🔴
HTML-код
- Опубликовано: 6 июл 2024
- 🔴#Live: MSTAAFU KIKWETE na MTOTO wa MANJI WAZUNGUMZA KWA UCHUNGU MAISHA ya MANJI HADI KUFARIKI...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx - Спорт
Kikwete mumgu akubariki Sana uzeeki Una roho nzuri
Hizi kauli zingine za kishamba kwahiyo wanaozeeka Wana roho mbaya?
@@WilliamMsunguNdyo hujui kuwa roho mbaya na kuweka vitu moyon vinamzeesha mtu haraka
Poleni kwa msiba mkubwa, Mungu awatie nguvu.
Tunawapa pole wafiwa INNA LILAH!
The late , Yusuf Ally Mehboub Manji, was very hardworking man!
Mwenyezi Mungu amsamehe madhambi yake na alitie nuru kaburi lake pamoja na sisi tuliohai utupe mwisho mwema.
Kwanini wataje habari ya yanga kwani dini hiyo? Manji namjua sana alikua mtu wa Dunia tu mimi mtanzani mkazi wa mbagala kuu kwa sasa nipo South africca hakuahi kujenga hata msikiti mmoja katika maisha yake
Pp
@@AbdulmujibAhmed kwani ni lazima ajenge msikitiki 😂😂
Amin yarabii
Amiiin
Allah awape moyo wa subra kwa nyakati zote daiman
Pole sana kijana. Mungu akupe baraka katika kuyaishi yake mzee ameachia.
Mashallah mtoto mzuri sana hatari... Pole sana... mwenyezi Mungu amlaze pahala pema peponi amini
😢
Jk nakukubali sana na Mungo akubariki na kukupa miaka mingi na kheri duniani
Mungu awatie nguvu watoto wa manji naelewa uchungu mliopata ila Mungu awatie nguvu na kuwafariji sana
MashaAllah amekua mkubwa ivi, Mungu akupe subra 😢😢
Yusuph was a very humble rich man
Pole sana kwa wana familia wa Manji
RIP Manji ,uliiheshimisha Yanga natutaendelea kukukumbuka kwa waalama ulioiacha
Poreasamwanangu mungu ampuunzisha baba magari pema oeponi jamani nimeeumia sana
N kwel manji alionewa sana na kikombe hich makonda anakjuaa
Hahaha! Anakusikia makonda
Mwanae mfanya biashara jamani kama kaandika manji kisa riko wapi mwizi kakuibia Nini mtajeni marehemu Kwa mazuri yake nawara sio mabaya yake wewe ukisajamwa umekufa nduguzako hajisikii vizuri mungu iraze pema rohi ya mpendwa wetu oeponi amina
Kweli kabisa
Umesema Ukweli hapa sio maswala ya siasa ni msiba acheni ujinga wa kusema mzee kaiba mnsushaidi upi
Poleni sana family ya manji M/mungu awape nguvu na subra 😭😭
Wamemdhulumu sna mpka wamemuua maskiin!! makonda utalipa yote kwa Mungu
MUNGU amulaze mahara pema peponi Amen
Manji na Kikwete walikuwa marafiki wakubwa, ndio maana Manji aliingia Yanga.
Allahu Marehemu 🙏🙏🙏
Amina yaaraab
Mungu amuweke mahali pema amani
Ya rabbi nsataraa manji
Kikwete ana roho nzuri,najuta kupoteza simu na no zake kupotea...
R.I.P YUSUPH MANJI
Yan mnatarajia mtu kafika level ya urais awe maskin/ kama kaiba hamna ushahid nyamazeni
Makonda kaka yangu, mtafute huyu Kijana, unafanya mambo makubwa sana, usikose Baraka Bure, muombe Msamaha Kwa ajili ya baba yake kabla ya kufanya Toba Kwa Mungu Ili uwe na amani, pia umuombe Msamaha Joseph Warioba, pia Mtoto wa Lowasa,
nayasema haya kwakuwa nipo na wewe sana siku hizi, unafanya mambo makubwa sana, usikubali hawa watu wote wafe hujawaomba Msamaha. Manji aliteseka na moyo wake ulizidi kumdhoofu akiwa magereza Kwa kisasi kisicho na Afya. Nakupenda Makonda fanya hivyo my Brother.
RIP.Yusuf Manji.
Innallilah wainailaih rajiun
Acheni kulaum wqtu fanyeni KAZI Acha kusema watu vibaya
😢😢😢maskn anajikaza kiume
Innalilah waina ilah rajiun
Mwenyezimungu hashindwi na jambo lolote hana kubwa wala hana dogo
The team , the network
Manji ameacha alama ya upendo na upole. Mungu amtunzie vijana wake wazuri na timu ya yanga pia. RIP Manji.
Amen
Vp Makonda naye yupo hapo au 😎😎
President kikwete miaka 100 nakuombea mana kuna wachawi wanahesabu marais eti walotangulia mbele ya haki wewe kwa kuwa ulikuwa na roho nzuri hadi mia inshallah utafika kwa uwezo wa alwah
Poleni sana
bonge la handsome jamani waoool
Acha tamaa na uzinifu
HAYA MAJINA YA WEMA WANAKUWA NA NYEGE SANA 😂😂😂
Apumzike kwa amani yusuf manji alikuwa ni m2 wa wa2
R l.P.
Chalamila sasa atamkebehi nani? Alipo sema kariakoo, manji kakimbia nchi
Yaani acha tu Mungu atamlipa
@@nsiamasawe4578NYIE UTOPOLO MLIMPIGA MANJI BAKORA NA MKAMUITA MWIZI SHENZISTAN NYIE
Innah lilah wainah illah rajioon
Mjombaumeongea vizir sana hata Mimi nimeeumia sana nimesikia Jana kuwa yusufu amekufa
Sio yusufu ni YUSUF
Yusuf Sio Yusufu..😂😂😂
😂😂😂
Kikwete kumbe Bado hajawa mzee Bado Yuko ,🦾
👍👍👍
Awam ya 5 alizeeka zeeka awamu ya 6 kamwili kamenona😂😂😅
Ukiwa na moyo Safi huwezi kuzeeka haraka, Ila ilukiwa na moyo wa chuki, fitina na wivu Lazima uonekane mzee hata kama una umri mdogo!!
@@wazirisaid8326 moyo safiii!! ???
RIP Yusuph Manji
R. I. P
Kikwete ametokea katika familia ya kiungwana
Mhhh
Au sio
Huna baya Rais mstafaa KIKWETE
Ni kweli...pia inategemea malezi huwezi ukaribganisha watu wa pwani na Kanda za ziwa Kwa ungwana etc
@@HamisMghuna-fj3vzatakufa tu
RIP YUSUF MANJI.
😢😢😢😢😢
Kikwete ni mtu mzur saana, Hekima na busara ni vitu vikubwa sana katika maisha.
Jk 🔥
Ridh1 alikuwa na urafiki na manji? Haraf kunafukunyuku anamsema makonda?
Makonda hajafika msibani?
The older son is very handsome and eloquent. He gives off a “trustable” vibe. MashaAllah.
Kupenda yanga ndo nini sasa
Sasa wee mzee kikwete umekabidhiwa mtoto umelee mpaka unashtukizwa msiba we vipi mzee
Rip jembe ulaya
Kumbe uliachiwa Hayati Yusuf Ally Mehboub Manji umlee? Mbona hukutuambia hayo kabla,,,,? Kama ulikuwa umekabidhiwa kama mwanao mbona hawakukukaribisha katika mazishi yake? Kumbe mlikuwa unakutana nao nje ya nchi,,,dah, haya bwana!
Hujitambui,ulitaka lini asimame aseme aliachiwa....
Mtu kifa kila kitu utasikia hp sifa kibao utasikia wamemtesa wee na kumpmaradhi
@@emazjassam2452 punguza makasiriko ndugu,,
Yako ushamaliza kiasi ubebe ya wengine???
@@nishaabdula5015makonda hii dhambi inamuhusu na marehemu magu
MNAZUNGUMZA KWA UCHUNGU SABABU YAMANJI SASA NI HISTORIA ILIOBAKI KIONGOZI MKUU RAIS MSTAAFU MAREHEMU ALI H😊HASSAN MWINYI ALISEMA MAISHA NIHADITHI SASA TUELEWE.HIVYO NASI TUKO NJIA 1 MOJA HAKUNA KUZUNGUMZA KWAUCHUNGU LAZIMA TUONDOKE
Wacheni wivu aliyepewa na Allah hakuna wakumnyang'anya hasadi zinawasumbua.
Kikwete bado kijanaaaa
Hapendi pressure ndiyo maana hazeeki
Atakufa tu
@@shinipapaya846 wewe haufi?
Laisi watanzania anaendelea kupenda madaraka ila kwasababu ya katiba yaccmtu ila isinge kua hio angehutubu mpaka kifo
WEWE HUPENDI MADARAKA??
Huyu mtoto ataichukua Yanga
ILIWAMPIGE BAKORA KAMA BABAKE???
Mbona unataja ugonjwa wa mtu?
Shida ipo wapi....amezungumza historia ya uhusiano wa yeye na familia ya manji
@@kaoretosha6668 hata madaktari Huwa hawasemi ugonjwa wa mtu hadharani
Tumuombee na Tujiombee,Si vyema kuongelea mabaya yake, Hakuna mkamilifu Dunia Allah ampe kaul thabity pamoja na Wazaz wetu yaraby 🙏
Mmemtesa bqba ake wee adi kumsababishi mardhi leo mnongea nae nn mtt wk
Lakini aliathirika na madawa na alikua simtu wa dini alipenda sana dunia
Ni kheri wewe usiyependa dunia kwa maana utaishi milele!
@abdulmujibAhmed
jaribu kusoma vizuri dini ya uislam, si vyema kumsema vibaya mtu aliefariki. Hakuna binadamu mkamilifu kikubwa kuomba mwisho mwema.
Ww tena hakimu wa watu
Allah amsamehe
Sheikh hayo umetoa wap, Wala tajasasu
DP ..... tumepigwa.
WEWENKIKWETE YALE MABASI MWANAO PESSA KAPATA WAPI ?
Ulipopata wewe pesa ya bando kuandika upuuzi.
Kapewa na baba yake unadhani ndio wewe mwenye baba hohehahe.
@@salmahalfani6307 KWA NINI KAMUANDIKISHA MANJE NDIO MMIRIKI
Roho za kimaskini.......shidaaaaa.....
@@kaoretosha6668 WEWE WATANZANIA WANAKUMBUKA KWA MATESA WALIOFANYIWA NA HUYU MZEE
baba Kikwete bado kijana kabisa..siri ni ipi mzee?😅 apewe muda na globa TV atupe mawaidha kabla kujaliwa kufika umri huo na Mungu wetu😄😄
Hali vitu vya kisasa,hali ugali,hali wali,hali vitu vyenye sukari ,hajawahi kunywa soda,pombe. Anakula vitu vya asili mara kwa mara
@@doktamathew oh ivi kumbe ivo eh?
MWIZI ANAMJENGEA MWIZI MWENZAKE RIZIWANI KANUNUA MABASI KAMUANDIKA MANJE KAIBIA SERIKALI
Acha roho mbaya za kijinga...
Tena wewe ni mpumbavu haswa.
Uwezo wako wa kufikili umefka mwisho
rohoo ya kibaguziii itakuuaa aduaaa llah laanatullah mungu akulani zaidi
umaskini wako ndo uchukue wengine
Kumbe ukawa unamsaidia hata kwenye mikwepo ya kodi we zee wewe bwana
Mrudishieni mali zake mulizomtaifisha
Siowote tumesikitika ACHA aende tu
Kwanini ufurahie mwenzio kufariki !
Ajitambui uyo anafikiri kufa kwa manji utajiri utahamia kwake
Acheni roho za kimaskini kila wakati mwizi....mwizi...mwizi....toeni ushahidi msisambaze fitnaaa....
Maskini ndivyo walivyo.ndio maana wengi wachawi
Mtu kajitahidi kafanikiwa mnamwambia mwizi
Nenda nawe kaibe ufanikiwe
Walioshangilia kifo Cha mwamba! Naona anachomoka Mmoja baada ya mwingine! Hakika mungu ni fundi
RIP YUSUF MANJI....MAREHEMU HAKUWA MKAMILIFU KAMA SISI BINADAMU WOTE....KUNA WAKATI ALIWAKOSEA WATANZANIA KAMA WANANCHI KWA KUSHIRIKIANA NA VIONGOZI WETU MAFISADI NA WALA RUSHWA....NA KUNA WAKATI PIA ALIWATENDEA MEMA NA MAZURI WATANZANIA....WATANZANIA TUMSAMEHE KWA YOTE....RIP YUSUF MANJI.
@@didasseveline9013 kwa hiyo ambao hawakushangilia watachomoka kwa makundi sio! Ujinga mzigo
Mungu amuweke mahali pema amani