SAKATA la MWALIMU ALIYEFUKUZWA KAZI AKADHULUMIWA STAHIKI ZAKE, AFISA UTUMISHI ABANANISHWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 369

  • @NdeshaPaul-uz9bw
    @NdeshaPaul-uz9bw 8 месяцев назад +13

    Mh. Makonda hongera sana naomba uwafundishe wakuu wote wa mikoa wachape kazi kama wewe. Pia wapende kutenda HAKI. Makonda utainua nchi hii mwanangu. Mtoto umebarikiwa na Mungu. Nakuombea sana baraka nyingi na afya njema.

  • @joycelulu8743
    @joycelulu8743 2 месяца назад +1

    Makonda nakupenda zaidi ya sana Mungu akuweke salama siku zote za maisha yako. Yaani wakuu wa mikoa wote wangekuwa hivi hii nchi dhuruma na mambo mengi yangepungua,

  • @peninaalubisia5071
    @peninaalubisia5071 7 месяцев назад +13

    Mh. Makonda Mungu aendelee KUKUBARIKI kwa yote unayoyafanya. Hongera sana Mama Samia kwakumchanguwa Mh. MAKONDO.

    • @MkoiTvTz
      @MkoiTvTz 2 месяца назад +3

      ASEMA ILIKUWA LAZIMA AZAE NA BABA YAKE ILI AISHI MAISHA YA KIFAHARI, DUNIA HII JAMANI😭😭
      ruclips.net/video/E83AULEkDjs/видео.html

  • @DanielMarco-js1kz
    @DanielMarco-js1kz 8 месяцев назад +29

    Mwalimu anaongea vizuri. Proud to be a teacher!

    • @obsonjulius312
      @obsonjulius312 7 месяцев назад +1

      Mwalimu ni msomi anajua

    • @beesmarttv3792
      @beesmarttv3792 7 месяцев назад +1

      ​@@obsonjulius312kabisa mwalimu ni msomi anajua anachoongea

    • @lellovenance5702
      @lellovenance5702 27 дней назад

      ni mwalimu alie ni fundisha jamanh. wanamwonea mwalimu wangu

  • @charlesmnuo3292
    @charlesmnuo3292 9 месяцев назад +33

    Hongera makonda kwa kazi nzuri unayoifanya hii ndiyo kuonyesha vyombo vya sheria vimewekwa mfukoni na wenye fedha

  • @LeoniyJovid
    @LeoniyJovid 13 дней назад

    Mungu akuweke mtumishi wetu hakika ww ndio mrisi wa magufuli❤❤❤🙏

  • @gabrielnyambu8287
    @gabrielnyambu8287 Месяц назад +1

    😂😂😂😂 kazilete zote 😅 aaaah am a Kenyan but Tanzanian politics its pure vibe.

  • @samsonsike1262
    @samsonsike1262 7 месяцев назад +2

    We need leaders like makonda even at high level, big up Mr MAGU the sec

  • @Kamkono
    @Kamkono 8 месяцев назад +4

    Da jamani! Mheshimiwa Paulo Makonda Mungu akulinde ndani na nje ya ofisi. Mungu husaidia wanyonge kupitia watu, wewe ni mtu mmoja wapo ambaye Mungu anakutumia kusaidia wanyonge.Haleluyaaa.

  • @martinmsacky2069
    @martinmsacky2069 Месяц назад +4

    Very smart teacher,. na hiyo ndio shida ,. ukiwa mwalimu hutakiwi kujua sana ,. yani ukimzidi mwalimu mkuu uelewa ukawa na misimamo yako na unafanya kazi as professional yaliyomkuta huyo mwalimu ni kawaida,.

  • @rehemakaziri
    @rehemakaziri 9 месяцев назад +11

    Mungu tunakushukuru kwa ajili ya huyu baba,hongera sana muheshimiwa

  • @beesmarttv3792
    @beesmarttv3792 7 месяцев назад +2

    Mama anaongea vizur sana na yupo very straight

  • @HaasanMohamed-f7n
    @HaasanMohamed-f7n Месяц назад

    Ndomana makonda tunamkubali sanaa kwakweli Allah akulinde katika kazi zako kaka wewe nineema kwa wanaichi sote tunakuombeea mungu akupe maisha malefu

  • @MamaBambala
    @MamaBambala 9 месяцев назад +30

    Makonda mdogo wangu Mungu ailinde roho yako

  • @NassoroMalongo
    @NassoroMalongo 2 месяца назад +3

    Jamani dada mwenyewe mstarabu anajieleza vizuri viongozi wengine wafe wapatikane kama makonda

  • @RobertKilomba
    @RobertKilomba 8 месяцев назад +6

    Heko kwako makonda Mungu akulinde ukaweze kuwasaidia watanzania wenye Nia njema na inchi Yao, hatuna Cha kukulipa sisi ni kukuombea Mungu tu, Mimi binafsi nilikuchukia sana wakati ukiwa mkuu wa wa mkosa wa dar enzi za magufuli, kumbe wewe ni kiongozi safi namba hii, nilikutambua juzi mama alipokuteuwa kuwa katibu mkuu mwenezi ccm, nikaona your true colours, na sasa uko vizuri mkuu wa mkosa Arusha, keep it up 🤝🙏🙏❤️💚💙🤜🤛💪💪💪

  • @BakariKawishe
    @BakariKawishe 9 месяцев назад +24

    Mwl anajieleza vizur sana na kwa hakika anafaa hata kua kiongozi

    • @RichWise671
      @RichWise671 7 месяцев назад

      I'm very proud to be a teacher 💝

  • @LaurianKiyeyeu
    @LaurianKiyeyeu 8 месяцев назад +3

    Mungu akupe ujasiri,uvumilivu,bidii ya kazi na Maomo uendelee kusaidia jamii ndiyo tafsiri ya Dhamana ya Uongozi,yajayo kwako yana mungu mbele yako makonda

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 8 месяцев назад +5

    HUYU MWALIMI ANA CONFIDENCE YA HALI YA JUU SANA VERY PERFECT,MAKONDA ANATAKA WATU STRAIGHT KAMA HAWA

  • @SaidMashaka
    @SaidMashaka 8 месяцев назад +3

    Big up sana makonda...tunakupenda sana❤❤

  • @mankambise2000
    @mankambise2000 6 месяцев назад +2

    Huyu mwalimu anajieleza vizuri sana

  • @aminabanka8203
    @aminabanka8203 6 месяцев назад +1

    Mwenyezi Mungu akulinde brother.

  • @Enock-n2j
    @Enock-n2j 19 дней назад

    Pole teacher kwel huy ni mwalimu wangu alinifundisha njiro secondary japo ulikuwa una tutandka lakin pole sana itakuwa ni yule mkuu wa shule msalangaa nn mwenye roho mbaya sana

  • @konradkapinga6744
    @konradkapinga6744 8 месяцев назад +4

    Daaaadek tunyooshe Brother

  • @fatemafatema4780
    @fatemafatema4780 7 месяцев назад +1

    Mimi unanifurahisha sana sana muheshimiwa mmmm😂😂😂 ina maneno mazuri sana ya kufurahisha sana yaani hahaha hatari wape spaner haooo😅😅

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 9 месяцев назад +30

    Huyuu jamaa mi naamini Mfumo ndio ulimfanya aonekane mtu mbayaa, Yani walimtumia vibayaa, ila kiuhalisia huyu jamaa nikiongozi kweli kweli , tena mtetea wanyonge

    • @AjiaMohamed-rt5pb
      @AjiaMohamed-rt5pb 9 месяцев назад +1

      Acha unanifiki mfumo gani wakati mfumo aliyo nao ni huo wa magu wa kuwasaidia wanyonge

    • @profs.a5412
      @profs.a5412 9 месяцев назад +4

      @@AjiaMohamed-rt5pb inatakiwa kuwa na akili kubwa ili uweze kunielewa , lasivyo hakuna utakacho ambuliaa🚶

    • @JosephzakayoPius
      @JosephzakayoPius 8 месяцев назад

      ❤❤❤​@@AjiaMohamed-rt5pb

    • @JRN2612
      @JRN2612 8 месяцев назад

      ​@@profs.a5412fact😂😂

    • @ChristopherChacha-fb4oc
      @ChristopherChacha-fb4oc 8 месяцев назад

      Mama naomba namba yako ili ni mwl Mwenzio Nina wazo juu yako

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 9 месяцев назад +40

    Sasa kama ni hivi watu wengi si wanaumizwa Sana!??maana sio watu wengi wanaweza au kujua huu mzunguko wote...daah

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 9 месяцев назад +15

    Safiiiiii saaaanaaaa Mh Makonda

  • @deoluma1706
    @deoluma1706 9 месяцев назад +3

    Safi sana makonda. Namkubali sana asee. Utumish kuna uonevu wa Hali ya juu sana kwa walimu

  • @GetrudaIbrahim-x7n
    @GetrudaIbrahim-x7n 3 месяца назад +1

    Mh. Mungu akubariki sana wanaume wametelekeza watoto hawajali

  • @VictorBugobola
    @VictorBugobola 8 месяцев назад +2

    Huyu dada apewe Nafas ya kaz serikalin maan anajua na anajua kujielezea ata utumishi anaweza hongera mama mkwe

  • @tauredtv99
    @tauredtv99 9 месяцев назад +17

    Makonda aongezwe back up ya Aggrey Mwanri. Huyu katibu angesukumwa ndani😅😅😅

  • @batholomewjohn913
    @batholomewjohn913 6 месяцев назад +1

    Hongera Mkuu wa mkoa wa Arusha unaweza

  • @HusseinYahaya-q1z
    @HusseinYahaya-q1z 8 месяцев назад +11

    Yaani mm nashangaa sana.. Why mnamchukia mtu tu bila sababu yeyote mnafunga mshahara wake na alikuwa mtumishi wenu Ila Kitu nilichokiona hapo ni Wivu wa kusoma masters tu.. Wakajua ataongeza Elimu Atawapita kwa hiyo Ni Roho mbaya tu Ambayo Imesindikwa na kiongozi ikasambaa kwa wengine.. kumbe kuna watu wana matatizo jamani Duh😮😢

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 8 месяцев назад

      Hiyo ya wivu watu wenye nafasi kama mkuu wa Shule nk wana hofu yakupoteza nafasi zao watu wa chini yao wanapokwenda kuongeza elimu hasa idara hiyo tajwa wanatengezewa kesi hadi inakubalika mahakani hata ya kubaka tu ili akomolewe bila kujali kuwa nae ana haki na anategemewa na watu ikiwemo familia yake kama walivyo wao Mungu huwa anawaumbua kwa unafiki wao

    • @elizabethraphael-z9f
      @elizabethraphael-z9f 2 месяца назад

      🎉iyo ipo ata kwenye ivi media mtu mwenye degree hapati hajira hii nchi

  • @afidhuOmary
    @afidhuOmary 8 месяцев назад +1

    Makonda hongera xan kwa kazi nzur unayo fanya kama kuna uwezekano wakulete kagera

  • @habiolivier8315
    @habiolivier8315 9 месяцев назад +3

    you have wisdom leadership let useful mocking next president

  • @sancriffinvestment
    @sancriffinvestment 5 месяцев назад +2

    Mama akili imetulia sana, hakupaswa kusomea ualimu.

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 8 месяцев назад +4

    Mwalimu Mtulivu sana

  • @HENRYMATHIAS-h7e
    @HENRYMATHIAS-h7e 8 месяцев назад +2

    Mwogopeni Mungu watumishi nyie mkuu wa mkoa Asante sana kwako

  • @lightnessseifu5983
    @lightnessseifu5983 8 месяцев назад +3

    Makonda mungu akulinde na akuongezee umri mrefu baba

  • @Oscar-qs7tn
    @Oscar-qs7tn 8 месяцев назад +3

    Kweli mwalimu ni mwalimu akili mingi Sana lazima nioe mwalimu anitoe ujinga

  • @anthonylongolongo9863
    @anthonylongolongo9863 8 месяцев назад +1

    Daaah! samahan san broo (MAKONDA) mwanzo niliona kama unakosea lakin kumbe unapiga kazi sana. MUNGU akutie nguvu na kukulinda pia

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard9552 9 месяцев назад +12

    Nasubilia part 2 Makonda 🔥 🔥

  • @lulusenzia4807
    @lulusenzia4807 8 месяцев назад +1

    Mungu akufikishe mbali Makonda nimependa nchi yetu hii longolongo nyingi

  • @RamadhaniAlly-n5u
    @RamadhaniAlly-n5u 6 месяцев назад +1

    Hongera mtetezi wa wanyonge

  • @danyboytz255
    @danyboytz255 2 месяца назад

    Mungu akupe maisha marefu makonda , unafanya kazi kubwa san

  • @DENISLEMA
    @DENISLEMA Месяц назад +1

    Sikuuu makondaa akiwa.pressident nchii inafika sehem ya mungu

  • @ConstanciovictorVictor-tp5zu
    @ConstanciovictorVictor-tp5zu 6 месяцев назад +1

    Deus esteja com tigo meu irmão makonda❤

  • @tumainiezekia5873
    @tumainiezekia5873 6 месяцев назад +1

    Daaah mam honger unaongea vzr ❤😊

  • @zuberikisinga8849
    @zuberikisinga8849 2 месяца назад +1

    Kwakweli mkuu mueshimiwa mkuu wa mkoa mungu azidi kukulinda na azidi kukupa hekima na wananchi

  • @BernardUrassa-r4p
    @BernardUrassa-r4p 7 дней назад

    Mungu akibariki sana Mhe.Makonda,hakika nafasi bado Ni ndogo sana kwako,Uwaziri mkuu unakuufa mno,tunakuombea

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 9 месяцев назад +7

    Safi sana kaka makonda

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 9 месяцев назад +7

    Mh Makonda 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @LadislausBwangile
    @LadislausBwangile 8 месяцев назад +2

    Hongera makonda MUNGU akulinde

  • @joseygaudence4922
    @joseygaudence4922 7 месяцев назад +1

    Hapo kwenda kuchukua file ndio msala unapoanzia miguu itakuwa haiendi na mdomo lazima uwe mchungu 😂😂😂😂Mnadhurumu watu sana

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 4 месяца назад +1

    Safiiii Baba keagan😃😃

  • @gadielshedaffa3333
    @gadielshedaffa3333 8 месяцев назад +1

    Nchi hii mioyo ya watu imekuwa ya kishetani! Uzalendo umeondoka! Mungu awarehemu wengi hawajui walitendalo! Dhambi nia aibu kwa watu wote! Mungu awainue watu kama makonda!

  • @EdithaEditha-z3s
    @EdithaEditha-z3s Месяц назад

    Dada uko vizur hongera sana

  • @AngelAbas-x1l
    @AngelAbas-x1l 3 месяца назад +1

    Safi sana.

  • @babalao910
    @babalao910 9 месяцев назад +1

    Mama Samia👍👍👍👍 Kwa kutuletea nakonda

  • @MwanahamisAlly-u7c
    @MwanahamisAlly-u7c 8 месяцев назад +2

    Mungu akulinde Rc a

  • @ANDREAMATUNJA
    @ANDREAMATUNJA 8 месяцев назад +2

    Nakukubali sana mheshimiwa mungu akulinde sana .

  • @rehemambilinyi3523
    @rehemambilinyi3523 8 месяцев назад +1

    Mungu akulinde mh.makonda na viongozi wengine waige

  • @RACHELJOSEPH-i7z
    @RACHELJOSEPH-i7z 2 месяца назад +1

    MAKONDA HAKIKA UBARIKIWE SANA KWA KUMSAIDIA HUYO MAMA

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 8 месяцев назад +1

    hivi kwanini mikuwa mnamchukia makonda? kazi kubwa sana anaifanya ,mungu akuongoze

  • @rodgersabraham9837
    @rodgersabraham9837 6 месяцев назад +1

    the spirit of Magufuli is him

  • @ttss7716
    @ttss7716 9 месяцев назад +5

    Huyu mwishimiwa mungu amuweke mpaka nimelia walahi 😢😢😢

  • @francisboydmwakyusa230
    @francisboydmwakyusa230 Месяц назад +1

    Haibu sana, Watumishi wa serikali.

  • @AnwariBui
    @AnwariBui 21 день назад

    Kweli babaaaa etu makondanyoo 🎉uhakika mkuu

  • @SalmaLaizer
    @SalmaLaizer 9 месяцев назад +2

    Guys makonda, ni mtu alieshushwa, ajazaliwa hongera mama samia kwa kwa kichwa hiki na umejua pakukiweka muse na maisha marefu❤

    • @leilathydidy6058
      @leilathydidy6058 8 месяцев назад

      Ndio yan me huyu baba wanaomchukia nina washangaa sana kiukweli, yuko vzuri mno kiongozi

  • @NOVATISIYAME-iz9qw
    @NOVATISIYAME-iz9qw 8 месяцев назад +2

    Dar Paulo mungu pekee ndio anaweza kukilipa

  • @haryanyawu640
    @haryanyawu640 8 месяцев назад +1

    Safi sana makonda kuna mkwe wanhu naye anayeseka kazukiliwa mahabharata wake miezi mitano ningeomba msaada wako

  • @eliamwankenja7087
    @eliamwankenja7087 9 месяцев назад +4

    Mungu akubaliki

  • @amanimasue3206
    @amanimasue3206 Месяц назад

    Huyu Mwalimu anafaaa kua hata DC .. she is very smart .

  • @VeronicaAlexander-u9x
    @VeronicaAlexander-u9x 8 месяцев назад +2

    Jamani huyu Mwl amepata majanga kama yangu.
    Makonda unanisaidiaje mimi nipo Dodoma Arusha mna bahati muombeeni sana Makonda

  • @sjosephmashany-eu6rf
    @sjosephmashany-eu6rf 7 месяцев назад +1

    Mungu aendelee kukuweka

  • @simiongasirigwa6316
    @simiongasirigwa6316 2 месяца назад +1

    Siyo ww tyuu mama watanzania Wana makando Kandi mengi na mtu akipata nafasi anaona Kama amekuwa mungu wa pili ndugu makonda hebu rekebisha hayo

  • @kalumunakalumuna7403
    @kalumunakalumuna7403 8 месяцев назад +2

    Makonda Mungu akubariki Sana

  • @ChristopherChacha-fb4oc
    @ChristopherChacha-fb4oc 8 месяцев назад +3

    Pole mama

  • @alizaharan1471
    @alizaharan1471 2 месяца назад +2

    DAR KWAKWELI IKIWA MTU YUPO HAI ANAZUNGUSHWA
    JEEE AKIFA WATOTO KWELI WATAKUJA PATA HAKI ZA WAZAZI WAO KWELI

  • @davidmnzava4280
    @davidmnzava4280 9 месяцев назад +1

    Kazi Zur sana , watu Wana shida hawana connection

  • @PrudenceMwakyoma-oz5ic
    @PrudenceMwakyoma-oz5ic 8 месяцев назад +1

    Makonda Mungu akusaidie. Ufanyakazi vizuri ivyo ivyo

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 9 месяцев назад +3

    SAFI SANA MAKONDA MAMA SAMIA ALITUMWA NA MUNGU KUKUCHAGUA. ASANTE MUNGU MLINDE MAKONDA.

  • @user13375
    @user13375 8 месяцев назад +1

    Watu wanaibishia hadi Ikulu, sasa nani wa kuheshimiwa.😮😮😮

  • @nyungwajunior1301
    @nyungwajunior1301 8 месяцев назад +4

    Huyu jamaa anapiga kazi bhana

  • @VictorLyimo-so9xr
    @VictorLyimo-so9xr 9 месяцев назад +13

    Rais ampe mama nafasi uongozi

  • @DamasjoachimPetro
    @DamasjoachimPetro Месяц назад +1

    Duuu hao viongozi ndo wanaotufanya nchi yetu iko hapa tulipo, hatujui tunaenda wapi, Mungu kakuleta ewe Makonda tusaidie

    • @MichaelMvambali
      @MichaelMvambali Месяц назад

      Samia raisi akulete na kilombero ifakara mlimba mbingu tunashida sana mungu. Akulinde baba ingefaa uwe waziri unayetembea nchi nzima ammmen in Jesse's name

  • @SuleimanEdward-f1n
    @SuleimanEdward-f1n 8 месяцев назад +1

    Mungu akubariki sana Mheshimiwa makonda

  • @RamadhanAbdallah-r7t
    @RamadhanAbdallah-r7t 8 месяцев назад +1

    Mungu akulinde njoo zanziba baba yamejaa

  • @ShedrackKapande-qh8pv
    @ShedrackKapande-qh8pv 6 месяцев назад +1

    Jaman halimashaur zetu acheni ukiritimba mtaumbuka.CWT mnaboa badala ya kuwatetea walimu,mnawakandamiza.CHAKUHAWATA piga hatua.

  • @sosthenesmutarubukwa5901
    @sosthenesmutarubukwa5901 8 месяцев назад +3

    Kwa Muktadha huu Uongozi katika Utumishi wa Umma utakuwa Mgumu. Kwa sababu wakati mwingine Watumishi wanavuruga utumishi wa Umma kupitia Pesonal Anbitions badala ya Kanuni za Utumishi wa Umma.

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 8 месяцев назад +3

    Viongozi wengi wa nchi hii wanaogopa watumishi wasomi.wanaogopa kupokonywa nafasi kwakua wengi wamepachikwa tu kwa hizo nafasi

  • @stanleymuroki-mx7du
    @stanleymuroki-mx7du Месяц назад +1

    Congratulations mr makonda

  • @sadockeliakim5862
    @sadockeliakim5862 8 месяцев назад +1

    Mungu amlinde makonda watu watende haki

  • @loice123faida8
    @loice123faida8 7 месяцев назад +1

    Kama Kenya ingekuwa na mtu kama huyu ingepona sana MUNGU atusaidie

  • @JafariNahimba
    @JafariNahimba 2 месяца назад +1

    Huyo afisa utumishi pamoja na wenzake ni wezi wamlipe huyo mwalimu stahiki zake

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 8 месяцев назад +1

    MUNGU AKUPE AFYA njema Mzee MAKONDA. AMEEN

  • @hasanirajabu3350
    @hasanirajabu3350 9 месяцев назад +14

    Makonda chapa kazi baba tunakuombea

  • @PaulineTz-y3y
    @PaulineTz-y3y 28 дней назад

    Hii ndo Tanzania,pole mwalimu

  • @AlbertSambo-j2l
    @AlbertSambo-j2l 8 месяцев назад +1

    Mungu alikuchagua uwe kiongozi nakuli unatenda yanayo mpendeza mungu ubarkiwe sana namungu akulinde sana