SIYO KILA MUUJIZA NI WA MUNGU•KWA SASA MIUJIZA NA UPAKO VINAUZWA MADUKANI 20M | Mch.Amiel Katekela

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.13322701
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Комментарии • 291

  • @AnnaKayanza
    @AnnaKayanza 2 месяца назад +2

    Ubarikiwe san,mtumishi wa Mungu,yaan nimechok kbs mungu atusaidie na Hawa manabii wadunia hii.

  • @RachelEmid-jq6eo
    @RachelEmid-jq6eo 6 месяцев назад +20

    Sichokagi kumskiliza huyu mchungaji jmn hakika ww umetumwa na Mungu uokoe kondoo waliopotea Mungu akubarik sana🙏🙏

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 6 месяцев назад +1

      Yesu alisema sikutumwa bali kwa kondoo waliopotea wanyumba ya Israel je wewe nimuisrael??? Au haya maneno aliyo sema yesu niuongo ?? Alidanganya kwamba yeye hakutumwa Bali kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israel???

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 6 месяцев назад

      @@zaidiissa3714 WE NAE TUPISHE SIE, KWANI HUO UISLAM WA BABAKO HUKO MAGWEPANDE? SI LIMUNGU LA KIARABU...NENO LINASEMA WAGALATIA 3:13-14 "Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kuchukua laana hiyo kwa ajili yetu, kwa maana imeandikwa, “Mtu anayetundikwa msalabani amelaaniwa.” 14 Lakini alitukomboa ili baraka aliyo pewa Abrahamu iwafikie na watu wa mataifa mengine kwa njia ya Yesu Kristo. Na kwa kutegemea imani, sisi tupate kupokea Roho Kwa njia ya aman".......
      SISI TUPO BUSY TUNASKILIZA NENO WE UNACHOWAZA UFALA WAKO KUTAKA KUBISHANA, ILI MRADI TU KUTUVURUGA USHINDWE KWA JINA LA YESU...KACHEZE UNAKO CHEZAGA

    • @SylvesterMakenzie
      @SylvesterMakenzie 6 месяцев назад

      ​@@zaidiissa3714uislamu na ukristo wapi na wapi?kasubiri kuzimu wanawake wenye matako makubwa na macho kama kikombe 😅😅😅😅😅😅

  • @JohnAssey-g7v
    @JohnAssey-g7v 3 месяца назад +4

    Namshukuru mungu wa mbinguni kukuokoa kutoka kuzimu shuhuda zako zinafungua upeo kupitia mahubiri Yako mama mwenye nyumba kafoka sana mungu amsamehe maana nguvu za Giza zinamwandama

  • @ReubenMbanga
    @ReubenMbanga 6 месяцев назад +6

    Ubarikiwe mtumishi katekela, watu wamevutwa na upako wa
    Shetani.

  • @faithe4063
    @faithe4063 7 месяцев назад +58

    Najaribu kushare huu ujumbe kwa mamangu ila aelewi amefungwa na awa manabii adi kuomba siku izi anaomba hivi Mungu wa nabii 😢yani jina la Yesu limetoeka kinywani mwake kabisa, sijui ni lini neema ya Mwenyezi Mungu litaokoa mamangu

    • @annkim2690
      @annkim2690 7 месяцев назад +7

      Mungu amsaidie mjulishe kuhusu hii channel ya promoverTV

    • @IbrahimMgimba
      @IbrahimMgimba 7 месяцев назад +3

      Amini kua wewe ni daraja lake kumwamini Mungu aliye hai kama mama yangu pia alivyoanza kubadilika.. Mungu amsaidie Amina

    • @myself4128
      @myself4128 7 месяцев назад +2

      Ukishasikia Mkristo anaongelea Madhabahu za manabii anajiungamanisha ujue basi ni Msukule,Mitume na manabii wote waongo sababu Nabii hajawahi Kuongoza Kanisa,Neno la Mungu linayoaha kuponya hauhitaji Mafuta wala maji wewe uendelee kumuombea tu ipo siku atakombolewa!

    • @faithe4063
      @faithe4063 7 месяцев назад +1

      @@myself4128 yeah sitakata tamaa nitaomba ata kufunga Mam wangu ndio alinifanya nimjue Yesu kwa hiyo sipendi apoteswe na awa waongo

    • @faithe4063
      @faithe4063 7 месяцев назад +1

      @@annkim2690 ata uwa na share ili azikilize mwenyewe ila unajua awa manabii sijui wakona na kifumba macho asikii kweli atakubali leo kesho unasikia ameenda uko 😭neema ya Yesu imkumbuke tu

  • @MichaelKimaro-rv2px
    @MichaelKimaro-rv2px 16 дней назад

    Mungu akutunze Mchungaji kwa mahubiri yako n ufunuo wa vichwa vyetyuu Amina

  • @leticiamakoye4871
    @leticiamakoye4871 7 месяцев назад +9

    Mnaompinga amieli kaeni kimya na BWANA wetu YESU kiristo wa nazaleti awakemee.

  • @Bénigne-k4x
    @Bénigne-k4x 7 месяцев назад +12

    Mch,Katekela mimi nakupata sana nikiwa Burundi,MUNGU akutumie zaidi hakika ww ninabiii wanyati zamwisho,Ee Tanzania mumebarikiw kuwapata watumishi kama katekela,karibu kwetu Burundi kabisa,Tanzania mumepata neema kuwapata watumishi wazuri kama hao na msipo pokea hiyo neema mtakuw mumelogwa sisi huku burundi tutaipokea tu!Katekelaaaaa YESU KRISTO abarikiw ndani yako,na penda hiyo mtu mzima hatishiwi nyauuu

  • @fadhilimrope5134
    @fadhilimrope5134 3 месяца назад +2

    Mtumishi Mungu akubariki sana, tuambie ukweli ili tupone, kwa kweli Bwana Yesu atuokoe,

  • @peninahndinda2874
    @peninahndinda2874 5 месяцев назад +2

    Ameen mchungaji katekela na Mungu azidi kukuwezesha kufumbua huu ukweli kwa ulimwengu wote

  • @makoti77
    @makoti77 7 месяцев назад +3

    Huyu ndo katekela tunayemjua sisi sasa,Wuuuuuh Hatari sana.. piga baba MUNGU yuko pamoja na wewe, na sisi tunakuombea.. maana hapa katikati ulianza kuwa na hekima flani unapozesha maneno, ila hii ndiyo dawa yenyewe imeingia...🙌🙌🙌🙌

  • @IBRAHIMSOKONI
    @IBRAHIMSOKONI 4 месяца назад +2

    Mungu azidi kukupigania kamanda wa yesu piga injili ya yesu katekela

  • @joycekaje8755
    @joycekaje8755 7 месяцев назад +7

    Ubarikiwe mno baba Mchungaji, nabarikiwa na mahubiri yako .Nakufuatilia kutoka Uholanzi.

  • @eliasilwimba187
    @eliasilwimba187 7 месяцев назад +2

    Nabarikiwa Babaa,maelfu ya watu wanaenda kuzimu kwa sababu ya kukosa mafundisho sahihi.

  • @pollyneziegelmeire8898
    @pollyneziegelmeire8898 3 месяца назад +1

    Asante sana mtumishi,unayoyasema ni kweli,lakini watu wamefungwa macho,hatuna marifa😢

  • @sarahmaro215
    @sarahmaro215 7 месяцев назад +8

    Bendera chuma mlingoti chuma. Nimependa hiyo,❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @StevenMutale-xt9yj
    @StevenMutale-xt9yj 7 месяцев назад +6

    Mungu wa isaka na yakobo akuinue sema sana mara sabin

  • @MariaMdemu-xt5cv
    @MariaMdemu-xt5cv 7 месяцев назад +20

    Kwakweli ulikuja kutuokiloa wengi ...mimi nimewahi kunywa mafuta ya upako ya nabii mmoja mpaka tulikua tunamwekea kaka etu kwa chakula ili kiu ya pombe na sigara ikate lakini haikukata....lakini namshukuru Mungu sana baada ya kukufahamu mch katekela alinifanya niokoke baada ya kusikia shuhuda zake kwa muda mrefu na alipokua matemela songea niliona analia na kusema mnakataa kuokoka ninyi aaah nililia na nikaokoka japo ilikua ngumu sana ...mpaka leo nimeokoka na namuona Mungu kwa viwango vya juu sana......Nasema mch katelela Mungu amekutuma kwaajiri yetu.....Naubarikiwe na Bwana kwa huduma

    • @peterrulagora7403
      @peterrulagora7403 7 месяцев назад

      Mungu akutunze

    • @SodioNyunga
      @SodioNyunga 7 месяцев назад

      Mafundisho hayo ya mchungaji Katekela ni ya uongo kwa sababu watumishi hao wanakuambia uchukue maji yako ya nyumbani kwako unaomba nao na matokeo yanaonekana. Halafu toa mfano wako wewe wala sio watu waliokufa. Tunataka na wewe ufanye miujiza. Mbona unarukaruka tu?. Umesema miujiza ya Mungu haina formula, mbona unataka wote wafuate akina Moses kulola walivyokuwa wanafanya? Hata mkipiga MANENO hamuwezi. Mbona wagonjwa wenu wanakwenda kuponea kwao? Kinachofanya watu waende kwao ni kwa sababu ninyi hamna upako. Watu wanakaa kwenu na mizigo kama utasa hawapati matokeo. Rudini kwa Mungu Ili awape UPAKO. KULIKO kushambulia. Baada ya Kuwa mmekosa upako, Mungu amegeukia upande wao.

    • @JosephChilemile
      @JosephChilemile 6 месяцев назад

      Mungu akutunze sana. Ushuhuda wako umenigusa....sana
      ..Yesu akukuze katika wokovu...

    • @mutabebwa-bm6pm
      @mutabebwa-bm6pm 6 месяцев назад

      Wote MATAPELI

  • @lusajomwakibinga6912
    @lusajomwakibinga6912 7 месяцев назад +13

    Huwa nabarikiwa Sana kukusikiza kaka God bless you

  • @CuteTe-d5s
    @CuteTe-d5s 2 месяца назад +1

    Asante mungu wangu kunifunuwa macho nkkaona nuru

  • @JohnMsokwa-z6f
    @JohnMsokwa-z6f 3 месяца назад +1

    Kweli mtumi mungu akupe maisha malefu tuzid kujifunz mengi

  • @prosperousbuildingconstruc3500
    @prosperousbuildingconstruc3500 7 месяцев назад +14

    Nakubariana ne waw 100% from Kenya 🇰🇪🇰🇪

    • @israelimarco6465
      @israelimarco6465 6 месяцев назад

      mlete Mungu wa kweli mi naona kama haumleti Mungu wa kweli na kuonysha kwa watu m naona unawapromote

  • @JAMESMUTUNGI-o3b
    @JAMESMUTUNGI-o3b 5 месяцев назад +1

    Asante kwa kumfafanua kristo..utukufu umrudie yesu wa nazareti.Amina

  • @isayalemberua9195
    @isayalemberua9195 6 месяцев назад +2

    mtumishi wa Bwana yesu asifiwe sana umeubiri vizuri sana kazamwendo baba

  • @lulungunda354
    @lulungunda354 7 месяцев назад +2

    Namufatilia sana sana ,ulinivusha mahali,.promover Yesu akutunze na timu nzima,

  • @MeryNaftali
    @MeryNaftali 7 месяцев назад

    Mungu akubariki sana pastor katekela wewe ni mtumishi wa kweli na Mungu amekutuma ili utufungue kwenye uteka wa kuzimu

  • @kelvinchisongela5054
    @kelvinchisongela5054 8 дней назад

    Nakufatilia kutoka gairo morogoro nabarikiwa sana 🙌

  • @MATHELINEFWEMULA
    @MATHELINEFWEMULA Месяц назад

    Asante kwa kutufungua fahamu

  • @BoazRambo
    @BoazRambo 6 месяцев назад

    Mungu atusaidie sana. Mungu akubariki sana.mtumishi wa Mungu.

  • @EricMaingi-f8b
    @EricMaingi-f8b 7 месяцев назад +3

    Amina, mchungaji Amiel, Mungu amekupa Neema kuu.

  • @YudatadeyMassawe
    @YudatadeyMassawe 7 месяцев назад +1

    Mungu akubariki,injili kama hii kwa nyakati zetu inahitajika ili kurudisha waliopote,,

  • @GodfreyLazaro-bu8cy
    @GodfreyLazaro-bu8cy Месяц назад

    Kwa kweli mimi naomba mungu anisamehe sana nilikunywa maji na mafuta ya mtumishi mmoja huku morogoro

  • @SelestinaHamis-dw1gs
    @SelestinaHamis-dw1gs 6 месяцев назад +2

    Amina Amina Mtumish injili isonge mbele kwa jina la YESU

  • @AnatoriaKafifi
    @AnatoriaKafifi Месяц назад

    Asante, sema tupone

  • @leticiamakoye4871
    @leticiamakoye4871 7 месяцев назад +4

    Sema kweli mchungaji wenye masikio wasikie . Wenye macho waone wenye akili watatambua. Wabishi wataangamizwa tumepewa kuchagua uzima na mauti

  • @alexalexander3027
    @alexalexander3027 3 месяца назад +1

    ❤nataman kutumika kama wewe baba nahitaji nitimize ndoto zangu niombee sana

  • @andreasemoja-yn6pz
    @andreasemoja-yn6pz 6 месяцев назад +2

    Mungu wa mbiguni akuzidishe Sana yaani. Hii ya wa totowachanga niliijua siku nyingi Sana huku Chuga

  • @GggyJhh-y4x
    @GggyJhh-y4x 7 месяцев назад +1

    Be blessed pastor amiel katekela am blessed more

  • @rishyatuni
    @rishyatuni 6 месяцев назад +1

    Nabii, Bw Yesu asifiwe. Nimependa kipindi chako. Naomba msaada wako kwa familia yangu Baba

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 6 месяцев назад +1

      Yesu alisema Mimi yesu skutumwa bali wa kondoo waliopotea wanyumba ya Israel jee haya maneno ya yesu kusema Mimi sikutumwa ila kwakondoo waliopotea wa nyumba ya Israel niyauongo???

    • @faithe4063
      @faithe4063 6 месяцев назад

      @@zaidiissa3714 umejipu vyema

  • @ndeletwakidin8717
    @ndeletwakidin8717 6 месяцев назад +1

    Amen ubarikiwe sana mtumishi wa mungu

    • @dianamutachuba1369
      @dianamutachuba1369 2 месяца назад

      Mtumishi Njoo huku kwetu Kilimanjaro Same MAKANYA calvary tupone

  • @EliasHamisi-uy7qo
    @EliasHamisi-uy7qo 7 месяцев назад +5

    MTUMISHI UBARIKIWE SANA KWAKUFANYA LISAJI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO NA KUWAUMBUA WATOTO WA SHETANI

  • @BelithaFedrick
    @BelithaFedrick 6 месяцев назад +1

    Balikiwa sana kwa mafundisho yako ❤❤❤❤❤❤❤

  • @TitoFute
    @TitoFute 4 месяца назад +1

    Mungu akulinde sana

  • @RodahAdonice-dz4sm
    @RodahAdonice-dz4sm 7 месяцев назад +18

    Ilikuwa mwezi wa11 nikiwa nimejifungua kwa opp na mwanagu nikampoteza yule nabii alinambia mpaka mwezi wa1 utakuwa umebeba mimba nayo itakuua sasa tuma sadaka nikukomboe walah alivonambia vile nikakata sim sikumtafuta tena ila mpaka sasa nipo na mimba haijawahi ingia namtukuza Mwenyezi Mungu tangu siku hiyo niliacha kusikiliza hawa wanajiita manabii

    • @HappyMwaigwisya
      @HappyMwaigwisya 7 месяцев назад +6

      Ukisikia tu neno tuma pesa nikuombee basiiiii kimbiaaaaa maombi hayauzwi. Sadaka ni hiari ya moyo. Kama ni Roho Mtakatifu anamuongoza mtumishi kusema utoe Huwa haiwi kama lazima. Manabii wa kweli wapo ila wachache sio kwamba hawapo. Lakin kuwajua LAZIMA uwe na Roho Mtakatifu ndani yako . Bila hivyo hutatofautisha. Ubarikiwe ulikata simu kabisa ndugu v

    • @sarahmaro215
      @sarahmaro215 7 месяцев назад +2

      Ubarikiwe, YESU akutunze na Huyo mtoto aje awe mtumishi wa MUNGU.

    • @LatiphaMwanga
      @LatiphaMwanga 7 месяцев назад +3

      Nafuu ulisanuka mapema maana alikuwa anataka kukufanya wewe kitega uchumi

    • @idrisajaphary8275
      @idrisajaphary8275 7 месяцев назад

      Unafikiri kwa nn manabii watu wanawapenda ni ule upako wa uponyjaji kufufua misekure na unajua hatima sasa uwezi sikia nabii ana mzungumza vibaya mchungaji

  • @kennethchinguku
    @kennethchinguku 6 месяцев назад +1

    Barikiwa pastor watu wamefungwa watu wa Mungu wa kweli hawawataki ,hakuna mafanikio bila bidii (prophet Kenny mbeya

  • @Everlyneaumaauma
    @Everlyneaumaauma 3 месяца назад

    God bless you pastor 🙏.

  • @LovenessHango
    @LovenessHango 6 месяцев назад +1

    Amen mtumshi wa Mungu,,

  • @wilsonkombeyeri4623
    @wilsonkombeyeri4623 6 месяцев назад +1

    Hongela mtumishi bendera chuma mulingoti chuma

  • @LudovikLudovika
    @LudovikLudovika 7 месяцев назад +1

    Ameen,Mtumishi,ni kweli tupu tunayaona

  • @maryjohn2580
    @maryjohn2580 7 месяцев назад

    Barikiwa Mtumishi, Roho Mtakatifu Asichezewe nimependa sanaaaaaaaa❤

  • @NephiapiusiMbwelwa
    @NephiapiusiMbwelwa 5 месяцев назад +1

    Mungu atusaidie

  • @Rukundo-z4k
    @Rukundo-z4k 7 месяцев назад +1

    Ubarikiwe mchungaji karibu kwetu burundi ❤

  • @DevothaBenedictor
    @DevothaBenedictor 7 месяцев назад

    Nakukubali sana mungu akubaliki sana, 12:44

  • @utawalarecordstudiosnairob5929
    @utawalarecordstudiosnairob5929 5 месяцев назад +1

    Kweli kabisaa MUNGU akubariki 🙏🙏🙏🙏

  • @serapionmnenuka
    @serapionmnenuka 6 месяцев назад

    Asante sana Mchunqaji

  • @ASHIRAFMBARACK
    @ASHIRAFMBARACK 6 месяцев назад

    Ubarikiwe xana mchungaji katekela

  • @CateringAmare
    @CateringAmare 6 месяцев назад

    Mm ni mhasi lkn kwa mahubiri yako,mungu azidi kukupa nguvu ya kuhubiri.

  • @samwelndaki201
    @samwelndaki201 6 месяцев назад

    Ubarikiwe sana sijui uko wapi?

  • @fitinamarando
    @fitinamarando 7 месяцев назад

    Asante sana Mch Katekella nabarikiwa sana

  • @MeshackSamwel-sj6bn
    @MeshackSamwel-sj6bn 5 месяцев назад

    Ubarikiwe Sana mtumishi

  • @MariaLazaro-kq2tv
    @MariaLazaro-kq2tv 6 месяцев назад

    Mungu akubariki mtumish

  • @JacksonMakuta
    @JacksonMakuta 6 месяцев назад

    Mungu akulinde sana mtumishi

  • @Shadiasemdami
    @Shadiasemdami 7 месяцев назад +1

    Ubarikiwe. Mtumishi. Kunifu gua. Mana,

  • @sarahmaro215
    @sarahmaro215 7 месяцев назад

    Unanibariki sana Katekela, karibu Tabora

  • @RahelSalumu-pm9qx
    @RahelSalumu-pm9qx 7 месяцев назад +2

    Ezekiel 13:1 ( tusome tuelewe) mchungaji katekela ubarikiwe sana pamoja na promover Tv

  • @PhibiPatroba
    @PhibiPatroba 3 месяца назад +1

    Bwana Yesu akitie nguvu

  • @LudovikLudovika
    @LudovikLudovika 7 месяцев назад

    Mtumishi me nifanyeje,nimetumia sana Mafuta ya Mwamposa,kukanyaga,kunywa na kujipaka,mpaka saivi nina miaka 2,situmii lakini maisha yangu ni shida2

  • @LucasLagos-dq4mh
    @LucasLagos-dq4mh 6 месяцев назад +1

    Ubalikiwe sana simamia kweli

  • @angelamvaa2229
    @angelamvaa2229 5 месяцев назад

    Amen, Mungu turehemu

  • @waleedbahar5275
    @waleedbahar5275 6 месяцев назад +1

    MUNGU akulinde mtumishi uzidi kutuelewesha maana watu wengi wanapotea kws manabii wa uongo

  • @EliasMoyo-g3p
    @EliasMoyo-g3p 5 месяцев назад +1

    Waaambie ukweli bro waache kutapeliwa unakuta mama yuko tayari watoto walale njaa na kuwateza watoto ili tu apate pesa ya kuwapelekea hao matapeli wasio muogopa mungu wajinga wao

  • @josephjames4587
    @josephjames4587 7 месяцев назад

    MUNGU akubariki sana mtumishii mie ukwel unazidi kunifunguaa

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 6 месяцев назад

    Miujiza tangu zamani ilikuwapo. Wakati wa Musa miujiza ya mungu na miujiza ya shetani ilfanyika

  • @ElianMbuba
    @ElianMbuba 6 месяцев назад

    Amina mtumishi

  • @jennysabina8696
    @jennysabina8696 5 дней назад

    MUNGU atusaidiye san amen kubwa 🙏🙏😭😭

  • @AnnaLwanda-oj4jn
    @AnnaLwanda-oj4jn 4 месяца назад +1

    Ameen chuma Cha YESU kristo

  • @SabinaOchami
    @SabinaOchami 4 месяца назад +2

    Nishaa shirikishwa kuweka chumvi majini niganyake ndani miguu mara saba mtoto wangu akasmbiwa na mwingine akiwa na mimba ya wasiwasi akaambiwa aoge maji ya chumvi na awake penye barabara zinakutanika

  • @KateWinslet-j8q
    @KateWinslet-j8q 7 месяцев назад +1

    Ukweli kabisa ❤

  • @HeroSam-dm8cx
    @HeroSam-dm8cx 2 месяца назад +1

    Amen.

  • @tausimwinuka
    @tausimwinuka 7 месяцев назад +1

    Nimepona Baba🙏

  • @mariamibrahim6544
    @mariamibrahim6544 6 месяцев назад +1

    Majini kila mahali, hatuko salamaa,

  • @mwaumark4
    @mwaumark4 4 месяца назад

    Swali langu ni... Mungu aliye wa kweli huwa anafanya ninii kwa sababu karibu kila kitu chanzo chake ni shetani😢😢😢

  • @upendokikwelele620
    @upendokikwelele620 6 месяцев назад +1

    Napenda mafundisho yake.
    Anapatikana wapi

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  6 месяцев назад

      Anapatikana Geita Tanzania

  • @Esendi56
    @Esendi56 4 месяца назад

    Yes upako mwingine ni wa kubuy lkn mungu dio kila kitu

  • @jobabibyambanju226
    @jobabibyambanju226 6 месяцев назад

    Amen tusaidie tupone

  • @Neemajolamokataly
    @Neemajolamokataly 4 месяца назад +1

    Hakika w nimutume niwchache wanasimamiya ukweri kama huo pasta m nimekupenda sana keufichuwa siri kaa hizo nataman kuwa karibu
    awe

  • @PeterSegire
    @PeterSegire 7 месяцев назад

    Makanisa ya jumapili mungu wao tumbo mungu wao pesa

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 6 месяцев назад

    Mungu amekuokowa.

  • @JamilaJamilahjane
    @JamilaJamilahjane 7 месяцев назад

    Mungu abariki Neno lake

  • @agnethapaul6057
    @agnethapaul6057 6 месяцев назад +2

    Amina , Damu ya Yesu ikufiche .

  • @JudithLembrice
    @JudithLembrice 18 дней назад

    JAMANI MUNGU ATUSAIDIE SIJUI KAMA WA AWAKE WATASIKIA ,WATOTO WA KUZUMU WANAZALIWA SANA , MUNGU ATUSAIDI

  • @LudovikLudovika
    @LudovikLudovika 7 месяцев назад

    Mpaka maji nimetumia sana na familia yangu

  • @twalibukassim6111
    @twalibukassim6111 Месяц назад +1

    Ongea baba hamna kuogopa ukwel ndio huo MUNGU anakusud na watoto wake ndo maana wew ujafa kule kuzimu ili uje utuponye na kutookoa.

  • @Derickkazinza-i9i
    @Derickkazinza-i9i 7 месяцев назад

    Kuna namna nakuelewa mchungaji❤

  • @carolinemrosso9006
    @carolinemrosso9006 7 месяцев назад +4

    Sasa mtumishi wa Mungu kwa wale ambao tayari wameshakanyaga hizo madhabahu zao na kutoa sadaka zao pale wakiamini pana Mungu,, na mafuta wakakanyaga na kuyanywa na maji ya upako na keki ya upako wakala je watafanyaje wajiengue na hilo agano??

    • @bobutingababayo5047
      @bobutingababayo5047 7 месяцев назад

      Hakuna kinachoshindikana kwenye Toba
      Waombe toba ya kweli na kuacha kuendelea nayo kabisa na damu ya Yesu itamsafisha na kumuondolea vyote viliokuwa vimeingia ndani

    • @Majaliwa-ov3vk
      @Majaliwa-ov3vk 6 месяцев назад

      Inawezekana kwa yesu

  • @MarysianaPeter
    @MarysianaPeter 7 месяцев назад

    Mungu baba tuepushe na manabii wa uongo

  • @getrudeliyayi8050
    @getrudeliyayi8050 7 месяцев назад +1

    Bwana YESU ATUSAIDIE TUU ni ukweli wanatoa watu sacrifice sana sana

  • @ShedrackMbata
    @ShedrackMbata 6 месяцев назад

    Balikiwa sana

  • @GeophreyMsomba
    @GeophreyMsomba 4 месяца назад

    ❤mch🙏

  • @joinet339
    @joinet339 15 дней назад

    Kanisa za watu ni hatari kubwa !!😮😮😮