JE YESU ANANAFASI GANI MBELE YA MUNGU? MCHUNGAJI NDACHA AKIRI YESU SIO MUNGU APEWA KIBANO AKOSA HOJA
HTML-код
- Опубликовано: 9 фев 2025
- • JE YESU ANANAFASI GANI... #KHIDMATV #DebateWaislamnaWakristo #Alhabibumazinge #MwalimuNdacha #OstadhiShafi #OstadhiSaidKinyogoli
=
Support KHIDMA TV M-PESA +255 752 950 350
=
Tufuatilie mitaondao ya kijamii;-
Facebook: / mzeewakhidma
Instagram: / khidma_tv
Tiktok: / khidmatv1
RUclips: / @khidmaonlinetv350
❤ pastor Ndaja more blessing in the name of Jesus Christ
Hadi uwe na roho ya Mungu utaelewa somo hili
Kuutumikia ukafiri ni kazi sana
Luka 4:18-19
[18]Roho wa Bwana yu juu yangu,
Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema.
Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao,
Na vipofu kupata kuona tena,
Kuwaacha huru waliosetwa,
[19]Na kutangaza mwaka wa Bwana uliokubaliwa.
Mazinge alikua anaringa ety mm ndo kidume 7yrs ago saiz amepata kiboko yake ana aibu ata haezi angalia vizuri 😂😂😂😂😂
Yohana 1:1
[1]Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
Asante YESU Waefeso 2
12 kwamba zamani zile mlikuwa hamna Kristo, mmefarakana na jamii ya Israeli, wageni wasio wa maagano ya ahadi ile. Mlikuwa hamna tumaini, hamna Mungu duniani.
mungu gan unamuongelea nan
Masheha mungu awape Fridawus namimi nikiwemo munanifurahisha mimi kwamawaiza namafundisho
Ndacha Mwenyezi MUNGU Akupe uhai Murefu
jaman ukristo ni ukafili jaman to polen wachngaji mnalopok du polen
@fatumakiboto6157 ukipima mizani ya hoja na ukubwa wa majina,, utagundua yafuatayo,,
Yesu ni mkuu kuliko wote, waliotumwa na Mungu,, maana anasifa za juu sana,, pili utagundua ndacha ni bonge la mwalimu kuliko wote hapo,, hafu hoja zake hazijibiwi kiufasaha na waislamu wenzetu,
@@Benfilimonndacha ndio kwanza umfatiliw wewe hebu rudia klip zake uone vipi akili zake hazihitaji dawa?
Ndacha amesema Mariam sio mama wa yesu jiulize yesu alikuja duniani kwa kuzaliwa jee akizaliwa na nani Kama sio mariamu?
Ili aendelee kuwapoteza
Yesu ni bwana usiku na mchana ❤❤❤❤❤❤❤
Allah akbar Allah akbar Allah akbar Allah akbar
Yarabbi tudumish sis tulobahatika kuwa wailam mpaka mwish wa maisha yetu
Ndio Mungu
Ndacha amemwaga mutiririko wa maandiko mpaka am.confused eeeeh kweli Ndacha mungu akupe hekimu
Gani la ajabu😂😂
Ndacha ni moto Hawa mashehe ni kumangamanga to
Shida ni Moja, issah wa Quran na yesu wa bibilia ni tofauti ndiposa hamutaelewana
Wee ndio haupo kabisa sasa kin yesu n wangap 😂😂😂😂😂 Issa ndio yesu sisi hatukai mbn hamutuelewi nyinyi wakirsto tunawaamin manabiii wote wa mwenyezimunguu akiwemo Issa/yesu
@@sashaamohaikiwa isa ndiye yesu mbona mmoja kafa kulingana na biblia na mwingine hajafa??
Waisilam hawajielewi kusema kweli maneno mengi tu.
Mbwana yesu asifiwe
Poleni Waislamu sana
Poleni nyinyi
Poleni nyinyi mnaomtukuza mtu ambaye hakujitukuza.
Kwa lipi?hatuabudu masanamu
Majini ni yenu😂😂😂@@omarmohamed7434
YESU NI MUNGU
Kojoa ulale ww Mung gani anaye zaliwa
Mungu hawezi kuzaliwa ndo maana Yesu anaitwa Mwana wa Mungu aliyekuja kufunua utukufu wa Mungu . YESU ALICHUKUA MWILI WA MWANADAMU NDIYO AKAZALIWA LAKINI KABLA YA HAPO HAKUWA MWANADAMU
subuhana llah Kuna watu Wana dhambi sana
Kwaiyo suala la yesu kuwa mungu limekufa
Bado ni Mungu
Shafi amesahau kua mungu wake hana uwezo wakua na mtoto bila kua na mke,hio inamfanya mungu wa shafi awe kama yeye ambaye lazma awe na mke ndio uzazi utimie,nashukuru sikukubali uongo wa Muhammad
asa ww sisi mungu wetu hajazaa wala hajazaliwa kaumba watu nikuuliz ww uliezaliwa sawa na mwana wa mung yesu ana baba yake na ww una baba ako yesu anamama na ww una mama yesu kaish dunian na ww umeish dunian una utofat gan na yesu wako ukitoa jina na miujiza
hakuna Aya inayosema ALLAH hawezi kuzaa ila aya inasema hakuzaa wala hakuzaliwa
Hakuzaa kwa sabb hawez kuzaa.@@OscarGerald-vp9kx
Uyo asie kuwa na mwana nimungu wenu wa Islam na Majin mungu wa baba yake yesu ndio mungu wetu
@@PhilipobonifacSado kwa maneno yako YESU ni MUNGU ila kwa maneno ya YESU mwnyw anasema ye mtume!!!!!!.....
Waislamu hawana chochote cha kupewa kiruu poleni aksante Yesu kwa uzima wa milele. Muhammad anasubiri Yesu amfufue yuko kaburinj kama wafu woote included my parents
Hata babaetu Adam A.s..na cc wote including Jesus atafufuliwa na Allah Subhana.
@@HabeebiHabeebi-rr6rk hahahahahahaha soma ww aya gan inasema yesu itafufua watu
wapi Aya inayosema YESU atafufua watu?
IQ ya ndacha ni kubwa sana ukilinganisha na za jukwaa la waislam wote ukianza na shafii .
Iq ipi unayosemea? Hii yakuruka ruka maandiko?
Nko nyuma yko pastor ndacha
Ndacha wapashe hao nawatakia kuelewa wako kimwili zaidi kiroho hawana hao
Kumbe wakiristo hawana akili hata kidogo, kibodini ni kinzito lkini ki akili ni bure 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂wamepigwa tena😂😂😂😂😂 ahsant Mungu kunitoa kwenye ukafir
Usiwe ww n mwislam
Hussein mashaallah mungu akuongoze kw kkufaham dini ya haki mbele za mungu
@@Oman-k4jDini haiwezi kuwa ya haki - Moha kawaongopea! Dini labda iwe ya KWELI!
Shafii ni mjinga sana ....nafasi km mahusiano ni mwana ..na km cheo ni mwokozi wa ulimwengu na jukumu lake kutoa uzima wa ulimwengu.
Sema shafii ni maneno mengi ...ndacha ni facts
Alhamdulillahi
Madame sio Uungu Wa Yesu ama Yesu ni Mungu , Yesu ana nafasi gani mbele ya mungu .
Ndacha ubalikiwe kwa kuwaelimisha
Bi
Waislam ni kelele tu na ubishi mwingi, Eloi eloi lama sabakthani!! Hayo maneno Yesu aliyasema maneno hayo kwanini? Read Romans. 10:5-8. Mlale muamke ninyi mtabaki kuwa wanadamu, Yesu atabaki kuwa ni Mungu ulizeni mujibiwe ninyi wote Waislam
Am a Christian but I really know b4 nsikilize, yesu ni mtume wa mungu
Mtume gani anamacho kama mwali wa moto ?
If you read the bible well you will notice that Jesus is a servant of God and God at the same time..we know that God is Spirit and so in flesh jesus came as a servant..Read Isaiah 48:12-16 you will notice that God is speaking and He is saying He has been Sent by the Lord God and His spirit...
Nilidhani shaffi anaueliewa kumbe ndo mshamba kuliko wote
Fanya uonane nae mfanye mazungumzo,mbwa mzuri huwa habwekei nyumbani ila hubweka akiwa katika usasi
Yesu ni mtume
Hawa makafir wanasoma urongo zaburi 90:1😂😂😂
Hamta elewa waislam hamjuikitu mnapotoshana
Tufundishe kama wewe unasema kweli 😂😂😂😂😂😂😂huna elimu kisha unasema hatujui😂😂😂😂😂😂😂😂?
Shafi hajuwi kitu kweli
Hao sio wakristo ni makafri ila hawana fahamu tu
asa jamani nyinyi hamtaki kuamini kama yesu sio mungu haya bs mm ninaswali yeye mung wenu kaja kufany nn duniani kwann asimtume mjumbe wake au ndo mungu ambae hana mitume???
Yani wakristo akili ni kasorobo.Walipokubali mada tayari walikubali Yesu si Mungu.😂😂😂😂 Msiba mkubwa wasiposilimu.
Sasa mbona hawa walimu wakiislam wana chekaka kama milofa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂dawa imeingia kwa wakristo safi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hiyo inaitwa relief kwao kwasbb hoja imewashinda😅
jamani kweni baba na mtot wote huwa wananguv moja sawa isiwe tatz tufany hivi yesu ni mungu alikuj kufany nn duniani alikuwa anahubir injil ya nn
the grace you muslims have for now to know the truth and turn away from idolatry is a big one. but you take it for granted. a time is coming when the gospel will nolonger be preached to perishing people like you and the end time come and the son of man returns in his second coming that only his father and our father know. you will mourn and weep but the grace period will have ended. The same Ndacha you are taking as a comedian, the words he uses to tell you will be used to judge you. Ndacha is just like john the baptist who came preaching in the wilderness for people to turn away from their evil ways of living and of worship that satan had convinced them to live and they understood the voice of God in that man, To you muslims and other fake christians ndacha is your John the baptist.
Waksto kabisa kwamba yesu c mungu na je kwnn waende kanisani uchi vichwa wazi suruali wanaweke vinguo vifup wapi yesu alifundish hvo hem acheni ulimmbuken rudini kw allah
bmndasha ni moumbavu
Kwani pameandikwa kuwa Mungu ataangalia mavazi ndio uingie peponi
Someni vitabu muelewe dini sio kuangalia mtu tu na kuanza kukashifu vitu huvielew
Kwani wakristo hawana mwalim mwingine jamani?mbona tunamwona ndacha tu?
dini ya kwel inajijib yenyew kila aina ya swal kwasbb haina shaka ndan yake asa wakristo mm ninaswal hivi kwel nyinyi hamna mashak na dini yenu???
amen amen,Hawa waislamu hawajui bibilia hata kidogo.
Aamiin kwakweli waislam wanajuwa injili as a book frm Allaah like Qur'an.....etc
Usiwe shapiki sikiliza mada
Wewe unajua
Siwatuliye fujo zanini wanakua kama watoto wa chekecheya
Kweli wakristo awana akili mada yesu ananafasi gani mbele ya mungu.
N mwana wa Mungu
Allahu Akbar❤
😊
Allahu Akbar❤
Wewe muislamu wacha kuruka umesema msiwe na miungu mingine ila mimi? Mbona, mbona kwa misikitini kuna NYOTA na MWEZI, NA hio si miungu mingine? Na ROSALI .
Sasa wewe umesoma wapi kuwa nyota na mwezi ni miungu?
Aaah hata Adam A.s...ndiye hana baba wala mama...so jamani isomeni hiyo bibilia musikubali kusomewa....
Habibu natamani tukutane tuelimishane, maana hawa wa mjadala wanafanya kwa manufaa ya Imani yao tu.
@@didasmajor9288hata na mm natamani tukutane unielimishe
Mzee wa upako ni mlevi usije ukasema ni mtu wa Mungu upako ni ulevi
Ila na nyie pia mnakunywa mkaipa jina damu ya yesu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
ndata rudi kwenu humuwezi shafii kiboko yako
Sasa mbona unamfukuza😮 tujadili kwa hoja tupeane ilimu😅 bhana
Mtoto Wa Shafi Ni Ng'ombe Kwa Mjibu Wake Sio Bina Dam😅😢 Waisilam Poleni Tatizo Lenu Mwasoma Bibilia Kama Qorowan. Mwataka Kuniambia Ng'ombe Ndio Ilimzaa Shafi Kwa Mjibu Wa Uisilam...
Tatizo mavi mulio lishwa na wachungaji wenu😂😂😂ume pewa akili amka acha kupandikizwa ujinga na paulo
Hakuna mtoto wa mungu hapa wala haiwezekani wacha kuliwa akili
Duuh ukristo mtihani sana jamani...😂😂😂
Issa bin mariamu anayosemwa na waislamu au wa quran siyo huyo
Kwa mujib wa waislamu quran 61 inasema Yesu alitumwa kwa wana israel ...
Swal
Israel ni nani kwa mujib wa qurani??
Na kama Yesu alitumwa kwa wana israel vipi tena waislsmu???
Quran ilikopi kutoka kwa biblia concept ambazo haiwez elezea??
Kuna wajumbe wa nyumba kumi kumi na rais wa nchi.umeelewa 😂
Your taking nans
Hawa sio makosa yao kujua yesu ni mtume ama ni hivo wanavosema wao kuwa ni mungu, shida ni kwa hao mapasta wao wanayo yafunza, na wao wanashika hayo sababu hawaja soma dini wakiwa wadogo wakaelewa wao wanayajua wakati washakua na wakielezwa wanaelewa vibaya, mwislamu anafunzwa dini yake toka akiwa na miaka 7 sasa lazima ajue wapi ndio kunastahili kufatwa.
Wakiristo acheni ushabiki eleweni maandiko....Ndacha kitu gani?...😅😅😅😅 huyo hata hajitambui mara yesu ni Mungu Mara Yesu ni mwana. Hammond mwadanganywa?
Waislam na nyie si mmegawanyika?. Hata ukristo umegawanyika ktk madhehebu tofauti. Umetoa mfano wa mzee wa upako. Kwa kumwangilia yule mlevi ambaye ulevi ukiongea nae ndio unamtoa mfano.??
Sasa ww ulishaa wai kusikia mazehebu yakiisilam lipo linalo sema muhamadi nimungu sisi tumegawanyika lakini swala yetu nimoja tu tunamuamini mungu mmoja namtume muhamadi tunamuamini kama mtume alietumwA namungu ww sikiliza kinacho jadiliwa maana ww hujui hata neno moja yainekana
Mbona mnakata nyie vipande
Ndacha ni bwege nani falaa wakawaida tu
Je ww n
Kwel kwanz anaende tofaut na maandiko anaulizwa hv yeye anajib vingne subhna llah
du mndasha ashazoea uongo analopoka DU ni mjings uyo najivunia kuwa muismu😅❤😊
10:102 jivunie na hapo
Matus hayo .hoja inavunjwa kwa hoja na sio dhiaka .una hoja toa na sio mdhiak hata wewe n bwege tu.
wakati yesu yupo hakukuwa na technologia ya camera na videos wala michoro na movie yake imeigizwa na watu sasa nyinyi yule mkaka wa watu alieigiza kama yesu ndo mliambiwa pacha wake au asa mbn sura yake iko katika misalaba yenu???
Akili ndogo .
Ndacha Rudi shule
Soma wafilip 2 :5:10