Raya: Mimi na Barnaba hakuna ndoa tena, nimeamua kurudi kwetu nimeshindwa na sitaki, amenikosea sana

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 379

  • @user-zq2be4xr1o
    @user-zq2be4xr1o 15 дней назад +6

    Wewe mwanamke haujaolewa ju yakudum kwenye ndowa labda ulikuwa na Malengo yako fulani umeyatimiza unajisepa , ninafurahi kuona umeamuwa mwenyewe kumuacha barnaba kimtizamo wangu mimi mungu anampenda barnaba, sababu ungekuwa kikwazo maishani mwanamke

  • @lilyanmongi1075
    @lilyanmongi1075 15 дней назад +22

    Unaweza kupenda mitandao lkn sio maisha yako ya ndoa kuyaweka mtandaoni na unachofanya unampa sababu yakuwa na wanawake wengine.

    • @user-qh8kl9mu5w
      @user-qh8kl9mu5w 15 дней назад +1

      Hana akili, ukiolewa na msanii lzm ujiandae kisaikolojia

    • @winniesimon850
      @winniesimon850 11 дней назад

      Weeee dada ni mshamba to the maximum. Eti tukapeana space. Akishika kiuno ndo kula yako tulia bandika makope yako. Kwanza Huna uzuri wowote. Upo kama jini

    • @winniesimon850
      @winniesimon850 11 дней назад

      Tumbo limekuvunjia ndoa hahahaha

  • @kassimchuo5290
    @kassimchuo5290 15 дней назад +6

    Toto la mama kimbo hiloooo pendeza sanaaaaa like mother like daughter ❤️❤️❤️

  • @BIENVENUMUHINDOLULIVIRO
    @BIENVENUMUHINDOLULIVIRO 15 дней назад +13

    Mnapo owa muwe munaangaliya ni mwanamke gani anafaa kwenye ndoa siyo mwanamke anaye jihisi kama nimzuri zaidi ,natena awe mtu ambaye anauvumilivu napia mama mkwe kama hawa hawafai

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 15 дней назад +14

    Barnaba Kushukuru Mungu wako kwa yote. Endelea na kazi na maisha yako . Amen.

  • @ScolaMussa-il4fs
    @ScolaMussa-il4fs 15 дней назад +20

    Achakutaja wasanii wengine pambana na ndoa Yako Raya itakugharim

  • @user-st1zs1ng2x
    @user-st1zs1ng2x 15 дней назад +23

    Makiki ya kipuuzi.. Kwani hukujua unaendakuolewa na msanii?? Na wasanii wa bongo kama tujuavyo uchi ndo unawatambulisha

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 15 дней назад +35

    Pcha lina anza raya mwenyewe yupo uchi matiti nnje lakini analia mumewe kashika kiuno ngoja ni 😂🤣🤣 tusome dini ili tupate muongozo

    • @svt3
      @svt3 15 дней назад +1

      Halafu alipo olewa alifahamu vizuri kazi ya mme ni usanii na kuwashika shika wanawake iko ndanii ya usanii

    • @caesar7745
      @caesar7745 15 дней назад

      Hawa wanawake bure kabisa. Wanaume tutengeze hela

    • @zakiangumbe6739
      @zakiangumbe6739 15 дней назад

      Aaah raya mwenyewe by hat na Barnabas hawaendani. Ila pale kwenye kiuno kamependeza .shikamoo 🍠

    • @BintiHamisi-lh3xx
      @BintiHamisi-lh3xx 15 дней назад

      Nlitaka nseme lkn asante umetangulia 😂😂

    • @MwamvuaKing
      @MwamvuaKing 15 дней назад

      Umeonaeeee.

  • @user-ye7hg5pn7x
    @user-ye7hg5pn7x 15 дней назад +13

    Barnaba kazi unayo duh kuacha Tena usanii, mbona mwanamke huyo akirudi Tena timbwili,kisa usanii,,,🤣🤣Sasa alivyo kuoa hukujua kama msanii,mh mh

  • @farahanafarer7588
    @farahanafarer7588 15 дней назад +11

    Utani utani utajikuta huna ndoa kabisaa

  • @user-vj1ek5us4r
    @user-vj1ek5us4r 14 дней назад

    Huy muislam kweli kuowa sharia

  • @jukaelyelisha6311
    @jukaelyelisha6311 15 дней назад +3

    Mi naona huyu Dada hana hekima maana huwezi mwanika mme wako hivyo duh kazi kweli

  • @user-gb5pe1qj2h
    @user-gb5pe1qj2h 23 часа назад +1

    Mke mwenye kuijua din awez kuanika ndoa yake kwenye jamii alafu unatak stala wakati mwenyew unastar mke wamtu ayo nimavaz yakujianika mitandaon muongopen mungu

  • @elizabethdamas-zp9xl
    @elizabethdamas-zp9xl 15 дней назад +4

    Jmn Raya rudi kwa mumeo wew ndo tunakujua ni mke halali icho kitu sidhan kama ni cha muhimu sn had umuache mumeo kazi yako ni kumuombea ndo mana Mungu amesema mke amuombee mumewe sas muombee mumewe na sala zako ndo zitamuepusha na hayo mambo yte dia na pia iyo ni kaz yke kma unavyojua wasanii msameeh thn muombee sana usimruhusu shetan aiseh afu ukimuacha mumeo unampa artym uyo manzi mwngn jiamin ww ndo mama lao rudi kwa mumeo

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 15 дней назад +1

    Mashaallah umependeza…

  • @mwanaibrahim2444
    @mwanaibrahim2444 15 дней назад +21

    hunahaya wewe dada mbonawewe upo uchi na hajawai kukataza kuvaa ivo

  • @magrethdaniel8441
    @magrethdaniel8441 15 дней назад +2

    Mmmmh we umepambana na barnaba wapi jamani barnaba alifanikiwa miaka ya nyuma Sana

  • @SUNDAYMRGAMINGTZ
    @SUNDAYMRGAMINGTZ 15 дней назад +23

    Kumbe kwenye maisha unaweza kuowa mwanamke mkubwa kabisa.... Lakn akili ndogo...

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 15 дней назад +2

      kwani we ulikuwa hujui wanawake akili zao ni ndogo sana yaani ni fupi

    • @ConfusedAlien-xk3sh
      @ConfusedAlien-xk3sh 15 дней назад +3

      ​@@Hussein-gx4qu😂😂😂siyo wote mimi King,ang,anizi

    • @user-gj2mm3ko8m
      @user-gj2mm3ko8m 15 дней назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂Kweli

    • @BintiHamisi-lh3xx
      @BintiHamisi-lh3xx 15 дней назад +1

      Aaaweeeee😂😂 izi za mtandaoni noma sana

    • @ZenaMsumagilo
      @ZenaMsumagilo 15 дней назад +2

      Malaya huyu kwani hakujua anayemuoa ni msanii na hii ni ni sehemu ya kazi yake. Bas na aende ataoa mke mwengine mwenye kujitambua.

  • @CafeJohn-jz8ri
    @CafeJohn-jz8ri 13 дней назад

    Kazi kazi

  • @salamamamashenge5493
    @salamamamashenge5493 14 дней назад

    @Chris Favors Kaka unajua kazi lako kikukweli unajua Kukuliza you deserves the Flowers 💐

  • @mj.tv.forpeople992
    @mj.tv.forpeople992 15 дней назад +13

    Pumbavu hujui kazi ya mume wako

  • @KissaMwaifwani
    @KissaMwaifwani 15 дней назад +4

    Kazi anayo Barnaba pole aliyekutuma kubadili dini Kwa ajili ya familia hiyo ukitaka ndoa Uache mziki

  • @janengowi-lt9gu
    @janengowi-lt9gu 15 дней назад +11

    Tatizo hapo Mama amekuwa mtu wa katikati ndoa ikishakuwa na mtu Kati kwisha habari

  • @godlistenobed9299
    @godlistenobed9299 15 дней назад +1

    Nimekupenda da raya ❤❤

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 7 дней назад

    Nenda salama mama tunakutakia maisha mema

  • @PendoPeter-rr4jk
    @PendoPeter-rr4jk 15 дней назад +5

    Sasa ache Kila kitu mtakula hiyo ndoa,ww mdada kitu huji mwanaume anaweza kuwa smart kwenye macho Yako lkn ni msaliti balaa, njia pekee ya kulinda ndoa yk ni maombi, cyo mtandao shetani haogopi maneno yk bali unampa nguvu ,jifunze kubadilika unaongea sana hd unakosa radha

    • @user-gj2mm3ko8m
      @user-gj2mm3ko8m 15 дней назад

      😁😁😁😁😁

    • @ZenaMsumagilo
      @ZenaMsumagilo 15 дней назад +1

      😅😅😅😅😅😅😅😅 kweli anakosa radha

  • @user-bc3lh5ss6c
    @user-bc3lh5ss6c 15 дней назад +8

    Raya hakuna wa peke yako dunia nzima shaurilo😂😂😂

  • @kassimchuo5290
    @kassimchuo5290 15 дней назад

    Upo sahihi sanaaa da rayya penda sanaaaaaa and u looks so beautiful ma dear .....unahaki ya kuongea unavyoweza mama (mtu chake)cha halali kinauma mamaaa

  • @mkemiabenzn7811
    @mkemiabenzn7811 15 дней назад +1

    Ha haha., Barnaba hapa alijichanganya sana. Hawaendani hata kdogo na huyu sura nzito🤣🤣

  • @SHAZIRINGOMA
    @SHAZIRINGOMA 15 дней назад +4

    Balinaba huyo mke hakufai maana hata mwenyewe yupo uchi

  • @binkomhesi9019
    @binkomhesi9019 15 дней назад +1

    Mmmmh barnaba hapa aliyumba,,ndombaka kubadili dini,,kweli ukipenda huoni

  • @KhadijaMohammed-gw2xo
    @KhadijaMohammed-gw2xo 15 дней назад +1

    Mekaup iyo ana uzur wowote

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 7 дней назад

    Huyu haiwezi ndoa alifikiri ndo a lele mama haaaaa😂

  • @Mileyb.
    @Mileyb. 10 дней назад

    She's vry honest coz she love tht guy indeed

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 15 дней назад +1

    Nasubiri mrejesho' " Hatimae Barnaba aomba msamaha" 😂😂😂

  • @merinankullua5874
    @merinankullua5874 14 дней назад +1

    Mmmmh ,umembadili dini inayoruhusu ndoa za wake wengi

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 15 дней назад +7

    Sio mume wa mtu huyo bado ananafasi 3 bado

  • @MohamedOmari-wb4oy
    @MohamedOmari-wb4oy 12 дней назад

    Apo kwenye kiuno napo nishida Ata mm nisingekubali lakini sio kuondoka kwako sio Sheria iyo mamaa

  • @kassimchuo5290
    @kassimchuo5290 15 дней назад

    Toa cheche mama usiogope rayya beiby a..k.a boss lady toto la kitangaa hilooo❤❤❤

  • @fatumapilyimo8784
    @fatumapilyimo8784 15 дней назад +3

    Umependeza sana mamii

    • @shamlimah5682
      @shamlimah5682 14 дней назад

      Tell her to show u her really face not makeup

    • @ashminaabdulla8946
      @ashminaabdulla8946 11 дней назад

      Mm iyo Lipstick 💄 hataree😂😂❤❤❤

  • @user-dq1lm2be2u
    @user-dq1lm2be2u 14 дней назад +1

    Barnaba mboni mzuri na bado kijana tafuta anaye hitaji ndoa na siyo mtandao

  • @fetychina3969
    @fetychina3969 15 дней назад +1

    Ume mbadirisha dini barnaba alafu unamuacha Mungu anakuona na umekosea sana kaa utafakari

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018 15 дней назад +3

    Sema yammy mzuri sana ,huyu dada ana sura personal sana😅😅 cjui barnaba anateseka na nn

    • @MwamvuaKing
      @MwamvuaKing 15 дней назад

      😂😂😂😂😂

    • @user-dq1lm2be2u
      @user-dq1lm2be2u 14 дней назад

      Tena wanaendana sana na yammy😂😂

    • @MohamedMkota
      @MohamedMkota 13 дней назад

      hawa ndowalimwengu wanakugeuka dakika😅😅

    • @AsiaAbasi-fg9gu
      @AsiaAbasi-fg9gu 10 дней назад

      Sasa umeambiwa kinachoishi ni sura

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 15 дней назад +3

    Mbona hupendi kujistir Raya maungo wazi kichwa wazi si swa dini hairuhusu na Tatoo kwa juu🤔

  • @mhabimina4023
    @mhabimina4023 15 дней назад +3

    Raya she knows how she is ,don’t let anyone disrespect u 👌

    • @suzanfabian9099
      @suzanfabian9099 14 дней назад

      Mh!! ungecomment kwa kiswahili tu😅😢

  • @AshaMohamedi-re4yy
    @AshaMohamedi-re4yy 13 дней назад +1

    Ujafunzwa Dada rudi tena kwasomo

  • @user-ix5uo6ks7j
    @user-ix5uo6ks7j 12 дней назад

    Huyu dada amekasirika kweli 😂😂aliyekua

  • @user-vy9pz7sk4z
    @user-vy9pz7sk4z 10 дней назад

    Mwanamke ajielew uyu ajui kaz ya mumeo ulikua unataka uwolewe uwonekane chiz uyu locaction kuna watu weng pale acha uchiz

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 15 дней назад

    Mbona hajatupa hiyo pete?

  • @matanohassan9667
    @matanohassan9667 15 дней назад +4

    BARNABA MTU SAFI UTAJUA FAIDA YAKE UKIONDOKA MWENGINE AKIINGIA NDIO BC

  • @mkambaselemani-ej7np
    @mkambaselemani-ej7np 13 дней назад

    Kuna wkt m,akikuambia Niko kwenye foren Kubal tu usijaji !mbona hawakukuona kbl hujaolewa

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow 15 дней назад

    Kwanin Diomond kama so vituvyake mbona kavifanya hovyoo

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 14 дней назад

    Daaaa yani umesema aliyekuwa Mume wangu mdomo.koma mie ndio za Instagram shikamooo

  • @pinklovegirl4553
    @pinklovegirl4553 15 дней назад

    tunaomba review ya not like us ya kedrk 🙏🙏🙏 in swahili Vision

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 15 дней назад +1

    Kama kale kajamaa kamechomoa hii betri, Mungu anakapenda.

  • @GraceMalley-ly2xn
    @GraceMalley-ly2xn 10 дней назад

    Ila Raya lazima amsamehe Barnaba na pia vaeni Variety stile fupi sawa lkn acheni kuvaa matako wazi hatupendi, tunaomba zipite chini ya makalio mstalii wa makalio hatutaki kuona.

  • @martinclassic7595
    @martinclassic7595 15 дней назад

    My blood chris 🔥🔥🔥

  • @cantonamaster9001
    @cantonamaster9001 15 дней назад

    ❤❤

  • @faustinaurio3703
    @faustinaurio3703 15 дней назад +5

    Mama mtu analalama chupi, Raya kiuno 😂kazi kweli kweli 😂

    • @pesaspy_tv
      @pesaspy_tv 15 дней назад

      😂😂😂😂mshenga oa mwanamke mwingine ni balaaa

    • @MwamvuaKing
      @MwamvuaKing 15 дней назад

      Hahahahaha

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m 15 дней назад

    Mnaita watumichi wa mungu kufunga ndoa kumbe mna mitangazo yenu ya biashala

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 15 дней назад

    Ivi huyu Raya anajielewa kweli? Kwani kuna sababu kubwa apo inaweza sababisha kuacha ndoa yako? Barnaba amutizame vizuri iko saha alikuwa amesha kuwa nakengine kabwana toka pale umesha tuchosha pumbavu we . Barnaba huyu dada atakusumbuwa sana ukiangaliya jinsi anavyo ongeya ataona hapa unahasara

  • @salama1113
    @salama1113 15 дней назад +5

    Kwahiyo unataka ummiliki😂😂😂😂

  • @omarzinga7046
    @omarzinga7046 15 дней назад +10

    Huyu heri angeolewa na baba levo kila siku angeombwa samahani😂😂😂

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 15 дней назад

    I love you rahya you're a good women

  • @hanifaally4694
    @hanifaally4694 15 дней назад +3

    Toa ndoa mtandaoni dada Lol

  • @user-gj2mm3ko8m
    @user-gj2mm3ko8m 15 дней назад +1

    Sasa Raya unaganda Mic NDIO imekua mboro ama?I love Barnaba so much,I cried when he married, Mwache nimuchukue Mimi ❤❤❤❤🇰🇪 hao rafiki za mumeo sasa Diamond kamwaribu Barnaba😂😂😂tulia Mjinga wewe Na Wivu WA teenager, Wewe WA kwanza kurudi kwenu?😂😂😂Utarudi kwa mumeo au waache wenye uvumilivu.

  • @chainbre275
    @chainbre275 15 дней назад +1

    Ila pete hajavua hiyo inamaana bado yupo kwa ndoa😂😂

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 15 дней назад +2

    Kijana wawatu mumemutharau sana,

  • @neemambotola1139
    @neemambotola1139 15 дней назад +1

    Anaongea vizuri ...hana papara

  • @YasintaMpanduji
    @YasintaMpanduji 15 дней назад

    Watanzania mlio wengi mko mbelembele kushadadia mabaya na maumivu ya watu, Mungu awaadhibu

  • @user-mo3wn6cc7h
    @user-mo3wn6cc7h 15 дней назад +1

    Ni kweli Barnaba hakua wa design hiyo jamani hata mm nmeshangaa😊

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 15 дней назад

      Ame ji update 😂😂😂😂😂
      Wanaume shikamooni 😂😂
      Hao ndo wanaume, matukio lazima. Akae Kwa kutulia

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi 14 дней назад

    Ww mwenyewe sio mwana mke wa manaa sasa izoo nguo gani ivi mwana mke akiwa anajitambua alaf kaolewa ana wezaa kuvaa nguo kama izoo uyoo chulaa amna mwana mkee appoo

  • @MaryamMoshi
    @MaryamMoshi 7 дней назад

    Mmmmhhh yetu macho

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy 15 дней назад +4

    huyu si ndiyo alisema haachwi? au nilisikia vibaya

  • @MCHINA99
    @MCHINA99 15 дней назад +34

    Yani watu mnafunga ndoa halafu mnahachana kisa picha ?

    • @patrickmukundichalamila3038
      @patrickmukundichalamila3038 15 дней назад +8

      Afu hela wanazochangiwa ndo hua zinaniuma😢 bora wakasaidie wagonjwa ma hospitilan

    • @gasparmpoma3860
      @gasparmpoma3860 15 дней назад +6

      Kweli kuna matatizo ya wagonjwa wa akili ndugu yangu amini

    • @MaiKasimu-xf4fz
      @MaiKasimu-xf4fz 15 дней назад +3

      😂😂😂😂😂 yaaan mpka wanatutisha masingle

    • @BintiHamisi-lh3xx
      @BintiHamisi-lh3xx 15 дней назад

      ​@@MaiKasimu-xf4fz😂😂😂usiogope izi nza mastaa

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar 15 дней назад +1

      Brother wako yupo right ndoa sio mitandaoni. Anajisifu kumsema mume akiingia na kutoka ndani ya nyumba mume atachoka atafuta amani nje

  • @joycelaura4611
    @joycelaura4611 15 дней назад +9

    upuuzi huo kufuta picha ndo ukweli wa maisha ya ndoa mtu anaweza futa na akaendelea na tabia yake

    • @yukundapeter8200
      @yukundapeter8200 15 дней назад

      Ni kweli Joy! Kufuta sio 7babu.2meona wengi mno.

    • @winniesimon850
      @winniesimon850 11 дней назад

      Barnaba hoyeeeeeee, njoo huku sina tumbo.

  • @sisifaty9183
    @sisifaty9183 15 дней назад +1

    Alikuwa anataka kutoka mjinga utajuta .kwani nyumba .maduka nini huoni mafuriko yanavyo kuja uliza Dubai matajiri wako huko mtoto kama kunasababu zingine hapo sawa

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y 15 дней назад +6

    Karembo kweli mmpaka sauti jmn

  • @mrabdulhamid4269
    @mrabdulhamid4269 15 дней назад +2

    Huyu mwanamke ni muislamu jina tu. Dawa yake ni kuoa mke wa pili tu.

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 7 дней назад

    Alienda kutingisha liberties atiiii kakuta kimeunguaaa

  • @mamawamireille4872
    @mamawamireille4872 15 дней назад +1

    Barnaba pole mkewako na mama mkwewako wote niwamoto nihatari

  • @joycelaura4611
    @joycelaura4611 15 дней назад

    maisha ya mtandaoni ndo hayoooo

  • @JudithKigalu-ue3in
    @JudithKigalu-ue3in 9 дней назад

    Wewe dada unajivuna, ule ni mwanaume auwezi kumupangia mambo. Auwezi dumu kwenye ndoa kwa ayo maneno umezungumuza atari

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya5864 10 дней назад

    Kama Barnabas kaomba msamaha halafu huyu hataki, aachane naye. Halafu, kumbe ilikuwa kazini!!!

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 7 дней назад

    Alienda kuangalia mkato wa chumba😂😂

  • @sofiarugoye7929
    @sofiarugoye7929 13 дней назад

    Kwenye mahusiano mmekaa miak Saba? Barnabas sialikua mke,kwahiyo ulikua unamuibia yule wakwanza?

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 15 дней назад +1

    Kiki ya wimbo nimekaaa pale.

  • @farijala0893
    @farijala0893 15 дней назад

    Siku hizi hadi app zinaombwa misamaha 😅

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 14 дней назад

    Tattoo imeandikwa VIP hapo
    Kiswahili.usiamin yeyote
    Je Kwa kingeleza msaada please niadikien hapo

  • @aromaofzanzibar
    @aromaofzanzibar 15 дней назад +4

    Nilitaka kuuliza hizi music video na photo shoot si zinakuwa controlled na ma producers wanavyo plan na nguo kuna stylist au vipi

    • @sabihasalim942
      @sabihasalim942 15 дней назад +2

      Niliona Interview ya Barnaba ya wasafi ameulizwa similar question akasema Yammi ndio amechaguwa hilo vazi😮

    • @sabihasalim942
      @sabihasalim942 15 дней назад +1

      Hata kama ni kazi but kuna limit... Amem Disrespect his wife wake .🥺

  • @aminabakari5408
    @aminabakari5408 13 дней назад

    Nkwel mapenzi hayaganyiki mmy

  • @Zuu673
    @Zuu673 15 дней назад

    Kisoda kweli kiki bado inaendelea

  • @aromaofzanzibar
    @aromaofzanzibar 15 дней назад +1

    Wazungu wanasema don’t make permanent decisions on a temporary situation. Hiyo ni kazi na imeshakwisha Barnaba hajasema kama anamahusiano lakini ukuzidi kumsema sema utafukuza akatafute mapenzi na Amani kwengine.

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 15 дней назад

      Haswaa wajina umeongea we muache aendelee kuvimba kichwa kujikuta ana mmudu sana barnaba

    • @azirajuma553
      @azirajuma553 13 дней назад

      Ushauri mzuri sana dada,anatakiwa atulie kwa sababu mumewe alikuwa kazini.

  • @user-wy2em2jr5w
    @user-wy2em2jr5w 7 дней назад

    Kwani lazima maswali yafanane au munaigana

  • @hawababy120
    @hawababy120 15 дней назад +2

    Tukia ile nikazi kwahio humuamini mme wako!!!unaitaji canceling wee dada.

  • @user-sp2hu8lb1c
    @user-sp2hu8lb1c 15 дней назад

    ❤❤❤wakwanza kuona

  • @paulino2725
    @paulino2725 11 дней назад

    Mpuuzi kwel huyu dada

  • @christinamwangoc4779
    @christinamwangoc4779 15 дней назад

    Ki kweli mnatulazimisha sanaa kuwasikiliza

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 15 дней назад +2

    Mpeni mtu nasaha msimtukane ili arudi kwenye ndoa yake

  • @user-tk5yy6vj3b
    @user-tk5yy6vj3b 12 дней назад

    Ndg mtangazaji jinc anavyo ongea tu uyo mdada inaonesha kabisa yy kashika mpini barnaba kashika makali sasa unazani kuna nn kitatokea kama cio kumwaga damu