Nlisema sarah kutajwa tu diamond kawa star watu wakanitukana saiv wanaona hongera diamond kumkumbka sarah na kumleta sarah awe star chujua maua yako🎉🎉🎉
Sara mim jamila wa marehem mama Sele manzese kigorofani jilani yako manzese..l hope umenikumbuka...ipo ivi achana na doto magari na hao mahetas ..jua kwamba daimond kashakupa upepo tembea nao..na ujuwe umaarufu unakuja na faida na hasara kwaiyo..achana na awo mahetas..Kila la her Sara sudirino wng
Alafu nimegundua Sara unajuwa Sana kujielezea na umekuwa Sana kiakili..safi Kila la heri
Puaaa😂😂😂
Sarah karibu canada 🇨🇦 your are so lovely one love 💗 watching you live from Toronto
Nlisema sarah kutajwa tu diamond kawa star watu wakanitukana saiv wanaona hongera diamond kumkumbka sarah na kumleta sarah awe star chujua maua yako🎉🎉🎉
Sarah jina la mdogo wangu na pia mjukuu wangu Ni jina kubwa lenye bahati ❤❤❤❤❤❤❤
Sarah una busara sana, achana na wanaokusema wivu unawasumbua, huyo Dotto ni debe tupu
Sara mim jamila wa marehem mama Sele manzese kigorofani jilani yako manzese..l hope umenikumbuka...ipo ivi achana na doto magari na hao mahetas ..jua kwamba daimond kashakupa upepo tembea nao..na ujuwe umaarufu unakuja na faida na hasara kwaiyo..achana na awo mahetas..Kila la her Sara sudirino wng
Dotoo hamna kitu kichwani anatembea na neema za mungu tu
You are lovely women ❤❤❤
Hahahahaha Sarah Asanteee kwa majibu mazuri sanaaa🎉❤😂Et akiniona popote aniamkie shikamoo bibi uenda nimemzalia baba'ake😂au b Mama yake😂😂😂
Kama diamond angejaliwa kuushi na huyu adi sasa angekuwa na mke bora sana maana nimwanamke mwenye busara sana
Canada we love you sara ❤
Nakupenda sana❤
Ana akili sana huyu sara
Sarah nakupenda sana❤❤❤❤❤
Nimeona sura ya Sarah nikashtuka jinsi ninavyompenda❤🎉
Sara wee wanakuonea wivu.achana nao.nakupenda .Kutoka South Africa.
👍🏾😘
Carry mastery nipe michongo ❤
Good sanaaa napenda mwanamke alivyo na hakili ya kijua yaliyopita ktk mapenzi Kama sara❤
She looks like mama dangote
Ingekua anataka umaarufu mngemuon kajizalilisha kitambo
Bila kusemwa mjini wee bado ni mshamba fanya maisha waache waseme
Kichwa kimetulia❤❤
Mnoo❤
Bado akirud Ufaransa kachukue mtaji bwana 😮
Ata akijificha sara si mshamba
Fanya yako sara achana nawajinga wasikusumbue😂
🇰🇪
Sarah ni kibaya
Nimegunduwa huyu demu puwa lake pana.
Em onyesha lako tulione
mnoo afu anazisimsmisha
Mjinga mkubwa unatowa kasoro zabinadamu ikiwa hajajiumba bali ameubwa namuumbaji hana makosa
😂😂
Du umechekesh lkn sivizur
We bibi usitemee mic mate bhana we ukifuka kwenye s inakuwa th
Muombe sana Mungu asikupe kilema
Usitukane wakungwa na uzazi ukalipo nyoo roho zinawauma kisa kupata umaarufu mtoto wa mwenzenu
Makasiriko mabaya jaman 😅😅
Ukimuona mtu anamaneno kama yako basi ujue mwanga usiku anakwangwa nimchawi.nanihasidi
Wenae vip? Uyo anakisembe kila mtu Mungu kamuumba apendavyo yeye Muumba
Tha tha the the thi thi tho tho thu thu 😂😂
Nimaumbile usimu kosoe Mungu!
@@BarbaraPatience-qt9cc hujui tu jinsi ninavyopend kumuona mt anae ongea mathee Kuna mda adi na mimi naiga
😅😂😂😂😂
Jamani mwenyewe imempendeza hiyo Tha anavyotamka 💕👌