MWANAMKE ALIYEPIGANA na JAMBAZI mwenye BASTOLA na KUFANIKIWA KUMUUA, ASIMULIA - '' NILIMPIGA JIWE''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 мар 2022
  • MWANAMKE ALIYEPIGANA na JAMBAZI mwenye BASTOLA na KUFANIKIWA KUMUUA, ASIMULIA - '' NILIMPIGA JIWE''
    Mke wa Mfanyabishara Castola Mnoge, Juliana Damiani, mkazi wa Kasulu mkoani Kigoma, amesimulia jinsi alivyopata ujasiri wa kumpiga na gongo jambazi na baadaye kushika jiwe kupambana na majambazi wengine ambao walivamia nyumbani kwao usiku kwa lengo la kuwaibia fedha.
    Tukio hilo la kutisha limetokea hivi karibuni saa chache mara baada ya mumewe kuwasili nyumbani akitokea kwenye biashara yake ya Mpesa akiwa na mauzo ya siku ndipo alipofanikiwa kumpiga na gongo kisha kupata msaada wa majirani wenye hasira kali ambao walimshambulia zaidi hadi kumuua huku majambazi wenzake wakifanikiwa kutoroka.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Комментарии • 975

  • @netlity5532
    @netlity5532 2 года назад +265

    Mapenzi ya kweli yamejidhihirisha kigoma! Tanga mnalipi la kusema hapa 🙌 sikiliza dakika ya 6:08 Hadi 6:16 halafu njoo unipe like hapa 😜

    • @wisperfect5320
      @wisperfect5320 2 года назад +2

      Tanga umalaya

    • @lovenessfrancis9947
      @lovenessfrancis9947 2 года назад +15

      Tanga hakuna jipya siku izi ata mapishi kwisha

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 2 года назад +9

      Aaaaah hivi tukio hili lingetokea Tanga mke angekimbia?

    • @netlity5532
      @netlity5532 2 года назад +6

      @@mashramadhani1989 hizo ..nge hatuwezi kuzijadili maana bado hazijatokea.... Watu wa kigoma Kwa sasa ndo wameshika usukani kwenye mapenzi ya kweli

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 2 года назад +2

      @@netlity5532 aaaaaaah hatari sana kigoma

  • @dorisurio8001
    @dorisurio8001 2 года назад +33

    Ni Mungu mwenyewe..hongera Sana mwanangu

  • @superwomanmwenyeheri.1367
    @superwomanmwenyeheri.1367 2 года назад +148

    Hii inaitwa self defense.kufa kupona Ni muhimu kujitetea.
    Nani amemkubali huyu binti Kama Mimi.Mungu awape ujasiri Wanawake wajue kujitetea Mungu.akiwa upande wao watashinda tuu.👆

  • @ayoublupande3007
    @ayoublupande3007 2 года назад +53

    Yn hiyo kaul imeniingia San yn kwamba sikuogopa bastola sabab nilijuwa kuwa mme wng asha kufa ckuwa na sabab ya kuishi dàaaaah 💪😭😢🤔

  • @aswileedson2978
    @aswileedson2978 2 года назад +38

    Wewe mwanaume una Deni la kumlinda na kumpa heshima mkeo. Anakupenda ameyatoa Maisha kwa ajili Yako, halafu kesho umzingue tutakunyooosha, Hongera mwanamke wa shoka.

  • @mecksaloon81
    @mecksaloon81 2 года назад +50

    Hongera kwa ujasiri wako dada mrembo, Kaka umepata mke mwema

  • @gracapk10
    @gracapk10 2 года назад +19

    nimekupenda Sana dada... dumu kumtanguliza Mungu kwa kila jambo.

  • @MilioneaTv
    @MilioneaTv 2 года назад +92

    Una sifa zote dada mrembo mcha mungu una mahaba ya dhati pia jasiri wadada wa mwendo kasi mjifunze hapa

    • @rahmambugi1950
      @rahmambugi1950 2 года назад

      ❤️

    • @fwarrymwebi6615
      @fwarrymwebi6615 Год назад +1

      Why am l crying alone??? Congratulations mama kwa kupigania mumeo maisha ya wawili ni safari

    • @pstelyxhadee904
      @pstelyxhadee904 7 месяцев назад

      @@fwarrymwebi6615 surely there is something to learn here

    • @user-uc8ei8kn3l
      @user-uc8ei8kn3l 2 месяца назад

      Mwendo kasi

    • @jeremiahissangya4333
      @jeremiahissangya4333 Месяц назад

      Mimi so unable zote hata Mimi mwezako. Sina

  • @musafrancis3584
    @musafrancis3584 2 года назад +135

    Saf Sana dada Ila wandishi mmekosea xn kumuonyesha sura hyu dd n hatar kwenye maisha yke kwa ss

    • @hamidmweusiii35
      @hamidmweusiii35 2 года назад +10

      Apo umesma kwl maan Hawa waandishi wambea sana Hawa unafkri hii clips wakiiyona majambaz na wanajua Kam mwenzao kauliwa tena alobabisha hyu dada na weshamuon heee siku znahesbika kw hy dada

    • @sulaimanomary6533
      @sulaimanomary6533 2 года назад +4

      Hii clip sio ile ya zamani kweli

    • @halimasulaiman3229
      @halimasulaiman3229 2 года назад +4

      Kweli kabisa wangeficha sura hatar kwake ila hongera kwa ujasir pia unamapedhi ya dhati kwa mumewako mungu awalinde katika ndoa yenu

    • @mcback4384
      @mcback4384 2 года назад +2

      Kwani unafikiri ndugu na marafiki wa aliyeuawa hawamjui huyu Dada?

    • @neema_mollel
      @neema_mollel 2 года назад

      Kabisa

  • @ndohoriomsacky445
    @ndohoriomsacky445 2 года назад +14

    Wanawake wanapiga sana ukikaa na mke wako vizuri atakutetea kila kona

  • @bengachuru1390
    @bengachuru1390 7 месяцев назад +5

    Hongera sana kwa huyu mama. Mapendo iko kati yenu. Mungu abariki nyumba yenu. Poleni kwa mashambulizi.

  • @ludanishirima5102
    @ludanishirima5102 Год назад +3

    Mungu akulinde Hongera sana Nimekupenda bure

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 2 года назад +9

    Hongera sana dada kwa kulipigania penzi lako Mungu akulinde

  • @witneywilly
    @witneywilly 2 года назад +26

    Eeh Mungu mlinde huyu dada... kwann mmemuonesha sura huyu dada jaman. Si salama kwake

    • @FridaMmari
      @FridaMmari 6 месяцев назад

      kama ilikuwa si salama si salama tuu MUNGU ndie anamlinda, unazani wanaomfanyia mtu ubaya hawamjuii, mpaka wanaenda kwao wanamjua

  • @pendopendojoshua7624
    @pendopendojoshua7624 2 года назад +18

    Kwa kweli Mungu kakutetea mwanamke jasiri.

  • @jokhamohammed976
    @jokhamohammed976 2 года назад +5

    Masha Allah bro umepata mke mwema Mungu ambariki na aendelee kumpa mapenzi na ujasili

  • @carolineondabu4539
    @carolineondabu4539 2 года назад +7

    Dada wacha mungu akulinde sana hapo ulitumia zaburi 23:1...mungu hawalinde siku zote

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 2 года назад +6

    Hongera dada kwa kupata ujasiri ambao umesaidia kumwokoa mume wako,Mungu akusimamie.

  • @tumainipeter458
    @tumainipeter458 2 года назад +9

    Wewe Mungu atakuwezesha Sana zaidi umepambana hakika ni jasiri piga supu mama

  • @SakinaShaban-kl8fx
    @SakinaShaban-kl8fx 4 месяца назад +2

    Mwenamke sehemu yyte anatakiwa awe jasri hata ktk bibilia wanawake tumefananishwa na jeshi ko ss ni majeshi wa kimwili na kiroho hongera sana dada yangu kwa mapambano mema

  • @muonambali
    @muonambali 2 года назад +15

    A definition of true love. MOLA awalinde na kuwaongoza katika maisha yenu ya ndoa, 💪🏿😍🙏🏿

  • @user-vd7wy1sj1f
    @user-vd7wy1sj1f 5 месяцев назад +4

    Mwanamke Bomba 😂❤❤❤

  • @tabithamulwa8714
    @tabithamulwa8714 Год назад +9

    Congrats my SIZ your are one in a million am proud of you with thank God for granting you life as a family be strong every thing happens for good for those who love the lord more grace in Jesus name

  • @sophiamarco3839
    @sophiamarco3839 2 года назад +5

    Safi sana Mungu azidi kuwalinda wote na familia yenu.

  • @queenkileo3698
    @queenkileo3698 2 года назад +18

    Palee pale......
    God is Goood!!!

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 2 года назад +24

    Maashaallah super women kama hawa ndio wanastair tuzo ,lkn pia nunuen silaha na nyinyi

  • @biberpriyer330
    @biberpriyer330 2 года назад +18

    Kwa mapenz haya bado unamkuta mwanaume anatoka nje ya ndoa dah 😭😭huyu mdada ni wa kuzeeka nae kwakweli ameonesha upendo wa Hali ya juu

    • @latifaomary
      @latifaomary Год назад

      Wanaume hawaridhikagi mbn ata wafanyiwe nn wanatoka nje tu

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 2 года назад +11

    True love keep it up

  • @rehemaissa5689
    @rehemaissa5689 Год назад +3

    Umempata mkwe mwenye mapenzi ya kweli Allah awajalie ktk maisha ya ndoa yenu

  • @lathifaa860
    @lathifaa860 2 года назад +4

    Mashaalah unaakili sana mwanamke zaidi ya mke

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 2 года назад +5

    Hongera dada mungu awabariki na mumeo uzidi kupata ujasiri

  • @kassimally5358
    @kassimally5358 2 года назад +6

    Mzuri harafu shujaa thx mamito

  • @stellahemilian9168
    @stellahemilian9168 2 года назад +3

    Bastola ilikua na risasi moja tu walipompiga mumewe ikaishia hapo.mungu ni mwema alikujaza ujasiri, hongera.

    • @skuhenga
      @skuhenga 2 года назад

      Hapana itakuwa ili jam..

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 Год назад +3

    Mungu Akusimamie kwa kila Jambo Jema na Akupe Afya njema.

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 Год назад +1

    Masha Allah Dada kwakujikita kutetea maixha ya mumeo.ww mwanaume umexhindaj sana mkeo ukija kumsaliti Mungu atakuadhibu

  • @zainaseleman3043
    @zainaseleman3043 8 месяцев назад +2

    Neema ya Mungu iko pamoja na wewe Dada Mungu akupe ujasiri zaid huu in mfano wa kuigwa

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed2945 2 года назад +3

    Congrats my sister, you made it...

  • @asnathmasegenya9890
    @asnathmasegenya9890 2 года назад +4

    Safi sana nimependa ujasiri wako

  • @mariamsamson2679
    @mariamsamson2679 2 года назад +2

    Hongera malkia wa nguvu,ni kwa neema ya Mungu ninyikuwa hai mpate kuyasimlia matendo makuu ya Mungu.

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 2 года назад +14

    Haya ndio mapenzi ya dhati sasa,,,, huyu ndie mwanamke wa shoka hakukata tamaa wala uoga wa kukimbia tukio ,, Allah amponye huyo mume wake arejee km awali na awadumishe kwenye upendo wao hadi wazikane

  • @carolinenjiro41
    @carolinenjiro41 2 года назад +8

    True love, hongera Sana mwanamke wa nguvu🙏🙏🙏🙏

  • @salmasaid1521
    @salmasaid1521 Год назад +1

    Hongera sana dada kwa ujasiri uliopigania mali yenu hlf kesho na kesho mume umuone mkeo hafai mungu awape upendo zaidi ktk maisha yenu

  • @user-hm6hy6rr1h
    @user-hm6hy6rr1h Месяц назад

    Mashaallah dada mung akubarik kua na ujasir huo huo

  • @agnesmagehema576
    @agnesmagehema576 2 года назад +6

    Hakika wewe ni mwanamke Jasiri Mungu akulinde na kukupigania na Mumeo akupende Daima

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 2 года назад +6

    Nimekupenda dada unaalili sana

  • @catherinemutasi8340
    @catherinemutasi8340 Год назад +1

    Mshukuru mungu sana AMEN BARIKIWA

  • @eliaspeter1258
    @eliaspeter1258 2 года назад +34

    Huyu Mwanamke ni zaidi ya Mke

    • @brightermwailolo3409
      @brightermwailolo3409 2 года назад

      Kwa kweli hata ndugu anaweza kuacha ..anakupenda wa dhati na Kumpenda Mungu

    • @rockcitynative9985
      @rockcitynative9985 2 года назад

      Huyo ni Simba jike hatari kuliko hata dume

    • @gloriaaugustino8031
      @gloriaaugustino8031 2 года назад

      Si mnasema hakuna mapenzi siku hizi

    • @eng8251
      @eng8251 Год назад

      Huyu sio kama wale wavaa vikuku miguuni

  • @lordofmercy9997
    @lordofmercy9997 Год назад +14

    There is power in the name of the lord

  • @user-zb5kc4rv7w
    @user-zb5kc4rv7w 3 месяца назад

    Dah! Mwanamke jasili sana mungu awatie nguvu mdum ktk ndoa yenu na mshinde zaidi na zaid. Kigoma oyeeeeee❤❤❤❤

  • @jacobomhagama6563
    @jacobomhagama6563 Год назад +1

    ,mungu
    Aendelee.kumpa.ujasili

  • @Betawomen
    @Betawomen Год назад +3

    a very strong woman❤❤

  • @aminakadala7676
    @aminakadala7676 2 года назад +15

    Kosa kubwa sana kumuonesha sura huyu dada tena mnooo

  • @lewinersylivester1984
    @lewinersylivester1984 2 года назад +2

    Wewe dada Mungu akubariki sana

  • @HeppyRafaeli
    @HeppyRafaeli 18 дней назад

    Safi sana mdg wngu. Maana haya manyamela! Yanafaa kuuwawa

  • @vitalisonyango6708
    @vitalisonyango6708 2 года назад +3

    God bless you dear ❤️

  • @crazyallien8335
    @crazyallien8335 2 года назад +20

    Mungu ni mwema 🙏🙏🙏

  • @herbethlukogela7657
    @herbethlukogela7657 Месяц назад

    Touching.......

  • @gwamagobejosephat4376
    @gwamagobejosephat4376 2 года назад +1

    Jamani tunaunga mkono kumshukuru Mungu pekee aliyewatetea.Ushauri Mtunzane kltk maisha yenu huku mkikoseana msamaheane kwa kukumbuka tukio hilo(Kitunze Kikutunze)

  • @rahemaheri1615
    @rahemaheri1615 2 года назад +41

    Palepale imekuwa nyingi but hongera Sana mwanamkee jasir na unapendoo Sana Kwa mumeo

  • @assankwale4434
    @assankwale4434 2 года назад +3

    Ubarikiwe mama mwema

  • @mohamnedsalum2150
    @mohamnedsalum2150 2 года назад +2

    Brother hongera umepata mke jasiri

  • @tulisamwel41
    @tulisamwel41 2 года назад

    Hongera sana dada. Mungu ni mwema.

  • @veronicanabina3380
    @veronicanabina3380 2 года назад +3

    Hongera dada kwa ujari Mungu Ni mwema

    • @sophiamakani6133
      @sophiamakani6133 2 года назад

      Wooow mungu akupe maisha marefu na familia yko

  • @quentinsylvia3877
    @quentinsylvia3877 2 года назад +19

    juhudi zako ulizionyesha ulijitolea Kwa moyo mmoja na kupambana Kwa ajili ya maisha ya mumeo dada mungu aendelee kupambania umeonyesha moyo na mapenzi ya kweli

  • @user-ju5bu1ph8s
    @user-ju5bu1ph8s 28 дней назад

    Hongera sana mwanangu kwa kuthamini kiapo cha ndoa

  • @hamisihemedi1099
    @hamisihemedi1099 Год назад

    Asante.sana.mungu.azidi.kukupa
    Ujasili

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 2 года назад +4

    Hongera mama, nyie ndio wanawake wa kuoa sio wale wafuga kucha na wavaa mawigi, maslay queen wa mjini haya mambo hamuwezi

  • @fulgencendyamukama742
    @fulgencendyamukama742 2 года назад +3

    Amina, ubarikiwe kwa kutoa msaada mkubwa kwa mmeo.

  • @zainabuibrahim4766
    @zainabuibrahim4766 Год назад

    Alhamdulillah.ongera sana

  • @hlimaabdullah9565
    @hlimaabdullah9565 2 года назад +1

    Amina dada ubarikiwe

  • @sagudamagerela3414
    @sagudamagerela3414 2 года назад +3

    Dada bastola haikuwa na risasi.Mungu akuepushe na majambazi

  • @abelmirwatu544
    @abelmirwatu544 2 года назад +19

    Huyu mwanamke ndiyo wanaitwaga wife materials, ana package zote za kuwa mke wa kuolewa, ni mwili mmoja kweli kwa mumewe.

  • @zaisomji3897
    @zaisomji3897 2 года назад +2

    We kaka kama utamsaliti uyu dada mungu atakupa ukumu nzito maana wanaume kama mapaka amliziki

  • @ayoublupande3007
    @ayoublupande3007 2 года назад +2

    Dàaaaah huyu Dada mzuri na anamapenzi halisi yaso changanyika na unafiki wowote yn me naomba Rais ampe nafasi jeshini huyu nimwanajeshi komandoo kabisa yn 💪💪

  • @slimtaley1759
    @slimtaley1759 2 года назад +6

    Hongera Sana Sister M/Mungu akubariki katika Maisha yako unastahili sifa na Kuwa Mfano Bora kati ya wenye Mifano Bora Tanzania Hongera Sana .

    • @jumashausi8844
      @jumashausi8844 Год назад

      Wanawake wa hivi kwenye hii dunia kabaki huyo mdada 2 ukimpata mwingine niite mbwa Niko pale

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 2 года назад +39

    Ila waandishi nyie mnafanya kosa kumtowa Sura yake Sababu hao majambasi ni wanaadam na mkumbuke mwenzao amefariki huyo aliefariki japo jambazi mkumbuke ana ndugu ana wazazi ana hao watu wake walioshirikiana nae hiyo kazi wanaweza kumvizia huyo Binti na kulipa kisasi angalieni msije mkawaponza hao watu

  • @user-hf2jo4hg8h
    @user-hf2jo4hg8h 7 месяцев назад +1

    Very true it's the Grace of God 🙏

  • @zulfaissa7814
    @zulfaissa7814 2 года назад

    Hongera sn dd kwakupambana Allah akuzidishie subra yadhat moyon mwako

  • @highvoltages4169
    @highvoltages4169 2 года назад +64

    Faida ya kuweka mawe nje ya nyumba yako,
    Jamani tuwekeni mawe ,yatakuja kutusaidia

  • @scholarmawala1403
    @scholarmawala1403 2 года назад +4

    Big up malkia wa Nguvu 👍

  • @justinejohn7724
    @justinejohn7724 2 года назад +1

    Hongera sana dada. Na Mungu aendelee kuwatunza na kuwalinda.

  • @AmeenaTanzania
    @AmeenaTanzania 5 месяцев назад

    Ongera sana dada unamoyo wa kipekee sana 🎉🎉🎉mungu awalinde muendelee kuwa pamoja

  • @abdallajuma6262
    @abdallajuma6262 2 года назад +3

    Good job safi mm mungu awalinde na jengine kuwa tayari Kwa kibaya chochote dhidi ya mwenzako mbambania Hadi tone la mwisho

  • @robbynyamriba251
    @robbynyamriba251 2 года назад +5

    Mwambie Mungu asante maana bila ivyo ingekuwa story tofauti

  • @user-ne2gv8qo2s
    @user-ne2gv8qo2s 3 месяца назад

    Hongera mama Kwa ujasiri huo,endelea kumtegemea Mungu.

  • @user-qr9gn7xg8m
    @user-qr9gn7xg8m 8 месяцев назад

    Amina Mungu akubariki

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 2 года назад +14

    Unaakili sana dada

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 2 года назад +11

    Allah kareem Azidi kuwalinda Inshaallah

  • @esterjuma8037
    @esterjuma8037 2 года назад

    Mungu mwema sana hongera Kwa ujasili

  • @hadijamkelenga2274
    @hadijamkelenga2274 2 года назад +1

    Yaani palepale mimi nimekuelewa💪

  • @ashamasoud969
    @ashamasoud969 2 года назад +5

    Hivyo mnavyoonyesha sehemu yake si mtaletea Hatari kwa waliobakia hao majambazi

  • @stephenkahindi8678
    @stephenkahindi8678 Год назад +6

    Maneno machache yenye nguvu aliyoyasimulia huyu dada ni kwamba, "kama mume wangu amekufa, mimi na thamani gani "😳 ak dada una moyo mkuu kisha usio kifani.

  • @jacksonmsagat
    @jacksonmsagat Год назад

    Pole Sana dada

  • @user-lz7sb3we7z
    @user-lz7sb3we7z 7 месяцев назад

    Pole sana dada endelea kumtumainia Mungu na kumshukuru Kwa Kila jambo Ameni

  • @ojasoojaso9479
    @ojasoojaso9479 2 года назад +11

    Adriana line ikifika ukomo fulani kuna nguvu hata mtoto mdogo anaamua kufa au kupona.
    Hali hii ikitokea binadamu anakuwa kama mnyama aliyejehiwa , tena uoga wala hofu hupotea, na ujasiri usionekana katika maisha ya kawaida hujitokeza.
    Point of no return.

  • @brightermwailolo3409
    @brightermwailolo3409 2 года назад +8

    Avalishwe gwanda tunahitaji wamama Kama Hawa. Apelekwe kozi aingie police...kifupi ni jasili

  • @agnesyjoseph3906
    @agnesyjoseph3906 Год назад +1

    Hongera kwa moyo mkuu, utukufu kwa Mungu

  • @florachogo243
    @florachogo243 Год назад

    Hongera sana

  • @naturalhomemadeproduct3628
    @naturalhomemadeproduct3628 2 года назад +5

    Dada ww ni jasiri sanaa

  • @sagudamagerela3414
    @sagudamagerela3414 2 года назад +6

    Majirani wa kigoma mnachelewa Sana kufika kwenye matukio