🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 июл 2024
  • 🔴#Live: MSTAAFU KIKWETE na MTOTO wa MANJI WAZUNGUMZA KWA UCHUNGU MAISHA ya MANJI HADI KUFARIKI...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
  • СпортСпорт

Комментарии • 163

  • @BismarkStephen
    @BismarkStephen 21 день назад +14

    Kikwete mumgu akubariki Sana uzeeki Una roho nzuri

    • @WilliamMsungu
      @WilliamMsungu 21 день назад +2

      Hizi kauli zingine za kishamba kwahiyo wanaozeeka Wana roho mbaya?

    • @allythabiti8150
      @allythabiti8150 20 дней назад

      ​@@WilliamMsunguNdyo hujui kuwa roho mbaya na kuweka vitu moyon vinamzeesha mtu haraka

  • @SHIJADAVIS
    @SHIJADAVIS 21 день назад +11

    Poleni kwa msiba mkubwa, Mungu awatie nguvu.

  • @YusufLubangula-yn6tq
    @YusufLubangula-yn6tq 21 день назад +6

    Tunawapa pole wafiwa INNA LILAH!

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 21 день назад +14

    The late , Yusuf Ally Mehboub Manji, was very hardworking man!

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 21 день назад +19

    Mwenyezi Mungu amsamehe madhambi yake na alitie nuru kaburi lake pamoja na sisi tuliohai utupe mwisho mwema.

    • @AbdulmujibAhmed
      @AbdulmujibAhmed 21 день назад +2

      Kwanini wataje habari ya yanga kwani dini hiyo? Manji namjua sana alikua mtu wa Dunia tu mimi mtanzani mkazi wa mbagala kuu kwa sasa nipo South africca hakuahi kujenga hata msikiti mmoja katika maisha yake

    • @ramashauritanga8966
      @ramashauritanga8966 21 день назад

      Pp

    • @meshackeliau8973
      @meshackeliau8973 21 день назад

      ​@@AbdulmujibAhmed kwani ni lazima ajenge msikitiki 😂😂

    • @mariamkikula1614
      @mariamkikula1614 21 день назад

      Amin yarabii

    • @shakilakhamis2109
      @shakilakhamis2109 21 день назад

      Amiiin

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 21 день назад +5

    Allah awape moyo wa subra kwa nyakati zote daiman

  • @user-qc9jf6rn7u
    @user-qc9jf6rn7u 20 дней назад +3

    Pole sana kijana. Mungu akupe baraka katika kuyaishi yake mzee ameachia.

  • @rahmazahor4333
    @rahmazahor4333 21 день назад +6

    Mashallah mtoto mzuri sana hatari... Pole sana... mwenyezi Mungu amlaze pahala pema peponi amini

  • @user-rq4fq4pw4y
    @user-rq4fq4pw4y 21 день назад +5

    Jk nakukubali sana na Mungo akubariki na kukupa miaka mingi na kheri duniani

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x 19 дней назад +2

    Mungu awatie nguvu watoto wa manji naelewa uchungu mliopata ila Mungu awatie nguvu na kuwafariji sana

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 21 день назад +6

    MashaAllah amekua mkubwa ivi, Mungu akupe subra 😢😢

  • @dassustephen731
    @dassustephen731 21 день назад +4

    Yusuph was a very humble rich man

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 21 день назад +4

    Pole sana kwa wana familia wa Manji

  • @beatuskulwa2912
    @beatuskulwa2912 21 день назад +5

    RIP Manji ,uliiheshimisha Yanga natutaendelea kukukumbuka kwa waalama ulioiacha

  • @aishamtaula1959
    @aishamtaula1959 21 день назад +5

    Poreasamwanangu mungu ampuunzisha baba magari pema oeponi jamani nimeeumia sana

  • @emanuelmushi9917
    @emanuelmushi9917 21 день назад +7

    N kwel manji alionewa sana na kikombe hich makonda anakjuaa

  • @aishamtaula1959
    @aishamtaula1959 21 день назад +4

    Mwanae mfanya biashara jamani kama kaandika manji kisa riko wapi mwizi kakuibia Nini mtajeni marehemu Kwa mazuri yake nawara sio mabaya yake wewe ukisajamwa umekufa nduguzako hajisikii vizuri mungu iraze pema rohi ya mpendwa wetu oeponi amina

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 21 день назад +6

    Umesema Ukweli hapa sio maswala ya siasa ni msiba acheni ujinga wa kusema mzee kaiba mnsushaidi upi

  • @jokhamohammed976
    @jokhamohammed976 15 дней назад

    Poleni sana family ya manji M/mungu awape nguvu na subra 😭😭

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 9 дней назад

    Wamemdhulumu sna mpka wamemuua maskiin!! makonda utalipa yote kwa Mungu

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 20 дней назад

    MUNGU amulaze mahara pema peponi Amen

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 21 день назад +3

    Manji na Kikwete walikuwa marafiki wakubwa, ndio maana Manji aliingia Yanga.

  • @majidimussa8678
    @majidimussa8678 21 день назад +1

    Allahu Marehemu 🙏🙏🙏

  • @setiseti5281
    @setiseti5281 18 дней назад

    Amina yaaraab

  • @pauloegbert515
    @pauloegbert515 20 дней назад

    Mungu amuweke mahali pema amani

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 21 день назад +1

    Ya rabbi nsataraa manji

  • @salmaramadhan2725
    @salmaramadhan2725 14 дней назад

    Kikwete ana roho nzuri,najuta kupoteza simu na no zake kupotea...

  • @millitarybattalion7515
    @millitarybattalion7515 21 день назад +3

    R.I.P YUSUPH MANJI

  • @user-tz8tg2sk5r
    @user-tz8tg2sk5r 21 день назад +6

    Yan mnatarajia mtu kafika level ya urais awe maskin/ kama kaiba hamna ushahid nyamazeni

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 20 дней назад

    Makonda kaka yangu, mtafute huyu Kijana, unafanya mambo makubwa sana, usikose Baraka Bure, muombe Msamaha Kwa ajili ya baba yake kabla ya kufanya Toba Kwa Mungu Ili uwe na amani, pia umuombe Msamaha Joseph Warioba, pia Mtoto wa Lowasa,
    nayasema haya kwakuwa nipo na wewe sana siku hizi, unafanya mambo makubwa sana, usikubali hawa watu wote wafe hujawaomba Msamaha. Manji aliteseka na moyo wake ulizidi kumdhoofu akiwa magereza Kwa kisasi kisicho na Afya. Nakupenda Makonda fanya hivyo my Brother.

  • @piusmdoe3200
    @piusmdoe3200 21 день назад +1

    RIP.Yusuf Manji.

  • @ramadhanikigoto
    @ramadhanikigoto 21 день назад +1

    Innallilah wainailaih rajiun

  • @BismarkStephen
    @BismarkStephen 21 день назад +2

    Acheni kulaum wqtu fanyeni KAZI Acha kusema watu vibaya

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 19 дней назад

    😢😢😢maskn anajikaza kiume
    Innalilah waina ilah rajiun

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 21 день назад +2

    Mwenyezimungu hashindwi na jambo lolote hana kubwa wala hana dogo

  • @adrianowillix5491
    @adrianowillix5491 20 дней назад

    The team , the network

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 20 дней назад

    Manji ameacha alama ya upendo na upole. Mungu amtunzie vijana wake wazuri na timu ya yanga pia. RIP Manji.

  • @user-ts4zn1sx7h
    @user-ts4zn1sx7h 4 дня назад

    Amen

  • @walterngowi5835
    @walterngowi5835 21 день назад +2

    Vp Makonda naye yupo hapo au 😎😎

  • @user-xd2tg8eq1h
    @user-xd2tg8eq1h 18 дней назад

    President kikwete miaka 100 nakuombea mana kuna wachawi wanahesabu marais eti walotangulia mbele ya haki wewe kwa kuwa ulikuwa na roho nzuri hadi mia inshallah utafika kwa uwezo wa alwah

  • @friendsofpeopleorg1157
    @friendsofpeopleorg1157 20 дней назад +2

    Poleni sana

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 21 день назад +3

    bonge la handsome jamani waoool

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 21 день назад +1

      Acha tamaa na uzinifu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 20 дней назад

      HAYA MAJINA YA WEMA WANAKUWA NA NYEGE SANA 😂😂😂

  • @markmushi8940
    @markmushi8940 21 день назад +1

    Apumzike kwa amani yusuf manji alikuwa ni m2 wa wa2

  • @ashapearubart2624
    @ashapearubart2624 21 день назад +2

    R l.P.

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 21 день назад +2

    Chalamila sasa atamkebehi nani? Alipo sema kariakoo, manji kakimbia nchi

    • @nsiamasawe4578
      @nsiamasawe4578 20 дней назад

      Yaani acha tu Mungu atamlipa

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 20 дней назад

      ​@@nsiamasawe4578NYIE UTOPOLO MLIMPIGA MANJI BAKORA NA MKAMUITA MWIZI SHENZISTAN NYIE

  • @salmakirundu2076
    @salmakirundu2076 20 дней назад

    Innah lilah wainah illah rajioon

  • @aishamtaula1959
    @aishamtaula1959 21 день назад +2

    Mjombaumeongea vizir sana hata Mimi nimeeumia sana nimesikia Jana kuwa yusufu amekufa

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 21 день назад +3

    Yusuf Sio Yusufu..😂😂😂

  • @user-lu5vg9kc7y
    @user-lu5vg9kc7y 21 день назад +2

    Kikwete kumbe Bado hajawa mzee Bado Yuko ,🦾

    • @user-ie2sr4fi4k
      @user-ie2sr4fi4k 21 день назад

      👍👍👍

    • @KenedyMwaipaja
      @KenedyMwaipaja 21 день назад

      Awam ya 5 alizeeka zeeka awamu ya 6 kamwili kamenona😂😂😅

    • @wazirisaid8326
      @wazirisaid8326 21 день назад

      Ukiwa na moyo Safi huwezi kuzeeka haraka, Ila ilukiwa na moyo wa chuki, fitina na wivu Lazima uonekane mzee hata kama una umri mdogo!!

    • @KenedyMwaipaja
      @KenedyMwaipaja 20 дней назад

      @@wazirisaid8326 moyo safiii!! ???

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo6236 20 дней назад

    RIP Yusuph Manji

  • @greysonjohn9778
    @greysonjohn9778 19 дней назад

    R. I. P

  • @abdallahabdallah7872
    @abdallahabdallah7872 21 день назад +8

    Kikwete ametokea katika familia ya kiungwana

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 20 дней назад

    RIP YUSUF MANJI.

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 19 дней назад

    😢😢😢😢😢

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 20 дней назад +1

    Kikwete ni mtu mzur saana, Hekima na busara ni vitu vikubwa sana katika maisha.

  • @dilludillu2747
    @dilludillu2747 21 день назад

    Jk 🔥

  • @geofkabo7843
    @geofkabo7843 18 дней назад

    Ridh1 alikuwa na urafiki na manji? Haraf kunafukunyuku anamsema makonda?

  • @SalimSalimu-z5c
    @SalimSalimu-z5c 21 день назад

    Makonda hajafika msibani?

  • @eightofhearts
    @eightofhearts 20 дней назад

    The older son is very handsome and eloquent. He gives off a “trustable” vibe. MashaAllah.

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed 21 день назад

    Kupenda yanga ndo nini sasa

  • @bakermusa9033
    @bakermusa9033 20 дней назад

    Sasa wee mzee kikwete umekabidhiwa mtoto umelee mpaka unashtukizwa msiba we vipi mzee

  • @user-my7qi2qv3p
    @user-my7qi2qv3p 20 дней назад

    Rip jembe ulaya

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 21 день назад +2

    Kumbe uliachiwa Hayati Yusuf Ally Mehboub Manji umlee? Mbona hukutuambia hayo kabla,,,,? Kama ulikuwa umekabidhiwa kama mwanao mbona hawakukukaribisha katika mazishi yake? Kumbe mlikuwa unakutana nao nje ya nchi,,,dah, haya bwana!

    • @emazjassam2452
      @emazjassam2452 21 день назад +1

      Hujitambui,ulitaka lini asimame aseme aliachiwa....

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 21 день назад +2

      Mtu kifa kila kitu utasikia hp sifa kibao utasikia wamemtesa wee na kumpmaradhi

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 21 день назад

      @@emazjassam2452 punguza makasiriko ndugu,,

    • @ibrahimrajabu8722
      @ibrahimrajabu8722 21 день назад

      Yako ushamaliza kiasi ubebe ya wengine???

    • @ramsojimmykelly3379
      @ramsojimmykelly3379 21 день назад

      ​@@nishaabdula5015makonda hii dhambi inamuhusu na marehemu magu

  • @user-cd5ch7mi1e
    @user-cd5ch7mi1e 17 дней назад

    MNAZUNGUMZA KWA UCHUNGU SABABU YAMANJI SASA NI HISTORIA ILIOBAKI KIONGOZI MKUU RAIS MSTAAFU MAREHEMU ALI H😊HASSAN MWINYI ALISEMA MAISHA NIHADITHI SASA TUELEWE.HIVYO NASI TUKO NJIA 1 MOJA HAKUNA KUZUNGUMZA KWAUCHUNGU LAZIMA TUONDOKE

  • @hamidashaban1203
    @hamidashaban1203 21 день назад

    Wacheni wivu aliyepewa na Allah hakuna wakumnyang'anya hasadi zinawasumbua.

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 21 день назад +1

    Kikwete bado kijanaaaa

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo7100 21 день назад

    Laisi watanzania anaendelea kupenda madaraka ila kwasababu ya katiba yaccmtu ila isinge kua hio angehutubu mpaka kifo

  • @victorkamugisha2282
    @victorkamugisha2282 21 день назад

    Huyu mtoto ataichukua Yanga

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 21 день назад +1

    Mbona unataja ugonjwa wa mtu?

    • @kaoretosha6668
      @kaoretosha6668 21 день назад +2

      Shida ipo wapi....amezungumza historia ya uhusiano wa yeye na familia ya manji

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 21 день назад

      @@kaoretosha6668 hata madaktari Huwa hawasemi ugonjwa wa mtu hadharani

    • @HannanSomaiyah-wp7ny
      @HannanSomaiyah-wp7ny 21 день назад +1

      Tumuombee na Tujiombee,Si vyema kuongelea mabaya yake, Hakuna mkamilifu Dunia Allah ampe kaul thabity pamoja na Wazaz wetu yaraby 🙏

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 21 день назад +2

    Mmemtesa bqba ake wee adi kumsababishi mardhi leo mnongea nae nn mtt wk

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed 21 день назад +3

    Lakini aliathirika na madawa na alikua simtu wa dini alipenda sana dunia

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 21 день назад +4

      Ni kheri wewe usiyependa dunia kwa maana utaishi milele!

    • @ip_header
      @ip_header 21 день назад +3

      @abdulmujibAhmed
      jaribu kusoma vizuri dini ya uislam, si vyema kumsema vibaya mtu aliefariki. Hakuna binadamu mkamilifu kikubwa kuomba mwisho mwema.

    • @SharifaOmary-ui8vs
      @SharifaOmary-ui8vs 21 день назад

      Ww tena hakimu wa watu

    • @Legends_Interviews
      @Legends_Interviews 21 день назад

      Allah amsamehe

    • @allythabiti8150
      @allythabiti8150 20 дней назад

      Sheikh hayo umetoa wap, Wala tajasasu

  • @danielkipingu354
    @danielkipingu354 20 дней назад

    DP ..... tumepigwa.

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 21 день назад +2

    WEWENKIKWETE YALE MABASI MWANAO PESSA KAPATA WAPI ?

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 21 день назад +2

      Ulipopata wewe pesa ya bando kuandika upuuzi.

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 21 день назад +2

      Kapewa na baba yake unadhani ndio wewe mwenye baba hohehahe.

    • @KingBuddah-nx3ui
      @KingBuddah-nx3ui 21 день назад

      @@salmahalfani6307 KWA NINI KAMUANDIKISHA MANJE NDIO MMIRIKI

    • @kaoretosha6668
      @kaoretosha6668 21 день назад +2

      Roho za kimaskini.......shidaaaaa.....

    • @KingBuddah-nx3ui
      @KingBuddah-nx3ui 21 день назад

      @@kaoretosha6668 WEWE WATANZANIA WANAKUMBUKA KWA MATESA WALIOFANYIWA NA HUYU MZEE

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 21 день назад +1

    baba Kikwete bado kijana kabisa..siri ni ipi mzee?😅 apewe muda na globa TV atupe mawaidha kabla kujaliwa kufika umri huo na Mungu wetu😄😄

    • @doktamathew
      @doktamathew 20 дней назад

      Hali vitu vya kisasa,hali ugali,hali wali,hali vitu vyenye sukari ,hajawahi kunywa soda,pombe. Anakula vitu vya asili mara kwa mara

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 20 дней назад

      @@doktamathew oh ivi kumbe ivo eh?

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 21 день назад +2

    MWIZI ANAMJENGEA MWIZI MWENZAKE RIZIWANI KANUNUA MABASI KAMUANDIKA MANJE KAIBIA SERIKALI

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 20 дней назад

    Kumbe ukawa unamsaidia hata kwenye mikwepo ya kodi we zee wewe bwana

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 21 день назад

    Mrudishieni mali zake mulizomtaifisha

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb 21 день назад +2

    Siowote tumesikitika ACHA aende tu

  • @kaoretosha6668
    @kaoretosha6668 21 день назад +6

    Acheni roho za kimaskini kila wakati mwizi....mwizi...mwizi....toeni ushahidi msisambaze fitnaaa....

    • @user-ym6hd7xh3g
      @user-ym6hd7xh3g 21 день назад +1

      Maskini ndivyo walivyo.ndio maana wengi wachawi
      Mtu kajitahidi kafanikiwa mnamwambia mwizi
      Nenda nawe kaibe ufanikiwe

    • @didasseveline9013
      @didasseveline9013 21 день назад

      Walioshangilia kifo Cha mwamba! Naona anachomoka Mmoja baada ya mwingine! Hakika mungu ni fundi

    • @user-sl1ko9me7u
      @user-sl1ko9me7u 20 дней назад

      RIP YUSUF MANJI....MAREHEMU HAKUWA MKAMILIFU KAMA SISI BINADAMU WOTE....KUNA WAKATI ALIWAKOSEA WATANZANIA KAMA WANANCHI KWA KUSHIRIKIANA NA VIONGOZI WETU MAFISADI NA WALA RUSHWA....NA KUNA WAKATI PIA ALIWATENDEA MEMA NA MAZURI WATANZANIA....WATANZANIA TUMSAMEHE KWA YOTE....RIP YUSUF MANJI.

    • @mussamalekela2107
      @mussamalekela2107 20 дней назад

      ​@@didasseveline9013 kwa hiyo ambao hawakushangilia watachomoka kwa makundi sio! Ujinga mzigo

  • @pauloegbert515
    @pauloegbert515 20 дней назад

    Mungu amuweke mahali pema amani