Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

Kupiga Miayo katikati ya maombi ni dalili ya shambulizi la kiroho kupitia mhuri wa moto•Mch.Katekela

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 июл 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Комментарии • 62

  • @user-rv3ck4wb7t
    @user-rv3ck4wb7t 29 дней назад +3

    Barikiwa sana Mchungaji Katekela, mahubiri yako ni mema sana yanagusa maisha ya watu. Nimepokea maombi uliyoyaomba pamoja nasi. Bwana YESU ametenda.

  • @JenifaIzengo
    @JenifaIzengo Месяц назад +4

    kwa mafundisho haya, mungu yu pamoja nasi hakika anatupenda, kakuleta tupate maarifa tusiangamie tena ktk jina la yesu kristo.

  • @princessprecious6995
    @princessprecious6995 26 дней назад +2

    Mungu akutunze mtumishi wa Mungu katakela

  • @user-cq8nd4ek8w
    @user-cq8nd4ek8w Месяц назад +3

    Barikiwa sana Mtumishi wa BWANA YESU KRISTO! Yaan mafundisho Yako, yamenifunza sana

  • @phinescah7353
    @phinescah7353 Месяц назад +4

    Amen amen ,amiel kwa ufafanuzi wa leo wa undani nime soma mengi kuhusu huu mhuri ubarikiwe mtumishi

  • @nursechunga4470
    @nursechunga4470 Месяц назад +3

    Yesu akutunze mtumishi wa Mungu, naimani kupitia somo hili na maombi haya nitakuja na ushuhuda🙏

  • @agnesmagehema576
    @agnesmagehema576 10 дней назад

    Hakika Mungu wa mbingu na nchi akufunike kwa Damu ya Yesu kila ukanyagapo na ulalapo na ulapo....
    Mihayo imekuwa ikinitokea wakati ninapoanza kuomba tu na hata nikitaka kusoma neno ghafla najikia kuchoka na napitiwa na usingizi mpk asbh ...
    Asante kwa ufumbuzi huu Vita ni vya Bwana Atanitendea tu

  • @CatherineDavid-bl1jc
    @CatherineDavid-bl1jc Месяц назад +5

    Amen

  • @user-hz3rb7vc1x
    @user-hz3rb7vc1x 29 дней назад +2

    Asante sana mtumishi wa Mungu

  • @CosterMachangu
    @CosterMachangu Месяц назад +2

    Mungu akubariki mtumishi wa mungu

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee Месяц назад +5

    Mimi nikiomba napata miayo mfululizo nachukizwa sana na hali hii Yesu nakuomba uniponye

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess3846 Месяц назад +1

    Amina mubarikiwe zaidi nazaidi watumishi wa MUNGU

  • @user-iw1yq3op8f
    @user-iw1yq3op8f Месяц назад +1

    Be blessed more pastor amiel katekela nakupendea ivyo kwa mafundisho mazuri ya mungu nakuongea ukweli aki nabarikiwa sana na neno zuri la mungu

  • @angelinamussa7521
    @angelinamussa7521 16 дней назад

    Amina nimepokea

  • @janekhanjila3413
    @janekhanjila3413 Месяц назад +2

    Amen pastor,nasikia kutoka kitale , Kenya,ngombe yangu ilikufa kwa mafundo

  • @GraphixDesgner
    @GraphixDesgner Месяц назад +2

    Ahsante Sana mtumishi ubarokiwe,hata mm nasum buliwa kwenye. Eneo Hilo,

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6w Месяц назад +2

    Mwenyezi Mungu atulinde na mishale itokayo kwenye Giza.

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 21 день назад

    Barikiwa

  • @GraceMollel-u3l
    @GraceMollel-u3l Месяц назад +1

    Mwenyezi Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu nimejikuta siku hizi nikiwa naomba napiga miayo ikiambatana na machozi yaani mfano wako imejikuta imetoka kwangu

  • @RUTHKCHIKIRA
    @RUTHKCHIKIRA Месяц назад +1

    Amen mtumishi wa Mungu nimebarikiwa sana na mafundisho haya NAMI nimefunguliwa nasikiliza kutoka Nairobi Kenya.

    • @user-ye1dt2eb8u
      @user-ye1dt2eb8u 28 дней назад

      Ruth nakujua nini,,majina kama yakutokea taita tavete...au

  • @user-os1sr3fy6q
    @user-os1sr3fy6q Месяц назад +2

    Hakika Mungu ni mwema kwa watu wake hata mm leo niliyefuatilia kipindi hiki leo nimefunguliwa milele nilikuwa sielewi sasa nimepata ufumbuzi, hawata nipata tena kwa jina la Yesu.

  • @MarakiPatrick
    @MarakiPatrick Месяц назад +2

    Amen mtumishi wa mungu.

  • @user-qc6ns8fx6q
    @user-qc6ns8fx6q Месяц назад +1

    Asante Yesu napokea🎉

  • @ellenatilio5666
    @ellenatilio5666 19 дней назад

    Amen 🙌

  • @CatherineDavid-bl1jc
    @CatherineDavid-bl1jc Месяц назад +11

    Ibarikiwe mtumishi kwamaan mm kila nikiomba lazima miayo ijee na kuna wakati inaambatana na miayo na machozi

    • @user-hc4jv8uz5b
      @user-hc4jv8uz5b Месяц назад +1

      Kweli kbxa hata mm

    • @user-ww7jr4vm5u
      @user-ww7jr4vm5u Месяц назад +1

      Hata mimi kweli Mungu atusaidie sana katika jina la yesu🎉

    • @JacquelineAron
      @JacquelineAron 24 дня назад

      ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉​@@user-ww7jr4vm5u

  • @user-ud1bs8nt3e
    @user-ud1bs8nt3e Месяц назад +1

    Ubarikiwe pastor

  • @EmmanuelyMafie
    @EmmanuelyMafie Месяц назад +1

    Be blessed pastor

  • @GraphixDesgner
    @GraphixDesgner Месяц назад +2

    Napokea

  • @ayubumwalongo8267
    @ayubumwalongo8267 Месяц назад +1

    Mbarikiwe sana

  • @upendokikwelele620
    @upendokikwelele620 Месяц назад +1

    Asante Mtumishi

  • @denisbongore3098
    @denisbongore3098 Месяц назад +1

    Mungu tusaidie

  • @ShallothMatowo
    @ShallothMatowo 16 дней назад

    Mama mkwe aliniambia nitakufanya kitu ujute maisha yako yote.kisa kwanini naomba sana namharibia.fist bone wangu akafa .2bone kisukari wa miaka12uzazi umegoma .umri wangu umenitupa mkono

  • @AshilatAbas-qe4fh
    @AshilatAbas-qe4fh Месяц назад +1

    Nimekuelewa baba

  • @user-wz6md5bl3s
    @user-wz6md5bl3s Месяц назад +1

    Ameeeeen

  • @user-os1sr3fy6q
    @user-os1sr3fy6q Месяц назад +2

    Amina , hiyo nimeshuhudia kwenye shamba langu nililima miaka miwili nikaweka na mbolea na lilikuwa karibu ekari moja niliambulia kupata mahindi lita 10 miaka yote miwili yote.

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Месяц назад

      lita 10 unapimaje??

    • @user-os1sr3fy6q
      @user-os1sr3fy6q 19 дней назад

      ndoo ya lita kumi unaifahamu ndo yalijaa humo tu.​@@trophywilson7211

  • @maureennaliaka8936
    @maureennaliaka8936 11 дней назад

    Yani mchungaji vile niona tu haya maubiri miau ikakuta mara hiyo hiyo eee Mungu ninusuru

  • @violetnangila8021
    @violetnangila8021 10 дней назад

    Mimi kweli mtumishi miayo ndio Sana na machozi

  • @GraphixDesgner
    @GraphixDesgner Месяц назад +2

    Hata mimi nimefungwa nisaidie nitoke nimefungwa ni miaka kumi sasa nimelimitiwa ,kila nilichochuma

  • @upendokikwelele620
    @upendokikwelele620 4 дня назад

    Hata Mimi huwa napiga mioyo wkt wa maombi

  • @nancykimaru8
    @nancykimaru8 14 дней назад

    Msafili plz tell mtumishi if he teaches hio mihuru,when we find tuko nayo, he should be given us solutions coz we can't all reach himcto pray for is,we are in kenya

  • @angelinamussa7521
    @angelinamussa7521 16 дней назад

    Naamini nimepokea na nimepona

  • @nancykimaru8
    @nancykimaru8 14 дней назад

    I mean kow to pray to break it

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 Месяц назад +2

    Lakini maombi ya nguvu za damu ya Yesu Christ inavunja hizo nguvu zoto za kichawi

  • @SaraAbudalla
    @SaraAbudalla Месяц назад

    Hello ❤❤❤❤❤❤

  • @DANIELMWAKABUTA
    @DANIELMWAKABUTA 22 дня назад

    Mtumishi uliwahi kuwa muslimu?

  • @UpendoChurch-u6c
    @UpendoChurch-u6c 29 дней назад

    Iko wapi Kwa maandiko

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Месяц назад

    Hauitwi Mrundi unaitwa Muundi

  • @Frosita
    @Frosita Месяц назад

    Mtumishi hii ibada unaifanyia wapi?

  • @NeemaSulle
    @NeemaSulle Месяц назад

    Mch KATEKELA NAOMBA NAMBA YAKO NI MUHIMU SANA.

  • @neemamassame8183
    @neemamassame8183 Месяц назад

    Unapokuwa kwenye maombi ya vita halafu mtu anashikwa vichomi vikali mbavuni pande zote maana yake nini mchungaji?

  • @ChristineDama-wf3sd
    @ChristineDama-wf3sd Месяц назад +2

    Amen

  • @user-os1sr3fy6q
    @user-os1sr3fy6q Месяц назад +3

    Hakika Mungu ni mwema kwa watu wake hata mm leo niliyefuatilia kipindi hiki leo nimefunguliwa milele nilikuwa sielewi sasa nimepata ufumbuzi, hawata nipata tena kwa jina la Yesu.

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani6133 Месяц назад +1

    Amen