KUFURU JUMBA JIPYA LA ESMA DAGONTE, APATA KIGUGUMIZI KUMTAJA MUME WAKE KUHUSIKA.!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 май 2024
  • #esmaplatnumz #wasafi
    KUFURU JUMBA JIPYA LA ESMA DAGONTE, APATA KIGUGUMIZI KUMTAJA MUME WAKE KUHUSIKA.!
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 115

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 22 дня назад +38

    Duh!! Huyu Dada katumia vizuri umaarufu wa ndugu yake kujipatia utajiri na umaarufu...huo mjengo ni balaa zito mnooo🎉🎉🎉

    • @prettywanjera9368
      @prettywanjera9368 19 дней назад

      Kabisa wanakwambia ndugu apate nawewe upatee😊

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 22 дня назад +18

    Kajitahidi ..ongera sana esma..umeweza dada.. mungu akubaliki Kila la heri esma.. ubarikiwe

  • @user-bg6jh2no2c
    @user-bg6jh2no2c 15 дней назад +7

    Kujenga sio kazi ndogo tuzidi kumuomba Mungu azidi kutupa hizo baraka👏👏👏👏👏👏👏

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel 21 день назад +5

    MashaAllah. ..Mungu mkubwa ukiwa hai usikate tamaa..a.walivyokua na maisha ya dhiki nani alidhani watakuja nao waishi hivi...Usikate tamaa..tia bidii Mungu atatenda

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 21 день назад +7

    Hongera sana kipenzi cangu ESMA nimekupenda sana sema umasikini mbaya daah! Zuchu atulie kwa huyo huyo Simba hawapendi kuona akiwa nae akiachana nae wataanza kumuhesabia wanaume waanze kumuita malaya

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 22 дня назад +6

    Safi Sana Esma wanataka zuchu ayisabiliwe wanaume alafu haohao kesho wamwite Malaya siyo hulka yake kabisa yani waganda net kama ruba awakusema waseme yeye asijali zuchu wetu❤❤❤

  • @jrsingham
    @jrsingham День назад

    Maashaallah Allah amfungulie zaid

  • @user-qq2oc4bt3i
    @user-qq2oc4bt3i 23 дня назад +1

    Mashallah mashallah

  • @user-ne4fl7kc8h
    @user-ne4fl7kc8h 16 дней назад +1

    Hongera kwake❤❤❤❤❤

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 19 дней назад

    Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @jocelyneliaminarukundo3633
    @jocelyneliaminarukundo3633 22 дня назад +4

    Congratulations esma

  • @IMANWILLIAM-bl2ui
    @IMANWILLIAM-bl2ui 23 дня назад +19

    within every poor family there is someone selected by God so as to break the chain of poverty. Congratulations to Simba

  • @annertz9969
    @annertz9969 20 дней назад +4

    Ndoinavyotakiwa mwanamke siyo kwenda kuongeza makalio❤

  • @mussanchimani4839
    @mussanchimani4839 19 дней назад

    Hongera

  • @asallymbwego3914
    @asallymbwego3914 День назад

    Big la nyumba Hongera aisei

  • @MkamiMaro
    @MkamiMaro 20 дней назад

    ❤❤

  • @beatricejohn1659
    @beatricejohn1659 15 дней назад +1

    Hongera sana Esma ❤❤Ila saa ndio uhame na friji ya watu😂😂😂Pepsi cola

  • @salashbooben7622
    @salashbooben7622 23 дня назад +15

    Ila Esma na Duwe wana-chemistry nzur san.. ndomaana anapewag vitambaa vya kueka kichwani😂

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 22 дня назад

    ❤❤❤

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 22 дня назад +5

    Hongera sana esma umepamba dada umaalufu wako. Umeutumia vyema

  • @jumabikyeombe3392
    @jumabikyeombe3392 20 дней назад

    ❤❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @CROWNMEDIAKE
    @CROWNMEDIAKE 16 дней назад

    Congratulations

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 20 дней назад +1

    Mashalah esma yuda una akil😂❤

  • @FelistersMejumaa-xi2ge
    @FelistersMejumaa-xi2ge 23 дня назад +2

    Hongera dada ❤❤

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 22 дня назад +2

    Hakuna space kwa lena kama mim hapo sijui kama nitaweza kuingiza gari na kutoa

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 23 дня назад +4

    ila jamani mbona mnamuuliza maswali sensitive hivi kuhusu mume wake kuhusu vyanzo vya mapato? kweli jmni msifanye hivo. alichokuambia basi ridhika ndugu yangu. eti baba? mwacheni dada wa watu

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd 22 дня назад +1

    Uyo esma anavoogopa camera sasa😃😃

  • @user-nw3ie8yq1x
    @user-nw3ie8yq1x 6 дней назад

    🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @SalmaBakari-dq3rs
    @SalmaBakari-dq3rs 17 дней назад +1

    Mashaallah

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 22 дня назад +3

    Ila esma ni mzuri bhana

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 20 дней назад +2

    safi kujenga sio mchezo

  • @MwanamisiKumbiko
    @MwanamisiKumbiko 22 дня назад

    Ameua. Ila kasahau kitu kidogo sanaaaa

  • @Dativa-fe3cj
    @Dativa-fe3cj 23 дня назад

    Usk mwema

  • @user-zz7jr7yj9m
    @user-zz7jr7yj9m 23 дня назад

    Honger yakeee anajitahidi

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 21 день назад

    Esma nomaaa😂😂😂

  • @user-kw2cd7qu4p
    @user-kw2cd7qu4p 22 дня назад +2

    😂😂😂lazima amtetee mume ila hakuna kitu hapo😅😅

  • @sund2553
    @sund2553 23 дня назад +1

    Mmewe ni mission town 😂😂😂

  • @user-dl2cr9dk1m
    @user-dl2cr9dk1m 21 день назад +2

    Jamani mpeni maua yake kajitahidu

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 22 дня назад +1

    Wasafi mbona mwatumia micro fon Moja 🤷

  • @HenriHSP
    @HenriHSP 17 дней назад

    Nasikia tu s2kizy baby

  • @HabibahKhalfan
    @HabibahKhalfan 22 дня назад

    Dada zazamani tupesisi izofenich

  • @user-pf7cu9px3c
    @user-pf7cu9px3c 22 дня назад

    Me duwe namkubAli sana

  • @user-he2pk6io4d
    @user-he2pk6io4d 20 дней назад +2

    Sasa mnaweka miziki ya nini na maojiano

  • @Naju645
    @Naju645 23 дня назад +1

    Due mnafk et chanzo cha mapato😅😅

  • @user-gy7mk8ur1f
    @user-gy7mk8ur1f 20 дней назад +3

    Nyumba kubwa sana ila kiwanja kidogo sana

    • @EzzyEddy-il3ce
      @EzzyEddy-il3ce 18 дней назад

      Unataka kiwanja cha kujenga nyumba au unataka kiwanja Cha kujenga bustani??? Mpe maua yake bhn acha izo kaka

    • @user-gy7mk8ur1f
      @user-gy7mk8ur1f 16 дней назад

      @@EzzyEddy-il3ce huwa una elewa cjampinga nimesema nyumba kali ila kiwanja kidogo angalia kuna upande uwezi hata kupita sio lazima nyumba iwe na bustani ila nafasi muhimu

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 9 дней назад

    Mulokoziiii nyumba nimeiona ni nzuri haujapanga matofaliiiiii umejenga kweli nyumba ni nzuri hongera dada esma unawapa moyo mabintiiiiii wadogo wasidange watafute pesa wafanye vitu vya maana ila hapo simba dangote Ana mkono wake Kaka nasibu nimeona Ka friji ka pepsi

  • @user-bg6jh2no2c
    @user-bg6jh2no2c 15 дней назад +1

    Amna cha husband material walla nini ni kibenten kama vibeten wengine🤐🤐🤐

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3r 23 дня назад

    Wambea kama nn mnafukuzwa lkn mmoo tuu

  • @saummohamedm435
    @saummohamedm435 23 дня назад +12

    Kweli tv ya familia

  • @rewardnjau7220
    @rewardnjau7220 22 дня назад +7

    mond kwa promo ni hatareee, nani kaona friji la pepsi ndani kwa Esma?

  • @mwanaidingwita6214
    @mwanaidingwita6214 20 дней назад

    😂😂😂😂❤

  • @Official83640
    @Official83640 23 дня назад +5

    Na atakuwa na mimba maana tumbo limechomoka maa'shaallah

    • @criminalminds7723
      @criminalminds7723 23 дня назад

      Atazaa vipi na alilalamika alifirwa mkundu na jamaa mwengine mpaka akashindwa kukaa vizuri?

    • @LeeLian95
      @LeeLian95 23 дня назад

      @@criminalminds7723looh haikua saut ya Esma ile mxew

    • @Official83640
      @Official83640 22 дня назад

      @@criminalminds7723 Innalillah

  • @fatimawazeer701
    @fatimawazeer701 23 дня назад +1

    😂😂

  • @Deedah4
    @Deedah4 18 дней назад

    Gorofa 2 ?? Au moja tu??

  • @user-wf4vk3vz8e
    @user-wf4vk3vz8e 23 дня назад +1

    Sometimes try to do your interviews in English bro

    • @nyabugongwe2933
      @nyabugongwe2933 22 дня назад +1

      We are in Tanzania brother

    • @user-wf4vk3vz8e
      @user-wf4vk3vz8e 22 дня назад

      @@nyabugongwe2933 it's fine but u can as well mix English and kiswahili

  • @mylovejosecharles4362
    @mylovejosecharles4362 15 дней назад

    me nampnda esma hana mambo mengi

  • @lilianpuka218
    @lilianpuka218 23 дня назад +6

    Mbona freji la Pepsi ndani 😮😮😮

    • @mfalmekaitaba2425
      @mfalmekaitaba2425 22 дня назад

      Kwahiyo umechukia au?

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 22 дня назад +1

      ​@@mfalmekaitaba2425jmniiiiiiiiii 😅😅😅

    • @Merry-re1pw
      @Merry-re1pw 11 дней назад

      Ukumbuke wana hisa za Pepsi hao lzm litue kwao.

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 23 дня назад +1

    Ipo mitaa gani nyumba nzuri

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo8432 16 дней назад

    Sasa ni kwanini anazunguka nyumba nzima mnafanyishwa interview ya kuoneshwa nyumba nzima kwa dirishani usumbufu tuuu😂

  • @sophiekanyengele3241
    @sophiekanyengele3241 22 дня назад +1

    Kwahiyo tv ya familia imeitwa ili ituonyeshe nyumba?

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 15 дней назад

      Ni nyumba ya kawaida lakini watanzania wengi hawaishi kwenye majumba mazuri basi hiyo nyumba wanaiyona ni kitu cha AJABU sanaaa . Umasikini mbaya.

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 23 дня назад

    Angalawu mmeanza kujenga makwenu. Hiii nyumba ni nzuri ndani kuliko hata ya Mwijaku haaaa njo vizuri mutoke kwenye majimba yakupanga Esma ikosaha nijamuzito

    • @Mohaa4309
      @Mohaa4309 22 дня назад

      Nyumba wanazo hawa sema hawataki zionyesha tu

    • @Mohaa4309
      @Mohaa4309 22 дня назад +1

      Diamond ana zake pia ila yuaficha baby Mama zake wasilete fujo

    • @RandB_Channel
      @RandB_Channel 21 день назад

      @@Mohaa4309 kwa mbwembwe za Diamond akose kuzionesha . Hana

    • @user-wd2bc7bf5x
      @user-wd2bc7bf5x 20 дней назад

      ​@Mohaa4mmmhh309

  • @omanmct135
    @omanmct135 23 дня назад

    😂😂😂😂😂

  • @mwajumagomera7609
    @mwajumagomera7609 20 дней назад

    Hongera mwaya esma

  • @afrigrowers
    @afrigrowers 20 дней назад +1

    Hongera zake amejitahidi na ameweza haijalishi mume kachangia au laa chamsingi ni furaha na amani tu.unaweza olewa na mwenyepesa ukakosa furaha.

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 20 дней назад

    Nikion hivi najion kumbe me kile kibanda changu km ch kufugia kuku tu mbele za watu😢

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 7 дней назад +1

      Tuko wengi lkn nivizuri kushukuru naulichonacho wapo ambao hata hicho chakufugia kuku hawana😢

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 21 день назад

    Kapewa na mond kwa vitambaa gani navyo mpaka mtoto anasomeshewa

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 20 дней назад

      Unakuwepo akipewa hivyo vyote acha wivu bana

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 20 дней назад +1

      Labda sapoti lakini na yeye ameweka kitu

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 23 дня назад +9

    Raha ya kuoa mishangazi wanamijengo yao 😂

    • @user-gu1lg2zr8s
      @user-gu1lg2zr8s 22 дня назад

      Wanaume wavivu ndio nyie, sasa utamu gani kulelewa maskini, unakua hauna say. Kakangu tafta pesa, kujisimamia kama mwanaume kuna utamu wake. Pambana sana usikate tamaa

  • @user-tk4ko9on7n
    @user-tk4ko9on7n 4 дня назад

    hichi kipende mwenyewe ni aaliyah tu

  • @user-kq5qc4qv5e
    @user-kq5qc4qv5e 23 дня назад +1

    KWA mumewe kaongea kwa uchungu 😅

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 23 дня назад +1

    Serikali angalieni kwa jicho pevu mbezi beach, kama asemavyo Esma , barabara za mbezi beach zinatisha. Sifa ya mbezi na uhalisia ni tofauti

  • @salamalsawaqi1206
    @salamalsawaqi1206 23 дня назад +3

    Sasa na huo mziki kwanini hatusikii ila mziki

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 20 дней назад

    Hilo limziki ni lann punguzen basi

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd 22 дня назад

    Uyo mtangazaj ako kakitambaa kichwan huwa ni ka nn😂😂😂😂

  • @juliakinusa4900
    @juliakinusa4900 22 дня назад +1

    Makeup jamaaani...bila hio kizungu mkuti....in reality u not pretty....let's b really..dough... congrats sister...

  • @user-no7pz1bz4y
    @user-no7pz1bz4y 23 дня назад +1

    Esma niajili niwe shaghala wako, ninaozowefu wakaz miaka 15 🇴🇲 🇴🇲 🇴🇲 🇴🇲 🇴🇲 sasaa nataka nije kwako.

  • @shahamtindo
    @shahamtindo 17 дней назад

    Haka kaesma kazurii

  • @KelvinPatrick-mm2zv
    @KelvinPatrick-mm2zv 23 дня назад +1

    duu ila due ni mmbea kinoma eti biashara gani

  • @salashbooben7622
    @salashbooben7622 23 дня назад +2

    Ila Esma na Duwe wana-chemistry nzur san.. ndomaana anapewag vitambaa vya kueka kichwani😂