BARNABA NA YAMMI WAFIKA BASATA/BARAZA LA SANAA LATOA TAMKO WIMBO WA NIBUSU/AOMBA MSAMAHA KWA FAMILIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 май 2024
  • BARNABA NA YAMMY WAFIKA BASATA/BARAZA LA SANAA LATOA TAMKO WIMBO WA NIBUSU/AOMBA MSAMAHA KWA FAMILIA #BARNABABASATA #basata #BASATABARNABA
    WATCH PART 1 BARNABA AMJIBU MAMA MKWE/NAOA MKE WA PILI/RAYA AMEONDOKA AMENIBLOCK /KUPIGA PICHA NA YEMMY/SITAACHABARNABA AMJIBU MAMA MKWE/NAOA MKE WA PILI/RAYA AMEONDOKA AMENIBLOCK KILA SEHEMU/SITAACHA SANAA YANGUMAMA KIMBO AMPA ONYO BARNABA/AFUTE PICHA ZOTE ALIZOPIGA NA YEMMY ALIVOVAA UTUPU #MAMAKIMBO #BARNABA #yemmi #gigymoney #BARNABA #YAMMY
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 85

  • @theresiamwacha7845
    @theresiamwacha7845 23 дня назад +6

    Akanywe uyo mwanamke alievunja ndoa uchi kabisa nabado mnamtetea akanywe

  • @jokhamohammed976
    @jokhamohammed976 23 дня назад +10

    Duh damu ya mtu zuchu mara ngapi anavaa hivyo mbona hamjamwita😅😂🤣umasikini nao shida😅😂🤣mondi anaogopewa

    • @Ayuminchasi
      @Ayuminchasi 21 день назад

      Sio zuchu tu wasanii wa kike woote huvaa uchi hakuna anaevaa vizur stara

  • @halimahussein6792
    @halimahussein6792 23 дня назад +5

    Hilo ndiyo nilitegemea, Safi Sana, wakiachiwa hata chupi wataziona nzito

  • @ashamahadi5281
    @ashamahadi5281 23 дня назад +4

    Barnaba mtoto mwema Mungu akubariki. Mbona Nandi na Ally Kina walikuwa wanaogolea mkewe alielewesha akaelewa.

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 22 дня назад +6

    Tanzania ya hovyo sana huo ni uonevu tu hatujaona kosa la barnaba na yammy

  • @EverlyneSamuel
    @EverlyneSamuel 23 дня назад +8

    Apo mnamuonea barnaba..mbn kina gigy wanavaa vibaya na hamuongei😢😢

    • @siaammo1104
      @siaammo1104 23 дня назад +1

      Itakuwa mama mkwe wake kaenda basata kuwashtaki😅

    • @user-rg8fq8fc3k
      @user-rg8fq8fc3k 19 дней назад +1

      Hapo sasa ubaguzi

  • @noraazan9124
    @noraazan9124 18 дней назад +1

    Kaongea vizuri Barnaba hongera sana.

  • @radhinamedi8301
    @radhinamedi8301 22 дня назад +1

    Ivi mumeelewa musisahau mimi ni MUHAMMED

  • @theantara8931
    @theantara8931 22 дня назад +1

    Hao ni WA kuwapa Elimu? Yaani hawakujua baya na nzuri!

  • @yapukahassan
    @yapukahassan 16 дней назад

    Huyu jamaa ni mwanamke au mwanaume

  • @NusraHozza-qp8yy
    @NusraHozza-qp8yy 22 дня назад +4

    Halafu najiuliza bila kuonyesha linguo lake la ndan anaona hapendezi au anajiamini nini mtt wa kike mwenye wazazi wa2 mbona jide kaimba miaka mingi na hajawah kukaa uchi.

    • @user-mi7cd8ch1b
      @user-mi7cd8ch1b 21 день назад

      Memuona yamm tu mbon zuchu anavah nguo na chup rake rinaonekana na gigy anakaha uchi mbon hawamuiti na wenginewe wengi hu ni uwonevu wasani wengine wavae ila memuona barnaba tu na yamm kwa kuwa mkwe kaongea ndio basata wakamua ivyo wanashindwa kuwaita wanaokosea wanamkataza barnaba na yamm kisa chup mbon miziki ya nje mnangaria kenge nyie

  • @S__Official24
    @S__Official24 23 дня назад +19

    Wapuuzi ndy watatetea lkn Yammy yupo uchi sana yy na Phina wamezidi kupiga picha uchi ukweli ndy huo

    • @zuweinaalhabsya8773
      @zuweinaalhabsya8773 23 дня назад

      Ni kweli kabisa

    • @sakinamohamed5518
      @sakinamohamed5518 23 дня назад

      Tatizo wapo wengine wanaovaa vibaya lakini mbona wasiitwe kukanywa pia hao. Diamond Kuna nyimbo video vixen alikuwa uchi kabisa na hawakumkanya hao basata waache ubaguzi.

    • @michelinemapendo6652
      @michelinemapendo6652 23 дня назад

      😢😢😢😢 WANAUME WAKITAZANIA KIUKWELI
      HANAGA ADABU AND NOT RESPECT 😢😢😢

    • @user-rg8fq8fc3k
      @user-rg8fq8fc3k 22 дня назад +1

      Tumekubali lakin tuna complain mbona wanao vaa hivyo ni wengi mbona hawakanywi wanamuonea barnaba

    • @jamilahali-jg8er
      @jamilahali-jg8er 22 дня назад

      Mm ntka yami afungwe kabsa mziki

  • @pendochimammy5013
    @pendochimammy5013 17 дней назад

    Ubaguzi watu wanavaa uchi nahawaitiwe lakini Barrnamba na Yammy wawaonea tuu

  • @MishiPapalan
    @MishiPapalan 9 дней назад

    Wanaki wakumbwa nyinyi mmemuona huyotu mbona wangine mbona hamuwaite wateni wote

  • @saumbliz8983
    @saumbliz8983 22 дня назад +1

    Nyie basata muna upendeleo mbona hua wengine hamuwaiti

  • @sosthenesmaemba
    @sosthenesmaemba 23 дня назад

    Barnaba mmmmh,

  • @user-uc8ei8kn3l
    @user-uc8ei8kn3l 22 дня назад

    Basata mnamuonea Barnaba mtamkondesha mala ma Kimbo mala Raya muacheni bhana

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru9731 23 дня назад

    Mama mkwe oyeee

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 23 дня назад

    Ndio Kaz za Sanaa Iyo lazima uwende nyumban kusalimia Ila nyimbo hatar Na nusu

  • @ZainabothmanZainabothman
    @ZainabothmanZainabothman 18 дней назад

    Kilasiku wao tu hawaon wezawao wanacho katazwa

  • @franciskajessy4468
    @franciskajessy4468 23 дня назад +7

    Mbona Daimond na Zuchu uwa amuwaiti kuwaonya ndugu zetu

    • @radhinamedi8301
      @radhinamedi8301 22 дня назад

      Hawana ndowa na hawavai utupu vile kama uyu mikojo yummy

    • @noraazan9124
      @noraazan9124 18 дней назад

      Et na chupi Yake Kama gunia la mashine huenda wao Wapo marekani

  • @user-dq1lm2be2u
    @user-dq1lm2be2u 23 дня назад +1

    Ila mboni tunaona watu wapo uchi hamuwaiti kazen but wabadilike wote

  • @julianavicent4845
    @julianavicent4845 18 дней назад

    Mbona hamaangalii ya zuchu

  • @MbeyuSauko
    @MbeyuSauko 18 дней назад

    Ila wamekosea bwana co sawa mme wa mtu kufanya vile. Hata kama ndo kaz. Ushamba tu. barnaba, yammy wote washamba tu.

  • @bdvc7107
    @bdvc7107 23 дня назад +1

    Tatizo yami yuko uchi mchupi uwo alimuiga pina

  • @asyawaamidu2968
    @asyawaamidu2968 19 дней назад

    Uyo yamm mwanzo alijifanya mtu wa dini na nilimpenda lkn kaona aidhalilishe nchi kwa kuvaa uchi huu sio uungwana

  • @user-dc4fv4zp7d
    @user-dc4fv4zp7d 23 дня назад

    Ila Wana habari wambea

  • @user-ox5jy4uo9r
    @user-ox5jy4uo9r 20 дней назад

    Alafu anajiita mumin wa kiaslam ...utumbo ndio kma uo iv kweli

  • @sisifaty9183
    @sisifaty9183 23 дня назад

    Msimuonei Barnaba na Yamy mbona kuna zuchunpia aliwahi kuvaa kama Yamy

  • @user-qs5tu1el6w
    @user-qs5tu1el6w 23 дня назад

    Ahahah vido why bilnas lakini😂😂😂😂😂

  • @joycemtaita6418
    @joycemtaita6418 23 дня назад

    Sidhan Kama mkewe atasurvive

  • @AishayoutubeMoosa-zn1co
    @AishayoutubeMoosa-zn1co 14 дней назад

    Sasa nyie wapumbavu mnatetea ñn kwa yammy

  • @benjaminmartin4548
    @benjaminmartin4548 23 дня назад

    Mambo mengine tuwaachie wazungu. Wao kutembea uchi ni kawaida. Si tunaiga kila kitu.kwani. Miziki zamani haikuwepo?

  • @noraazan9124
    @noraazan9124 18 дней назад

    Sasa basata tuwaulize swali kuhusu maadili ya Tanzania je wanaume wanapaswa kusuka nywele?

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 23 дня назад

    Maajabu huyo anayeacha matiti nje

  • @matridamakange7286
    @matridamakange7286 18 дней назад

    Usingekuwa mme wa mtu hizi taharuki zisingekuwepo

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js 22 дня назад

    Hiyo nyimbo ni baraha hatari

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw 23 дня назад

    Wasanii wote wanamuakilisha rusifa

  • @sophykivuyo
    @sophykivuyo 23 дня назад

    Why between the interviw you say bilnass😂😂😂😂😂

  • @sikudhanimohammad7692
    @sikudhanimohammad7692 23 дня назад

    Barnaba anaongea kwa huruma maskini

  • @faizamohamed6993
    @faizamohamed6993 15 дней назад

    Comments za watu ndizo zilizo mtia barnaba kwenye shida mbona wengi tu wanatuonesha utupu na hawaitwi basata

  • @user-xo4xq6rr3f
    @user-xo4xq6rr3f 23 дня назад +2

    Banaba ni bwege mume chupi

  • @meshacksamwel3887
    @meshacksamwel3887 21 день назад

    musanii unatakiwa kufanya kiti chenye maana uhalisia ndo unahitajika hujakosea kaka

  • @lavendaadhiambo
    @lavendaadhiambo 19 дней назад

    maokoto

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b 21 день назад

    Hi iwe kwa wasani wote zuchu anakuwa uchi chup nje mbon hamuwaiti au kwakua mondi anawapa maokoto

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 22 дня назад

    mnamuonea tu barnaba mbona dai na zuchu wananyonyana ulimi na hamuwaiti mnamuonea tu zuchu chupi pia ipo nje mbona hamumpi elimu uonevu tu basata mtupu

  • @radhinamedi8301
    @radhinamedi8301 22 дня назад

    Barnaba anahema chezea wananchi wewe

  • @lucypius4414
    @lucypius4414 23 дня назад +1

    Doh.... Pole sana mdogo wangu... Mbona kama wana visa sana

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy 22 дня назад

    hakuna geni kwa wasanii, wengi wa wasanii inamaana hamuwaoni, tuachieni barnaba wetu afanye kazi

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 19 дней назад

    Dogo uku mke anazingua uko baraza .usijali dogo kutoboa sio raisi sana pambana

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 23 дня назад +3

    Barnaba wimbo ni mzuri ila yule mwanamke siyupo uchi pala sio vizuri usiwasikilize hao wanaokwambia eti mme bweke jitabuwe mwenyewe ww ni baba watoto wako wanakuwa kwani sanaa ndio inataka mtu akae uchi leo unawatoto wa kiume kesho utazaa wa kike nje akivyaa hivo utafurahi waallaahh hao wanao tetea waweke dd zao vile

    • @Veni584
      @Veni584 23 дня назад

      Na coco beach mkawakumbushe

    • @radhinamedi8301
      @radhinamedi8301 22 дня назад

      Yumy kamuharibia mwenziwe ndio ajifunze na pia hiari yake atafungiwa ndio kwanza kindege kidogo

    • @Ayuminchasi
      @Ayuminchasi 21 день назад

      Wasanii wote wanakaa uchi sijawahi kuona msanii kavaa stara hao bassata ni wanafiki tu wanataka pesa maana woote wasanii wanavaa uchi uchi​@@radhinamedi8301

  • @lavendaadhiambo
    @lavendaadhiambo 19 дней назад

    wafute izo nyimbo

  • @user-ou8sp5bb7n
    @user-ou8sp5bb7n 23 дня назад +5

    Nyie Basata na wale wanaoimba nyimbo za matusi huwa hamzisikii au?

  • @MwanajemaPharmacy
    @MwanajemaPharmacy 23 дня назад +7

    Heshima gani na nyie.. watu kutwa wanapiga na bra na bikini wanajipost akina gigy ila hapo ndio vya ajabu 😏 Tanzania nchi yangu embu dilini na mashoga mkimalize tuendelee na mavazi. Vido unamaswali mazuri sana umembana mpaka anashindwa kujielezea🤝

  • @GraceMalley-ly2xn
    @GraceMalley-ly2xn 18 дней назад

    Kuna nguo fupi ni muhimu waonyeshe kabla hawajatoa sio wawape adhabu waonywe hata sisi tunapenda music lkn waache kuvaa nguo za uchi baadhi wanaonyesha mpak makalio hawatakiwi kuadhibiwa il elimu ndio wapewe wakipinga ndio nyimbo hawataipiga acheni mkiendelea hivyo watakao zaliwa wataimba nyimbo uchi kabisa

  • @DidaRashidi-dz1ll
    @DidaRashidi-dz1ll 23 дня назад

    M

  • @mariyamumadebari4296
    @mariyamumadebari4296 22 дня назад

    Huyu mama mkwe mbuzi tu kampinza

  • @vickykapama8386
    @vickykapama8386 21 день назад

    Hivi kweli upuuzi km huu ndiyo Tanzania pekee wanaufanya. Lol mnataka nini haswa‼️⁉️ Yaani Barnaba wala usikubali KUKALIWA NA MKE NA MAMA YK. WEWE UMEOWA NA UMELIPIA MAHARI 💯 Achana na huyo mke hana maono ona ameshaanza kukutilia Nuksi kwenye KAZI YK. Mpe talaka kaowe mwanamke mwenye kujielewa na mwenye MAONO🙌🙌

  • @HamidaOmar-ub4kb
    @HamidaOmar-ub4kb 16 дней назад

    Mi nashangaa kweni amupigi picha lazima muwoneshe mwili wandani😂😂😂

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b 21 день назад

    Yamm kavaha uchi sana chup njee kiuno nje makario njee ndio nn ssi atupo marekan jmn tupo tz bado tupo nyuma sana

  • @Ayuminchasi
    @Ayuminchasi 21 день назад

    Wasanii woote wanavaa uchi sijawahi kuona msanii kavaa stara basata wanafiki msaan gani aliyewahi kuvaa stara unafiki mwingi wanataka pesa Tu