Mchawi muuwaji aanguka na kujisalimisha mbele za Yesu Kristo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 607

  • @Ziyad-we9lp
    @Ziyad-we9lp 4 года назад +6

    Kenyan citizen watching from saudi Arabia by names Sofia

  • @sharifajanqabari4731
    @sharifajanqabari4731 5 лет назад +2

    Ila watu hawajui tuu muko vizur sana me nawaamini sana pamoja kunawaganga mataper na nyinyi wp matape ila muko vzr mungu awabariki kwa kuwaokoa wenzenu😍😍😍

  • @tabbymabele1161
    @tabbymabele1161 5 лет назад +7

    Hubirini wokovu wa Mungu sio hizo sanaa zenu iteni watu wamwamini yesu kuwa mokozi wa maisha yao

  • @blessedlovedandfavoured4129
    @blessedlovedandfavoured4129 5 лет назад +3

    Greater is the name of the lord.. Waislamu mmefuata nni hapa.... Ukiimwa kanywe jik ama clolox.... Wachawi wapigwe ee.... Uislamu na Majini na uchawi kitu moja tu

  • @susternguvila4338
    @susternguvila4338 Месяц назад

    Ameeen kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri Yesu ni Bwana

  • @magynzioka1122
    @magynzioka1122 5 лет назад +5

    Ameeeen MUNGU NI MWEMA ukombozi wa maisha ya mwanada ni kumpa YESU maisha yako

  • @aminizefania9634
    @aminizefania9634 3 года назад

    MUNGU ibariki kazi yamikono yetu py tunaomba utujalie mwisho mwema AMENI

  • @mamapeace3092
    @mamapeace3092 4 года назад +1

    Aliuwa hadi wamemjaa moyoni amekimbilia apo ameona maajabu mungu ndie TOSHA

  • @clementbruno8077
    @clementbruno8077 3 года назад

    Jamani hv vitu vipo naona majirani zetu mnateseka hooooo kampanga hooo siokweli hingekuwa ni mkristo mngekubali

  • @josephinemumbua159
    @josephinemumbua159 4 года назад

    Watching from Dubai yesu asema jooni nyote mmbebaye mizigo mizito nami nitawafumzisha

  • @lenjeevara3407
    @lenjeevara3407 5 лет назад +2

    Tingi hiliiii zuga hapaaa kitabu gani hikiiiiii hata jna hajui kitaja vzr

  • @salomemlagila5757
    @salomemlagila5757 5 лет назад +9

    Mungu ashukuriwe umechagua njia sahihi Sana eeh Yesu mtazame kwa huruma zako

  • @JastineErnest
    @JastineErnest 3 месяца назад

    Manabii wote wa jumapili niwauongo kigezo ni wamevuja amri kumi za mungu mandiko yanasema mtawajua kwa matendo yao pia neno Lina sema msiamini Kila roho Bali zijaribuni hizo roho Kama zinatokana na mungu

  • @demwatranzoia1797
    @demwatranzoia1797 5 лет назад

    Wanaomkufuru mtumishi Wa mungu kumbukeni hata yesu alisemwa anatumia majini ila yeye alisema pepo hawezi mpiga vita pepo wanaotoka ngome moja.Tuachie mungu mwenyewe ahukumu.mtumishi yesu anakupitia kuokoa watu walio umia.Fanya kazi ya mungu.

    • @bennyish1320
      @bennyish1320 4 года назад +1

      Tunaomba maombi kutoka kwa nguvu zamungu

  • @evamringo2331
    @evamringo2331 3 года назад +1

    Huu ni wakati wa Mungu .. mgeukie awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako ...

    • @meresianamuja7684
      @meresianamuja7684 3 года назад

      Jamani siku ya mwisho inakuja hayo maingizo mnayoyafanya mtayatolea hesabu siku hiyo

  • @tatumihinzo9681
    @tatumihinzo9681 3 года назад

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @gloryngonyani4078
    @gloryngonyani4078 5 лет назад

    msijaji vibaya kila mmoja na imani yake ww unaejiona dini yako ni sahihi ulienda ukaludi nyoooooo tena mkome kujiesabia haki mtaumbuka siku ya mwisho acha kila mtu aamini anachokiamini lakini katika yote YESU wetu ni mzuri anatulinda hasa mimi glory namshukulu Sana

  • @susanndila3804
    @susanndila3804 4 года назад +2

    Benjamin kutoka Kenya paster mung u akuongenze nguvu kazi nzuri.

  • @evamarianjohn5804
    @evamarianjohn5804 5 лет назад +8

    Glory Glory Glory... Hakuna kinachoshindikana kwa Jina la Yesu.

    • @charlesemmanuel9434
      @charlesemmanuel9434 5 лет назад

      Huu ni usanii wewe, Amini katika neno ndugu

    • @evamarianjohn5804
      @evamarianjohn5804 5 лет назад

      Hahahah kasome matendo ya mitume utaelewa

    • @charlesemmanuel9434
      @charlesemmanuel9434 5 лет назад

      Achani kudanganya watu huu ni usanii ulio pitiliza,

    • @charlesemmanuel9434
      @charlesemmanuel9434 5 лет назад

      Angalia mambo yanayo endelea!
      Ila ipo siku haya yatafika kikomo! Mungu hawezi kuyanyamazia
      ruclips.net/video/mSi5UHlDOCA/видео.html

  • @rayyanyakini8435
    @rayyanyakini8435 3 года назад

    Yesu kama nani acheni uongo yesu sio Mungu ndo kila kitu yesu ni nabii wamungu

  • @ibrahimharuna9821
    @ibrahimharuna9821 3 года назад +4

    Mmetusha kwa uongo JAMANI huyu MTU hata jina mlilompa halijui eti anaitwa HABDALA
    DANGANYENI WAPUMBAVU NA WAJINGA KAMA NINYI NA ACHENI KUCHAGUA DINI ZA WATU KWA KUJIITA NA KUJIFAMYA WATU WA MUNGU,KUMBE WAFUASI WA SHETANI ANAWATUMIA KUDANGANYA WATU.

  • @lowasalesirai9504
    @lowasalesirai9504 3 года назад

    Basi nikaingia kwenye majukumu ya kazi is the name of juses

  • @msouthlee194
    @msouthlee194 4 года назад +5

    Ushuhuda unatoka kwa mtu alie kamili sasa inakuwaje bado ana tetemekee yani nikama vurugu mechi hvi dahaa hakika tunamwitaji Mungu katika hili

  • @fatmahmosa5224
    @fatmahmosa5224 2 года назад

    God bless the work of your hands

  • @ivonekemunto8483
    @ivonekemunto8483 3 года назад

    Am watching from dubai

  • @colodecavanjuma7387
    @colodecavanjuma7387 4 года назад +1

    Amen. Ashindwe
    Katika
    Jina
    La
    Yesu

    • @alanjose6471
      @alanjose6471 3 года назад

      Mungu Yuko nyie ninachojua anaye uliza na msemaji wote ni wahuuwaji wanakula wanakunywa damu na pasta hili awadanganye mpaka awe na watu waliouliwa nayeye

  • @selinechelimo3615
    @selinechelimo3615 3 года назад +1

    From kenya tusaidie kukujua na kukuelewa mungu

    • @lucyhussein7126
      @lucyhussein7126 3 года назад

      Jaman anapata tabu mungu murehemu hajapenda amina siunaona hata wanamsumbua ooh mungu nimwema hajapend yesu yesu yesu yesu tupe rehama zako amina

    • @lucyhussein7126
      @lucyhussein7126 3 года назад

      Jaman kalisha vitu vikubwa sn mungu msheke mkono

  • @samihahussein4799
    @samihahussein4799 3 года назад

    Eee mungu kumbuka duinia yetu kwl sisi wanadam a2unauruma wachawi waokoke

  • @misheckmrk8848
    @misheckmrk8848 5 лет назад +1

    walimwengu niwabaya siyowachawitu na wanafiki na wenye loho mbaya ila mungu atupiganie make ninyakati zamwishi amina

  • @remidiusrenatus5700
    @remidiusrenatus5700 4 года назад +2

    Tunateketeza roho za kishetan kwa jina la yesu

  • @credosowo2822
    @credosowo2822 6 месяцев назад

    Naomba kumuombea mama yangu mzazi anaumwa ugonjwa WA kutetemeka mwili wake( Nikono) tipo wilaya tá mbinga anaitwa Lamberta emilian nchimbi

  • @frankibrahimlutende9090
    @frankibrahimlutende9090 5 лет назад +1

    Mungu ashunghurike na huyo mama km hajatubu na kumpa Yesu maisha yake

  • @esthermorara607
    @esthermorara607 3 года назад

    Mungu hawasamehe kumbe mtu kunywa sumu ama kujinyonga si kupenda n Pepo??? May the Lord help us Amen

  • @omarkhamis9514
    @omarkhamis9514 5 лет назад +1

    Yaani tuko mwaka 2019, nasikitika mambo haya bado kuna binadamu anaweza kuyaamini. Yaani mchungaji anaona roho zikitoka lakini yake mwenyewe haioni.

    • @frankjohn8570
      @frankjohn8570 5 лет назад

      Omar Khamis mambo ya rohoni ni upuzi kwa mtu asiemjua Mungu na kumuamini

  • @frankibrahimlutende9090
    @frankibrahimlutende9090 5 лет назад +4

    Huyo baba mchawi alimjalibu Nabii kakutana na moto wa Mungu sio radio tu

  • @obedifanueli1786
    @obedifanueli1786 5 лет назад +24

    Waliogundua kuwa waislamu ni wanafiki wote wenye majina ya kiislam kwenye comment wanamkashfu mtumishi,gongeni like

    • @mzizirashid709
      @mzizirashid709 5 лет назад +2

      Obedi Fanueli usiingize Dini za watu Na majina ya watu kwenye migogoro isiyo Na lazima je wote walijaa kanisani hapo ni wakristo pekee? Acha hiyo tabia ndugu sio nzuri kabisa , huyu ni nyumbani wa mungu anahudumia watu wote waliopo Dunia Na sio anahudumia Dini ya mtu flani naomba ulielewe hilo vizuri

    • @mzizirashid709
      @mzizirashid709 5 лет назад

      huyu ni nabii wa watu wote

    • @bossmau764
      @bossmau764 5 лет назад +3

      mh pole kijana unafki hauna madhehebu mnadanganyw na hao manabii wa uongo mna baki mme weka maskio juu ss apo mie sion zaid ya move na hizo huwa zina tengenezwa tu baba jina lake lenyew kulitamka hawez hlf useme mwislam sie hatupo ivo chunga mdomo wako bado unasafar ndef ya maisha usikurupuke ww kikubwa muombe mungu akupe mwisho ulio mwma tu bas acha kukashf dini uaangukia pabaya abudu kwa iman unayo iyamin ww na sio kwa kukshfu ok yangu hayo chunga ulimi utakuponza

    • @yussufhimid5676
      @yussufhimid5676 5 лет назад

      Obedi Fanueli wewe mjinga na ulikosa ufaham wewe huoni kua hii ni biashara waumini leo matajiri mtumishi masikini ila kesho mtumishi anamiliki horofa

    • @nasibumaiko3425
      @nasibumaiko3425 5 лет назад

      Obedi Fanueli bangi bhana

  • @ngurukitv4584
    @ngurukitv4584 Месяц назад

    You looking good ilov you video ❤❤❤❤❤❤

  • @rajabumoshi9357
    @rajabumoshi9357 4 года назад +5

    wachawi wote wasambaratike kwajina layesu

  • @nancychabaya4047
    @nancychabaya4047 4 года назад +4

    Watching from Kenya

  • @nemillyayo530
    @nemillyayo530 4 года назад +3

    Mungu anafanya mambo ambayo mwanadam awezi kufanya

  • @isakamwambenja7397
    @isakamwambenja7397 5 лет назад +5

    ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU

  • @dorcasmueni8619
    @dorcasmueni8619 4 года назад

    Naomba mungu nkitoka uku Dubai n weze kufka kwenye hii kanisa LA ukombozi in Jesus name

    • @adajijackline9711
      @adajijackline9711 4 года назад

      Dadangu tutaenda pamoja pia mimi nko huku Riyadh

  • @naomisamatwa6690
    @naomisamatwa6690 4 года назад +4

    Amin unachoamn maan kila mtu na uelew wake mnao pinga ndo nyie mnaendaga kwa waganga kila kukicha ikishindikan mnaanza kutaft makanisa Kama hujawah pitia matatizo unawez sema chochot

  • @elizabethmtweve1458
    @elizabethmtweve1458 4 года назад +1

    Kweli yesu anaweza ,bakuombe baba watu wakuamin nahuduma yako

  • @annecherono5510
    @annecherono5510 2 года назад

    God Done creat for that man amen

  • @wanguiwahomet2716
    @wanguiwahomet2716 Год назад

    Mungu tusaidiye na utuepushe na uchawi

  • @restkalemile5274
    @restkalemile5274 2 года назад +3

    Katik kitabu cha ufunuo mwisho kabisa neno linasema.... Yule nabii wa uwongo na yule mnyama na ibilisi wakatupwa Katik ziwa la moto..... So ujue sio ajabu ukiona nabii wa uwongo anampondea shetan lakin ilihali wote mahali pao ni sehem ileile. Uw macho mteule ni nyakat za mwisho, ambapo udanganyifu ni wa high level, viwango vya juu kabisa vya udanganyifu, si rahisi mkristo wa kawaida akang'amua,.... Mpka wale wa rohon sana wamwabuduo Mungu ktk roho Na kweli.

  • @toodollar1444
    @toodollar1444 5 лет назад +1

    Mimi ni mkristo sisemi kama sinazambi but Nazo zambi hata za asili " bibilia takatifu imeandikwa kua msiziamini kila loho na zijalibuni "" kwahio hao manabii sina believe nao kwamaana hakuna amtaftae mungu kisha akawa na mamlaka ya kuamuru eny think kisha kua na kua na confidence kama vile yeye ndie mkono wakulia wa mungu kwahio hata hio nahisi ni movie tunachezewa tu !!

  • @rajaburajabu8685
    @rajaburajabu8685 5 лет назад +19

    usanii mpaka kanisani kwa kweli njaa ni noma

    • @EzekiaMtwale
      @EzekiaMtwale 3 месяца назад

      dah! siku ya mwisho sijui tutajibu nn!

  • @merismbilinyi9473
    @merismbilinyi9473 3 года назад

    Ashukuriwe mungu alie juu

  • @rechoathumani7037
    @rechoathumani7037 3 года назад

    Muchungaji nateseka San nakupataje mtumishi wamungu

  • @arafazakir4150
    @arafazakir4150 5 лет назад +12

    Mwaipopooo na masinde tayar kishaweka wazi kila kitu kwa janja janja hii na achen kutumia majina ya kiislam ili kuuksdhif uislam na kuwadhalilisha wsislam eti wachawi kwann hujawa john laanatullah adhabu za Allah s.w zawasubir .... Nicjibiwe

  • @marryezekiel8799
    @marryezekiel8799 3 года назад

    Mtumishi wa mungu ubarikiwe zaidi mafundisho yaka yananibariki Nina shida nakuomba unifanye maombi miguu yangu zinauma kwenye jointi na nimecheki hakuna ugonjwa nifanyiye maombi

  • @evamringo2331
    @evamringo2331 4 года назад

    Yesu tu anaokoa anafungua na anawaponya watu mtumishi ..

  • @الوردالورد-ز4غ
    @الوردالورد-ز4غ 5 лет назад +10

    ufalme washetani umepata pigo kubwa sana huu mwanaume alitumikia kweli ushindi kwa Yesu amemtoa huko

    • @nasibumaiko3425
      @nasibumaiko3425 5 лет назад

      الورد الورد acha uzuzu funguka akili wasanii hao

  • @leonardkigutu7716
    @leonardkigutu7716 5 лет назад +5

    YESU anaokoa...ndiye njia kweli na uzima....hakuna mwingine...anaokoa hata wachawi...hata watu wa dini...matendo mema bila YESU ni kupoteza muda,huwezi kuokoka kwa kujitahidi kutenda wema huku( YESU-MUNGU) umemkataa....huyo mchawi tayari ameokoka ni wajibu wake kukulia wokovu na kumfuata YESU kwa ukamilifu bila kurudi nyuma....Ninaamini YESU anaokoa,na huyu mchawi kaokoka kweli,siyo dili km baadhi ya watu wasioamini katika KRISTO YESU.....wote wanaopinga ndani ya comments zao huku RUclips BWANA awatokee hili waamini,matendo yake mkuu na ya ajabu,Amen amen!

  • @rosesubi3842
    @rosesubi3842 5 лет назад +7

    kwa jina la yesu wachawi washindwe.

  • @dianakhasila2587
    @dianakhasila2587 3 года назад

    Kupindia Kwa hii maombi wale wachawi wanao nizunguka kama wako mjini ama kijijini natuma roho wa mungu akawahangamize wote Kwa siku tatu

  • @hechihechie5558
    @hechihechie5558 5 лет назад +1

    Nachojua Mungu anaweza yote,pia najua shetani hauwawi,wala hafi,jamanie shetani hafi someni biblia vzr

  • @savelangonyani1049
    @savelangonyani1049 5 лет назад +7

    Tuliookoka tunajibu kwa roho Wa Mungu hatupambambani kwa mwanafunzi matusi

  • @emmanuellodrick1783
    @emmanuellodrick1783 5 лет назад +6

    Kama umeona comment za waislam n za kumzomea mchungaj we2 angusha like.....Mungu wa mbingun ndie mkuu we2

  • @estasage5506
    @estasage5506 4 года назад +1

    Kwa nini mchungaji haumuombei hiyo sekuseku iondoke? Mchungaji Gwajima ni unique hakika

  • @mohamedhamis6507
    @mohamedhamis6507 5 лет назад +5

    muha wa kigoma uyoooooooo. ..haya ni maigizo kama maigizo ya kingwendu tu...Njaa ni hatar jamani.

  • @muhamedswaleh7660
    @muhamedswaleh7660 3 года назад

    Hahaha Hahahaha jamani uongo wa mapasta umezidi inaezekanwa amemlipa huyumtu aje aonyeshe watu yeye ni pasta wakweli hahaha kali sana tushawazoeya.

  • @credosowo2822
    @credosowo2822 6 месяцев назад

    Mi nipo Moçambique

  • @magrethmallya9805
    @magrethmallya9805 2 года назад +1

    Ameen

  • @mosesmwakalibule9904
    @mosesmwakalibule9904 5 лет назад +5

    Mungu ni pendo.....

  • @mamapeace3092
    @mamapeace3092 4 года назад +2

    Kuna waislamu ndio hatari kwa majini exactily nina shemeji yangu hivo kama huyu mtu ndio kazi yake wachawi hodari

  • @KhadijaJacob
    @KhadijaJacob Месяц назад

    hiii jmn 😭 shetan anatesa watu Mungu wangu 😭😭😭

  • @profduncanhenrysisya9999
    @profduncanhenrysisya9999 3 года назад +3

    People must repent from their sins and be baptized into Christ to receive forgiveness of sins and the gift of the Holy Spirit (Acts 2:38).

  • @priscahenry6379
    @priscahenry6379 3 года назад +1

    Mungu anaweza

  • @fatmaluvuno1032
    @fatmaluvuno1032 3 года назад

    Jamal kma n ukwel na aunty yngu miguu aifanyikaz xo ntapta VP uyo mchungaji jaman

  • @paskalmichael6658
    @paskalmichael6658 3 года назад

    Mbarikiwe sana

  • @bonitambunda72
    @bonitambunda72 5 лет назад +2

    Kaziyako si bire nabii

  • @yasmineaaa708
    @yasmineaaa708 5 лет назад +20

    Roho mtakatifu endelea kufichua wachawi wote wafe kwa jina la yesu

    • @mwalimumhunzi6694
      @mwalimumhunzi6694 5 лет назад

      Mungu wakweli awafichue Manabii wa Uwongo, mchawi na mlozi niwatu wakuchoma.

    • @binallysaid7280
      @binallysaid7280 5 лет назад

      Yasmine Aaa hhhhhh

    • @yasmineaaa708
      @yasmineaaa708 5 лет назад

      @@binallysaid7280 fire

    • @nasibumaiko3425
      @nasibumaiko3425 5 лет назад

      Yasmine Aaa nyie endeleeni kujazwa ujinga mazwazwa nyie

    • @yasmineaaa708
      @yasmineaaa708 5 лет назад

      @@nasibumaiko3425 Nafuta kwa damu ya yesu yakurudie mwenyewe

  • @jacksonmodaha1590
    @jacksonmodaha1590 5 лет назад +1

    Mm Sasa haya maisha Mungu atusaidia

  • @ChancyLuhasa
    @ChancyLuhasa 5 лет назад +1

    Mchungaji unaongea sana, umwache ushuhudiye mwenyewe. Kwa nini maswali mengi? Ushuhuda unajenga kanisa. Leo watumishi wanapenda kuonekana kama wao wanajua sana. Na kama ni ma star.

  • @nuruhemedy7242
    @nuruhemedy7242 5 лет назад +5

    Kama unafatilia comments zote za kudhihaki n zawatu went majina ya kiislam lakin wenye majina kutoka kwa kristo wote wamekiri Moto wa

  • @natyvan4071
    @natyvan4071 5 лет назад +4

    YESU wa kweli pigana na manabii was uwongo na pastor was uongo

  • @alphoncinajohn748
    @alphoncinajohn748 5 лет назад +3

    Mungu ni Mwema ni pendo apenda watu. Amen

  • @semajororubabaza3399
    @semajororubabaza3399 5 лет назад +3

    Mungu asifiwe Dana!

  • @shabanikitogo6613
    @shabanikitogo6613 5 лет назад +6

    Kwanza huyo afanani na uislamu na wewe Mchungaji koma kuwaona waislamu wanahusika na uchawi koma ubili unavojua.

  • @AmosiMicha-cs5sh
    @AmosiMicha-cs5sh 3 месяца назад

    Yesu asante

  • @clementbankuwiha8613
    @clementbankuwiha8613 5 лет назад +5

    mb mnatuibia , harafu mnatuigizia

  • @masungwasalumu1278
    @masungwasalumu1278 4 года назад +1

    Mnao pinga bado hayajayakuta IPO siku mtakubali tu hayo yanaonekana hapo ni dhahir

  • @hekimakihaliye3455
    @hekimakihaliye3455 4 года назад +1

    Ni nabii gani alikuwa kama wew

  • @danielshantiwa7830
    @danielshantiwa7830 3 года назад

    Nawapenda wrote!

  • @Jackson35320
    @Jackson35320 5 лет назад +4

    watching from Kenya.

  • @joshuakimario5764
    @joshuakimario5764 6 месяцев назад

    A cheni usanii hubirini injili ya kweli kila siku uchawi hamna injili

  • @hemedmtunguja9788
    @hemedmtunguja9788 5 лет назад +8

    Mshenzi kaokotwa kigoma mpakanoi mwa burund ajitoe ushuhuda

    • @lamerocklamerock
      @lamerocklamerock 5 лет назад

      ww ni mwema unadilik kutukana?¿???

    • @annievibes8794
      @annievibes8794 5 лет назад

      mwislam gani hajui kutamka jina la Abdallah hahaha

  • @alimussa2655
    @alimussa2655 5 лет назад

    Muaji mmoja tu na yeye ni mwenyezi mungu mwenye kuumba mbingu arzi na vilivyomo ndani ya dunia na akhera

  • @hamadrajab8042
    @hamadrajab8042 5 лет назад

    dunia ya mwisho maafa yamejaa nasi bado tunasaka Tonge kupitia jina la mungu wacha mungu atuadhibu mpaka atosheke

    • @frankjohn8570
      @frankjohn8570 5 лет назад

      Hamad Rajab kumbe wewe unakachembe ka Nuru hadi umelijua JINA LA Mungu wengi hawajui kama Mungu anajina mpaka waokoke

  • @clarajoan8100
    @clarajoan8100 3 года назад

    Nitakufikia vip jamani baba anakufa na ugonjwa aijulikani, hospitali tumeenda akuna ugonjwa

  • @happygirl5141
    @happygirl5141 5 лет назад +12

    Ukombozi ni moto jaman nimewamic watu wa mungu niko Australia nawapenda jaman mniombee nabii malisa fichua babaang.

  • @josphinemunyiri6495
    @josphinemunyiri6495 3 года назад

    Nice

  • @albusaidkhelef6655
    @albusaidkhelef6655 5 лет назад +8

    Uongo sio jina lake na huo sio muislam

  • @joshuakamage1817
    @joshuakamage1817 5 лет назад +5

    Kwa hakika mtakuja mchomwe mito ikumbukwe cku ya qiyama inakuja

  • @FransiscoBwire-xe3ui
    @FransiscoBwire-xe3ui Год назад

    Hakika mungu anawez

  • @nandysendekwa1139
    @nandysendekwa1139 5 лет назад +2

    mnapenda kukshf din ya kislm

  • @annamkilo3133
    @annamkilo3133 3 года назад

    Yesuuu ni siraha yetu