Makonda alivyoamuru Mwenyekiti mwingine akamatwe katikati ya mkutano

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Mkuu wa mkoa wa Dar es salam, Paul Makonda ameamuru kukamatwa kwa mwenyekiti wa mtaa wa Zavala kwenye mkutano wa hadhara Chanika kwa tuhuma za kuuza ardhi kinyume cha sheria ikiwemo eneo lililotengwa kwa ajili ya kuhamishia wananchi wa kata ya Kipawa ili kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege.#DarMPYA

Комментарии • 227

  • @fatemafatema4780
    @fatemafatema4780 4 месяца назад +5

    Mungu akubarik makonda napenda sana speech zako.mungu akupe
    nguvu kufatilia wanyonge hongera sana.❤❤❤

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 5 лет назад +2

    Nampenda sana makonda anafanya kazi vzr sana

  • @georgemahembe4778
    @georgemahembe4778 5 лет назад

    nakukubali sana mh mkuu wa mkoa mimi binafsi naridhika na kazi zako zote unazo tetea maskini na wanyonge mungu akulinde dhidi ya maadui wote

  • @smwakaglobaltv4010
    @smwakaglobaltv4010 5 лет назад +3

    Hongereni viongozi kwa upasuwaji majipu, japo upande mwingine ni kudhalilishana mbele ya umma.

  • @mstafaassan4707
    @mstafaassan4707 6 лет назад

    upo vizuri mkuu wamkoa sana unafanya kazi sana mungu akusaidie sana watu. wanaonewa sana

  • @DeoLyakurwa
    @DeoLyakurwa 4 месяца назад +4

    M akonda jembe.chapakazi tetea wanyonge usiogope wachawi mungu anakupigania

  • @silverjoseph4577
    @silverjoseph4577 5 лет назад +1

    Big up sana brother makonda Chapa kazi hakika uncle Magu hakukosea kukuchagua

  • @khadijanjama9016
    @khadijanjama9016 6 лет назад

    Hongera sana kwa serekali ya magufuli na watenda kazi wote hii ndio serekali

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 5 лет назад

    Safi mkuu wa mkoa. Salamu zikufikie toka kenya

  • @kelvin_papaa_ya_warembo8313
    @kelvin_papaa_ya_warembo8313 8 лет назад +1

    safi sn rc M.hii nch(dar)kuna watu waliifanya yao kbs

  • @samueljr9105
    @samueljr9105 5 лет назад +2

    Safi good job mkuu wa mkoa

  • @mstafaassan4707
    @mstafaassan4707 6 лет назад +1

    angalia haki mungu atakuuliza ulikuwa kiongozi ulifanya nini ila umefanya kazi nzuri

  • @ngederemkatamkaachuwakineg5239
    @ngederemkatamkaachuwakineg5239 5 лет назад +5

    Makonda anapiga kazi sana sema ndio ivyo watu awampend ila kaz anapiga

  • @kubangaizamkundavi9676
    @kubangaizamkundavi9676 7 лет назад

    MAMA ana busara za hali ya juu sana.Sijaona kama kuna sababu ya kufanyiwa hivi.Ilibidi wapate muda tu wa kumchunguza badala ya kumweka kwenye kisimamo cha namna hii.

  • @gregoryrobert920
    @gregoryrobert920 6 лет назад +6

    kwa kweli mheshimiwa makonda bomba la mkuu wa mkoa adum adum daima

  • @emanuelndinde533
    @emanuelndinde533 7 лет назад

    hongera makonda mungu akusaidie ulinde Mali y uma

  • @hassankayla4076
    @hassankayla4076 8 лет назад

    @Katarina William, mumy hapo hakuna maswala ya chemba kwa maana kila kitu kifanyike hadharai ili wananchi waelewe nini kinaendelea. Nakupongeza mkuu wa mkoa bwana PAUL MAKONDA kwa kazi nzuri unayoifanya watu wakijua ugeni wako wanahaha hakuna mambo ya janja janja zama za MAGUFURI. Ayo tv ahsante kwa kutufikishia habar

  • @nawwaratm6323
    @nawwaratm6323 8 лет назад +3

    makonda upo juuuuu nakuaminia sanaaaa wataelewa tuu

  • @gospalflavour7304
    @gospalflavour7304 7 лет назад

    alafu wananch wa tanzania sijui tutaacha lini tabia yakushabikia kila jambo linaloonekana kumkandamiza mutu.hata bila kupima uzito wa mambo!!!
    Pole sana mama

  • @aishaomary732
    @aishaomary732 5 лет назад

    Fanya kazi yako baba

  • @hermanaaron6945
    @hermanaaron6945 6 лет назад +1

    Mungu anakuona Makonda,huyo si sawa na mama yako,kwann msifanye pembeni heshima ya kazi ukwapi bongo.daah nimeumia kiukweli

  • @nyingos
    @nyingos 4 месяца назад

    Makonda noma aiseeh

  • @SamSam-bn8db
    @SamSam-bn8db 6 лет назад

    kazi ipo kweli kweli

  • @motomoya8463
    @motomoya8463 4 года назад

    TANZANIA AT ANOTHER LEVEL

  • @t33pelos77
    @t33pelos77 7 лет назад +2

    kila la kheri makonda Mungu akusimamie ututetee wanyonge

    • @idrisarashidi4046
      @idrisarashidi4046 6 лет назад

      Latifa Abdallah duhh! ama kweli binadamu tumepewa upeo tofauti wa kufikir😎

  • @salmajuma4015
    @salmajuma4015 6 лет назад

    Oyooooooooooooooooo nakupenda makonda

  • @Jaybboytz-hw6iz
    @Jaybboytz-hw6iz 2 месяца назад

    jaman huyu makonda nimtu mungu almuludsha atetee watz anakutu ndan yake

  • @kishimbaboy5403
    @kishimbaboy5403 5 лет назад

    Mh R.c Makonda njoo sehemu moja inaitwa Chekelen IPO mlandiz mkoa Wa pwan uje uwanyooshe Wenyevit Wa uko hawajui kuyatumia madaraka yao!!!

    • @akshaydavid159
      @akshaydavid159 4 года назад

      Makonda Hawezi kuja Pwani ila Dar tu.

  • @irentirop6304
    @irentirop6304 7 лет назад

    makonda makonda good Job brother

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 5 лет назад

    Mh makondo una huruma.sanaa naona hapo umeona kama unamsulubu mama yako ila ana makosa huyo mama jamani mama mbona unatuaibisha wamama wenzio nyakati hizi ni za TANZANIA MPYAA

  • @emmanuelgabagendi5800
    @emmanuelgabagendi5800 6 лет назад

    Makonda upo safi sana

  • @amonloshilaa8082
    @amonloshilaa8082 8 лет назад +7

    safi Akuna kitu cha kuongelea chemba .mbona kuchaguliwa Akuna chenga?????

  • @wilsonrwekaza6247
    @wilsonrwekaza6247 6 лет назад

    Safi Sana tumenyanyasika Sana

  • @abuumaryama8931
    @abuumaryama8931 7 лет назад

    nimeipenda hiyo kama movi hivi kweli dunia ina mambo.

  • @ceasermbisso6589
    @ceasermbisso6589 8 лет назад

    No mercy i like this!!!!!

  • @omegaamir908
    @omegaamir908 6 лет назад +1

    Raia wakisikilizwa sana napo shida wao wanajua kupinga tu

  • @pilliramadhan7171
    @pilliramadhan7171 8 лет назад

    safi makonda""

  • @mariamkombo5325
    @mariamkombo5325 8 лет назад

    safi makonda

  • @lungusii
    @lungusii 7 лет назад +2

    Ili kuleta maendeleo na pia kukomesha rushwa lazima kuchapana bakola, virungu,mapanga na pia matukio kama haya yatokee . Kama alikuwa ana hudhuria kwenye vikao vyeti vya Masela tunavyo jadili lazima wata nyooka tu uongozi wa kifalme mwisho ..********* hapa kazi tuuuuu!!!

  • @jackisonijackisoni6715
    @jackisonijackisoni6715 6 лет назад

    Mzee Saf sana

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад +1

    Duh! Hatareeee sana

  • @EliyaKanji
    @EliyaKanji 6 месяцев назад

    Makonda unafaa kuwa kiongoz

  • @bintirashidantybaby8146
    @bintirashidantybaby8146 8 лет назад +3

    maskin mama wawatu kwann mfanye mambo ya aibu kama hiyo kudhalilisha watoto wenu alaf mtasema makonda mbaya jaman mcheni mungu

  • @VailethSolomon
    @VailethSolomon 3 месяца назад +1

    Mweshmiwa njoooo kingor huk

  • @allyjumanne3144
    @allyjumanne3144 4 года назад

    Makonda nae akioteaga anajikosha balaaaa!!!

  • @Bikolimanah
    @Bikolimanah 2 года назад

    #VeryUnprofessional

  • @beatricekihehe9879
    @beatricekihehe9879 8 лет назад +14

    acha waumbuke mwisho wao umefika waliwatesa Sana wananchi.

  • @aminamakacha6258
    @aminamakacha6258 5 лет назад +1

    Hapa kaz tu Rushwa na uongoz wa kinafiki tupa kule

  • @bernardsamizi7289
    @bernardsamizi7289 3 года назад

    Makonda nakuombea uwe makamu wa rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania .

  • @DeoLyakurwa
    @DeoLyakurwa 4 месяца назад

    R,pc, wa mikoa mingine ebuchukueni mfanokwa,kea makonda jamani wanyonge wapate,haki zao

  • @chibutvonline8710
    @chibutvonline8710 8 лет назад

    fantastic

  • @januzzyjohn6660
    @januzzyjohn6660 5 лет назад

    Daaah mimi sina cha kusema

  • @madeeteapain7578
    @madeeteapain7578 7 лет назад

    huu sio ustaarabu mzur hadharani km hv..

  • @jackosama670
    @jackosama670 5 лет назад

    Ni shidaaaaaaaaa tumbua hao

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 4 месяца назад

    Sasa Ni Mkuu wa Mkoa Arusha..Nimejikuta Nafatilia Majukumu ya Mh Makonda

  • @annamhanje9254
    @annamhanje9254 7 лет назад

    makondaaaa oyeeeeee

  • @ngasalakonkmaster5734
    @ngasalakonkmaster5734 5 лет назад +1

    Mkuu wa mkoa nakukubali kuatatua kero za wanyonge, Rais alikuchagua aliona unauwezo wa kuongoza Dar,

  • @mkalimwanza7726
    @mkalimwanza7726 6 лет назад

    noma sana

  • @GreatballersEver
    @GreatballersEver 5 лет назад +2

    Hii system ya Tanzania ya kuwanasa washukiwa hadharani inekua kenya tungekuwa kama Ulaya.

  • @benardmunna9194
    @benardmunna9194 8 лет назад +6

    😃😃 makonda si wa mchezo mchezo

  • @fefeonlyme5394
    @fefeonlyme5394 7 лет назад +2

    watanzania sisi ni wanafki sana Hawa wenyekiti wanatusumbua sana...kwenye kutafuta maendeleo hakuna kuoneana huruma ni kazi tyu.......

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 7 лет назад +1

      Fefe only me yup dia

    • @mashamakungu5430
      @mashamakungu5430 7 лет назад

      Fefe only me unasema kweli

    • @idrisarashidi4046
      @idrisarashidi4046 6 лет назад

      Fefe only me toka lini mwenyekiti akaleta maendeleo ambayo jamii aliyonayo ikalidhika unafikili analetewa bajet yule muulize rais wako ndiye wakuleta maendeleo

  • @kulwaswetu4457
    @kulwaswetu4457 5 лет назад +1

    Ilampango huu nimzuli nahaijawahikutokea Kama wkuwotewakiwahivi nchi saaafiii wanyonge wtafaidi matundayanchiyao

  • @davidnyassan3610
    @davidnyassan3610 7 лет назад

    DAR MPYA

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 5 лет назад

    Ila namuhurumia sababu ni mama

  • @godfreymhochi6206
    @godfreymhochi6206 4 года назад

    M/kiti ni mama daah alafu anakatamatwaa

  • @asiakheir3846
    @asiakheir3846 6 лет назад

    Musikubali uongozi,ni mtihani

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb 4 года назад

    Kuna wenyeviti wasiojihusisha na kuuza viwanja....

  • @Rashidmhedhery
    @Rashidmhedhery 6 лет назад +1

    Mbwa sana huyu Makonda, kuna siku yake!!

    • @dansonjuma341
      @dansonjuma341 5 лет назад

      iii ni ujinga ya uyo makonda yenu inchi akuna mahakama unasika mutu bila investigation atakama ni mkuu ya mkoa bure kabisa

  • @fatumamasudi365
    @fatumamasudi365 8 лет назад

    wanyoosheeee

  • @abbymsa6858
    @abbymsa6858 8 лет назад +8

    Kwa ukweli mambo kama haya hayafai kutokea Tanzania, mambo kama haya yanapaswa kushughlikiwa ofisini sio katika mikutano ya hadhara, huu ni udhalilishaji, huyu mama angepangiwa siku aende kuonana na mkuu wa mkoa ofisini kwake, siyo kukabidhiwa polisi kama jambazi au muuaji.

    • @malickmakatta6089
      @malickmakatta6089 8 лет назад +3

      Abby Msa ,apangiwe aende wapi wakati huu si muda wa kuoneana aibu

    • @ramsojimmykelly3379
      @ramsojimmykelly3379 8 лет назад +3

      Abby Msa watu wakifanya kazi ofisini Anasema wanalindana watu wakifanya kazi za wazi kila MTU ajue hamtaki tuacheni unafki bhana

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 7 лет назад +2

      Abby Msa mbona kura wanaomba mchana jua kali

    • @peterbernard3159
      @peterbernard3159 7 лет назад

      Abby Msa unaakil sana mkali wang wengne wote wanabwabwaja tyu

    • @idrisarashidi4046
      @idrisarashidi4046 6 лет назад

      Abby Msa ni kweli kabisa

  • @sholeMasaka-eo5yf
    @sholeMasaka-eo5yf 6 месяцев назад

    Kaka makonda ukosafi san fiyakazi tunakupeda san kk yangu

  • @nyekingobwire4798
    @nyekingobwire4798 6 лет назад

    Mkuu nipe Mimi ajira ya utendaji kaka yangu

  • @RoseMary-hp5bz
    @RoseMary-hp5bz 8 лет назад +3

    naon jiji limepambazuka😂

  • @KassimJabu
    @KassimJabu 3 месяца назад

    Komesheni hili maana nchi haiendeshwi hivi

  • @احمدالحراصي-ط7ت
    @احمدالحراصي-ط7ت 6 лет назад

    Kila binaadamu anapungufu yake leo yeye kesho nyie mnofurahiya Mingu anafanyiwa makosa mangapi makubwa zaidi ys hayo Mbona anatusamehe leo nyie mnashindwa kumtetea kwa mkuu wa mkoa ili amsahe na kujirekebisha huyo mama huo ubinaadamu gani inasikitisha sana hata Mungu atamsaidia hana kwani hana hila...hata hivo watanzania muwe watu huruma kwa wezenu wakiwa wameteza ili mfano kwa mataifa mengine duniani..Ramadhan Karim.

  • @hussmuya5246
    @hussmuya5246 7 лет назад

    Wakfu hua hauzwi wala kubadilishwa kama mwenyewe aliyetoa alivo agiza ,sasa kama MTU ameuza kwanza anakua ametenda dhambi kubwa sana ,tukiachilia kuvunja sheria

  • @josephrugalabam9182
    @josephrugalabam9182 7 лет назад

    interesting

  • @mcisunga3822
    @mcisunga3822 6 лет назад

    Mmmh isiwe mtaa wangu tu nilio nunua mie jamni 🙆🙆🙆

  • @katarinawilliam9960
    @katarinawilliam9960 8 лет назад +4

    Hii ni uchonganishi wa hali ya juu jamani.Kwanini wasiitwe chemba.Maana Hapa kama wanaosema watakosa ulinzi wanaweza kudhurika/kuuwawa na ndugu wa atakaye kamatwa.

    • @JAIVAH
      @JAIVAH 7 лет назад +3

      maisha ya chemba yanaongoza kwa rushwa.... siku zote gizani ni ushetani

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 7 лет назад +1

      katarina william hkuna chemba mbona kura wanaomba mchana jua kali

    • @salmadalaquimane5303
      @salmadalaquimane5303 6 лет назад +1

      Chemba ya nn sasa acha ujinga kila cku wana tuumiza awa au vle aya jakkuta

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 7 месяцев назад

    Si haki huyo Mama kuchukuliwa na Polisi maamusi yasiyokuwa na maendeleo katika Nchi sorry

  • @salmajuma4015
    @salmajuma4015 6 лет назад

    Piga kazi

  • @samsonmwaipwisi313
    @samsonmwaipwisi313 5 лет назад

    Mmegeuza mahakama tayari

  • @betwelnjavike188
    @betwelnjavike188 6 лет назад

    IKIWA USHAHIDI UPO NA MINUTE ZA KIKAO ZIPO WALA MWENYEKITI USIWE NA WASIWASI HAKI NA STAHIKI YAKO UTAIPATA.MUNGU IBARIKI TZ

    • @muslimkiluwa3814
      @muslimkiluwa3814 5 лет назад

      MKUU WA MKOA, POOL MAKONDA, HEMBU NJOO CHANIKA NGOBEDI KAKA

  • @ummimohammed1856
    @ummimohammed1856 7 лет назад

    viongozi wote wengekua hivi rushwa na dhulma isingekuepo Tanzania

  • @sikuadam6335
    @sikuadam6335 6 лет назад +1

    makonda tembelea kigamboni funcity kijiji cha ponde

  • @mohamedjuma423
    @mohamedjuma423 6 лет назад

    Hakuna cha kuonewa wala aibu kama unafanya kazi kwa uwadilifu huwezi kuaibika kwa namna yote ile,washuhulikie hao

  • @francomwalutende7864
    @francomwalutende7864 6 лет назад

    Huyu mama hana kosa

  • @dtejoz
    @dtejoz 6 лет назад

    How comes maamuzi yafanyike tena ya kuharibiana pasipo uchunguzi? Anyway accountability ni kitu kizuri lakini good governance ni bora zaidi.

  • @graciousjerry1322
    @graciousjerry1322 7 лет назад

    yaan uongoz hata bure achana nae uwiiiiiiii

  • @gerradtarimo3077
    @gerradtarimo3077 6 лет назад

    Ninacho kiona hapo watoa ushahidi wote ni makada wa ccm pengine mama anatokea upande wa pili! Hii ni janja ya kutisha watu tu kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa ili watu waogope wasigombee kutokea upinzani, wapinzani nao wala hawalioni hili, pamoja na yote hayo muheshimiwa mkuu wa mkoa sio poa namna hiyo!

  • @jeradkanyuru5745
    @jeradkanyuru5745 4 года назад

    Mama ugewachatu kazi ulikuwa wapi..ukiwa mudogo

  • @jeradkanyuru5745
    @jeradkanyuru5745 4 года назад

    Mama ugekaatu nyumbani...miyaka imekukata

  • @gospalflavour7304
    @gospalflavour7304 7 лет назад

    walishindwaje kumuonya kama kakosea mpaka wanabwabwaja mbele ya hadhara!

  • @romaltd4070
    @romaltd4070 6 лет назад

    Junior juma

  • @philimonindinadyo4843
    @philimonindinadyo4843 6 лет назад

    hivi kweli tuhuma zisizo thibitishwa namwekaje Nandan kwani wewe hujawahi kutuhumiwa mbona huwekwi ndani

  • @1sumbawanga
    @1sumbawanga 7 лет назад

    Mkuu wa Mkoa Dodoma na DC wake wangetembelea Nzuguni A na B

  • @michaelamos7737
    @michaelamos7737 7 лет назад +9

    Najua sauti haitoshi ingawa ntaitoa tu
    mweshimiwa Rais tunajua unampenda sana makonda
    lakini tusiompenda tukowengi zaidi sasa basi kwanini usimpe ubarozi hata afgan stani au Iraq akaishiuko tuone kama hatarekebika?
    hukubongo tumechoka anatuchafulia hali ya hewa

  • @MdArif-or9um
    @MdArif-or9um 6 лет назад

    Tanzania moto kumbee😃😃😃duh soon

  • @AngelChino-v8f
    @AngelChino-v8f 3 месяца назад

    Makonda nakuomba nenda kisiju pwani ukakigomboe kijiji chetu

  • @official_marley09
    @official_marley09 8 лет назад +16

    hyo ndo serikali tunayoitaka habar za kuongea pemben hatutak kila mtu abebe msalaba wake

    • @raphaelrespichius5245
      @raphaelrespichius5245 7 лет назад

      kama hadharani ofsi za nini basi na mahakimu watoe hukumu kwenye mikutano basi

    • @kingungengombari9159
      @kingungengombari9159 6 лет назад +1

      Watanzania walipofikia hawahitaj office wanataka vitu kama hiv

    • @saulosarmiento8632
      @saulosarmiento8632 6 лет назад

      Sio " tunayotaka " bali " unayotaka " husiweke wingi jisemehee peke yako tuuhh.