SHUHUDA: MAMBO YA KUTISHA ALIYO PITIA EMMANUEL KUTOKA MOROGORO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • KANISA LA REALITY OF CHRIST MINISTRY (ROC) LIPO SINZA MORI DAR ES SALAAM LINAONGOZWA NA WATUMISHI WA MUNGU PASTOR SUNBELLA KYANDO
    UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
    Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
    Like our Facebook: / therealityof. .
    Follow our Instagram: / realityofch. .
    Subscribe our RUclips: www.youtube.co....
    #sunbellakyando #pastorsunbellakyando #pastorjohnsembatwa #realityofchrist

Комментарии • 117

  • @AAoo-c8f
    @AAoo-c8f 6 дней назад +28

    By the way God is faithful 🙏🙏 and have learnt something big through this testimony 1.usimwamini mtu yeyote 2.usitamani mali ya mtu mwingine 🙏 maana ujui anatumia nn ili kuinua mali yake
    3.mwamini mungu kwa lolote lile
    4.usimsikize kila mtu
    5.usiwache mungu kwa sababu ya shida ulio nayo
    6.baraka za mungu zinadumu kuliko ya mizimu na inagharama
    6.tumtumainie mungu siku zote bila kuchoka eeh mungu tupe macho ya kiroho ili tueze kukumbana na haya majanga ya ulimwengu
    7.tumtazamie yesu msalabani 😢😢😢na tuwe na imani
    8.tuwe prayer warriors

    • @johnmark3236
      @johnmark3236 23 часа назад +1

      Ni Mungu au MUNGU na sio mungu
      Ni Yesu au YESU na sio yesu

    • @MsFrancia10
      @MsFrancia10 Час назад

      Huwezi kufanya lolote hapa duniani bila mwanadamu you need people regardless muombe Mungu akupe roho ya kutambua roho isiyo ya Mungu

  • @Neema-wy4mh
    @Neema-wy4mh 6 дней назад +16

    Ee Bwana Yesu tusaidie. Dunia ina mambo. Inatishaa sana mpaka hapo Yesu ni mshidi amemuokoa😢😢

  • @angeljoseph4666
    @angeljoseph4666 2 часа назад

    Pole sn shetani mbaya,Asante Yesu kwa ushuhuda mzuri

  • @anethmassawe2635
    @anethmassawe2635 День назад +4

    Kila mfanyalo kwa neno au kwa tendo fanyeni kwa Jina la Yesu,
    Mungu atusaidie kumtumia kila mahali na kwa kila kitu😢

  • @caritasmushi8896
    @caritasmushi8896 2 дня назад +1

    Ushuhuda huu umenifunza mambo makubwa sana. Pole sana mtumishi wa Mungu. Mungu anahitaji umtumikie.

  • @Malaika2311
    @Malaika2311 3 дня назад +10

    Nimejifunza kitu cha tofauti sana kutoka kwenye huu ushuhuda. Kuna fake prophets wanatumia nguvu hii hii kuwarubuni na kuwaibia watu wa Mungu.

  • @HerSafarisTravel
    @HerSafarisTravel День назад

    Praise God! Kweli Mungu anatupenda hata tupitie majaribu gani. Asante sana kwa maisha yako kaka na Mungu aendelee kukupigania wewe Pamoja na familia yako kwa la Yesu. Mungu awabariki watumishi wote waliokuombea.

  • @florencendatila9183
    @florencendatila9183 День назад +4

    Shetani mbaya sana Mungu tutetee yani inahuzunisha natamani ningekua na hela nimlipie hayo madeni dah Yesu mfungulie milango huyu baba

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 День назад +2

    Mungu tusaidie wanaume.Kila tunapohangaika tunahangaika kwaajiili ya wanaotutegemea.

  • @gracelynferdnand5582
    @gracelynferdnand5582 5 дней назад +1

    Yesu jina lako ni la kuaminiwa sana Ahsante kwa kusimama nasi nyakati zote🙏

  • @NaomieMasoka-xp4ob
    @NaomieMasoka-xp4ob День назад +1

    Bwana Yesu Kristo ni mushindi amina na lisujudiwe jina lake maana ni kubwa mno halielezeki,limebeba nguvu zote,✊✊✊🙏🙏🙏Yesu ni wokovu jamani Sulemani kaomba kitu cha maana hapa nimeelewa usiombe chochote bali hekima na neema ya Mungu🙏🙏🙏ila huyo mtu ameshikilia mic 🎤 amechoka mkono ila Mungu amubariki ushuhuda ulikua mrefu mununue mic zile za kuweka kwenye shingo la nguo la mtu anae toa shuhuda🙏🙏ni ombi langu

  • @WinnifridaMahimbo-gj9pp
    @WinnifridaMahimbo-gj9pp День назад +5

    Duuuuuh! Huu ushuhuda ni kwa ajili yangu.

    • @samludo5435
      @samludo5435 8 часов назад

      Duu imekuwaje tena dadangu kwa upande wako!

  • @felisterben6620
    @felisterben6620 2 дня назад +1

    Asante Bwana Yesu Wewe ni Mungu ukomboaye🙏

  • @GemaLucas-mz2bn
    @GemaLucas-mz2bn 3 дня назад +3

    Nguvu ya sadaka wana wa Mungu.Tutoe sadaka sana bila huruma yoyote

  • @davidmongi1840
    @davidmongi1840 19 часов назад

    Be blessed and rise up again . Amen🙏

  • @MariaEnock
    @MariaEnock 7 дней назад +10

    Eee Mungu nisaidie na kunikumbusha namna ya kuitakasa na kuiombea mikono yangu!

  • @jescamartin3994
    @jescamartin3994 День назад +3

    Na mimi pia nilipitia kipindi kama hiki ndoa yangu ilivunjika mungu ni mwaminifu aliniokoa 😢

  • @SarahTete
    @SarahTete 21 час назад

    UTUKUFU, NA
    HESHIMA UPEWE MUNGU WA MBINGUNI HATA MILELE AMEN.

  • @MariaEnock
    @MariaEnock 7 дней назад +3

    Finaly kwa Yesu! Yote yanawezekana!! Nimejifunza Mengi mno mno

  • @divinehopeandsmile
    @divinehopeandsmile 7 дней назад +16

    Licha walimkamata kuna neema ilikuwa inamlinda ❤❤❤

  • @peteroderobarasa5205
    @peteroderobarasa5205 7 дней назад +4

    God Jesus Christ open our Spirual eyes

  • @Queen..113
    @Queen..113 5 дней назад +2

    Mungu ahsante kwa maana fadhili zako niza milele

  • @marcodaud1005
    @marcodaud1005 2 дня назад +4

    Wanaume tunakutana mengi sana kwenye utafutaji Mungu anatulinda tu kibaya zaidi wanawake wetu hawajui

    • @vissionaryosborn
      @vissionaryosborn День назад

      Ni kwel kabisa kaka. Sema wakati mwingine mnajiingiza kwenye shortcuts ambazo zinawagarimu. Mungu awape kuona

    • @marcodaud1005
      @marcodaud1005 День назад

      @@vissionaryosborn Hapana sio shortcut angeenda kwa mganga sawa, ila kafatwa yeye

  • @marykarebeti9410
    @marykarebeti9410 6 дней назад +6

    Huu ushuhuda ni mahubiri kamili.
    Aiseee!!! Duniani kuna mambo magumu sana. Mungu atusaidie

  • @salomeSamali
    @salomeSamali День назад +1

    Mungu nimwema

  • @emmanueltillya2017
    @emmanueltillya2017 2 дня назад +1

    Pole sana MKUU.

  • @hefsibaMushi
    @hefsibaMushi 7 дней назад +4

    Shetani ni mbaya sana! Yesu tufungue macho ya rohoni.

  • @PapaaMlamii-cm6lh
    @PapaaMlamii-cm6lh 6 дней назад +1

    Pole sana ndugu😢
    Mungu yu mwema

  • @jesusismyeverything1630
    @jesusismyeverything1630 День назад

    Glory Glory Mungu ni juu ya Kila kitu ,

  • @selemanikapela7873
    @selemanikapela7873 7 дней назад

    Amen 🙏 🙏, Mungu atukunzwe mda wote

  • @hosianaeliud243
    @hosianaeliud243 День назад

    Ushuhuda huu unanijenga Imani yangu tukazane na maombi

  • @jerubetjoan20
    @jerubetjoan20 4 дня назад +5

    Wangapi tumelia online? Our God is always the way, the truth and the Life, Anasema njooni kwangu wote mlemeawo na mzigo nami nitawapumzisha.

  • @kawilimlimuka8005
    @kawilimlimuka8005 5 дней назад +1

    Mungu anataka kukutumia kuokoa wengine. Yoel2:25-27

  • @AhamedAl-y4b
    @AhamedAl-y4b 2 дня назад +1

    Duu pole sana

  • @neemamwacha-pp3os
    @neemamwacha-pp3os День назад +1

    Pole sana baba, huwezi kumuelewa huyu baba kama hujayapitia haya, je huyo mtesi hatma yake ni nini?? Yuko wapi??

  • @noeljaphet6339
    @noeljaphet6339 6 часов назад

    “Kisha BWANA akaugeuza uteka wa Ayubu, BWANA naye akampa Ayubu mara mbili kuliko hayo aliyokuwa nayo kwanza.”
    ‭‭Ayu‬bu ‭42‬:‭10‬a,c
    ikawe hivo mtumishi wa Mungu

  • @tabithachristopher3046
    @tabithachristopher3046 2 дня назад +1

    Mungu ni mwema

  • @mercyvictor8544
    @mercyvictor8544 9 часов назад

    Mwivi haji ila aibe, kuchinja na kuharibu. Hiyo ni kazi kubwa ya shetani lakini ashukuriwe Yesu alikuja ili tuwe na uzima tele kisha tuwe nao tele. Nampenda Mungu kwakuwa yeye ni mwingi wa Huruma

  • @LispafulgenceSimon-rs1zg
    @LispafulgenceSimon-rs1zg 5 дней назад

    Pole sana kwa.mapito

  • @JudithRobert-xu9il
    @JudithRobert-xu9il 7 часов назад

    Aisee tunahitaji sana ulinzi wa Damu ya YESU haya mambo mmmh

  • @nancynjau7954
    @nancynjau7954 День назад +1

    1:14:42 Mungu ameruhusu hayo ili utukufu wake udhirishwe. Huu ushuhuda ni mzito sana 🥺

  • @grolyjosephat8263
    @grolyjosephat8263 5 дней назад +1

    Mwenyezi Mungu tupe macho ya Rohoni ili tuone yale yaliyojificha na pia tuwe tunaitakasa mikono yetu kila siku

  • @annatemu4488
    @annatemu4488 7 дней назад

    Mungu atusaidie,hii inatisha

  • @tunuhasanary64
    @tunuhasanary64 2 дня назад +1

    Utukufu ni kwa Mungu wetu

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 6 дней назад +2

    Mtumishi naomba nije unisikilize na mimi dady sunbela nipo arusha

  • @peteroderobarasa5205
    @peteroderobarasa5205 7 дней назад +2

    God Have mercy upon us

  • @davidjohn9535
    @davidjohn9535 7 дней назад

    Aisee.pole sana.

  • @nikymatela7013
    @nikymatela7013 7 дней назад +1

    Bznc men go through a
    Lot god have mercy upon us

  • @Deedlr4767
    @Deedlr4767 10 часов назад

    ❤️🙏🏾

  • @angelrukyaa5598
    @angelrukyaa5598 7 дней назад +4

    Dah😢… Mungu tusaidie ila huu ushuhuda ni mzito 🙌🏽

  • @Deedlr4767
    @Deedlr4767 10 часов назад

    Mungu mwema

  • @ElizabethMuia-ro9yh
    @ElizabethMuia-ro9yh 4 часа назад

    Kwa ukweli ushirikina hupo,jamani WTu tumpokeeni YESU .

  • @Deedlr4767
    @Deedlr4767 10 часов назад

    🎉🎉

  • @Deedlr4767
    @Deedlr4767 10 часов назад

    🙏🏾

  • @ElizabethMuia-ro9yh
    @ElizabethMuia-ro9yh 7 часов назад

    Hivyo ndivyo nyota ya mtu inaibiwanga,mungu alikusaidia,

  • @Deedlr4767
    @Deedlr4767 10 часов назад

    Amen

  • @Deedlr4767
    @Deedlr4767 10 часов назад

    ❤😊

  • @kelvinmasungakilunguja7539
    @kelvinmasungakilunguja7539 7 дней назад +1

    YESU atusaidie

  • @salomeSamali
    @salomeSamali День назад

    Pole sn
    😢😢

  • @jenysilayo1342
    @jenysilayo1342 2 дня назад +5

    Ulimwengu wa giza una gharama sana, lakini tukiambiwa tutoe ssdaka kanisani tunalialia😂

    • @mariahsizya4832
      @mariahsizya4832 2 дня назад

      Yaani mganga akisema chap inapelekwa ila Kwa Mungu aahh😂

  • @hosianaeliud243
    @hosianaeliud243 День назад

    Neema ya Mungu ilikuja kwako baada ya mkeo kukuombea

  • @tunuhasanary64
    @tunuhasanary64 2 дня назад

    Groly to God 🎉🎉🎉

  • @barakamunisi
    @barakamunisi 4 дня назад

    Hallelujah AMEN.

  • @sarahjacobs8814
    @sarahjacobs8814 6 дней назад

    Yes tusaidia sana

  • @wandedalushi2984
    @wandedalushi2984 7 дней назад +10

    Naitamani siku moja nisimamae niseme kile Mungu atakachonifanyia 😢

  • @ElizabethMuia-ro9yh
    @ElizabethMuia-ro9yh 7 часов назад

    Watazania mkigezi hayo utu nikama ni nani? Coz kama mpaka leo hapo ?

  • @MariaEnock
    @MariaEnock 7 дней назад +6

    Shetani anatesa watu Mno tuutafute uso wa Mungu!

  • @beatricealexander8094
    @beatricealexander8094 2 дня назад +2

    Ndo maana watu wanajiua,wamebeba vitu vingi sana.

  • @franjohn7457
    @franjohn7457 2 часа назад

    Unasema tusiende beach yani umemfanya shenanigans km mmiliki wa bahari tena?

  • @cecyliangonyan8382
    @cecyliangonyan8382 День назад

    Aiseee don't trust anyone Zaid ya Mungu mazingira meng tunakutana na watu waajabu dunia imeharibika

  • @FloraSlivester
    @FloraSlivester 6 дней назад +1

    Wewe ni mtumishi wa Mungu ndio maana umepitia hapo ili uwaombee wengine wanaopitia hapo

  • @edesiuskuyasiwa6352
    @edesiuskuyasiwa6352 10 часов назад

    Hizi mambo unaweza ona kama maigizo,siku ukiingia mtegoni utaelewa.

  • @GideonBisimwa
    @GideonBisimwa 3 дня назад

    Yana tiahuruma sana Yani

  • @edkawiche3171
    @edkawiche3171 День назад

    Nyakati za sasa ni hatari zaidi kuliko nyakati zilizopita. Omba yasikukute 😭

  • @rachelmsolo3639
    @rachelmsolo3639 7 дней назад +5

    Baba sunbella nina dada yangu anapitia hii shida

  • @Queen-gv8ot
    @Queen-gv8ot 7 дней назад +1

    Jamani Pastor😂😂

  • @zephaniamadoshi9492
    @zephaniamadoshi9492 7 часов назад

    Hii kitu ni true kabsa kuna rafiki yangu walimtapeli hivyo hivyo 4years anatoa pesa mpka alipofilisika wakamuacha

  • @atuganilekalinjila8385
    @atuganilekalinjila8385 2 дня назад

    Dunia inamambo mengi ndio maana Mungu alikataza kutamani jaman YESU tusaidie tupe ulinzi

  • @kaninimuindi6470
    @kaninimuindi6470 7 дней назад +13

    Alikua ameshika akili yako but kuna rohoo alikua anatumia usiwe na ujasiri akiona unafuvuka anabadilisha sura nawe ukua na macho ya kiroho mungu tupe macho ya kirohoo

  • @luganowilliam2150
    @luganowilliam2150 6 дней назад

    usitamani maisha ya mtu hujui kaipataje..ndo maana Mungu pia kakataza kutamani

  • @MariaEnock
    @MariaEnock 7 дней назад +1

    Nahumu 1:12-13

  • @herenagama7680
    @herenagama7680 9 часов назад

    Mzee ulitapeliwa siyo uchawi huo

  • @EverMayala
    @EverMayala День назад

    😢

  • @touma.__.7368
    @touma.__.7368 4 дня назад +1

    😭😭😭

  • @MsFrancia10
    @MsFrancia10 51 минуту назад

    Sijakuelewa hapo kwa line kwamba ulibadilisha ili asikupate ila huko nyuma alikuwa anatolea tu km Upepo pale ulipo yaani alikuwa anajua ulipo na kuweza kuja sasa simu ni nini

  • @samludo5435
    @samludo5435 8 часов назад

    Kanisa lina pisikali balaa! aseeh takuja kusali ñamie😮

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 6 часов назад

    Pole mhanga, lkn huyo mtumishi mwenye kaunda suti blue hana hekima anaropokwa pumba na pia ana advertise biashara ya kanisa lake maana sikuhizi hiyo ni biashara Tu ubabaishaji tu makanisa yanaibuka kama uyoga ili wakusanye sadaka!

  • @lissagloo350
    @lissagloo350 7 дней назад

    Waooo Hili ni somo kubwa sana

  • @Lovenessimon-zz8qg1jz6j
    @Lovenessimon-zz8qg1jz6j 7 дней назад

    Eeeeeh MUNGU wangu

  • @anethkabelinde5350
    @anethkabelinde5350 День назад

    Chanjo ulizochanjwa n mapepo uliwekewa yaliokua yanatembea na ww na yalikua mwili mwako yakawa km antenna ya kunasa unachowaza,unachofanya alaf yanatuma taarifa,Ushuhuda una kitu ndani yake na Mungu awatoe wengne weng waliofungwa huko

  • @JanethJoseph-sj8ep
    @JanethJoseph-sj8ep 5 дней назад +2

    Kwamacho yakawaida unaweza sema jamaa alikuwa tapel lakin rohoni majin yapo yanaishi nayanafanya kazi jaamn tuombe ulimwengu wagiza upo naunatenda kazi

    • @glorymoses7990
      @glorymoses7990 День назад

      Mungu atulinde na mabaya yote tusiyoyaona kwa macho ya kibinadamu.

  • @kabambamulomba8527
    @kabambamulomba8527 День назад

    We ulitapeliwa tu ,hamna cha uganga wala gangari ,uliingizwa mjini live 😢

  • @winnifridangahyoma9127
    @winnifridangahyoma9127 4 дня назад

    MUNGU WANGU TUSAIDIE

  • @EstherCharo-lc3md
    @EstherCharo-lc3md 7 дней назад +4

    Tukue makini na watu tunao shikana nao

  • @TeamJesus-gx2em
    @TeamJesus-gx2em День назад

    Sasa kwanini walikua wanachukua pesa zako na wakati pesa wanazo

    • @priscaroscar202
      @priscaroscar202 День назад

      Aishiwe kabisaa ashindwe kutoa sadaka ya pesa atoe kafara wanayoitaka.

    • @MaryMsoka
      @MaryMsoka 12 часов назад

      Pengine walitaka wafike huko watoe kafara watoto au mke wake😢😢😢

    • @ElizabethMuia-ro9yh
      @ElizabethMuia-ro9yh 7 часов назад

      Hio ndio inaitagwa kuibiwa mtu nyota

  • @PerisiperisiKingi
    @PerisiperisiKingi 7 дней назад

    Mungu ni mwema