KATI YA YESU NA MUHAMMAD NANI WAKUFUATWA, MCHUNGAJI NDACHA AUBUKA, WAKRISTO WAELEWA UKWELI UKO WAPI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • • KATI YA YESU NA MUHAMM... #KHIDMATV #DabateyaWaislamunaWakristo #JeyusunaMuhammadnaniWakufatwa #mwalimndacha #alhabivmazinge
    =
    Tufuatilie mitaondao ya kijamii;-
    Facebook: / mzeewakhidma
    Instagram: / khidma_tv
    Tiktok: / khidmatv1
    RUclips: / @khidmaonlinetv350

Комментарии • 481

  • @Atijasumail
    @Atijasumail 5 месяцев назад +10

    Masha allah kua kutoka ukristo kuongia wislamu

  • @sashaamoha
    @sashaamoha Месяц назад +1

    Mashehkkkk mi nawambia tuacheni kushindanda n hawa watu waliopotea tuombeni kwa ALLAH ATUJALIE MWISHO MWEMA N ATUGHUFIRIHE DHAMBI ZETU N TUWE MIONGONI MWA WATAKAO INGIA PEPONI AMEEN THUMA AMEEN 🤲🤲🤲🤲

  • @huseinshedrack6180
    @huseinshedrack6180 5 месяцев назад +73

    Nilikuwa mkristo leo ndio nimeamin sikufanya kosa kutoka huko,Ahsant Mungu kunileta katika Uisilam 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @silvesterojanji2007
      @silvesterojanji2007 5 месяцев назад +8

      Yaani umeruka mkojo ukaingia kwenye mavi so yesu atakuukumu saidi mohammed.

    • @Oman-k4j
      @Oman-k4j 5 месяцев назад +6

      Mashaallah mungu akuongoze kw sababu huyo ndacha anaruka anachoulizwa anasema vingine

    • @Oman-k4j
      @Oman-k4j 5 месяцев назад +4

      Honger Hussein mashaallah

    • @ustadhfarouq7729
      @ustadhfarouq7729 5 месяцев назад

      ​@@silvesterojanji2007Uislam ndio dini ya haki inayofuata maamrisho ya Mungu ajabu ww hujawahi tawadha tangu uzaliwe Wala kusujudia mungu Sababu hamfuati maneno ya YESU nyinyi ni wanafiki.. MATHAYO 15:7 na YOHANA 13:8 hvi haya maneno wayajua ww je nani hufuata...msujudie bwana mungu wako umuabudu yeye peke yake lkn wakristo huimba eti YESU ndiye anastahili kuabudiwa huo ni ukafiri.. Mungu anasema yeye nu Bwana mwenye wivu...na kila kitu ni chake yeye LUKA 4:8.Someni wacheni ujinga viti vimejaa makanisani wakati YESU alivitupa na akasema mm nyumba yangu itaitwa nyumba ya ibada lkn nyinyi mmeifanya kuwa ya wanyang'anyi... mpaka leo viti bado viko Kanisani kishe useme wafuata YESU bure kabisa enda msikitini kama utaona waislam hukaa kwenye viti... YESU alikua muislam.

    • @jakuabdull34
      @jakuabdull34 5 месяцев назад +5

      Umefuata njia sahihi na hutojutia maisha yako yote

  • @HalimaAmani-i3x
    @HalimaAmani-i3x Месяц назад

    Walai Allah awatie nguvu kwa kazi kubwa ndungu xetu munayo ifanya allah atawaliwa dunia wal akhri kwa kujitolea kwa kutea na kuoeta ukweli walio uficha ... Inshallah kheri...

  • @HalimaAmani-i3x
    @HalimaAmani-i3x Месяц назад +2

    Am proud to be a Muslim Alhamdulilah

  • @silasmutwiri9159
    @silasmutwiri9159 5 месяцев назад +5

    Kua muislam ni hakika umeamua kuingia motoni mzima mzima

  • @ashurantunzwenimana5975
    @ashurantunzwenimana5975 2 месяца назад +5

    Muhamedi nimpinga Christo tu hana lolote muache kutuvunja maskia ukweli tunao

  • @naimachiza3939
    @naimachiza3939 Месяц назад

    Alhamdullillah Alhamdullillah Kuzaliwa Mwislam

  • @MejumaaRashid-s8g
    @MejumaaRashid-s8g 5 месяцев назад +8

    Ndacha nakihutumia sana Allah akuongoze na wafuasi wako uache kuwadanganya yesu aleta uzima hiyo ni shiriki kubwa naniwacha Mungu matusi yanini hekima

    • @georgevumbu4476
      @georgevumbu4476 Месяц назад

      Mungu awafungue waislam wajue Yesu pekee ndiyo njia ya kwenda Mbinguni,na siyo dini

  • @JudyOkenyuri
    @JudyOkenyuri 29 дней назад

    ❤ pastor Ndaja mungu akubariki ila2 waislam ata wakihubiriwa awawezi geuka juu wanahubiriwa wawena wanawake wengi 😂😂😂sasa kila mtu awena wakati mwema wa kumtukuza Mungu

  • @blackbodyguardx3607
    @blackbodyguardx3607 5 месяцев назад +6

    Waislamu hawana lolote Ukristo ndiyo Dini

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 4 месяца назад +2

    Mashaallah Allha 💖💖💖

  • @drigomsaky7132
    @drigomsaky7132 5 месяцев назад +5

    Ndacha umeeleweka kabisa

  • @ElitumainiMartin
    @ElitumainiMartin 5 месяцев назад +6

    Hongeraa ndacha Mungu akubarki

  • @DesderiusHaule
    @DesderiusHaule 5 месяцев назад +3

    Wahadhiri wa kiislamu wakilemewa na mada wanageuka mara wanakuwa wachekeshaji ili kuwapoza waumini wao wanaowasikiliza

  • @hassanmuktaar1198
    @hassanmuktaar1198 5 месяцев назад +4

    فَهَلْ يَنتَظِرُونَ إِلَّا مِثْلَ أَيَّامِ ٱلَّذِينَ خَلَوْا۟ مِن قَبْلِهِمْ ۚ قُلْ فَٱنتَظِرُوٓا۟ إِنِّى مَعَكُم مِّنَ ٱلْمُنتَظِرِينَ ١٠٢

    • @ernestbensonmwamengo1642
      @ernestbensonmwamengo1642 5 месяцев назад

      @@hassanmuktaar1198 siku HIZI kiarabu siyo Dili... kiswahili ni lulu njema.usitumie lugha isiyo fahamiwa na wengi ni uoga wa kizamani.

    • @ernestbensonmwamengo1642
      @ernestbensonmwamengo1642 5 месяцев назад

      @@hassanmuktaar1198 waarabu walitaka kueneza kiarabu Kwa mbeleko ya dini....kwani Mungu akihubiriwa Kwa kiswahili hataeleweka????

  • @AgnesKasayaMigiro
    @AgnesKasayaMigiro 4 месяца назад +4

    Eti Ndacha kashindwa, Ndàcha ,Aliwashinda kwnza,waislamu,walimwogopa,wakaanza. kuweka mashaliti oo,usisome,kitabu hiki ama, kile aibu👽👽😭

  • @ramadhanidhahabu9509
    @ramadhanidhahabu9509 5 месяцев назад +7

    Nimechagua njia sahihi saana alhamdullah

  • @MohamedMeja
    @MohamedMeja 5 месяцев назад +11

    Ndachaa Hana hojaa atumia ujajaa tu ashaiona kweli atasilimu kwauwezoo wakea mungu

    • @jameskilasa759
      @jameskilasa759 5 месяцев назад

      Ww mwenyewe muhamad huwez elewa

    • @IsaacNzai-e7s
      @IsaacNzai-e7s 5 месяцев назад +1

      Acha uvivu wakusikiliza
      Sikiliza vizuri acha kiburi

    • @KanerugabaClement-z4w
      @KanerugabaClement-z4w 3 месяца назад

      Utamufuata je asiye jua anapokwenda,wakufuatwa ni Yesu tu akuna mwingine

    • @KanerugabaClement-z4w
      @KanerugabaClement-z4w 3 месяца назад

      Muovu anaweza kupewa mamulaka

    • @ashurantunzwenimana5975
      @ashurantunzwenimana5975 2 месяца назад

      YESU ndiye NJIA kweli na uzima mimi hataniba mwenyewe nitabaki kumutukuza YESU

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 5 месяцев назад +5

    Ndacha yuko juuu hata mohamed anajua yesu atakuja kuhukumu ulimwengu

    • @sashaamoha
      @sashaamoha Месяц назад

      Anae toa hukumu ni MUNGU pekee

  • @AbdullahiFarah-q3s
    @AbdullahiFarah-q3s 5 месяцев назад +3

    Ukweli unabakia

  • @joramsengi9123
    @joramsengi9123 4 месяца назад +6

    Ubarikiwe Ndacha. YESU NDIYE WA KUMFUATA

  • @khamismumbo7324
    @khamismumbo7324 4 месяца назад +1

    Islam is the best way to go inshallah Allah atupe kher na tuwe waislam

  • @ordafabian5172
    @ordafabian5172 9 дней назад

    Ukitumia akili vizuri utagundua Ndacha anapoint, nilikua muislamu namshukuru Mungu aliniokoa kunionyesha njia ya kweli YESU

  • @FestoMagawa-xz1kc
    @FestoMagawa-xz1kc 5 месяцев назад +4

    Ndacha safisana kwakutowa maandiko sahihi kwahao wanafunzi mana muhamadi hajuwi kusoma Wala kuandika weunazani hao wafasiwake watakuwaje ndiomana hawaelewi endelea ndacha kuwafundisha hao wanafunzi ambao Bado wanabisha wasicho kijuwa

  • @DaudAhmed-bk2lj
    @DaudAhmed-bk2lj 3 месяца назад

    mashallah❤❤

  • @Raelboke-b6y
    @Raelboke-b6y 5 месяцев назад +7

    Mungu awaguze wasilam watafakali ukuu wa mungu na yesu wabatizwe Ili wapate uzima wa milele

    • @MesaIdd-dn3vt
      @MesaIdd-dn3vt 5 месяцев назад

      Uzima upi hakuna mkisto ambae atakufa ndio apate uzima wa milele

    • @MesaIdd-dn3vt
      @MesaIdd-dn3vt 5 месяцев назад

      Wakristo jitambuen na muache kuendeshwa na mtu na kuabudu mtu

    • @AhmadidadiDadi
      @AhmadidadiDadi 4 месяца назад

      pole sana kwa kuto ona ukweli upo wapi

    • @Anuarmustafa4128
      @Anuarmustafa4128 2 месяца назад

      Wakiristo wete ni mbwa kama alivo mbwa ndacha

    • @Anuarmustafa4128
      @Anuarmustafa4128 2 месяца назад

      Hili jitu linaropokwa tu

  • @abdul-majidndegwa6607
    @abdul-majidndegwa6607 5 месяцев назад +9

    Jamaa kaleta unafiki na akaitwa mnafiki kisha wakabisha.. Mwishoe mnafiki kadhibitisha unafiki wake peupe.. Ndacha mkenya mwenzagu wacha kujiaibisha ndiyo maana Mwenye Enzi Mungu kasema ulimi utakiri na ulimi wako wakiri.. Soma ilivyo andikwa na kisha soma umalizie sentensi au aya hadi mwisho... Ndiyo maana wakristo wazidi kuwa Waislamu wakijisomea wenyewe.. Islam remains the Number one growing Religion in the World kama wabisha fanya Google ikusaidie

    • @RojasMtali
      @RojasMtali Месяц назад

      Wewe unaongea pombe gani, kwani anayo ongea ndacha ana toa kichwani au ni mandiko ,

    • @HalimaAmani-i3x
      @HalimaAmani-i3x Месяц назад +1

      Masha Allah hujakosea unayo ongea kaka ...

    • @DoctorMohamedi
      @DoctorMohamedi Месяц назад +1

      Ndacha unakuja ukweliwote kama ukristo siodini ila pesainakupoteza. Angalia wazungu watakupoteza.

  • @RuthbetaCharles
    @RuthbetaCharles Месяц назад +2

    Mungu akubariki mtumishi Ndacha, napenda sana kusikiliza hizi Debate,

  • @GeoffreyAyubu
    @GeoffreyAyubu 27 дней назад +1

    Dini ni mbilimwisilam na asda peke yake

  • @edubrown12
    @edubrown12 4 месяца назад +3

    Mzikatae ukweli Yesu ndiye njia waisilam tuerefuke na kukondoa macho tuone ukweli ak madungu

  • @MwitaWanishiya
    @MwitaWanishiya Месяц назад

    Yesu alifanyika laana Kwa ajili yetu ili sisi tufanyike haki

  • @NsubiRaphael
    @NsubiRaphael 5 месяцев назад +4

    Hawa ndacha achana nao,mtaonekana wote wajinga, nyinyi sehemu kibao hamjafika,pale Yesu alipomfukuza shetani mbona hamsemi

  • @MariamGhorra
    @MariamGhorra 3 месяца назад +1

    Alhamdulillah 🕋

  • @PascalOkoth-t5g
    @PascalOkoth-t5g 2 месяца назад +3

    Yesu ndiye wa kufuatwa asante mwalimu Ndacha

    • @EdwinPhiri-gj5qv
      @EdwinPhiri-gj5qv Месяц назад +1

      Mm hata wakamate bunduki mkononi siwezi kuwa msilam

    • @PendoKalama-rn8pf
      @PendoKalama-rn8pf Месяц назад

      Kinacho huzinisha sasa....kwan hawasikii ...kuona pia hawaoni....sasa yesu anaombea sisi tunaomkubali kuwa njia ya kweli na hakika hatuezi potea..na wale wasiomkubqli na kumtqfuta bas wanafanya hasara wenyewe​@@EdwinPhiri-gj5qv

  • @janemsigwa5209
    @janemsigwa5209 3 месяца назад +1

    Kuanzia leo mm mkristo🎉❤

  • @sulimankarusi8345
    @sulimankarusi8345 4 месяца назад +1

    Waislam tunajuwa kwamba nabi Issa hakukufa wala hajatweka kwa musalaba.

  • @AdelaMkani
    @AdelaMkani 5 месяцев назад +7

    Ndacha MUNGU akulinde KWa ukweli huu. Yesu ana mamlaka popote

  • @salimurhova5031
    @salimurhova5031 5 месяцев назад

    Ndacha ulaniwe na Mungu kwa hicho kiburi cha kutukana mtume Muhammad s.AW.

    • @Izzoh22
      @Izzoh22 5 месяцев назад

      Wewe nyamba

    • @AhmadidadiDadi
      @AhmadidadiDadi 4 месяца назад

      shee tumsamee bure hajuwi asemalo ALLAH bado hajampa taufiki kk

    • @bellasi349
      @bellasi349 3 месяца назад

      Hivi hujui we ni bora kuliko Muhammad vinginevyo uwe ulishauwa watu n'a kubaka ndo mtakuwa sawa

    • @michaelamiani6755
      @michaelamiani6755 2 месяца назад

      @@salimurhova5031
      Ndacha atabarikiwa kwa kumtetea yesu ambaye vitabu vya kale vinamtambua lakini muhamadi ulaniwe milele kwa kuiharibu injili ya manabii

  • @ZuberAlly-s5l
    @ZuberAlly-s5l 5 месяцев назад +3

    tuwe wenye kusoma na wenye kuelewa vizur

  • @JohnOuya-w7j
    @JohnOuya-w7j 5 месяцев назад +3

    Mashekhe wamebabaika jinsi yesu anavyo inuliwa,ujanja wa waislamu na kukatakata maandiko leo inafichuliwa kumekucha yesu ndie njia sahihi ya kwenda kwa mungu

    • @BekhaChambaly
      @BekhaChambaly 5 месяцев назад

      We umesikiliza kweli au ulikuwa unamsikiliza ndacha pekee akeee

  • @ElieKasongo-b7b
    @ElieKasongo-b7b Месяц назад +1

    Mwalimu Ndacha, Mwenyezi Mungu akubariki na akulinde. Ninawafwata hapa Congo DR.

  • @AntonyManeno
    @AntonyManeno 5 месяцев назад +4

    Mungu Aku Hifadi Mikononi Mwake Salama Hadui Ajapo Kutafuta Asiku Pate Ndacha Wewe Ni Chuvi Tena Ni Barua Ya Waisilam. Waisilam Wana Fanya Comedy Ndio Maaana Hawasikilizi Wana Kufanyia Makelele Na Kuku Sema Vibaya Badala Ya Kufata Hoja.

  • @BashiruWaziri-p7p
    @BashiruWaziri-p7p 5 месяцев назад +3

    Namshukur allahh kuzaliwa muisilam allhamndulillahh

  • @DaudiMwizarubi
    @DaudiMwizarubi 5 месяцев назад +15

    Ndacha mmoja ni sawa na waislamu 25

  • @EdithNeddy-hs9xv
    @EdithNeddy-hs9xv Месяц назад

    Yesu ndio usima wamilele

  • @FestoMagawa-xz1kc
    @FestoMagawa-xz1kc 5 месяцев назад +4

    Ukiwa kwa yesu uko salama

    • @allyabdallah4679
      @allyabdallah4679 5 месяцев назад

      Ngoja ufe ndo utajua kua upo salama au vipi

    • @joramsengi9123
      @joramsengi9123 4 месяца назад

      ​@@allyabdallah4679Acha kutishwa na kifo . Tukiwa kwa Yesu hatuogopi kufa

    • @MUKULASI-t8e
      @MUKULASI-t8e 2 месяца назад

      Kablini upo pekeyako mzee azabu za kabuli zinakungoja yesu uklisto ajauleta yeye

    • @joramsengi9123
      @joramsengi9123 2 месяца назад

      ​@@MUKULASI-t8eKwani Allah alikuumba ?

  • @SaidAmourabdalla
    @SaidAmourabdalla Месяц назад +1

    Dini ya haki mbele ya mwenyezimungu ni uislamu anaekubaliana na Mimi lake na omba

  • @MussaChivalamba-v4u
    @MussaChivalamba-v4u Месяц назад

    Mungu akuangamize ndacha kwakupoteza watu duniani

    • @khloevibe7569
      @khloevibe7569 Месяц назад

      sorry ndugu hv ni kweli kuna andiko Muhammad alimsilimisha shetani?

    • @JohnOuya-w7j
      @JohnOuya-w7j 26 дней назад

      Ushindwe kwa jina layesu,uwislamu tunauzika kabisa

  • @ashurantunzwenimana5975
    @ashurantunzwenimana5975 2 месяца назад

    Barikiwa sana paster ila unafundisha vizuri sana wenyewe unafundisha hawaelewi tu wabishi wajionea wenye hisiku ya hukumu

  • @AdhifaMtama
    @AdhifaMtama Месяц назад

    Mwenyezimungu ashasema kua 'nimeikamilisha dining na nimeujalia uisilam kua dini ya haki japo washirikina watachukia

  • @kingofjungle510
    @kingofjungle510 5 месяцев назад +2

    Nilikuwa uisilam na shukuru Yesu kwa kuniokowa. Muhammad hajui kusima wala kuandika atafundisha nini? Leo nimejua zaidi kuwa sija potea

    • @edubrown12
      @edubrown12 4 месяца назад +1

      Karibu Sana napenda ❤❤❤

  • @midompemba9647
    @midompemba9647 5 месяцев назад +7

    Dini ya haki mbele ya m/mungu ni uislamu

    • @banyankirubusamarc1727
      @banyankirubusamarc1727 5 месяцев назад +2

      Dini ya shetani mbere ya mwenyezi Mungu ni wislamu, inampinga kristo.

    • @threebrothers..
      @threebrothers.. 4 месяца назад +2

      Haya ni maneno ya maiti Muhammad,sio maneno ya mungu

    • @JohnOuya-w7j
      @JohnOuya-w7j 26 дней назад

      Hayo ni maneno ya Mareham muhamadi sii ya mungu,uwislamu unazama

  • @JoshuaSalimu
    @JoshuaSalimu 5 месяцев назад +8

    Muhammad ni mganga wa kienyeji

  • @OlaiRobert-j3p
    @OlaiRobert-j3p 5 месяцев назад +6

    Ndacha mungu akutie nguvu upambane na hawa waislamu wapinga kiristo

  • @banyankirubusamarc1727
    @banyankirubusamarc1727 5 месяцев назад +3

    Ndhaca anafundisha ukweli, tatizo la wa islamu, wa nanganganania wislamu, kwa kupenda mafundisho ya huo wislamu wa kuakubalia fulaha ya kuoa wake wengi, hiyo ndio sababu yagupigania wislamu, capili ni kusaidizana na mashetani kwakipato ca maisha ya duniani ni hiyo tu yani ukweli hawana, uongo tu na kutumia ujanja wa kujibu wasico uulizwa , kwasababu wanajua aya nyingi za bibliya wa nazisoma kwa kuzitumia vibaya ili wapoteze watu, Lakini ukiwa makini bila ushabiki unaona uongo wawo.

  • @FaizaSalim-y6v
    @FaizaSalim-y6v 4 месяца назад +1

    yaani ndacha unajipa moyo na unaona wazi ulimwenguni watu wanaokimbilia kuingia ndani ya uislam dini ya haki na kama wewe huutaki uislam wenzako wanaukimbilia kwa bure kabisa na wanafaidika na wemeongoka sio kuokoka kuokoka ni kesho mbele ya allah takbeer

  • @navokisembo
    @navokisembo 4 месяца назад +2

    Yesu ndo njia kweli na. Uzima.

  • @sulefromcongo7187
    @sulefromcongo7187 4 месяца назад

    Huyo Hana Jipya Ndacha Hana lengo la kuwa Fundisha watu Ukweli Wa Mungu iko kimaslah Tumbuwiya

  • @JustusNteghay
    @JustusNteghay 2 месяца назад

    Mohamad bado hajafika wala hatafika mwisho.Ameishia kaburini.Yesu yuko mbinguni,amefika mwisho wa safari.

  • @basilejuma
    @basilejuma 5 месяцев назад +1

    Waislam wabatizwe, wale wafuasi wa Yesu ni watoto, walio kataa Yesu ni ma umbwa, hi ni hatari

  • @delickmarco3945
    @delickmarco3945 5 месяцев назад +9

    ❤ndacha shikamoo ukweli umenibariki ukristo stok kabisa yaan uislamu niupuzi kweli

    • @SharifuKombo-rb6vk
      @SharifuKombo-rb6vk 5 месяцев назад

      Hujaelewa ww2

    • @abdul-majidndegwa6607
      @abdul-majidndegwa6607 5 месяцев назад

      @delickmarco... umeamua ni matusi sio.. ?

    • @AbdulRahim-rl2df
      @AbdulRahim-rl2df 5 месяцев назад

      Nyinyi ndugu zangu katika imani msiwajibu hawa viumbe bado sana kielimu yesu ni muislam wao sijui wanamfuata nani ikiwa yesu alikuwa anatawadha na ana vua viatu wakati wa kufanya ibada wao wana vaa na wanaingia na viatu

    • @AhmadidadiDadi
      @AhmadidadiDadi 4 месяца назад

      sio uislamu upuuzi ww ndo mpuuzi upo kwenye usingizi yesu katumwa kwa wana wa izlaeli makabima 12 ndani ya hayo makabila kabila lako nipo zinduka we huyo ndacha mjanja wa maneno

  • @enfantmalisawa3124
    @enfantmalisawa3124 5 месяцев назад +1

    Waheslamu muhashe ushabiki hokokeni tu muwe wa Christo Mtumishi Mungu azidi kukulinda sikuzote kwa jina la yesu Christo

  • @kennodhiambo
    @kennodhiambo Месяц назад

    Atawezaje kumfuata mtu aliyekufa akazikwa! Kwa hivyo ataenda kumtafuta makaburini ama huyo mtume wenu pia atafufuka! Eti pia atakuja kuvunja misalaba na kuwaua nguruwe! Imani nyingine jamani ni kama ya wazimu

  • @mohameddarus3027
    @mohameddarus3027 5 месяцев назад +2

    Uyu ndacha aereweki mala yesu mungu mala mtoto uyu kwar mfata mkate

  • @geofreysamwel4945
    @geofreysamwel4945 5 месяцев назад +2

    Im the Way, the truth and the life no one came to the father except through me, Maneno ya JESUS ,

    • @maclaudismail6606
      @maclaudismail6606 5 месяцев назад

      What about those who were in this world before him

  • @Edward-hp5wn
    @Edward-hp5wn 15 дней назад

    Amini amini nawa ambiya mtu akiniambia mimi 54:44 atapata uzima wa milele

  • @jasintakendi5939
    @jasintakendi5939 5 месяцев назад +5

    Mungu azindi kukupea nguvu mwalimu

  • @PetroDeo-s2v
    @PetroDeo-s2v 4 месяца назад +2

    Ndacha fundisha wairam wamjue yesu

  • @FrancisNgomaitara
    @FrancisNgomaitara Месяц назад

    Enyi waislam msizibe masikio sikirizen vizur mtaelewa

  • @DesderiusHaule
    @DesderiusHaule 3 месяца назад

    Kama hawa wahadhiri wa kiislamu waliopo hapo mezani, ndio wanawawakilisha waislamu hakika wanawapoteza waislamu. Uislamu sio dini ya Mungu wa kweli na Allah sio Mungu wa kweli.

    • @Anuarmustafa4128
      @Anuarmustafa4128 2 месяца назад

      Dini ya mungu ya mama ako nyote mtaenda motoni mtachomwa kama mishkaki ya kuku

    • @DesderiusHaule
      @DesderiusHaule 2 месяца назад

      @Anuarmustafa4128 usiwe na ghadhabu, fuatilia mdahalo kwa makini na uelewe kinachojadiliwa.

  • @mwagombebakari
    @mwagombebakari 3 месяца назад

    Hakuna siku uta mbadilisha muislam awe mkristo

  • @clementchizumila8964
    @clementchizumila8964 2 месяца назад

    Wasilam muokoke wote mumpokee Yesu

  • @navokisembo
    @navokisembo 5 месяцев назад +4

    Yesu akulinde mtumishi

  • @NailaMickey
    @NailaMickey 4 месяца назад +1

    Ndacha anarukaruka kama maharage jikoni yakiwa yanachemka

  • @makkawi4294
    @makkawi4294 5 месяцев назад +3

    Mambo ya ki mwili na ki roho ni vitu viwili tofauti wacha ni cheke mm🤣🤣🤣

  • @suleymandachi782
    @suleymandachi782 5 месяцев назад

    Safari hii ndacha amekiri yesu sio Mungu bali ni Nabii siku zinakuja atajua Muhammad kaja kuwaongoa wakristo wapagani waislaam

  • @JohnOuya-w7j
    @JohnOuya-w7j 5 месяцев назад +5

    Yesu ndie njia iliyo sahihi,muhamadi jia yake sio sahihi ni mpinga kristo nimuongo anae acha kristo na kuingia Islam hajielewi amechanganyikiwa nisawa na mujinga,

  • @ashurantunzwenimana5975
    @ashurantunzwenimana5975 2 месяца назад +1

    Sasa hiyo karatasi yanini mtu umesha soma yanini muwabishi tu mtaishia kubisha basi

  • @OmariAbdi-c9k
    @OmariAbdi-c9k 5 месяцев назад +2

    Ndacha ni mnafiki tu haelewi chochote

  • @FunnyHermitCrab-gh4sw
    @FunnyHermitCrab-gh4sw 5 месяцев назад +4

    Ndacha mwalimu

  • @mamyto_aziza5157
    @mamyto_aziza5157 4 месяца назад +1

    huyu mpeni 3yrs later atakua mwislam tu. kisha hizi maudhui zinaitaji subra wallahyi mmananikera sema basi tu.

    • @isaackmlayy6228
      @isaackmlayy6228 3 месяца назад +1

      utasubiri sana dada yangu hicho chuma

  • @ZuberiNkumulwa
    @ZuberiNkumulwa 2 месяца назад

    Kilsto nijina siodini nahakuna anfiko lolote katika bibilia kua yesu kaingia kanisani ww hujitambui yesu ni mwislamu kaingia snagog.nimskiti siokanisa

  • @SusanDismas
    @SusanDismas 4 месяца назад +1

    Nko nyumba yko ndacha

  • @omarihamisishekanga
    @omarihamisishekanga 2 месяца назад

    Kamahujasoma nakusomea mimi yesu hajawahi kuingia kanisani kama mnabisha nisomeeniandiko linalosema yesu kaingiakanisani nasubili hiloandiko

  • @sheikhaswalehsalim3392
    @sheikhaswalehsalim3392 5 месяцев назад +3

    Huyu ndacha ni tahira ,na ana jitahid kumpotowa dini ya kiislam,lakini huwezi dini ya kiislam ni ya haki na hawezi, kama una lipwa katabiri kani sani,maana una wapa wakiristo kuwa na uhakika wa dini ya kiislam,ni ya uhakika hata muka fanya nani 😂😂😂😂😂😂😂

    • @ernestbensonmwamengo1642
      @ernestbensonmwamengo1642 5 месяцев назад

      @@sheikhaswalehsalim3392 amewakamata pabaya safari hii....mlimwita wenyewe. Hamkujua...?? Na bado!!!!

    • @jameskilasa759
      @jameskilasa759 5 месяцев назад

      Uislam sio dini kabisaa

    • @erickmsigala138
      @erickmsigala138 5 месяцев назад

      Dini kiislamu ni dini ya Majini mtu mwenye akili huwezi kuwa Muislam

    • @abdul-majidndegwa6607
      @abdul-majidndegwa6607 5 месяцев назад

      ​​@@erickmsigala138wewe kama una akili basi tuambie Dini ni nini na Jini ni nini ?

  • @MaaDii-iz3ur
    @MaaDii-iz3ur 4 месяца назад +4

    Amen YESU ni MUNGU

    • @sashaamoha
      @sashaamoha Месяц назад

      Yesu ni Issa wewe n Issa sio mungu ni nabii kam manabii wengn amkeni nyinyi mlipolala ISLAM NDIO DINI Y HAKI.

  • @HamisiKuchenga
    @HamisiKuchenga Месяц назад

    Ndacha ww ni mkndumbugileee😅😅😅😅 haujui chochote maaamayoo

  • @HistoryBOOK-l6r
    @HistoryBOOK-l6r 5 месяцев назад

    Shallom, shallom kwa Kila Dini na kabila zote;
    Katika Ahadi zangu na kazi zote kwenye utawala wa Imani,
    Sioni sababu ya kulumbana;
    Mungu Alijitukuza kabla ya" - na bahada ya", Leo - Jana - dahima,
    *Soma
    1) mwanzo 1-1-2.....",
    2)Wafilipi 4-9;
    Ayubu 5-6.
    Bila Dini au nabii, Mungu Alikuwepo.

  • @NoreenMjaga-i5x
    @NoreenMjaga-i5x Месяц назад

    Ukiristo ndio dini ya kweli hatuwezi kufuata Muhammad alipata utume pangoni

  • @kingdonald3312
    @kingdonald3312 Месяц назад

    Aise najivunia sana tena sana KUITWA MKRISTO 👌,
    Kuitwa muislamu ni BORA niwe MGANGA TENA WA KIENYEJI 😂 😂

  • @DassoukiTelecom-t3i
    @DassoukiTelecom-t3i 5 месяцев назад +1

    Pastor Ndacha mfu on mungu akuonekanie kila mahali uendapo

  • @mozesdaniel7484
    @mozesdaniel7484 5 месяцев назад +2

    Mimi nilikua mwislam lakini kwa
    Tabia za Mohamad kuoa watoto wadogo nakuchinja watu wasio kubali uislam pamoja na Majini niliamua kuokoka mpaka leo siitwi mussa naitwa Daniel

    • @salimobeid1470
      @salimobeid1470 5 месяцев назад +1

      We ni muongo ni kafiri tokea mwanzo

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr 5 месяцев назад

      @@mozesdaniel7484 hapo umesahau alimsilimishaa hadi shetani mwenyewe

    • @mozesdaniel7484
      @mozesdaniel7484 5 месяцев назад

      Ndacha kawavuluga sana mashekhe wakaanza kupiga kerere bila kuheshimu utaratibu wa mdahalo.
      Aisee kuliko kufuga majini nibora niende baa nikalewe kuliko kufuata Mafundisho ya uganga wa kienyeji nakumfuata Mtume ambaye Anasubiri Hukumu.

    • @anwarabdallah7095
      @anwarabdallah7095 5 месяцев назад

      Ungeiita dust badala Daniel uko kwa Giza bro hujielewi?

    • @anwarabdallah7095
      @anwarabdallah7095 5 месяцев назад

      ​@@mozesdaniel7484prophet Muhammad kiboko yenu ngojeni kiama mtajuwa hujuwi

  • @AgripaMwangobola-z7r
    @AgripaMwangobola-z7r 3 месяца назад +4

    Ndacha anajua na anajua Tena congratulation ndacha

  • @ernestbensonmwamengo1642
    @ernestbensonmwamengo1642 5 месяцев назад +3

    Kichwa Cha RUclips hiii kina mushkeli. Ndacha amejibu swali kikamilifu...ila... Waislamu hawajakubaliana kwani wanauliza maswali ambayo tayari majibu wameyaoanga kulingana na KITABU chao wanachoamini kuwa ndiyo Cha kweli. Hivyo kama unalazimisha ajibu ulivyopanga...muulizaji. Na hiyo siyo NJIA Bora ya kujifunza.,.ila kutakuwa ni ubishi tu. YESU katika MATHAYO 28:18--19. Ni Kwa ulimwengu wote....

  • @EnockKiema-d1o
    @EnockKiema-d1o День назад

    Yaani dacha pekee na kundi la watu zaidi ya hamsini na bado mnashindwa kutoa hoja za kueleweka😂😂😂😂😂

  • @salomedarema304
    @salomedarema304 5 месяцев назад +2

    Jesus is the way, truth and life

  • @ValekitogoKitogo
    @ValekitogoKitogo 26 дней назад

    Mimi naomba mkiona inafaa iandaliwe mada itakayozumzia kati ya Yesu wa Biblia ndie huyo huyo alioke kwenye Qruon ? Asante.

  • @JohnOuya-w7j
    @JohnOuya-w7j 5 месяцев назад +5

    Sisi tulio ndani ya yesu tuko salama ,nawewe mwislamu njoo kwa yesu ili uwe salama,uwe mmoja wawale alio pawa yesu,

  • @ashurantunzwenimana5975
    @ashurantunzwenimana5975 2 месяца назад

    Waisilam kwanini murudia maswali walio wajibia ubongo wenu hauna kumbukumbu umebebe muda,tena hamuoni kama wanawazarau kuwapa dakika nyingi za upuuzi