NYUMBA YA KIKOGWE (80) YAUZWA NA WAJUKUU WADAI ANA MATATIZO YA AKILI, WAZIRI SILAA ATOA MAAGIZO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 май 2024

Комментарии • 135

  • @user-pf2mb2ri2d
    @user-pf2mb2ri2d 15 дней назад +9

    Jamani wito wangu tupambane tupate vyetu huo wote ni uvivu wa kujituma Waziri pongezi kwako Allah akupe umri wenye kheri

  • @SalmaMakolo
    @SalmaMakolo 16 дней назад +8

    Allah akufanyie wepes bibiangu upate haki yako

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 16 дней назад +5

    VIVA MH. WAZIRI WA ARDHI....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AKUBARIKI.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 16 дней назад +13

    Huyu mama akili yake safi sana.Wajukuu hao ni machizi😮.Matapeli wakubwa😢

  • @tegemeakyangenyenka6111
    @tegemeakyangenyenka6111 16 дней назад +20

    Wajukuu wasiopenda kujituma na kufanya kazi,mkalaaniwe kabisa

  • @amournassorsaid7694
    @amournassorsaid7694 15 дней назад +3

    Vijana wa hovyo baada yakutafuta vya kwao kazi yao ni kukimbilia kuuza mirathi

  • @masoromashauri1256
    @masoromashauri1256 15 дней назад +4

    Ila silaa anapiga job balaaaa

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 16 дней назад +4

    Sasa hiv watu wa Yakima kununua nyumba au ardhi kiholela. Good job mh waziri

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 16 дней назад +7

    Nakupenda waziri kwaajili ya ALLAH mungu akulinde Sana

    • @abdulkarimabdallah9536
      @abdulkarimabdallah9536 16 дней назад +1

      Naungana ww kwa asilimia 100
      Nampenda sana huyu wazir kwakaz anayoifanya

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 5 дней назад

    Mtegemea cha ndugu hufa angali masikini. Bora yangu sina chakurithi zaidi ya jina la ukoo

  • @cmantz8837
    @cmantz8837 15 дней назад +4

    Dah! Wanaweza hata kumuua hao

  • @marypeter7209
    @marypeter7209 16 дней назад +4

    Waziri upo vizuri sana mungu akulinde jamani maana wanyonge wanapata haki yao

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 16 дней назад +2

    Jembe la Kaz mungu awe nawe

  • @saladuma6469
    @saladuma6469 16 дней назад +3

    Mungu akulinde waziri akuongezee siku za kuishi

  • @FidasMwaiteghelesya-hw9qs
    @FidasMwaiteghelesya-hw9qs 16 дней назад +9

    Bora mimi sina hata cha kurithi kutoka kwa wazazi wangu

  • @abdulkarimabdallah9536
    @abdulkarimabdallah9536 16 дней назад +2

    Pole sana bibi yang Allah yupo atakurejeshea haki yako

  • @vascombembela3632
    @vascombembela3632 16 дней назад +20

    Bibi anahitaji pia ulinzi kwani hao Vijana walichofanya wanaweza kuorganise crime nyingine kwa bibi yao, ikiwezekana serikali iwashughulikie kikamilifu ili wapate funzo kubwa

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 16 дней назад +4

    BIBI HUYO HAJACHANGANYIKIWA ILA WATOTO HAWAJAMTENDEA HAKI.

  • @user-uh7to2kw2z
    @user-uh7to2kw2z 12 дней назад

    Hongera waziri kwa kutetea wanyonge mungu azidi kukulinda ❤🙏

  • @yusuphalinani5432
    @yusuphalinani5432 16 дней назад +1

    Ameni Asante mh wazili

  • @user-ky7mz7qh1o
    @user-ky7mz7qh1o 16 дней назад +10

    Waziri shujaa kabisa kuwai kutokoea mungu akutunzee kabisaa

    • @abdulkarimabdallah9536
      @abdulkarimabdallah9536 16 дней назад

      Ameen ya rabb
      Kama kuna m2 nampenda serekalini bas huyu wazir nimoja wapo
      Anaitendea haki kaz yake

  • @elphacelucas572
    @elphacelucas572 16 дней назад +10

    Duh wajukuu Wana laana kabxa

    • @israeluronu9958
      @israeluronu9958 16 дней назад

      Mnooo yani wanakata mkono unaowalisha. Wanalaana sana tuu

  • @nassercurtis9579
    @nassercurtis9579 16 дней назад +3

    Safari hiii chiii matepeli wa ardhi na myumba waitaisoma namba

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 16 дней назад +1

    Hao wajukuu wachukuliwe hatua kali sana😢

  • @user-pt7lc4xu3d
    @user-pt7lc4xu3d 16 дней назад

    Waziri wetu mungu akutunzee naomba sana hutatue mgogoro WA aridhi WA wanamchi WA mbezi GOBA

  • @trifoniambilo2400
    @trifoniambilo2400 16 дней назад +1

    Pole Sanna,jambo hli sikia tu kwa jran

  • @user-qn3cf2bg4u
    @user-qn3cf2bg4u 16 дней назад +1

    ukovizurimwishimiwa asantesana

  • @mamapeace6730
    @mamapeace6730 11 дней назад

    Mama mungu akusaidie izo tabia hata huku kwetu wapo wanapenda kuvamia vitu vya ulisi

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk 11 дней назад

    Mungu wa Bwana yetu Yesu ,akufanye Uwe Raisi wa JMT .Pia waziri uwe na kipindi cha tv kutoa elimu kwa watanzania wote ,wengi wanaonewa na mahakhama

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 16 дней назад +3

    Kwa kumwandikia kuwa eti anaumwa akili,pekee hilo ni kosa tayari,mamlipe fidia.

  • @user-nf3dc9fb6v
    @user-nf3dc9fb6v 12 дней назад

    Kazi nzuri wazili

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 16 дней назад +1

    Alooh aloooh alooooooooooooooh heeeeee basi bwana ninyamazetu

  • @SelestinaHamis-dw1gs
    @SelestinaHamis-dw1gs 12 дней назад +1

    Bibi kaona isiwe shida navaa na nguo za ccm kabisaaaa

  • @nassorochangogo4935
    @nassorochangogo4935 16 дней назад +2

    Pole sana bibi

  • @joshuakitunzi9500
    @joshuakitunzi9500 15 дней назад

    J.Silaa jembe kazini💪💪💪

  • @AbbasOmarAbbas
    @AbbasOmarAbbas 16 дней назад +1

    Bibi Pole sana...

  • @user-yj3gy4jc1t
    @user-yj3gy4jc1t 13 дней назад

    Ubarikiwe

  • @user-ow7pl6tz2c
    @user-ow7pl6tz2c 16 дней назад +2

    Pole bibi

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2o 16 дней назад +1

    Duuuu kweerii duniaa yamwishoooo

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 16 дней назад

    Mambo ya urithi hayo.,.,yanagombanisha sana familia

  • @user-rl3yh6ls7b
    @user-rl3yh6ls7b 16 дней назад +3

    Hao wajukuuuu wapuuziii kabisa Yani wamewapindua Hadi Baba zao, hawa watakuwa wajukuu wa 2000

    • @MashaMbwana
      @MashaMbwana 16 дней назад

      😂😂😂wa 2000 wakoje

    • @elizabethkikoti7265
      @elizabethkikoti7265 16 дней назад

      Kweli kabisa vitoto vya mwaka 2000 vina tamaa sana

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 16 дней назад

      Baba zao nao washenzi sanasana, ningekuwa karibu,nawaroga kabisa😂😂

  • @rerisamba
    @rerisamba 12 дней назад

    Majudge Mungu anawaona jamani yani mna kiti chenu jehanam

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s 16 дней назад +11

    Halafu eti huzai unalalamika Wakati Mwingine unamshukuru Mungu.Hii sasa hivi imekuwa Tatizo kwa mitoto ya sku hizi.

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 16 дней назад

    Hapo wajukuu hawnaa lakwao mazal mwenye mali bado yupohai ikitokeya mazee wamefariki basi watoto wamarehem watarithi malihiyo .Ivi nyinyi wajukuu munawashwaeeeeeh

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 15 дней назад

    Yani watu wavivu huwa wabafikiria ujinga tu pole sana bibi

  • @swahilifashion2206
    @swahilifashion2206 9 дней назад

    Mahakama ilithibitishaje umento wa bibi, hii nchi na hawa watu MUNGU ndie atajua atuhukumuje..

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 16 дней назад +1

    Hatakama hanaakili mjukuu unapata wapi mamlaka ya kuuza mali isiyokuwa yako jmn

  • @nancychesang9567
    @nancychesang9567 11 дней назад

    Mm ninacho ridhi ni majina ya wazazi wangu

  • @user-qn3cf2bg4u
    @user-qn3cf2bg4u 16 дней назад

    safisana nimefurah kumuwona. Wazirisilah

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 16 дней назад

    Hiyo makama kama imetoa mamuzi hayo wame zingua sana hapa waziri wa aridhi anahusika hapa

  • @rerisamba
    @rerisamba 12 дней назад

    Yani watu wanapenda pesa hata hawaogopi laana kabisa

  • @user-to6dh2un9i
    @user-to6dh2un9i 9 дней назад

    Nawao Wamo

  • @shakirashakira-gc2yw
    @shakirashakira-gc2yw 15 дней назад

    Pole sana mama

  • @MizeKombeSuleiman-id1rp
    @MizeKombeSuleiman-id1rp 16 дней назад +2

    Chungeni watamuua uyo bibi ili kesi iwe nyepec

  • @bakarially253
    @bakarially253 16 дней назад

    Jerry Slaa tafadhari Ingilia hilo kati

  • @afandechanel1507
    @afandechanel1507 15 дней назад

    Waziri wa Ardhi Slaa

  • @naimatemba8061
    @naimatemba8061 12 дней назад

    Nimetoa machozi

  • @clemensiadaniel8479
    @clemensiadaniel8479 11 дней назад

    Sasa huyo aliyenunua haoni kinachoendelea jaman .bibi wa watu apewe haki yake

  • @benardboaz6347
    @benardboaz6347 13 дней назад

    Mnao subili watu wafe mpate mali mna shida fanyeni kazi muache uvivu.

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 13 дней назад

    Mama hio ni haki yako.nenda BAKWATA au hata SERIKALINI.vipi itauzwa nenda Mahakamani..Serikali ingemwita Mmiliki..

  • @neemapaul3257
    @neemapaul3257 16 дней назад +1

    wajukuu tuna nini lkini,, tutafeni vya kwetu

  • @MwajumaFundi-ex5tj
    @MwajumaFundi-ex5tj 15 дней назад

    Urithi wangu jina la ukoo sina kingine cha kurith

  • @Chimgege
    @Chimgege 16 дней назад +2

    Bibi anajua mpaka mental 😅😅 Allah akusimamie

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o 16 дней назад

    Msiba huu dah 😢

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 13 дней назад

    Kosa ni kwamba hawakumshirikisha.
    Maana walitakiwa. Wagawane.pesa

  • @MonaJuma-cp3jg
    @MonaJuma-cp3jg 16 дней назад

    Polesana bibi

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 16 дней назад

    Jina linaumba jmn

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398 14 дней назад

    Kaka uko sawa tetea mali ya mama yako

  • @RodahKabehe-nu2uo
    @RodahKabehe-nu2uo 11 дней назад

    Nikwenu apo

  • @naigeorge7765
    @naigeorge7765 16 дней назад

    MUNGU akutunze Waziri

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 13 дней назад

    Daaaaaaa maisha magumu haya😂😂😂

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 16 дней назад

    Wajukuu hatari hao muwe makini jamani hasa wenye tamaa yakuwa hawajui babu au bibi hawajui njisi alivyo pata hiyo mali

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 16 дней назад

    Majina yanaumba bibi tabu

  • @user-wm4nd3dk1t
    @user-wm4nd3dk1t 13 дней назад

    Wakamatwe wawekwendani ukumu chap happy 15 miaka na uyo mm aludishiwe makazi yakee

  • @sund2553
    @sund2553 16 дней назад

    Mitoto ya sikuhiz mivivu kujishughulisha inawaza urithi tu

  • @joslinchuwa1298
    @joslinchuwa1298 16 дней назад

    Yaani wanalaana kabisa

  • @AminiMsellem-gk3yy
    @AminiMsellem-gk3yy 16 дней назад

    Kwa watoto wa 2000 huyu bibi akimaliza mwaka ana bahati watamuua huyo 😂😂😂😂

  • @user-qn3cf2bg4u
    @user-qn3cf2bg4u 16 дней назад

    yanihatahuyo hakim alikubalivipi bilauthibitisho

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 13 дней назад

    hao wajukuu wote wakamatwe wafungwe kabisa

  • @user-qn3cf2bg4u
    @user-qn3cf2bg4u 16 дней назад

    lazima afikishiwewaxiri silaha huyokijananimtenda hakihanamchezo

  • @AnuCobra
    @AnuCobra 16 дней назад

    Assalam alykum bro milad nakuomba apoitmenti ya kuonana na wewe naitwa anwary naishi kariakoo ninahabari nyeti

    • @Khadija-ne8ul
      @Khadija-ne8ul 12 дней назад

      nenda DM huko au piga simu, huku nani atasoma comment yako?

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg 16 дней назад

    😢

  • @mwankunjatyson
    @mwankunjatyson 16 дней назад

    Maswala ya mirathi yanaumiza sana kichwa daaah pole sana bibi

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 16 дней назад

    😢😢😢

  • @toor8984
    @toor8984 16 дней назад

    Mmmh wamefimia hapo wanaweza hata ku. muua ulinzi muhimu kwa bibi huyo

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 16 дней назад

    Wanaopaswa kukusaidia wanskuibia tena!!! Maisha bhanaa!!!

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 16 дней назад

      Tena wajukuu,ndo maana mimi mali zangu hata mtoto hapati,labda Mungu anichujuwe ghafla,mpaka nyumba nitapiga bei watafute za kwao,pumbavu

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 16 дней назад

      Na wewe mtoto wa bibi pumbavu,mpaka watoto wenu wanauzaa umekaa tu kama zuzu,ukubwa wote huo,shame on you

    • @festohaule9716
      @festohaule9716 16 дней назад

      @@israelkisaila8401 Nimekukosea Nini!!! Kitu Gani kibaya nimekiandika au hujaelewa nasema nini... Upumbavu wangu ni kusema wanaopaswa kumsadia Bibi wanamuibia...

    • @festohaule9716
      @festohaule9716 16 дней назад

      @@israelkisaila8401 kwani wewe unavita na Mimi____??? Mimi nasemea wanaopaswa kumsaidia Bibi Yao wanageuka na kumuibia ni kosa langu kwako____??Duuh Binadamu bhana!!!!

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 16 дней назад

      @@festohaule9716 jamani soma vizuri jumbe zangu Mimi nakuunga mkono comments zako,soma vizuri uielewi kaka festo haule,mapembelo 😂😂😂😂

  • @amournassorsaid7694
    @amournassorsaid7694 15 дней назад

    Bibi apatiwe ulinzi wanaweza kumdhuru

  • @user-ui4oh8gf8n
    @user-ui4oh8gf8n 16 дней назад

    Mahakama gani hiyo isiyojiridhisha na huo umento?

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 16 дней назад

    MAHAKAMA YA AARIDHII , AU YA JINAI?.😊

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 16 дней назад

    Mahakama nao wezi kwani mbona wakitaka lao wanajua kuchunguza mbona wasiwambie wajukuu naenda malate huyo bibi yenu mleteni mfayeni salala wa waaridhi

  • @namisgiggah1571
    @namisgiggah1571 16 дней назад +1

    Yani kuna mitoto ya ajabu kabisa, unauzaje Mali ambayo sio yako lol

  • @ahmedburhan5104
    @ahmedburhan5104 16 дней назад

    Huyu wazir anafaa awe kwenye maswala ya wafanyakaz. Kiukwel wafanyakaz tunateseka sana pamoja na kunyanyaswa

    • @user-gj7dn7vv5s
      @user-gj7dn7vv5s 16 дней назад +1

      hv ww unajua matatizo ya nyumba.mirathi na ardhi????????

    • @ziggertv3185
      @ziggertv3185 16 дней назад +1

      Hajui etii

  • @jamillahaidha8184
    @jamillahaidha8184 16 дней назад

    Mbona huelezi vizuri wajukuu kivipi na unasema watoto WA kaka yake au watoto wa watoto WA kaka yake ? Na yeye hana mtoto au watoto

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d 16 дней назад

      Anao watoto lakini hawakuhusika kuuza nyumba

  • @user-wd2bc7bf5x
    @user-wd2bc7bf5x 16 дней назад

    Ana uzee gan huyu bibi? kwanin lakin daah

    • @joshuakitunzi9500
      @joshuakitunzi9500 15 дней назад

      Kwhyo anaoneka Binti au mzee!!!!,nidhamu ni msingi bora maishani

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 16 дней назад

    Bibi kwani huna uchawi? Wachukuwe misukele wote

  • @magdalenamapalala5145
    @magdalenamapalala5145 13 дней назад

    P
    P

  • @abdulkarimabdallah9536
    @abdulkarimabdallah9536 16 дней назад

    .

  • @momylaviel
    @momylaviel 12 дней назад

    Wajukuu wa hovyo kabisa hayo machozi ya bibi hawaachi salama punda nyieee

  • @TimbersonFabian
    @TimbersonFabian 16 дней назад

    Huyo alienunua pia ni non sense

  • @edvinaselestine712
    @edvinaselestine712 13 дней назад

    Niko mento