MCH :HANANJA AMTOLEA UVIVU NABII KIBOKO YA WACHAWI SIRI ZA KUTOA MAPEPO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 июл 2024
  • Our mission is to bring people together,entertain and educate people that's why we create content that does exactly that

Комментарии • 177

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 2 дня назад +15

    Ninachojua nikukupenda tu mchungaji wangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @eliaskabila1106
    @eliaskabila1106 День назад +3

    Mchungaji Hananja unasema kweli kabisa Mungu akubariki sana uishi maisha marefu uendelee kutufunza

  • @fanuelkatoto8913
    @fanuelkatoto8913 2 дня назад +9

    Mungu akuzidishie hekima mtumishi ili tupate mafundisho yako yanayotujenga kiimani. 🙏🏽

  • @ramadhaninyangasa7275
    @ramadhaninyangasa7275 День назад +7

    Maashaallah Maashaallah Maashaallah ❤❤❤ Allah akufanyie wepesi mzee wangu I'm musilim

    • @maalimhamad1297
      @maalimhamad1297 11 часов назад +1

      Nawewe kafiri kama yeye

    • @israeluronu9958
      @israeluronu9958 8 часов назад

      ​@@maalimhamad1297ww mwenyewe kafiri!! Tafuta hela punguza makasiriko! Kwanii asimsifie kama kaongea point. Acha udini Mungu ni mmoja

    • @user-ec4br4pd3o
      @user-ec4br4pd3o 4 часа назад

      Acha wivu​@@maalimhamad1297

  • @frankdickson1480
    @frankdickson1480 День назад +3

    Pastor Unasema kweli Mungu akutunze

  • @zengomikomangwa9264
    @zengomikomangwa9264 4 дня назад +7

    Nakuelewa sana Mch Hananja. Asiekuelewa hasikilizi vizuri. Hongera kwa kuwa muwazi.

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 6 часов назад +1

    Wallah baba nakukubali wewe ni msema kweli mwenye kuchukia na achukie mtumishi wa mungu itakuwaje ajichubue ao ndio welewale

  • @shiracque8524
    @shiracque8524 2 дня назад +6

    Ubarikiwe mwalimu BABA mchungaji

  • @user-hb8iv7jz9c
    @user-hb8iv7jz9c 2 дня назад +6

    Mungu akupe maisha marefu hananja.

  • @worth_monkey
    @worth_monkey День назад +3

    mungu akuweke mchungaji umeongea fact sana asee wabongoo wanaburuzwaaa

  • @EVANSOUMA-k5h
    @EVANSOUMA-k5h 6 часов назад +1

    Mungu akuzidishie roho mtakatifu Baba mchungaji

  • @user-zp5qj3ym5x
    @user-zp5qj3ym5x 3 часа назад +1

    Mm ni muislamu ila uyu mzee namuelewa sana na pia napenda kumfuatilia kwenye vipindi vyake Mungu akueke mchunguji Ananja

  • @MichaelDominick-xx1rz
    @MichaelDominick-xx1rz День назад +4

    Nmekuelewa Sanaa mchungaji

  • @godfreymhina6236
    @godfreymhina6236 День назад +2

    Mchg kwakweli BWANA akubaliki sana amekuweka kwa kusudi huo ndio ukweli, Mwenye kuelewa ataelewa lakini huo unaoeleza ndio ukweli kwenye kizazi cha ukaidi.

  • @charlesyotham7977
    @charlesyotham7977 День назад +4

    Huyu Baba anaongea kweli tupu mkijuwa kweli nayo kweli itakuweka huru

  • @lerakalaita6909
    @lerakalaita6909 Час назад +1

    Kweli Mch.Hananja naomba nikupe maua zako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @Yassinseleman
    @Yassinseleman 3 дня назад +4

    Nilikua na role model wa kisiasa wawili tz lowassa na maalim seiph sasa na baba hananja ni role model wangu kwenye kusema kweli nakupenda baba

  • @wilfredjohn4829
    @wilfredjohn4829 День назад +1

    Amen nimekuelewa Baba yangu Mungu akubariki 😂😂😂😂 dawa ya deni ni kulipa jaman kwakweli umeongea ukweli kabisa watumishi wa Mungu huubiri Neno la Mungu yohana 8:32 Mtaifahamu kweli na hiyo kweli itawaweka huru.....

  • @injilinjeyakutazakanisa
    @injilinjeyakutazakanisa 3 дня назад +4

    Barikiwa, nakuelewa Mchungaji. Nadhani Elimu pia azingatiwe, isiwe wito tu! nadhani tatizo lingine ni hili. Serekali izingatie haya

  • @camillasiwa6506
    @camillasiwa6506 День назад +3

    big up mchungaji...tuko pamoja sanaaaaa....waambie hao wajinga wanaoliwa sadaka zao

  • @davidkawesa3594
    @davidkawesa3594 6 часов назад +2

    Nabaki Roma Mungu anijalie kama Ibrahim

  • @KahimanoMutwa
    @KahimanoMutwa День назад +2

    This is my father now ❤

  • @ramadhaninyangasa7275
    @ramadhaninyangasa7275 День назад +4

    Ni katika wachungaji wachache sana!! Wakweli

  • @user-sp5vr7uo4w
    @user-sp5vr7uo4w День назад +2

    Ubarikiwe sana mchungaji

  • @user-ho7ci2fq1c
    @user-ho7ci2fq1c 14 часов назад +2

    Exactly Man of GooD

  • @mu_tv56
    @mu_tv56 4 дня назад +50

    Ningekua mkristo, kanisa la huyu mzee ndio ningelitumia kuabudu kwakwel, uyu ni mtu wa Mungu

    • @fideschacky
      @fideschacky 3 дня назад +2

      Hana kanisa huyu,anasali kkkt,ila yuko vizuri kwakweli

    • @upendogreutert199
      @upendogreutert199 3 дня назад

      @@fideschackyalikuwa Mchungaji wa KKKT Ila kwa sasa amestaafu anatoaga tu Ushauri sehemu mbalimbali

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 3 дня назад +1

      😂

    • @user-pl3pc4wk9i
      @user-pl3pc4wk9i 2 дня назад +3

      Kanisa siyo kigezo kikubwa ni nawewe ujue biblia karibu ujifunza biblia

    • @maalimhamad1297
      @maalimhamad1297 11 часов назад +2

      Wewe pia kafiri kama yeye wewe dini gani unatamani uwe na kafiri kama huyo na anauzuri gani mtu anamkfuru Allah wewe unasema mtu mzuri jieleweni mjue dini zenu

  • @abdulkadrimbona4454
    @abdulkadrimbona4454 День назад +2

    Kaka upo sahihi selekali ichukue kodi kwa biashara anazo fanya mwamposa

  • @panduafricangiant4902
    @panduafricangiant4902 4 дня назад +5

    Hakuna miujiza katika mafanikio lakini kuna bahati katika juhudi pale mtaji unapokutana na fursa iyo ndo miujiza katika dunia halisi ila hii ya kisubiri kukemea mapepo utasubiri mafanikio mpaka unazeeka

    • @Ayyub_Semtawa
      @Ayyub_Semtawa 2 дня назад +1

      Kijana una akili sana...,busara na hekima ya hali ya juu..Taifa lingekua na Vijana wengi wenye ukomavu wa uelewa huu..tungefika mbali sana Kiuchumi..ki hisia na kiimani

  • @user-kq7kn7gh6l
    @user-kq7kn7gh6l 4 дня назад +9

    Mimi ni mmoja wa watu ninao fuatilia mafundisho yako kiukweli unacho kiongea nikweli kabisa kwani baadhi ya makanisa yamegeuka hayafuati bibblia Bali wamejipangia taratibu tofauti na maagizo ya mwenyezi mungu , lakini Sasa Kila kitu kitawekwa wazima mwenye akiri na afahamu,maana hata wenzetu wa dini nyingine wanapata kutu SEMA kuwa huu ukristo sio dini ,lakini mungu atawatawanya manabii feki kwa njia saba

  • @fredybanda2861
    @fredybanda2861 3 дня назад +2

    Exactly servant of God

  • @shabbymakapane
    @shabbymakapane 3 дня назад +2

    🤣🤣🤣😭 👏👏👏 Haleluya Mchungaji HANANJA Sema Ukweli,

  • @user-ec4br4pd3o
    @user-ec4br4pd3o 4 часа назад

    ❤❤❤mungu akubariki mchungaji

  • @edmundnkarangu134
    @edmundnkarangu134 4 дня назад +2

    Heavy point WALIPE KODI

  • @agnesandrew2742
    @agnesandrew2742 13 часов назад

    Barikiwa baba mchungaji ❤❤

  • @charlesnyanhanga4382
    @charlesnyanhanga4382 4 дня назад +3

    Hakika mchungaji yesu mwenyewe alilipa kodi

  • @VascoJohn-rp1uc
    @VascoJohn-rp1uc День назад

    Waooo mzee nimekubari interview hiii it is living one ❤

  • @georgemtewele7656
    @georgemtewele7656 3 дня назад +2

    Kama umesoma biblia toka mwanzo mpaka Ufunuo, hongera na Kama bado na huna mda komaa kiroho kwa kumsikiliza Hananja sugu wa imani isiyo goshiwa

  • @user-tg5vq3zf1f
    @user-tg5vq3zf1f День назад

    Ubarikiwe baba wa mungu

  • @saiditwalibu5244
    @saiditwalibu5244 2 часа назад

    Huyu Mzee ukiwa na akili huru utamuelewa vzr sana,

  • @SalumSevingi
    @SalumSevingi 23 часа назад

    Mwenyz Mungu akulinde.

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 4 дня назад

    Kweli kabisa Hananja 🎉🎉

  • @bensonmgaya6290
    @bensonmgaya6290 День назад

    Fact man of GOD

  • @thomasraiton7760
    @thomasraiton7760 21 час назад +1

    Na Kuna watu waliomba awafanyie muujiza akagoma kabisa

  • @shaloom-it4qs
    @shaloom-it4qs Час назад

    😂😂😂 eti watu wa imani nyingine wanakukamua usiondoke na chips zao loh! Huyu baba kiboko

  • @elvismabena7630
    @elvismabena7630 3 дня назад +1

    Fact Sana kiongozi

  • @belyseirakoze5371
    @belyseirakoze5371 3 дня назад +4

    Uyu baba ni junior sana hongera ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @MathiasBura
    @MathiasBura 48 минут назад

    Sema mtumishi.

  • @user-sh3uc6vw4m
    @user-sh3uc6vw4m День назад

    Kweli mzee sema

  • @sep10pili202
    @sep10pili202 22 часа назад

    Mungu akuinui bro

  • @josephkadeghe4720
    @josephkadeghe4720 День назад +1

    Kiboko ya wachawi, yeye mwenyewe ni mchawi

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 3 дня назад +3

    Ningekuwa mkristo huyu ndio angekuwa Baba yangu wa kiroho ila hata hivyo atabaki kuwa mfanya kazi mzuri wa kuelimisha jami.

    • @user-il5pk2dr5n
      @user-il5pk2dr5n 3 дня назад

      Allah si muhitaji kwenu na atatukitoa sada yeye haifiki ni unyenyekevu wetu wanafsi chunga imani yako nakauli zako..

    • @maalimhamad1297
      @maalimhamad1297 11 часов назад

      Nawewe kafiri kama yeye usijidanganye nafsiyako

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 11 часов назад +1

      @@maalimhamad1297
      Subhanallah unapata wapi uhalali wa kumuita mtu kafiri?
      Allah akusamehe

  • @rashidkassim7836
    @rashidkassim7836 13 часов назад

    Well said hananja

  • @SamsonMasawa-w7l
    @SamsonMasawa-w7l 12 часов назад

    Amina

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 8 часов назад

    😂😂😂😂Mungu akupe hidaya.Karibu ktk uislamu.

  • @BrianBrian-m8x
    @BrianBrian-m8x 3 часа назад +1

  • @LinosJohn-dp9xi
    @LinosJohn-dp9xi 2 дня назад +1

    Hananjaa umesahau ndio maaana yesu alipindua meza za watu kwenye masinagogi yao

  • @davidkawesa3594
    @davidkawesa3594 5 часов назад

    Hapo kampiga
    Mzee wa Upako
    Mwamposa
    Kiboko ya wachawi
    Na wote wenye tabia hizi

  • @lydiavegula7641
    @lydiavegula7641 7 часов назад

    Damubyq Yesu ikulinde

  • @georgemtewele7656
    @georgemtewele7656 3 дня назад +1

    Huyu mzee nikipata nafasi nampa church la kuchunga hapa mjini,, hana mda na ujinga

  • @MrNoah-gr7rq
    @MrNoah-gr7rq 2 часа назад

    True😊

  • @MuniraSalim-h6q
    @MuniraSalim-h6q 12 часов назад

    Nauliza kufufua waliokufa kwa jina la yesu kuombea vilema na vipofu wakatembea wakaona kuna ukwell hapo

  • @Pemba680
    @Pemba680 17 часов назад +1

    Mm ni muislam ila uyu pasta anaongea ukweli sana

  • @JaqlineKigwazo
    @JaqlineKigwazo 12 часов назад

    YESU HAKUWA KOMEDI WALA HAKUNA MAHALI KTK BIBLIA KUMEANDIKWA KOMEDI

  • @YassinIssa-d8j
    @YassinIssa-d8j 3 дня назад +1

    Hananja upo sawa

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 23 часа назад

    Dah afazali umesema bb mkorogo wa mwafula ni nyoko😂

  • @MathiasBura
    @MathiasBura 46 минут назад

    Mtumishi.

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 22 минуты назад

    😂😂wambie ukweli baba

  • @YusuphShabani-wk5bv
    @YusuphShabani-wk5bv 10 минут назад

    amina wambie

  • @jubilethfestourio450
    @jubilethfestourio450 21 час назад

    Mungu akikuweka huru utakua huru kwelkweli nawewe uko huru mchungaji sema watu wagoner barikiwa

  • @GeorgeCharlesKipeya-m3b
    @GeorgeCharlesKipeya-m3b Час назад

    Kodii sema kweli

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 5 дней назад

    Hata kwetu kuna kazi,ila hakuna pesa

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 3 дня назад +1

    Wafanyabiashara wa Tanzania uku wanakimbia kulipa kodi

  • @rabaniAmri
    @rabaniAmri 4 дня назад

    Kweli upo sawakabisa

  • @farijala1
    @farijala1 4 дня назад

    Huyu Mzee Huwa anaongea Uhalisiawanamna Mafundisho halisi ya Dini. Haya anayosea Ndani ya Uislamu ni Hivyo na ninaamini hata kwenye Ukristo ni Hivyo,Sema hawakosekanagi wanaotafuta Upenyo wa Kuelekea namna vichwa vyao vinavyotaka.

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 4 дня назад +2

    Uko sahihi mzee hawa manabii wanatumia majini kuwadanganya wapumbavu wao

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j 4 дня назад

    Shamba darasa hawalimi mapori yote yesu alikuwa akifu disha ili yule aliefundishwa akafanye zaidi

  • @rehemakaijage1364
    @rehemakaijage1364 День назад

    Mchungaji, unapatikana wapi? Natamani Semina / Ibada zako, ILI nifurahi, nicheke, niongeze hekima zitokanazo na NENO LA MUNGU UNALOFUNDISHA.

  • @happytom5455
    @happytom5455 День назад +1

    Piga kodi hao😅😂😂😂

    • @eliahwerema5818
      @eliahwerema5818 12 часов назад

      😂😂😂 huyu mchungaji ni 🔥🔥

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 4 дня назад

    Hahahahaahaha umewachana wachawi mzee

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 2 часа назад

    😅😅😅 kodiiii

  • @camillasiwa6506
    @camillasiwa6506 23 часа назад

    maaskofu mko wapi kukemea kama mchungaji huyu?
    KKKT, RC, TAG nk nk

  • @user-fj4kj8xc5x
    @user-fj4kj8xc5x 37 минут назад

    Mkweli ni mfano wa dhahabu

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 9 часов назад

    Kuna baadhi ya wachungaji wamekuwa kama wasanii,

  • @mengiiblahim4215
    @mengiiblahim4215 14 часов назад

    We mchungaji mbingu inakuhusu

  • @AnaMauricioPatricio
    @AnaMauricioPatricio День назад

    Amém 🙏🇲🇿

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 День назад

    KWELI KABISA

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed 4 дня назад

    Mina wanaojiita manabii wachungaji mapasta wanmchukia huyu jamaa kiboko ya wachawi kwakua anastyle ya pekeyakeyake ya upigaji

  • @BenardLucumay
    @BenardLucumay 3 дня назад

    Nabii kiboko ya wachawi sasa apambane na WATEKAJI !

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j 4 дня назад

    Hatakuwa na akili mbovu ni umaskini mkubwa zaidi

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 3 дня назад

    🤣🤣🤣🤣eti makomedy na mazingaombwe

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 4 дня назад

    Mbona mwaondoka na misuti na mbao mkuki moyoni

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j 4 дня назад

    Kama yona aliishi bure kwa tumbo la samaki bas sheli si rahisi pia?

  • @danielkidenya7009
    @danielkidenya7009 3 дня назад +4

    Nimefurahi aliposema wale waumini niliowapuna wacheza kamali watanielewa

    • @farajisewe7416
      @farajisewe7416 12 часов назад

      😂😂😂
      kupunwa
      umenikumbusha mbali sana

  • @michaelkitali8651
    @michaelkitali8651 3 часа назад

    😂

  • @mohamedrashid6578
    @mohamedrashid6578 3 дня назад +2

    Naamini kabla hujaaga hii dunia utakua umesilimu, utakua muislam siku za mwisho za uhai wako

  • @JaqlineKigwazo
    @JaqlineKigwazo 12 часов назад

    Na wavuta bangi kama wewe motoni

  • @tinertv1382
    @tinertv1382 2 дня назад

    Yesu alivaa suti?

  • @mwl.michaelsainethmlowe2641
    @mwl.michaelsainethmlowe2641 4 дня назад +2

    Muongo elezee vizuri kuhusu muujiza

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 4 дня назад +1

    Mchungaji anajichubua na wajinga wanaenda kwenye kanisa lake

    • @filbertkinunda6610
      @filbertkinunda6610 4 дня назад +2

      Sikilizaa nini anaongea si unaanza kum clasify physically!Shem on you 😢😢😢😢

    • @worth_monkey
      @worth_monkey День назад

      we vp tumsikilizeee ili iweje yanii jituu litoboe masikio lichore tatuu tumsikilizee kwa kinywa kipi acha ufalaaa wwe s​@@filbertkinunda6610

  • @HalimaRamadhani-w8l
    @HalimaRamadhani-w8l 2 дня назад

    Mzee Fanya na wewe kanisani kwako usimseme kiboko wewe ndio unapanga watu