Kisa Cha Mama Mkwe Kuitwa Mchawi | USHUHUDA | Rev. Dr. Eliona Kimaro

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 34

  • @JacksoniJoseph
    @JacksoniJoseph 2 месяца назад

    Mungu akubariki sana

  • @felistamwashibanda7764
    @felistamwashibanda7764 3 месяца назад +6

    Nikweli kabisa!! nimeshuhudia mama yangu mzazi alivyotupambaniapaka baadh yetu tunafanikiwa,lakini baada ya mafanikio vikainuka vikwazo vyaibilisi mama yangu akaugua akafa😢😢😢😢😢 bila kula matunda ya watoto wake 😢hakika inauma

    • @neemataris3273
      @neemataris3273 3 месяца назад +1

      Acha tu mama yangu pia yaani niliumia sana kama mshale aliondoka

  • @RehemaKawogo
    @RehemaKawogo 2 месяца назад

    Actually wanaoona wapo ,semw huyo bint alikosea pa kwenda

  • @nicksonshoo429
    @nicksonshoo429 3 месяца назад +2

    Mch.Kimaro hili jambo limeniumiza sana sana.Hawa MANABII wanachonganisha sana watu hata zaidi ya Waganga wa Kienyeji.

  • @neemalaurent9836
    @neemalaurent9836 3 месяца назад +3

    Kwa kweli hizi tabiri chonganishi sio nzuri sana,Amina

  • @lizpallangyo8057
    @lizpallangyo8057 3 месяца назад +2

    Bwana Yesu akubariki mchungaji akuinue zaidi na zaidi,roho chonganishi zimetenganisha familia

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 3 месяца назад +1

    Kabisa mchungaji kama siyo mama wewe ungemkuta huyo mume wako? Jamani kumbukeni wa mama waliozaa hao waume zenu.

  • @RehemaChisonjela
    @RehemaChisonjela 3 месяца назад +1

    Nawachukia sn wanawake wa style hii, yaan wakiolewa wanawadharau wakwe zao,wanasahau kuwa bila kusomesha hao waume zao,wasingewaona, ila malipo ni dunian,unawasahau wazazi wako kisa mwanamke😢😢

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 2 месяца назад

    Mchngaji Kimaro umenena ukweli,ni ulimbukeni tu,wamama tunamaneno mengi mno wengine uwachukia wakwe zao bila sababu,ni ujinga na ushamba.huo ni upande mmoja,mchungaji angalia upande wa pili wa muolewaji anayotendewa.

  • @mariamluther9219
    @mariamluther9219 2 месяца назад

    Kweli kabisa, inasikitisha Sana kuona wanawake nyakati hizi wanavyodhani kuwa wana uhalali wa waume zao kuliko familia iliyompa support mpaka alipofika.

  • @KissaSampeta
    @KissaSampeta 2 месяца назад

    Hao wanabii wa uwongo kweli Mungu awashughulikie kwa namna iwayo
    Wachonganishi wakubwa

  • @LusajoKabuka
    @LusajoKabuka 2 месяца назад

    Kweli hao manabii baadhi wamekua wapiga lamuli wanaotumia jina la yesu wanaomjua wao SI yesu kilisto wa nazareti aliye hai miji mikubwa imevamiwa sana tunaomba mungu wakweli aonekani bila hivyo kunamadhala makubwa sana asante mtumishi kwa mafundisho mazuri ameni

  • @EvenaManjira
    @EvenaManjira 2 месяца назад +1

    Lanye oko

  • @LenahAlindaMashasi
    @LenahAlindaMashasi 2 месяца назад

    Asante mchungaji kwa ujumbe mzuri nikweli nisingemzaa huyo mme angempata wapi na kwanini nimroge mjukuu nisimroge baba yake

  • @JulianaChacha-k5b
    @JulianaChacha-k5b 2 месяца назад

    Mmhhhhhh mungu awaone hao wanaogawa familia za watu!wawe wakamwana au wakwelima! M/mungu asiwacheleweshe kuwalipa ubaya wao😮

  • @restitutapetro4705
    @restitutapetro4705 3 месяца назад +1

    Amen, Nayakubali maneno yako, na mimi nina mtoto mmoja, Mungu anikumbuke!!

  • @neemakijazi2363
    @neemakijazi2363 2 месяца назад

    Amen Mungu anisaidie na mimi sasa hivi naitwa mchawi ninaua watoto wa mwanangu wa kwanza wa kiume mwanamke anayeishi naye ananiita mchawi hivyo sithubutu kwenda kumhona mjukuu wangu japo moyo unaniuma na anadai amekwenda kwa nabii akamwambia watoto wako Wanatogwa na mama wa mwanaume wako. Mungu atusaidie.

    • @jovanafidelis2802
      @jovanafidelis2802 2 месяца назад

      Pole sana pole Tena naelewa mapito yako,Kaa utulie ukihisi maumivu Sali,majibu watayaona! HAYA mambo yapo sana Tena Kwa wingi

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 3 месяца назад +1

    Malipo ni hapahapa dunian

    • @VictoriaZakaria-d3n
      @VictoriaZakaria-d3n 2 месяца назад

      Ukimfanyia mama wa mwenzako vibaya na wewe utafanyiwa hivyo hivyo

  • @ReginaMeitanavi
    @ReginaMeitanavi 2 месяца назад

    Yaani Mungu atupiganie wazazi

  • @sonicaghendewa9886
    @sonicaghendewa9886 3 месяца назад

    Sina hamu na hao wanaojifanya wanaona
    Wanagombanisha watu sana muda mwingine

  • @TumpeFord-om1wv
    @TumpeFord-om1wv 2 месяца назад

    Mungu atusaidie

  • @fleviahella9818
    @fleviahella9818 3 месяца назад

    Tikskwcpa
    Hfujfjtfuaw

  • @FlorenceJohn-z5n
    @FlorenceJohn-z5n 3 месяца назад

    Inaumiza kwa kwelii

  • @happiness_713
    @happiness_713 3 месяца назад

    🥹😭😢🥺

  • @MaishaBabu-m2g
    @MaishaBabu-m2g 3 месяца назад

    Haya mambo yapo kwa kuhani mussa

    • @annamwakibinga527
      @annamwakibinga527 3 месяца назад

      Na kiboko ya wachawi

    • @ReginaMeitanavi
      @ReginaMeitanavi 2 месяца назад

      Yaani mimi sijawahi kwenda kwake ila rafiki yangu anaabudu huko kila house girl wake anaambiwa mchawi

  • @joycekambuga6286
    @joycekambuga6286 2 месяца назад

    Apandacho mtu ndicho anacho vuna utavuna tu

  • @tinamwashilindi6807
    @tinamwashilindi6807 3 месяца назад

    Kwa kweli