Rafiki Aliyeshambuliwa Na Majambazi Kwa Kuzuia Sadaka | Rev. Dr. Eliona Kimaro

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 56

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 23 дня назад +2

    Mtumishi wa kweli baba mungu akulinde tuombe 🙏 🙏

  • @Suzanasongoro-e7w
    @Suzanasongoro-e7w 22 дня назад +2

    Mungu akubariki baba

  • @sakilusimon1238
    @sakilusimon1238 2 дня назад

    Amina 🙏🙏🙏🙏

  • @silashemed4849
    @silashemed4849 8 месяцев назад +7

    Nabarikiwaga wana na Shuhuda zilizohai,
    Mungu Akubariki Mchungaji

  • @Frosita
    @Frosita 8 месяцев назад +4

    This pastor yuko really sana..Mchungaji unaponya mioyo ya wengi Mungu azidi kukuinua kwa viwango.vya juu zaidi..sio.maya ya kwanza nasikia huu ushuhuda kinywani mwako.Yesu akutunze.

  • @ArmstrongJerry-f9d
    @ArmstrongJerry-f9d 3 месяца назад +1

    Mchungaji Kimaro, Mungu aendelee kakutumia daima

  • @elichiliameela3204
    @elichiliameela3204 7 дней назад

    AMEEN

  • @mkdg.4skolo891
    @mkdg.4skolo891 8 месяцев назад +2

    Kuna mpumbavu mmoja asiyejua ibada kule juu kakoment ujinga wake lakni Bwana atamwonesha njia kwa nguvu.eti anasema hyo ni njia ya kuchochea watu watoe sadaka yaani nimemshangaa sna yeye mwnyew hko kwa ibada zake anatoa mikafara yao ya kila namna ambayo ni machkizo kwa Mungu sas sisi wapendwa kutiwa moyo kutoa sadaka kunatatizo gani kwa mifano hai kam hii.pastor kimaro ubarikiwe sana na Mungu azndi kupandisha juu zaidi tunazipokea sana shuhuda byako na zinatujenga sanaa

  • @Rogathe-Rogathe
    @Rogathe-Rogathe 8 месяцев назад +3

    Amen Amen Amen 🙌🙌ponya roho za wengi Baba!!

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 8 месяцев назад +4

    HONGERA NA ASANTE KWA shuhuda nzuri na TAMU KULIKO ASALI

  • @mkdg.4skolo891
    @mkdg.4skolo891 8 месяцев назад +30

    Baada ya hilo na mm ninashuhuda nilikuw niko na boda boda yngu nafanys kazi zangu as usual nilikuwa natoa sadka na fnu tena kila wiki.lakn huwezi amini nilipoanza kuona hela inanizidi nguvu kazi za uhakika nikajisahau kdgo sas wew unayesema sadaka haiongei angalia tukio langu .siku hiyo basi likanifata sehem 1hvi mkoa wa pwni na ghafla chombo kikaisha upepo nikaangukia pembeni zaidi nikavunjia sehemu ambayo ni kumbkumb hadi leo kwmba hii ni kwa sababu ya kutokutoa fungu la kumi na kutokujiungamanisha kikamilifu na madhabahu ya Mungu alyehai mana ningesaidika kama Mungu angeliakuwa na kitu nimemkabidhi juu ya ulinzi wangu ushukuriwe baba unatuweka kwnye mstari kikamilifu snaa

    • @SiaeliMeena
      @SiaeliMeena 8 месяцев назад +2

      Umenifundisha kitu kikubwa sana , barikiwa

    • @dorothhokororo5301
      @dorothhokororo5301 7 месяцев назад +3

      Hakika namuona Mungu kupitia Mahubiri Yako Mungu nisaidie nivuke hapa nilipo nisonge mbele

    • @saleheluvanga9929
      @saleheluvanga9929 7 месяцев назад

      Ameeeen

    • @joanedmundR
      @joanedmundR 7 месяцев назад +2

      Hata nami kwa kushidwa kutoa fungu la kumi na kazi nkasimamishwa😢 # ila Mungu wetu n wa rehema anatupatia nafasi nyngne ya kutengeneza🙏🏼

    • @josephsilayo9416
      @josephsilayo9416 13 дней назад

      Ppl

  • @elichiliameela3204
    @elichiliameela3204 7 дней назад

    AMEEN SANAAA

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 20 дней назад

    Hallelujah ❤❤❤

  • @Sesiliangowi
    @Sesiliangowi 21 день назад

    Amina Mchungaji wangu

  • @zainabuathumani2571
    @zainabuathumani2571 Месяц назад

    Amen mtumishi wa Mungu hivyo ndiyo inatakiwa Mungu awatunze huduma yako

  • @KissaSampeta
    @KissaSampeta 7 месяцев назад

    Mchungaji Hakika Mungu aendelee kukupandisha zaidi ktk viwango vya juu. Mafundisho yako yananijenga. Asante

  • @Lawrence-b3v
    @Lawrence-b3v Месяц назад

    I love your teachings mchunjaji

  • @MajidiMajidi-iz9vr
    @MajidiMajidi-iz9vr 8 месяцев назад

    Mchungaji kimaro mungu akubariki sana kwa mafundisho yako unaponya wenigi ndani ya mioyo iliyoumia

  • @unclesammykaniki1184
    @unclesammykaniki1184 7 месяцев назад

    Mchungaji kiongozi Mungu akubariki sana masomo yako mazuri yanafundisha vizuri.

  • @joynessmhalila226
    @joynessmhalila226 7 месяцев назад

    Mungu akutie nguvu, na akubariki snaa kwa mafundisho Mazur.

  • @CharlesNyellenga
    @CharlesNyellenga 6 месяцев назад

    Mchungaji nakupenda xana mungu aku

  • @gracebuhatwa6359
    @gracebuhatwa6359 Месяц назад

    Mungu nisaidie

  • @MecksonYotham
    @MecksonYotham 6 месяцев назад

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @HelenMalaki
    @HelenMalaki 3 месяца назад

    Mungu akubariki

  • @MeryMbaga-y4n
    @MeryMbaga-y4n Месяц назад

    ❤❤❤

  • @Joel-t5e
    @Joel-t5e Месяц назад

    Ameen

  • @KevinPablo-f3m
    @KevinPablo-f3m 5 месяцев назад

    Ameeeeniii

  • @MecoMathew
    @MecoMathew 3 месяца назад

    Amen

  • @MjataMjata-n5n
    @MjataMjata-n5n 7 месяцев назад

    Ubarikiwe mchungaj

  • @elizabethmkayula8770
    @elizabethmkayula8770 7 месяцев назад

    Nabarikiwa na shuhuda hizi

  • @CharlesNyellenga
    @CharlesNyellenga 6 месяцев назад

    😢 amen

  • @JoshuaAndrew-q4n
    @JoshuaAndrew-q4n 7 месяцев назад

    Mchungaji barikiwa sawa

  • @williamjumbe1988
    @williamjumbe1988 8 месяцев назад +7

    Pastor napenda mahubiri yako, mungu ananisaidia pia kupitia wewe, nakuomba niombee pia nipige hatua pia, unajua pastor kuna watoto wa mungu kila tunalofanya aliendi,
    Mpaka uwezi amini kuna kazi nyingi nisha pata lakini zote nakosana na mabosi nafukuzwa, mpaka ya mwisho mwisho nikaambiwa nitoe sadaka ya malimbuko lakini siku natoa
    Nikafukuzwa kazi uwezi amini siku hiyo hiyo
    Tuombee roho ya kibari

    • @williamjumbe1988
      @williamjumbe1988 8 месяцев назад +2

      Najua kulingana na status yenu nyie wachungaji wakubwa ni ngumu Sisi watu wa kawaida kupata nafasi ya kuongea na nyie hila naamini, ukisema kitu tu ntafunguliwa

  • @yustardrwamgurwa
    @yustardrwamgurwa 7 месяцев назад

    Mimi nisteven Rwamgurwa nabii nashida nasmbuliwa nguvu za kiume pia na uchumisina maisha naomba unisaidie mimi niko dodoma

    • @samsonngailo9489
      @samsonngailo9489 29 дней назад

      Kwa Jina la Mwenyezi Mungu umepona mda huu Mungu ni Sasa mwamini Mungu tu

  • @AmaniMathias-x1g
    @AmaniMathias-x1g 7 месяцев назад +1

    Sadaka sio kitu cha kumpima mungu lazima tujitambue wapendwa

    • @davidkamando9630
      @davidkamando9630 7 месяцев назад

      Kwani Mungu alimwambie Ibrahimu amtoe sadaka mwanawe wa pekee?

    • @AmaniMathias-x1g
      @AmaniMathias-x1g 7 месяцев назад

      @@davidkamando9630 kwanza lazima ujue ile sadaka ilikuwa inamfunua nani na nini mungu alikuwa anataka akioni kwa ibraimu

  • @erickasenga2594
    @erickasenga2594 8 месяцев назад +3

    Tunapata uponyaji wa nafsi kupitia mafundisho haya baba

  • @MnmTv255
    @MnmTv255 6 месяцев назад +1

    MUNGU WETU WA MBINGUNI NI MKUU HAPA DUNIANI

  • @teresateresa6905
    @teresateresa6905 8 месяцев назад +2

    Napokea vitu vizur kwa kujifunza na kunikumbusha eeee Mungu nisaidie animalize nadhali nilio weka

  • @joynessmhalila226
    @joynessmhalila226 7 месяцев назад +1

    Nikweli kabisaa sadaka inanguvu Sana, ww usiye amin, ungejaribu kutoa sadaka uone nn Mungu anakifanya kwako,
    Hata Mungu amesema nijaribuni kwa kutoa dhabihu zenu,

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 7 месяцев назад

    Sadaka ni kitu kingine aisee

  • @joycenganyule3231
    @joycenganyule3231 8 месяцев назад

    Sio mchungaji wa magumasi

  • @AnithaRiwa
    @AnithaRiwa 8 месяцев назад

    Mkihaidi mbatizwee na na mengi mim nilisakehewa

  • @thelivingwordchannel9027
    @thelivingwordchannel9027 8 месяцев назад

    Kwahiyo Mungu alisema huyo mtu kashambuliwa sababu hakutoa pesa? Mbinu za kuwatia watu hofu watoe pesa tu hamna lolote!

    • @johnkimambo3
      @johnkimambo3 3 месяца назад

      Shalom wewe, kama huelewi som, uliza. Nina uhakika huelewi maana ya sadaka. Naomba uwe mwangalifu na sms au kuingia jambo kama hukijui.

  • @MajidiMajidi-iz9vr
    @MajidiMajidi-iz9vr 8 месяцев назад +2

    Mchungaji kimaro mungu akubariki sana kwa mafundisho yako unaponya wenigi ndani ya mioyo iliyoumia

  • @LyimoMhagama
    @LyimoMhagama 3 дня назад

    Ameen