UTACHEKA UZIMIE DOTTO MAGARI AKIMTANIA ISAA TAMBUU KUPIGA PICHA NA DIAMOND.

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 52

  • @manfredgeorge4865
    @manfredgeorge4865 8 дней назад

    ila doto we comedy sana blees my brother

  • @MboloKwampalange
    @MboloKwampalange Месяц назад +6

    unatunza sana kumbumbukumbu kaka issa mungu akulinde bloo

  • @amosimussa3360
    @amosimussa3360 Месяц назад +1

    Bro Dotto Allah awape maisha marefu ww na boss wako mnaishi vizur see you when you see me bro

  • @irangimedia
    @irangimedia Месяц назад +5

    3:33 Simba Anavaa Kiflana Kimeandikwa Kondom😂😂😂😂🙌

  • @user-lk9ld5zo6u
    @user-lk9ld5zo6u Месяц назад +2

    Ukikutana na isa tambuu road huez dhania mi fogo coz ni mtu amani kinom yaan

  • @user-mu1uf2rl4x
    @user-mu1uf2rl4x Месяц назад

    Issa ni mtu mmoja humble Sana hana majivuna afu ana mawe ya kutosha aisee

  • @saidkanji9882
    @saidkanji9882 Месяц назад +4

    Saizi tena

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Месяц назад

    Dotto noma aseee😂😂

  • @petercharles3787
    @petercharles3787 Месяц назад

    So hiyo ndiyo Habari kweli bongo nyoso

  • @PatrickMsaki
    @PatrickMsaki Месяц назад

    😅😅😅😅😅 ila doto......

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2o Месяц назад

    Msukumaaa mtaniwakeee

  • @kamalmreh8473
    @kamalmreh8473 Месяц назад

    Now doto

  • @user-to6cg8uf3f
    @user-to6cg8uf3f Месяц назад +1

    Uongo mno eti 2018 uongo tu

  • @daudichoghoghwe5035
    @daudichoghoghwe5035 Месяц назад +1

    Wivuwann watz wanemtambua kwa kazizake

  • @nkunzurwandakatibu9694
    @nkunzurwandakatibu9694 Месяц назад

    DOTTO ANACEKESHA SANA

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Месяц назад +1

    Sasa mwaka 2017 mbona
    Diamond Ella anayo

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Месяц назад

    Ila dotto wewe kiboko uwiiii 😂😂😂 sio kwa kuongea hivyo ila raha sana kuwa kalibu na boss ivyo alafu wala anuni

  • @mitv90
    @mitv90 Месяц назад +1

    😂😂😂 Doto Fala sana

  • @nourlaboratory
    @nourlaboratory Месяц назад

    😢😢😂😂😂😂

  • @DanielLaurent-pl4rg
    @DanielLaurent-pl4rg Месяц назад

    +254 chorodo

  • @user-zr5rg5ul3q
    @user-zr5rg5ul3q Месяц назад +1

    Ilaaa dotto😂😂😂

  • @user-ne3ev7qo9i
    @user-ne3ev7qo9i Месяц назад

    Ni 2008 huko sio 2018 hapana

    • @ramadhanomar6805
      @ramadhanomar6805 Месяц назад

      2008 mondi alikua Bado hajatok maan ngoma yake yakwanza kumleta mjini ilitok 2010

  • @SilasChitui-xk2sw
    @SilasChitui-xk2sw Месяц назад +4

    Kwani Tanzania watu wanauza Gari kama maembe pembeni mwa barabara. Hapa Kenya hamna Tajiri ambaye utamuona akisifiwa, na pia hawapendi kuonekana. Utapigwa risasi 🔫🔫🚔

    • @mussaabdul3527
      @mussaabdul3527 Месяц назад

      Ni huko kweny

    • @SilasChitui-xk2sw
      @SilasChitui-xk2sw 28 дней назад

      @@mussaabdul3527washamba nyinyi magari yenyu ni bei ya baiskeli hapa Kenya

  • @amirisaid6341
    @amirisaid6341 Месяц назад

    Hivi jamaa ni kweli hajui kusoma?

  • @JacquelineMmari
    @JacquelineMmari Месяц назад

    Mnipe pesa yangu

    • @josephguerino7416
      @josephguerino7416 Месяц назад

      Wamekutapeli dada?

    • @JacquelineMmari
      @JacquelineMmari Месяц назад

      @@josephguerino7416 ndio Nina mdai make waki pesa yangu hawanipi Mimi ninafanya biashara ya vitenge nilimpati make wake na sasa wamenibock kwanye simu

    • @JacquelineMmari
      @JacquelineMmari Месяц назад

      @@josephguerino7416 make wake na yy mwenyewe nilikutana naye nikamwambia shemej unaniju naomba umwambie mkeo mbona nampingia simu yangu hapokei ndio nikabock kabisa

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Месяц назад +7

    ULIPATA CHANS NZURI YA WA TZ KUKUTAMBUA,,KOMAA NA MAGARI ACHA POROJO,,,MAGARI YENYEWE MNAPIGA WATU TABU TUPU AH😊

    • @kakaaignas3675
      @kakaaignas3675 Месяц назад +3

      Kapige na wewe

    • @user-hi8le2vb7z
      @user-hi8le2vb7z Месяц назад +1

      @@kakaaignas3675 DAWA KAMA INAKUINGIA UNASOMA UNAUGULIA TU,,ACHA KUPANUA PANUA 😊

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Месяц назад +2


      Eeweeeeeh_🤔

    • @mohammadfahad3186
      @mohammadfahad3186 Месяц назад +2

      Acha chuki ww MGANGA MUNGU MITISHAMBA IMANI kwenda na kichogo chako na meno yako ya kunguwa njaa tuu 😂😂

    • @Official83640
      @Official83640 Месяц назад +2

      Acha makasiriko km hujui Issa na Doto ni watani Shinyanga, Mwanza,Tabora ni watani wa Wazalamo km hujui sasa ndy maana unaona utani upo sana hawakasirikiani ss ww mwenye kisirani chako peleka huko kwa watani zako 😂😂

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2o Месяц назад

    Msukumaaa mtaniwakeee