We mchungaji nimekupenda Bure unafundisha viatu vya kweli unamhubiri YESU halisi yaani natamani ungekuwa karibu niwe muumini Kwa uwaminifu Jamani Mungu akubariki zaidi na akupe uwezo wakutufundisha zaidi yaani siachi angali hii charnel weeeeeh ni moto
God bless you pastor amielly katika yesu akuzingire maana wengi walitolewa kusimu lakini hawajaweka mambo ya kuzimu hatarani kama wewe aisee asante yesu wa Mbinguni
Asante sana, Mchungaji Amiel Katekela.wewe ndio sababu yangu kuokoka kweli, kumkubali Yesu na kuacha njia za giza. Asante Yesu kwa kumuokoa Amiel Katekela kwa Shuhuda zake za kufungua Macho ya kiroho, wengi tumeokoka na hatutarudi nyuma.
ASANTE MTUMISHI KWA KUTUKARIBISHA KANISANI KWAKO. NA KILA MCHJ LAZM TU AONE KANISA LAKE NI MIZURI KULIKO LA MWINGINE, AMA DAA TUTAHAMA HAMA, KONDOO WATAPATA WAPI MALISHO YA UHAKIKA.
Inaweza kuwa ngumu kwake kulikemea kwa ujasiri kama muke wake bado anavitumia tumuombee ili Mungu amupe ujasiri kwasababu ni maandiko na apate mafunuo kupitia roho mtakatifu
Yani Kuna watu wanajikuta wameokoka Sana Kila kitu wao ni kujaji tu, sijui ulitaka avae shuka ndo uone kavaa. Roho mtakatifu yupo kazini muulize usijaji Kwa nafsi yako na akili zako.
We mchungaji nimekupenda Bure unafundisha viatu vya kweli unamhubiri YESU halisi yaani natamani ungekuwa karibu niwe muumini Kwa uwaminifu Jamani Mungu akubariki zaidi na akupe uwezo wakutufundisha zaidi yaani siachi angali hii charnel weeeeeh ni moto
Mungu ana tupenda sanaa jmn Kila kitu kimewekwa wazi uchaguzi n wetu 🙏🙏
Mungu akulinde daima,atakaye kukugusa,awe anaigusa mboni ya jicho la Mungu
Mungu akusimamie, na akutumie kwa kiwango cha juu, kwaajiri unajua kila kitu. Na yesu ni bora kuliko vyote 👏🏽
Uyu mchungaji Katekela amekuwa wa baraka katika maisha ya wengi,acha Mwenyezi Mungu akulinde mtumishi "bendera chuma mlingoti chuma ".❤️
Ameen
Amen
Bwana yesu asifiwe mchungaji katekela na mungu akulinde na atie nguvu kutangaza jina la bwana wetu Yesu kristo!!
watching from Kenya 🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Naposikia mtu anamhubiri Yesu Kristo orijino najisikia vizuri sana
Ameen
Amen na mimi pia
Mwenye Masikio na Asikie, Mungu atusaidie
Mungu ni mwenye nguvu kuzidi wote , Mungu aendeleye kuwa nawewe siku zote .
Eee Mungu atusaidie saana. Mch katelkella Mungu akulinde uendelee kutufundisha na kutueleza ukweli. Amina
BWANA YESU APEWE SIFA UNAWEZAJE KUFIKA KWETU MASASI MTWARA?
We mchungaji nimekupenda Bure unafundisha viatu vya kweli unamhubiri YESU halisi yaani natamani ungekuwa karibu niwe muumini Kwa uwaminifu Jamani Mungu akubariki zaidi na akupe uwezo wakutufundisha zaidi yaani siachi angali hii charnel weeeeeh ni moto
Mungu akuwezeshe Tena na tena Bwana Yesu akulinde chini ya uvuli wa Damu yake
God bless you pastor amielly katika yesu akuzingire maana wengi walitolewa kusimu lakini hawajaweka mambo ya kuzimu hatarani kama wewe aisee asante yesu wa Mbinguni
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu aliye hai katika jina la Yesu Kristo. Pesa si kitu mbele ya mwenyezi Mungu, na ni mtego kweli wa shetani
From kenya
Mwenyez MUNGU akutunze ee Mubarikiwa
Aminaa,nimebarikiwa saana mchungaji,barikiwa saana
Amina sana mtumishi kwakweli mungu atusaidie sana Maana bila musaada wa mungu hatuwezi
Mungu akubariki sana kwa mafundisho yenye weredi mkubwa .Mungu aendelee kukutunza kimwili na kiroho umtangaze Kristo aliye hai pembe zote za dunia.
YESU KRISTO NI KILA KITU YESU kRISTO NI VYOTE KATIKA VYOTE INJILI UNAYO HUBILI BWANA YESU KRISTO AKUBALIKI SANA SANA
Asante sana, Mchungaji Amiel Katekela.wewe ndio sababu yangu kuokoka kweli, kumkubali Yesu na kuacha njia za giza. Asante Yesu kwa kumuokoa Amiel Katekela kwa Shuhuda zake za kufungua Macho ya kiroho, wengi tumeokoka na hatutarudi nyuma.
From Zambia
Mungu akutie nguvu mungu akubaliki sana
Semina hii ilinipita namshukuru Mungu naendelea kubarikiwa. Mungu ambariki Mch Katekella
Amena Amena Amena MUNGU akubariki sana mtumishi kwamaubiri yakuokowa
Mtumishi wa Mungu nakufuatilia Sana na niko pamoja na wewe
Amina mchungaji MUNGU atusaidie
Hakika Nguvu ya Mungu ni ya ushindi
Mungu azidii kumuweka jmn mchungaji Amieli nafurahia sana huduma yake mungu ambariki sanaa yeye na family yake❤❤
Ushuhuda Safi kwa wenye Moyo wa nyama lakn wenye Moyo wa jiwe mmmm
Amen mtumishi mungu akubaliki
Asante sana mtumishi kwa neno. Afadhali kuokoka sasa,
Damu ya Yesu Kristo imefanya ini lako kuwa hai zaidi ya asilimia mia kwa jina la Yesu Kristo
Ubarikiwe Kwa mafundisho mazuri ndimi vitaely
Amen amen amen ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
Mungu akubariki sana mtumishi, usikae sana uje Mombasa jameni
Uyu jamaa anaongea vitu anavovielewa tumzingatie sana
Kweli kabsa
Ubarikiwe Sana mtumishi katekela
Nyie mnaodanganywa na maji na mafuta ya upako poleni
Muumbà wambingu naichiakuzidishiye kabisa amen
Mungu akubari sana, naomba namba za simu
Kweri hakika huu ushuhuda umenitia moyo sana tudiize kuonmbeanee?
Yesu nisaidie mimi
Amen Amen hakika nimebarikiwa naMutumishi waMungu
🎉
Watching from Kenya
Amen!
Amen
amen yesu abewasifa 🙏👏
Amina kubwa mchungaji
Ameni MUNGU akubariki sana❤❤
Kweli kabisa ubarikiwe Mutumishi wa MUNGU tusaidiye yesu
AMEN
Ameeni
Amen Amen
Ameeeenn
Amina
BWANA akulinde mtumishi katekela
Naendelea kuusikiliza ushuhuda huu mhimu.
Mchungaji katekela amekuwa wa baraka sana
Amen Amen sana
Mungu tusaidi
Amen and Amen
❤
Mchungaji Katekela nawezaje kupata simu yako?
Kasekwla mchungaji wa kanisa gani? Je naweza pata namba yako hata kukualika kwenye makanisa yetu
Ameeen
imanaishimwe
Nakualika kariadudu Nairobi Kenya plz
Utakuja?
Ndioo
Hapohongera
ameeeeeee
ASANTE MTUMISHI KWA KUTUKARIBISHA KANISANI KWAKO. NA KILA MCHJ LAZM TU AONE KANISA LAKE NI MIZURI KULIKO LA MWINGINE, AMA DAA TUTAHAMA HAMA, KONDOO WATAPATA WAPI MALISHO YA UHAKIKA.
Nipo Burundi nakufata asili Mia
❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
Poor cameraman. Know when and where to focus
Mungu unayehubiri kweli yake ili kunusuru kanisa lake akutumie jeshi la malaika likuzingire na Simba wa kabila la akiwa juu yako
Asante Kwa kunikarisha kanisani kwako, kwanini hautaki kupokea simu yangu?.
Amen amen lakini mshugaji kwanini aukemee iyozambi ambaho umeifaamu wewe iyomeshe mbona watu bado wako nazo kwenye vichwa vyoho?
Inaweza kuwa ngumu kwake kulikemea kwa ujasiri kama muke wake bado anavitumia tumuombee ili Mungu amupe ujasiri kwasababu ni maandiko na apate mafunuo kupitia roho mtakatifu
Mtumishi mimi ninaishi masumbwe unahudumu kabisa gani ili nikuone
Mtumishi mishono hiyo mmmh Kwa Mkristo sidhani kama ni poa
Kwa uzito wa anayoyahubiri unapata muda wakukkosoa nguo?please focus
Sasa mshono unashida gan
Jamani suti ya heshima unakosoa ulitaka avae modo jamani tuache kumsumbua mtumishi
Yani Kuna watu wanajikuta wameokoka Sana Kila kitu wao ni kujaji tu, sijui ulitaka avae shuka ndo uone kavaa. Roho mtakatifu yupo kazini muulize usijaji Kwa nafsi yako na akili zako.
@@thomaspokella909Yaani hadi macho yamefunga kwa vile unasikiliza mahubiri??Aaaa msitudanganye
Camera mqn ovyooo kabisa aendi na matukio
Aaa ŵanawake tuache ķujipamba
Nautaka huo wokovu nikiwa duniani
Bado hujaokoka?
@@colyndelwa1738 nimeokosa sasa kwakupitia shuhuda za huyu pastor
We mchungaji nimekupenda Bure unafundisha viatu vya kweli unamhubiri YESU halisi yaani natamani ungekuwa karibu niwe muumini Kwa uwaminifu Jamani Mungu akubariki zaidi na akupe uwezo wakutufundisha zaidi yaani siachi angali hii charnel weeeeeh ni moto
Amen
Amina
Amen
Amen
Amen
Amen
Amina
Amen
Nakupenda Sana kwa jjinsi unavyo fichua Siri zote unatusaidia kujuaj jinsi gani tuenende