Madereva watanzania waliotekwa Congo wasimulia ilivyotokea mpaka kuokolewa kwao

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Madereva watanzania waliotekwa Congo wasimulia ilivyotokea mpaka kuokolewa kwao

Комментарии • 315

  • @mhagamakonge9493
    @mhagamakonge9493 8 лет назад +34

    hongera sana kwa kwa kazi waliyoifanya wanajeshi wa Congo,, "Watanzania kuya " hii ndio ilikuwa Saut ya matumaini kwa madereva wetu,,Asante Mungu

    • @godfreymwandulusya2437
      @godfreymwandulusya2437 5 лет назад +1

      Mbona udugu Na urafiki wetu unapungua sana Kwa Hawa ndg zetu siku hizi!? Kulikoni

    • @MozesPaul-h6i
      @MozesPaul-h6i 5 месяцев назад

      Pole Ni Sana ndugu zetu MUNGU ainuliwe mmepona! MUNGU nimmwema

    • @PilliItambi
      @PilliItambi 2 месяца назад

      Kwa. Allh hakunagu. Ya mungu mengi. 😂

  • @shukranimtulo5857
    @shukranimtulo5857 8 лет назад +12

    Mungu anatupigania sana. Tunamshukuru Mungu kwa hilo jeshi la Congo

    • @daudmwamboma5911
      @daudmwamboma5911 5 лет назад

      Shukrani Mtulo polen jaman mwe mm mwenyew niltka niende uko

  • @BON357
    @BON357 5 месяцев назад +6

    Poleni sana ndugu zangu watanzania wenzangu wakongo wasenge sana au xhetani yupo congo aya tundurisu na mbowe jifunze apa

    • @EliteFresh
      @EliteFresh 4 месяца назад

      Akuna haja yakutusi wakongo wote natambua kila mtu anajuwa congo emegubikwa na majambazi wengi kutokana na mali ya nchi.
      Kwao kila anaye miliki bunduki ujiita ni jeshi

    • @SeifSeif-c5d
      @SeifSeif-c5d 4 месяца назад

      Akili auna mbowe na lisu ndo wanataka vta we chiz nn

    • @laurentraphael5470
      @laurentraphael5470 4 месяца назад

      Lissu na Mbowe wanahusikaje hapo?

  • @xiganzacharia6464
    @xiganzacharia6464 8 лет назад +12

    Poleni Sana Madreva Watanzania wenzetu kwa mkasa mloupata.

  • @safinabakari9140
    @safinabakari9140 8 лет назад +14

    Dah inasikitisha sana, poleni ndugu zetu Allah amewaokoa basi ni neema iliyoje amewarejesha mikononi mwa ndugu zenu. Basi je haitoshi huu kuwa ni fundisho kwetu na kwenu. basi turejeeni kwa mola wetu, tufanye ibada. huwezi kujua uhai wake utaisha lini. Ahsanteni

    • @leinaamos9559
      @leinaamos9559 6 лет назад +2

      Kwanza sifa na utukufu apewe bwan wetu Yesu Kiristo kuwatoa salama ,pili poleni sana

    • @jaliakamote5485
      @jaliakamote5485 5 лет назад +1

      Kabisa mpnz.

    • @Bashirubakarisalala
      @Bashirubakarisalala 5 месяцев назад +1

      Acheni ujinga yesu Hana uwezo wowote wakuokoa mtu.

    • @SihabaAbdallah-li6dx
      @SihabaAbdallah-li6dx 13 дней назад

      😢😂 Yan we​@@Bashirubakarisalala

  • @Mjeru5631
    @Mjeru5631 8 лет назад +13

    poleni sana ndugu zanguni haya ndio maisha tunayoishi huku na hawa ndugu zetu waasi kila kukicha ni majanga

  • @madamcolethaa641
    @madamcolethaa641 5 лет назад +9

    Ayo tv mpovizuri jamani mungu awabariki

  • @TonnyMaleko
    @TonnyMaleko 5 месяцев назад +3

    Expendable. Tanzania. Big up. Commando maonyesho.

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 5 месяцев назад

      Duu tuko pamoja 2024 sihawahi ona Hii habali nimehuzunika saana 😢😢 🙏

  • @asiminana4097
    @asiminana4097 8 лет назад +10

    poleni sana mwenyezi mungu kuwanusuru,husuni kweli.

  • @saidkhalfan1607
    @saidkhalfan1607 8 лет назад +13

    poleni sana mungu ni mwema amewanusuru hili tunamuomba awalinde daima awanusuru na jingine mungu ni mkubwa

  • @shekhahamed7625
    @shekhahamed7625 6 лет назад +6

    Poleni nikumshukuru mungu

  • @JohnMasadu
    @JohnMasadu 2 месяца назад +2

    Poleni sana, mmerudi kuonana na family zenu, mkatoe sadaka makanisani na misikitini

  • @tumainibihemo7755
    @tumainibihemo7755 8 лет назад +5

    Duh! Poleni sana, Yule Mwenzeni aliyefanikiwa kutoroka nn hatima yake.

    • @loner_wolf
      @loner_wolf 5 лет назад +1

      Sindio huyo wakwanza kujieleza.... Sema alibana wapi ?

  • @fadhilaamiri8498
    @fadhilaamiri8498 8 лет назад +8

    poleni sana Mungu ni mwema

  • @sofiamsuya2254
    @sofiamsuya2254 3 месяца назад +2

    Hongereni ila ndio wanaume jikaze

  • @JamilaJuma-dl4rh
    @JamilaJuma-dl4rh 14 дней назад

    Poleni sana kaka zangu mungu amewapigania

  • @nsiamassawe3075
    @nsiamassawe3075 5 лет назад +2

    poleni sana kwa mikasa yote. Mungu amekuwa upande wenu. Wasingewau kwa sababu wanafaham Tanzania ina raia wakarimu mno.

  • @jamesoduororawo8379
    @jamesoduororawo8379 4 месяца назад +1

    God bless all .😢😢Its not a easy life being a Truck driver traveling to this war torn areas.lots of prayers & love from Kenya🇰🇪

  • @T.M.GTumbage
    @T.M.GTumbage 7 дней назад

    Poleni Sana ndugu zangu

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 4 месяца назад +6

    Watanzania Kuyaa tumekuja kuwakomboa Watanzania Kuyaa
    (Jeshi la Congo hilo )
    Daahhh Poleni sana Watz wenzentu

  • @Fatma-tx4os
    @Fatma-tx4os 8 лет назад +8

    Allah akbar poleni sana inatosha kujua ukubwa wa allahah

  • @Paulinawilliam-n8f
    @Paulinawilliam-n8f 6 месяцев назад +1

    Daah, poleni Sana mungu amesimama kuwa mungu, tumshukuru Kwa kweli nao hao wanajeshi waliowaokoa mungu awabariki na kuwafunika kwenye mbawa zake

  • @EsterMjamaa-gw4be
    @EsterMjamaa-gw4be Месяц назад +1

    Pole sana jamani watanzania wenzetu daaah mpk nimelia sana jamani kaka zetu mungu yupo na anatenda

  • @beatreasmgonja1735
    @beatreasmgonja1735 8 лет назад +9

    daa mung ni mwema namshukuru bwana yesu kwa kutenda muujiza mkuu

  • @LovenessElias-v5j
    @LovenessElias-v5j 5 дней назад

    Poleni sana mungu awasaidie

  • @ernestisokolo-mx3hg
    @ernestisokolo-mx3hg 4 месяца назад +2

    Ee mwenyezi mungu wanusuru waume zetu Madereva

    • @Maimunasimon
      @Maimunasimon 2 месяца назад

      namim pis dereva wa Kik niombee

  • @yusufally6853
    @yusufally6853 5 лет назад +1

    ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR..hasindwi na jambo..fanyen swadaka inshallah....da SUBHANNA LLAH...mwenyezimungu awangamize wakongo hao.poleni sana ndg zangu....maadam mko salaama Alhamdulillah.

  • @ebisalum8828
    @ebisalum8828 6 лет назад +6

    Huyo bwana aliyekuwa wa kwanza kutoroka angeshikwa naona ndo ingekuwa mwisho wa muvi!! Congo sio kongowe.

  • @hanifamasudi9732
    @hanifamasudi9732 22 дня назад

    Munacheza na congo wajambazi wamejaa wametokea rwada burundi Uganda 🇺🇬 hata sisi wa congo tunaogopa misiwezi kwenda congo😢 Allah okoa inchiangu 😢mali zetu zinatuponza😢😢😢😢

  • @khayratmuhamed6730
    @khayratmuhamed6730 5 лет назад +4

    Nan kaangalia hii 2019 like yk tafadhali

  • @nurudovino7305
    @nurudovino7305 6 лет назад +3

    Poleni sana ila nashukuru na ndugu yetu katoka salaama hata sikuamini kumbe kweli, mungu mwema😍

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 6 лет назад +3

    mungu kawa saidia ila msiende tena mana mmeponea kwenye tundu la sindano

  • @jannerysharongaza9469
    @jannerysharongaza9469 8 лет назад +4

    poleni sana...

  • @rehemasharriff7494
    @rehemasharriff7494 8 лет назад +2

    polen sana mungu halali kwa ajili yetu sisi wanada tumshukuru kwa kila jambo

  • @rahmaoman5122
    @rahmaoman5122 5 лет назад +3

    Allahu akbar hakika mungu ni mkubwa poren xana ndugu zetu

  • @fredsanga9461
    @fredsanga9461 8 лет назад +1

    Poleni sana ndugu zetu, as long as mmerudi salama tunamshukuru mungu.

  • @EmilyGithua
    @EmilyGithua 15 дней назад

    Poleni sana 🇰🇪

  • @harunncheye8817
    @harunncheye8817 8 лет назад +3

    one people one nation thanks Allah madereva wetu

  • @theodorasamweli1136
    @theodorasamweli1136 8 лет назад +6

    thanks God mmerejea salama, mungu azidi kuwalinda na kila baya!

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 7 лет назад +5

    Polen sana *Joseph Yord Mwajombe* kama movie aisee,inaskitisha sana.

  • @benjamindenice53
    @benjamindenice53 6 лет назад +2

    Mungu hashindwi, poleni

  • @hassankayla4076
    @hassankayla4076 8 лет назад +4

    Poleni sana ndugu zetu

  • @banimulengwa7837
    @banimulengwa7837 8 лет назад +8

    sasa nyie: yanayo zungumzwa kilasiku kuhusu vita na hali ya wasiwasi mashariki mwa Congo huwaga hamsikiyi? ama mnafikiriaga ni utani? mashariki mwa inchi yetu hali yaijakaa sawa, muwe makini siku nyingine!

  • @gastosecha4713
    @gastosecha4713 8 лет назад +16

    Hakuna kama BWANA YESU

  • @mahesenitunduma2438
    @mahesenitunduma2438 8 лет назад +9

    Ni kauli ambayo naikumbuka ilinitia faraja sana sitaweza kuisahau. MWISHO!

  • @BartonRogers-d6z
    @BartonRogers-d6z 2 месяца назад

    Poleni sana

  • @AugustyKessy
    @AugustyKessy 15 дней назад

    pole ni sana

  • @salamuushawji2044
    @salamuushawji2044 2 месяца назад

    poleni sana jaman.....vita c nzur hili tunalisikia je wenzetu walioshuhudia ..

  • @HelenaMatiasi
    @HelenaMatiasi 14 дней назад

    Usikute ni kiboko ya wachawi, ndo alifanya connection.

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif47 3 года назад

    Poleni sana madereva wootee Mungu atazidi kunmlinda Inshaallah

  • @princessjudith4417
    @princessjudith4417 6 лет назад +2

    Polen ndugu zetu mungu ni mwema

  • @happychipanyanga2021
    @happychipanyanga2021 8 лет назад +4

    mungu Mkubwa hatimaye ndugu zezu wamerejea kwenye ardhi ya nyumbani

  • @Msonjo
    @Msonjo 7 лет назад +3

    ajali kazini

  • @FrancisAMligo
    @FrancisAMligo 6 лет назад +8

    Asante Mungu kwa kuwaokoeni ndugu zetu

  • @adinanichadadee530
    @adinanichadadee530 8 лет назад +3

    poleni sana

  • @estheronyoro1452
    @estheronyoro1452 6 лет назад +2

    Mungu nimkubwa namzidi kuomba kila wakati

  • @dorismamf7404
    @dorismamf7404 6 лет назад +3

    Mungu bado anawapenda mumrudie yeye mana nyie.madereva ni mafataki

  • @philipompene9968
    @philipompene9968 8 лет назад +4

    mungu amewaokoa

  • @mussamussamussa8444
    @mussamussamussa8444 8 лет назад +1

    Poleni sana ndg zetu

  • @KitangariGenerations
    @KitangariGenerations 4 месяца назад

    Daah, polen sana ndg zanguni kwa janga hilo kubwa lililowakumbeni, hakika Mungu alikuwa pamoja nanyi, masimuliz yanasisimua sana na kuhudhunisha pia, ila yote kwa yote mumerud mukiwa salama kabisa, hingereni pia.

  • @mariamhadija7236
    @mariamhadija7236 8 лет назад +1

    poleni sana ndg zetu

  • @ashnaomi2385
    @ashnaomi2385 5 лет назад +2

    Mungu ni mwema msiache kuabudu mungu hata njiani

  • @bishaaibrahim8802
    @bishaaibrahim8802 8 лет назад +10

    mlikuwa pamoja namungu napia tujifuze kuwa achukuae roho yabinadamu mungu peke ake siuchawi poleni sana hapo hapo mmejifuza ukamanda popote uendapo mtakaa

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3um 5 месяцев назад +1

    Kila kaz inachanga🔥 zake poleni sana

  • @esthernyanchama3522
    @esthernyanchama3522 6 лет назад +2

    Poleni

  • @robertnickson389
    @robertnickson389 7 лет назад +2

    poleni sana kaka zangu

  • @HashimRajabu
    @HashimRajabu 4 месяца назад

    daaaaaa kaz zet zna changamoto nyingi sana mungu atsaidie wat tunao kaanao pamoja awajui shida zetu

  • @HarunaFursana
    @HarunaFursana 10 дней назад

    Uhakika mimi japo nimearibika ila nilikuwa nawahurumia saanmadera

  • @dianaraymond2967
    @dianaraymond2967 8 лет назад +2

    poleni xana hakika mungu ni muweza

  • @jumamwinyimkuu9409
    @jumamwinyimkuu9409 8 лет назад +2

    Dah,polenisana nduguzetu,mazingirahayosisi hatujayazoea kabisaaa ila ni kumshukuru Mungu mposalama,ombi kwa haomabosi nikuweka mazingira bora ya kazi kwa madereva toka Tanzania.

  • @bintirashidantybaby8146
    @bintirashidantybaby8146 8 лет назад +4

    maskin mungu hamtupi mja wake

  • @LucasMwijage-oc5nx
    @LucasMwijage-oc5nx 4 месяца назад

    Pole sana, MUNGU anawapenda,msimuache!

  • @ashamwaulambo2997
    @ashamwaulambo2997 8 лет назад +2

    pole sana ndug zang

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 5 лет назад +2

    Ooooh kumbe haohao Wakongo pia waliwakomboa Mungu mkubwa

  • @adammasunga6382
    @adammasunga6382 5 лет назад +3

    Yuyo shehe Hassan anamuabudu mungu gani ama dini yake inamuruhusu kufanya hivyo?
    Mungu ndiye muweza wa yote amewaokoa na na hilo bwana ahimidiwe

  • @salimusaid7309
    @salimusaid7309 5 лет назад +1

    Allah kareem

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 4 месяца назад

    Mungu Ni mwema

  • @jumamaincharacter2107
    @jumamaincharacter2107 6 лет назад +1

    Poleni sana bhana yote Misha iko siku yatakwisha inaskitisha Sana ila hakuna kukata tamaa kwenye utaftaji

  • @janinnekaneza8780
    @janinnekaneza8780 8 лет назад +1

    Polen sana mungu nimkubwa

  • @mnyakyusahalisi2049
    @mnyakyusahalisi2049 8 лет назад +1

    Dah polen saana ndugu zangu

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 5 месяцев назад

    Jamani poleni sana tumshukuru mungu Kwa yote aliyowakoa ukiwa unamwomba mungu hakuachi penye shida anafanya njia basi tunashukuru sana jeshi lililotuokolea ndugu zetu watanzania hayo ndo mapito tunayoyapitia duniani poleni mno

  • @fatumaomari8115
    @fatumaomari8115 6 лет назад +1

    Poleni san ndugu zang

  • @alexmadaraka840
    @alexmadaraka840 6 лет назад +1

    Inauma Sana ndugu zangu je? Nahayo majambazi yaliuawa au

  • @estergidbosta3014
    @estergidbosta3014 15 дней назад

    😢😢😢Mungu kama hajapanga kifo huezi kufa

  • @anonymous-ps8iu
    @anonymous-ps8iu 7 лет назад +7

    kweli tanzania ni ndugu ukisoma izi comment utakubali

  • @IssaTayari
    @IssaTayari 15 дней назад

    Polen sana

  • @ridiayohana9311
    @ridiayohana9311 7 лет назад +1

    Polen sana kwan maisha nipopote

  • @KabulaJoin
    @KabulaJoin 3 месяца назад +2

    Poleni Sana madereca

  • @mudytondo3130
    @mudytondo3130 5 лет назад +1

    poreni sana braza zangu kwa majanga

  • @davypmsangi
    @davypmsangi 8 лет назад +4

    kama movie

  • @dominathakokubelwa9801
    @dominathakokubelwa9801 5 месяцев назад

    Poleni sana mungu alikuwa pamoja na nyinyi

  • @footballhighlightsupdatest5212
    @footballhighlightsupdatest5212 8 лет назад +2

    Thanks God!!!

  • @modestgbah8877
    @modestgbah8877 6 лет назад +1

    Dhuuu poleni sana eti banakuya bebeni Batu

  • @حواءجمعهخميس
    @حواءجمعهخميس 8 лет назад +2

    poleni sana mungu ni mkubwa

  • @kiezeraalfred4493
    @kiezeraalfred4493 8 лет назад +6

    kama filamu vile kumbe scene za kweli.

  • @adillhabib2006
    @adillhabib2006 5 лет назад

    polen sana na hongeren sana

  • @rubbymusa1971
    @rubbymusa1971 8 лет назад +1

    Mungu ni mwema, poleni sana

  • @sedckiaaloyce1611
    @sedckiaaloyce1611 5 лет назад +1

    polesana ndunguzetu mnga naashukuliwe

  • @hassanmwalubanje9289
    @hassanmwalubanje9289 8 лет назад +2

    pollen sana wandugu wakumshukur ni Allah.

  • @salmamasoud6055
    @salmamasoud6055 8 лет назад +3

    Allhadullah