Ni kweli kabisa watu hata hawastuki nabii unakuta anaombea mtu anataja in the name of prophet (..hapa anataja jina lake si jina la YESU KRISTO....) kuwa huru na watu hawastuki😢
YAAAAANNIIIII UPO SAHIHI SANAAAA. NAFAHAMU KANISA AMBALO HUWA WANATABIRIWA ULIZALIWA MWAKA FULANI UNAITWA FULANI KUMBE NI SHETANI KATAWALA. YAANI WATU WAKIPIGA MAKOFI NAWAONEA HURUMA MNO. KUWENI MAKINI WATU WA MUNGU
Ila kuna nguvu ya Mungu ndani ya karama ya Mungu mafuta yapo kwa biblia mzeituni Wanafunzi wa yesu walitumia mafuta mtumishi Marko 6:12 Agano la kale Isaya 10:21 Biblia ina mafunuo mengi sana Sina upinzani na mahubiri haya Ila kupulizia watu pumzi watu kudondoka sio nguvu ya vitu vya kuzimu wewe pia unaweza kutumiwa na Mungu kulingana na ufunuo Mungu aliokupa na maandiko yapo mengi kwa biblia wewe mwenyewe Mungu alipo kuumba alikupulizia pumzi ukawa nafasi hai ndoo pumzi unayo hubiria leo alafu naomba kama ulivyosema kuna sifa za manabii ni kumi12 hauta sisema sema hapa wapendao mafundisho tujifunze wote
kuna watu hata wahubiriweje kuhusu ukweli huu hawataelewa mpk kufa yani mtu na hakiri zangu hata nipate shida kiasi gani niende kutafta miteremko kwa kina mwamposa jamn. yan huo ni uzembe wa kuomba na mm ninachokijua siku zote kabla ya kuiombea shida yoyote lazima uanze na kutubu kwanza sasa kirahisi tuu hata malaya akipata shida anakimbia kutafta muujiza hata kitubu hamna jmn jmn watu tuna shida gani? lkn hivi unaamini kizembe tuu utendewe muujiza kirahisi wakat hata kutubu hamna pia kumbukeni kuwa Mungu ni Mungu wa ayubu pia kwan ayubu mateso yooooote aliyoyapitia sisi badoooo jmn lkn Alimsubiri Mungu wake kwa wakat akatenda hivo.tukumbuke kutubu dhambi zetu alafu tumuombe maarifa na hekima hasa katika kumjua
Ila baba ungetutajia majina yao kabisa ya hao waongo ili tuwajue me saiv naogopa kabisa habar za manabii maana kumjua mkwel na muongo co jambo dogo baba ang
@@flm1530 sasa hapo utakuwa huna hatia juu ya mtu huyo maana cku ya mwisho atacmama.mwenyewe kujieleza..kuliko ukaacha kututajia tubak tu bila kuwajua plzzz baba tutajie tuwajue saiv mambo hazalan hakuna kuficha kitu wataje baba plzzzzz
Femida Yahaya, nikujulishe siri ya kuwa mkristo wa kweli ni.1 mwamini Yesu moyoni mwako kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yako 2 ufanyiwe maombi ya kufunguliwa vifungo vyako.3ubatizwe kwa maji mengi,4 ujazwe nguvu za Roho mtakatifu 5 ufundishwe kuukulia wokovu,6 uwe msomaji wa biblia, mwombaji na mtu wa mifungo na Ibadan nyingi. Ukiweza hatua hizi utakuwa na viwango vya juu kiroho hakuna kitakachokushinda duniani.
Yaaaan ukielezea ivi Kila mwenye sikio lazima asikie na macho aone ....🤝
Uyu mchungaji amekuwa wa baraka Kwa watoto wa Mwenyezi Mungu,acha Mungu akulinde na familia yako
Kabisa Mtumishi wa MUNGU aliye hai
Mungu ni mwema katuletea wa kuambia kweli yake.
Heeeee. Mungu wangu. Tulinde na manabii wahuwongo
Ubarikiwe sana Mtumishi kwa kutufundisha haya yote na kutufunulia tusiyoyajuaa 🙏🙏
Hakika YESU ni Bwana
Ni kweli Mtumishi,Mungu akubariki sana,unatutoa kwenye upotevu
Eh! MUNGU TUSAIDIE JAMANI Ee
Ni kweli kabisa watu hata hawastuki nabii unakuta anaombea mtu anataja in the name of prophet (..hapa anataja jina lake si jina la YESU KRISTO....) kuwa huru na watu hawastuki😢
Barikiw sana mtumishi w Mungu mm nayapenda sana mahubiri yako
Stay blessed man of God
Haya mafundisho ni poa sana mtumishi be blessed ❤
Sifa ya kwanza ya nabii wa kweli, asilimia 90 ya maisha yao wamewekeza kwa Mungu 🙌 Yesu akutunze mtumishi wa Mungu🙏
Haya mafundisho ni poa sana mtumishi be blessed ❤
YAAAAANNIIIII UPO SAHIHI SANAAAA. NAFAHAMU KANISA AMBALO HUWA WANATABIRIWA ULIZALIWA MWAKA FULANI UNAITWA FULANI KUMBE NI SHETANI KATAWALA. YAANI WATU WAKIPIGA MAKOFI NAWAONEA HURUMA MNO. KUWENI MAKINI WATU WA MUNGU
Haya mafundisho ni poa sana mtumishi be blessed
Pasta Katekela amekuwa baraka kwangu
Ameeeen
Ila kuna nguvu ya Mungu ndani ya karama ya Mungu mafuta yapo kwa biblia mzeituni
Wanafunzi wa yesu walitumia mafuta mtumishi Marko 6:12
Agano la kale Isaya 10:21
Biblia ina mafunuo mengi sana
Sina upinzani na mahubiri haya
Ila kupulizia watu pumzi watu kudondoka sio nguvu ya vitu vya kuzimu wewe pia unaweza kutumiwa na Mungu kulingana na ufunuo Mungu aliokupa na maandiko yapo mengi kwa biblia wewe mwenyewe Mungu alipo kuumba alikupulizia pumzi ukawa nafasi hai ndoo pumzi unayo hubiria leo alafu naomba kama ulivyosema kuna sifa za manabii ni kumi12 hauta sisema sema hapa wapendao mafundisho tujifunze wote
Ameen and ameen mtumishi wa mungu ubarikiwe sana kwa neno zuri la mungu nimebarikiwa and be blessed more
kuna watu hata wahubiriweje kuhusu ukweli huu hawataelewa mpk kufa yani mtu na hakiri zangu hata nipate shida kiasi gani niende kutafta miteremko kwa kina mwamposa jamn. yan huo ni uzembe wa kuomba na mm ninachokijua siku zote kabla ya kuiombea shida yoyote lazima uanze na kutubu kwanza sasa kirahisi tuu hata malaya akipata shida anakimbia kutafta muujiza hata kitubu hamna jmn jmn watu tuna shida gani? lkn hivi unaamini kizembe tuu utendewe muujiza kirahisi wakat hata kutubu hamna pia kumbukeni kuwa Mungu ni Mungu wa ayubu pia kwan ayubu mateso yooooote aliyoyapitia sisi badoooo jmn lkn Alimsubiri Mungu wake kwa wakat akatenda hivo.tukumbuke kutubu dhambi zetu alafu tumuombe maarifa na hekima hasa katika kumjua
HII NDO INJILI YA KWELI DUNIA INAYOITAFUTA, NA SIO WAUZA MAFUTA...HUYU NI BARAKA TOSHA TANGU NIKUJUE, NIMEKUWA KARIBU SANA NA MUNGU
Amina Mtumishi naomba uje na huku Kilimanjaro wengine wametoka makanisa ya kiroho kukimbilia manabii
Barikiwa mtumishiiiiiiii
Pasta sema sisi tupone
Apo sasa upo korect
Napenda mafunzo yako mwalimu❤❤natamani kumtumikia Mungu 🙏🙏
Hakika, mungu alikuchagua ukiwa tumboni mwa mama yako ili uje tuokoe mkononi mwa shetani ubarikiwe
Mungu turehemu sisi niwenyezambi Nisame
Amen
I got it🖐️
Haleluya amen
Ety baba kunamtumishi anauliza kwanini unasema inalilah wa inalilahi lajuuni..
hcho ni kiarabu, maana yake sisi ni wa Mungu na kwa Mungu tutarudi.....ni lugha kma zngne
Nabii anatabiri yanga na simba
Safi Sana mchungaji
Yesu anikomboe toka kwao
Amen Hallelujah
Uzuri mnajitambulisha wenyewe,Sasa ubinaadamu tayari, madhabau hayalingani na karama pia
Nakuunga mkono
Ameen
🙌🙌🙌🙌🙌😢🙏
Amen mtumishi, umekuwa wa baraka kwa wengi mungu akubariki
Usicheke kwenye madhabahu huo Ni mzaha Mtumishi
Haya mafundisho ni poa sana mtumishi be blessed
Amen
Amen🙏🙏🙏🙏
Mungu akubaliki muchungaji
Mungu akutunze
Ila baba ungetutajia majina yao kabisa ya hao waongo ili tuwajue me saiv naogopa kabisa habar za manabii maana kumjua mkwel na muongo co jambo dogo baba ang
Hata mkitajiwa mtawafwata tu
@@flm1530 sasa hapo utakuwa huna hatia juu ya mtu huyo maana cku ya mwisho atacmama.mwenyewe kujieleza..kuliko ukaacha kututajia tubak tu bila kuwajua plzzz baba tutajie tuwajue saiv mambo hazalan hakuna kuficha kitu wataje baba plzzzzz
Femida Yahaya, nikujulishe siri ya kuwa mkristo wa kweli ni.1 mwamini Yesu moyoni mwako kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yako 2 ufanyiwe maombi ya kufunguliwa vifungo vyako.3ubatizwe kwa maji mengi,4 ujazwe nguvu za Roho mtakatifu 5 ufundishwe kuukulia wokovu,6 uwe msomaji wa biblia, mwombaji na mtu wa mifungo na Ibadan nyingi. Ukiweza hatua hizi utakuwa na viwango vya juu kiroho hakuna kitakachokushinda duniani.