Makonda alivyoamuru Mwenyekiti mwingine akamatwe katikati ya mkutano
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Mkuu wa mkoa wa Dar es salam, Paul Makonda ameamuru kukamatwa kwa mwenyekiti wa mtaa wa Zavala kwenye mkutano wa hadhara Chanika kwa tuhuma za kuuza ardhi kinyume cha sheria ikiwemo eneo lililotengwa kwa ajili ya kuhamishia wananchi wa kata ya Kipawa ili kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege.#DarMPYA
Mungu akubarik makonda napenda sana speech zako.mungu akupe
nguvu kufatilia wanyonge hongera sana.❤❤❤
Nampenda sana makonda anafanya kazi vzr sana
nakukubali sana mh mkuu wa mkoa mimi binafsi naridhika na kazi zako zote unazo tetea maskini na wanyonge mungu akulinde dhidi ya maadui wote
Hongereni viongozi kwa upasuwaji majipu, japo upande mwingine ni kudhalilishana mbele ya umma.
upo vizuri mkuu wamkoa sana unafanya kazi sana mungu akusaidie sana watu. wanaonewa sana
M akonda jembe.chapakazi tetea wanyonge usiogope wachawi mungu anakupigania
Big up sana brother makonda Chapa kazi hakika uncle Magu hakukosea kukuchagua
Hongera sana kwa serekali ya magufuli na watenda kazi wote hii ndio serekali
Safi mkuu wa mkoa. Salamu zikufikie toka kenya
safi sn rc M.hii nch(dar)kuna watu waliifanya yao kbs
Safi good job mkuu wa mkoa
angalia haki mungu atakuuliza ulikuwa kiongozi ulifanya nini ila umefanya kazi nzuri
Makonda anapiga kazi sana sema ndio ivyo watu awampend ila kaz anapiga
MAMA ana busara za hali ya juu sana.Sijaona kama kuna sababu ya kufanyiwa hivi.Ilibidi wapate muda tu wa kumchunguza badala ya kumweka kwenye kisimamo cha namna hii.
kwa kweli mheshimiwa makonda bomba la mkuu wa mkoa adum adum daima
hongera makonda mungu akusaidie ulinde Mali y uma
@Katarina William, mumy hapo hakuna maswala ya chemba kwa maana kila kitu kifanyike hadharai ili wananchi waelewe nini kinaendelea. Nakupongeza mkuu wa mkoa bwana PAUL MAKONDA kwa kazi nzuri unayoifanya watu wakijua ugeni wako wanahaha hakuna mambo ya janja janja zama za MAGUFURI. Ayo tv ahsante kwa kutufikishia habar
makonda upo juuuuu nakuaminia sanaaaa wataelewa tuu
alafu wananch wa tanzania sijui tutaacha lini tabia yakushabikia kila jambo linaloonekana kumkandamiza mutu.hata bila kupima uzito wa mambo!!!
Pole sana mama
Fanya kazi yako baba
Mungu anakuona Makonda,huyo si sawa na mama yako,kwann msifanye pembeni heshima ya kazi ukwapi bongo.daah nimeumia kiukweli
Makonda noma aiseeh
kazi ipo kweli kweli
TANZANIA AT ANOTHER LEVEL
kila la kheri makonda Mungu akusimamie ututetee wanyonge
Latifa Abdallah duhh! ama kweli binadamu tumepewa upeo tofauti wa kufikir😎
Oyooooooooooooooooo nakupenda makonda
sisawa
jaman huyu makonda nimtu mungu almuludsha atetee watz anakutu ndan yake
Mh R.c Makonda njoo sehemu moja inaitwa Chekelen IPO mlandiz mkoa Wa pwan uje uwanyooshe Wenyevit Wa uko hawajui kuyatumia madaraka yao!!!
Makonda Hawezi kuja Pwani ila Dar tu.
makonda makonda good Job brother
Mh makondo una huruma.sanaa naona hapo umeona kama unamsulubu mama yako ila ana makosa huyo mama jamani mama mbona unatuaibisha wamama wenzio nyakati hizi ni za TANZANIA MPYAA
Makonda upo safi sana
safi Akuna kitu cha kuongelea chemba .mbona kuchaguliwa Akuna chenga?????
Safi Sana tumenyanyasika Sana
nimeipenda hiyo kama movi hivi kweli dunia ina mambo.
No mercy i like this!!!!!
Raia wakisikilizwa sana napo shida wao wanajua kupinga tu
safi makonda""
safi makonda
Ili kuleta maendeleo na pia kukomesha rushwa lazima kuchapana bakola, virungu,mapanga na pia matukio kama haya yatokee . Kama alikuwa ana hudhuria kwenye vikao vyeti vya Masela tunavyo jadili lazima wata nyooka tu uongozi wa kifalme mwisho ..********* hapa kazi tuuuuu!!!
Mzee Saf sana
Duh! Hatareeee sana
Upoooo 0742613839 pls nichk
Makonda unafaa kuwa kiongoz
maskin mama wawatu kwann mfanye mambo ya aibu kama hiyo kudhalilisha watoto wenu alaf mtasema makonda mbaya jaman mcheni mungu
Mweshmiwa njoooo kingor huk
Makonda nae akioteaga anajikosha balaaaa!!!
#VeryUnprofessional
acha waumbuke mwisho wao umefika waliwatesa Sana wananchi.
Beatrice Kihehe
Beatrice Kihehe wallahi nimeipenda sana hii move ya huyu mama
Hapa kaz tu Rushwa na uongoz wa kinafiki tupa kule
Makonda nakuombea uwe makamu wa rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania .
R,pc, wa mikoa mingine ebuchukueni mfanokwa,kea makonda jamani wanyonge wapate,haki zao
fantastic
Daaah mimi sina cha kusema
huu sio ustaarabu mzur hadharani km hv..
Ni shidaaaaaaaaa tumbua hao
Sasa Ni Mkuu wa Mkoa Arusha..Nimejikuta Nafatilia Majukumu ya Mh Makonda
makondaaaa oyeeeeee
Mkuu wa mkoa nakukubali kuatatua kero za wanyonge, Rais alikuchagua aliona unauwezo wa kuongoza Dar,
noma sana
Hii system ya Tanzania ya kuwanasa washukiwa hadharani inekua kenya tungekuwa kama Ulaya.
Kabisaa
😃😃 makonda si wa mchezo mchezo
watanzania sisi ni wanafki sana Hawa wenyekiti wanatusumbua sana...kwenye kutafuta maendeleo hakuna kuoneana huruma ni kazi tyu.......
Fefe only me yup dia
Fefe only me unasema kweli
Fefe only me toka lini mwenyekiti akaleta maendeleo ambayo jamii aliyonayo ikalidhika unafikili analetewa bajet yule muulize rais wako ndiye wakuleta maendeleo
Ilampango huu nimzuli nahaijawahikutokea Kama wkuwotewakiwahivi nchi saaafiii wanyonge wtafaidi matundayanchiyao
DAR MPYA
Ila namuhurumia sababu ni mama
M/kiti ni mama daah alafu anakatamatwaa
Musikubali uongozi,ni mtihani
Kuna wenyeviti wasiojihusisha na kuuza viwanja....
Mbwa sana huyu Makonda, kuna siku yake!!
iii ni ujinga ya uyo makonda yenu inchi akuna mahakama unasika mutu bila investigation atakama ni mkuu ya mkoa bure kabisa
wanyoosheeee
Kwa ukweli mambo kama haya hayafai kutokea Tanzania, mambo kama haya yanapaswa kushughlikiwa ofisini sio katika mikutano ya hadhara, huu ni udhalilishaji, huyu mama angepangiwa siku aende kuonana na mkuu wa mkoa ofisini kwake, siyo kukabidhiwa polisi kama jambazi au muuaji.
Abby Msa ,apangiwe aende wapi wakati huu si muda wa kuoneana aibu
Abby Msa watu wakifanya kazi ofisini Anasema wanalindana watu wakifanya kazi za wazi kila MTU ajue hamtaki tuacheni unafki bhana
Abby Msa mbona kura wanaomba mchana jua kali
Abby Msa unaakil sana mkali wang wengne wote wanabwabwaja tyu
Abby Msa ni kweli kabisa
Kaka makonda ukosafi san fiyakazi tunakupeda san kk yangu
Mkuu nipe Mimi ajira ya utendaji kaka yangu
naon jiji limepambazuka😂
Komesheni hili maana nchi haiendeshwi hivi
Kila binaadamu anapungufu yake leo yeye kesho nyie mnofurahiya Mingu anafanyiwa makosa mangapi makubwa zaidi ys hayo Mbona anatusamehe leo nyie mnashindwa kumtetea kwa mkuu wa mkoa ili amsahe na kujirekebisha huyo mama huo ubinaadamu gani inasikitisha sana hata Mungu atamsaidia hana kwani hana hila...hata hivo watanzania muwe watu huruma kwa wezenu wakiwa wameteza ili mfano kwa mataifa mengine duniani..Ramadhan Karim.
Wakfu hua hauzwi wala kubadilishwa kama mwenyewe aliyetoa alivo agiza ,sasa kama MTU ameuza kwanza anakua ametenda dhambi kubwa sana ,tukiachilia kuvunja sheria
interesting
Daah huruma
Mmmh isiwe mtaa wangu tu nilio nunua mie jamni 🙆🙆🙆
Hii ni uchonganishi wa hali ya juu jamani.Kwanini wasiitwe chemba.Maana Hapa kama wanaosema watakosa ulinzi wanaweza kudhurika/kuuwawa na ndugu wa atakaye kamatwa.
maisha ya chemba yanaongoza kwa rushwa.... siku zote gizani ni ushetani
katarina william hkuna chemba mbona kura wanaomba mchana jua kali
Chemba ya nn sasa acha ujinga kila cku wana tuumiza awa au vle aya jakkuta
Si haki huyo Mama kuchukuliwa na Polisi maamusi yasiyokuwa na maendeleo katika Nchi sorry
Piga kazi
Mmegeuza mahakama tayari
IKIWA USHAHIDI UPO NA MINUTE ZA KIKAO ZIPO WALA MWENYEKITI USIWE NA WASIWASI HAKI NA STAHIKI YAKO UTAIPATA.MUNGU IBARIKI TZ
MKUU WA MKOA, POOL MAKONDA, HEMBU NJOO CHANIKA NGOBEDI KAKA
viongozi wote wengekua hivi rushwa na dhulma isingekuepo Tanzania
makonda tembelea kigamboni funcity kijiji cha ponde
Hakuna cha kuonewa wala aibu kama unafanya kazi kwa uwadilifu huwezi kuaibika kwa namna yote ile,washuhulikie hao
Huyu mama hana kosa
How comes maamuzi yafanyike tena ya kuharibiana pasipo uchunguzi? Anyway accountability ni kitu kizuri lakini good governance ni bora zaidi.
yaan uongoz hata bure achana nae uwiiiiiiii
Ninacho kiona hapo watoa ushahidi wote ni makada wa ccm pengine mama anatokea upande wa pili! Hii ni janja ya kutisha watu tu kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa ili watu waogope wasigombee kutokea upinzani, wapinzani nao wala hawalioni hili, pamoja na yote hayo muheshimiwa mkuu wa mkoa sio poa namna hiyo!
Mama ugewachatu kazi ulikuwa wapi..ukiwa mudogo
Mama ugekaatu nyumbani...miyaka imekukata
walishindwaje kumuonya kama kakosea mpaka wanabwabwaja mbele ya hadhara!
Mjingaww ndoosafi
Junior juma
hivi kweli tuhuma zisizo thibitishwa namwekaje Nandan kwani wewe hujawahi kutuhumiwa mbona huwekwi ndani
Mkuu wa Mkoa Dodoma na DC wake wangetembelea Nzuguni A na B
Najua sauti haitoshi ingawa ntaitoa tu
mweshimiwa Rais tunajua unampenda sana makonda
lakini tusiompenda tukowengi zaidi sasa basi kwanini usimpe ubarozi hata afgan stani au Iraq akaishiuko tuone kama hatarekebika?
hukubongo tumechoka anatuchafulia hali ya hewa
Michael Amos yaaani
Tanzania moto kumbee😃😃😃duh soon
Makonda nakuomba nenda kisiju pwani ukakigomboe kijiji chetu
hyo ndo serikali tunayoitaka habar za kuongea pemben hatutak kila mtu abebe msalaba wake
kama hadharani ofsi za nini basi na mahakimu watoe hukumu kwenye mikutano basi
Watanzania walipofikia hawahitaj office wanataka vitu kama hiv
Sio " tunayotaka " bali " unayotaka " husiweke wingi jisemehee peke yako tuuhh.