SHUHUDA NZITO ZA MWINJILISTI AMIEL KATEKELA AELEZA GIZA LINALO TEMBEA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Shuhuda za Mwinjilisti Amiel Katekela aeleza Giza linalo tembea

Комментарии • 145

  • @FaithNdahani
    @FaithNdahani 5 дней назад

    Mungu aendelee kukutumia Mtumishi wa Mungu hata vizazi vetu vipate shuhuda zako nimebarikiwa saaaan👏👏👏👏👏👏👏

  • @NeemaMrisho-y5o
    @NeemaMrisho-y5o 4 месяца назад +8

    Mungu ana tupenda sanaa jmn Kila kitu kimewekwa wazi uchaguzi n wetu 🙏🙏

  • @MarkMabinga
    @MarkMabinga 5 месяцев назад +7

    Mungu akulinde daima,atakaye kukugusa,awe anaigusa mboni ya jicho la Mungu

  • @ntihebuwayojoselyne2876
    @ntihebuwayojoselyne2876 5 месяцев назад +6

    Mungu ni mwenye nguvu kuzidi wote , Mungu aendeleye kuwa nawewe siku zote .

  • @Esthermordecai
    @Esthermordecai 5 месяцев назад +29

    Uyu mchungaji Katekela amekuwa wa baraka katika maisha ya wengi,acha Mwenyezi Mungu akulinde mtumishi "bendera chuma mlingoti chuma ".❤️

  • @fitinamarando
    @fitinamarando 5 месяцев назад +6

    Eee Mungu atusaidie saana. Mch katelkella Mungu akulinde uendelee kutufundisha na kutueleza ukweli. Amina

    • @JaneWanje
      @JaneWanje 5 месяцев назад

      BWANA YESU APEWE SIFA UNAWEZAJE KUFIKA KWETU MASASI MTWARA?

  • @mariakalama3014
    @mariakalama3014 5 месяцев назад +4

    Bwana yesu asifiwe mchungaji katekela na mungu akulinde na atie nguvu kutangaza jina la bwana wetu Yesu kristo!!

  • @Madsan-q7i
    @Madsan-q7i 5 месяцев назад +32

    Naposikia mtu anamhubiri Yesu Kristo orijino najisikia vizuri sana

  • @marianandisi1641
    @marianandisi1641 5 месяцев назад +8

    watching from Kenya 🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @MadeleineJuma
    @MadeleineJuma 5 месяцев назад +3

    Mungu akuwezeshe Tena na tena Bwana Yesu akulinde chini ya uvuli wa Damu yake

  • @nitwelesimon4303
    @nitwelesimon4303 5 месяцев назад +12

    Mwenye Masikio na Asikie, Mungu atusaidie

  • @EricMaingi-f8b
    @EricMaingi-f8b 2 месяца назад +1

    Amina, Mungu ametupa Neema kuu ya Yesu Kristu

  • @GggyJhh-y4x
    @GggyJhh-y4x 5 месяцев назад +4

    Amina sana mtumishi kwakweli mungu atusaidie sana Maana bila musaada wa mungu hatuwezi

  • @SOPHIABUNZAR
    @SOPHIABUNZAR 2 месяца назад +1

    Mungu ni muweza was yote mutumishi mungu akubarik kwa mahubir yako

  • @MarthaChuwa-o6b
    @MarthaChuwa-o6b 4 месяца назад +1

    We mchungaji nimekupenda Bure unafundisha viatu vya kweli unamhubiri YESU halisi yaani natamani ungekuwa karibu niwe muumini Kwa uwaminifu Jamani Mungu akubariki zaidi na akupe uwezo wakutufundisha zaidi yaani siachi angali hii charnel weeeeeh ni moto

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 5 месяцев назад +2

    Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu aliye hai katika jina la Yesu Kristo. Pesa si kitu mbele ya mwenyezi Mungu, na ni mtego kweli wa shetani

  • @absalimlufyagile4974
    @absalimlufyagile4974 5 месяцев назад +4

    Mungu akutie nguvu mungu akubaliki sana

  • @DenisCasey-kh8ub
    @DenisCasey-kh8ub 2 месяца назад

    Amen asante Yesu Kristo kwa tufunulia mazito tusiyoyajua asante Bwana Yesu

  • @adeladaudi2047
    @adeladaudi2047 Месяц назад

    Mungu Nisaidie mi na familia yangu kupitia jina la Yesu siku zote za maisha yangu wala usinipungukie maana dunia imejaa dhiki😢😢

  • @johnmkama8902
    @johnmkama8902 2 месяца назад

    We Yaredi katekela umeokoka kutokana na wengi walioko kigoma waliifungwa kwa giza kuu Mungu akubariki Sana AMEN

  • @flavianarwebangira6726
    @flavianarwebangira6726 5 месяцев назад +6

    Mungu akubariki sana kwa mafundisho yenye weredi mkubwa .Mungu aendelee kukutunza kimwili na kiroho umtangaze Kristo aliye hai pembe zote za dunia.

  • @irenehochstaffel8367
    @irenehochstaffel8367 5 месяцев назад

    Asante sana, Mchungaji Amiel Katekela.wewe ndio sababu yangu kuokoka kweli, kumkubali Yesu na kuacha njia za giza. Asante Yesu kwa kumuokoa Amiel Katekela kwa Shuhuda zake za kufungua Macho ya kiroho, wengi tumeokoka na hatutarudi nyuma.

  • @SamwelEnock-i2s
    @SamwelEnock-i2s 2 месяца назад

    Bwana Yesu azidi kukutunza sana Mtumishi wa MUNGU alie hai

  • @aminakyungu8414
    @aminakyungu8414 5 месяцев назад +3

    Amina mchungaji MUNGU atusaidie

  • @SinalPatel
    @SinalPatel 2 дня назад

    Barikiwa sana kk

  • @WilliamNgazija-cd7cs
    @WilliamNgazija-cd7cs 5 месяцев назад +5

    Hakika Nguvu ya Mungu ni ya ushindi

  • @annangowi5517
    @annangowi5517 5 месяцев назад +2

    Mtumishi wa Mungu nakufuatilia Sana na niko pamoja na wewe

  • @DanielMogena
    @DanielMogena 4 месяца назад

    God bless you pastor amielly katika yesu akuzingire maana wengi walitolewa kusimu lakini hawajaweka mambo ya kuzimu hatarani kama wewe aisee asante yesu wa Mbinguni

  • @ShantaleAsani
    @ShantaleAsani 4 месяца назад

    Amena Amena Amena MUNGU akubariki sana mtumishi kwamaubiri yakuokowa

  • @CatherineNgugi-vu2yo
    @CatherineNgugi-vu2yo 4 месяца назад +2

    From kenya

  • @nominetjacob8137
    @nominetjacob8137 4 месяца назад +2

    YESU KRISTO NI KILA KITU YESU kRISTO NI VYOTE KATIKA VYOTE INJILI UNAYO HUBILI BWANA YESU KRISTO AKUBALIKI SANA SANA

  • @fitinamarando
    @fitinamarando 5 месяцев назад

    Semina hii ilinipita namshukuru Mungu naendelea kubarikiwa. Mungu ambariki Mch Katekella

  • @davisnyandindi4917
    @davisnyandindi4917 2 дня назад

    Hata sijui cha kufanya nikisikiaga ushuhuda kama huu nataman hata ningekufa wakati Mungu anikomboe aniongoze muda wote inatisha sana hii dunia

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess3846 Месяц назад

    Amina

  • @PoulKilusu
    @PoulKilusu 8 дней назад

    Ee mungu tusaidie sis wanadamu

  • @DeusFesto-iz2re
    @DeusFesto-iz2re 5 месяцев назад +2

    Ushuhuda Safi kwa wenye Moyo wa nyama lakn wenye Moyo wa jiwe mmmm

  • @MilkahMaritim
    @MilkahMaritim Месяц назад

    Wow muchungaji Niko Kenya nikuje aje nataka ukobizi nielekese

  • @EricMaingi-f8b
    @EricMaingi-f8b 2 месяца назад

    Mchungaji Amiel, Mungu akubariki kwa mafundisho.

  • @AnitaMwacha
    @AnitaMwacha 4 месяца назад

    Aminaa,nimebarikiwa saana mchungaji,barikiwa saana

  • @rosettenyandwi6334
    @rosettenyandwi6334 5 месяцев назад +1

    Amen Amen hakika nimebarikiwa naMutumishi waMungu

  • @EvaDaniel-y2u
    @EvaDaniel-y2u 5 месяцев назад

    Mungu azidii kumuweka jmn mchungaji Amieli nafurahia sana huduma yake mungu ambariki sanaa yeye na family yake❤❤

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 5 месяцев назад +10

    Mungu akusimamie, na akutumie kwa kiwango cha juu, kwaajiri unajua kila kitu. Na yesu ni bora kuliko vyote 👏🏽

  • @MuyaHappy-j8y
    @MuyaHappy-j8y 2 месяца назад

    Ubarikiwe sn mtumishi wa Mungu

  • @yalalaambobe9528
    @yalalaambobe9528 5 месяцев назад

    Amen amen amen ubarikiwe Mtumishi wa Mungu

  • @SudaNyalupagi
    @SudaNyalupagi 5 месяцев назад +1

    Ubarikiwe Sana mtumishi katekela

  • @vitaelfaustine2744
    @vitaelfaustine2744 4 месяца назад

    Ubarikiwe Kwa mafundisho mazuri ndimi vitaely

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 5 месяцев назад

    Damu ya Yesu Kristo imefanya ini lako kuwa hai zaidi ya asilimia mia kwa jina la Yesu Kristo

  • @CatherineNgugi-vu2yo
    @CatherineNgugi-vu2yo 4 месяца назад

    Asante sana mtumishi kwa neno. Afadhali kuokoka sasa,

  • @JaclineMtunge
    @JaclineMtunge 2 месяца назад

    Amen 🙏🙏

  • @beatricefilbert1171
    @beatricefilbert1171 5 месяцев назад +1

    Yesu nisaidie mimi

  • @JofreyDamson-nm6ec
    @JofreyDamson-nm6ec 5 месяцев назад +1

    Amina kubwa mchungaji

  • @namsifugodson7718
    @namsifugodson7718 4 месяца назад

    Amen

  • @janekhanjila3413
    @janekhanjila3413 2 месяца назад

    Huyu pastor ,natamani afungue kaniza huku tranzoia kitale /Kenya watu wapate hii ukweli ,mungu anue Sana pastor

  • @wilsonkombeyeri4623
    @wilsonkombeyeri4623 5 месяцев назад

    Mungu akubariki sana mtumishi, usikae sana uje Mombasa jameni

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 5 месяцев назад +3

    Nyie mnaodanganywa na maji na mafuta ya upako poleni

  • @ellenatilio5666
    @ellenatilio5666 2 месяца назад

    Ameeen

  • @ElizabethRobart-v6p
    @ElizabethRobart-v6p 5 месяцев назад +3

    Amen!

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 5 месяцев назад +4

    Uyu jamaa anaongea vitu anavovielewa tumzingatie sana

  • @EstarSwepa
    @EstarSwepa 5 месяцев назад

    Ameni MUNGU akubariki sana❤❤

  • @brightondonatien5898
    @brightondonatien5898 3 месяца назад

    From Zambia

  • @Phal0ha-i1u
    @Phal0ha-i1u 2 месяца назад

    Weee ujumbe mzito tunahitaji wokovu wa kudumu

  • @failaprince9250
    @failaprince9250 5 месяцев назад +3

    Muumbà wambingu naichiakuzidishiye kabisa amen

  • @BagumaCongolais
    @BagumaCongolais 4 месяца назад

    Kweli kabisa ubarikiwe Mutumishi wa MUNGU tusaidiye yesu

  • @flm1530
    @flm1530 5 месяцев назад +2

    Ameeeenn

  • @fitinamarando
    @fitinamarando 5 месяцев назад +1

    Naendelea kuusikiliza ushuhuda huu mhimu.

  • @robertsilington-cu4dz
    @robertsilington-cu4dz 5 месяцев назад +2

    AMEN

  • @anifaauguste6519
    @anifaauguste6519 5 месяцев назад +2

    Amen Amen

  • @raelnangila3006
    @raelnangila3006 5 месяцев назад +2

    Ameeni

  • @BeniMsokile
    @BeniMsokile 4 месяца назад

    Mchungaji katekela amekuwa wa baraka sana

  • @MugishaminaniEric-s6l
    @MugishaminaniEric-s6l 25 дней назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤

  • @kauyemhando107
    @kauyemhando107 2 месяца назад

    Hizi ni siku za mwisho mwenye masikio wasikie mwenzetu kakimbia kuzimu wengine wa natamani kwenda hatuelewi?

  • @brightondonatien5898
    @brightondonatien5898 3 месяца назад

    Kweri hakika huu ushuhuda umenitia moyo sana tudiize kuonmbeanee?

  • @ChristinaCharles-py1ct
    @ChristinaCharles-py1ct 4 месяца назад

    Mungu akubari sana, naomba namba za simu

  • @elizabethnekesa652
    @elizabethnekesa652 5 месяцев назад +1

    Nakualika kariadudu Nairobi Kenya plz

  • @richardmateche5742
    @richardmateche5742 Месяц назад

    Mafundisho nimetuma ubaya tunasahau

  • @smadon5638
    @smadon5638 2 месяца назад

    Huyu kaona Movie za kichawi 😂😂

  • @VictoriaMachozi
    @VictoriaMachozi 5 месяцев назад

    Amen Amen sana

  • @shilimaabdallah-mw2bj
    @shilimaabdallah-mw2bj 3 месяца назад

    Hakuna sauti

  • @annangowi5517
    @annangowi5517 5 месяцев назад

    Mchungaji Katekela nawezaje kupata simu yako?

  • @jescashedrack25
    @jescashedrack25 5 месяцев назад

    Kasekwla mchungaji wa kanisa gani? Je naweza pata namba yako hata kukualika kwenye makanisa yetu

  • @smadon5638
    @smadon5638 2 месяца назад

    Wacha uwongo 😂😂😂

  • @RehemaGodfrey
    @RehemaGodfrey 5 месяцев назад +1

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 5 месяцев назад +1

    ASANTE MTUMISHI KWA KUTUKARIBISHA KANISANI KWAKO. NA KILA MCHJ LAZM TU AONE KANISA LAKE NI MIZURI KULIKO LA MWINGINE, AMA DAA TUTAHAMA HAMA, KONDOO WATAPATA WAPI MALISHO YA UHAKIKA.

  • @BonifaceLameck-bx5xe
    @BonifaceLameck-bx5xe 5 месяцев назад

    imanaishimwe

  • @praxedamkwila8825
    @praxedamkwila8825 2 месяца назад

    Kwenye habari za kuzimu,ametudanganya, kabisa

    • @mamita336
      @mamita336 26 дней назад

      Inaonyesha unapajua vizuri

  • @AdriaMushi
    @AdriaMushi 5 месяцев назад

    Mungu unayehubiri kweli yake ili kunusuru kanisa lake akutumie jeshi la malaika likuzingire na Simba wa kabila la akiwa juu yako

  • @aminakyungu8414
    @aminakyungu8414 5 месяцев назад +1

    Hapohongera

  • @failaprince9250
    @failaprince9250 5 месяцев назад

    Amen amen lakini mshugaji kwanini aukemee iyozambi ambaho umeifaamu wewe iyomeshe mbona watu bado wako nazo kwenye vichwa vyoho?

    • @mwaminimwangaza
      @mwaminimwangaza 5 месяцев назад

      Inaweza kuwa ngumu kwake kulikemea kwa ujasiri kama muke wake bado anavitumia tumuombee ili Mungu amupe ujasiri kwasababu ni maandiko na apate mafunuo kupitia roho mtakatifu

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 5 месяцев назад +1

    Mtumishi mishono hiyo mmmh Kwa Mkristo sidhani kama ni poa

    • @thomaspokella909
      @thomaspokella909 5 месяцев назад +2

      Kwa uzito wa anayoyahubiri unapata muda wakukkosoa nguo?please focus

    • @ellyitete938
      @ellyitete938 5 месяцев назад +1

      Sasa mshono unashida gan

    • @assacharles1047
      @assacharles1047 5 месяцев назад +1

      Jamani suti ya heshima unakosoa ulitaka avae modo jamani tuache kumsumbua mtumishi

    • @rithageorge2461
      @rithageorge2461 5 месяцев назад +1

      Yani Kuna watu wanajikuta wameokoka Sana Kila kitu wao ni kujaji tu, sijui ulitaka avae shuka ndo uone kavaa. Roho mtakatifu yupo kazini muulize usijaji Kwa nafsi yako na akili zako.

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 5 месяцев назад

      ​@@thomaspokella909Yaani hadi macho yamefunga kwa vile unasikiliza mahubiri??Aaaa msitudanganye

  • @sarifusteven4634
    @sarifusteven4634 5 месяцев назад

    ❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @pqschalndonge6252
    @pqschalndonge6252 5 месяцев назад

    Mtumishi mimi ninaishi masumbwe unahudumu kabisa gani ili nikuone

  • @IradukundaFrancine-on5yy
    @IradukundaFrancine-on5yy 4 месяца назад

    Nipo Burundi nakufata asili Mia

  • @omaruwakitaa
    @omaruwakitaa 5 месяцев назад

    ameeeeeee

  • @JosephNyamhanga-f5v
    @JosephNyamhanga-f5v 5 месяцев назад

    Asante Kwa kunikarisha kanisani kwako, kwanini hautaki kupokea simu yangu?.

  • @dorcaskinyamasyo
    @dorcaskinyamasyo 5 месяцев назад

    Poor cameraman. Know when and where to focus

  • @AlexanderKibona-os2bt
    @AlexanderKibona-os2bt 5 месяцев назад

    Camera mqn ovyooo kabisa aendi na matukio

  • @RodahAdonice-dz4sm
    @RodahAdonice-dz4sm 5 месяцев назад

    Nautaka huo wokovu nikiwa duniani

    • @colyndelwa1738
      @colyndelwa1738 5 месяцев назад +1

      Bado hujaokoka?

    • @RodahAdonice-dz4sm
      @RodahAdonice-dz4sm 5 месяцев назад +1

      @@colyndelwa1738 nimeokosa sasa kwakupitia shuhuda za huyu pastor

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 5 месяцев назад

    Aaa ŵanawake tuache ķujipamba

  • @MarthaChuwa-o6b
    @MarthaChuwa-o6b 4 месяца назад

    We mchungaji nimekupenda Bure unafundisha viatu vya kweli unamhubiri YESU halisi yaani natamani ungekuwa karibu niwe muumini Kwa uwaminifu Jamani Mungu akubariki zaidi na akupe uwezo wakutufundisha zaidi yaani siachi angali hii charnel weeeeeh ni moto

  • @ERICAHMWAKILUNGU
    @ERICAHMWAKILUNGU Месяц назад +1

    Nabarikiwa mnoooo.... Natamani watu waamin maana Kuna ambao wangependa kuwekwa wazi hao manabii lakini hata wakiwekwa wazi watu hawataamini