JAMAA ALIYETAKA KUMUUA MAMA'KE na KUMTUPA BUZA - MAMA KAOKOTWA AKIWA wa 'MNYAMA' - YUPO HOI
HTML-код
- Опубликовано: 27 сен 2024
- JAMAA ALIYETAKA KUMUUA MAMA'KE na KUMTUPA BUZA - MAMA KAOKOTWA AKIWA wa 'MNYAMA' - YUPO HOI
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
😊
😊
Jamaa huyo akanyongwe2
Subhanallah, mungu atunusuru na vizazi vyetu vijavyo inshaallah. Amin 🤲🤲
Allahuma Amin
Kwan huyo mama alikua anaish wapi?kwaiy alikuja kumtembelea mwanae ndio akamzuru !mbn km sielew hii stor kwaiy mtu namwanae walijifungia ndan au !
Na mm nimejiuliza hili swali
Wanazingua wanajua wenyewe wanachokiongea
Subuhanallah Allah ampeshifaa alone kwaharaka. Watotohawamtihani unaangaika nae kumbe ndiyo aduiyako😢
Tumkumbukeni mungu hii yote kwa sababu tume sahau Kua mungu yupo
God is always Good. Tumuombee Mama akae sawa kiafya
Mtihani
Mungu tuongoze ktk kukuabudu na kufuata amri zsko
Poleni sana.mungu ampe shifaa mgonjwa apone arudi nyumbani salama.aweze kutoa ukweli wote
Mungu wangu vizazi vyetuy vimeharibikiw unampiga mzazi inalillah wainaillah rajiuna
duh pole mama
Jamn Jamn 😢 vijana wanatafutwa utajili kwaharaka
Damu ya Yesu imponye huyo mama
Innalilah wa innalilah rajiun
Jaman
Alhamdulilah uyo mama mzima duh angemuwaisha mapema hofu ya damu ilimjaa mpaka kaenda kumtupa kumbe angemuwaisha hospital tu😢😢😢
Tumevamiwa hatujui tu,roho za ushetani yesu tuondolee,tumechoka, na matukio mbona zamani hakuna,tumemkasirisha Mungu wetu, Ndio maana anaacha matukio yatokee,turudini kwa Mungu 😭😭😭
watu wanachanganyikiwa na content kwa sasa hapo hosptal wala hatumuonn hyo mama wala mtuhumiwa hatumuon ni waongo sana
Ni kweli usiwe kama hamnazo
Ww muogope mungu ww kama kweli unamuogopa mungu njoo moi muhimbili alafufu uliza utaambiwa
Jamani mnaotaka kumuona mtuhumiwa kwasasa au kumuona mgonjwa naomba tuwe na subra kutokana na hali ya huo mama alookotwa nayo haongei wala bado hajapata ufahamu vizuli hivyo basi taalifa zaidi.titazipata kwa daktari na yeye mwenyewe tutamuona inshallah hivyo tuzidi kumuombea dua afate nafuu na mtuhumiwa yuko muhimbili akiwa chini ya uangalizi wa askari hivyo tusubili na yeye apone tutamuona kesi ikifika mahakamani asanteni
Polen
Mtangazaji unatuzungusha banaa mara kafa mara mnyamaaa
Hata sisi tulijua kafa kumbe alizimia mbaka leo hajapata fahau
Kama hajafa Alhamdulilah sema tunahitj kujua kiundan zaid
Apana mama alifata nguozake kwa mwanae alizituma akiwa kijijin ndoyakamkuta hayo
Nasubiri muendelezo inauma sana jaman😢😢😢😢😢😢
Huyu Jamaa anatakiwa na yeye ANYONGWE mpaka kufa.
Ivi daa kuna poli 😢😢
waongo hawa
Story inajirudia jirudia
Mapor yakutosha tuu
Yapo
Mapori na vichaka pia vipo
Allah atustiri na wazazi wetu na watoto wetu😥so sad
Kama nikiki munapata dhambi
Ndiy watot wenu wakium sasa mnayemtak wa ukoo we watot wakium hapan Mim jaman sasa hiv awajuw ndug wala mam wala bab pole mam mung akusaidiy upon harak
Kwakweli hapana wa kiume duh. At least wa kike ingawa sometimes nao wanaweza sumbua ila Bora wa kike angalau
Sasa kama Mungu ndo kakupa hao uwatupe?
Asa apo aliekufa ni nani kati ya mama na mtoto
Mbona anayesimulia hana uwazi? Kama kuna kitu anaficha!
Yy ameadithiwa hakuepo eneo la tukio
Watu wengi wagumu sana kueleza matukio
Fatumalashi
Kuzaa so kupata
Kaka napenda sana utangazaji wako
Kuna kitu kime jificha kipo nyuma ya pazia
ijaman
Hizi kiki tu kwann hatumuoni mgonjwa walamkija
Wewe ni k kweli
Hh
nyie hawa wajinga hujawsshrukia kua ni mchezi wa kutafuta kiki mtandaoni??aliye washtukia hawa wajinga wa kutumalizia mb ahe hapa.
Msifikili kila hbr bc niuwongo
Mtangazaji punguza Mihadarati 😂😂😂
Kabisa huo mdomo tu unamjuwa😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂tena
😂😂😂khee
SUBHANA-ALLAH !. MU'NGU !.. ATUSTIRI NA WATOTO WETU. YARAB ! 🙏🙏😭😭
Mtangazaj asaiv unakonda alafu unapotez muonekano, ni kama kuna ulevi unatumia
Walimwengu hahaha
😂tena kilevi chenyewe smart guine,
Maana ilo jishavu,lilivyovimba,pombe tupu
Hizi story za uwongo na kuwadanganya watu
Vp
😮Duu Mungu amponye uyo mama
Tumevamiwa hatujui tu,roho za ushetani yesu tuondolee,tumechoka, na matukio mbona zamani hakuna,tumemkasirisha Mungu wetu, Ndio maana anaacha matukio yatokee,turudini kwa Mungu 😭😭😭
Jamani hii Tanzania kuna rahana gani? Inayotutesa nakuwaingia watu hata usiowazania kufanya mauaji, jamani ivi wenzangu hamjagundua haya,tuombeni sana iyo roho yaushetani itutoke,sio kawaida, matukio yamakuwa Mengi sana tofauti na nchi za wenzetu jirani zetu
Mtangazaji maswali ovyoo
Innalillah Wainna ilayah Rajiun sijui tunaelekea wapi
Hawa ni waongo tena hawafai
Ni uongo.
Mungu ana kuona
Sihaba kumbe hajafa
Mungu wangu tuhurumie 😢😢
❤
Heeeeh