@@FikiriMloka-ft3yf Hakika tukifanikiwa napia baraka zake MWENYEZI MUNGU huwa zinafuata sehemu zenye maombi ya wengi.Naamini 2030 Mkuu Paul Makonda yatatimia
Metaphorically namuona mama samia alikua amekaa kinyonge sana watu wanamchukulia poa ghafla akasema mnanijua kwel?? Akatoa AK47 akafyatua risasi, ile risasi iliyotoka pale is MAKONDA. GOD BLESS THIS MAN
Yaani Makonda Mungu akubariki tena akuzidishie umri mrefu uishi usaidie wanyonge vaa kwa nguvu zote viatu vya hayati mpendws wetu Magu tunamkumbuka hasa nawe unapochukua hatua zake dah
Wakati unapitia pitia mapito nilikuombea Sana Makonda,nilimlilia MUNGU Sana hata kuwaambia baadhi ya watu. Leo namfurahia MUNGU alivokuinua akajibu maombi yetu. Kumbe MUNGU alikuwa anakutafutia nafasi na kukuepusha na mengi
Kwa tunao ona kuwa kazi inayofanywa na ndugu yetu ni njema na yakutia moyo wanyonge!! Japo wanafikiwa wachache!! Kwanini tusimuombe kuungana nae kwa kuunda japo ka group!! Kwaajili ya kuunga mkomo anachokifanya!! Kwana huo ndio mpango wa mungu!! Kuchukuliana kwa taabu zetu!! Kuna ndugu zetu wengi wanapitia magumu sana!! Tushiriki japo kwa kidogo tunachopata!! Wazo tu!!
Mkuu Mr mackonda ujio wako wakuja Tanga tunakuomba fika wilaya ya korogwe Kijiji Cha mazinde Kuna shida nyingi zinasababishwa na diwani Kuna lushwa imekisiri Kila upande juu ya diwani malalamoko mengi yanamhusu njoo tufunguke ujiskilizie keamaskio naikiwezekana uondoke nae
WASUKUMA wanahuruma sana kwakwel,🔥🔥
Wanahuruma na wakarim Sana wasukuma halafu wasafi Sana
Mtu muhimu sana kwenye hili taifa.Mkuu Paul Makonda.Nakuombea kheri napia ulinzi wa MWENYEZI MUNGU wakati wote
Po
O
Huyu ndiyo rais mtarajiwa 2030
@@FikiriMloka-ft3yf Hakika tukifanikiwa napia baraka zake MWENYEZI MUNGU huwa zinafuata sehemu zenye maombi ya wengi.Naamini 2030 Mkuu Paul Makonda yatatimia
Makonda umenikumbusha magufuli unahuruma mungu akujalie
Kwakweli adi machozi yana nilenga
Makooooondaaaaa mungu akupe maisha marefuuuu
Kweli angeweza kua omba omba mungu akubariki makonda na sisi watanzania tupo pamoja na nyinyi ktk ujenzi wa taifa.
Allah akulipe mkuu
Mungu akuzidishie kaka Paul makonda
Makonda na slaha 1wa Ardhi mungu awawekee mamasamia twataka watu kama hawa watetezi allwaa atawalipa na Rais wetuu
Makonda kwenye utendaji na maamuzi yupo vizur
KAKA makonda Mungu AKUBARIKI sana kwa haya unayoyatenda. Nakukumbuka ulimsaidia Pascal cassian.
Makonda Mungu akubariki saaana endelea katika zamu hiyo ni nafasi yako umewekwa na Mungu ,Mungu ibariki Tanzania na viongozi wetu wote.
Safi sana kiongozi.
Unamuweka mpaka ndani mlemavu kisa kudai haki yake imeniuma sana😢
Alienda kukopa lkn
Bora umerudi makonda niliomba mungu sana urudishwe
Amen Mungu Amtangulie
Makonda mungu akulinde uwanyooshe walioshindikana hawo ni zaidi ya majambazi
Mungu Amupe roho ya rais aliyopit Magufuriiii
Lakini pesa hizi za kugawa kama njugu zinatoka wapi kwani?
@@raymondnlelwa427acha wivu kutoa ni moyo hata waweza kusaidia !!!cha muhimu amesaidika
Good work brother MAKONDA Your the best
Makonda ni kiongozi naiona picha ya magufuli napomtizama mh.makonda namna anasikiliza shida za watu nakuzfanyia kazi mwenyezi mungu amubaliki xna
Makonda mungu akulinde na akutunze binafsi unanikosha sana kwa kazi unayofanya wewe ni mchapakazi mungu atakuinua viwango vingine vya juu zaidi 🎉🎉🎉🎉
Piga salute dadadekiiiiiiii
Heko makonda
Makonda mbona unaniweka njiapanda kunamda naichukia ccm lakini nikkuona roho yangu inatulia sababu ninaona nuru
Mungu akulinde kilasilaha itakayo imuka juu Yako isifanikiwe
I wish even kenya tukuwe na mtu kama uyu.
I can see this guy to be the president one day.
Mungu akubariki makonda
mwaka ntakaonskia makonda anagombea uraisi hapa tz kula yakwanza yakwangu
Metaphorically namuona mama samia alikua amekaa kinyonge sana watu wanamchukulia poa ghafla akasema mnanijua kwel?? Akatoa AK47 akafyatua risasi, ile risasi iliyotoka pale is MAKONDA. GOD BLESS THIS MAN
True
Yaani Makonda Mungu akubariki tena akuzidishie umri mrefu uishi usaidie wanyonge vaa kwa nguvu zote viatu vya hayati mpendws wetu Magu tunamkumbuka hasa nawe unapochukua hatua zake dah
Mungu akubariki sana kwa kumpa mtaji huyo kijana
Mungu akuongoze kaka kwenye safari zako nalufia tena huna kaka ukifa huozi mkuu
Wasukuma wanahofu ya. Mungu hongeren mlojaliwa
Kabisa kama Mungu Aishivyo
God bless ....
Nimekupenda. Bule makonda
Makonda Katibu Mkuu mpya wa ccm muwe pamoja na kina mchengerwa musifarakanishwe
Makonda anafaa kuwa rais haswaa anapiga kazi kweli kweli
Hakika tunaitaji viongozi kama Hawa kwenye taifa letu.
Mimi Toka najuwa masuala ya siasa watu wangu ndani ya Ccm ni wawili tu KANGI & MAKONDA
Makonda sawa lakini Kagi yule mwizi pale Magereza.
Makoda umekua hodar sana baba munqu akulinde
Jaman utu hatuna tena ee mungu agalia watu wakoswa marifaa
Hakika makonda nimaraika ajae💪🙏🤝✍️
Kaka paul may God bless you ❤continue
Very nice
Amina
Mungu hakubariki...makonda
Maa shaa Allah❤ good job bro makonda
Makonda, Mungu akukumbuke na wewe kwenye shida zako🤲
Mh makonda karibu na kwetu
Naiona roho ya magufuli ndani ya makonda
Makonda Mungu akulinde sana hatutaki maumivu tena angalau unatupunguzia ule uchungu moyon😢😢
Safi sana
Safi brother makonda
Mungu amjalie kheri raisi wetu samia suluhu, mungu akujalie kheri dume la madume paul makonda
Nakupenda baba makonda fanya kazi
Mungu akufany uishi milele
Baba mungu akubariki sana yani naomba mungu mwaka ujao ugombanie urais
Urais atagombea Samia akitoka madarakani hawezi kugombea na bosi wake
Mungu akusaidie kamanda makonda.
Mubarikiwe sana
Mungu akubariiki kaka
Ubarikiwe Makonda
Mungu akubarik ❤❤ baba
Daaaah makonda ubarikiwe❤❤
Safi sana Young Magufuli
Daaa makonda mungu akubariki sana
Mungu akubariki kaka ❤
Mungu akubaliki makonda pia niombe upite na kwenye wiraya ya ukerewe please mweshimiwa
Apewe ulinzi 😢 masin dah mwenyenzi mungun akuzidishie huruma na wanyonge
Namuona magufuli karud ndan ya NCHI yetu Asante mungu
Dah wasukuma wana huruma sana
Asante kak
Kilema mnamuweka ndani hamna huruma 😢
Da huu moyo nizaidi ya mioyo hongera kaka
God bless you Makonda
Wakati unapitia pitia mapito nilikuombea Sana Makonda,nilimlilia MUNGU Sana hata kuwaambia baadhi ya watu. Leo namfurahia MUNGU alivokuinua akajibu maombi yetu. Kumbe MUNGU alikuwa anakutafutia nafasi na kukuepusha na mengi
Kwa tunao ona kuwa kazi inayofanywa na ndugu yetu ni njema na yakutia moyo wanyonge!! Japo wanafikiwa wachache!! Kwanini tusimuombe kuungana nae kwa kuunda japo ka group!! Kwaajili ya kuunga mkomo anachokifanya!! Kwana huo ndio mpango wa mungu!! Kuchukuliana kwa taabu zetu!! Kuna ndugu zetu wengi wanapitia magumu sana!! Tushiriki japo kwa kidogo tunachopata!! Wazo tu!!
Karibuni chusifunitures tunachonga vitu imara ubora wa Hali ya juu
Makonda wabeja Sana wakoramuno
Kaka makonda Mungu akuongoze kiongozi wetu
Hizo hela anatoa wapi?
Mama yupo kazini
Mkuu Mr mackonda ujio wako wakuja Tanga tunakuomba fika wilaya ya korogwe Kijiji Cha mazinde Kuna shida nyingi zinasababishwa na diwani Kuna lushwa imekisiri Kila upande juu ya diwani malalamoko mengi yanamhusu njoo tufunguke ujiskilizie keamaskio naikiwezekana uondoke nae
Makonda ni mwambaaaa
Makona ulichokifanya kizulisana munguakulipe khery akuongezee ulipopunguza
Uishi maisha marefu baba makonda👏
Ila siomenti Kwa huyu dogo mlemavu ,makonda mungu akubariki
Kaka makonda ninashida nawewe sana tenasana,nitakupataje
Magifuli mpya
Mpka nmelia jamn Mungu tusaidie
Ungebaki tu kuwa msemaji maana duuuh 😢
Mungu amupiganie makonda awe hais wa awamu ya saba 🙏🙏
Tokaaa hapa
Makonda Mungu akulinde
Wew ni musa ulietumwa lwa wana wa Israel (Tanzania) Ombi langu ni moja tu mpe uraisi uyu mjoli wako Watanzania wote sabbu si kwa utetezi huu
Nakukubali xana
Mung akubarik kak uwo ndiy uzalind aliyekuw anafany bab yetu magufuli
Siku moja ,Madonna atahualpa raising wa Tanzania.
Pole sna kaka
❤❤❤Makonda
Apa ndo mahali makondaa anaponikoshaaa sanaa
Duu ira sisi waremavu tunanyanyasika vibaya muno da nampa pore sana
Hatariii kwakweli mwenyezi MUNGU ndo kinga yetu atuokoe kwakweli😭😭.
Bro ww ni kiongozi kwer
Jamani nimelia
Kweli kabisa baba walipe madeni
Mimi natamani Makonda siku moja ashike nchi