KATI YA YESU NA MUHAMMAD NANI WAKUFUATWA, MCHUNGAJI NDACHA AUBUKA, WAKRISTO WAELEWA UKWELI UKO WAPI
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- • KATI YA YESU NA MUHAMM... #KHIDMATV #DabateyaWaislamunaWakristo #JeyusunaMuhammadnaniWakufatwa #mwalimndacha #alhabivmazinge
=
Tufuatilie mitaondao ya kijamii;-
Facebook: / mzeewakhidma
Instagram: / khidma_tv
Tiktok: / khidmatv1
RUclips: / @khidmaonlinetv350
Masha allah kua kutoka ukristo kuongia wislamu
😂😂😂😂
Mashehkkkk mi nawambia tuacheni kushindanda n hawa watu waliopotea tuombeni kwa ALLAH ATUJALIE MWISHO MWEMA N ATUGHUFIRIHE DHAMBI ZETU N TUWE MIONGONI MWA WATAKAO INGIA PEPONI AMEEN THUMA AMEEN 🤲🤲🤲🤲
Nilikuwa mkristo leo ndio nimeamin sikufanya kosa kutoka huko,Ahsant Mungu kunileta katika Uisilam 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Yaani umeruka mkojo ukaingia kwenye mavi so yesu atakuukumu saidi mohammed.
Mashaallah mungu akuongoze kw sababu huyo ndacha anaruka anachoulizwa anasema vingine
Honger Hussein mashaallah
@@silvesterojanji2007Uislam ndio dini ya haki inayofuata maamrisho ya Mungu ajabu ww hujawahi tawadha tangu uzaliwe Wala kusujudia mungu Sababu hamfuati maneno ya YESU nyinyi ni wanafiki.. MATHAYO 15:7 na YOHANA 13:8 hvi haya maneno wayajua ww je nani hufuata...msujudie bwana mungu wako umuabudu yeye peke yake lkn wakristo huimba eti YESU ndiye anastahili kuabudiwa huo ni ukafiri.. Mungu anasema yeye nu Bwana mwenye wivu...na kila kitu ni chake yeye LUKA 4:8.Someni wacheni ujinga viti vimejaa makanisani wakati YESU alivitupa na akasema mm nyumba yangu itaitwa nyumba ya ibada lkn nyinyi mmeifanya kuwa ya wanyang'anyi... mpaka leo viti bado viko Kanisani kishe useme wafuata YESU bure kabisa enda msikitini kama utaona waislam hukaa kwenye viti... YESU alikua muislam.
Umefuata njia sahihi na hutojutia maisha yako yote
Walai Allah awatie nguvu kwa kazi kubwa ndungu xetu munayo ifanya allah atawaliwa dunia wal akhri kwa kujitolea kwa kutea na kuoeta ukweli walio uficha ... Inshallah kheri...
Am proud to be a Muslim Alhamdulilah
You are foolish
Kua muislam ni hakika umeamua kuingia motoni mzima mzima
Muhamedi nimpinga Christo tu hana lolote muache kutuvunja maskia ukweli tunao
Alhamdullillah Alhamdullillah Kuzaliwa Mwislam
Ndacha nakihutumia sana Allah akuongoze na wafuasi wako uache kuwadanganya yesu aleta uzima hiyo ni shiriki kubwa naniwacha Mungu matusi yanini hekima
Mungu awafungue waislam wajue Yesu pekee ndiyo njia ya kwenda Mbinguni,na siyo dini
❤ pastor Ndaja mungu akubariki ila2 waislam ata wakihubiriwa awawezi geuka juu wanahubiriwa wawena wanawake wengi 😂😂😂sasa kila mtu awena wakati mwema wa kumtukuza Mungu
Waislamu hawana lolote Ukristo ndiyo Dini
Thibitisha kwa maandiko
Mashaallah Allha 💖💖💖
Ndacha umeeleweka kabisa
Hongeraa ndacha Mungu akubarki
Wahadhiri wa kiislamu wakilemewa na mada wanageuka mara wanakuwa wachekeshaji ili kuwapoza waumini wao wanaowasikiliza
فَهَلْ يَنتَظِرُونَ إِلَّا مِثْلَ أَيَّامِ ٱلَّذِينَ خَلَوْا۟ مِن قَبْلِهِمْ ۚ قُلْ فَٱنتَظِرُوٓا۟ إِنِّى مَعَكُم مِّنَ ٱلْمُنتَظِرِينَ ١٠٢
@@hassanmuktaar1198 siku HIZI kiarabu siyo Dili... kiswahili ni lulu njema.usitumie lugha isiyo fahamiwa na wengi ni uoga wa kizamani.
@@hassanmuktaar1198 waarabu walitaka kueneza kiarabu Kwa mbeleko ya dini....kwani Mungu akihubiriwa Kwa kiswahili hataeleweka????
Eti Ndacha kashindwa, Ndàcha ,Aliwashinda kwnza,waislamu,walimwogopa,wakaanza. kuweka mashaliti oo,usisome,kitabu hiki ama, kile aibu👽👽😭
Mjinga ajijui
Nimechagua njia sahihi saana alhamdullah
Ndachaa Hana hojaa atumia ujajaa tu ashaiona kweli atasilimu kwauwezoo wakea mungu
Ww mwenyewe muhamad huwez elewa
Acha uvivu wakusikiliza
Sikiliza vizuri acha kiburi
Utamufuata je asiye jua anapokwenda,wakufuatwa ni Yesu tu akuna mwingine
Muovu anaweza kupewa mamulaka
YESU ndiye NJIA kweli na uzima mimi hataniba mwenyewe nitabaki kumutukuza YESU
Ndacha yuko juuu hata mohamed anajua yesu atakuja kuhukumu ulimwengu
Anae toa hukumu ni MUNGU pekee
Ukweli unabakia
Ubarikiwe Ndacha. YESU NDIYE WA KUMFUATA
Islam is the best way to go inshallah Allah atupe kher na tuwe waislam
Ukitumia akili vizuri utagundua Ndacha anapoint, nilikua muislamu namshukuru Mungu aliniokoa kunionyesha njia ya kweli YESU
Ndacha safisana kwakutowa maandiko sahihi kwahao wanafunzi mana muhamadi hajuwi kusoma Wala kuandika weunazani hao wafasiwake watakuwaje ndiomana hawaelewi endelea ndacha kuwafundisha hao wanafunzi ambao Bado wanabisha wasicho kijuwa
mashallah❤❤
Mungu awaguze wasilam watafakali ukuu wa mungu na yesu wabatizwe Ili wapate uzima wa milele
Uzima upi hakuna mkisto ambae atakufa ndio apate uzima wa milele
Wakristo jitambuen na muache kuendeshwa na mtu na kuabudu mtu
pole sana kwa kuto ona ukweli upo wapi
Wakiristo wete ni mbwa kama alivo mbwa ndacha
Hili jitu linaropokwa tu
Jamaa kaleta unafiki na akaitwa mnafiki kisha wakabisha.. Mwishoe mnafiki kadhibitisha unafiki wake peupe.. Ndacha mkenya mwenzagu wacha kujiaibisha ndiyo maana Mwenye Enzi Mungu kasema ulimi utakiri na ulimi wako wakiri.. Soma ilivyo andikwa na kisha soma umalizie sentensi au aya hadi mwisho... Ndiyo maana wakristo wazidi kuwa Waislamu wakijisomea wenyewe.. Islam remains the Number one growing Religion in the World kama wabisha fanya Google ikusaidie
Wewe unaongea pombe gani, kwani anayo ongea ndacha ana toa kichwani au ni mandiko ,
Masha Allah hujakosea unayo ongea kaka ...
Ndacha unakuja ukweliwote kama ukristo siodini ila pesainakupoteza. Angalia wazungu watakupoteza.
Mungu akubariki mtumishi Ndacha, napenda sana kusikiliza hizi Debate,
Dini ni mbilimwisilam na asda peke yake
Mzikatae ukweli Yesu ndiye njia waisilam tuerefuke na kukondoa macho tuone ukweli ak madungu
Ndio mimi NDA batizwa
Yesu alifanyika laana Kwa ajili yetu ili sisi tufanyike haki
Hawa ndacha achana nao,mtaonekana wote wajinga, nyinyi sehemu kibao hamjafika,pale Yesu alipomfukuza shetani mbona hamsemi
Alhamdulillah 🕋
Yesu ndiye wa kufuatwa asante mwalimu Ndacha
Mm hata wakamate bunduki mkononi siwezi kuwa msilam
Kinacho huzinisha sasa....kwan hawasikii ...kuona pia hawaoni....sasa yesu anaombea sisi tunaomkubali kuwa njia ya kweli na hakika hatuezi potea..na wale wasiomkubqli na kumtqfuta bas wanafanya hasara wenyewe@@EdwinPhiri-gj5qv
Kuanzia leo mm mkristo🎉❤
Waislam tunajuwa kwamba nabi Issa hakukufa wala hajatweka kwa musalaba.
Ndacha MUNGU akulinde KWa ukweli huu. Yesu ana mamlaka popote
Ndacha ulaniwe na Mungu kwa hicho kiburi cha kutukana mtume Muhammad s.AW.
Wewe nyamba
shee tumsamee bure hajuwi asemalo ALLAH bado hajampa taufiki kk
Hivi hujui we ni bora kuliko Muhammad vinginevyo uwe ulishauwa watu n'a kubaka ndo mtakuwa sawa
@@salimurhova5031
Ndacha atabarikiwa kwa kumtetea yesu ambaye vitabu vya kale vinamtambua lakini muhamadi ulaniwe milele kwa kuiharibu injili ya manabii
tuwe wenye kusoma na wenye kuelewa vizur
Mashekhe wamebabaika jinsi yesu anavyo inuliwa,ujanja wa waislamu na kukatakata maandiko leo inafichuliwa kumekucha yesu ndie njia sahihi ya kwenda kwa mungu
We umesikiliza kweli au ulikuwa unamsikiliza ndacha pekee akeee
Mwalimu Ndacha, Mwenyezi Mungu akubariki na akulinde. Ninawafwata hapa Congo DR.
😂😂😂Sasa mnaelewaga
Mungu Aku Hifadi Mikononi Mwake Salama Hadui Ajapo Kutafuta Asiku Pate Ndacha Wewe Ni Chuvi Tena Ni Barua Ya Waisilam. Waisilam Wana Fanya Comedy Ndio Maaana Hawasikilizi Wana Kufanyia Makelele Na Kuku Sema Vibaya Badala Ya Kufata Hoja.
pole sana kwa giza ulonalo
Namshukur allahh kuzaliwa muisilam allhamndulillahh
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 unatia huruma sana
Ndacha mmoja ni sawa na waislamu 25
umelogwa ww
Yesu ndio usima wamilele
Ukiwa kwa yesu uko salama
Ngoja ufe ndo utajua kua upo salama au vipi
@@allyabdallah4679Acha kutishwa na kifo . Tukiwa kwa Yesu hatuogopi kufa
Kablini upo pekeyako mzee azabu za kabuli zinakungoja yesu uklisto ajauleta yeye
@@MUKULASI-t8eKwani Allah alikuumba ?
Dini ya haki mbele ya mwenyezimungu ni uislamu anaekubaliana na Mimi lake na omba
Mungu akuangamize ndacha kwakupoteza watu duniani
sorry ndugu hv ni kweli kuna andiko Muhammad alimsilimisha shetani?
Ushindwe kwa jina layesu,uwislamu tunauzika kabisa
Barikiwa sana paster ila unafundisha vizuri sana wenyewe unafundisha hawaelewi tu wabishi wajionea wenye hisiku ya hukumu
Chezea waisilam ww wabishi hatari
Mwenyezimungu ashasema kua 'nimeikamilisha dining na nimeujalia uisilam kua dini ya haki japo washirikina watachukia
Nilikuwa uisilam na shukuru Yesu kwa kuniokowa. Muhammad hajui kusima wala kuandika atafundisha nini? Leo nimejua zaidi kuwa sija potea
Karibu Sana napenda ❤❤❤
Dini ya haki mbele ya m/mungu ni uislamu
Dini ya shetani mbere ya mwenyezi Mungu ni wislamu, inampinga kristo.
Haya ni maneno ya maiti Muhammad,sio maneno ya mungu
Hayo ni maneno ya Mareham muhamadi sii ya mungu,uwislamu unazama
Muhammad ni mganga wa kienyeji
Alimtibu babaako
Ndacha mungu akutie nguvu upambane na hawa waislamu wapinga kiristo
Ndhaca anafundisha ukweli, tatizo la wa islamu, wa nanganganania wislamu, kwa kupenda mafundisho ya huo wislamu wa kuakubalia fulaha ya kuoa wake wengi, hiyo ndio sababu yagupigania wislamu, capili ni kusaidizana na mashetani kwakipato ca maisha ya duniani ni hiyo tu yani ukweli hawana, uongo tu na kutumia ujanja wa kujibu wasico uulizwa , kwasababu wanajua aya nyingi za bibliya wa nazisoma kwa kuzitumia vibaya ili wapoteze watu, Lakini ukiwa makini bila ushabiki unaona uongo wawo.
Wabishi ao aisilam
yaani ndacha unajipa moyo na unaona wazi ulimwenguni watu wanaokimbilia kuingia ndani ya uislam dini ya haki na kama wewe huutaki uislam wenzako wanaukimbilia kwa bure kabisa na wanafaidika na wemeongoka sio kuokoka kuokoka ni kesho mbele ya allah takbeer
Yesu ndo njia kweli na. Uzima.
Huyo Hana Jipya Ndacha Hana lengo la kuwa Fundisha watu Ukweli Wa Mungu iko kimaslah Tumbuwiya
Mohamad bado hajafika wala hatafika mwisho.Ameishia kaburini.Yesu yuko mbinguni,amefika mwisho wa safari.
Waislam wabatizwe, wale wafuasi wa Yesu ni watoto, walio kataa Yesu ni ma umbwa, hi ni hatari
❤ndacha shikamoo ukweli umenibariki ukristo stok kabisa yaan uislamu niupuzi kweli
Hujaelewa ww2
@delickmarco... umeamua ni matusi sio.. ?
Nyinyi ndugu zangu katika imani msiwajibu hawa viumbe bado sana kielimu yesu ni muislam wao sijui wanamfuata nani ikiwa yesu alikuwa anatawadha na ana vua viatu wakati wa kufanya ibada wao wana vaa na wanaingia na viatu
sio uislamu upuuzi ww ndo mpuuzi upo kwenye usingizi yesu katumwa kwa wana wa izlaeli makabima 12 ndani ya hayo makabila kabila lako nipo zinduka we huyo ndacha mjanja wa maneno
Waheslamu muhashe ushabiki hokokeni tu muwe wa Christo Mtumishi Mungu azidi kukulinda sikuzote kwa jina la yesu Christo
Atawezaje kumfuata mtu aliyekufa akazikwa! Kwa hivyo ataenda kumtafuta makaburini ama huyo mtume wenu pia atafufuka! Eti pia atakuja kuvunja misalaba na kuwaua nguruwe! Imani nyingine jamani ni kama ya wazimu
Uyu ndacha aereweki mala yesu mungu mala mtoto uyu kwar mfata mkate
utamuelewa badae
😁😁🙏🏻
Im the Way, the truth and the life no one came to the father except through me, Maneno ya JESUS ,
What about those who were in this world before him
Amini amini nawa ambiya mtu akiniambia mimi 54:44 atapata uzima wa milele
Mungu azindi kukupea nguvu mwalimu
Ndacha fundisha wairam wamjue yesu
Enyi waislam msizibe masikio sikirizen vizur mtaelewa
Kama hawa wahadhiri wa kiislamu waliopo hapo mezani, ndio wanawawakilisha waislamu hakika wanawapoteza waislamu. Uislamu sio dini ya Mungu wa kweli na Allah sio Mungu wa kweli.
Dini ya mungu ya mama ako nyote mtaenda motoni mtachomwa kama mishkaki ya kuku
@Anuarmustafa4128 usiwe na ghadhabu, fuatilia mdahalo kwa makini na uelewe kinachojadiliwa.
Hakuna siku uta mbadilisha muislam awe mkristo
Wasilam muokoke wote mumpokee Yesu
Yesu akulinde mtumishi
Ndacha anarukaruka kama maharage jikoni yakiwa yanachemka
Mambo ya ki mwili na ki roho ni vitu viwili tofauti wacha ni cheke mm🤣🤣🤣
Safari hii ndacha amekiri yesu sio Mungu bali ni Nabii siku zinakuja atajua Muhammad kaja kuwaongoa wakristo wapagani waislaam
Yesu ndie njia iliyo sahihi,muhamadi jia yake sio sahihi ni mpinga kristo nimuongo anae acha kristo na kuingia Islam hajielewi amechanganyikiwa nisawa na mujinga,
Asante sana
Sasa hiyo karatasi yanini mtu umesha soma yanini muwabishi tu mtaishia kubisha basi
Ndacha ni mnafiki tu haelewi chochote
Ndacha mwalimu
mwalimu wa bipofu wa kufikili
huyu mpeni 3yrs later atakua mwislam tu. kisha hizi maudhui zinaitaji subra wallahyi mmananikera sema basi tu.
utasubiri sana dada yangu hicho chuma
Kilsto nijina siodini nahakuna anfiko lolote katika bibilia kua yesu kaingia kanisani ww hujitambui yesu ni mwislamu kaingia snagog.nimskiti siokanisa
Nko nyumba yko ndacha
Kamahujasoma nakusomea mimi yesu hajawahi kuingia kanisani kama mnabisha nisomeeniandiko linalosema yesu kaingiakanisani nasubili hiloandiko
Huyu ndacha ni tahira ,na ana jitahid kumpotowa dini ya kiislam,lakini huwezi dini ya kiislam ni ya haki na hawezi, kama una lipwa katabiri kani sani,maana una wapa wakiristo kuwa na uhakika wa dini ya kiislam,ni ya uhakika hata muka fanya nani 😂😂😂😂😂😂😂
@@sheikhaswalehsalim3392 amewakamata pabaya safari hii....mlimwita wenyewe. Hamkujua...?? Na bado!!!!
Uislam sio dini kabisaa
Dini kiislamu ni dini ya Majini mtu mwenye akili huwezi kuwa Muislam
@@erickmsigala138wewe kama una akili basi tuambie Dini ni nini na Jini ni nini ?
Amen YESU ni MUNGU
Yesu ni Issa wewe n Issa sio mungu ni nabii kam manabii wengn amkeni nyinyi mlipolala ISLAM NDIO DINI Y HAKI.
Ndacha ww ni mkndumbugileee😅😅😅😅 haujui chochote maaamayoo
Shallom, shallom kwa Kila Dini na kabila zote;
Katika Ahadi zangu na kazi zote kwenye utawala wa Imani,
Sioni sababu ya kulumbana;
Mungu Alijitukuza kabla ya" - na bahada ya", Leo - Jana - dahima,
*Soma
1) mwanzo 1-1-2.....",
2)Wafilipi 4-9;
Ayubu 5-6.
Bila Dini au nabii, Mungu Alikuwepo.
Ukiristo ndio dini ya kweli hatuwezi kufuata Muhammad alipata utume pangoni
Aise najivunia sana tena sana KUITWA MKRISTO 👌,
Kuitwa muislamu ni BORA niwe MGANGA TENA WA KIENYEJI 😂 😂
Pastor Ndacha mfu on mungu akuonekanie kila mahali uendapo
Mimi nilikua mwislam lakini kwa
Tabia za Mohamad kuoa watoto wadogo nakuchinja watu wasio kubali uislam pamoja na Majini niliamua kuokoka mpaka leo siitwi mussa naitwa Daniel
We ni muongo ni kafiri tokea mwanzo
@@mozesdaniel7484 hapo umesahau alimsilimishaa hadi shetani mwenyewe
Ndacha kawavuluga sana mashekhe wakaanza kupiga kerere bila kuheshimu utaratibu wa mdahalo.
Aisee kuliko kufuga majini nibora niende baa nikalewe kuliko kufuata Mafundisho ya uganga wa kienyeji nakumfuata Mtume ambaye Anasubiri Hukumu.
Ungeiita dust badala Daniel uko kwa Giza bro hujielewi?
@@mozesdaniel7484prophet Muhammad kiboko yenu ngojeni kiama mtajuwa hujuwi
Ndacha anajua na anajua Tena congratulation ndacha
Kichwa Cha RUclips hiii kina mushkeli. Ndacha amejibu swali kikamilifu...ila... Waislamu hawajakubaliana kwani wanauliza maswali ambayo tayari majibu wameyaoanga kulingana na KITABU chao wanachoamini kuwa ndiyo Cha kweli. Hivyo kama unalazimisha ajibu ulivyopanga...muulizaji. Na hiyo siyo NJIA Bora ya kujifunza.,.ila kutakuwa ni ubishi tu. YESU katika MATHAYO 28:18--19. Ni Kwa ulimwengu wote....
Yaani dacha pekee na kundi la watu zaidi ya hamsini na bado mnashindwa kutoa hoja za kueleweka😂😂😂😂😂
Jesus is the way, truth and life
Mimi naomba mkiona inafaa iandaliwe mada itakayozumzia kati ya Yesu wa Biblia ndie huyo huyo alioke kwenye Qruon ? Asante.
Sisi tulio ndani ya yesu tuko salama ,nawewe mwislamu njoo kwa yesu ili uwe salama,uwe mmoja wawale alio pawa yesu,
Yesu yupi mnao mjuwa nyie ?
Waisilam kwanini murudia maswali walio wajibia ubongo wenu hauna kumbukumbu umebebe muda,tena hamuoni kama wanawazarau kuwapa dakika nyingi za upuuzi