mlikuwa pamoja namungu napia tujifuze kuwa achukuae roho yabinadamu mungu peke ake siuchawi poleni sana hapo hapo mmejifuza ukamanda popote uendapo mtakaa
Daah, polen sana ndg zanguni kwa janga hilo kubwa lililowakumbeni, hakika Mungu alikuwa pamoja nanyi, masimuliz yanasisimua sana na kuhudhunisha pia, ila yote kwa yote mumerud mukiwa salama kabisa, hingereni pia.
Dah,polenisana nduguzetu,mazingirahayosisi hatujayazoea kabisaaa ila ni kumshukuru Mungu mposalama,ombi kwa haomabosi nikuweka mazingira bora ya kazi kwa madereva toka Tanzania.
Dah inasikitisha sana, poleni ndugu zetu Allah amewaokoa basi ni neema iliyoje amewarejesha mikononi mwa ndugu zenu. Basi je haitoshi huu kuwa ni fundisho kwetu na kwenu. basi turejeeni kwa mola wetu, tufanye ibada. huwezi kujua uhai wake utaisha lini. Ahsanteni
ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR..hasindwi na jambo..fanyen swadaka inshallah....da SUBHANNA LLAH...mwenyezimungu awangamize wakongo hao.poleni sana ndg zangu....maadam mko salaama Alhamdulillah.
Akuna haja yakutusi wakongo wote natambua kila mtu anajuwa congo emegubikwa na majambazi wengi kutokana na mali ya nchi. Kwao kila anaye miliki bunduki ujiita ni jeshi
Jamani poleni sana tumshukuru mungu Kwa yote aliyowakoa ukiwa unamwomba mungu hakuachi penye shida anafanya njia basi tunashukuru sana jeshi lililotuokolea ndugu zetu watanzania hayo ndo mapito tunayoyapitia duniani poleni mno
Yan wakati wakongo kwetu wanaishi vzr sisi tunaish vby kwao hakuna haja ya kuwaajir wakongo kwetu kwa kaz yeyote ile hata mpira mana hii xo mara ya kwanza kwakweli
Watanzania Kuyaa tumekuja kuwakomboa Watanzania Kuyaa
(Jeshi la Congo hilo )
Daahhh Poleni sana Watz wenzentu
hongera sana kwa kwa kazi waliyoifanya wanajeshi wa Congo,, "Watanzania kuya " hii ndio ilikuwa Saut ya matumaini kwa madereva wetu,,Asante Mungu
Mbona udugu Na urafiki wetu unapungua sana Kwa Hawa ndg zetu siku hizi!? Kulikoni
Pole Ni Sana ndugu zetu MUNGU ainuliwe mmepona! MUNGU nimmwema
God bless all .😢😢Its not a easy life being a Truck driver traveling to this war torn areas.lots of prayers & love from Kenya🇰🇪
Ayo tv mpovizuri jamani mungu awabariki
Poleni Sana Madreva Watanzania wenzetu kwa mkasa mloupata.
poleni sana ndugu zanguni haya ndio maisha tunayoishi huku na hawa ndugu zetu waasi kila kukicha ni majanga
poleni sana mwenyezi mungu kuwanusuru,husuni kweli.
Mungu azidi kuwatetea
daaaaa poleni SANA MUNGU WETU ashidwi NAKITU CHOCHOTE..BWANA YESU ASIFIWE
Mungu anatupigania sana. Tunamshukuru Mungu kwa hilo jeshi la Congo
Shukrani Mtulo polen jaman mwe mm mwenyew niltka niende uko
mlikuwa pamoja namungu napia tujifuze kuwa achukuae roho yabinadamu mungu peke ake siuchawi poleni sana hapo hapo mmejifuza ukamanda popote uendapo mtakaa
Daah, polen sana ndg zanguni kwa janga hilo kubwa lililowakumbeni, hakika Mungu alikuwa pamoja nanyi, masimuliz yanasisimua sana na kuhudhunisha pia, ila yote kwa yote mumerud mukiwa salama kabisa, hingereni pia.
Dah,polenisana nduguzetu,mazingirahayosisi hatujayazoea kabisaaa ila ni kumshukuru Mungu mposalama,ombi kwa haomabosi nikuweka mazingira bora ya kazi kwa madereva toka Tanzania.
Ee mwenyezi mungu wanusuru waume zetu Madereva
Poleni madereva wenzangu
Sasa unawapa pole baada ya myaka 7 tayari
Dah inasikitisha sana, poleni ndugu zetu Allah amewaokoa basi ni neema iliyoje amewarejesha mikononi mwa ndugu zenu. Basi je haitoshi huu kuwa ni fundisho kwetu na kwenu. basi turejeeni kwa mola wetu, tufanye ibada. huwezi kujua uhai wake utaisha lini. Ahsanteni
Kwanza sifa na utukufu apewe bwan wetu Yesu Kiristo kuwatoa salama ,pili poleni sana
Kabisa mpnz.
Acheni ujinga yesu Hana uwezo wowote wakuokoa mtu.
polen sana Allaah hashndw nak2
Nan kaangalia hii 2019 like yk tafadhali
Hongereni ila ndio wanaume jikaze
Poleni nikumshukuru mungu
poleni sana mungu ni mwema amewanusuru hili tunamuomba awalinde daima awanusuru na jingine mungu ni mkubwa
inchi zingine zina roho mbaya
ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR..hasindwi na jambo..fanyen swadaka inshallah....da SUBHANNA LLAH...mwenyezimungu awangamize wakongo hao.poleni sana ndg zangu....maadam mko salaama Alhamdulillah.
poleni sana Mungu ni mwema
Kila kaz inachanga🔥 zake poleni sana
Poleni sana ndugu zangu watanzania wenzangu wakongo wasenge sana au xhetani yupo congo aya tundurisu na mbowe jifunze apa
Akuna haja yakutusi wakongo wote natambua kila mtu anajuwa congo emegubikwa na majambazi wengi kutokana na mali ya nchi.
Kwao kila anaye miliki bunduki ujiita ni jeshi
Akili auna mbowe na lisu ndo wanataka vta we chiz nn
Lissu na Mbowe wanahusikaje hapo?
Poleni sana ndugu zetu, as long as mmerudi salama tunamshukuru mungu.
Nawashukuru sana wanajeshi waliojitoa kuwaokoa ndugu zetu. ..mungu awabariki
Poleni sana ila nashukuru na ndugu yetu katoka salaama hata sikuamini kumbe kweli, mungu mwema😍
Poleni sana
one people one nation thanks Allah madereva wetu
poleni sana kwa mikasa yote. Mungu amekuwa upande wenu. Wasingewau kwa sababu wanafaham Tanzania ina raia wakarimu mno.
Expendable. Tanzania. Big up. Commando maonyesho.
Duu tuko pamoja 2024 sihawahi ona Hii habali nimehuzunika saana 😢😢 🙏
polen sana mungu halali kwa ajili yetu sisi wanada tumshukuru kwa kila jambo
Ooh allah tupe ulinzi waja wako mola wangu mtukufu tuondolee kila shida kwa uwezo wako rasulillah klah
Mungu hashindwi, poleni
daa mung ni mwema namshukuru bwana yesu kwa kutenda muujiza mkuu
poleni Sana mungu ni mwema
Polen sana
Duh! Poleni sana, Yule Mwenzeni aliyefanikiwa kutoroka nn hatima yake.
Sindio huyo wakwanza kujieleza.... Sema alibana wapi ?
poleni sana...
poleni sana kaka zangu
daaaaaa kaz zet zna changamoto nyingi sana mungu atsaidie wat tunao kaanao pamoja awajui shida zetu
poleni sana ndg zetu
Polen sana *Joseph Yord Mwajombe* kama movie aisee,inaskitisha sana.
Poleni sana madereva wootee Mungu atazidi kunmlinda Inshaallah
Daah, poleni Sana mungu amesimama kuwa mungu, tumshukuru Kwa kweli nao hao wanajeshi waliowaokoa mungu awabariki na kuwafunika kwenye mbawa zake
Allah akbar poleni sana inatosha kujua ukubwa wa allahah
Waislam nitelorist
MUNGu ni MUNGU tuuu anaokoa
Poleni sana ndg zetu
Pole sana, MUNGU anawapenda,msimuache!
poleni sana
Ooooh kumbe haohao Wakongo pia waliwakomboa Mungu mkubwa
thanks God mmerejea salama, mungu azidi kuwalinda na kila baya!
Polen ndugu zetu mungu ni mwema
Porenisan
Allahu akbar hakika mungu ni mkubwa poren xana ndugu zetu
Asante Mungu kwa kuwaokoeni ndugu zetu
Poleni
Hakuna kama BWANA YESU
Dah polen saana ndugu zangu
Poleni sana ndugu zetu
jamani. mungu nimwema. ila poleni sana
Iragi Barume pokeni
Mungu ni mwema msiache kuabudu mungu hata njiani
Poleni sana mungu alikuwa pamoja na nyinyi
mungu Mkubwa hatimaye ndugu zezu wamerejea kwenye ardhi ya nyumbani
poleni xana hakika mungu ni muweza
polen sana
Mungu Ni mwema
maskin mungu hamtupi mja wake
Lakin mbon wao hatuwafanyi hivi wakati kila siki wanapita
Poleni sana kaka zangu
2024
poreni sana braza zangu kwa majanga
Allah kareem
Polenisana 🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️
pole sana ndug zang
Huyo bwana aliyekuwa wa kwanza kutoroka angeshikwa naona ndo ingekuwa mwisho wa muvi!! Congo sio kongowe.
Ebi Salum mbavu zangu 🤣
Kbs🤣🤣
😂😂
Poleni sana Mungu ni mwema kawaokoa
From @Usangu logistics natoa pole kwa madeleva wenzangu
mungu kawa saidia ila msiende tena mana mmeponea kwenye tundu la sindano
Polen sana mungu nimkubwa
Ni kauli ambayo naikumbuka ilinitia faraja sana sitaweza kuisahau. MWISHO!
Pole sana kamanda zangu
Eeh ni 2021😮
Big up sana kwa huyo kiongozi wa kundi
Mungu nimkubwa namzidi kuomba kila wakati
Poleni Sana
Be sorry for that !!
Polen sana kwan maisha nipopote
Daaah nimeiangalia hii video utazani imetokea jana maana, taarifa zao za kutekwa zilizungumziwa sana
ajali kazini
polen sanaa
Pole sana daah😢😢
Poleni san ndugu zang
Pl
Inauma Sana ndugu zangu je? Nahayo majambazi yaliuawa au
Jamani poleni sana tumshukuru mungu Kwa yote aliyowakoa ukiwa unamwomba mungu hakuachi penye shida anafanya njia basi tunashukuru sana jeshi lililotuokolea ndugu zetu watanzania hayo ndo mapito tunayoyapitia duniani poleni mno
poleni sana mungu ni mkubwa
pollen sana wandugu wakumshukur ni Allah.
polesana ndunguzetu mnga naashukuliwe
HII ndio inaonyesha Tanzania NI nchi bora ya amani na inapendwa Sana uliwenguni..Mungu ni mkubwa Sana hatuna makuu...kila sehemu tunathaminiwa sana
Yan wakati wakongo kwetu wanaishi vzr sisi tunaish vby kwao hakuna haja ya kuwaajir wakongo kwetu kwa kaz yeyote ile hata mpira mana hii xo mara ya kwanza kwakweli
Mungu bado anawapenda mumrudie yeye mana nyie.madereva ni mafataki
polen Sana Kaka zangu
Polen ndugu zetu na hongeren jeshi la congo
Poleni Sana amakwer mungu no mwema
Thanks God!!!
polen jaman mungu awaepushe ilo na longine