DUH! MUME Amkana MKE WAKE MBELE ya MAKONDA, MKE AANGUA KILIO "SIKO TAYARI KUISHI NA HUYU MWANAMKE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 май 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 520

  • @user-lm5fu5tu5z
    @user-lm5fu5tu5z 16 дней назад +12

    Daaah wanaume sisi huyu mama anaonekana anampenda sana mumewe sema hilo jamaa ni lilevi na kiburi sana
    Mama wa watu mzuri sana huyo na anaheshima nzuri tu mungu fundi sana watu wa hovyo anawapa wanawake wazuri sana na wenye upendo wa kweli sisi ambao tumetulia zetu ndio tunapata mijanamke ya hovyo.

    • @user-ii6gs2jg4g
      @user-ii6gs2jg4g 12 дней назад +1

      Tena minyang'au ya kutosha

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 12 дней назад +2

      Wanaume wa Arsh wanakiburi mnoo acha kabisa yan ukiwa na mwanaume wa arsh ujipange

    • @NehemiaLuwela-ld9zn
      @NehemiaLuwela-ld9zn 9 дней назад +1

      Uhakika

    • @user-xh3qf9xv9v
      @user-xh3qf9xv9v 6 дней назад +1

      Kabisa mdogo wangu ,, Mwanamke mzuri sana ila nimegundua huyu mwamba anasikiliza dada zake,na dada zake wanawivu na wifi Yao ,kwa uzuri wanaona kama mwamba alivyokuwa jela ,Kuna fisi alikuwa anamla huyu demu,na mwamba dada zake wanaviela wanamdanganya mwamba ukimuacha huyu mwanamke tutakusaidia ,mwamba dhaifu, wanawake wengi wanaroho mbaya sana hapa duniani,Mungu atampa maisha mazuri huyu demu na mtoto wake

    • @eslammurad540
      @eslammurad540 5 дней назад +1

      Kabisa makonda akigombea urais kura yangu yake

  • @mossesmichaelnzowa3378
    @mossesmichaelnzowa3378 Месяц назад +21

    Hii nimeipenda imekaa vizuri sana na Mh. Makonda MUNGU akuinue.

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 Месяц назад +36

    Na alaaaniwe yeyote anaemchukia makonda

  • @AbuuSudais-wf6ns
    @AbuuSudais-wf6ns Месяц назад +51

    Huyu kajifunza kitu Kwa magufuli, makonda for president

  • @nathalieswedy3653
    @nathalieswedy3653 Месяц назад +40

    I wish siku moja uwe rais my kaka

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Месяц назад +73

    Aisee huyu Mwamba kwakweli Mungu amlinde, Mh Makonda anakila sababu za kupendwa na wananchi. Daaaah mama yetu akuongezee cheo wallah

    • @judiajudia3796
      @judiajudia3796 Месяц назад +2

      baba kayatimba aswaaaah

    • @user-we3mp7be4c
      @user-we3mp7be4c Месяц назад +2

      Afisa ustawi hayupo huyo arudi darasani

    • @zacharialughano3541
      @zacharialughano3541 Месяц назад

      Mmh😢😂😢😂

    • @user-my4dr5oq6v
      @user-my4dr5oq6v Месяц назад

      Cjaona chochote

    • @user-xk7vy4gb6g
      @user-xk7vy4gb6g Месяц назад

      @@user-my4dr5oq6v utaonaje na ww una wivu wa kichawi, fitina nyingi, husda kwa sana. Wale wenye husda mtabaki hivyo hivyo mnampango na shetani

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija Месяц назад +13

    Pole saana mwanamke mwenzangu mitihani tumeumbiwa sisi Mungu akufanyie wepesi kipenzi 😢😢

  • @user-jz6wu1ed1h
    @user-jz6wu1ed1h Месяц назад +22

    Makonda wewe ni mtumishi wa Mungu, sifa na utukufu zikurudie wew Mungu wetu

  • @user-vt4vd5rh8u
    @user-vt4vd5rh8u Месяц назад +15

    Natamani uyu baba aje kuwa rais wa nchi jamani ni mwamuzi mzuri sana Mungu akulinde mheshimiwa

  • @vickytango5591
    @vickytango5591 Месяц назад +11

    Mhe. MAKONDA wenye roho km hiyo ni wachache mno umewekeza duniani na mbinguni Mungu awe nawe jembe la kazi mema yakufuate popote uwe miaka mingi yenye amani teeeeeeeeeeele mnakupenda sana kakangu mzuri

  • @zabibuhazary6986
    @zabibuhazary6986 Месяц назад +7

    Masha'Allah Mheshimiwa Makonda maua yako huna haya❤❤❤

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 Месяц назад +31

    Makonda nakupenda kaka barikiwa mnoooo YESU NI MKUU SANA ANAKUPIGANIA SANA

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de Месяц назад +30

    Dume Zima limeona aibu sasa mdada wa watu kapata lak 8 kweli Mwenyez Mungu akikupa kilema hakunyimi mwendo

  • @issambarak8931
    @issambarak8931 Месяц назад +8

    Anaemchukia makonda alaamiwe jamani, makonda mungu akulinde na hasadi zote

  • @user-pq2sq7ov8w
    @user-pq2sq7ov8w Месяц назад +6

    Huwa natafuta kibaya Cha nakonda sikion hata kidogo lakn watu wengne hawampendi najiuliza wanachomchukia kakangu Kaka Mungu anakupenda fanya kazi Kaka tuko nyuma yako tunakuombea

  • @AmaniJoseph-ij2id
    @AmaniJoseph-ij2id Месяц назад +11

    AMINI NA KUMBUKA MANENO YANGU SIKU MOJA UTAKUJA KUWA RAIS WA NCHI HII AMEN

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 Месяц назад +32

    Makonda wewe ni mtumishi wa Mungu aliye HAI kweli kweli

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 Месяц назад +7

    Mwenyez mungu akulinde makonda mwenyezi mungu atakulinda wewe na familia yako

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 Месяц назад +15

    Makonda umeongea point mtoto atakiwi kujua mambo ya wazazi wake

  • @RuthRobert-vb8vz
    @RuthRobert-vb8vz Месяц назад +10

    Makonda umepewa kibari na mungu hii ndiyi ngao yako lsaya 54_17

  • @AbshirMubaarack
    @AbshirMubaarack Месяц назад +17

    Mheshimiwa Makonda nafurahia sana jnc uongozi wako ulivyo kwa kuckiliza kero za wananchi na kujarb kuzitatua.Ila naomba sn kiongozi, wananchi hawa waekewe ulinzi, maan kuna watu hawapendi kufichuliwa mabaya yao,wataweka kisasii daimaa.

  • @filbertdamiani101
    @filbertdamiani101 Месяц назад +29

    Kwanini watu wengine wanamnyooshea kidole makonda, wakati huyu jamaa ni mpenda haki!

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we Месяц назад +1

      Wajinga na wadhurumaji Tu,

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow Месяц назад +2

      Huwezi kua mzur wote huwez kua mbaya wote

    • @wazinzatv3152
      @wazinzatv3152 Месяц назад

      Vizuri ndo hupigwa vita

    • @ntangiregemfuruki5478
      @ntangiregemfuruki5478 Месяц назад

      Love you rc❤
      Shida yako.kauli yako mfano kusema . Weee kitanzania nitusi. Wewe nimwamba sana.kasoro nihiyo tu.tunampenda mnoo.lakini turekebishe kauli tu.au Tamsin lake tu.love yoo makonda.hujui tuna kubiliv mno

  • @VolvoMwamakula-ci2we
    @VolvoMwamakula-ci2we Месяц назад +12

    Makonda uyo jamaa hamna kitu mchunguzeni iyo kz kapewa na mjomba yake hana taaluma yoyote

    • @rabsonchisumo6640
      @rabsonchisumo6640 Месяц назад +1

      Achunguzwe nini Sheria aijaweka wazi nenda kule dawati la jinsia uone kwa nini saiz wanawake awakimbilii huko maelezo anaweza kuambulia elfu hamsini kwa mwezi mzima kama hauna kipatoa sahihi kwa kila siku elewa sawa

    • @mcutanorsonvanwillson2991
      @mcutanorsonvanwillson2991 17 дней назад

      Sasa ndo angetoa maelezo hayo,,anajikanyaga sana anashindwa kuongea kama kiongozi​@@rabsonchisumo6640

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 Месяц назад +19

    Wanawake wa arusha wazurii wanaume wao km chokoraa khaa

    • @idinado-wk3lx
      @idinado-wk3lx Месяц назад +3

      Kumbe nawe umeona sijuwi tatizo nini 😂😂😂😂😂😂😂

    • @zanishirima9257
      @zanishirima9257 Месяц назад +6

      Watu wanajiita wadudu 😅 lazima waonekane kidudu dudu

    • @joyce55727
      @joyce55727 Месяц назад +3

      Mimi kidogo niseme ivo 😁 tena wanapendwa sana na wasukuma

    • @user-ne5cg4vv1h
      @user-ne5cg4vv1h Месяц назад +3

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂Sina mbavu

    • @joycemkeka3769
      @joycemkeka3769 Месяц назад +3

      🤣🤣🤣🤣🤣kwakweli nimecheka kwa sauti eti wanajiita wadudu

  • @LailaLaila-kg2qd
    @LailaLaila-kg2qd Месяц назад +5

    Mashaallah kakaangu makonda Mungu akubariki sana ❤❤❤❤❤

  • @user-ve3wu5jn1l
    @user-ve3wu5jn1l 26 дней назад +2

    Mheshimiwa Makonda pole sana una kazi kubwa sana . Pole sana Mwenyezi Mungu akusimamie

  • @user-ie5on4xy9o
    @user-ie5on4xy9o Месяц назад +8

    Kaka Makonda nakupenda sana Mungu akutunze

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5 Месяц назад +2

    Duh!!!!! Mh Makonda wewe ni wa mungu tuuu Rais wangu mungu akupe Afya njema na akubariki sana Insha Allah

  • @JumaSiajaly-vt2un
    @JumaSiajaly-vt2un Месяц назад +23

    Makonda akiwa raisi atakua km magufuli piga kazi baba namuona kua raisi wa miaka ijayo

  • @user-pf2cf4hp6w
    @user-pf2cf4hp6w Месяц назад +9

    Sema hamjui tuu uwezi jua jamaa anapitia nn siku wanaume tukisema tutoke tueleze mambo tunayopitia kwa wake zetuu watu watatukataaa

    • @user-dq9lf3vp8m
      @user-dq9lf3vp8m Месяц назад +1

      Hiyo kweli kabisa, jama kaongee alipopata matatizo mwanamke alimkimbia

    • @user-ir5mc7vk8b
      @user-ir5mc7vk8b Месяц назад

      Umejuaje wanaume wanisili Sana

    • @davidsika5292
      @davidsika5292 Месяц назад

      Huwezi kushindana na mwanamke akijitetea hasa akiwa public

    • @HadjiMbugi
      @HadjiMbugi Месяц назад

      Kabisa aiseeh ukiona mwanaume amefika mwisho Kuna jambo

    • @wamburasungura6812
      @wamburasungura6812 19 дней назад

      @@davidsika5292 basi achana na mkeo tunza mtoto wako kaka

  • @fatmaabeid9668
    @fatmaabeid9668 Месяц назад +17

    Mungu amlinde makonda 👏👏👏👏

  • @AsteriaLushanga
    @AsteriaLushanga Месяц назад +4

    Mungu akutunze Makonda uwe na roho ya hekima zaidi

  • @ValenceKazoba
    @ValenceKazoba Месяц назад +5

    Mungu akulinde Makonda pia pambana sana

  • @user-gp2ue2ny6n
    @user-gp2ue2ny6n Месяц назад +8

    Makonda the best leader🎉

  • @rosebeniel
    @rosebeniel Месяц назад +8

    Mungu akubariki baba

  • @aryanamendes8700
    @aryanamendes8700 Месяц назад +9

    Makonda kwenye hili na pongeza mno ubarikiwe mara mbili ya hili

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 Месяц назад +11

    Nani kaskia AJIRA ZA KUPEANA HIZO

  • @emanueldavid1241
    @emanueldavid1241 2 дня назад

    Mungu akubariki sana baba kwa kazi hii nakufuata nikiwa Congo RDC,,,Pia Mungu akulinde mukuu wamukuwa

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Месяц назад +6

    Ila Mh ,Makonda kazi yako ni ngumu Sana ,Mungu akujalie akuinulie waombaji wa kukubebe kwenye maombi.

  • @sawegasper9670
    @sawegasper9670 Месяц назад +6

    High level of incompetence,what a shame😢

  • @user-eu5ly2sk8w
    @user-eu5ly2sk8w Месяц назад +1

    Uko vizuri muheshimiwa mungu akulinde na akupe kibali cha kuwa rais wa tanzania.

  • @VERONICALAIZER-vt3ui
    @VERONICALAIZER-vt3ui 2 дня назад

    Huyu dada anaonekana ana hekima sana Mungu aiongeze hiyo hela upate maisha

  • @ahmadseaman3487
    @ahmadseaman3487 Месяц назад

    thanks so much

  • @BeatriceAdolf-gj6lr
    @BeatriceAdolf-gj6lr Месяц назад +12

    Hakuna ustawi wa jamii hapo,,wa mchongoo,,halijui kitu

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 Месяц назад +10

    Arusha watu wanapeana kazi kindugu,Rushwa zimetawala Doh

  • @user-ui4qg2kl4f
    @user-ui4qg2kl4f Месяц назад +8

    Huyo afisa ustawi yupo sawa, ila ni presha, ya kuitwa na mkuu wa mkoa.

    • @wemakingdaily1462
      @wemakingdaily1462 Месяц назад

      Sipenda alivyomdhalilisha

    • @AngelRimoy
      @AngelRimoy Месяц назад +1

      Kutokujiamini 2

    • @rabsonchisumo6640
      @rabsonchisumo6640 Месяц назад

      Umeona eeh Sheria aijasema ila inaangalia kipato chako kwa unaingizaje kama hauna kazi ni ungaunga kina cha chini huwa wanakadiria elfu 50

    • @josephinelauwo4947
      @josephinelauwo4947 Месяц назад

      Makonda hajabisha ila ametaka ajibu kisomi kwamba kifungu flan no.fln kwa mujib wa sheria ndio aseme

  • @MankaAlly
    @MankaAlly Месяц назад +1

    Aisee mpaka machozi yamenitoka Mungu akubariki sana muheshimiwa Makonda

  • @faizaabdallah7570
    @faizaabdallah7570 18 дней назад

    Alhamdullilah watching from Uganda ❤❤❤❤❤

  • @user-ly9us4db3m
    @user-ly9us4db3m Месяц назад +5

    Uyo sheria hajui kabisa aise yaani baba kama hataki kuishi na mke wake na wameaza watoto au mtoto haijalishi niwangap baba lazima awajibike kwakila kitu mbaka mtoto atakapo jitambua au akifikisha umli wa miaka 18

  • @Erickkweka05
    @Erickkweka05 18 дней назад

    Well!you are a leader but also an educator

  • @happyhappy-ym2su
    @happyhappy-ym2su Месяц назад +1

    Mpaka nimetoa machozi...😢 dada Mungu akutie nguvu sana katika hatua zako za maisha. Najua ni kwa jinsi gani umepata maumivu kukataliwa mbele ya haraiki. Ila niamini mimi siku zote kisasi ni cha Mungu, huyu baba kufanikiwa kwenye kazi zake asahau kabisa mana hapo amepanda laana. Hakuna chozi la mwanamke ambalo linadondoka bure.
    MHE Makonda: Mungu akubariki mnoooo naiona roho ya magufuli ndani yako. Utunzwe na kulindwa na Mungu siku zote za maisha yako🙏

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Месяц назад +9

    😂😂😂huyu jamaa wa ustawi ni shida

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt Месяц назад +5

    Allah ajaalie mtende haki kwa uwezo wa allah ins

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia7940 Месяц назад

    Amazing leadership on movement

  • @SophiaMwambalaswa
    @SophiaMwambalaswa Месяц назад +1

    Makonda wewe hunaga baya bro mungu akupe umri mrefu maisha marefu kaka chapa kazi hayo ndo ulicho itiwa maua yako nakupa

  • @saidmwangasama
    @saidmwangasama 21 день назад

    Mm Huwa nikitazama p makonda Huwa nalia sana jisi anavyo juwa kufaliji nakuombea maisha marefu ❤

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 Месяц назад

    God bless you sir ❤

  • @ridhiwankanjoe2078
    @ridhiwankanjoe2078 Месяц назад +4

    Hahahahahahahaha kumbea arusha tunaoa kwa soda 😂😂😂😂😂😂

  • @familytalks1
    @familytalks1 Месяц назад +4

    Point mtoto atakiwi kuambiwa mabaya ma wazazi. mama pambana mtaji ndo huo sasa.

  • @lubavacastory1831
    @lubavacastory1831 Месяц назад +2

    Ukiona mwanamke kamuita mwanaume aliyemzalisha Jina tofauti na Jina lake au baba flani au Mme wangu...Jua apo tatizo lipo Kwa mwanamke....Mwanamke anayempenda mwanaume aliyemzalisha hawezi kumuita ..(HUYU BABA)

    • @Marlin-pb1ru
      @Marlin-pb1ru 17 дней назад +1

      We huna akili nini hujasikia huyo shetani na yeye alivyosema mimi siwezi kuishi na huyu mwanamke si bora haya yeye kasema baba...unajua maumivu ya kutelekezwa na mtoto wewe wanaume wakiachiwa watoto wanapiga kelele mpak mbingu zinatingishika na sisi mjue sio mawe tuna mioyo na tunaumia pia huwezi kumpenda mtu aliyekuacha na mtoto na ndugu zake wanakufukuza nyumbani huwezi broo put your self in her shoes ndo uongee unless na wewe ni shetani kama yeye...

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 Месяц назад +8

    Mmoja katia ajira yakupeana hahahahahahahaa watu

  • @arya-star53
    @arya-star53 12 дней назад

    Yani sijui nisemaje,nakupenda sana Kaka makonda Mungu akujaalie umri mrefu ili uendelee kuyatimiza yaliyomo makusudi yake kwa wanatanzania

  • @user-my5nb9jn2d
    @user-my5nb9jn2d Месяц назад +3

    Mwamba hajasikilizwa.. Ndivyo wanaume tunavyoangamia mbele ya macho ya Watu.. Ameshutumiwa moja kwa moja bila kujitetea. 😢

    • @user-lm5fu5tu5z
      @user-lm5fu5tu5z 16 дней назад

      Anitetee na nini wakati amefanya upumbavu mkubwa hv huyo mwanamke unavyomuona anaweza kuwa tofauti na anachokisema.

    • @user-jz3hk5ry4o
      @user-jz3hk5ry4o 10 дней назад

      Sure iyo isnhu haina balance mwanaume imekandamizwa

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Месяц назад +4

    Kama mtu huna elimu na kitu, achana nacho ustuletee aibu mkutanoni! Unakaa tu unatulia!

  • @RuthMureithi
    @RuthMureithi 13 дней назад

    Aki Mheshimiwa njoo Kenya utuongoze jinsi hii.
    I wish we has such leaders here in Kenya! 🙏

  • @faharikhamisi3091
    @faharikhamisi3091 Месяц назад +1

    Bado kwangu naomba mungu akupe nafasi kubwa zaidi hii ndogo,mama samia angalia hili jembe

  • @getrudajustine
    @getrudajustine 18 дней назад

    MuNGu Mwenyezi akulinde kaka kwa utendaji wako wa kazi kwa wananchi.Nakuombe heri na baraka tele juu yako,Roho Mtakatifu akuzidishie Hekima uendelee kusaidia wananchi ambao ni Taifa la MuNGu.BARIKIWA KATIKA KAZI ZAKO ZOTE UZIFANYAZO.

  • @Dinadin-nx6fo
    @Dinadin-nx6fo 3 часа назад

    👏👏👏👏👏 kazi nzuri

  • @user-pm7pj6zi6q
    @user-pm7pj6zi6q Месяц назад

    Safi sana Mweshimiwa makonda Mungu mpe afiya njema

  • @hamisisamilo
    @hamisisamilo 6 дней назад

    Mungu ampe maisha malefu makonda

  • @mscantraah8210
    @mscantraah8210 Месяц назад

    Yes very good huyo ndio anajuwa haki ya raiya very good god bless you 🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻💪🏻💪🏻 na kuombea sana

  • @RuthRobert-vb8vz
    @RuthRobert-vb8vz Месяц назад +4

    Makonda umepewa kibari na Mungu lsaya 54 -1

  • @hirdahaule-qe8ot
    @hirdahaule-qe8ot 6 дней назад

    Ubarikiwe kumsaidia huyu mam

  • @manasecharles894
    @manasecharles894 Месяц назад +1

    Ee Mungu tusaidie siku moja Makonda aje kuwa Rais wetu🙏🙏🙏🙏

  • @waviwangotv1924
    @waviwangotv1924 19 дней назад +1

    Aisee Hakuna Afisa maendeleo ya Jamii hapa..Yani Bure kabisa..Na hawa ukiwakuta ofisin ndio wanapindisha pindisha tu Sheria

  • @GraceSambula
    @GraceSambula Месяц назад

    Mungu Akulinde na kuongezea baraka

  • @CabdiraxmanDalmar-iv5ft
    @CabdiraxmanDalmar-iv5ft Месяц назад

    Makonda mungu akubariki sana ndugu yangu wewe una nia nzuri na watu wako na nchi yako god bless you Leo ningekuwa dar es Salam wlhi nigekuja arusha ku kupongeza lkni niko Somalia

  • @geraldngumbi8415
    @geraldngumbi8415 28 дней назад

    Mungu aendelee kukuongoza ili watanzania woooote wakiri kuwa ni Mungu tu ndiye aliye kusimika kuwa ķiongozi wawatanzania kwa uweza wa Jina la Yesu amen.

  • @allykomsonde7813
    @allykomsonde7813 Месяц назад +4

    Huyu waustawi wa jamii amesoma lakini hajasomea kazi anayoifanya nakubwa zaidi shahiri shahiri haipendi hiikazi anafanya kwakua kunamchirizi wa pesa

    • @othumanlorenzo260
      @othumanlorenzo260 Месяц назад

      hapana yeye hilo sio eneo lake hilo ni jambo la mahakama yeye eneo lake lingine kabisa haoa basi tu ana mabana kkwa sababu jamaa ni mstaarab

  • @user-ok2yw7cq7k
    @user-ok2yw7cq7k 10 дней назад

    Mungu akupe maisha malefu,,,hakika makufuli alifua chuma.....

  • @AMINASAIDI-mx7rs
    @AMINASAIDI-mx7rs Месяц назад

    Pole dada

  • @AliceLaizer
    @AliceLaizer 21 день назад

    Hii mhe makonda uko vizur mungu akulinde wakomeshe hao wanaume wanao zalisha watot wawatu

  • @user-jl5zh6qi2w
    @user-jl5zh6qi2w Месяц назад +4

    Atakae mtukana makonda tutakunyosha natutakushughulikia

  • @user-dl8rd8jr1o
    @user-dl8rd8jr1o Месяц назад

    Yaan mungu akulind kwa kazi nzur maan wanaume awataki kelea watt wao

  • @mwanduelizabeth2282
    @mwanduelizabeth2282 Месяц назад

    Mungu akulinde Makonda akukinge na kila Hila za adui na akukinge na Maadui waliopanga kukuangusha.

  • @isayamwanjoka3958
    @isayamwanjoka3958 18 дней назад

    In the Mighty name of Jesus After 20 years Makonda become a President of Tanzania....

  • @WardaKangezi
    @WardaKangezi Месяц назад +1

    Safi sana kaka ungekua rais wanyonge tungepona

  • @GraceMbungu-hn7oi
    @GraceMbungu-hn7oi 14 дней назад

    Mmmmm!!! Jamani

  • @jacqueli18
    @jacqueli18 7 дней назад

    Mapenzi yana siri sana.... imagine huyu mama anamlilia huyo mwanaume 😢😢😢😢😢😢

  • @josephinebuxay3392
    @josephinebuxay3392 Месяц назад

    Mh. Makonda Mungu akulinde akuepushe na kila kibaya, uwe Rais wa nchi, kweli unangalia haki.

  • @user-un5ii1ov3m
    @user-un5ii1ov3m 10 дней назад

    Mungu akubarik saaan baba makonda

  • @GiftyMwamwezi
    @GiftyMwamwezi 9 дней назад

    Mwamba uko poa sana yaan mungu akuzidishie hekima na maongiz

  • @nasmabanda6340
    @nasmabanda6340 Месяц назад

    AMEENI AMEENI BABA ANGU

  • @user-xo3vy7lx5s
    @user-xo3vy7lx5s Месяц назад

    Safi sana muheshimiwa Paul Makonda Kwa kuwajibika wanaume mjifunze mnapowaacha wanawake mliowazalisha mnawatesa watoto, na MUNGU hapendi kabisa,watoto wanateseka sana

  • @user-bp2cc9eo6g
    @user-bp2cc9eo6g Месяц назад +4

    MWENYEZI MUNGU ainyooshe nakuisafisha njia yako kadri itakavyo MPENDEZA

  • @RomwardWM
    @RomwardWM Месяц назад

    Makonda MUNGU akuzidishie maisha marefu.

  • @user-jf6cr3ce9i
    @user-jf6cr3ce9i 17 дней назад

    Mungu akulinde siku moja uwee rais

  • @lowasameliyo4027
    @lowasameliyo4027 Месяц назад +6

    Mi sipendi ccm Ila makonda nimekukubali Sanaa Arusha tumepata kiongozi

  • @VenitaRugemalila
    @VenitaRugemalila 11 дней назад

    Hongera mheshimiwa Makonda

  • @MwitaMwita-ih2mx
    @MwitaMwita-ih2mx 7 дней назад

    Asante,kiongozi,kwa,ushauli,wako.