KUFURU JUMBA JIPYA LA ESMA DAGONTE, APATA KIGUGUMIZI KUMTAJA MUME WAKE KUHUSIKA.!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 май 2024
  • #esmaplatnumz #wasafi
    KUFURU JUMBA JIPYA LA ESMA DAGONTE, APATA KIGUGUMIZI KUMTAJA MUME WAKE KUHUSIKA.!
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 116

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Месяц назад +39

    Duh!! Huyu Dada katumia vizuri umaarufu wa ndugu yake kujipatia utajiri na umaarufu...huo mjengo ni balaa zito mnooo🎉🎉🎉

    • @prettywanjera9368
      @prettywanjera9368 28 дней назад +1

      Kabisa wanakwambia ndugu apate nawewe upatee😊

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Месяц назад +19

    Kajitahidi ..ongera sana esma..umeweza dada.. mungu akubaliki Kila la heri esma.. ubarikiwe

  • @user-bg6jh2no2c
    @user-bg6jh2no2c 24 дня назад +8

    Kujenga sio kazi ndogo tuzidi kumuomba Mungu azidi kutupa hizo baraka👏👏👏👏👏👏👏

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel Месяц назад +5

    MashaAllah. ..Mungu mkubwa ukiwa hai usikate tamaa..a.walivyokua na maisha ya dhiki nani alidhani watakuja nao waishi hivi...Usikate tamaa..tia bidii Mungu atatenda

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Месяц назад +7

    Hongera sana kipenzi cangu ESMA nimekupenda sana sema umasikini mbaya daah! Zuchu atulie kwa huyo huyo Simba hawapendi kuona akiwa nae akiachana nae wataanza kumuhesabia wanaume waanze kumuita malaya

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 Месяц назад +6

    Safi Sana Esma wanataka zuchu ayisabiliwe wanaume alafu haohao kesho wamwite Malaya siyo hulka yake kabisa yani waganda net kama ruba awakusema waseme yeye asijali zuchu wetu❤❤❤

  • @annertz9969
    @annertz9969 Месяц назад +4

    Ndoinavyotakiwa mwanamke siyo kwenda kuongeza makalio❤

  • @alimuchiri6151
    @alimuchiri6151 8 дней назад

    Bro mtangazaji sema Masha Allah sije ukatia husda jumba la watu😄😄

  • @IMANWILLIAM-bl2ui
    @IMANWILLIAM-bl2ui Месяц назад +19

    within every poor family there is someone selected by God so as to break the chain of poverty. Congratulations to Simba

  • @user-qq2oc4bt3i
    @user-qq2oc4bt3i Месяц назад +1

    Mashallah mashallah

  • @Tariq_Tryagain
    @Tariq_Tryagain Месяц назад +15

    Ila Esma na Duwe wana-chemistry nzur san.. ndomaana anapewag vitambaa vya kueka kichwani😂

  • @beatricejohn1659
    @beatricejohn1659 24 дня назад +1

    Hongera sana Esma ❤❤Ila saa ndio uhame na friji ya watu😂😂😂Pepsi cola

  • @user-ne4fl7kc8h
    @user-ne4fl7kc8h 25 дней назад +1

    Hongera kwake❤❤❤❤❤

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Месяц назад +5

    Hongera sana esma umepamba dada umaalufu wako. Umeutumia vyema

  • @jocelyneliaminarukundo3633
    @jocelyneliaminarukundo3633 Месяц назад +4

    Congratulations esma

  • @jrsingham
    @jrsingham 11 дней назад

    Maashaallah Allah amfungulie zaid

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 28 дней назад

    Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Месяц назад +4

    ila jamani mbona mnamuuliza maswali sensitive hivi kuhusu mume wake kuhusu vyanzo vya mapato? kweli jmni msifanye hivo. alichokuambia basi ridhika ndugu yangu. eti baba? mwacheni dada wa watu

  • @asallymbwego3914
    @asallymbwego3914 10 дней назад

    Big la nyumba Hongera aisei

  • @mussanchimani4839
    @mussanchimani4839 28 дней назад

    Hongera

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Месяц назад +3

    Ila esma ni mzuri bhana

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th Месяц назад +2

    Hakuna space kwa lena kama mim hapo sijui kama nitaweza kuingiza gari na kutoa

  • @FelistersMejumaa-xi2ge
    @FelistersMejumaa-xi2ge Месяц назад +2

    Hongera dada ❤❤

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 29 дней назад +2

    safi kujenga sio mchezo

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 29 дней назад +1

    Mashalah esma yuda una akil😂❤

  • @MkamiMaro
    @MkamiMaro 29 дней назад

    ❤❤

  • @jumabikyeombe3392
    @jumabikyeombe3392 29 дней назад

    ❤❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Месяц назад

    ❤❤❤

  • @MwanamisiKumbiko
    @MwanamisiKumbiko Месяц назад

    Ameua. Ila kasahau kitu kidogo sanaaaa

  • @Dativa-fe3cj
    @Dativa-fe3cj Месяц назад

    Usk mwema

  • @user-bg6jh2no2c
    @user-bg6jh2no2c 24 дня назад +1

    Amna cha husband material walla nini ni kibenten kama vibeten wengine🤐🤐🤐

  • @user-kw2cd7qu4p
    @user-kw2cd7qu4p Месяц назад +2

    😂😂😂lazima amtetee mume ila hakuna kitu hapo😅😅

  • @user-zz7jr7yj9m
    @user-zz7jr7yj9m Месяц назад

    Honger yakeee anajitahidi

  • @user-dl2cr9dk1m
    @user-dl2cr9dk1m Месяц назад +2

    Jamani mpeni maua yake kajitahidu

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd Месяц назад +1

    Uyo esma anavoogopa camera sasa😃😃

  • @CROWNMEDIAKE
    @CROWNMEDIAKE 25 дней назад

    Congratulations

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 18 дней назад

    Mulokoziiii nyumba nimeiona ni nzuri haujapanga matofaliiiiii umejenga kweli nyumba ni nzuri hongera dada esma unawapa moyo mabintiiiiii wadogo wasidange watafute pesa wafanye vitu vya maana ila hapo simba dangote Ana mkono wake Kaka nasibu nimeona Ka friji ka pepsi

  • @sund2553
    @sund2553 Месяц назад +1

    Mmewe ni mission town 😂😂😂

  • @rewardnjau7220
    @rewardnjau7220 Месяц назад +7

    mond kwa promo ni hatareee, nani kaona friji la pepsi ndani kwa Esma?

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 Месяц назад +1

    Wasafi mbona mwatumia micro fon Moja 🤷

  • @user-gy7mk8ur1f
    @user-gy7mk8ur1f Месяц назад +3

    Nyumba kubwa sana ila kiwanja kidogo sana

    • @EzzyEddy-il3ce
      @EzzyEddy-il3ce 27 дней назад

      Unataka kiwanja cha kujenga nyumba au unataka kiwanja Cha kujenga bustani??? Mpe maua yake bhn acha izo kaka

    • @user-gy7mk8ur1f
      @user-gy7mk8ur1f 26 дней назад

      @@EzzyEddy-il3ce huwa una elewa cjampinga nimesema nyumba kali ila kiwanja kidogo angalia kuna upande uwezi hata kupita sio lazima nyumba iwe na bustani ila nafasi muhimu

  • @SalmaBakari-dq3rs
    @SalmaBakari-dq3rs 26 дней назад +1

    Mashaallah

  • @HenriHSP
    @HenriHSP 26 дней назад

    Nasikia tu s2kizy baby

  • @Official83640
    @Official83640 Месяц назад +5

    Na atakuwa na mimba maana tumbo limechomoka maa'shaallah

    • @criminalminds7723
      @criminalminds7723 Месяц назад

      Atazaa vipi na alilalamika alifirwa mkundu na jamaa mwengine mpaka akashindwa kukaa vizuri?

    • @LeeLian95
      @LeeLian95 Месяц назад

      @@criminalminds7723looh haikua saut ya Esma ile mxew

    • @Official83640
      @Official83640 Месяц назад

      @@criminalminds7723 Innalillah

  • @saummohamedm435
    @saummohamedm435 Месяц назад +12

    Kweli tv ya familia

  • @Naju645
    @Naju645 Месяц назад +1

    Due mnafk et chanzo cha mapato😅😅

  • @user-nw3ie8yq1x
    @user-nw3ie8yq1x 15 дней назад

    🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 Месяц назад

    Esma nomaaa😂😂😂

  • @user-pf7cu9px3c
    @user-pf7cu9px3c Месяц назад

    Me duwe namkubAli sana

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3r Месяц назад

    Wambea kama nn mnafukuzwa lkn mmoo tuu

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo8432 25 дней назад

    Sasa ni kwanini anazunguka nyumba nzima mnafanyishwa interview ya kuoneshwa nyumba nzima kwa dirishani usumbufu tuuu😂

  • @HabibahKhalfan
    @HabibahKhalfan Месяц назад

    Dada zazamani tupesisi izofenich

  • @user-he2pk6io4d
    @user-he2pk6io4d 29 дней назад +2

    Sasa mnaweka miziki ya nini na maojiano

  • @lilianpuka218
    @lilianpuka218 Месяц назад +6

    Mbona freji la Pepsi ndani 😮😮😮

    • @mfalmekaitaba2425
      @mfalmekaitaba2425 Месяц назад

      Kwahiyo umechukia au?

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 Месяц назад +1

      ​@@mfalmekaitaba2425jmniiiiiiiiii 😅😅😅

    • @Merry-re1pw
      @Merry-re1pw 20 дней назад

      Ukumbuke wana hisa za Pepsi hao lzm litue kwao.

  • @mylovejosecharles4362
    @mylovejosecharles4362 24 дня назад

    me nampnda esma hana mambo mengi

  • @afrigrowers
    @afrigrowers 29 дней назад +1

    Hongera zake amejitahidi na ameweza haijalishi mume kachangia au laa chamsingi ni furaha na amani tu.unaweza olewa na mwenyepesa ukakosa furaha.

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Месяц назад +9

    Raha ya kuoa mishangazi wanamijengo yao 😂

    • @user-gu1lg2zr8s
      @user-gu1lg2zr8s Месяц назад

      Wanaume wavivu ndio nyie, sasa utamu gani kulelewa maskini, unakua hauna say. Kakangu tafta pesa, kujisimamia kama mwanaume kuna utamu wake. Pambana sana usikate tamaa

  • @Deedah4
    @Deedah4 27 дней назад

    Gorofa 2 ?? Au moja tu??

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 Месяц назад +1

    Ipo mitaa gani nyumba nzuri

  • @mwajumagomera7609
    @mwajumagomera7609 Месяц назад

    Hongera mwaya esma

  • @salamalsawaqi1206
    @salamalsawaqi1206 Месяц назад +3

    Sasa na huo mziki kwanini hatusikii ila mziki

  • @fatimawazeer701
    @fatimawazeer701 Месяц назад +1

    😂😂

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Месяц назад +1

    Serikali angalieni kwa jicho pevu mbezi beach, kama asemavyo Esma , barabara za mbezi beach zinatisha. Sifa ya mbezi na uhalisia ni tofauti

  • @mwanaidingwita6214
    @mwanaidingwita6214 29 дней назад

    😂😂😂😂❤

  • @user-tk4ko9on7n
    @user-tk4ko9on7n 13 дней назад

    hichi kipende mwenyewe ni aaliyah tu

  • @sophiekanyengele3241
    @sophiekanyengele3241 Месяц назад +1

    Kwahiyo tv ya familia imeitwa ili ituonyeshe nyumba?

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 24 дня назад

      Ni nyumba ya kawaida lakini watanzania wengi hawaishi kwenye majumba mazuri basi hiyo nyumba wanaiyona ni kitu cha AJABU sanaaa . Umasikini mbaya.

  • @user-wf4vk3vz8e
    @user-wf4vk3vz8e Месяц назад +1

    Sometimes try to do your interviews in English bro

    • @nyabugongwe2933
      @nyabugongwe2933 Месяц назад +1

      We are in Tanzania brother

    • @user-wf4vk3vz8e
      @user-wf4vk3vz8e Месяц назад

      @@nyabugongwe2933 it's fine but u can as well mix English and kiswahili

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel Месяц назад

    Angalawu mmeanza kujenga makwenu. Hiii nyumba ni nzuri ndani kuliko hata ya Mwijaku haaaa njo vizuri mutoke kwenye majimba yakupanga Esma ikosaha nijamuzito

    • @Mohaa4309
      @Mohaa4309 Месяц назад

      Nyumba wanazo hawa sema hawataki zionyesha tu

    • @Mohaa4309
      @Mohaa4309 Месяц назад +1

      Diamond ana zake pia ila yuaficha baby Mama zake wasilete fujo

    • @RandB_Channel
      @RandB_Channel Месяц назад

      @@Mohaa4309 kwa mbwembwe za Diamond akose kuzionesha . Hana

    • @user-wd2bc7bf5x
      @user-wd2bc7bf5x 29 дней назад

      ​@Mohaa4mmmhh309

  • @omanmct135
    @omanmct135 Месяц назад

    😂😂😂😂😂

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 29 дней назад

    Nikion hivi najion kumbe me kile kibanda changu km ch kufugia kuku tu mbele za watu😢

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 16 дней назад +1

      Tuko wengi lkn nivizuri kushukuru naulichonacho wapo ambao hata hicho chakufugia kuku hawana😢

  • @user-kq5qc4qv5e
    @user-kq5qc4qv5e Месяц назад +1

    KWA mumewe kaongea kwa uchungu 😅

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Месяц назад

    Kapewa na mond kwa vitambaa gani navyo mpaka mtoto anasomeshewa

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 29 дней назад

    Hilo limziki ni lann punguzen basi

  • @juliakinusa4900
    @juliakinusa4900 Месяц назад +1

    Makeup jamaaani...bila hio kizungu mkuti....in reality u not pretty....let's b really..dough... congrats sister...

  • @shahamtindo
    @shahamtindo 26 дней назад

    Haka kaesma kazurii

  • @user-no7pz1bz4y
    @user-no7pz1bz4y Месяц назад +1

    Esma niajili niwe shaghala wako, ninaozowefu wakaz miaka 15 🇴🇲 🇴🇲 🇴🇲 🇴🇲 🇴🇲 sasaa nataka nije kwako.

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd Месяц назад

    Uyo mtangazaj ako kakitambaa kichwan huwa ni ka nn😂😂😂😂

  • @KelvinPatrick-mm2zv
    @KelvinPatrick-mm2zv Месяц назад +1

    duu ila due ni mmbea kinoma eti biashara gani

  • @Tariq_Tryagain
    @Tariq_Tryagain Месяц назад +2

    Ila Esma na Duwe wana-chemistry nzur san.. ndomaana anapewag vitambaa vya kueka kichwani😂