Nikweli kabisa!! nimeshuhudia mama yangu mzazi alivyotupambaniapaka baadh yetu tunafanikiwa,lakini baada ya mafanikio vikainuka vikwazo vyaibilisi mama yangu akaugua akafa😢😢😢😢😢 bila kula matunda ya watoto wake 😢hakika inauma
Nawachukia sn wanawake wa style hii, yaan wakiolewa wanawadharau wakwe zao,wanasahau kuwa bila kusomesha hao waume zao,wasingewaona, ila malipo ni dunian,unawasahau wazazi wako kisa mwanamke😢😢
Mchngaji Kimaro umenena ukweli,ni ulimbukeni tu,wamama tunamaneno mengi mno wengine uwachukia wakwe zao bila sababu,ni ujinga na ushamba.huo ni upande mmoja,mchungaji angalia upande wa pili wa muolewaji anayotendewa.
Kweli kabisa, inasikitisha Sana kuona wanawake nyakati hizi wanavyodhani kuwa wana uhalali wa waume zao kuliko familia iliyompa support mpaka alipofika.
Kweli hao manabii baadhi wamekua wapiga lamuli wanaotumia jina la yesu wanaomjua wao SI yesu kilisto wa nazareti aliye hai miji mikubwa imevamiwa sana tunaomba mungu wakweli aonekani bila hivyo kunamadhala makubwa sana asante mtumishi kwa mafundisho mazuri ameni
Amen Mungu anisaidie na mimi sasa hivi naitwa mchawi ninaua watoto wa mwanangu wa kwanza wa kiume mwanamke anayeishi naye ananiita mchawi hivyo sithubutu kwenda kumhona mjukuu wangu japo moyo unaniuma na anadai amekwenda kwa nabii akamwambia watoto wako Wanatogwa na mama wa mwanaume wako. Mungu atusaidie.
Mungu akubariki sana
Nikweli kabisa!! nimeshuhudia mama yangu mzazi alivyotupambaniapaka baadh yetu tunafanikiwa,lakini baada ya mafanikio vikainuka vikwazo vyaibilisi mama yangu akaugua akafa😢😢😢😢😢 bila kula matunda ya watoto wake 😢hakika inauma
Acha tu mama yangu pia yaani niliumia sana kama mshale aliondoka
Actually wanaoona wapo ,semw huyo bint alikosea pa kwenda
Mch.Kimaro hili jambo limeniumiza sana sana.Hawa MANABII wanachonganisha sana watu hata zaidi ya Waganga wa Kienyeji.
Kwa kweli hizi tabiri chonganishi sio nzuri sana,Amina
Bwana Yesu akubariki mchungaji akuinue zaidi na zaidi,roho chonganishi zimetenganisha familia
Kabisa mchungaji kama siyo mama wewe ungemkuta huyo mume wako? Jamani kumbukeni wa mama waliozaa hao waume zenu.
Nawachukia sn wanawake wa style hii, yaan wakiolewa wanawadharau wakwe zao,wanasahau kuwa bila kusomesha hao waume zao,wasingewaona, ila malipo ni dunian,unawasahau wazazi wako kisa mwanamke😢😢
Mchngaji Kimaro umenena ukweli,ni ulimbukeni tu,wamama tunamaneno mengi mno wengine uwachukia wakwe zao bila sababu,ni ujinga na ushamba.huo ni upande mmoja,mchungaji angalia upande wa pili wa muolewaji anayotendewa.
Kweli kabisa, inasikitisha Sana kuona wanawake nyakati hizi wanavyodhani kuwa wana uhalali wa waume zao kuliko familia iliyompa support mpaka alipofika.
Hao wanabii wa uwongo kweli Mungu awashughulikie kwa namna iwayo
Wachonganishi wakubwa
Kweli hao manabii baadhi wamekua wapiga lamuli wanaotumia jina la yesu wanaomjua wao SI yesu kilisto wa nazareti aliye hai miji mikubwa imevamiwa sana tunaomba mungu wakweli aonekani bila hivyo kunamadhala makubwa sana asante mtumishi kwa mafundisho mazuri ameni
Lanye oko
Asante mchungaji kwa ujumbe mzuri nikweli nisingemzaa huyo mme angempata wapi na kwanini nimroge mjukuu nisimroge baba yake
Mmhhhhhh mungu awaone hao wanaogawa familia za watu!wawe wakamwana au wakwelima! M/mungu asiwacheleweshe kuwalipa ubaya wao😮
Amen, Nayakubali maneno yako, na mimi nina mtoto mmoja, Mungu anikumbuke!!
NAMI pia
Amen Mungu anisaidie na mimi sasa hivi naitwa mchawi ninaua watoto wa mwanangu wa kwanza wa kiume mwanamke anayeishi naye ananiita mchawi hivyo sithubutu kwenda kumhona mjukuu wangu japo moyo unaniuma na anadai amekwenda kwa nabii akamwambia watoto wako Wanatogwa na mama wa mwanaume wako. Mungu atusaidie.
Pole sana pole Tena naelewa mapito yako,Kaa utulie ukihisi maumivu Sali,majibu watayaona! HAYA mambo yapo sana Tena Kwa wingi
Malipo ni hapahapa dunian
Ukimfanyia mama wa mwenzako vibaya na wewe utafanyiwa hivyo hivyo
Yaani Mungu atupiganie wazazi
Sina hamu na hao wanaojifanya wanaona
Wanagombanisha watu sana muda mwingine
Mm niliambiwaga ni mganga yan
Mungu atusaidie
Tikskwcpa
Hfujfjtfuaw
Inaumiza kwa kwelii
🥹😭😢🥺
Haya mambo yapo kwa kuhani mussa
Na kiboko ya wachawi
Yaani mimi sijawahi kwenda kwake ila rafiki yangu anaabudu huko kila house girl wake anaambiwa mchawi
Apandacho mtu ndicho anacho vuna utavuna tu
Kwa kweli