Mchg kwakweli BWANA akubaliki sana amekuweka kwa kusudi huo ndio ukweli, Mwenye kuelewa ataelewa lakini huo unaoeleza ndio ukweli kwenye kizazi cha ukaidi.
Amen nimekuelewa Baba yangu Mungu akubariki 😂😂😂😂 dawa ya deni ni kulipa jaman kwakweli umeongea ukweli kabisa watumishi wa Mungu huubiri Neno la Mungu yohana 8:32 Mtaifahamu kweli na hiyo kweli itawaweka huru.....
Wewe pia kafiri kama yeye wewe dini gani unatamani uwe na kafiri kama huyo na anauzuri gani mtu anamkfuru Allah wewe unasema mtu mzuri jieleweni mjue dini zenu
Hakuna miujiza katika mafanikio lakini kuna bahati katika juhudi pale mtaji unapokutana na fursa iyo ndo miujiza katika dunia halisi ila hii ya kisubiri kukemea mapepo utasubiri mafanikio mpaka unazeeka
Kijana una akili sana...,busara na hekima ya hali ya juu..Taifa lingekua na Vijana wengi wenye ukomavu wa uelewa huu..tungefika mbali sana Kiuchumi..ki hisia na kiimani
Mimi ni mmoja wa watu ninao fuatilia mafundisho yako kiukweli unacho kiongea nikweli kabisa kwani baadhi ya makanisa yamegeuka hayafuati bibblia Bali wamejipangia taratibu tofauti na maagizo ya mwenyezi mungu , lakini Sasa Kila kitu kitawekwa wazima mwenye akiri na afahamu,maana hata wenzetu wa dini nyingine wanapata kutu SEMA kuwa huu ukristo sio dini ,lakini mungu atawatawanya manabii feki kwa njia saba
Huyu Mzee Huwa anaongea Uhalisiawanamna Mafundisho halisi ya Dini. Haya anayosea Ndani ya Uislamu ni Hivyo na ninaamini hata kwenye Ukristo ni Hivyo,Sema hawakosekanagi wanaotafuta Upenyo wa Kuelekea namna vichwa vyao vinavyotaka.
Ninachojua nikukupenda tu mchungaji wangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mchungaji Hananja unasema kweli kabisa Mungu akubariki sana uishi maisha marefu uendelee kutufunza
Mungu akuzidishie hekima mtumishi ili tupate mafundisho yako yanayotujenga kiimani. 🙏🏽
Maashaallah Maashaallah Maashaallah ❤❤❤ Allah akufanyie wepesi mzee wangu I'm musilim
Nawewe kafiri kama yeye
@@maalimhamad1297ww mwenyewe kafiri!! Tafuta hela punguza makasiriko! Kwanii asimsifie kama kaongea point. Acha udini Mungu ni mmoja
Acha wivu@@maalimhamad1297
Pastor Unasema kweli Mungu akutunze
Nakuelewa sana Mch Hananja. Asiekuelewa hasikilizi vizuri. Hongera kwa kuwa muwazi.
Wallah baba nakukubali wewe ni msema kweli mwenye kuchukia na achukie mtumishi wa mungu itakuwaje ajichubue ao ndio welewale
Ubarikiwe mwalimu BABA mchungaji
Mungu akupe maisha marefu hananja.
mungu akuweke mchungaji umeongea fact sana asee wabongoo wanaburuzwaaa
Mungu akuzidishie roho mtakatifu Baba mchungaji
Mm ni muislamu ila uyu mzee namuelewa sana na pia napenda kumfuatilia kwenye vipindi vyake Mungu akueke mchunguji Ananja
Nmekuelewa Sanaa mchungaji
Mchg kwakweli BWANA akubaliki sana amekuweka kwa kusudi huo ndio ukweli, Mwenye kuelewa ataelewa lakini huo unaoeleza ndio ukweli kwenye kizazi cha ukaidi.
Huyu Baba anaongea kweli tupu mkijuwa kweli nayo kweli itakuweka huru
Kweli Mch.Hananja naomba nikupe maua zako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Nilikua na role model wa kisiasa wawili tz lowassa na maalim seiph sasa na baba hananja ni role model wangu kwenye kusema kweli nakupenda baba
Amen nimekuelewa Baba yangu Mungu akubariki 😂😂😂😂 dawa ya deni ni kulipa jaman kwakweli umeongea ukweli kabisa watumishi wa Mungu huubiri Neno la Mungu yohana 8:32 Mtaifahamu kweli na hiyo kweli itawaweka huru.....
Barikiwa, nakuelewa Mchungaji. Nadhani Elimu pia azingatiwe, isiwe wito tu! nadhani tatizo lingine ni hili. Serekali izingatie haya
big up mchungaji...tuko pamoja sanaaaaa....waambie hao wajinga wanaoliwa sadaka zao
Nabaki Roma Mungu anijalie kama Ibrahim
This is my father now ❤
Ni katika wachungaji wachache sana!! Wakweli
Ubarikiwe sana mchungaji
Exactly Man of GooD
Ningekua mkristo, kanisa la huyu mzee ndio ningelitumia kuabudu kwakwel, uyu ni mtu wa Mungu
Hana kanisa huyu,anasali kkkt,ila yuko vizuri kwakweli
@@fideschackyalikuwa Mchungaji wa KKKT Ila kwa sasa amestaafu anatoaga tu Ushauri sehemu mbalimbali
😂
Kanisa siyo kigezo kikubwa ni nawewe ujue biblia karibu ujifunza biblia
Wewe pia kafiri kama yeye wewe dini gani unatamani uwe na kafiri kama huyo na anauzuri gani mtu anamkfuru Allah wewe unasema mtu mzuri jieleweni mjue dini zenu
Kaka upo sahihi selekali ichukue kodi kwa biashara anazo fanya mwamposa
Hakuna miujiza katika mafanikio lakini kuna bahati katika juhudi pale mtaji unapokutana na fursa iyo ndo miujiza katika dunia halisi ila hii ya kisubiri kukemea mapepo utasubiri mafanikio mpaka unazeeka
Kijana una akili sana...,busara na hekima ya hali ya juu..Taifa lingekua na Vijana wengi wenye ukomavu wa uelewa huu..tungefika mbali sana Kiuchumi..ki hisia na kiimani
Mimi ni mmoja wa watu ninao fuatilia mafundisho yako kiukweli unacho kiongea nikweli kabisa kwani baadhi ya makanisa yamegeuka hayafuati bibblia Bali wamejipangia taratibu tofauti na maagizo ya mwenyezi mungu , lakini Sasa Kila kitu kitawekwa wazima mwenye akiri na afahamu,maana hata wenzetu wa dini nyingine wanapata kutu SEMA kuwa huu ukristo sio dini ,lakini mungu atawatawanya manabii feki kwa njia saba
Exactly servant of God
🤣🤣🤣😭 👏👏👏 Haleluya Mchungaji HANANJA Sema Ukweli,
❤❤❤mungu akubariki mchungaji
Heavy point WALIPE KODI
Barikiwa baba mchungaji ❤❤
Hakika mchungaji yesu mwenyewe alilipa kodi
Waooo mzee nimekubari interview hiii it is living one ❤
Kama umesoma biblia toka mwanzo mpaka Ufunuo, hongera na Kama bado na huna mda komaa kiroho kwa kumsikiliza Hananja sugu wa imani isiyo goshiwa
Ubarikiwe baba wa mungu
Huyu Mzee ukiwa na akili huru utamuelewa vzr sana,
Mwenyz Mungu akulinde.
Kweli kabisa Hananja 🎉🎉
Fact man of GOD
Na Kuna watu waliomba awafanyie muujiza akagoma kabisa
😂😂😂 eti watu wa imani nyingine wanakukamua usiondoke na chips zao loh! Huyu baba kiboko
Fact Sana kiongozi
Uyu baba ni junior sana hongera ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
🎉
Sema mtumishi.
Kweli mzee sema
Mungu akuinui bro
Kiboko ya wachawi, yeye mwenyewe ni mchawi
Ningekuwa mkristo huyu ndio angekuwa Baba yangu wa kiroho ila hata hivyo atabaki kuwa mfanya kazi mzuri wa kuelimisha jami.
Allah si muhitaji kwenu na atatukitoa sada yeye haifiki ni unyenyekevu wetu wanafsi chunga imani yako nakauli zako..
Nawewe kafiri kama yeye usijidanganye nafsiyako
@@maalimhamad1297
Subhanallah unapata wapi uhalali wa kumuita mtu kafiri?
Allah akusamehe
Well said hananja
Amina
😂😂😂😂Mungu akupe hidaya.Karibu ktk uislamu.
❤
Hananjaa umesahau ndio maaana yesu alipindua meza za watu kwenye masinagogi yao
Hapo kampiga
Mzee wa Upako
Mwamposa
Kiboko ya wachawi
Na wote wenye tabia hizi
Damubyq Yesu ikulinde
Huyu mzee nikipata nafasi nampa church la kuchunga hapa mjini,, hana mda na ujinga
True😊
Nauliza kufufua waliokufa kwa jina la yesu kuombea vilema na vipofu wakatembea wakaona kuna ukwell hapo
Mm ni muislam ila uyu pasta anaongea ukweli sana
YESU HAKUWA KOMEDI WALA HAKUNA MAHALI KTK BIBLIA KUMEANDIKWA KOMEDI
Hananja upo sawa
Dah afazali umesema bb mkorogo wa mwafula ni nyoko😂
Mtumishi.
😂😂wambie ukweli baba
amina wambie
Mungu akikuweka huru utakua huru kwelkweli nawewe uko huru mchungaji sema watu wagoner barikiwa
Kodii sema kweli
Hata kwetu kuna kazi,ila hakuna pesa
Wafanyabiashara wa Tanzania uku wanakimbia kulipa kodi
Kweli upo sawakabisa
Huyu Mzee Huwa anaongea Uhalisiawanamna Mafundisho halisi ya Dini. Haya anayosea Ndani ya Uislamu ni Hivyo na ninaamini hata kwenye Ukristo ni Hivyo,Sema hawakosekanagi wanaotafuta Upenyo wa Kuelekea namna vichwa vyao vinavyotaka.
Uko sahihi mzee hawa manabii wanatumia majini kuwadanganya wapumbavu wao
Shamba darasa hawalimi mapori yote yesu alikuwa akifu disha ili yule aliefundishwa akafanye zaidi
Mchungaji, unapatikana wapi? Natamani Semina / Ibada zako, ILI nifurahi, nicheke, niongeze hekima zitokanazo na NENO LA MUNGU UNALOFUNDISHA.
Piga kodi hao😅😂😂😂
😂😂😂 huyu mchungaji ni 🔥🔥
Hahahahaahaha umewachana wachawi mzee
😅😅😅 kodiiii
maaskofu mko wapi kukemea kama mchungaji huyu?
KKKT, RC, TAG nk nk
Mkweli ni mfano wa dhahabu
Kuna baadhi ya wachungaji wamekuwa kama wasanii,
We mchungaji mbingu inakuhusu
Amém 🙏🇲🇿
❤
KWELI KABISA
Mina wanaojiita manabii wachungaji mapasta wanmchukia huyu jamaa kiboko ya wachawi kwakua anastyle ya pekeyakeyake ya upigaji
Nabii kiboko ya wachawi sasa apambane na WATEKAJI !
Hatakuwa na akili mbovu ni umaskini mkubwa zaidi
🤣🤣🤣🤣eti makomedy na mazingaombwe
Mbona mwaondoka na misuti na mbao mkuki moyoni
Kama yona aliishi bure kwa tumbo la samaki bas sheli si rahisi pia?
Nimefurahi aliposema wale waumini niliowapuna wacheza kamali watanielewa
😂😂😂
kupunwa
umenikumbusha mbali sana
😂
Naamini kabla hujaaga hii dunia utakua umesilimu, utakua muislam siku za mwisho za uhai wako
Na wavuta bangi kama wewe motoni
Yesu alivaa suti?
Muongo elezee vizuri kuhusu muujiza
Naona jiwe limekupata uliyejificha gizani,
😂😂😂@@mpjozzegalvanize4926
@@mpjozzegalvanize4926Hahaaa......
😂😂😂 jiwe
Ndio vibaraka wenyewe hawa stupid
Mchungaji anajichubua na wajinga wanaenda kwenye kanisa lake
Sikilizaa nini anaongea si unaanza kum clasify physically!Shem on you 😢😢😢😢
we vp tumsikilizeee ili iweje yanii jituu litoboe masikio lichore tatuu tumsikilizee kwa kinywa kipi acha ufalaaa wwe s@@filbertkinunda6610
Mzee Fanya na wewe kanisani kwako usimseme kiboko wewe ndio unapanga watu
Uko gizan
jiwe limekukuta
Umepatwa na jiwe pambana nalo 😂😂