MTOTO ATAKA KUMUUA MAMA YAKE na KWENDA KUMTUPA BUZA - AJICHOMA BISIBISI ya TUMBO na SHINGO AFE!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 мар 2024
  • MTOTO ATAKA KUMUUA MAMA YAKE na KWENDA KUMTUPA BUZA - AJICHOMA BISIBISI ya TUMBO na SHINGO AFE!
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 238

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  2 месяца назад +8

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 2 месяца назад +10

    dah laana gani hio kijana kuuwa mama yako hautakuwa salama tena katika maisha yako

  • @user-gb1hn5ml8y
    @user-gb1hn5ml8y 2 месяца назад +72

    Innalilah wainnailah rajiun😢😢 watu wanataka wazazi warudi wawafanyie mema huyu anaua mama 😢 kama umesikitishwa na hili like

  • @yujinxhing3766
    @yujinxhing3766 2 месяца назад +13

    Duh angejua kama uyo mtoto ake atamuua angeitoa tu iyo mimba

  • @mwamvuamagongo8163
    @mwamvuamagongo8163 2 месяца назад +19

    Mmmh tuzae tu Mungu ndio anayejua

    • @betyjoseph6812
      @betyjoseph6812 2 месяца назад +1

      Nimekata tamaa ya kuzaa, Mungu tunusuru

  • @hemedisalim5522
    @hemedisalim5522 2 месяца назад +9

    Aisee kweli damu ya mtu ni nzito Na haipotei bure jambo kalifanya Kwa Siri lakini Bado kajulikana

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 2 месяца назад +15

    Mama wa watu kafa kifo cha kikatili sana na Mungu ailaze Roho yake mahali pema

  • @zainabwage4658
    @zainabwage4658 2 месяца назад +12

    Laana iyo wenzio wanataman mama zetu wabak wewe unamuuwa mungu atakulipa

  • @gaspeldaniel1140
    @gaspeldaniel1140 2 месяца назад +11

    Mtangazaji punguza pombe Kali. Sura inaonesha Sungura Konyagi zimekuathiri sana

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 2 месяца назад +14

    Kichwa cha habari sasa
    Anataka kumuuwa au ameshamuuwa

    • @susanjoseph1270
      @susanjoseph1270 2 месяца назад +1

      Yaan Hawa waandishi bogus

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 2 месяца назад +1

      Yani mwenyewe sijaelewa

    • @chunaabdullah1333
      @chunaabdullah1333 2 месяца назад

      Hata ayaeleweki yasemwayo mara kachukua mwili naakufa mara alila wapi mara awaeleweki

    • @kiri5807
      @kiri5807 2 месяца назад

      Ahsante kuliona hilo . Nilikuwa najiuliza hivyo hivyo .

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 2 месяца назад +21

    😢😢😢😢mama mama mama hana maisha tena😢😢😢 khaaa

  • @user-ih7nl5nv3c
    @user-ih7nl5nv3c 2 месяца назад +9

    Alikua anataka kumbaka mamaake uyo mashalti ayo

  • @user-lt7yx2ms7h
    @user-lt7yx2ms7h 2 месяца назад +6

    Innalillah Wainna ilayah Rajiun 😭😭😭 inaumiza sana MUNGU ailaze mahala pema peponi mama huyu

  • @maryumamapunda8910
    @maryumamapunda8910 2 месяца назад +4

    Mwenyezi mungu tusaidie na hivi vizazi vyetu mtoto umzae mwenyewe kwa uchungu aje tena akuue mmmmh jamani inaumiza sana

  • @charlesrweyemamu8352
    @charlesrweyemamu8352 2 месяца назад +5

    Kweli kuzaa siyo kupata!

  • @dorahkyomah8560
    @dorahkyomah8560 2 месяца назад +23

    Jamani mtu anapiga kelele nyie mnarudi barazani badala ya kumsaidia jmn

    • @suzanfelix6320
      @suzanfelix6320 2 месяца назад +3

      Matani yakizidi yanamazara san😢

    • @fatmaalnabhani3609
      @fatmaalnabhani3609 2 месяца назад +2

      Huyo kijana ni mvuta bangi jamani 😮😮

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 2 месяца назад +1

      Sasa nyinyi mmefika kwenye tukio harafu mkaondoka mkarudi barazani mlishindwaje kumwambia funguwa mlango Ili mjue Nini kina endelea yaani watu wa uswahili ni shida sn ha!

    • @AbbasHussein-zq3yi
      @AbbasHussein-zq3yi Месяц назад

      Tupo wepesi wa kuamini tunayoambiwa.Badala ya kuchunguza ukweli wa mambo yalivyo.huwa HATUJIONGEZI.

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 2 месяца назад +8

    Taarifa za huyu jamaa huwa sizielewagi.nilitamani kujua walijuaje kama ni mama yake na je mama yake alikuwa akiishi hapo?na je huyo mwenye nyumba anamjua mama yake huyo jamaa?how sure they are kama ni mama yake?na nyumbani kwa mama yake ni wapi na walishacheki kama yupo hai?huyu jamaa Ana exaggerated saana .

    • @theresiachacha5180
      @theresiachacha5180 2 месяца назад

      Yaani haieleweki mwanzoni alisema mama yake huyo kijana amepanga kwake na alikuwa mcheshi Sasa wakati anaomba msaada walishindwa kujua hata kwa sauti kuwa huyo ni mama Fulani?

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 Месяц назад

      Millard Ayo ndo abarey mjin

    • @JacquelineMahumbe
      @JacquelineMahumbe Месяц назад

      Yaani nyie washenzi mlishindwa kumsaidia wakati Wa msaaada?

  • @NemaAli-zh6hr
    @NemaAli-zh6hr 2 месяца назад +7

    Mama mwenye nyumba bogaz, majirani bogaz, kichwa cha habari bogaz, maelezo bogaz!

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d 2 месяца назад +5

    Ila jamani mmeshasikia kelele anasema ananiuwa mmelizika na maelezo yake wanadam sasa hivi wana roho mbaya

  • @Saidiamiri-lp8lw
    @Saidiamiri-lp8lw 2 месяца назад +13

    Dah aise nini hii,kwanni vijana tunakuwa hivi hata kama kunashida fulani hama ondoka kaishi mbali naye 😢😢😢😢

    • @user-bh6rt7xm6w
      @user-bh6rt7xm6w Месяц назад

      Kweli kabsa kaka angu mzazi wako hata kama anamapungfu mzoeee ndo kakuzaa😢😢

  • @totodavis1949
    @totodavis1949 2 месяца назад +3

    🇰🇪 samahani ila hapa nina swali kwanza inakuaje mtu anauliwa na kuna majirani then 2 inakuaje mtu anapakiwa kwa pikipiki kama amekufa hio time yote na majirani walkua wapi na walikua wanamushuku 3 mbona hawakukiza mama yake yuko wapi hapo siamini hii story hatakama majirani wangekua mbali wakesikia hio kelele inaeezekana hii ni story za jaba.

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 2 месяца назад +8

    Tatizo hii hukumu ya kunyonga haitekelezwi katika nchi hii.

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x 2 месяца назад +1

      Wanakwambia haki za binadamu

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 2 месяца назад +1

      ​. Ni upuuzi kweri, ndo maana mauwaji hayaishi kl sk.

    • @barakakusa7606
      @barakakusa7606 2 месяца назад

      @@user-lt1bi5nr1x Haki gani mtu anaua mwenzake kwa kusudi na hajaona kama mwenzake anayo haki ya kuishi.

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 2 месяца назад +4

    DUNIA UMEKWISHA VITU VIGUMU KUMUUA MAMA MZAZI VIJANA WATU WANAELEKEA WAPI? WAKITAKA UTAJIRI WANAUA FAMILY WAKIFUTA NA KULEWA WANAUA WAZAZI TENA MUNGU WABALIKI VIJANA WATU WA TANZANIA ☝️☝️☝️🤲🤲🤲

  • @kinyanyaonline3658
    @kinyanyaonline3658 2 месяца назад +6

    Majirani wa hovyo sana mtu anapiga kelele nyi mko zii.

  • @MkudeRimot
    @MkudeRimot Месяц назад +1

    Jaman mungu atusamehe sisi watoto ambao hatujielewi mungu tusamehee

  • @sultanaswaleh7813
    @sultanaswaleh7813 2 месяца назад +2

    ALLAHU AKBAR ! .. ALLAH ! ATU HIFADWI NA VIZAZI VYETU. AMEEN ! 🙏😭

  • @Abdulrahmaniluhumba-kf6sd
    @Abdulrahmaniluhumba-kf6sd 2 месяца назад +2

    Mimi mwenyewe nimeshikwa sitofahamu 😂😂😂

    • @NemaAli-zh6hr
      @NemaAli-zh6hr 2 месяца назад

      Uwezi juwa labda sintofahamu imemshika kweli.

  • @HamisiAbdallah-vu7fz
    @HamisiAbdallah-vu7fz 2 месяца назад +1

    ❤huyo mama HATA anayoongea hayaeleweki

  • @GloriaJohn-pc8wz
    @GloriaJohn-pc8wz 2 месяца назад +2

    Mungu tusaidie dunia inaisha😢

  • @user-yw3qh6qj8g
    @user-yw3qh6qj8g Месяц назад +1

    Hawa watu wapuuzi,kwann usipigesimu polis?

  • @neemapaul3257
    @neemapaul3257 2 месяца назад +1

    Mzazi hauwi mtoto hta kma awe kwenye wakati mgumu ila mtoto anaua mama yake mzazi 😢😢.

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan9806 2 месяца назад +2

    Hongera mtangazaji kazi nzuri

  • @mariamngoha639
    @mariamngoha639 Месяц назад +1

    Daa dunia imekwisha😭😭😭😭😭

  • @DanielYae-kw6dr
    @DanielYae-kw6dr 2 месяца назад +3

    Hawa watu mtu anapiga. Kelelee hampi ushirikiano

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 2 месяца назад +1

    wewe mama ulikuwa unazagamuliwa na huyo kijana amefanya mauaji nyumbani kwako mulishindwa kusaidia 😢

  • @saidimwishehekienda933
    @saidimwishehekienda933 2 месяца назад +3

    Tangu stori inaanza mpaka inafikia kwisha huyu mama hajataja Polisi, funzo gani tunapata hapa?

    • @irhamseif
      @irhamseif 2 месяца назад +1

      Me mwenyewe nimeshangaa hadi mjumbe ety anapigia sugusngu badala ya polis dah

    • @Ambwene
      @Ambwene 2 месяца назад +2

      Polisi washaonekana wahuni tanzania 🇹🇿 😅😅😅😂😂😂

    • @user-nn6zq1ok7i
      @user-nn6zq1ok7i 2 месяца назад

      Watanzania wapuuzi hawajitambui

    • @ubongosahihi
      @ubongosahihi 2 месяца назад +1

      Yaani haya yote ni mfano hai, mnahisi kitu siyo sahihi mnaingiza uchesi na kuulizana maswali wakati kila kitu mnakijua 😢😢

    • @saidimwishehekienda933
      @saidimwishehekienda933 2 месяца назад

      Umeona enhee.....yaani hata video ya pili mwendelezo polisi wamejulishwa siku ya pili......@@irhamseif

  • @JacquelineMahumbe
    @JacquelineMahumbe Месяц назад +1

    Pumbafu saana nyieee Hamna jipyaaa mlitakiwa muwekwe sero woteee

  • @NassorSaidy-hr6xm
    @NassorSaidy-hr6xm Месяц назад

    Mama uyo mungu amweke mahari pema peponi inasikitisha sana Au uyo kijana Ana vuta unga na bangi

  • @JacquelineMahumbe
    @JacquelineMahumbe Месяц назад +1

    Hii nchi inawaandishi wa hovyo saaana sijui bangi

  • @rockstarsamk9043
    @rockstarsamk9043 2 месяца назад +4

    story za kutunga hzi

  • @aloycelucas1823
    @aloycelucas1823 2 месяца назад +2

    Mbona unamkatiza maelezo Kaka!!

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 месяца назад +2

    NA WEWE UNAONGEA EI ULIRUDI MKAKAA KWANN HAMKWENDA KWA MJUMBE? MLISHINDWA KUMSAIDIA HADI ANAKUFA. MUNGU TUSAIDIE DUNIA IMEISHA.

    • @annaandrea2812
      @annaandrea2812 2 месяца назад

      Da inatisha kurudi kibarazani kukaa kusubiria mtu afe

  • @suzanfelix6320
    @suzanfelix6320 2 месяца назад +1

    Wakati mwingine matani yakizidi yanaleta mazara 😢😢 ona sasa mmeshindwa kumsaidia mtu ivi ivi 😢😢

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 2 месяца назад

    Looo!!!! Yaani alipata na mama yake kiisha kamiya. Na huyo mama alienda kufanya nini pale kama kijana alikuwa haeleweki?

  • @MfaumeZubeir
    @MfaumeZubeir Месяц назад

    Mtangazaji jitahid kuandika vichwa vya habar vinavyoendana na habar husika, mfano apo unaandika, ALIETAKA KUMUUA, ALAFU TAARIFA INASEMA TAYAR KAMUUA

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 2 месяца назад +2

    M/MUNGU ILAZE ROHO YA MAREHEM MAHALI PEMA PEPONI YANI ACHA AKAFILWE JELA NAWENEAKILI NYINGI

  • @upako4598
    @upako4598 2 месяца назад

    Mungu atusaidie

  • @user-er9xv9yz7b
    @user-er9xv9yz7b 2 месяца назад

    Wewe mama mwenye nyumba na wapangaji wako wote mnatakiwa muwajibike mtu kapiga kelele anasema mama we nakufa mkashindwa kuchukua hatua pumbavu zenu

  • @MugishaGasore
    @MugishaGasore 2 месяца назад +1

    Poleni jamani

  • @user-do5by8jl6g
    @user-do5by8jl6g 2 месяца назад +1

    Dunia simama nishuke mungu ponya kizazi chetu

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p 2 месяца назад +3

    Alivopiga kelele. Musingerudi barazani

  • @fathimadaid3429
    @fathimadaid3429 2 месяца назад

    Jamani usimkatie tamaa mtu mwanaisha mbembe sikuhizi unavaa majuba mungu akuongize leo nimekumbuka matangini mama uwezo mama mwinyi mambo nimefurahi sana

  • @nicksonnewton1540
    @nicksonnewton1540 2 месяца назад +3

    ndo maana sipend kupanga ushawahilini umbea ndo umemponza

  • @REMEASYPIANO
    @REMEASYPIANO 2 месяца назад +2

    Huyo jamaa atakua chizi muda simrefu

  • @user-wq8kw7wb1n
    @user-wq8kw7wb1n 2 месяца назад +1

    Mbingu huwezi kuinusa kwa matendo maovu ni bora ufanye kosa ambalo unaweza kujutia huku ukimuona ulie mkosea unauwa badae unajutia ilehali maiti uliemtoa uhai huwezi zungumza nae tena

  • @GubraCity-dm5sx
    @GubraCity-dm5sx 2 месяца назад +2

    Kutafuta utajir wakufoc😢

  • @user-gq2yp2tp1o
    @user-gq2yp2tp1o 2 месяца назад

    Pole I sana wazazi ushauli uyo mirjana 🙏🙏🙏🙏

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 2 месяца назад +2

    Inalilah wainalilah rajighun

  • @SamwelMitalami
    @SamwelMitalami 8 дней назад

    Achukuliwe hatua maana siyo vizuri

  • @aishahussein9348
    @aishahussein9348 2 месяца назад

    Apo mmefanya vizuri mmemkamata,uyo kauwa mama yake,apimwe akili, kama ni mzima atakuwa amekusudia,na mkimuachia atauwa wengine,uyo afungwe maisha ikiwezekana anyongwe

  • @solangebagal149
    @solangebagal149 2 месяца назад

    Awa wote waswahili wakujali Maisha ya mwenzie😢😢😢

  • @EliasCosmas-qp6gn
    @EliasCosmas-qp6gn 2 месяца назад

    😢😢😢hakika vijana mnajitakia nuksi wenyewe mama yako ni nguzo na tegemeo hakua na hofu ya MUNGU huyo kijana aLaniwe na na kua mwehu na makazi yake na chakula chake ni Tamboni huyo kijana😢😢🙏

  • @Simonsamwel-wx5mr
    @Simonsamwel-wx5mr 12 дней назад

    Huyo anatakiwa afie hela Sisi tunauchungu namama

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 2 месяца назад +1

    Ivi polisi hawapo?

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 2 месяца назад

    ninyi pia wangese....Kama mlisikia kelele kwann msifuatilie huyo mwanamke gani na aliondoka salama au lah?

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 2 месяца назад

    .IVI VIJANA MNAFELI. WAPI IVI MAMA YAKO HATA AKUKOSEE BADO HUPASWI KUNYANYUA MKONO YAANI KIJANA UTAKUFA KIFO KIBAYA WEW ALLAHU AKBAR... MNGU WAPE HAWA VIJANA UFAHAMU WA KUTAMBUA UMUHIMU WA MAMA...🙏😥😢

  • @maryamrashid8499
    @maryamrashid8499 2 месяца назад +4

    Uwongo hiyo picha mloiweka ya zamani mtoto mgonjwa aliuliwa na Baba yak

    • @juliuslengai5089
      @juliuslengai5089 2 месяца назад

      Kaweka tu picha kama mfano lkn sio huyo mama

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 2 месяца назад +1

    😢😢😢

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 2 месяца назад +1

    haaaaa bongoo mtafuteni mungu mupate hofu kuna imani hazitii hofu sibure wabongo utu hauko

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 2 месяца назад +2

    Wazazi tuzae

  • @edwinpius7328
    @edwinpius7328 9 дней назад

    Kitendo cha u-single mother mtauawa sana

  • @charlesrweyemamu8352
    @charlesrweyemamu8352 2 месяца назад

    Kichwa cha habari kinasema kijana anataka kuua ilihali ameisha ua tayari. Jamani waandishi msituchanganye!

  • @noot-oe2mw
    @noot-oe2mw 2 месяца назад +2

    Inalilah wainalilah rajuuni

  • @EsterShirima-vr7cv
    @EsterShirima-vr7cv Месяц назад

    Hilo ni gumbo unauwa mungu wa pili mhh tumble watoto wetu wakiwa tumboni

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py 2 месяца назад +2

    Subbhanna Allah, Inna Lillah wainnailay rajiun, yarabi tusamehe, na tuhurumie Hakika ni Zaid ya matukio , loooo! Mbonatumefika mbali sana wanadamu jamani?

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 22 дня назад

    Katoka na bukta itakuwa kamfanyia kweli mamayake kisha kamuuwa.duuu

  • @user-yc1sh6ow8k
    @user-yc1sh6ow8k 2 месяца назад +2

    Innallillah wainna illah rajiun 😢😢

  • @YorandaBonephas
    @YorandaBonephas 2 месяца назад

    Huyu mama akamatwe tu kwasababu alisikia nahakutoa msda wowote.

  • @deograsiamgeni5716
    @deograsiamgeni5716 Месяц назад

    Police hawapo mpaka Sungusungu analazimishwa kuchukua mtuhumiwa.

  • @yakoubaliy7559
    @yakoubaliy7559 2 месяца назад +2

    Innalilahi wainnailahi rajighun

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 2 месяца назад +2

    Mama?😊

  • @rodsconehenry4249
    @rodsconehenry4249 2 месяца назад +1

    Mamisongo ya maisha magumu

  • @user-vk5nb4uz6h
    @user-vk5nb4uz6h Месяц назад

    Mwandishi unazingua, Muache mtu Atoe story Ili ieleweke siyo kumkatisha

  • @husseinmaula4965
    @husseinmaula4965 2 месяца назад +1

    Mama na mtoto walikua wanafanya nini chumbani

  • @user-og4ox5jb4v
    @user-og4ox5jb4v Месяц назад

    Hatari unaua mama

  • @shafiisultani7759
    @shafiisultani7759 Месяц назад

    Daa mungu amlaze mahali pema

  • @lordsm.k-db3wy
    @lordsm.k-db3wy 2 месяца назад +2

    Si ndo mnavyowalea huku dar Toto unakuta linavuta mibange Mama yupo, baba yupo Wanachukuliwa poa tu Badae utasikia mtoto wangu haambiliki kabisa

  • @user-zq1bn8zs2v
    @user-zq1bn8zs2v Месяц назад

    Mama ongera umetoa maelezo vizuri . sana

  • @EddahBure-te7ft
    @EddahBure-te7ft Месяц назад

    Vichwa vya habari vyote vinasema "alitaka" ndo nn maana ake.

  • @idrissa573
    @idrissa573 Месяц назад

    Ila kichwa Cha habar tofauti na maada kumbe kaua mmeandika anataka kumuua

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 2 месяца назад

    Nyinyi majilani niwazembe sana mtu mnasikia nisaidieni nakufa mlishindwa kuita watu mudahuo sikunyingine msifanye ivo.

  • @josephinegagai
    @josephinegagai Месяц назад

    Dunia imeisha,who does that !!!!!!!!!!!!??????????

  • @sharifachacha7677
    @sharifachacha7677 2 месяца назад +2

    Duuuh

  • @user-ry2ix2pv4q
    @user-ry2ix2pv4q 15 дней назад

    Dah! Majiran mmefwatilia vya kutosha

  • @AdiniKuziganika-wg4ns
    @AdiniKuziganika-wg4ns Месяц назад

    huyomama mwenyenyumba akamatwe kwann ameekaa kimya zaidi ya saa nawamesikia kelele wanaujasili huo kukaakimya bilakupiga mayowe

  • @edmundnkarangu134
    @edmundnkarangu134 2 месяца назад +1

    😭😭😭

  • @GracieuseMbinga
    @GracieuseMbinga 2 месяца назад +1

    😢😢😢😢😢

  • @saudamdoe
    @saudamdoe 2 месяца назад +3

    Mtihani mkubwa sana

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 2 месяца назад

    Waandishi wetu sasa! Unaandika alitaka kumuua mamaake na huku kaisha muua! Unaposema alitaka manaake nikwamba hajafanya! We mtu tiari kafanya! We unasema alitaka!

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 2 месяца назад

    Kumbe ndani kulikuwa na watu! Waliona nini au kusikia nini? Wasitoke kusema mtaani?