JAMAA ALIYETAKA KUMUUA MAMA'KE na KUMTUPA BUZA - MAMA KAOKOTWA AKIWA wa 'MNYAMA' - YUPO HOI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • JAMAA ALIYETAKA KUMUUA MAMA'KE na KUMTUPA BUZA - MAMA KAOKOTWA AKIWA wa 'MNYAMA' - YUPO HOI
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 89

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  5 месяцев назад +4

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 5 месяцев назад +13

    Subhanallah, mungu atunusuru na vizazi vyetu vijavyo inshaallah. Amin 🤲🤲

  • @sarahdarous2172
    @sarahdarous2172 5 месяцев назад +13

    Kwan huyo mama alikua anaish wapi?kwaiy alikuja kumtembelea mwanae ndio akamzuru !mbn km sielew hii stor kwaiy mtu namwanae walijifungia ndan au !

    • @mishigwan6598
      @mishigwan6598 5 месяцев назад +1

      Na mm nimejiuliza hili swali

    • @ElizabethWamcha
      @ElizabethWamcha 5 месяцев назад

      Wanazingua wanajua wenyewe wanachokiongea

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 5 месяцев назад +10

    Subuhanallah Allah ampeshifaa alone kwaharaka. Watotohawamtihani unaangaika nae kumbe ndiyo aduiyako😢

  • @AmaniRashidi-i9b
    @AmaniRashidi-i9b 5 месяцев назад +8

    Tumkumbukeni mungu hii yote kwa sababu tume sahau Kua mungu yupo

  • @iddimoshi8459
    @iddimoshi8459 5 месяцев назад +3

    God is always Good. Tumuombee Mama akae sawa kiafya

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 5 месяцев назад +3

    Mtihani
    Mungu tuongoze ktk kukuabudu na kufuata amri zsko

  • @azzaalhabsi1505
    @azzaalhabsi1505 5 месяцев назад +13

    Poleni sana.mungu ampe shifaa mgonjwa apone arudi nyumbani salama.aweze kutoa ukweli wote

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 5 месяцев назад +1

    Mungu wangu vizazi vyetuy vimeharibikiw unampiga mzazi inalillah wainaillah rajiuna

  • @sunwizy608
    @sunwizy608 5 месяцев назад +4

    duh pole mama

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 5 месяцев назад +2

    Jamn Jamn 😢 vijana wanatafutwa utajili kwaharaka

  • @ellensamson6787
    @ellensamson6787 9 дней назад

    Damu ya Yesu imponye huyo mama

  • @NuruBomba
    @NuruBomba 5 месяцев назад +2

    Innalilah wa innalilah rajiun

  • @PatrickDavid-l3p
    @PatrickDavid-l3p 2 месяца назад

    Jaman

  • @sharifamahamudu182
    @sharifamahamudu182 5 месяцев назад

    Alhamdulilah uyo mama mzima duh angemuwaisha mapema hofu ya damu ilimjaa mpaka kaenda kumtupa kumbe angemuwaisha hospital tu😢😢😢

  • @FLORAHANSIBERTY
    @FLORAHANSIBERTY 5 месяцев назад

    Tumevamiwa hatujui tu,roho za ushetani yesu tuondolee,tumechoka, na matukio mbona zamani hakuna,tumemkasirisha Mungu wetu, Ndio maana anaacha matukio yatokee,turudini kwa Mungu 😭😭😭

  • @khamisswalehe
    @khamisswalehe 5 месяцев назад +5

    watu wanachanganyikiwa na content kwa sasa hapo hosptal wala hatumuonn hyo mama wala mtuhumiwa hatumuon ni waongo sana

    • @ramaMuhomba
      @ramaMuhomba 5 месяцев назад

      Ni kweli usiwe kama hamnazo

    • @ShakiraMuhammed-lu3cr
      @ShakiraMuhammed-lu3cr 5 месяцев назад

      Ww muogope mungu ww kama kweli unamuogopa mungu njoo moi muhimbili alafufu uliza utaambiwa

  • @فيصلالبادي-ح1غ
    @فيصلالبادي-ح1غ 5 месяцев назад +5

    Jamani mnaotaka kumuona mtuhumiwa kwasasa au kumuona mgonjwa naomba tuwe na subra kutokana na hali ya huo mama alookotwa nayo haongei wala bado hajapata ufahamu vizuli hivyo basi taalifa zaidi.titazipata kwa daktari na yeye mwenyewe tutamuona inshallah hivyo tuzidi kumuombea dua afate nafuu na mtuhumiwa yuko muhimbili akiwa chini ya uangalizi wa askari hivyo tusubili na yeye apone tutamuona kesi ikifika mahakamani asanteni

  • @zalbak2738
    @zalbak2738 5 месяцев назад +2

    Mtangazaji unatuzungusha banaa mara kafa mara mnyamaaa

    • @ShakiraMuhammed-lu3cr
      @ShakiraMuhammed-lu3cr 5 месяцев назад

      Hata sisi tulijua kafa kumbe alizimia mbaka leo hajapata fahau

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 5 месяцев назад

    Kama hajafa Alhamdulilah sema tunahitj kujua kiundan zaid

  • @ShakiraMuhammed-lu3cr
    @ShakiraMuhammed-lu3cr 5 месяцев назад

    Apana mama alifata nguozake kwa mwanae alizituma akiwa kijijin ndoyakamkuta hayo

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 5 месяцев назад

    Nasubiri muendelezo inauma sana jaman😢😢😢😢😢😢

  • @alhajiiddi7250
    @alhajiiddi7250 5 месяцев назад +1

    Huyu Jamaa anatakiwa na yeye ANYONGWE mpaka kufa.

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du 5 месяцев назад +4

    Ivi daa kuna poli 😢😢

  • @MuniraAme-pb7pg
    @MuniraAme-pb7pg 5 месяцев назад

    Allah atustiri na wazazi wetu na watoto wetu😥so sad

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 5 месяцев назад +1

    Kama nikiki munapata dhambi

  • @NoelaJohn-p5d
    @NoelaJohn-p5d 5 месяцев назад +1

    Ndiy watot wenu wakium sasa mnayemtak wa ukoo we watot wakium hapan Mim jaman sasa hiv awajuw ndug wala mam wala bab pole mam mung akusaidiy upon harak

    • @HappyMwaigwisya
      @HappyMwaigwisya 5 месяцев назад

      Kwakweli hapana wa kiume duh. At least wa kike ingawa sometimes nao wanaweza sumbua ila Bora wa kike angalau

    • @madamehatibu9324
      @madamehatibu9324 5 месяцев назад

      Sasa kama Mungu ndo kakupa hao uwatupe?

  • @Devotha-h5m
    @Devotha-h5m 5 месяцев назад

    Asa apo aliekufa ni nani kati ya mama na mtoto

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 5 месяцев назад +1

    Mbona anayesimulia hana uwazi? Kama kuna kitu anaficha!

  • @Tutsi-b8s
    @Tutsi-b8s 5 месяцев назад

    Watu wengi wagumu sana kueleza matukio

  • @halimamohd5132
    @halimamohd5132 4 месяца назад

    Fatumalashi

  • @rogatussimon4876
    @rogatussimon4876 5 месяцев назад

    Kuzaa so kupata

  • @salmahanai
    @salmahanai 5 месяцев назад

    Kaka napenda sana utangazaji wako

  • @GraceMadondola
    @GraceMadondola 5 месяцев назад

    Kuna kitu kime jificha kipo nyuma ya pazia

  • @TedyMayunga
    @TedyMayunga 5 месяцев назад +1

    ijaman

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq 5 месяцев назад +1

    Hizi kiki tu kwann hatumuoni mgonjwa walamkija

  • @ElvisMulenga-j5w
    @ElvisMulenga-j5w 5 месяцев назад

    Hh

  • @lisahhans295
    @lisahhans295 5 месяцев назад

    nyie hawa wajinga hujawsshrukia kua ni mchezi wa kutafuta kiki mtandaoni??aliye washtukia hawa wajinga wa kutumalizia mb ahe hapa.

  • @MahraMohamed-ok3tx
    @MahraMohamed-ok3tx 5 месяцев назад

    Msifikili kila hbr bc niuwongo

  • @georgesamwelchacha7680
    @georgesamwelchacha7680 5 месяцев назад +7

    Mtangazaji punguza Mihadarati 😂😂😂

  • @sultanaswaleh7813
    @sultanaswaleh7813 5 месяцев назад +1

    SUBHANA-ALLAH !. MU'NGU !.. ATUSTIRI NA WATOTO WETU. YARAB ! 🙏🙏😭😭

  • @CalmGlassRose-oy3qv
    @CalmGlassRose-oy3qv 5 месяцев назад +2

    Mtangazaj asaiv unakonda alafu unapotez muonekano, ni kama kuna ulevi unatumia

  • @ElvisMulenga-j5w
    @ElvisMulenga-j5w 5 месяцев назад +1

    Hizi story za uwongo na kuwadanganya watu

  • @AnifaAssumane-d5m
    @AnifaAssumane-d5m Месяц назад

    Vp

  • @josephinejoseph3919
    @josephinejoseph3919 5 месяцев назад +8

    😮Duu Mungu amponye uyo mama

  • @FLORAHANSIBERTY
    @FLORAHANSIBERTY 5 месяцев назад

    Tumevamiwa hatujui tu,roho za ushetani yesu tuondolee,tumechoka, na matukio mbona zamani hakuna,tumemkasirisha Mungu wetu, Ndio maana anaacha matukio yatokee,turudini kwa Mungu 😭😭😭

  • @FLORAHANSIBERTY
    @FLORAHANSIBERTY 5 месяцев назад

    Jamani hii Tanzania kuna rahana gani? Inayotutesa nakuwaingia watu hata usiowazania kufanya mauaji, jamani ivi wenzangu hamjagundua haya,tuombeni sana iyo roho yaushetani itutoke,sio kawaida, matukio yamakuwa Mengi sana tofauti na nchi za wenzetu jirani zetu

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews 5 месяцев назад

    Mtangazaji maswali ovyoo

  • @ZainbAbubakary
    @ZainbAbubakary 5 месяцев назад

    Innalillah Wainna ilayah Rajiun sijui tunaelekea wapi

  • @ElvisMulenga-j5w
    @ElvisMulenga-j5w 5 месяцев назад

    Hawa ni waongo tena hawafai

  • @sikudhanimohammad7692
    @sikudhanimohammad7692 5 месяцев назад

    Ni uongo.

  • @solangebagal149
    @solangebagal149 5 месяцев назад

    Mungu ana kuona

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel 5 месяцев назад

    Sihaba kumbe hajafa

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 5 месяцев назад

    Mungu wangu tuhurumie 😢😢

  • @HamisiRamadhan-sw7xy
    @HamisiRamadhan-sw7xy 5 месяцев назад

  • @AshuuuBakari
    @AshuuuBakari 5 месяцев назад

    Heeeeh