Wewe mwanamke haujaolewa ju yakudum kwenye ndowa labda ulikuwa na Malengo yako fulani umeyatimiza unajisepa , ninafurahi kuona umeamuwa mwenyewe kumuacha barnaba kimtizamo wangu mimi mungu anampenda barnaba, sababu ungekuwa kikwazo maishani mwanamke
Weeee dada ni mshamba to the maximum. Eti tukapeana space. Akishika kiuno ndo kula yako tulia bandika makope yako. Kwanza Huna uzuri wowote. Upo kama jini
Mnapo owa muwe munaangaliya ni mwanamke gani anafaa kwenye ndoa siyo mwanamke anaye jihisi kama nimzuri zaidi ,natena awe mtu ambaye anauvumilivu napia mama mkwe kama hawa hawafai
Mke mwenye kuijua din awez kuanika ndoa yake kwenye jamii alafu unatak stala wakati mwenyew unastar mke wamtu ayo nimavaz yakujianika mitandaon muongopen mungu
Jmn Raya rudi kwa mumeo wew ndo tunakujua ni mke halali icho kitu sidhan kama ni cha muhimu sn had umuache mumeo kazi yako ni kumuombea ndo mana Mungu amesema mke amuombee mumewe sas muombee mumewe na sala zako ndo zitamuepusha na hayo mambo yte dia na pia iyo ni kaz yke kma unavyojua wasanii msameeh thn muombee sana usimruhusu shetan aiseh afu ukimuacha mumeo unampa artym uyo manzi mwngn jiamin ww ndo mama lao rudi kwa mumeo
Sasa ache Kila kitu mtakula hiyo ndoa,ww mdada kitu huji mwanaume anaweza kuwa smart kwenye macho Yako lkn ni msaliti balaa, njia pekee ya kulinda ndoa yk ni maombi, cyo mtandao shetani haogopi maneno yk bali unampa nguvu ,jifunze kubadilika unaongea sana hd unakosa radha
Upo sahihi sanaaa da rayya penda sanaaaaaa and u looks so beautiful ma dear .....unahaki ya kuongea unavyoweza mama (mtu chake)cha halali kinauma mamaaa
Ila Raya lazima amsamehe Barnaba na pia vaeni Variety stile fupi sawa lkn acheni kuvaa matako wazi hatupendi, tunaomba zipite chini ya makalio mstalii wa makalio hatutaki kuona.
Ivi huyu Raya anajielewa kweli? Kwani kuna sababu kubwa apo inaweza sababisha kuacha ndoa yako? Barnaba amutizame vizuri iko saha alikuwa amesha kuwa nakengine kabwana toka pale umesha tuchosha pumbavu we . Barnaba huyu dada atakusumbuwa sana ukiangaliya jinsi anavyo ongeya ataona hapa unahasara
Sasa Raya unaganda Mic NDIO imekua mboro ama?I love Barnaba so much,I cried when he married, Mwache nimuchukue Mimi ❤❤❤❤🇰🇪 hao rafiki za mumeo sasa Diamond kamwaribu Barnaba😂😂😂tulia Mjinga wewe Na Wivu WA teenager, Wewe WA kwanza kurudi kwenu?😂😂😂Utarudi kwa mumeo au waache wenye uvumilivu.
Ww mwenyewe sio mwana mke wa manaa sasa izoo nguo gani ivi mwana mke akiwa anajitambua alaf kaolewa ana wezaa kuvaa nguo kama izoo uyoo chulaa amna mwana mkee appoo
Alikuwa anataka kutoka mjinga utajuta .kwani nyumba .maduka nini huoni mafuriko yanavyo kuja uliza Dubai matajiri wako huko mtoto kama kunasababu zingine hapo sawa
Wazungu wanasema don’t make permanent decisions on a temporary situation. Hiyo ni kazi na imeshakwisha Barnaba hajasema kama anamahusiano lakini ukuzidi kumsema sema utafukuza akatafute mapenzi na Amani kwengine.
Ndg mtangazaji jinc anavyo ongea tu uyo mdada inaonesha kabisa yy kashika mpini barnaba kashika makali sasa unazani kuna nn kitatokea kama cio kumwaga damu
Wewe mwanamke haujaolewa ju yakudum kwenye ndowa labda ulikuwa na Malengo yako fulani umeyatimiza unajisepa , ninafurahi kuona umeamuwa mwenyewe kumuacha barnaba kimtizamo wangu mimi mungu anampenda barnaba, sababu ungekuwa kikwazo maishani mwanamke
Unaweza kupenda mitandao lkn sio maisha yako ya ndoa kuyaweka mtandaoni na unachofanya unampa sababu yakuwa na wanawake wengine.
Hana akili, ukiolewa na msanii lzm ujiandae kisaikolojia
Weeee dada ni mshamba to the maximum. Eti tukapeana space. Akishika kiuno ndo kula yako tulia bandika makope yako. Kwanza Huna uzuri wowote. Upo kama jini
Tumbo limekuvunjia ndoa hahahaha
Toto la mama kimbo hiloooo pendeza sanaaaaa like mother like daughter ❤️❤️❤️
Mnapo owa muwe munaangaliya ni mwanamke gani anafaa kwenye ndoa siyo mwanamke anaye jihisi kama nimzuri zaidi ,natena awe mtu ambaye anauvumilivu napia mama mkwe kama hawa hawafai
Barnaba Kushukuru Mungu wako kwa yote. Endelea na kazi na maisha yako . Amen.
Achakutaja wasanii wengine pambana na ndoa Yako Raya itakugharim
Makiki ya kipuuzi.. Kwani hukujua unaendakuolewa na msanii?? Na wasanii wa bongo kama tujuavyo uchi ndo unawatambulisha
Pcha lina anza raya mwenyewe yupo uchi matiti nnje lakini analia mumewe kashika kiuno ngoja ni 😂🤣🤣 tusome dini ili tupate muongozo
Halafu alipo olewa alifahamu vizuri kazi ya mme ni usanii na kuwashika shika wanawake iko ndanii ya usanii
Hawa wanawake bure kabisa. Wanaume tutengeze hela
Aaah raya mwenyewe by hat na Barnabas hawaendani. Ila pale kwenye kiuno kamependeza .shikamoo 🍠
Nlitaka nseme lkn asante umetangulia 😂😂
Umeonaeeee.
Barnaba kazi unayo duh kuacha Tena usanii, mbona mwanamke huyo akirudi Tena timbwili,kisa usanii,,,🤣🤣Sasa alivyo kuoa hukujua kama msanii,mh mh
Utani utani utajikuta huna ndoa kabisaa
Huy muislam kweli kuowa sharia
Mi naona huyu Dada hana hekima maana huwezi mwanika mme wako hivyo duh kazi kweli
Mke mwenye kuijua din awez kuanika ndoa yake kwenye jamii alafu unatak stala wakati mwenyew unastar mke wamtu ayo nimavaz yakujianika mitandaon muongopen mungu
Jmn Raya rudi kwa mumeo wew ndo tunakujua ni mke halali icho kitu sidhan kama ni cha muhimu sn had umuache mumeo kazi yako ni kumuombea ndo mana Mungu amesema mke amuombee mumewe sas muombee mumewe na sala zako ndo zitamuepusha na hayo mambo yte dia na pia iyo ni kaz yke kma unavyojua wasanii msameeh thn muombee sana usimruhusu shetan aiseh afu ukimuacha mumeo unampa artym uyo manzi mwngn jiamin ww ndo mama lao rudi kwa mumeo
Mashaallah umependeza…
hunahaya wewe dada mbonawewe upo uchi na hajawai kukataza kuvaa ivo
Mwenyewe kajiona kavaa😂😂😂😂😂
Mmmmh we umepambana na barnaba wapi jamani barnaba alifanikiwa miaka ya nyuma Sana
Kumbe kwenye maisha unaweza kuowa mwanamke mkubwa kabisa.... Lakn akili ndogo...
kwani we ulikuwa hujui wanawake akili zao ni ndogo sana yaani ni fupi
@@Hussein-gx4qu😂😂😂siyo wote mimi King,ang,anizi
😂😂😂😂😂😂😂😂Kweli
Aaaweeeee😂😂 izi za mtandaoni noma sana
Malaya huyu kwani hakujua anayemuoa ni msanii na hii ni ni sehemu ya kazi yake. Bas na aende ataoa mke mwengine mwenye kujitambua.
Kazi kazi
@Chris Favors Kaka unajua kazi lako kikukweli unajua Kukuliza you deserves the Flowers 💐
Pumbavu hujui kazi ya mume wako
Kazi anayo Barnaba pole aliyekutuma kubadili dini Kwa ajili ya familia hiyo ukitaka ndoa Uache mziki
Tatizo hapo Mama amekuwa mtu wa katikati ndoa ikishakuwa na mtu Kati kwisha habari
Nimekupenda da raya ❤❤
Nenda salama mama tunakutakia maisha mema
Sasa ache Kila kitu mtakula hiyo ndoa,ww mdada kitu huji mwanaume anaweza kuwa smart kwenye macho Yako lkn ni msaliti balaa, njia pekee ya kulinda ndoa yk ni maombi, cyo mtandao shetani haogopi maneno yk bali unampa nguvu ,jifunze kubadilika unaongea sana hd unakosa radha
😁😁😁😁😁
😅😅😅😅😅😅😅😅 kweli anakosa radha
Raya hakuna wa peke yako dunia nzima shaurilo😂😂😂
Upo sahihi sanaaa da rayya penda sanaaaaaa and u looks so beautiful ma dear .....unahaki ya kuongea unavyoweza mama (mtu chake)cha halali kinauma mamaaa
Ha haha., Barnaba hapa alijichanganya sana. Hawaendani hata kdogo na huyu sura nzito🤣🤣
Balinaba huyo mke hakufai maana hata mwenyewe yupo uchi
Mmmmh barnaba hapa aliyumba,,ndombaka kubadili dini,,kweli ukipenda huoni
Mekaup iyo ana uzur wowote
Huyu haiwezi ndoa alifikiri ndo a lele mama haaaaa😂
She's vry honest coz she love tht guy indeed
Nasubiri mrejesho' " Hatimae Barnaba aomba msamaha" 😂😂😂
Mmmmh ,umembadili dini inayoruhusu ndoa za wake wengi
Sio mume wa mtu huyo bado ananafasi 3 bado
Apo kwenye kiuno napo nishida Ata mm nisingekubali lakini sio kuondoka kwako sio Sheria iyo mamaa
Toa cheche mama usiogope rayya beiby a..k.a boss lady toto la kitangaa hilooo❤❤❤
Umependeza sana mamii
Tell her to show u her really face not makeup
Mm iyo Lipstick 💄 hataree😂😂❤❤❤
Barnaba mboni mzuri na bado kijana tafuta anaye hitaji ndoa na siyo mtandao
Ume mbadirisha dini barnaba alafu unamuacha Mungu anakuona na umekosea sana kaa utafakari
Sema yammy mzuri sana ,huyu dada ana sura personal sana😅😅 cjui barnaba anateseka na nn
😂😂😂😂😂
Tena wanaendana sana na yammy😂😂
hawa ndowalimwengu wanakugeuka dakika😅😅
Sasa umeambiwa kinachoishi ni sura
Mbona hupendi kujistir Raya maungo wazi kichwa wazi si swa dini hairuhusu na Tatoo kwa juu🤔
Raya she knows how she is ,don’t let anyone disrespect u 👌
Mh!! ungecomment kwa kiswahili tu😅😢
Ujafunzwa Dada rudi tena kwasomo
Huyu dada amekasirika kweli 😂😂aliyekua
Mwanamke ajielew uyu ajui kaz ya mumeo ulikua unataka uwolewe uwonekane chiz uyu locaction kuna watu weng pale acha uchiz
Mbona hajatupa hiyo pete?
BARNABA MTU SAFI UTAJUA FAIDA YAKE UKIONDOKA MWENGINE AKIINGIA NDIO BC
Kuna wkt m,akikuambia Niko kwenye foren Kubal tu usijaji !mbona hawakukuona kbl hujaolewa
Kwanin Diomond kama so vituvyake mbona kavifanya hovyoo
Daaaa yani umesema aliyekuwa Mume wangu mdomo.koma mie ndio za Instagram shikamooo
tunaomba review ya not like us ya kedrk 🙏🙏🙏 in swahili Vision
Kama kale kajamaa kamechomoa hii betri, Mungu anakapenda.
Ila Raya lazima amsamehe Barnaba na pia vaeni Variety stile fupi sawa lkn acheni kuvaa matako wazi hatupendi, tunaomba zipite chini ya makalio mstalii wa makalio hatutaki kuona.
My blood chris 🔥🔥🔥
❤❤
Mama mtu analalama chupi, Raya kiuno 😂kazi kweli kweli 😂
😂😂😂😂mshenga oa mwanamke mwingine ni balaaa
Hahahahaha
Mnaita watumichi wa mungu kufunga ndoa kumbe mna mitangazo yenu ya biashala
Ivi huyu Raya anajielewa kweli? Kwani kuna sababu kubwa apo inaweza sababisha kuacha ndoa yako? Barnaba amutizame vizuri iko saha alikuwa amesha kuwa nakengine kabwana toka pale umesha tuchosha pumbavu we . Barnaba huyu dada atakusumbuwa sana ukiangaliya jinsi anavyo ongeya ataona hapa unahasara
Kwahiyo unataka ummiliki😂😂😂😂
Huyu heri angeolewa na baba levo kila siku angeombwa samahani😂😂😂
Ama mwijaku😂😂😂😂😂
@@user-wp2dc3dr3w hapo umepatia
😅😅😅@@user-wp2dc3dr3w
Omary tafadhali mbavu xangu.
Mmmh kweli haya a😂😂😂😂😂😂
I love you rahya you're a good women
Toa ndoa mtandaoni dada Lol
Sasa Raya unaganda Mic NDIO imekua mboro ama?I love Barnaba so much,I cried when he married, Mwache nimuchukue Mimi ❤❤❤❤🇰🇪 hao rafiki za mumeo sasa Diamond kamwaribu Barnaba😂😂😂tulia Mjinga wewe Na Wivu WA teenager, Wewe WA kwanza kurudi kwenu?😂😂😂Utarudi kwa mumeo au waache wenye uvumilivu.
Ila pete hajavua hiyo inamaana bado yupo kwa ndoa😂😂
Kijana wawatu mumemutharau sana,
Anaongea vizuri ...hana papara
Watanzania mlio wengi mko mbelembele kushadadia mabaya na maumivu ya watu, Mungu awaadhibu
Ni kweli Barnaba hakua wa design hiyo jamani hata mm nmeshangaa😊
Ame ji update 😂😂😂😂😂
Wanaume shikamooni 😂😂
Hao ndo wanaume, matukio lazima. Akae Kwa kutulia
Ww mwenyewe sio mwana mke wa manaa sasa izoo nguo gani ivi mwana mke akiwa anajitambua alaf kaolewa ana wezaa kuvaa nguo kama izoo uyoo chulaa amna mwana mkee appoo
Mmmmhhh yetu macho
huyu si ndiyo alisema haachwi? au nilisikia vibaya
Ndo huyo huyo
Yani watu mnafunga ndoa halafu mnahachana kisa picha ?
Afu hela wanazochangiwa ndo hua zinaniuma😢 bora wakasaidie wagonjwa ma hospitilan
Kweli kuna matatizo ya wagonjwa wa akili ndugu yangu amini
😂😂😂😂😂 yaaan mpka wanatutisha masingle
@@MaiKasimu-xf4fz😂😂😂usiogope izi nza mastaa
Brother wako yupo right ndoa sio mitandaoni. Anajisifu kumsema mume akiingia na kutoka ndani ya nyumba mume atachoka atafuta amani nje
upuuzi huo kufuta picha ndo ukweli wa maisha ya ndoa mtu anaweza futa na akaendelea na tabia yake
Ni kweli Joy! Kufuta sio 7babu.2meona wengi mno.
Barnaba hoyeeeeeee, njoo huku sina tumbo.
Alikuwa anataka kutoka mjinga utajuta .kwani nyumba .maduka nini huoni mafuriko yanavyo kuja uliza Dubai matajiri wako huko mtoto kama kunasababu zingine hapo sawa
Karembo kweli mmpaka sauti jmn
Ushaanza umalaya
@@rogerabdallah439 sasa kama ni mrembo nisiseme kweli
@@user-nk4oq4ek9y aya 4 u
@@rogerabdallah439😂😂😂 kumekucha
Sio mzuri ni makeup
Huyu mwanamke ni muislamu jina tu. Dawa yake ni kuoa mke wa pili tu.
Alienda kutingisha liberties atiiii kakuta kimeunguaaa
Barnaba pole mkewako na mama mkwewako wote niwamoto nihatari
maisha ya mtandaoni ndo hayoooo
Wewe dada unajivuna, ule ni mwanaume auwezi kumupangia mambo. Auwezi dumu kwenye ndoa kwa ayo maneno umezungumuza atari
Kama Barnabas kaomba msamaha halafu huyu hataki, aachane naye. Halafu, kumbe ilikuwa kazini!!!
Alienda kuangalia mkato wa chumba😂😂
Kwenye mahusiano mmekaa miak Saba? Barnabas sialikua mke,kwahiyo ulikua unamuibia yule wakwanza?
Kiki ya wimbo nimekaaa pale.
Siku hizi hadi app zinaombwa misamaha 😅
Tattoo imeandikwa VIP hapo
Kiswahili.usiamin yeyote
Je Kwa kingeleza msaada please niadikien hapo
Nilitaka kuuliza hizi music video na photo shoot si zinakuwa controlled na ma producers wanavyo plan na nguo kuna stylist au vipi
Niliona Interview ya Barnaba ya wasafi ameulizwa similar question akasema Yammi ndio amechaguwa hilo vazi😮
Hata kama ni kazi but kuna limit... Amem Disrespect his wife wake .🥺
Nkwel mapenzi hayaganyiki mmy
Kisoda kweli kiki bado inaendelea
Wazungu wanasema don’t make permanent decisions on a temporary situation. Hiyo ni kazi na imeshakwisha Barnaba hajasema kama anamahusiano lakini ukuzidi kumsema sema utafukuza akatafute mapenzi na Amani kwengine.
Haswaa wajina umeongea we muache aendelee kuvimba kichwa kujikuta ana mmudu sana barnaba
Ushauri mzuri sana dada,anatakiwa atulie kwa sababu mumewe alikuwa kazini.
Kwani lazima maswali yafanane au munaigana
Tukia ile nikazi kwahio humuamini mme wako!!!unaitaji canceling wee dada.
❤❤❤wakwanza kuona
Mpuuzi kwel huyu dada
Ki kweli mnatulazimisha sanaa kuwasikiliza
Mpeni mtu nasaha msimtukane ili arudi kwenye ndoa yake
Ndg mtangazaji jinc anavyo ongea tu uyo mdada inaonesha kabisa yy kashika mpini barnaba kashika makali sasa unazani kuna nn kitatokea kama cio kumwaga damu