Ww Linda watoto wako serikali hailei watoto tabia ya mtoto kuwa nzuri au mbaya ni malezi ya wazazi na siyo magengee mm nimeishi Arusha zaidi ya miaka 10 nanina marafiki vibaka waizi wauza madawa nakila uchafu hata hao wadudu Nina marafiki zangu lakini mbn sipo kwenye hayo magengee situmiee chochote lea watoto wako
Kwanini ni ngumu Kwa chuga Wana Nini hao si vichaa tu wapelekwe lutindi , wenzao panyarudi wapo wapi unaona walivyo uliwa km kuku,hao pia wawamaliza @@fatihiyadossa375
Wadudu maana yake nini? Kwanini tusiwe na kizazi kitakatifu chenye upendo, furaha na amani? Aina hii ya maisha hata tukikubali ni sawa na kukubali kuishi na bomu ndani ya nyumba. Biblia inasema hakuna amani kwa wabaya asema Mungu wangu.
Ipo sababu ya kutokuwatazama kwa macho ya furaha hili ni kaa la moto tunalipalia mwisho litasababisha moto mkubwa. Neema ya Mungu inahitajika kwa vizazi vyetu
Pole sana Makonda Samia na waziri wa mambo ya ndani Masauni na police na mtakoma mtakavyopata aibu kama Taifa kwa kuipeleka Afcon Arusha ni bora mngepeleka Mwanza au Dodoma
Tanzania kuna mambo mengi mabaya anaendelea...Harmonize anatumia uchawi kwenye Sanaa kuharibu kazi za Diamond Platnumz youtube ..Basata ⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️
😢😢😢😢 wapumbavu hawa watakufa vibaya wote nawahakikishia wasipobadilika wataisha wote bangi mihadarati itawamaliza wanajiita Wadudu wakatubu kanisani upumbavu wao
Hizo siyo bangi aiseeee ,,,Kama siyo Pepo bas ni ulimbukeni tu,, harafu na mazoea yaan waao wamekuwa wakiona babu zao wapo hivo na wao ngumu sanaaaa kuchange kikubwa ni kuwaombea tu ili hii hali iishe kabisaaa usiendelee kuumiza kizazi kijacho
@@Aidhjuma karibu sana Boss ..!! Can i give you my Contact number uje nikutembeze Ungalimi, Ololooo na Matejoo alaf tumalizie kwakula Nyama kwa Mromboo alaf tukaogelee zetu Duluti ..😊
Kuna tatizo ambalo linaonekana si tatizo ni mtaji wa watu kujijengea umaarufu hivi tumefika hapo kama Taifa na je nini tunapata kwa majina haya Wadudu, Panya roard, Chawa, nk tutavuna matunda yake kizazi kinazidi kuharibika.
Serikali msipothibiti hawa wadudu tutaangamiza taifa LA kesho
kabisa brother yani ujinga huu faida yake nini sasa
Kizazi kimeisha huko
Kweli kabisa mm pia siwapendi kabisa hawa wadudu mwisho watakuwA majambazi hao yaani hili tatizo lizibitiwe mapema kabisa jamani
Vichaa tu upuuzi mtupu Mira mingi na bangi
Ww Linda watoto wako serikali hailei watoto tabia ya mtoto kuwa nzuri au mbaya ni malezi ya wazazi na siyo magengee mm nimeishi Arusha zaidi ya miaka 10 nanina marafiki vibaka waizi wauza madawa nakila uchafu hata hao wadudu Nina marafiki zangu lakini mbn sipo kwenye hayo magengee situmiee chochote lea watoto wako
Chepe zipo tutamfukia kwa chepe tutamfukia mwana kwa chepe, ww fukia kwa mkono tukukamate hatukuachi😂😂😂wapuuz sana hawa wanaiona nchi yao au
Poleni sana wadude wa arusha kwakumpoteza mojawenu natuma ujumbe kutoka Somalia
Huu ni ujinga wa hali ya juu ikomeshwe mara moja
Ningumu Kwa chuga
@@fatihiyadossa375Serikal haijawahi shindwa ktu ww panya road wako wap hapa bongo hebu wakamatwe kama watu 10 wale vchwa vbovu uone kama haitakuwa
Kwanini ni ngumu Kwa chuga Wana Nini hao si vichaa tu wapelekwe lutindi , wenzao panyarudi wapo wapi unaona walivyo uliwa km kuku,hao pia wawamaliza @@fatihiyadossa375
Makonda umeoelekwa kwenya kuongozwa vijana vichaa hao
Serekali inaendekeza ujinga, hawahawa ndio tatu mzuka nawaeleza, km makonda aliweza kuzuia panya road, please komesha hii kitu jamani😢😢😢
içhi kizazi kitakuja kuigharim serekali niko paleee
Sio tu kuigharimu ila kuwapa changamoto
😂😂😢😢😢☹️☹️☹️
Vijana wapumbavu
sioni kama itagharimu chochote. kuna mambo makubwa serikali yabidi kujali sio hawa vijana..
Umesema kweli mtumishi
Bodaboda ni shida kwa kweli hata kama ushirikiano sio sitaili hizo wote ni bange tuu
Hao sio bodaboda ni kikosi cha wahuni tu
Staili sio sitaili
Serikali isiruhusu vitu kama hivi. Ni ujinga uliopitiliza serikali ikomeshe huu ujinga
Umesema sawa kabisa
Hawa watu wa Arusha hawana hakiri kabsha
@@user-mi7cd8ch1b ndiyo alafu wanaona ni ujanja ni ushamba na upumbavu kabisa vijana wa hovyo kabisa
@@user-mi7cd8ch1bwashamba wanajifanya maganster
Embu fateni mambo yenu bhna umeona mtu wa arusha analalmik kwani
MIMI BONGO NAMINI HAWA WATOTO WA ARUSHA UWAONE IVI TU MAKATILI WAKIONGEA KAMA WAJINGA LAKINI WACHA TU DANGEROUS PEOPLE ARUSHA BOYS 😂😂😂😂
Upumbavu mtupu hawana hata iman ya mungu khaaa
Poleni Sana nyote MWENYEZI MUNGU awape nguvu awapikanie awashindie awaweseshe vyema katika Jina la YESU KRISTO
Wadudu maana yake nini? Kwanini tusiwe na kizazi kitakatifu chenye upendo, furaha na amani? Aina hii ya maisha hata tukikubali ni sawa na kukubali kuishi na bomu ndani ya nyumba. Biblia inasema hakuna amani kwa wabaya asema Mungu wangu.
Yaani wanajeshi wangeruhusiwa kuondoa hilo kundi linalojiita wadudu! Ni wiki moja wanakuwa watu na siyo wadudu! Mungu warehemu watoto wetu😭😭
Washamba wanapewa airtime aisee Yani ni upuuzi na Bado wakiendelea na akili izo watauzulia sana mazishi hamna hata mwenye helmet uendeshaji wa hovyo
😊a
Mmh serikali kuwrni makini haya malezi ya hawa vijana yatakuja kuwashinda baadae
Aseee noma sanaaa
Makonda kazi anayo😂
Lait mwenzao angeamka akawaambia kinachompata huko wange acha huo ujinga
Hafu mnaanza kusema ni wasaini na huku tayari ni mazezeta
Hapo ndio na Mimi nachoka jmn hakuna Cha usanii hapo ni uzombi tu
Mungu ponya kizazi hichi
Iyo ni shangwe ya kumpoteza mwenzao na sio uzuni
Hawa washamba wanatakiwa wadhibitiwe wote tuondokane na kizazi cha ovyo kama hicho. Mamlaka zipo wapi!?
Ipo sababu ya kutokuwatazama kwa macho ya furaha hili ni kaa la moto tunalipalia mwisho litasababisha moto mkubwa. Neema ya Mungu inahitajika kwa vizazi vyetu
Laa makubwa Pole Sana RC. Kazi Unayo.
"Wadudu ni wanamziki wanachofanya ni sawa kabisa". Alisikika Mbunge mmoja akimpa taarifa Mbunge mwenzake aliyekuwa akichangia hoja Bungeni. Tafakari.
Dah
Wamarekani hivikaribuni watamtafuta kiongozi wao ili waanzishe bokoharamu tz wooooooooooooi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
HAWA WADUDU, hii nchi mtakuja kunishukuru endeleeni kuwalea sana ni swala la Muda tu.
Bangi Arusha imezidi aisee kuliko maeneo yote Tanzania hawa watu wadhibitiwe haraka sana, Serikali isiwachekee hawa vijana!!
Hapo hapo kuna mijambaxi inapora ikiwa kwa pikipiki.
Hatari
Uhuni wa bila faida
Pole sana Makonda Samia na waziri wa mambo ya ndani Masauni na police na mtakoma mtakavyopata aibu kama Taifa kwa kuipeleka Afcon Arusha ni bora mngepeleka Mwanza au Dodoma
😂 dah kwakwer
Itapelekwa tu kwa taarfa Yako nyoo
Hii ni Arusha na hii ndo asili ya arusha sasa wewe unaehoji afcon mbona huulizii makao makuu ya afrika mashariki ni wapi?
Kama mwanga vile
Hivi hawa viongozi mnaounga mkono hawa wavuta bangi mnategemea tunaelekea wp?
Waddudu ,lini wataitwa wanyama¿
Je akipatikana mwanasiasa akawapa Silaha nini ktatokea? asieziba Ufa atajenga ukuta
Sifa za kijnga na sasa hv imekuwa kama mtindo wao hasa kwenye matukio
Madogo ni huzuni alafu mnalete mzaha
Tanzania kuna mambo mengi mabaya anaendelea...Harmonize anatumia uchawi kwenye Sanaa kuharibu kazi za Diamond Platnumz youtube ..Basata ⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️
Poleni sana
Tunae chule tunaletewa burungu 😂😂😂😂 welcome chunga jiji lenye huuni mwingi naluga tata
Mnawaendekeza sana hawa ohooo
Haya majinga matupu.mambwa haya majizi mibangi tu
Hata midea zinazowahoji ndiyo zinawapa kick wasipo wapa Airtime huu ujinga wao utaonekana wapi
Wahuni
Kwasasa tanzania inchi yangu imeanza kuhalibika salikali tunawategemea lekebisheni ujinga kama huhu vitu kama hivi vinaharibu taifa
😢😢😢😢 wapumbavu hawa watakufa vibaya wote nawahakikishia wasipobadilika wataisha wote bangi mihadarati itawamaliza wanajiita Wadudu wakatubu kanisani upumbavu wao
Mmmmmh hiyo ongea yao puuuh
Jamaa wanajielewa unajiitaje mdudu??Ili iweje
Vijidudu vimewapanda kichwani. Serikal Serikali Serikali .... Mh aya...
Wehu tu hawa, Serikali isipokuwa macho hamna kizazi cha maana hapo. Hovyo sana hawa.
Vijana wote wa Arusha wahamishiwe Somalia huko ndo wanaendana Nako huku Tz sio hadhi yao kwakweli,watanzani Gani Wana Fujo hivi? Aaaah😢
😂😂😂walisha kwambia arusha ni nchi kama nchi😂😂
@@jameschali6023 😂😂😂
Wadudu ndo nini, bangi tu na ulevi
Bado amjasema
kwamba makonda nae kumemshinda uko awa muwalete uku tunduma wataonyeshwa shoo mbaka watakubali kua wao ni zuchu naso wadudu.
Hizo siyo bangi aiseeee ,,,Kama siyo Pepo bas ni ulimbukeni tu,, harafu na mazoea yaan waao wamekuwa wakiona babu zao wapo hivo na wao ngumu sanaaaa kuchange kikubwa ni kuwaombea tu ili hii hali iishe kabisaaa usiendelee kuumiza kizazi kijacho
Millard Ayo si kila kitu una report huu ni ujinga
Kazi ipo ktk hii nchi
Yanataka sifa tu..shenzi mbwa
Huu ni umasikin wa akili roho na mwili baada ya miaka kumi huu ni mzigo kwa taifa😏😏😏
Chali etu ase
MAKONDA KAZI ANAYO ILA ATAFAULU TU PAMOJA NA CHANGAMOTO ZOTE
AKITAKA KUWAWEKA KWENYE HOTPOT SEKUNDE TU
@@MCNgakungaJuniorsyo chuga alyo yakta atayaacha ivyo ivyo
Mbona simuoni makonda au kasaliti chama
Hivi Hii nchi yenye Hawa watu Iko wapi ....
Watu wa Dar wanaona watu wote wa Arusha tuko ivi, tunavaaga ivyo na life style ni hiyo.!! 😂😂😂
Nataka kuja arusha ila naogopa hao wadudu kwakweli
@@Aidhjuma karibu sana Boss ..!!
Can i give you my Contact number uje nikutembeze Ungalimi, Ololooo na Matejoo alaf tumalizie kwakula Nyama kwa Mromboo alaf tukaogelee zetu Duluti ..😊
@@Aidhjuma nikupe number uje ututembelee Boss
Hawa vijana hawa tusipokua makini nao itatugharimu sana
He!he!he 😂😂😂😂😂 haowote nivijana una fikilia miaka michache mbele kama vijana wote tukitegemea kukwa kama hivyo nini kitakacho jili baadae.
Badala ya kuwa na kizazi cha wasomi tuna kizazi cha wavuta bangi
Serikali owe makini na hawa wahuni Chalamila kunamfaa Arusha
Wana waendekeza hao wengine wez2 hapo
Hivi wadudu ni wakiume tuu?
Wakike wapo ila sio wengi
vijana wa hovyo kabisa sijui taifa gani hili tunatengeneza ..wanafanya makosa kama haya ya barabarani lakini hakuna sheria wanachukuliwa
Arusha nchi ya wahuni
C mmewapromot endeleeni kuwafurahia na kuwapa promo
Kama sio wezi nasio wabakaji hakuna shida yoyote 💯🫡💥
😂😂😂😂Wapuuzi ote awo
Kuna tatizo ambalo linaonekana si tatizo ni mtaji wa watu kujijengea umaarufu hivi tumefika hapo kama Taifa na je nini tunapata kwa majina haya Wadudu, Panya roard, Chawa, nk tutavuna matunda yake kizazi kinazidi kuharibika.
Ni kweli kabisa vizazi vinaenda kuaribika
Mamba siyo mdudu ni mnyama mdudu ni chawa,mmpu siyafu inzi kunguni mende.
Kudadadeki bangi nuksi kishenzi
Hawa wadudu watakula nchi
daah makonda una kazi babaa
Chukulia hawa ndio wazee wa baadae.
Aisee, WanaArusha chukueni hatua mapema.
Arusha msipo jirikibisha mtaisha vijana nimezaliwa chuga ila naumiaga saaan jisi wanavu edesha pikipik
Hichi kizaz huko mbeleni itakuwa shida sana
Hacheni habari za kukimbiza pikipiki vifo ni vingi sana jamani vijana tutaisha
Makonda shikamoo. Kazi ni kubwa
Mungu warehemu vijana wetu wamechanganyikiwa
Millard ayo mnaongoza kuwa promote hawa wapuuz
Muna watentekizaa Sawa wadudu gani mbona jeshi la police linawaaachia wafanye watakavo
AKA BACHUCHU MOMBASA 001
+254
Eti eeh!!
Hii ni nchi nyingne hiyo serekali yenyew ikfka arusha inabid ifuate sheria na taratib za wenyeji
Hawa wadhibitiwe mapema sanasana.... Hii sio Haiti..
Makonda utawaweza hawa kweli
YANI ASILIMIA 80%VIJANA WA ARUSHA NIWAVUTA BANGE NA KUNYWA POMBE SIJUI SHIDA NN?
Hawa wAdudu ni walevi sana. Wapuuzi
3:20 hii inch imeshndkn
ARUSHA BILA WADUDU NI KAMA EMBE BILA KOKWA
Ukifiwa ndo utajua uchungu
SDA NJIRO MOJA, Kwa Msola ni kwele😂
Uhuru wa wadudu
dah ni huzuni Kwa kweli
Wadudu kama wadudu
Jmn mmesikia kua nyok ndo kaf kwa hyo selikari inaongoz nyok n kumbi kumbi wenye mafuta huk arush na ng'e
Hiyo hali isipoangaliwa kwa makini....
Nahisi Arusha inahitaji Mfumo wa Elimu yake ili malezi yasifikie hapa