SHUHUDA: MAMBO YA KUTISHA ALIYO PITIA EMMANUEL KUTOKA MOROGORO
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- KANISA LA REALITY OF CHRIST MINISTRY (ROC) LIPO SINZA MORI DAR ES SALAAM LINAONGOZWA NA WATUMISHI WA MUNGU PASTOR SUNBELLA KYANDO
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our RUclips: www.youtube.co....
#sunbellakyando #pastorsunbellakyando #pastorjohnsembatwa #realityofchrist
By the way God is faithful 🙏🙏 and have learnt something big through this testimony 1.usimwamini mtu yeyote 2.usitamani mali ya mtu mwingine 🙏 maana ujui anatumia nn ili kuinua mali yake
3.mwamini mungu kwa lolote lile
4.usimsikize kila mtu
5.usiwache mungu kwa sababu ya shida ulio nayo
6.baraka za mungu zinadumu kuliko ya mizimu na inagharama
6.tumtumainie mungu siku zote bila kuchoka eeh mungu tupe macho ya kiroho ili tueze kukumbana na haya majanga ya ulimwengu
7.tumtazamie yesu msalabani 😢😢😢na tuwe na imani
8.tuwe prayer warriors
Ni Mungu au MUNGU na sio mungu
Ni Yesu au YESU na sio yesu
Huwezi kufanya lolote hapa duniani bila mwanadamu you need people regardless muombe Mungu akupe roho ya kutambua roho isiyo ya Mungu
Ee Bwana Yesu tusaidie. Dunia ina mambo. Inatishaa sana mpaka hapo Yesu ni mshidi amemuokoa😢😢
Pole sn shetani mbaya,Asante Yesu kwa ushuhuda mzuri
Kila mfanyalo kwa neno au kwa tendo fanyeni kwa Jina la Yesu,
Mungu atusaidie kumtumia kila mahali na kwa kila kitu😢
Ushuhuda huu umenifunza mambo makubwa sana. Pole sana mtumishi wa Mungu. Mungu anahitaji umtumikie.
Nimejifunza kitu cha tofauti sana kutoka kwenye huu ushuhuda. Kuna fake prophets wanatumia nguvu hii hii kuwarubuni na kuwaibia watu wa Mungu.
Praise God! Kweli Mungu anatupenda hata tupitie majaribu gani. Asante sana kwa maisha yako kaka na Mungu aendelee kukupigania wewe Pamoja na familia yako kwa la Yesu. Mungu awabariki watumishi wote waliokuombea.
Shetani mbaya sana Mungu tutetee yani inahuzunisha natamani ningekua na hela nimlipie hayo madeni dah Yesu mfungulie milango huyu baba
Mungu tusaidie wanaume.Kila tunapohangaika tunahangaika kwaajiili ya wanaotutegemea.
Yesu jina lako ni la kuaminiwa sana Ahsante kwa kusimama nasi nyakati zote🙏
Bwana Yesu Kristo ni mushindi amina na lisujudiwe jina lake maana ni kubwa mno halielezeki,limebeba nguvu zote,✊✊✊🙏🙏🙏Yesu ni wokovu jamani Sulemani kaomba kitu cha maana hapa nimeelewa usiombe chochote bali hekima na neema ya Mungu🙏🙏🙏ila huyo mtu ameshikilia mic 🎤 amechoka mkono ila Mungu amubariki ushuhuda ulikua mrefu mununue mic zile za kuweka kwenye shingo la nguo la mtu anae toa shuhuda🙏🙏ni ombi langu
Duuuuuh! Huu ushuhuda ni kwa ajili yangu.
Duu imekuwaje tena dadangu kwa upande wako!
Asante Bwana Yesu Wewe ni Mungu ukomboaye🙏
Nguvu ya sadaka wana wa Mungu.Tutoe sadaka sana bila huruma yoyote
Be blessed and rise up again . Amen🙏
Eee Mungu nisaidie na kunikumbusha namna ya kuitakasa na kuiombea mikono yangu!
Ombi langu pia
Na mimi pia nilipitia kipindi kama hiki ndoa yangu ilivunjika mungu ni mwaminifu aliniokoa 😢
UTUKUFU, NA
HESHIMA UPEWE MUNGU WA MBINGUNI HATA MILELE AMEN.
Finaly kwa Yesu! Yote yanawezekana!! Nimejifunza Mengi mno mno
Licha walimkamata kuna neema ilikuwa inamlinda ❤❤❤
Kabisa
Kiasi cha Chembe ya haradari na bado ilimtendea
Wachawi wafe tuuu
God Jesus Christ open our Spirual eyes
Mungu ahsante kwa maana fadhili zako niza milele
Wanaume tunakutana mengi sana kwenye utafutaji Mungu anatulinda tu kibaya zaidi wanawake wetu hawajui
Ni kwel kabisa kaka. Sema wakati mwingine mnajiingiza kwenye shortcuts ambazo zinawagarimu. Mungu awape kuona
@@vissionaryosborn Hapana sio shortcut angeenda kwa mganga sawa, ila kafatwa yeye
Huu ushuhuda ni mahubiri kamili.
Aiseee!!! Duniani kuna mambo magumu sana. Mungu atusaidie
Mungu nimwema
Pole sana MKUU.
Shetani ni mbaya sana! Yesu tufungue macho ya rohoni.
Pole sana ndugu😢
Mungu yu mwema
Glory Glory Mungu ni juu ya Kila kitu ,
Amen 🙏 🙏, Mungu atukunzwe mda wote
Ushuhuda huu unanijenga Imani yangu tukazane na maombi
Wangapi tumelia online? Our God is always the way, the truth and the Life, Anasema njooni kwangu wote mlemeawo na mzigo nami nitawapumzisha.
Mungu anataka kukutumia kuokoa wengine. Yoel2:25-27
Duu pole sana
Pole sana baba, huwezi kumuelewa huyu baba kama hujayapitia haya, je huyo mtesi hatma yake ni nini?? Yuko wapi??
“Kisha BWANA akaugeuza uteka wa Ayubu, BWANA naye akampa Ayubu mara mbili kuliko hayo aliyokuwa nayo kwanza.”
Ayubu 42:10a,c
ikawe hivo mtumishi wa Mungu
Ôô
Mungu ni mwema
Mwivi haji ila aibe, kuchinja na kuharibu. Hiyo ni kazi kubwa ya shetani lakini ashukuriwe Yesu alikuja ili tuwe na uzima tele kisha tuwe nao tele. Nampenda Mungu kwakuwa yeye ni mwingi wa Huruma
Pole sana kwa.mapito
Aisee tunahitaji sana ulinzi wa Damu ya YESU haya mambo mmmh
1:14:42 Mungu ameruhusu hayo ili utukufu wake udhirishwe. Huu ushuhuda ni mzito sana 🥺
Mwenyezi Mungu tupe macho ya Rohoni ili tuone yale yaliyojificha na pia tuwe tunaitakasa mikono yetu kila siku
Mungu atusaidie,hii inatisha
Utukufu ni kwa Mungu wetu
Mtumishi naomba nije unisikilize na mimi dady sunbela nipo arusha
God Have mercy upon us
Aisee.pole sana.
Bznc men go through a
Lot god have mercy upon us
❤️🙏🏾
Dah😢… Mungu tusaidie ila huu ushuhuda ni mzito 🙌🏽
Mungu mwema
Kwa ukweli ushirikina hupo,jamani WTu tumpokeeni YESU .
🎉🎉
🙏🏾
Hivyo ndivyo nyota ya mtu inaibiwanga,mungu alikusaidia,
Amen
❤😊
YESU atusaidie
Pole sn
😢😢
Ulimwengu wa giza una gharama sana, lakini tukiambiwa tutoe ssdaka kanisani tunalialia😂
Yaani mganga akisema chap inapelekwa ila Kwa Mungu aahh😂
Neema ya Mungu ilikuja kwako baada ya mkeo kukuombea
Groly to God 🎉🎉🎉
Hallelujah AMEN.
Yes tusaidia sana
Naitamani siku moja nisimamae niseme kile Mungu atakachonifanyia 😢
Mungu aliowatendea atende kwetu pia.
Uhai
Mungu akupe usemi
Watazania mkigezi hayo utu nikama ni nani? Coz kama mpaka leo hapo ?
Shetani anatesa watu Mno tuutafute uso wa Mungu!
Sana yani😢
@@shufaambonde1047 tuendelee kumwomba Mungu
Ndo maana watu wanajiua,wamebeba vitu vingi sana.
Unasema tusiende beach yani umemfanya shenanigans km mmiliki wa bahari tena?
Aiseee don't trust anyone Zaid ya Mungu mazingira meng tunakutana na watu waajabu dunia imeharibika
Wewe ni mtumishi wa Mungu ndio maana umepitia hapo ili uwaombee wengine wanaopitia hapo
Hizi mambo unaweza ona kama maigizo,siku ukiingia mtegoni utaelewa.
Yana tiahuruma sana Yani
Nyakati za sasa ni hatari zaidi kuliko nyakati zilizopita. Omba yasikukute 😭
Baba sunbella nina dada yangu anapitia hii shida
Karibu kanisani yupo available muda wote
Jamani Pastor😂😂
Hii kitu ni true kabsa kuna rafiki yangu walimtapeli hivyo hivyo 4years anatoa pesa mpka alipofilisika wakamuacha
Dunia inamambo mengi ndio maana Mungu alikataza kutamani jaman YESU tusaidie tupe ulinzi
Alikua ameshika akili yako but kuna rohoo alikua anatumia usiwe na ujasiri akiona unafuvuka anabadilisha sura nawe ukua na macho ya kiroho mungu tupe macho ya kirohoo
usitamani maisha ya mtu hujui kaipataje..ndo maana Mungu pia kakataza kutamani
Nahumu 1:12-13
Mzee ulitapeliwa siyo uchawi huo
😢
😭😭😭
Sijakuelewa hapo kwa line kwamba ulibadilisha ili asikupate ila huko nyuma alikuwa anatolea tu km Upepo pale ulipo yaani alikuwa anajua ulipo na kuweza kuja sasa simu ni nini
Kanisa lina pisikali balaa! aseeh takuja kusali ñamie😮
Pole mhanga, lkn huyo mtumishi mwenye kaunda suti blue hana hekima anaropokwa pumba na pia ana advertise biashara ya kanisa lake maana sikuhizi hiyo ni biashara Tu ubabaishaji tu makanisa yanaibuka kama uyoga ili wakusanye sadaka!
Waooo Hili ni somo kubwa sana
Eeeeeh MUNGU wangu
Chanjo ulizochanjwa n mapepo uliwekewa yaliokua yanatembea na ww na yalikua mwili mwako yakawa km antenna ya kunasa unachowaza,unachofanya alaf yanatuma taarifa,Ushuhuda una kitu ndani yake na Mungu awatoe wengne weng waliofungwa huko
Kwamacho yakawaida unaweza sema jamaa alikuwa tapel lakin rohoni majin yapo yanaishi nayanafanya kazi jaamn tuombe ulimwengu wagiza upo naunatenda kazi
Mungu atulinde na mabaya yote tusiyoyaona kwa macho ya kibinadamu.
We ulitapeliwa tu ,hamna cha uganga wala gangari ,uliingizwa mjini live 😢
MUNGU WANGU TUSAIDIE
Tukue makini na watu tunao shikana nao
Sasa kwanini walikua wanachukua pesa zako na wakati pesa wanazo
Aishiwe kabisaa ashindwe kutoa sadaka ya pesa atoe kafara wanayoitaka.
Pengine walitaka wafike huko watoe kafara watoto au mke wake😢😢😢
Hio ndio inaitagwa kuibiwa mtu nyota
Mungu ni mwema