MTOTO ATAKA KUMUUA MAMA YAKE na KWENDA KUMTUPA BUZA - AJICHOMA BISIBISI ya TUMBO na SHINGO AFE!
HTML-код
- Опубликовано: 31 мар 2024
- MTOTO ATAKA KUMUUA MAMA YAKE na KWENDA KUMTUPA BUZA - AJICHOMA BISIBISI ya TUMBO na SHINGO AFE!
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
dah laana gani hio kijana kuuwa mama yako hautakuwa salama tena katika maisha yako
Innalilah wainnailah rajiun😢😢 watu wanataka wazazi warudi wawafanyie mema huyu anaua mama 😢 kama umesikitishwa na hili like
5:15 5:18 5:19
😢😢😢inallh wainaillh rajiwona
Si ungeandika tu jmn sio mpka like kheee
Silazima mpendwa
Kulike tena😂 khee
Duh angejua kama uyo mtoto ake atamuua angeitoa tu iyo mimba
Hahahaàa kweli kabisa
Mmmh tuzae tu Mungu ndio anayejua
Nimekata tamaa ya kuzaa, Mungu tunusuru
Aisee kweli damu ya mtu ni nzito Na haipotei bure jambo kalifanya Kwa Siri lakini Bado kajulikana
Mama wa watu kafa kifo cha kikatili sana na Mungu ailaze Roho yake mahali pema
Ameeeeen 🙏🙏🙏🇰🇪
Ameeen.
Ilp
😊O
Laana iyo wenzio wanataman mama zetu wabak wewe unamuuwa mungu atakulipa
Mtangazaji punguza pombe Kali. Sura inaonesha Sungura Konyagi zimekuathiri sana
😂😂😂😂
😂😂 akili huna
😂😂😂😂kheee
Duuù makuvwa
😅😅😅😅Nhuuuuuuuuuuu!!
Kichwa cha habari sasa
Anataka kumuuwa au ameshamuuwa
Yaan Hawa waandishi bogus
Yani mwenyewe sijaelewa
Hata ayaeleweki yasemwayo mara kachukua mwili naakufa mara alila wapi mara awaeleweki
Ahsante kuliona hilo . Nilikuwa najiuliza hivyo hivyo .
😢😢😢😢mama mama mama hana maisha tena😢😢😢 khaaa
Alikua anataka kumbaka mamaake uyo mashalti ayo
Innalillah Wainna ilayah Rajiun 😭😭😭 inaumiza sana MUNGU ailaze mahala pema peponi mama huyu
Mwenyezi mungu tusaidie na hivi vizazi vyetu mtoto umzae mwenyewe kwa uchungu aje tena akuue mmmmh jamani inaumiza sana
Kweli kuzaa siyo kupata!
Jamani mtu anapiga kelele nyie mnarudi barazani badala ya kumsaidia jmn
Matani yakizidi yanamazara san😢
Huyo kijana ni mvuta bangi jamani 😮😮
Sasa nyinyi mmefika kwenye tukio harafu mkaondoka mkarudi barazani mlishindwaje kumwambia funguwa mlango Ili mjue Nini kina endelea yaani watu wa uswahili ni shida sn ha!
Tupo wepesi wa kuamini tunayoambiwa.Badala ya kuchunguza ukweli wa mambo yalivyo.huwa HATUJIONGEZI.
Taarifa za huyu jamaa huwa sizielewagi.nilitamani kujua walijuaje kama ni mama yake na je mama yake alikuwa akiishi hapo?na je huyo mwenye nyumba anamjua mama yake huyo jamaa?how sure they are kama ni mama yake?na nyumbani kwa mama yake ni wapi na walishacheki kama yupo hai?huyu jamaa Ana exaggerated saana .
Yaani haieleweki mwanzoni alisema mama yake huyo kijana amepanga kwake na alikuwa mcheshi Sasa wakati anaomba msaada walishindwa kujua hata kwa sauti kuwa huyo ni mama Fulani?
Millard Ayo ndo abarey mjin
Yaani nyie washenzi mlishindwa kumsaidia wakati Wa msaaada?
Mama mwenye nyumba bogaz, majirani bogaz, kichwa cha habari bogaz, maelezo bogaz!
Umekiona kichwa cha habar
Sikiliza maelezo.Usivuruge mada.
Ila jamani mmeshasikia kelele anasema ananiuwa mmelizika na maelezo yake wanadam sasa hivi wana roho mbaya
Dah aise nini hii,kwanni vijana tunakuwa hivi hata kama kunashida fulani hama ondoka kaishi mbali naye 😢😢😢😢
Kweli kabsa kaka angu mzazi wako hata kama anamapungfu mzoeee ndo kakuzaa😢😢
🇰🇪 samahani ila hapa nina swali kwanza inakuaje mtu anauliwa na kuna majirani then 2 inakuaje mtu anapakiwa kwa pikipiki kama amekufa hio time yote na majirani walkua wapi na walikua wanamushuku 3 mbona hawakukiza mama yake yuko wapi hapo siamini hii story hatakama majirani wangekua mbali wakesikia hio kelele inaeezekana hii ni story za jaba.
Tatizo hii hukumu ya kunyonga haitekelezwi katika nchi hii.
Wanakwambia haki za binadamu
. Ni upuuzi kweri, ndo maana mauwaji hayaishi kl sk.
@@user-lt1bi5nr1x Haki gani mtu anaua mwenzake kwa kusudi na hajaona kama mwenzake anayo haki ya kuishi.
DUNIA UMEKWISHA VITU VIGUMU KUMUUA MAMA MZAZI VIJANA WATU WANAELEKEA WAPI? WAKITAKA UTAJIRI WANAUA FAMILY WAKIFUTA NA KULEWA WANAUA WAZAZI TENA MUNGU WABALIKI VIJANA WATU WA TANZANIA ☝️☝️☝️🤲🤲🤲
Majirani wa hovyo sana mtu anapiga kelele nyi mko zii.
Sana
hawa waongo bwana wanataka view
Jaman mungu atusamehe sisi watoto ambao hatujielewi mungu tusamehee
ALLAHU AKBAR ! .. ALLAH ! ATU HIFADWI NA VIZAZI VYETU. AMEEN ! 🙏😭
Mimi mwenyewe nimeshikwa sitofahamu 😂😂😂
Uwezi juwa labda sintofahamu imemshika kweli.
❤huyo mama HATA anayoongea hayaeleweki
Mungu tusaidie dunia inaisha😢
Hawa watu wapuuzi,kwann usipigesimu polis?
Mzazi hauwi mtoto hta kma awe kwenye wakati mgumu ila mtoto anaua mama yake mzazi 😢😢.
Hongera mtangazaji kazi nzuri
Ongera na yasemwayo ayaeleweki
Daa dunia imekwisha😭😭😭😭😭
Hawa watu mtu anapiga. Kelelee hampi ushirikiano
wewe mama ulikuwa unazagamuliwa na huyo kijana amefanya mauaji nyumbani kwako mulishindwa kusaidia 😢
Tangu stori inaanza mpaka inafikia kwisha huyu mama hajataja Polisi, funzo gani tunapata hapa?
Me mwenyewe nimeshangaa hadi mjumbe ety anapigia sugusngu badala ya polis dah
Polisi washaonekana wahuni tanzania 🇹🇿 😅😅😅😂😂😂
Watanzania wapuuzi hawajitambui
Yaani haya yote ni mfano hai, mnahisi kitu siyo sahihi mnaingiza uchesi na kuulizana maswali wakati kila kitu mnakijua 😢😢
Umeona enhee.....yaani hata video ya pili mwendelezo polisi wamejulishwa siku ya pili......@@irhamseif
Pumbafu saana nyieee Hamna jipyaaa mlitakiwa muwekwe sero woteee
Mama uyo mungu amweke mahari pema peponi inasikitisha sana Au uyo kijana Ana vuta unga na bangi
Hii nchi inawaandishi wa hovyo saaana sijui bangi
story za kutunga hzi
Sio story za kutunga
Mbona unamkatiza maelezo Kaka!!
NA WEWE UNAONGEA EI ULIRUDI MKAKAA KWANN HAMKWENDA KWA MJUMBE? MLISHINDWA KUMSAIDIA HADI ANAKUFA. MUNGU TUSAIDIE DUNIA IMEISHA.
Da inatisha kurudi kibarazani kukaa kusubiria mtu afe
Wakati mwingine matani yakizidi yanaleta mazara 😢😢 ona sasa mmeshindwa kumsaidia mtu ivi ivi 😢😢
Looo!!!! Yaani alipata na mama yake kiisha kamiya. Na huyo mama alienda kufanya nini pale kama kijana alikuwa haeleweki?
Mtangazaji jitahid kuandika vichwa vya habar vinavyoendana na habar husika, mfano apo unaandika, ALIETAKA KUMUUA, ALAFU TAARIFA INASEMA TAYAR KAMUUA
M/MUNGU ILAZE ROHO YA MAREHEM MAHALI PEMA PEPONI YANI ACHA AKAFILWE JELA NAWENEAKILI NYINGI
Mungu atusaidie
Wewe mama mwenye nyumba na wapangaji wako wote mnatakiwa muwajibike mtu kapiga kelele anasema mama we nakufa mkashindwa kuchukua hatua pumbavu zenu
Poleni jamani
Dunia simama nishuke mungu ponya kizazi chetu
Alivopiga kelele. Musingerudi barazani
Jamani usimkatie tamaa mtu mwanaisha mbembe sikuhizi unavaa majuba mungu akuongize leo nimekumbuka matangini mama uwezo mama mwinyi mambo nimefurahi sana
ndo maana sipend kupanga ushawahilini umbea ndo umemponza
Wapi???
Ungepanga uzunguni ungembaka mamako?
Huyo jamaa atakua chizi muda simrefu
Mbingu huwezi kuinusa kwa matendo maovu ni bora ufanye kosa ambalo unaweza kujutia huku ukimuona ulie mkosea unauwa badae unajutia ilehali maiti uliemtoa uhai huwezi zungumza nae tena
Kutafuta utajir wakufoc😢
Pole I sana wazazi ushauli uyo mirjana 🙏🙏🙏🙏
Inalilah wainalilah rajighun
Achukuliwe hatua maana siyo vizuri
Apo mmefanya vizuri mmemkamata,uyo kauwa mama yake,apimwe akili, kama ni mzima atakuwa amekusudia,na mkimuachia atauwa wengine,uyo afungwe maisha ikiwezekana anyongwe
Awa wote waswahili wakujali Maisha ya mwenzie😢😢😢
😢😢😢hakika vijana mnajitakia nuksi wenyewe mama yako ni nguzo na tegemeo hakua na hofu ya MUNGU huyo kijana aLaniwe na na kua mwehu na makazi yake na chakula chake ni Tamboni huyo kijana😢😢🙏
Huyo anatakiwa afie hela Sisi tunauchungu namama
Ivi polisi hawapo?
ninyi pia wangese....Kama mlisikia kelele kwann msifuatilie huyo mwanamke gani na aliondoka salama au lah?
.IVI VIJANA MNAFELI. WAPI IVI MAMA YAKO HATA AKUKOSEE BADO HUPASWI KUNYANYUA MKONO YAANI KIJANA UTAKUFA KIFO KIBAYA WEW ALLAHU AKBAR... MNGU WAPE HAWA VIJANA UFAHAMU WA KUTAMBUA UMUHIMU WA MAMA...🙏😥😢
Uwongo hiyo picha mloiweka ya zamani mtoto mgonjwa aliuliwa na Baba yak
Kaweka tu picha kama mfano lkn sio huyo mama
😢😢😢
haaaaa bongoo mtafuteni mungu mupate hofu kuna imani hazitii hofu sibure wabongo utu hauko
Wazazi tuzae
Kitendo cha u-single mother mtauawa sana
Kichwa cha habari kinasema kijana anataka kuua ilihali ameisha ua tayari. Jamani waandishi msituchanganye!
Inalilah wainalilah rajuuni
Hilo ni gumbo unauwa mungu wa pili mhh tumble watoto wetu wakiwa tumboni
Subbhanna Allah, Inna Lillah wainnailay rajiun, yarabi tusamehe, na tuhurumie Hakika ni Zaid ya matukio , loooo! Mbonatumefika mbali sana wanadamu jamani?
Katoka na bukta itakuwa kamfanyia kweli mamayake kisha kamuuwa.duuu
Innallillah wainna illah rajiun 😢😢
Huyu mama akamatwe tu kwasababu alisikia nahakutoa msda wowote.
Police hawapo mpaka Sungusungu analazimishwa kuchukua mtuhumiwa.
Innalilahi wainnailahi rajighun
Mama?😊
Mamisongo ya maisha magumu
Mwandishi unazingua, Muache mtu Atoe story Ili ieleweke siyo kumkatisha
Mama na mtoto walikua wanafanya nini chumbani
Hatari unaua mama
Daa mungu amlaze mahali pema
Si ndo mnavyowalea huku dar Toto unakuta linavuta mibange Mama yupo, baba yupo Wanachukuliwa poa tu Badae utasikia mtoto wangu haambiliki kabisa
Mama ongera umetoa maelezo vizuri . sana
Vichwa vya habari vyote vinasema "alitaka" ndo nn maana ake.
Ila kichwa Cha habar tofauti na maada kumbe kaua mmeandika anataka kumuua
Nyinyi majilani niwazembe sana mtu mnasikia nisaidieni nakufa mlishindwa kuita watu mudahuo sikunyingine msifanye ivo.
Dunia imeisha,who does that !!!!!!!!!!!!??????????
Duuuh
Dah! Majiran mmefwatilia vya kutosha
huyomama mwenyenyumba akamatwe kwann ameekaa kimya zaidi ya saa nawamesikia kelele wanaujasili huo kukaakimya bilakupiga mayowe
😭😭😭
😢😢😢😢😢
Mtihani mkubwa sana
Waandishi wetu sasa! Unaandika alitaka kumuua mamaake na huku kaisha muua! Unaposema alitaka manaake nikwamba hajafanya! We mtu tiari kafanya! We unasema alitaka!
Kumbe ndani kulikuwa na watu! Waliona nini au kusikia nini? Wasitoke kusema mtaani?