@54:50 hapa anaposema Jumapili mtu akitaka mzigo yeye anaibuka gheto kama kawa, waliosoma kuba tumeshamuelewa sasa ndugu mtangazaji usituangushe gawa namba hiyo faster watu tucheze na vidole.
huyu mambo mengi kasema kweli lkn umri wake kadanganya hawezi kua miaka 21 maana kasema alikua anataka akajifunze kwa Kanumba kuigiza , kanumba tokea afe miaka 12 ina maana alianza kujifunza kuigiza na miaka 9 ?
Umeona eeeh! Na ukirudi nyuma amejizuiya kulopoka kuwa amemaliza form 4 mwaka 2012 akajizuiya😂😂😂 so alimaliza na miaka 9 hiyo form 4??😅😅 watu bhana ety miaka 21😅 ya nyokooo
No wigi, no makucha ya bandia, no mkorogo. Huyu dada ni true definition ya mwanamke mzuri.
She is really und beautiful
I like her😊
Nampenda sana huyu binti anaishi maisha halısı hana mambo mengi
huyu dada mzuri kwa kweli..she is very beautiful
arafu ata aringi
@@stellahlinusi8215 haswaa very natural
Wajina wangu kiukwel uko very naturally sinta ss tuk hivy ukiacha odemba na kukubal aiseee
Nimeipenda sanaaaaa kwanza msafiii pili anajiamini Sana ❤❤
Napenda vipindi vyako sanaaa from Burundi 🇧🇮 ♥️ nenda na kwa Wema basi
She has confidence and self composure!
Smart girl yani yupo natural hadi hakili umetisha sana💕🎉🎉🎉💝
Siyo hakili 😢, toa H ni akili
Kama unampenda like hapa
Huyu demu anajielewa😂😂
Ana masihara mengi na ana upendo sana ...si mchoyo na mkarim
I like Jasinta❤
She is so natural
Kaka Leo umetisha Sana Yani kama washkaji show hii
Next neenda Kwa rama esthetic nyumba yake ameitengeza vizuri sana alafu ukienda Kwa hizo nyumba tuonyeshe sana nyumba
Mdada mzuri Mashaallah'❤️❤️❤️❤️❤️❤️🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Jasinta hongera nyumba yako nzuri
Nimekupenda mdogo unapambana sana
❤❤❤❤❤
Nimekuwa nikikufatilia sana napenda unaishi maisha ya uhalisia
Demu mnyamwezi sana na uzungu kidogo yuko poa sana mwana mshikaji sana demu nimependa interview kipindi nitamuunga mkono dukani kwake duvet mpambanaji
She is beautiful and fan of wasafi 😅 specially……#komasava😻
Nimempenda huyu mdada jamani iko simple sana❤❤
Nampenda sana huyu dada hana mambo mengi
Oooh tuliokulia sengerema like zangu mnipe hapa
Kma kuna aliyesikia aleg like hapo
Kazi mnzuri mashaailah
@54:50 hapa anaposema Jumapili mtu akitaka mzigo yeye anaibuka gheto kama kawa, waliosoma kuba tumeshamuelewa sasa ndugu mtangazaji usituangushe gawa namba hiyo faster watu tucheze na vidole.
wew nae matko
Punguz umalaya 😂
Akili nyingi sana...❤❤❤❤
Dah 😂😂😂 kam n mpenz wako unatakiwa uwe na roho ngumu sana maan n mchesh san
Mzuri sana
Yaan wewe Saleh Leo kapatikana😂😂😂😂
We love u Jasinta 😊
Wavugishije ukuri wa mwana wa we, umuhayakazi usa nawe wamubonye he
Me nilijua mmasali❤
Jasinta is such a cool girl
Dada amenyooka kwa kweli❤
imependeza sana🤗
Kama mwanajeshii.vile ,chagua apa,weka kule tuondokee😅😅😅real gem
Napenda anavyo ongea 🥺
Kwa ss wapambanaji hy ni mwanamke wa shoka sio slay queen kutafuta hela mwenyewe ni raha sana
Nampenda jasinta
Ila swalehe kwanini umvishe viatu 😅😅leo patachimbika
Umepatikana leo😂 kwa Mzee wa Ngenga nako😅
She's very organized❤😊
Ukisikia twiga ndio huyu sasa❤❤❤❤
Sio kuku kuchi
Nampenda bureeee❤
Hongera kwake
Salehe mbona kama mnaendana hiv😂
I like her❤
😂😂😂😂umepewa na zawadi salehe hiyo ndo malipo lazima ufanye kaz ukome bna
Nijasinta lkn sauti ya flaviana matata kbs
Kama una mpenda gonga like apa
Beautiful
😢jasinta ummeonja kidogo haki ya mungu nakwambia ,waojua wanajua
Sio vzur kuomba omba..... Hio perfume tu hajabless
Et aah kidogo nseme Diamond 😂❤
Uko vizurrí sana my dear
Nampenda anavyo ongea tyu
Uyu demu ata kama una million unatoa😂😂😂
Yuko so real❤
Swarovski ni expensive somehow inatengemea uliponunulia lakini bora ukanunue diamond kama unapenda madini sababu swarovski ni chupa crystal glass
She is so beautiful and kind hata ukikutana nae haringii ❤❤
Yaan huyu ndo mt bhana..kingereza kakiweka shimoo🤓dada yuko poa sanA
Hio peefume ndo yenyeww😊
Wee sareh unanichekesha eti alivyoondoka anachukuwa mawig yake😅😅
Sijue wanaume wanakuaka wana feli wapi huyu mwanamke wakuowa bana 😂😂😂
Mashaallah 🎉
Murembo jasinta❤❤❤
Saleh Leo umepatikana kwa Modo. Kula hujapewa na Kazi umefanya
Umeonae
Mtoto alivooinama nikaona mwana kaangalia tako kidogo nakubali😂😂😂
😂😂😂kwa kweri leo umepatikana kaka
Salehee uwende na kwa hamisaa😂
King Promise is from Ghana
Demu peace sana mshikajiiiiii ukiwa nae hauwi boadi mnyamweziiii nimetamani ata kudate nae
Saleh et kuna watu wanahongwa bundle la wiki😢
Love you mrembo jmn 😘😘😘
Mtu unajifanya ulikua umelala unaamka na microphone kifuani 🤣🤣🤣🤣✋
Jamani😊
Duh😅
Hahahah iyi kali😅
🤣🤣🤣
Mic hiyo .
Yuko vizur ❤
Yani huyu dada Hana Maringo kama zamaradi nakupendeni sanaa nitakuja uniuzie shuka
Zamaradi kaingiaje jaman🤣🤣
Yaan apo jikon nimeludia mala 2 kupaangalia palivyo doda yan mimi nnavyopenda kupika na kula mmh siwez kula migahawan kwakwel kwanza sito shiba
Nime mpende ana uhalisia
Jasinta mrembo sema kichwani km anavipunye
😅Jmn khaa
😂😂😂 jmn ww
Anasura ya kinyarwanda
Nimnyarwanda ila wale wameka tz sana
@@hahmadhabibu2076 ni mhaya si unajua wale wanafanana na wanyarwanda.
@@hahmadhabibu2076acha shobo kujifanya unajua watu
I heard her and her family speaking Kinyarwanda.
Mnyarwanda wa Nyakabango Muleba
Mnara wa voda😂😂
Nmependa mshikaji sana
Ngoja wadudu wakuibukie waifate hiyo mkufu, utajua hujui
Nampenda sana huyu binti.
Dada yetu yupo poa sana
Huyu sio mtanzania, huyo ni Rwandese
Msukuma huyo sio mnyarwanda hakuna makwabe mnyarwanda
Mmeshaambiwa muhaya jmn
Nimekupenda Sana unaishi huwasilia kabisa
Influencer sawa lakini model hapana pengine plus size.
Alooo mpemba mwezangu sh salehe wavaa.macheni kama 2pc aloo usirudi pemba twakuuwa
Hizo nyumba za kuoanga ziko wapi nikapange karibu na mrembo
Nampenda huyu dada uwiii sijui niseme vp anisikie
Ongeza sauti 😂
@@Zainab-qg6xv 🤣🤣🤣
H❤i❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
She is intelligent, i really like her.
zamaradi tuletee yule dada anayeishi Mwanza tajiri msichana mdogo anatusumbua Italy. ni msichana ana akili sana
Yupi huyo niko italy simfaham
Eti kuna mtu anaungwa bando La wiki 😅😅
Salehe Leo akuna kula apo peupe peee😂😂😂😊
😂😂😂😂 nakazi kafznya
Swalehe leo umepatikana no kula kaz kaz😂😂😂
huyu mambo mengi kasema kweli lkn umri wake kadanganya hawezi kua miaka 21 maana kasema alikua anataka akajifunze kwa Kanumba kuigiza , kanumba tokea afe miaka 12 ina maana alianza kujifunza kuigiza na miaka 9 ?
Alkua atania bhana
Umeona eeeh! Na ukirudi nyuma amejizuiya kulopoka kuwa amemaliza form 4 mwaka 2012 akajizuiya😂😂😂 so alimaliza na miaka 9 hiyo form 4??😅😅 watu bhana ety miaka 21😅 ya nyokooo
Miaka hapo mmh katudanganya kabisaaa@@kellynelove3808
"tulipewa lakini nikatembea nalo"😂😂😂😂