Akuna haja yakutusi wakongo wote natambua kila mtu anajuwa congo emegubikwa na majambazi wengi kutokana na mali ya nchi. Kwao kila anaye miliki bunduki ujiita ni jeshi
Dah inasikitisha sana, poleni ndugu zetu Allah amewaokoa basi ni neema iliyoje amewarejesha mikononi mwa ndugu zenu. Basi je haitoshi huu kuwa ni fundisho kwetu na kwenu. basi turejeeni kwa mola wetu, tufanye ibada. huwezi kujua uhai wake utaisha lini. Ahsanteni
ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR..hasindwi na jambo..fanyen swadaka inshallah....da SUBHANNA LLAH...mwenyezimungu awangamize wakongo hao.poleni sana ndg zangu....maadam mko salaama Alhamdulillah.
Munacheza na congo wajambazi wamejaa wametokea rwada burundi Uganda 🇺🇬 hata sisi wa congo tunaogopa misiwezi kwenda congo😢 Allah okoa inchiangu 😢mali zetu zinatuponza😢😢😢😢
sasa nyie: yanayo zungumzwa kilasiku kuhusu vita na hali ya wasiwasi mashariki mwa Congo huwaga hamsikiyi? ama mnafikiriaga ni utani? mashariki mwa inchi yetu hali yaijakaa sawa, muwe makini siku nyingine!
Daah, polen sana ndg zanguni kwa janga hilo kubwa lililowakumbeni, hakika Mungu alikuwa pamoja nanyi, masimuliz yanasisimua sana na kuhudhunisha pia, ila yote kwa yote mumerud mukiwa salama kabisa, hingereni pia.
mlikuwa pamoja namungu napia tujifuze kuwa achukuae roho yabinadamu mungu peke ake siuchawi poleni sana hapo hapo mmejifuza ukamanda popote uendapo mtakaa
Dah,polenisana nduguzetu,mazingirahayosisi hatujayazoea kabisaaa ila ni kumshukuru Mungu mposalama,ombi kwa haomabosi nikuweka mazingira bora ya kazi kwa madereva toka Tanzania.
Jamani poleni sana tumshukuru mungu Kwa yote aliyowakoa ukiwa unamwomba mungu hakuachi penye shida anafanya njia basi tunashukuru sana jeshi lililotuokolea ndugu zetu watanzania hayo ndo mapito tunayoyapitia duniani poleni mno
hongera sana kwa kwa kazi waliyoifanya wanajeshi wa Congo,, "Watanzania kuya " hii ndio ilikuwa Saut ya matumaini kwa madereva wetu,,Asante Mungu
Mbona udugu Na urafiki wetu unapungua sana Kwa Hawa ndg zetu siku hizi!? Kulikoni
Pole Ni Sana ndugu zetu MUNGU ainuliwe mmepona! MUNGU nimmwema
Kwa. Allh hakunagu. Ya mungu mengi. 😂
Mungu anatupigania sana. Tunamshukuru Mungu kwa hilo jeshi la Congo
Shukrani Mtulo polen jaman mwe mm mwenyew niltka niende uko
Poleni sana ndugu zangu watanzania wenzangu wakongo wasenge sana au xhetani yupo congo aya tundurisu na mbowe jifunze apa
Akuna haja yakutusi wakongo wote natambua kila mtu anajuwa congo emegubikwa na majambazi wengi kutokana na mali ya nchi.
Kwao kila anaye miliki bunduki ujiita ni jeshi
Akili auna mbowe na lisu ndo wanataka vta we chiz nn
Lissu na Mbowe wanahusikaje hapo?
Poleni Sana Madreva Watanzania wenzetu kwa mkasa mloupata.
Dah inasikitisha sana, poleni ndugu zetu Allah amewaokoa basi ni neema iliyoje amewarejesha mikononi mwa ndugu zenu. Basi je haitoshi huu kuwa ni fundisho kwetu na kwenu. basi turejeeni kwa mola wetu, tufanye ibada. huwezi kujua uhai wake utaisha lini. Ahsanteni
Kwanza sifa na utukufu apewe bwan wetu Yesu Kiristo kuwatoa salama ,pili poleni sana
Kabisa mpnz.
Acheni ujinga yesu Hana uwezo wowote wakuokoa mtu.
😢😂 Yan we@@Bashirubakarisalala
poleni sana ndugu zanguni haya ndio maisha tunayoishi huku na hawa ndugu zetu waasi kila kukicha ni majanga
Ayo tv mpovizuri jamani mungu awabariki
Expendable. Tanzania. Big up. Commando maonyesho.
Duu tuko pamoja 2024 sihawahi ona Hii habali nimehuzunika saana 😢😢 🙏
poleni sana mwenyezi mungu kuwanusuru,husuni kweli.
poleni sana mungu ni mwema amewanusuru hili tunamuomba awalinde daima awanusuru na jingine mungu ni mkubwa
inchi zingine zina roho mbaya
Poleni nikumshukuru mungu
Poleni sana, mmerudi kuonana na family zenu, mkatoe sadaka makanisani na misikitini
Duh! Poleni sana, Yule Mwenzeni aliyefanikiwa kutoroka nn hatima yake.
Sindio huyo wakwanza kujieleza.... Sema alibana wapi ?
poleni sana Mungu ni mwema
Hongereni ila ndio wanaume jikaze
Poleni sana kaka zangu mungu amewapigania
poleni sana kwa mikasa yote. Mungu amekuwa upande wenu. Wasingewau kwa sababu wanafaham Tanzania ina raia wakarimu mno.
God bless all .😢😢Its not a easy life being a Truck driver traveling to this war torn areas.lots of prayers & love from Kenya🇰🇪
Poleni Sana ndugu zangu
Watanzania Kuyaa tumekuja kuwakomboa Watanzania Kuyaa
(Jeshi la Congo hilo )
Daahhh Poleni sana Watz wenzentu
Allah akbar poleni sana inatosha kujua ukubwa wa allahah
Waislam nitelorist
MUNGu ni MUNGU tuuu anaokoa
Daah, poleni Sana mungu amesimama kuwa mungu, tumshukuru Kwa kweli nao hao wanajeshi waliowaokoa mungu awabariki na kuwafunika kwenye mbawa zake
Pole sana jamani watanzania wenzetu daaah mpk nimelia sana jamani kaka zetu mungu yupo na anatenda
daa mung ni mwema namshukuru bwana yesu kwa kutenda muujiza mkuu
poleni Sana mungu ni mwema
Polen sana
Poleni sana mungu awasaidie
Ee mwenyezi mungu wanusuru waume zetu Madereva
namim pis dereva wa Kik niombee
ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR..hasindwi na jambo..fanyen swadaka inshallah....da SUBHANNA LLAH...mwenyezimungu awangamize wakongo hao.poleni sana ndg zangu....maadam mko salaama Alhamdulillah.
Huyo bwana aliyekuwa wa kwanza kutoroka angeshikwa naona ndo ingekuwa mwisho wa muvi!! Congo sio kongowe.
Ebi Salum mbavu zangu 🤣
Kbs🤣🤣
😂😂
Munacheza na congo wajambazi wamejaa wametokea rwada burundi Uganda 🇺🇬 hata sisi wa congo tunaogopa misiwezi kwenda congo😢 Allah okoa inchiangu 😢mali zetu zinatuponza😢😢😢😢
Nan kaangalia hii 2019 like yk tafadhali
Poleni sana ila nashukuru na ndugu yetu katoka salaama hata sikuamini kumbe kweli, mungu mwema😍
mungu kawa saidia ila msiende tena mana mmeponea kwenye tundu la sindano
poleni sana...
polen sana mungu halali kwa ajili yetu sisi wanada tumshukuru kwa kila jambo
Allahu akbar hakika mungu ni mkubwa poren xana ndugu zetu
Poleni sana ndugu zetu, as long as mmerudi salama tunamshukuru mungu.
Poleni sana 🇰🇪
one people one nation thanks Allah madereva wetu
thanks God mmerejea salama, mungu azidi kuwalinda na kila baya!
Polen sana *Joseph Yord Mwajombe* kama movie aisee,inaskitisha sana.
Mungu hashindwi, poleni
Poleni sana ndugu zetu
jamani. mungu nimwema. ila poleni sana
Iragi Barume pokeni
sasa nyie: yanayo zungumzwa kilasiku kuhusu vita na hali ya wasiwasi mashariki mwa Congo huwaga hamsikiyi? ama mnafikiriaga ni utani? mashariki mwa inchi yetu hali yaijakaa sawa, muwe makini siku nyingine!
daaaaa polenisana
Broo unajua kutafta helaa ww au huww unahongwaa
Hakuna kama BWANA YESU
Ni kauli ambayo naikumbuka ilinitia faraja sana sitaweza kuisahau. MWISHO!
Poleni sana
pole ni sana
poleni sana jaman.....vita c nzur hili tunalisikia je wenzetu walioshuhudia ..
Usikute ni kiboko ya wachawi, ndo alifanya connection.
Poleni sana madereva wootee Mungu atazidi kunmlinda Inshaallah
Polen ndugu zetu mungu ni mwema
Porenisan
mungu Mkubwa hatimaye ndugu zezu wamerejea kwenye ardhi ya nyumbani
ajali kazini
Asante Mungu kwa kuwaokoeni ndugu zetu
poleni sana
Mungu nimkubwa namzidi kuomba kila wakati
Mungu bado anawapenda mumrudie yeye mana nyie.madereva ni mafataki
mungu amewaokoa
Poleni sana ndg zetu
Daah, polen sana ndg zanguni kwa janga hilo kubwa lililowakumbeni, hakika Mungu alikuwa pamoja nanyi, masimuliz yanasisimua sana na kuhudhunisha pia, ila yote kwa yote mumerud mukiwa salama kabisa, hingereni pia.
poleni sana ndg zetu
Mungu ni mwema msiache kuabudu mungu hata njiani
mlikuwa pamoja namungu napia tujifuze kuwa achukuae roho yabinadamu mungu peke ake siuchawi poleni sana hapo hapo mmejifuza ukamanda popote uendapo mtakaa
Kila kaz inachanga🔥 zake poleni sana
Poleni
poleni sana kaka zangu
daaaaaa kaz zet zna changamoto nyingi sana mungu atsaidie wat tunao kaanao pamoja awajui shida zetu
Uhakika mimi japo nimearibika ila nilikuwa nawahurumia saanmadera
poleni xana hakika mungu ni muweza
Dah,polenisana nduguzetu,mazingirahayosisi hatujayazoea kabisaaa ila ni kumshukuru Mungu mposalama,ombi kwa haomabosi nikuweka mazingira bora ya kazi kwa madereva toka Tanzania.
maskin mungu hamtupi mja wake
Pole sana, MUNGU anawapenda,msimuache!
pole sana ndug zang
Ooooh kumbe haohao Wakongo pia waliwakomboa Mungu mkubwa
Yuyo shehe Hassan anamuabudu mungu gani ama dini yake inamuruhusu kufanya hivyo?
Mungu ndiye muweza wa yote amewaokoa na na hilo bwana ahimidiwe
Waislamu wabaya
Allah kareem
Mungu Ni mwema
Poleni sana bhana yote Misha iko siku yatakwisha inaskitisha Sana ila hakuna kukata tamaa kwenye utaftaji
Pole ni sanaajamani ndugu zetu
Polen sana mungu nimkubwa
Dah polen saana ndugu zangu
Jamani poleni sana tumshukuru mungu Kwa yote aliyowakoa ukiwa unamwomba mungu hakuachi penye shida anafanya njia basi tunashukuru sana jeshi lililotuokolea ndugu zetu watanzania hayo ndo mapito tunayoyapitia duniani poleni mno
Poleni san ndugu zang
Pl
Inauma Sana ndugu zangu je? Nahayo majambazi yaliuawa au
😢😢😢Mungu kama hajapanga kifo huezi kufa
kweli tanzania ni ndugu ukisoma izi comment utakubali
Polen sana
Polen sana kwan maisha nipopote
Poleni Sana madereca
poreni sana braza zangu kwa majanga
kama movie
Poleni sana mungu alikuwa pamoja na nyinyi
Thanks God!!!
Dhuuu poleni sana eti banakuya bebeni Batu
poleni sana mungu ni mkubwa
kama filamu vile kumbe scene za kweli.
polen sana na hongeren sana
Mungu ni mwema, poleni sana
polen sana ndugu
polesana ndunguzetu mnga naashukuliwe
pollen sana wandugu wakumshukur ni Allah.
Allhadullah