Bibi anahitaji pia ulinzi kwani hao Vijana walichofanya wanaweza kuorganise crime nyingine kwa bibi yao, ikiwezekana serikali iwashughulikie kikamilifu ili wapate funzo kubwa
Hapo wajukuu hawnaa lakwao mazal mwenye mali bado yupohai ikitokeya mazee wamefariki basi watoto wamarehem watarithi malihiyo .Ivi nyinyi wajukuu munawashwaeeeeeh
@@israelkisaila8401 kwani wewe unavita na Mimi____??? Mimi nasemea wanaopaswa kumsaidia Bibi Yao wanageuka na kumuibia ni kosa langu kwako____??Duuh Binadamu bhana!!!!
Jamani wito wangu tupambane tupate vyetu huo wote ni uvivu wa kujituma Waziri pongezi kwako Allah akupe umri wenye kheri
Allah akufanyie wepes bibiangu upate haki yako
VIVA MH. WAZIRI WA ARDHI....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AKUBARIKI.
Huyu mama akili yake safi sana.Wajukuu hao ni machizi😮.Matapeli wakubwa😢
lakini pia mzurii
Wajukuu wasiopenda kujituma na kufanya kazi,mkalaaniwe kabisa
Vijana wa hovyo baada yakutafuta vya kwao kazi yao ni kukimbilia kuuza mirathi
Ila silaa anapiga job balaaaa
Sasa hiv watu wa Yakima kununua nyumba au ardhi kiholela. Good job mh waziri
Nakupenda waziri kwaajili ya ALLAH mungu akulinde Sana
Naungana ww kwa asilimia 100
Nampenda sana huyu wazir kwakaz anayoifanya
Mtegemea cha ndugu hufa angali masikini. Bora yangu sina chakurithi zaidi ya jina la ukoo
Dah! Wanaweza hata kumuua hao
Waziri upo vizuri sana mungu akulinde jamani maana wanyonge wanapata haki yao
Jembe la Kaz mungu awe nawe
Mungu akulinde waziri akuongezee siku za kuishi
Bora mimi sina hata cha kurithi kutoka kwa wazazi wangu
Haya kama lipo usimtumie maanani kupambania Chako
Bora sana kwa kweli
Pole sana bibi yang Allah yupo atakurejeshea haki yako
Bibi anahitaji pia ulinzi kwani hao Vijana walichofanya wanaweza kuorganise crime nyingine kwa bibi yao, ikiwezekana serikali iwashughulikie kikamilifu ili wapate funzo kubwa
😅
Upo sahih
BIBI HUYO HAJACHANGANYIKIWA ILA WATOTO HAWAJAMTENDEA HAKI.
Hongera waziri kwa kutetea wanyonge mungu azidi kukulinda ❤🙏
Ameni Asante mh wazili
Waziri shujaa kabisa kuwai kutokoea mungu akutunzee kabisaa
Ameen ya rabb
Kama kuna m2 nampenda serekalini bas huyu wazir nimoja wapo
Anaitendea haki kaz yake
Duh wajukuu Wana laana kabxa
Mnooo yani wanakata mkono unaowalisha. Wanalaana sana tuu
Safari hiii chiii matepeli wa ardhi na myumba waitaisoma namba
Hao wajukuu wachukuliwe hatua kali sana😢
Waziri wetu mungu akutunzee naomba sana hutatue mgogoro WA aridhi WA wanamchi WA mbezi GOBA
Pole Sanna,jambo hli sikia tu kwa jran
ukovizurimwishimiwa asantesana
Mama mungu akusaidie izo tabia hata huku kwetu wapo wanapenda kuvamia vitu vya ulisi
Mungu wa Bwana yetu Yesu ,akufanye Uwe Raisi wa JMT .Pia waziri uwe na kipindi cha tv kutoa elimu kwa watanzania wote ,wengi wanaonewa na mahakhama
Kwa kumwandikia kuwa eti anaumwa akili,pekee hilo ni kosa tayari,mamlipe fidia.
Kazi nzuri wazili
Alooh aloooh alooooooooooooooh heeeeee basi bwana ninyamazetu
Bibi kaona isiwe shida navaa na nguo za ccm kabisaaaa
Pole sana bibi
J.Silaa jembe kazini💪💪💪
Bibi Pole sana...
Ubarikiwe
Pole bibi
Duuuu kweerii duniaa yamwishoooo
Mambo ya urithi hayo.,.,yanagombanisha sana familia
Hao wajukuuuu wapuuziii kabisa Yani wamewapindua Hadi Baba zao, hawa watakuwa wajukuu wa 2000
😂😂😂wa 2000 wakoje
Kweli kabisa vitoto vya mwaka 2000 vina tamaa sana
Baba zao nao washenzi sanasana, ningekuwa karibu,nawaroga kabisa😂😂
Majudge Mungu anawaona jamani yani mna kiti chenu jehanam
Halafu eti huzai unalalamika Wakati Mwingine unamshukuru Mungu.Hii sasa hivi imekuwa Tatizo kwa mitoto ya sku hizi.
KWELI VYOO
Kuzaa mtihani usisazae mtihani tu ila M/Mungu austerity kwa kweli🙏🙏
Daah
Hapo wajukuu hawnaa lakwao mazal mwenye mali bado yupohai ikitokeya mazee wamefariki basi watoto wamarehem watarithi malihiyo .Ivi nyinyi wajukuu munawashwaeeeeeh
Yani watu wavivu huwa wabafikiria ujinga tu pole sana bibi
Mahakama ilithibitishaje umento wa bibi, hii nchi na hawa watu MUNGU ndie atajua atuhukumuje..
Hatakama hanaakili mjukuu unapata wapi mamlaka ya kuuza mali isiyokuwa yako jmn
Mm ninacho ridhi ni majina ya wazazi wangu
safisana nimefurah kumuwona. Wazirisilah
Hiyo makama kama imetoa mamuzi hayo wame zingua sana hapa waziri wa aridhi anahusika hapa
Yani watu wanapenda pesa hata hawaogopi laana kabisa
Nawao Wamo
Pole sana mama
Chungeni watamuua uyo bibi ili kesi iwe nyepec
Jerry Slaa tafadhari Ingilia hilo kati
Waziri wa Ardhi Slaa
Nimetoa machozi
Sasa huyo aliyenunua haoni kinachoendelea jaman .bibi wa watu apewe haki yake
Mnao subili watu wafe mpate mali mna shida fanyeni kazi muache uvivu.
Mama hio ni haki yako.nenda BAKWATA au hata SERIKALINI.vipi itauzwa nenda Mahakamani..Serikali ingemwita Mmiliki..
wajukuu tuna nini lkini,, tutafeni vya kwetu
Urithi wangu jina la ukoo sina kingine cha kurith
Bibi anajua mpaka mental 😅😅 Allah akusimamie
Bibi anaonekana ni msomi mzur sema umri2 unamrejesha m2 utotoni kiakili
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Msiba huu dah 😢
Kosa ni kwamba hawakumshirikisha.
Maana walitakiwa. Wagawane.pesa
Polesana bibi
Jina linaumba jmn
Kaka uko sawa tetea mali ya mama yako
Nikwenu apo
MUNGU akutunze Waziri
Daaaaaaa maisha magumu haya😂😂😂
Wajukuu hatari hao muwe makini jamani hasa wenye tamaa yakuwa hawajui babu au bibi hawajui njisi alivyo pata hiyo mali
Majina yanaumba bibi tabu
Kweli
Wakamatwe wawekwendani ukumu chap happy 15 miaka na uyo mm aludishiwe makazi yakee
Mitoto ya sikuhiz mivivu kujishughulisha inawaza urithi tu
Yaani wanalaana kabisa
Kwa watoto wa 2000 huyu bibi akimaliza mwaka ana bahati watamuua huyo 😂😂😂😂
yanihatahuyo hakim alikubalivipi bilauthibitisho
hao wajukuu wote wakamatwe wafungwe kabisa
lazima afikishiwewaxiri silaha huyokijananimtenda hakihanamchezo
Assalam alykum bro milad nakuomba apoitmenti ya kuonana na wewe naitwa anwary naishi kariakoo ninahabari nyeti
nenda DM huko au piga simu, huku nani atasoma comment yako?
😢
Maswala ya mirathi yanaumiza sana kichwa daaah pole sana bibi
😢😢😢
Mmmh wamefimia hapo wanaweza hata ku. muua ulinzi muhimu kwa bibi huyo
Wanaopaswa kukusaidia wanskuibia tena!!! Maisha bhanaa!!!
Tena wajukuu,ndo maana mimi mali zangu hata mtoto hapati,labda Mungu anichujuwe ghafla,mpaka nyumba nitapiga bei watafute za kwao,pumbavu
Na wewe mtoto wa bibi pumbavu,mpaka watoto wenu wanauzaa umekaa tu kama zuzu,ukubwa wote huo,shame on you
@@israelkisaila8401 Nimekukosea Nini!!! Kitu Gani kibaya nimekiandika au hujaelewa nasema nini... Upumbavu wangu ni kusema wanaopaswa kumsadia Bibi wanamuibia...
@@israelkisaila8401 kwani wewe unavita na Mimi____??? Mimi nasemea wanaopaswa kumsaidia Bibi Yao wanageuka na kumuibia ni kosa langu kwako____??Duuh Binadamu bhana!!!!
@@festohaule9716 jamani soma vizuri jumbe zangu Mimi nakuunga mkono comments zako,soma vizuri uielewi kaka festo haule,mapembelo 😂😂😂😂
Bibi apatiwe ulinzi wanaweza kumdhuru
Mahakama gani hiyo isiyojiridhisha na huo umento?
MAHAKAMA YA AARIDHII , AU YA JINAI?.😊
Mahakama nao wezi kwani mbona wakitaka lao wanajua kuchunguza mbona wasiwambie wajukuu naenda malate huyo bibi yenu mleteni mfayeni salala wa waaridhi
Yani kuna mitoto ya ajabu kabisa, unauzaje Mali ambayo sio yako lol
Huyu wazir anafaa awe kwenye maswala ya wafanyakaz. Kiukwel wafanyakaz tunateseka sana pamoja na kunyanyaswa
hv ww unajua matatizo ya nyumba.mirathi na ardhi????????
Hajui etii
Mbona huelezi vizuri wajukuu kivipi na unasema watoto WA kaka yake au watoto wa watoto WA kaka yake ? Na yeye hana mtoto au watoto
Anao watoto lakini hawakuhusika kuuza nyumba
Ana uzee gan huyu bibi? kwanin lakin daah
Kwhyo anaoneka Binti au mzee!!!!,nidhamu ni msingi bora maishani
Bibi kwani huna uchawi? Wachukuwe misukele wote
😁😁😁
P
P
.
Wajukuu wa hovyo kabisa hayo machozi ya bibi hawaachi salama punda nyieee
Huyo alienunua pia ni non sense
Niko mento