ni nyakat za mwisho, ambapo udanganyifu ni wa high level, viwango vya juu kabisa vya udanganyifu, si rahisi mkristo wa kawaida akang'amua,.... Mpka wale wa rohon sana wamwabuduo Mungu ktk roho Na kweli.
Mimi ni mkristo sisemi kama sinazambi but Nazo zambi hata za asili " bibilia takatifu imeandikwa kua msiziamini kila loho na zijalibuni "" kwahio hao manabii sina believe nao kwamaana hakuna amtaftae mungu kisha akawa na mamlaka ya kuamuru eny think kisha kua na kua na confidence kama vile yeye ndie mkono wakulia wa mungu kwahio hata hio nahisi ni movie tunachezewa tu !!
Mwaipopooo na masinde tayar kishaweka wazi kila kitu kwa janja janja hii na achen kutumia majina ya kiislam ili kuuksdhif uislam na kuwadhalilisha wsislam eti wachawi kwann hujawa john laanatullah adhabu za Allah s.w zawasubir .... Nicjibiwe
Mtumishi wa mungu ubarikiwe zaidi mafundisho yaka yananibariki Nina shida nakuomba unifanye maombi miguu yangu zinauma kwenye jointi na nimecheki hakuna ugonjwa nifanyiye maombi
YESU anaokoa...ndiye njia kweli na uzima....hakuna mwingine...anaokoa hata wachawi...hata watu wa dini...matendo mema bila YESU ni kupoteza muda,huwezi kuokoka kwa kujitahidi kutenda wema huku( YESU-MUNGU) umemkataa....huyo mchawi tayari ameokoka ni wajibu wake kukulia wokovu na kumfuata YESU kwa ukamilifu bila kurudi nyuma....Ninaamini YESU anaokoa,na huyu mchawi kaokoka kweli,siyo dili km baadhi ya watu wasioamini katika KRISTO YESU.....wote wanaopinga ndani ya comments zao huku RUclips BWANA awatokee hili waamini,matendo yake mkuu na ya ajabu,Amen amen!
Mchungaji unaongea sana, umwache ushuhudiye mwenyewe. Kwa nini maswali mengi? Ushuhuda unajenga kanisa. Leo watumishi wanapenda kuonekana kama wao wanajua sana. Na kama ni ma star.
Kenyan citizen watching from saudi Arabia by names Sofia
Ila watu hawajui tuu muko vizur sana me nawaamini sana pamoja kunawaganga mataper na nyinyi wp matape ila muko vzr mungu awabariki kwa kuwaokoa wenzenu😍😍😍
Hubirini wokovu wa Mungu sio hizo sanaa zenu iteni watu wamwamini yesu kuwa mokozi wa maisha yao
Greater is the name of the lord.. Waislamu mmefuata nni hapa.... Ukiimwa kanywe jik ama clolox.... Wachawi wapigwe ee.... Uislamu na Majini na uchawi kitu moja tu
Ameeen kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri Yesu ni Bwana
Ameeeen MUNGU NI MWEMA ukombozi wa maisha ya mwanada ni kumpa YESU maisha yako
naitwa habdala mwenye jina halijui Mchungaj anasemaje unaitwa nani habdala
Jokarakijj
amen that is right much
MUNGU ibariki kazi yamikono yetu py tunaomba utujalie mwisho mwema AMENI
Aliuwa hadi wamemjaa moyoni amekimbilia apo ameona maajabu mungu ndie TOSHA
Jamani hv vitu vipo naona majirani zetu mnateseka hooooo kampanga hooo siokweli hingekuwa ni mkristo mngekubali
Watching from Dubai yesu asema jooni nyote mmbebaye mizigo mizito nami nitawafumzisha
Tingi hiliiii zuga hapaaa kitabu gani hikiiiiii hata jna hajui kitaja vzr
Mungu ashukuriwe umechagua njia sahihi Sana eeh Yesu mtazame kwa huruma zako
Subhana Allah yarabi tupe mwisho mwema
Salome Mlagila wajinga ndio waluwao bila hivyo hamtoi michango
Op
salome nicheki whatsapp 0672203458
Manabii wote wa jumapili niwauongo kigezo ni wamevuja amri kumi za mungu mandiko yanasema mtawajua kwa matendo yao pia neno Lina sema msiamini Kila roho Bali zijaribuni hizo roho Kama zinatokana na mungu
Wanaomkufuru mtumishi Wa mungu kumbukeni hata yesu alisemwa anatumia majini ila yeye alisema pepo hawezi mpiga vita pepo wanaotoka ngome moja.Tuachie mungu mwenyewe ahukumu.mtumishi yesu anakupitia kuokoa watu walio umia.Fanya kazi ya mungu.
Tunaomba maombi kutoka kwa nguvu zamungu
Huu ni wakati wa Mungu .. mgeukie awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako ...
Jamani siku ya mwisho inakuja hayo maingizo mnayoyafanya mtayatolea hesabu siku hiyo
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
msijaji vibaya kila mmoja na imani yake ww unaejiona dini yako ni sahihi ulienda ukaludi nyoooooo tena mkome kujiesabia haki mtaumbuka siku ya mwisho acha kila mtu aamini anachokiamini lakini katika yote YESU wetu ni mzuri anatulinda hasa mimi glory namshukulu Sana
Amina Glory nimekupenda bure.
Benjamin kutoka Kenya paster mung u akuongenze nguvu kazi nzuri.
Glory Glory Glory... Hakuna kinachoshindikana kwa Jina la Yesu.
Huu ni usanii wewe, Amini katika neno ndugu
Hahahah kasome matendo ya mitume utaelewa
Achani kudanganya watu huu ni usanii ulio pitiliza,
Angalia mambo yanayo endelea!
Ila ipo siku haya yatafika kikomo! Mungu hawezi kuyanyamazia
ruclips.net/video/mSi5UHlDOCA/видео.html
Yesu kama nani acheni uongo yesu sio Mungu ndo kila kitu yesu ni nabii wamungu
Mmetusha kwa uongo JAMANI huyu MTU hata jina mlilompa halijui eti anaitwa HABDALA
DANGANYENI WAPUMBAVU NA WAJINGA KAMA NINYI NA ACHENI KUCHAGUA DINI ZA WATU KWA KUJIITA NA KUJIFAMYA WATU WA MUNGU,KUMBE WAFUASI WA SHETANI ANAWATUMIA KUDANGANYA WATU.
Basi nikaingia kwenye majukumu ya kazi is the name of juses
Ushuhuda unatoka kwa mtu alie kamili sasa inakuwaje bado ana tetemekee yani nikama vurugu mechi hvi dahaa hakika tunamwitaji Mungu katika hili
Hii imepagwa
God bless the work of your hands
Am watching from dubai
Amen. Ashindwe
Katika
Jina
La
Yesu
Mungu Yuko nyie ninachojua anaye uliza na msemaji wote ni wahuuwaji wanakula wanakunywa damu na pasta hili awadanganye mpaka awe na watu waliouliwa nayeye
From kenya tusaidie kukujua na kukuelewa mungu
Jaman anapata tabu mungu murehemu hajapenda amina siunaona hata wanamsumbua ooh mungu nimwema hajapend yesu yesu yesu yesu tupe rehama zako amina
Jaman kalisha vitu vikubwa sn mungu msheke mkono
Eee mungu kumbuka duinia yetu kwl sisi wanadam a2unauruma wachawi waokoke
walimwengu niwabaya siyowachawitu na wanafiki na wenye loho mbaya ila mungu atupiganie make ninyakati zamwishi amina
Anamajini ndio maana anabehua hivo
Tunateketeza roho za kishetan kwa jina la yesu
Naomba kumuombea mama yangu mzazi anaumwa ugonjwa WA kutetemeka mwili wake( Nikono) tipo wilaya tá mbinga anaitwa Lamberta emilian nchimbi
Mungu ashunghurike na huyo mama km hajatubu na kumpa Yesu maisha yake
Mungu hawasamehe kumbe mtu kunywa sumu ama kujinyonga si kupenda n Pepo??? May the Lord help us Amen
Yaani tuko mwaka 2019, nasikitika mambo haya bado kuna binadamu anaweza kuyaamini. Yaani mchungaji anaona roho zikitoka lakini yake mwenyewe haioni.
Omar Khamis mambo ya rohoni ni upuzi kwa mtu asiemjua Mungu na kumuamini
Huyo baba mchawi alimjalibu Nabii kakutana na moto wa Mungu sio radio tu
uogo
Frank Ibrahim Lutende we unajua kuokka?
Waliogundua kuwa waislamu ni wanafiki wote wenye majina ya kiislam kwenye comment wanamkashfu mtumishi,gongeni like
Obedi Fanueli usiingize Dini za watu Na majina ya watu kwenye migogoro isiyo Na lazima je wote walijaa kanisani hapo ni wakristo pekee? Acha hiyo tabia ndugu sio nzuri kabisa , huyu ni nyumbani wa mungu anahudumia watu wote waliopo Dunia Na sio anahudumia Dini ya mtu flani naomba ulielewe hilo vizuri
huyu ni nabii wa watu wote
mh pole kijana unafki hauna madhehebu mnadanganyw na hao manabii wa uongo mna baki mme weka maskio juu ss apo mie sion zaid ya move na hizo huwa zina tengenezwa tu baba jina lake lenyew kulitamka hawez hlf useme mwislam sie hatupo ivo chunga mdomo wako bado unasafar ndef ya maisha usikurupuke ww kikubwa muombe mungu akupe mwisho ulio mwma tu bas acha kukashf dini uaangukia pabaya abudu kwa iman unayo iyamin ww na sio kwa kukshfu ok yangu hayo chunga ulimi utakuponza
Obedi Fanueli wewe mjinga na ulikosa ufaham wewe huoni kua hii ni biashara waumini leo matajiri mtumishi masikini ila kesho mtumishi anamiliki horofa
Obedi Fanueli bangi bhana
You looking good ilov you video ❤❤❤❤❤❤
wachawi wote wasambaratike kwajina layesu
Watching from Kenya
Mungu anafanya mambo ambayo mwanadam awezi kufanya
ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU
Nai julikane kama Mungu ndie mkuuu
Naomba mungu nkitoka uku Dubai n weze kufka kwenye hii kanisa LA ukombozi in Jesus name
Dadangu tutaenda pamoja pia mimi nko huku Riyadh
Amin unachoamn maan kila mtu na uelew wake mnao pinga ndo nyie mnaendaga kwa waganga kila kukicha ikishindikan mnaanza kutaft makanisa Kama hujawah pitia matatizo unawez sema chochot
Mungu aendelee kukupigania na uelewa wako.
Kweli yesu anaweza ,bakuombe baba watu wakuamin nahuduma yako
God Done creat for that man amen
Mungu tusaidiye na utuepushe na uchawi
Katik kitabu cha ufunuo mwisho kabisa neno linasema.... Yule nabii wa uwongo na yule mnyama na ibilisi wakatupwa Katik ziwa la moto..... So ujue sio ajabu ukiona nabii wa uwongo anampondea shetan lakin ilihali wote mahali pao ni sehem ileile. Uw macho mteule ni nyakat za mwisho, ambapo udanganyifu ni wa high level, viwango vya juu kabisa vya udanganyifu, si rahisi mkristo wa kawaida akang'amua,.... Mpka wale wa rohon sana wamwabuduo Mungu ktk roho Na kweli.
Sijakuelewa kabisaa
Mimi ni mkristo sisemi kama sinazambi but Nazo zambi hata za asili " bibilia takatifu imeandikwa kua msiziamini kila loho na zijalibuni "" kwahio hao manabii sina believe nao kwamaana hakuna amtaftae mungu kisha akawa na mamlaka ya kuamuru eny think kisha kua na kua na confidence kama vile yeye ndie mkono wakulia wa mungu kwahio hata hio nahisi ni movie tunachezewa tu !!
kama unaamini kupitia nenolangu basi gonga lie"
Pole
usanii mpaka kanisani kwa kweli njaa ni noma
dah! siku ya mwisho sijui tutajibu nn!
Ashukuriwe mungu alie juu
Muchungaji nateseka San nakupataje mtumishi wamungu
Mwaipopooo na masinde tayar kishaweka wazi kila kitu kwa janja janja hii na achen kutumia majina ya kiislam ili kuuksdhif uislam na kuwadhalilisha wsislam eti wachawi kwann hujawa john laanatullah adhabu za Allah s.w zawasubir .... Nicjibiwe
mwaipopo
Waislmu wa Mungu c wote tunaoamini hayo.
Zakichawi
Mtumishi wa mungu ubarikiwe zaidi mafundisho yaka yananibariki Nina shida nakuomba unifanye maombi miguu yangu zinauma kwenye jointi na nimecheki hakuna ugonjwa nifanyiye maombi
Yesu tu anaokoa anafungua na anawaponya watu mtumishi ..
ufalme washetani umepata pigo kubwa sana huu mwanaume alitumikia kweli ushindi kwa Yesu amemtoa huko
الورد الورد acha uzuzu funguka akili wasanii hao
YESU anaokoa...ndiye njia kweli na uzima....hakuna mwingine...anaokoa hata wachawi...hata watu wa dini...matendo mema bila YESU ni kupoteza muda,huwezi kuokoka kwa kujitahidi kutenda wema huku( YESU-MUNGU) umemkataa....huyo mchawi tayari ameokoka ni wajibu wake kukulia wokovu na kumfuata YESU kwa ukamilifu bila kurudi nyuma....Ninaamini YESU anaokoa,na huyu mchawi kaokoka kweli,siyo dili km baadhi ya watu wasioamini katika KRISTO YESU.....wote wanaopinga ndani ya comments zao huku RUclips BWANA awatokee hili waamini,matendo yake mkuu na ya ajabu,Amen amen!
Msibs wa mangi
kwa jina la yesu wachawi washindwe.
Mungu sisi tusaindie
Kupindia Kwa hii maombi wale wachawi wanao nizunguka kama wako mjini ama kijijini natuma roho wa mungu akawahangamize wote Kwa siku tatu
Nachojua Mungu anaweza yote,pia najua shetani hauwawi,wala hafi,jamanie shetani hafi someni biblia vzr
Tuliookoka tunajibu kwa roho Wa Mungu hatupambambani kwa mwanafunzi matusi
Ni kwal kabisa ngonyan
Kama umeona comment za waislam n za kumzomea mchungaj we2 angusha like.....Mungu wa mbingun ndie mkuu we2
amina mtumishi jamani naombeni namba
Woooteee wanatukanaaaa mungu awarehem
Achana nao. Hawamjui Yesu
Kwa nini mchungaji haumuombei hiyo sekuseku iondoke? Mchungaji Gwajima ni unique hakika
muha wa kigoma uyoooooooo. ..haya ni maigizo kama maigizo ya kingwendu tu...Njaa ni hatar jamani.
Hahaha Hahahaha jamani uongo wa mapasta umezidi inaezekanwa amemlipa huyumtu aje aonyeshe watu yeye ni pasta wakweli hahaha kali sana tushawazoeya.
Mi nipo Moçambique
Ameen
Mungu ni pendo.....
Kuna waislamu ndio hatari kwa majini exactily nina shemeji yangu hivo kama huyu mtu ndio kazi yake wachawi hodari
hiii jmn 😭 shetan anatesa watu Mungu wangu 😭😭😭
People must repent from their sins and be baptized into Christ to receive forgiveness of sins and the gift of the Holy Spirit (Acts 2:38).
Mungu anaweza
Jamal kma n ukwel na aunty yngu miguu aifanyikaz xo ntapta VP uyo mchungaji jaman
Mbarikiwe sana
Kaziyako si bire nabii
Roho mtakatifu endelea kufichua wachawi wote wafe kwa jina la yesu
Mungu wakweli awafichue Manabii wa Uwongo, mchawi na mlozi niwatu wakuchoma.
Yasmine Aaa hhhhhh
@@binallysaid7280 fire
Yasmine Aaa nyie endeleeni kujazwa ujinga mazwazwa nyie
@@nasibumaiko3425 Nafuta kwa damu ya yesu yakurudie mwenyewe
Mm Sasa haya maisha Mungu atusaidia
Mchungaji unaongea sana, umwache ushuhudiye mwenyewe. Kwa nini maswali mengi? Ushuhuda unajenga kanisa. Leo watumishi wanapenda kuonekana kama wao wanajua sana. Na kama ni ma star.
Kama unafatilia comments zote za kudhihaki n zawatu went majina ya kiislam lakin wenye majina kutoka kwa kristo wote wamekiri Moto wa
YESU wa kweli pigana na manabii was uwongo na pastor was uongo
Mungu ni Mwema ni pendo apenda watu. Amen
+
2
Mungu asifiwe Dana!
Kwanza huyo afanani na uislamu na wewe Mchungaji koma kuwaona waislamu wanahusika na uchawi koma ubili unavojua.
Naww ukome
Naww ukome
Uchawi aunadini jamani
Yesu asante
mb mnatuibia , harafu mnatuigizia
Mnao pinga bado hayajayakuta IPO siku mtakubali tu hayo yanaonekana hapo ni dhahir
Ni nabii gani alikuwa kama wew
Nawapenda wrote!
watching from Kenya.
A cheni usanii hubirini injili ya kweli kila siku uchawi hamna injili
Mshenzi kaokotwa kigoma mpakanoi mwa burund ajitoe ushuhuda
ww ni mwema unadilik kutukana?¿???
mwislam gani hajui kutamka jina la Abdallah hahaha
Muaji mmoja tu na yeye ni mwenyezi mungu mwenye kuumba mbingu arzi na vilivyomo ndani ya dunia na akhera
dunia ya mwisho maafa yamejaa nasi bado tunasaka Tonge kupitia jina la mungu wacha mungu atuadhibu mpaka atosheke
Hamad Rajab kumbe wewe unakachembe ka Nuru hadi umelijua JINA LA Mungu wengi hawajui kama Mungu anajina mpaka waokoke
Nitakufikia vip jamani baba anakufa na ugonjwa aijulikani, hospitali tumeenda akuna ugonjwa
Ukombozi ni moto jaman nimewamic watu wa mungu niko Australia nawapenda jaman mniombee nabii malisa fichua babaang.
mambo
Happy Girl movie hiyo
Hy
Happy Girl
Nice
Uongo sio jina lake na huo sio muislam
Uongo
Albusaid Khelef Wailam msikatae mwezenu, kama wewe so mchawi usimkanie mtu
Kwa hakika mtakuja mchomwe mito ikumbukwe cku ya qiyama inakuja
Hakika mungu anawez
mnapenda kukshf din ya kislm
Yesuuu ni siraha yetu