JE YESU ANANAFASI GANI MBELE YA MUNGU? MCHUNGAJI NDACHA AKIRI YESU SIO MUNGU APEWA KIBANO AKOSA HOJA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025
  • • JE YESU ANANAFASI GANI... #KHIDMATV #DebateWaislamnaWakristo #Alhabibumazinge #MwalimuNdacha #OstadhiShafi #OstadhiSaidKinyogoli
    =
    Support KHIDMA TV M-PESA +255 752 950 350
    =
    Tufuatilie mitaondao ya kijamii;-
    Facebook: / mzeewakhidma
    Instagram: / khidma_tv
    Tiktok: / khidmatv1
    RUclips: / @khidmaonlinetv350

Комментарии • 139

  • @JudyOkenyuri
    @JudyOkenyuri 23 дня назад +1

    ❤ pastor Ndaja more blessing in the name of Jesus Christ

  • @GwandajaGidamejod-w6f
    @GwandajaGidamejod-w6f 2 месяца назад +2

    Hadi uwe na roho ya Mungu utaelewa somo hili

  • @johnsonbernald11
    @johnsonbernald11 2 месяца назад +1

    Kuutumikia ukafiri ni kazi sana

  • @EssauMsukwa
    @EssauMsukwa 8 дней назад

    Luka 4:18-19
    [18]Roho wa Bwana yu juu yangu,
    Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema.
    Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao,
    Na vipofu kupata kuona tena,
    Kuwaacha huru waliosetwa,
    [19]Na kutangaza mwaka wa Bwana uliokubaliwa.

  • @everlynewanyama
    @everlynewanyama 4 месяца назад +3

    Mazinge alikua anaringa ety mm ndo kidume 7yrs ago saiz amepata kiboko yake ana aibu ata haezi angalia vizuri 😂😂😂😂😂

  • @EssauMsukwa
    @EssauMsukwa 8 дней назад

    Yohana 1:1
    [1]Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

  • @CaltonMallya-zj6cp
    @CaltonMallya-zj6cp 5 месяцев назад +5

    Asante YESU Waefeso 2
    12 kwamba zamani zile mlikuwa hamna Kristo, mmefarakana na jamii ya Israeli, wageni wasio wa maagano ya ahadi ile. Mlikuwa hamna tumaini, hamna Mungu duniani.

  • @olivyechambikwa425
    @olivyechambikwa425 5 месяцев назад +3

    Masheha mungu awape Fridawus namimi nikiwemo munanifurahisha mimi kwamawaiza namafundisho

  • @Ibrahimsalim-z4r
    @Ibrahimsalim-z4r 5 месяцев назад +5

    Ndacha Mwenyezi MUNGU Akupe uhai Murefu

    • @fatumakiboto6157
      @fatumakiboto6157 5 месяцев назад

      jaman ukristo ni ukafili jaman to polen wachngaji mnalopok du polen

    • @Benfilimon
      @Benfilimon 5 месяцев назад

      ​@fatumakiboto6157 ukipima mizani ya hoja na ukubwa wa majina,, utagundua yafuatayo,,
      Yesu ni mkuu kuliko wote, waliotumwa na Mungu,, maana anasifa za juu sana,, pili utagundua ndacha ni bonge la mwalimu kuliko wote hapo,, hafu hoja zake hazijibiwi kiufasaha na waislamu wenzetu,

    • @hassanjuma2772
      @hassanjuma2772 4 месяца назад

      ​@@Benfilimonndacha ndio kwanza umfatiliw wewe hebu rudia klip zake uone vipi akili zake hazihitaji dawa?
      Ndacha amesema Mariam sio mama wa yesu jiulize yesu alikuja duniani kwa kuzaliwa jee akizaliwa na nani Kama sio mariamu?

    • @OscarGerald-vp9kx
      @OscarGerald-vp9kx 4 месяца назад

      Ili aendelee kuwapoteza

  • @EdithNeddy-hs9xv
    @EdithNeddy-hs9xv Месяц назад

    Yesu ni bwana usiku na mchana ❤❤❤❤❤❤❤

  • @Zulkamhaji
    @Zulkamhaji 5 месяцев назад +2

    Allah akbar Allah akbar Allah akbar Allah akbar
    Yarabbi tudumish sis tulobahatika kuwa wailam mpaka mwish wa maisha yetu

  • @MazikuMakoye
    @MazikuMakoye 2 месяца назад

    Ndio Mungu

  • @mjombawallace4966
    @mjombawallace4966 4 месяца назад +3

    Ndacha amemwaga mutiririko wa maandiko mpaka am.confused eeeeh kweli Ndacha mungu akupe hekimu

  • @BernardChesoli-rj3nw
    @BernardChesoli-rj3nw 2 месяца назад +1

    Shida ni Moja, issah wa Quran na yesu wa bibilia ni tofauti ndiposa hamutaelewana

    • @sashaamoha
      @sashaamoha Месяц назад

      Wee ndio haupo kabisa sasa kin yesu n wangap 😂😂😂😂😂 Issa ndio yesu sisi hatukai mbn hamutuelewi nyinyi wakirsto tunawaamin manabiii wote wa mwenyezimunguu akiwemo Issa/yesu

    • @ikhavi
      @ikhavi 27 дней назад

      ​@@sashaamohaikiwa isa ndiye yesu mbona mmoja kafa kulingana na biblia na mwingine hajafa??

  • @rahimumuco8662
    @rahimumuco8662 4 месяца назад +1

    Waisilam hawajielewi kusema kweli maneno mengi tu.
    Mbwana yesu asifiwe

  • @BarakaAkech-r9q
    @BarakaAkech-r9q 5 месяцев назад +1

    Poleni Waislamu sana

    • @musaramadhan5636
      @musaramadhan5636 5 месяцев назад

      Poleni nyinyi

    • @omarmohamed7434
      @omarmohamed7434 5 месяцев назад

      Poleni nyinyi mnaomtukuza mtu ambaye hakujitukuza.

    • @khuzeimaabdul4275
      @khuzeimaabdul4275 4 месяца назад

      Kwa lipi?hatuabudu masanamu

    • @SoosanOman
      @SoosanOman Месяц назад

      Majini ni yenu😂😂😂​@@omarmohamed7434

  • @joramsengi9123
    @joramsengi9123 3 месяца назад +1

    YESU NI MUNGU

    • @AAA-zu1vy
      @AAA-zu1vy 3 месяца назад

      Kojoa ulale ww Mung gani anaye zaliwa

    • @joramsengi9123
      @joramsengi9123 3 месяца назад

      Mungu hawezi kuzaliwa ndo maana Yesu anaitwa Mwana wa Mungu aliyekuja kufunua utukufu wa Mungu . YESU ALICHUKUA MWILI WA MWANADAMU NDIYO AKAZALIWA LAKINI KABLA YA HAPO HAKUWA MWANADAMU

  • @AbdullahmanGujwi-q1l
    @AbdullahmanGujwi-q1l 3 месяца назад

    subuhana llah Kuna watu Wana dhambi sana

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp 5 месяцев назад +2

    Kwaiyo suala la yesu kuwa mungu limekufa

  • @vicorvincent1409
    @vicorvincent1409 5 месяцев назад +3

    Shafi amesahau kua mungu wake hana uwezo wakua na mtoto bila kua na mke,hio inamfanya mungu wa shafi awe kama yeye ambaye lazma awe na mke ndio uzazi utimie,nashukuru sikukubali uongo wa Muhammad

    • @AbdulmalikSumkha
      @AbdulmalikSumkha 4 месяца назад

      asa ww sisi mungu wetu hajazaa wala hajazaliwa kaumba watu nikuuliz ww uliezaliwa sawa na mwana wa mung yesu ana baba yake na ww una baba ako yesu anamama na ww una mama yesu kaish dunian na ww umeish dunian una utofat gan na yesu wako ukitoa jina na miujiza

    • @OscarGerald-vp9kx
      @OscarGerald-vp9kx 4 месяца назад

      hakuna Aya inayosema ALLAH hawezi kuzaa ila aya inasema hakuzaa wala hakuzaliwa

    • @Sbstn1913
      @Sbstn1913 3 месяца назад

      Hakuzaa kwa sabb hawez kuzaa.​@@OscarGerald-vp9kx

    • @PhilipobonifacSado
      @PhilipobonifacSado 2 месяца назад

      Uyo asie kuwa na mwana nimungu wenu wa Islam na Majin mungu wa baba yake yesu ndio mungu wetu

    • @OscarGerald-vp9kx
      @OscarGerald-vp9kx 2 месяца назад

      @@PhilipobonifacSado kwa maneno yako YESU ni MUNGU ila kwa maneno ya YESU mwnyw anasema ye mtume!!!!!!.....

  • @navokisembo
    @navokisembo 5 месяцев назад +1

    Waislamu hawana chochote cha kupewa kiruu poleni aksante Yesu kwa uzima wa milele. Muhammad anasubiri Yesu amfufue yuko kaburinj kama wafu woote included my parents

    • @HabeebiHabeebi-rr6rk
      @HabeebiHabeebi-rr6rk 5 месяцев назад

      Hata babaetu Adam A.s..na cc wote including Jesus atafufuliwa na Allah Subhana.

    • @AbdulmalikSumkha
      @AbdulmalikSumkha 4 месяца назад

      @@HabeebiHabeebi-rr6rk hahahahahahaha soma ww aya gan inasema yesu itafufua watu

    • @OscarGerald-vp9kx
      @OscarGerald-vp9kx 4 месяца назад

      wapi Aya inayosema YESU atafufua watu?

  • @Sbstn1913
    @Sbstn1913 3 месяца назад +2

    IQ ya ndacha ni kubwa sana ukilinganisha na za jukwaa la waislam wote ukianza na shafii .

    • @johnsonbernald11
      @johnsonbernald11 2 месяца назад

      Iq ipi unayosemea? Hii yakuruka ruka maandiko?

  • @SusanDismas
    @SusanDismas 4 месяца назад +1

    Nko nyuma yko pastor ndacha

  • @DaudiMwangati-id1tk
    @DaudiMwangati-id1tk 5 месяцев назад +1

    Ndacha wapashe hao nawatakia kuelewa wako kimwili zaidi kiroho hawana hao

  • @ibrahimadab9151
    @ibrahimadab9151 2 месяца назад

    Kumbe wakiristo hawana akili hata kidogo, kibodini ni kinzito lkini ki akili ni bure 😂😂

  • @huseinshedrack6180
    @huseinshedrack6180 5 месяцев назад +13

    😂😂😂😂😂😂😂wamepigwa tena😂😂😂😂😂 ahsant Mungu kunitoa kwenye ukafir

    • @fredrickgitonga1972
      @fredrickgitonga1972 5 месяцев назад +2

      Usiwe ww n mwislam

    • @Oman-k4j
      @Oman-k4j 5 месяцев назад +2

      Hussein mashaallah mungu akuongoze kw kkufaham dini ya haki mbele za mungu

    • @qerysir4410
      @qerysir4410 5 месяцев назад +1

      ​@@Oman-k4jDini haiwezi kuwa ya haki - Moha kawaongopea! Dini labda iwe ya KWELI!

    • @Makevo08
      @Makevo08 5 месяцев назад +1

      Shafii ni mjinga sana ....nafasi km mahusiano ni mwana ..na km cheo ni mwokozi wa ulimwengu na jukumu lake kutoa uzima wa ulimwengu.
      Sema shafii ni maneno mengi ...ndacha ni facts

    • @HabeebiHabeebi-rr6rk
      @HabeebiHabeebi-rr6rk 5 месяцев назад

      Alhamdulillahi

  • @KasalyaKimimbi
    @KasalyaKimimbi 5 месяцев назад

    Madame sio Uungu Wa Yesu ama Yesu ni Mungu , Yesu ana nafasi gani mbele ya mungu .

  • @claverirambona6068
    @claverirambona6068 5 месяцев назад +3

    Ndacha ubalikiwe kwa kuwaelimisha

  • @waltertang1910
    @waltertang1910 Месяц назад

    Bi

  • @MORRISMBAJI
    @MORRISMBAJI 4 месяца назад +1

    Waislam ni kelele tu na ubishi mwingi, Eloi eloi lama sabakthani!! Hayo maneno Yesu aliyasema maneno hayo kwanini? Read Romans. 10:5-8. Mlale muamke ninyi mtabaki kuwa wanadamu, Yesu atabaki kuwa ni Mungu ulizeni mujibiwe ninyi wote Waislam

  • @DoreenKimwele-bo4ss
    @DoreenKimwele-bo4ss 4 месяца назад +1

    Am a Christian but I really know b4 nsikilize, yesu ni mtume wa mungu

    • @joramsengi9123
      @joramsengi9123 3 месяца назад

      Mtume gani anamacho kama mwali wa moto ?

    • @ikhavi
      @ikhavi 27 дней назад

      If you read the bible well you will notice that Jesus is a servant of God and God at the same time..we know that God is Spirit and so in flesh jesus came as a servant..Read Isaiah 48:12-16 you will notice that God is speaking and He is saying He has been Sent by the Lord God and His spirit...

  • @BarakaAkech-r9q
    @BarakaAkech-r9q 5 месяцев назад +1

    Nilidhani shaffi anaueliewa kumbe ndo mshamba kuliko wote

    • @hassanjuma2772
      @hassanjuma2772 4 месяца назад

      Fanya uonane nae mfanye mazungumzo,mbwa mzuri huwa habwekei nyumbani ila hubweka akiwa katika usasi

  • @AziziRajabu-mv8jz
    @AziziRajabu-mv8jz 4 месяца назад

    Yesu ni mtume

  • @ronaldmatimbo9691
    @ronaldmatimbo9691 4 месяца назад

    Hawa makafir wanasoma urongo zaburi 90:1😂😂😂

  • @DaudiMwangati-id1tk
    @DaudiMwangati-id1tk 5 месяцев назад +1

    Hamta elewa waislam hamjuikitu mnapotoshana

    • @MuslimYouthman
      @MuslimYouthman 4 месяца назад

      Tufundishe kama wewe unasema kweli 😂😂😂😂😂😂😂huna elimu kisha unasema hatujui😂😂😂😂😂😂😂😂?

  • @BURUNDIB
    @BURUNDIB 5 месяцев назад

    Shafi hajuwi kitu kweli

  • @PaschalDaud-zj6wo
    @PaschalDaud-zj6wo 3 месяца назад

    Hao sio wakristo ni makafri ila hawana fahamu tu

  • @AbdulmalikSumkha
    @AbdulmalikSumkha 4 месяца назад

    asa jamani nyinyi hamtaki kuamini kama yesu sio mungu haya bs mm ninaswali yeye mung wenu kaja kufany nn duniani kwann asimtume mjumbe wake au ndo mungu ambae hana mitume???

  • @omarmohamed7434
    @omarmohamed7434 5 месяцев назад

    Yani wakristo akili ni kasorobo.Walipokubali mada tayari walikubali Yesu si Mungu.😂😂😂😂 Msiba mkubwa wasiposilimu.

  • @claudemofi3193
    @claudemofi3193 5 месяцев назад +2

    Sasa mbona hawa walimu wakiislam wana chekaka kama milofa

    • @MuslimYouthman
      @MuslimYouthman 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂dawa imeingia kwa wakristo safi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @Sbstn1913
      @Sbstn1913 3 месяца назад

      Hiyo inaitwa relief kwao kwasbb hoja imewashinda😅

  • @AbdulmalikSumkha
    @AbdulmalikSumkha 4 месяца назад

    jamani kweni baba na mtot wote huwa wananguv moja sawa isiwe tatz tufany hivi yesu ni mungu alikuj kufany nn duniani alikuwa anahubir injil ya nn

  • @kimanzingei109
    @kimanzingei109 5 месяцев назад +1

    the grace you muslims have for now to know the truth and turn away from idolatry is a big one. but you take it for granted. a time is coming when the gospel will nolonger be preached to perishing people like you and the end time come and the son of man returns in his second coming that only his father and our father know. you will mourn and weep but the grace period will have ended. The same Ndacha you are taking as a comedian, the words he uses to tell you will be used to judge you. Ndacha is just like john the baptist who came preaching in the wilderness for people to turn away from their evil ways of living and of worship that satan had convinced them to live and they understood the voice of God in that man, To you muslims and other fake christians ndacha is your John the baptist.

  • @Oman-k4j
    @Oman-k4j 5 месяцев назад +1

    Waksto kabisa kwamba yesu c mungu na je kwnn waende kanisani uchi vichwa wazi suruali wanaweke vinguo vifup wapi yesu alifundish hvo hem acheni ulimmbuken rudini kw allah

    • @fatumakiboto6157
      @fatumakiboto6157 5 месяцев назад

      bmndasha ni moumbavu

    • @SarahMasika-ei4du
      @SarahMasika-ei4du 3 месяца назад

      Kwani pameandikwa kuwa Mungu ataangalia mavazi ndio uingie peponi

  • @HarounmweroMwerochikoza
    @HarounmweroMwerochikoza 3 месяца назад

    Someni vitabu muelewe dini sio kuangalia mtu tu na kuanza kukashifu vitu huvielew

  • @Ismailmolle
    @Ismailmolle Месяц назад

    Kwani wakristo hawana mwalim mwingine jamani?mbona tunamwona ndacha tu?

  • @AbdulmalikSumkha
    @AbdulmalikSumkha 4 месяца назад

    dini ya kwel inajijib yenyew kila aina ya swal kwasbb haina shaka ndan yake asa wakristo mm ninaswal hivi kwel nyinyi hamna mashak na dini yenu???

  • @DavidBarasa-jo9kt
    @DavidBarasa-jo9kt 5 месяцев назад

    amen amen,Hawa waislamu hawajui bibilia hata kidogo.

  • @claudemofi3193
    @claudemofi3193 5 месяцев назад

    Siwatuliye fujo zanini wanakua kama watoto wa chekecheya

  • @salumchina3258
    @salumchina3258 5 месяцев назад

    Kweli wakristo awana akili mada yesu ananafasi gani mbele ya mungu.

  • @MORRISMBAJI
    @MORRISMBAJI 4 месяца назад

    Wewe muislamu wacha kuruka umesema msiwe na miungu mingine ila mimi? Mbona, mbona kwa misikitini kuna NYOTA na MWEZI, NA hio si miungu mingine? Na ROSALI .

    • @BakariKaimite
      @BakariKaimite 3 месяца назад

      Sasa wewe umesoma wapi kuwa nyota na mwezi ni miungu?

  • @HabeebiHabeebi-rr6rk
    @HabeebiHabeebi-rr6rk 5 месяцев назад

    Aaah hata Adam A.s...ndiye hana baba wala mama...so jamani isomeni hiyo bibilia musikubali kusomewa....

    • @didasmajor9288
      @didasmajor9288 4 месяца назад

      Habibu natamani tukutane tuelimishane, maana hawa wa mjadala wanafanya kwa manufaa ya Imani yao tu.

    • @hassanjuma2772
      @hassanjuma2772 4 месяца назад

      ​@@didasmajor9288hata na mm natamani tukutane unielimishe

  • @BarakaAkech-r9q
    @BarakaAkech-r9q 5 месяцев назад

    Mzee wa upako ni mlevi usije ukasema ni mtu wa Mungu upako ni ulevi

    • @MuslimYouthman
      @MuslimYouthman 4 месяца назад

      Ila na nyie pia mnakunywa mkaipa jina damu ya yesu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @saudaumar3354
    @saudaumar3354 5 месяцев назад

    ndata rudi kwenu humuwezi shafii kiboko yako

    • @Sbstn1913
      @Sbstn1913 3 месяца назад

      Sasa mbona unamfukuza😮 tujadili kwa hoja tupeane ilimu😅 bhana

  • @AntonyManeno
    @AntonyManeno 5 месяцев назад +2

    Mtoto Wa Shafi Ni Ng'ombe Kwa Mjibu Wake Sio Bina Dam😅😢 Waisilam Poleni Tatizo Lenu Mwasoma Bibilia Kama Qorowan. Mwataka Kuniambia Ng'ombe Ndio Ilimzaa Shafi Kwa Mjibu Wa Uisilam...

    • @سعدياقوت-ت2خ
      @سعدياقوت-ت2خ 5 месяцев назад

      Tatizo mavi mulio lishwa na wachungaji wenu😂😂😂ume pewa akili amka acha kupandikizwa ujinga na paulo

    • @MuslimYouthman
      @MuslimYouthman 4 месяца назад

      Hakuna mtoto wa mungu hapa wala haiwezekani wacha kuliwa akili

  • @rajabuchumbi6098
    @rajabuchumbi6098 5 месяцев назад +1

    Duuh ukristo mtihani sana jamani...😂😂😂

  • @daudimsaghaa5078
    @daudimsaghaa5078 5 месяцев назад

    Issa bin mariamu anayosemwa na waislamu au wa quran siyo huyo

  • @Makevo08
    @Makevo08 5 месяцев назад

    Kwa mujib wa waislamu quran 61 inasema Yesu alitumwa kwa wana israel ...
    Swal
    Israel ni nani kwa mujib wa qurani??
    Na kama Yesu alitumwa kwa wana israel vipi tena waislsmu???
    Quran ilikopi kutoka kwa biblia concept ambazo haiwez elezea??

    • @khuzeimaabdul4275
      @khuzeimaabdul4275 4 месяца назад

      Kuna wajumbe wa nyumba kumi kumi na rais wa nchi.umeelewa 😂

  • @NimoJama-iw6tg
    @NimoJama-iw6tg 5 месяцев назад

    Your taking nans

  • @Khalid-w6l
    @Khalid-w6l 3 месяца назад

    Hawa sio makosa yao kujua yesu ni mtume ama ni hivo wanavosema wao kuwa ni mungu, shida ni kwa hao mapasta wao wanayo yafunza, na wao wanashika hayo sababu hawaja soma dini wakiwa wadogo wakaelewa wao wanayajua wakati washakua na wakielezwa wanaelewa vibaya, mwislamu anafunzwa dini yake toka akiwa na miaka 7 sasa lazima ajue wapi ndio kunastahili kufatwa.

  • @MubebajiTsataspala
    @MubebajiTsataspala 4 месяца назад +1

    Wakiristo acheni ushabiki eleweni maandiko....Ndacha kitu gani?...😅😅😅😅 huyo hata hajitambui mara yesu ni Mungu Mara Yesu ni mwana. Hammond mwadanganywa?

  • @glorymiko6830
    @glorymiko6830 5 месяцев назад

    Waislam na nyie si mmegawanyika?. Hata ukristo umegawanyika ktk madhehebu tofauti. Umetoa mfano wa mzee wa upako. Kwa kumwangilia yule mlevi ambaye ulevi ukiongea nae ndio unamtoa mfano.??

    • @YusuphRajabu-hz3pv
      @YusuphRajabu-hz3pv 5 месяцев назад

      Sasa ww ulishaa wai kusikia mazehebu yakiisilam lipo linalo sema muhamadi nimungu sisi tumegawanyika lakini swala yetu nimoja tu tunamuamini mungu mmoja namtume muhamadi tunamuamini kama mtume alietumwA namungu ww sikiliza kinacho jadiliwa maana ww hujui hata neno moja yainekana

  • @mchendersonmande1558
    @mchendersonmande1558 3 месяца назад

    Mbona mnakata nyie vipande

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 5 месяцев назад +1

    Ndacha ni bwege nani falaa wakawaida tu

    • @fredrickgitonga1972
      @fredrickgitonga1972 5 месяцев назад

      Je ww n

    • @Oman-k4j
      @Oman-k4j 5 месяцев назад

      Kwel kwanz anaende tofaut na maandiko anaulizwa hv yeye anajib vingne subhna llah

    • @fatumakiboto6157
      @fatumakiboto6157 5 месяцев назад

      du mndasha ashazoea uongo analopoka DU ni mjings uyo najivunia kuwa muismu😅❤😊

    • @CaltonMallya-zj6cp
      @CaltonMallya-zj6cp 5 месяцев назад

      10:102 jivunie na hapo

    • @Sbstn1913
      @Sbstn1913 3 месяца назад

      Matus hayo .hoja inavunjwa kwa hoja na sio dhiaka .una hoja toa na sio mdhiak hata wewe n bwege tu.

  • @AbdulmalikSumkha
    @AbdulmalikSumkha 4 месяца назад

    wakati yesu yupo hakukuwa na technologia ya camera na videos wala michoro na movie yake imeigizwa na watu sasa nyinyi yule mkaka wa watu alieigiza kama yesu ndo mliambiwa pacha wake au asa mbn sura yake iko katika misalaba yenu???

    • @Sbstn1913
      @Sbstn1913 3 месяца назад

      Akili ndogo .

  • @sultanhilarious8893
    @sultanhilarious8893 4 месяца назад

    Ndacha Rudi shule