DOTTO MAGARI AMVUA NGUO ''DIDA '' ATAFUTE MUME WA KUMZIKA /BABA LEVO KUNA KITU ALINIKOSEA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 мар 2024
  • Ahsante kwa kuwa mwana familia,(BINA Tv) kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ya BINA TV ili usipitwe na habari zetu.
    #alikiba, #ayotv, #block 89, #bongo #chapchap, #bunge, #bungeni, #burnaboy, #ccm, #chadema, #davido, #diamondplatnumz, #diamondplatnumz, #good #morning, #habarizaleo, #habarizamillard #ayo, #harmonize, #lavalava, #lavidavi, #live, #magufuli #makonda, #mbosso, #mgahawa, #millard, #millardayo, #millardayo, #millardayotv, #rayvanny, #refresh, #serikali, #sportsarena, #sportscourt, #spots, #sundayworship, #tanzanianews, #thestorybook, #theswitch, #tiwasavage, #trending, #uchaguzi, #wasafi, #wasafifm, #wasafimedia, #wasafi tv, #wizkid, #yope, #yope #remix, #zuchu
    #BinaTv #WasafiTv #ManaraTv
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 119

  • @user-wh7gj9ug9s
    @user-wh7gj9ug9s 2 месяца назад +13

    Safi doto mpende mkeo zaidi na zaidi

  • @tropperben-xw5xr
    @tropperben-xw5xr 2 месяца назад +12

    bisha she is a good wife who gives dotto a very total happiness, enjoying your fatalistic moment stay blessed forever

  • @user-no7pz1bz4y
    @user-no7pz1bz4y 2 месяца назад +6

    Dida na boss wake ngoma droo😂😂😂😂😂

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 2 месяца назад +2

    Doto Magari umenichekesha sana. Siku ile na mama watoto wako ulitulia kwa Dida leo umemgeuka

  • @Official83640
    @Official83640 2 месяца назад +8

    DIDAAAAAAA MIGUU JUU KM FUNDI CHARAHANI DAH DOTO AKILI ZAKO UMENISHINDA😂😂😂😂😂

  • @saidizuber8831
    @saidizuber8831 2 месяца назад +8

    Kaka doto safi sana mchane hyo dida

  • @godymastermind9534
    @godymastermind9534 2 месяца назад +6

    Leo Doto ameongea point. Di atafute wa kumzika umri umeenda

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 2 месяца назад +5

    Dotto , kingereza unakitaka, kwa nini usikitafute😂

  • @user-bs4oh4cf1n
    @user-bs4oh4cf1n 20 дней назад

    🎧😎✅

  • @mrsab303
    @mrsab303 2 месяца назад +1

    Dotto wait Ramadan finish you can see Dida🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q 2 месяца назад +6

    Unasuluhisha ya wenzio wakati ya kwako yamekushinda kila siku talaka nginjanginja heeeee hebu ncheke mie😂😂😂

  • @mupendaeugenie2600
    @mupendaeugenie2600 2 месяца назад +5

    Dotto nakukubali 😂🇨🇩

  • @FredrickNgajua
    @FredrickNgajua 2 месяца назад +5

    Nakukubari ndugu yangu wa kizi mkazi

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l 2 месяца назад +2

    pamoja mpiga debe mwzetu una tuwakilisha vizuli pamoja mzee

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 2 месяца назад +3

    Big up Doto magari

  • @mwasunga
    @mwasunga 2 месяца назад +6

    Umeongea point midida ananikera mno

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 2 месяца назад +2

    Dotto safi sana..
    Umemwambia ukweli dida😂🤪

  • @12322879
    @12322879 2 месяца назад +2

    Mwamba sana Doto….Wanyee

  • @user-qm7bm8jx1b
    @user-qm7bm8jx1b 2 месяца назад +1

    Dotto upo sahihi mama mitano tena tumuhendo kizimkazi wetu rais samia

  • @aminamussa5122
    @aminamussa5122 2 месяца назад +2

    Yaani waswahili akifa atazikwa na ndugu zake.

  • @JaiAfidhi-tl6yi
    @JaiAfidhi-tl6yi 2 месяца назад +1

    Mwacheni dott aseme

  • @nzalinextlevel4515
    @nzalinextlevel4515 2 месяца назад +6

    hana pepo la ngono si la ndoa

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 2 месяца назад +3

    Kkkkkk natamani nikuona live foto he Yani nimecheka mbavu sina

  • @ittybitty-bp1cl
    @ittybitty-bp1cl 2 месяца назад +1

    Napenda anavosema “sawa”😂😂

  • @callicevallice7383
    @callicevallice7383 2 месяца назад +5

    Dotto nimekukubali leo ulivyomchana Dida 😂😂😂

  • @janetymatola6639
    @janetymatola6639 2 месяца назад +1

    Oya oya Dida upo😂😂😂

  • @mudrickbarton8911
    @mudrickbarton8911 2 месяца назад +3

    Anambomoa huku anamuita dada 😅😅😅

  • @ramsohk
    @ramsohk 2 месяца назад +1

    Uyo dida labda yesu arudi ndo aje amshauri

  • @charlesjuif898
    @charlesjuif898 16 дней назад

    Guy get proper mic 🎙️

  • @julianasimon5518
    @julianasimon5518 2 месяца назад +2

    Doto anajikuta mpaka waanfishi leo anawafukuza na kichambo juu loh😅😅

  • @salumjoka6286
    @salumjoka6286 2 месяца назад +1

    Doto muislam nashangaaga anavaa msalaba sielewi

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 2 месяца назад +1

    Timu Ya Kina Madebe Iyo Maneno Mengi Lakini Kwenye Ndoa Wao Ndio Wakosefu Wakubwa Sana

  • @edgercyprian964
    @edgercyprian964 2 месяца назад +1

    Ila kweli dida maneno mengi mbele kiza ndoa ngumu anatakiwa kavumiliae hakuna aliye mkamilifu chini ya jua dida tafuta mume uolewe umri huo sio wa kukaa single dada angu.

  • @GraceJulius-qy2qz
    @GraceJulius-qy2qz 2 месяца назад +1

    Doto kanywe mkubwawao nakuja kulipa umeongea vizur

  • @rosemtwaki7637
    @rosemtwaki7637 2 месяца назад +1

    Nakpenda doto mpe vyake hyo didaa mshamba tu

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 месяца назад +4

    😂😂😂😂😂😂Dotto

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 2 месяца назад +2

    Et juice ya maziw duuh wanaume achen kulelew mtatukanwa mpaka mkome

  • @rahmapelembela-oq4yd
    @rahmapelembela-oq4yd 2 месяца назад +1

    Fata maneno yake usifate matendo yake jamani

  • @kingwandeinvestment8002
    @kingwandeinvestment8002 2 месяца назад +2

    doto kasema ukweli

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 2 месяца назад +2

    Eti mende , inamaana dada kabati cio ? Au vile mende mchezea kinyesi 😮😮😮😮 ? Acha matusi bro ....😅😅😅😅

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 2 месяца назад +2

    Kaoa lin huyu maywele nae kusifia zina tuy

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b 2 месяца назад +4

    Nimekupenda bule doto nirikuwa sikuerewagi Leo nimefurah kumchana laivu dida anajifanya kungwi wakanti yye anachika Kila siku kwakua ana gari au nyumba mshamba sana dida

  • @ramosfally2318
    @ramosfally2318 2 месяца назад +3

    akuna muisilamu anaeva msalaba.apo mi sikukubali sema we mtoto wa kizalamu sio muisilamu

  • @shery-bf8xh
    @shery-bf8xh 2 месяца назад +7

    Content ama contract doto bana😂😂😂😂😂

  • @CAN.164
    @CAN.164 2 месяца назад +3

    Dotto we kiboko

  • @user-uu7mg3ff8l
    @user-uu7mg3ff8l 2 месяца назад +1

    dida acha ujinga ustaaa na majivuno vitakupereka motoni

  • @ludewayetutv
    @ludewayetutv 2 месяца назад +3

    Pank kama mcheza x wa uturukiiii

  • @GWIJIGWIJISELLA-tt2it
    @GWIJIGWIJISELLA-tt2it 2 месяца назад +3

    😆😆 devu kama yuda 😆😆🤣 dotto magari utaniua 😆

  • @Bless-sk8uv
    @Bless-sk8uv 2 месяца назад +4

    Kwanza hao wanao enda kupata elimu kwa dida mpumbavu hana akili, dida tangu 2009 kabadilisha wanaume wengi

    • @user-vq1qx1dr4e
      @user-vq1qx1dr4e 2 месяца назад +2

      Mh kumbe dida ni shangazi yangu mkubwa hivyo😂😂😂😂

    • @Bless-sk8uv
      @Bless-sk8uv 2 месяца назад +2

      WW afadhali ni shangazi mimi ni mama yangu kabisa🤔🤔🤔🤔bado tu anabadilisha wanaume

  • @mbokaicon5507
    @mbokaicon5507 2 месяца назад +1

    TAFUTENI MASWALI YA MAANA WAANDISHI WA HABARI KILA SIKU DOTTO ANAWATOA KNOCK OUT

  • @alibinali_
    @alibinali_ 2 месяца назад +7

    Wajidanganya mwenyewe eti Muisilamu aje tena unavaa msalaba wacha kudanganya watu😂😂😂😂

    • @edsonndomba1049
      @edsonndomba1049 2 месяца назад +1

      Msalaba unakuumizaaa, huo ni ukombozi wa wanadamu wote

  • @ludewayetutv
    @ludewayetutv 2 месяца назад +1

    Tangazo hamliachi lituliee linakimbiakimbiaaaa.

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 2 месяца назад +1

    😂😂😂Dotto 🎉

  • @Moe-Joe
    @Moe-Joe 2 месяца назад +8

    Disipirini😂.. Contract mjue ni content

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 2 месяца назад +1

      😂😂😂😂

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 2 месяца назад +1

      😂😂😂😂 contact

    • @Moe-Joe
      @Moe-Joe 2 месяца назад

      @@masalakulwa7601 🤣😂🤣

  • @nzalinextlevel4515
    @nzalinextlevel4515 2 месяца назад +1

    atuambie kuhusu ez den the lock

  • @JamalRamadhani
    @JamalRamadhani 2 месяца назад +3

    😂😂😂..nakukubar sana kk unaongea ukwel sana ww broo saf sana

  • @user-fm2zf7cq9g
    @user-fm2zf7cq9g 2 месяца назад

    Totoooooo😂😂😂

  • @abubakarykivo7366
    @abubakarykivo7366 2 месяца назад

    Wenyewe wameshachukua dhahabu zao😂😂😂😂😂

  • @nzalinextlevel4515
    @nzalinextlevel4515 2 месяца назад +1

    kwanza katembea na mdogo wangu mtangazaji mdogo kitoka kiss fm sitaki kimtaji jina ... mtafute

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 2 месяца назад +2

    dida hata kupika hajui ndio maans kaachika kea mumewe na kudanga kumezidi alsfu anajiita kungwi kunguni dida vipi wewe umemwaribu mpaka juma juma lokole ana left group juma lokole tizameni viugoko vyake kama vya basha wake mond lokole tokaapa uyouyo

  • @samwesupa6906
    @samwesupa6906 2 месяца назад

    Dotto sim inaita iyo 😂😂😂😂😂

  • @AbdulMahmud-ut7ee
    @AbdulMahmud-ut7ee 2 месяца назад

    Dotto pesa ipo

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 2 месяца назад +1

    Wacha weee

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 2 месяца назад +1

    TUNALUKA TUNALUKA KWELI

  • @JOHNJOHN-pu7wb
    @JOHNJOHN-pu7wb 2 месяца назад +4

    Nimecheka 😅

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 2 месяца назад

    hehehehehehehehehheeheheh

  • @charitylulu8872
    @charitylulu8872 2 месяца назад

    😊😂

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 2 месяца назад +2

    Mmepanga eti mke akupigie

  • @nzeyimanamwavita1904
    @nzeyimanamwavita1904 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 2 месяца назад +1

    Mtufudenge nini?🇰🇪

  • @thedon8467
    @thedon8467 2 месяца назад +1

    HANA UWEZO KUONGEA KUMZIDI DIDA UYO MCHUMBA TU UYO.

    • @MnuwiiItowela-vf1td
      @MnuwiiItowela-vf1td 2 месяца назад +2

      Huyo ndio kiboko ya dida sasa hadhubutu kunyanyua mdomo

  • @chemstry409
    @chemstry409 2 месяца назад +2

    Yaani Dotto miguu ya Diddah ipo kama ya SHANGAZI YAKO.....😂😂😂😂😂

  • @tatuseifu7641
    @tatuseifu7641 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂

  • @charitylulu8872
    @charitylulu8872 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😅😅😅

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 2 месяца назад

    Dotto sio contact ni content 😅

  • @ireneimbuhira7759
    @ireneimbuhira7759 2 месяца назад

    😂😂😂

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 2 месяца назад +1

    Unachosema ni kwe li doto yeye kaachw a ndoa kibao atamfu ndisha Nani mambo ya ndoa na yeye ndo a zake hakai hata m wezi kwenye ndoa s asa yeye anajitia ku ngwi wakati yeye ya ke hayawezi ya ndo a anaachwa kilasiku kweli kabisa doto un avyosema

    • @safiaimran6455
      @safiaimran6455 2 месяца назад

      hajajitia kungwi jueni kutofautisha Dotto alipe Ada ya Mtoto wake

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 2 месяца назад

    HUYU mwandishi namtabiria soon ni katibu tawala

  • @katabaroonlinetv9688
    @katabaroonlinetv9688 2 месяца назад +1

    Sema dotto waandishi ndo wanaokupeleka mjini Acha kuwafokea

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 2 месяца назад +2

    Uyu mke kazi yake kukupikia tu ajue na kukupamba kuonekana hizo nywele na ndevu kama hazinaushirikiano

  • @AaAa-ue5di
    @AaAa-ue5di 2 месяца назад

    😂🧎🧎🤗🤗🤗🤗🤗

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen7299 2 месяца назад +1

    Hahahaaaaah!

  • @rehemabakari4150
    @rehemabakari4150 2 месяца назад

    Didaa kachambwa

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 2 месяца назад

    Wamekuzid ndo maan ww unakaa kwenye mabanda yauwan mjinga san ww

    • @samirshabani-yu4xu
      @samirshabani-yu4xu 2 месяца назад

      Bad haujasema

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 2 месяца назад

      @@samirshabani-yu4xu kimewaramba na bado tafuten maendeleo achen midom

  • @jumaalmasjuma1700
    @jumaalmasjuma1700 2 месяца назад +1

    Unajua ila usitukane makabila unaounguza wafuatiliaji wako
    Mie mkigoma nakufuatilia ila uliposema watu wa mwanza wana akili kinyume chake kigoma hawana
    Akati ni kina mwijaku na baba levo ulowalenga

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 2 месяца назад +2

    wacha kusoma Qur'an kama hujui fala ww

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 2 месяца назад +1

    Mshamba huyo anaongea na mke kwenye media pumbavu mkubwa.

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 2 месяца назад +2

    Sasa unamuingilia dida kwa sababu mke wako alikuja kwa mashamsham wewe Mbona ulitelekeja mtoto wako

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 2 месяца назад

      🤣🤣🤣🤣👍👍👍👍

    • @samsonkingdom-xc8cg
      @samsonkingdom-xc8cg 2 месяца назад +2

      Rudi shule kenge mmoja

    • @user-vv1te9fu8q
      @user-vv1te9fu8q 2 месяца назад

      ​@samsonkingdom-xc8😂😂😂😂😂😂 eti ulitelekeja

    • @safiaimran6455
      @safiaimran6455 2 месяца назад +1

      Ndo namshangaa 😂 povu lamtoka Didah hajakosea sehemu 😅 dotto ahudumie mwanae

  • @callicevallice7383
    @callicevallice7383 2 месяца назад +8

    Mchane dida huyo, kazidi😂😂

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 2 месяца назад

    🤣🤣🤣 eti kila siku anaposti miguu juu , kama cherehani 🤣🤣🤣

  • @charitylulu8872
    @charitylulu8872 2 месяца назад

    😊😂

  • @karabadumbaabedi5366
    @karabadumbaabedi5366 2 месяца назад

    😅😅😅😅

  • @user-vr2uj9cn7o
    @user-vr2uj9cn7o 2 месяца назад

    😂😂😂

  • @charitylulu8872
    @charitylulu8872 2 месяца назад

    😊😂

  • @saidikido4595
    @saidikido4595 2 месяца назад

    😂😂😂