We mchungaji nimekupenda Bure unafundisha viatu vya kweli unamhubiri YESU halisi yaani natamani ungekuwa karibu niwe muumini Kwa uwaminifu Jamani Mungu akubariki zaidi na akupe uwezo wakutufundisha zaidi yaani siachi angali hii charnel weeeeeh ni moto
Asante sana, Mchungaji Amiel Katekela.wewe ndio sababu yangu kuokoka kweli, kumkubali Yesu na kuacha njia za giza. Asante Yesu kwa kumuokoa Amiel Katekela kwa Shuhuda zake za kufungua Macho ya kiroho, wengi tumeokoka na hatutarudi nyuma.
God bless you pastor amielly katika yesu akuzingire maana wengi walitolewa kusimu lakini hawajaweka mambo ya kuzimu hatarani kama wewe aisee asante yesu wa Mbinguni
ASANTE MTUMISHI KWA KUTUKARIBISHA KANISANI KWAKO. NA KILA MCHJ LAZM TU AONE KANISA LAKE NI MIZURI KULIKO LA MWINGINE, AMA DAA TUTAHAMA HAMA, KONDOO WATAPATA WAPI MALISHO YA UHAKIKA.
Inaweza kuwa ngumu kwake kulikemea kwa ujasiri kama muke wake bado anavitumia tumuombee ili Mungu amupe ujasiri kwasababu ni maandiko na apate mafunuo kupitia roho mtakatifu
Yani Kuna watu wanajikuta wameokoka Sana Kila kitu wao ni kujaji tu, sijui ulitaka avae shuka ndo uone kavaa. Roho mtakatifu yupo kazini muulize usijaji Kwa nafsi yako na akili zako.
We mchungaji nimekupenda Bure unafundisha viatu vya kweli unamhubiri YESU halisi yaani natamani ungekuwa karibu niwe muumini Kwa uwaminifu Jamani Mungu akubariki zaidi na akupe uwezo wakutufundisha zaidi yaani siachi angali hii charnel weeeeeh ni moto
Mungu aendelee kukutumia Mtumishi wa Mungu hata vizazi vetu vipate shuhuda zako nimebarikiwa saaaan👏👏👏👏👏👏👏
Mungu ana tupenda sanaa jmn Kila kitu kimewekwa wazi uchaguzi n wetu 🙏🙏
Mungu akulinde daima,atakaye kukugusa,awe anaigusa mboni ya jicho la Mungu
Mungu ni mwenye nguvu kuzidi wote , Mungu aendeleye kuwa nawewe siku zote .
Uyu mchungaji Katekela amekuwa wa baraka katika maisha ya wengi,acha Mwenyezi Mungu akulinde mtumishi "bendera chuma mlingoti chuma ".❤️
Ameen
Amen
Eee Mungu atusaidie saana. Mch katelkella Mungu akulinde uendelee kutufundisha na kutueleza ukweli. Amina
BWANA YESU APEWE SIFA UNAWEZAJE KUFIKA KWETU MASASI MTWARA?
Bwana yesu asifiwe mchungaji katekela na mungu akulinde na atie nguvu kutangaza jina la bwana wetu Yesu kristo!!
Naposikia mtu anamhubiri Yesu Kristo orijino najisikia vizuri sana
Ameen
Amen na mimi pia
watching from Kenya 🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu akuwezeshe Tena na tena Bwana Yesu akulinde chini ya uvuli wa Damu yake
Mwenye Masikio na Asikie, Mungu atusaidie
Amina, Mungu ametupa Neema kuu ya Yesu Kristu
Amina sana mtumishi kwakweli mungu atusaidie sana Maana bila musaada wa mungu hatuwezi
Mungu ni muweza was yote mutumishi mungu akubarik kwa mahubir yako
We mchungaji nimekupenda Bure unafundisha viatu vya kweli unamhubiri YESU halisi yaani natamani ungekuwa karibu niwe muumini Kwa uwaminifu Jamani Mungu akubariki zaidi na akupe uwezo wakutufundisha zaidi yaani siachi angali hii charnel weeeeeh ni moto
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu aliye hai katika jina la Yesu Kristo. Pesa si kitu mbele ya mwenyezi Mungu, na ni mtego kweli wa shetani
Mungu akutie nguvu mungu akubaliki sana
Amen asante Yesu Kristo kwa tufunulia mazito tusiyoyajua asante Bwana Yesu
Mungu Nisaidie mi na familia yangu kupitia jina la Yesu siku zote za maisha yangu wala usinipungukie maana dunia imejaa dhiki😢😢
We Yaredi katekela umeokoka kutokana na wengi walioko kigoma waliifungwa kwa giza kuu Mungu akubariki Sana AMEN
Mungu akubariki sana kwa mafundisho yenye weredi mkubwa .Mungu aendelee kukutunza kimwili na kiroho umtangaze Kristo aliye hai pembe zote za dunia.
Asante sana, Mchungaji Amiel Katekela.wewe ndio sababu yangu kuokoka kweli, kumkubali Yesu na kuacha njia za giza. Asante Yesu kwa kumuokoa Amiel Katekela kwa Shuhuda zake za kufungua Macho ya kiroho, wengi tumeokoka na hatutarudi nyuma.
Bwana Yesu azidi kukutunza sana Mtumishi wa MUNGU alie hai
Amina mchungaji MUNGU atusaidie
Barikiwa sana kk
Hakika Nguvu ya Mungu ni ya ushindi
Mtumishi wa Mungu nakufuatilia Sana na niko pamoja na wewe
God bless you pastor amielly katika yesu akuzingire maana wengi walitolewa kusimu lakini hawajaweka mambo ya kuzimu hatarani kama wewe aisee asante yesu wa Mbinguni
Amena Amena Amena MUNGU akubariki sana mtumishi kwamaubiri yakuokowa
From kenya
YESU KRISTO NI KILA KITU YESU kRISTO NI VYOTE KATIKA VYOTE INJILI UNAYO HUBILI BWANA YESU KRISTO AKUBALIKI SANA SANA
Semina hii ilinipita namshukuru Mungu naendelea kubarikiwa. Mungu ambariki Mch Katekella
Hata sijui cha kufanya nikisikiaga ushuhuda kama huu nataman hata ningekufa wakati Mungu anikomboe aniongoze muda wote inatisha sana hii dunia
Amina
Ee mungu tusaidie sis wanadamu
Ushuhuda Safi kwa wenye Moyo wa nyama lakn wenye Moyo wa jiwe mmmm
Wow muchungaji Niko Kenya nikuje aje nataka ukobizi nielekese
Mchungaji Amiel, Mungu akubariki kwa mafundisho.
Aminaa,nimebarikiwa saana mchungaji,barikiwa saana
Amen Amen hakika nimebarikiwa naMutumishi waMungu
🎉
Watching from Kenya
Mungu azidii kumuweka jmn mchungaji Amieli nafurahia sana huduma yake mungu ambariki sanaa yeye na family yake❤❤
Mungu akusimamie, na akutumie kwa kiwango cha juu, kwaajiri unajua kila kitu. Na yesu ni bora kuliko vyote 👏🏽
Ubarikiwe sn mtumishi wa Mungu
Amen amen amen ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe Sana mtumishi katekela
Ubarikiwe Kwa mafundisho mazuri ndimi vitaely
Damu ya Yesu Kristo imefanya ini lako kuwa hai zaidi ya asilimia mia kwa jina la Yesu Kristo
Asante sana mtumishi kwa neno. Afadhali kuokoka sasa,
Amen 🙏🙏
Yesu nisaidie mimi
Amina kubwa mchungaji
Amen
Huyu pastor ,natamani afungue kaniza huku tranzoia kitale /Kenya watu wapate hii ukweli ,mungu anue Sana pastor
Mungu akubariki sana mtumishi, usikae sana uje Mombasa jameni
Nyie mnaodanganywa na maji na mafuta ya upako poleni
Ameeen
Amen!
Uyu jamaa anaongea vitu anavovielewa tumzingatie sana
Kweli kabsa
Ameni MUNGU akubariki sana❤❤
From Zambia
Weee ujumbe mzito tunahitaji wokovu wa kudumu
Muumbà wambingu naichiakuzidishiye kabisa amen
Kweli kabisa ubarikiwe Mutumishi wa MUNGU tusaidiye yesu
Ameeeenn
Naendelea kuusikiliza ushuhuda huu mhimu.
AMEN
Amen Amen
Ameeni
Mchungaji katekela amekuwa wa baraka sana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤
Hizi ni siku za mwisho mwenye masikio wasikie mwenzetu kakimbia kuzimu wengine wa natamani kwenda hatuelewi?
Kweri hakika huu ushuhuda umenitia moyo sana tudiize kuonmbeanee?
Mungu akubari sana, naomba namba za simu
Nakualika kariadudu Nairobi Kenya plz
Utakuja?
Ndioo
Mafundisho nimetuma ubaya tunasahau
Huyu kaona Movie za kichawi 😂😂
Amen Amen sana
Hakuna sauti
Mchungaji Katekela nawezaje kupata simu yako?
Kasekwla mchungaji wa kanisa gani? Je naweza pata namba yako hata kukualika kwenye makanisa yetu
Wacha uwongo 😂😂😂
❤
ASANTE MTUMISHI KWA KUTUKARIBISHA KANISANI KWAKO. NA KILA MCHJ LAZM TU AONE KANISA LAKE NI MIZURI KULIKO LA MWINGINE, AMA DAA TUTAHAMA HAMA, KONDOO WATAPATA WAPI MALISHO YA UHAKIKA.
imanaishimwe
Kwenye habari za kuzimu,ametudanganya, kabisa
Inaonyesha unapajua vizuri
Mungu unayehubiri kweli yake ili kunusuru kanisa lake akutumie jeshi la malaika likuzingire na Simba wa kabila la akiwa juu yako
Hapohongera
Amen amen lakini mshugaji kwanini aukemee iyozambi ambaho umeifaamu wewe iyomeshe mbona watu bado wako nazo kwenye vichwa vyoho?
Inaweza kuwa ngumu kwake kulikemea kwa ujasiri kama muke wake bado anavitumia tumuombee ili Mungu amupe ujasiri kwasababu ni maandiko na apate mafunuo kupitia roho mtakatifu
Mtumishi mishono hiyo mmmh Kwa Mkristo sidhani kama ni poa
Kwa uzito wa anayoyahubiri unapata muda wakukkosoa nguo?please focus
Sasa mshono unashida gan
Jamani suti ya heshima unakosoa ulitaka avae modo jamani tuache kumsumbua mtumishi
Yani Kuna watu wanajikuta wameokoka Sana Kila kitu wao ni kujaji tu, sijui ulitaka avae shuka ndo uone kavaa. Roho mtakatifu yupo kazini muulize usijaji Kwa nafsi yako na akili zako.
@@thomaspokella909Yaani hadi macho yamefunga kwa vile unasikiliza mahubiri??Aaaa msitudanganye
❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
Mtumishi mimi ninaishi masumbwe unahudumu kabisa gani ili nikuone
Nipo Burundi nakufata asili Mia
ameeeeeee
Asante Kwa kunikarisha kanisani kwako, kwanini hautaki kupokea simu yangu?.
Poor cameraman. Know when and where to focus
Camera mqn ovyooo kabisa aendi na matukio
Nautaka huo wokovu nikiwa duniani
Bado hujaokoka?
@@colyndelwa1738 nimeokosa sasa kwakupitia shuhuda za huyu pastor
Aaa ŵanawake tuache ķujipamba
We mchungaji nimekupenda Bure unafundisha viatu vya kweli unamhubiri YESU halisi yaani natamani ungekuwa karibu niwe muumini Kwa uwaminifu Jamani Mungu akubariki zaidi na akupe uwezo wakutufundisha zaidi yaani siachi angali hii charnel weeeeeh ni moto
Nabarikiwa mnoooo.... Natamani watu waamin maana Kuna ambao wangependa kuwekwa wazi hao manabii lakini hata wakiwekwa wazi watu hawataamini