DOTTO MAGARI AIBUA TIMBWILI, AGOMA KWENDA POLISI, UCHEBE AINGILIA | HIVI NI KWELI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 июн 2023
  • DOTTO MAGARI AIBUA TIMBWILI KATIKATI YA INTERVIEW, UCHEBE AINGILIA | HIVI NI KWELI
    www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 228

  • @zuuzuu936
    @zuuzuu936 Год назад +13

    Nimecheka sana kwa kweli, dotto alichanganyikiwa

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 11 месяцев назад +11

    Idea nzuri sana.kuna msanii u.s.a aliwahi kutoa bomba kwenye interview.

  • @mirajindacabona1778
    @mirajindacabona1778 6 месяцев назад +4

    Big up D Tisha sana mzee baba mpe hi mama kizimkazi

  • @omarimoyo9077
    @omarimoyo9077 6 месяцев назад +4

    Safi sana i love it

  • @Wachuoni
    @Wachuoni 5 месяцев назад +2

    Hii kali sanaaaa, kinyamwezi kabisaaaa, kama MTV pranks 😂😂😂😂

  • @athumanfuko199
    @athumanfuko199 Год назад +5

    Dotto magari umetisha❤❤

  • @hovsback1405
    @hovsback1405 Год назад +10

    Much creativity...good show hapo sawa MoTown sanya big up from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @luogafrank3205
    @luogafrank3205 Год назад +5

    Madalali wanapiga sana dili na polisi wa osterbay yan ukipata kest na dalalo usikubali kwenda nae osterbay mwambie twende sehem ingine hata police ya posta

  • @franknjozi1099
    @franknjozi1099 Год назад +3

    Mdogo wangu dotto 😂😂😂😂walikuchanganya ila we sikuizi msafi kama tishu ivyo umenyooka kama rula hukutaka mambo mengi wasije wakakuteka bure ukakimbilia obeyyy😅😅😅 safi sana kwa kuudhiirishia umaaa kwa confidence ya kuwa ditto ni mmoja tu na hana mambo ya kizamani safi sana nakweli ulisha tokaga uko nimeipenda hii

  • @user-qs7lj7kj1k
    @user-qs7lj7kj1k 10 месяцев назад +4

    Ndoto anajua tena 👌👌👌anajua tena

  • @africanfilmstz8765
    @africanfilmstz8765 Год назад +14

    Kesi za watu kubambikiziwa zipo nyingi sana. Watu wanapelekwa mahabusu wengine eanafungwa kesi sio zao. Inapokuja inshu kama hii hata kama dio ukweli unachanganyikisa. Hiki kipindi hakifai hata kidogo. Ikiwa ni wewe mtazamaji au mimi mwenyewe kama unaijua vizuri lokap lazima uogope😢

  • @user-uq7yb7yk7b
    @user-uq7yb7yk7b Год назад +17

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣daaaah creativity ya maana

  • @Hello-ur7ig
    @Hello-ur7ig 7 месяцев назад +3

    Very good job, one of the best shows this year 👏👏👏👏

  • @TanaMidundo
    @TanaMidundo 7 месяцев назад +1

    Noma Sana brother dotto magar

  • @EdithaDickson-ob5yw
    @EdithaDickson-ob5yw 10 месяцев назад +4

    Nimeipenda hii achaaa❤😂😂

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Год назад +16

    Wee mtoto unaweza kuwa kwa kweli mana Mr. Doto Akili imemeuka kaona Wasiojulikana haoooo wanaokuja kunibeba Aisee ila nimekupenda Doto ulipokiwa Strong Men hutaki kubabaishwa unaongoza mwenyewe police huu ni mfano watu msikubali kubwa tu

    • @athumanfuko199
      @athumanfuko199 Год назад +1

      😂😂😂😂anachagua sero yeye mwenyewe

    • @fathimamct232
      @fathimamct232 11 месяцев назад

      @@athumanfuko199 😂😂😂😂😂

  • @sumayasumaya6455
    @sumayasumaya6455 Год назад +10

    Doto mpka huruma jaman, huyo sio mwizi wala tapeli..ndio maana Kawa mkali sana., Doto maneno mengi tu ...pole Kaka hahahahahah 😂🤣😅😅😅🤣

  • @hassanmhando4404
    @hassanmhando4404 11 месяцев назад +2

    Dotto umetisha 🔥🔥

  • @ommy_king
    @ommy_king Год назад +7

    Chawa wake cjui mwanae dotto huyo tamimu anamoto, wangeendelea kutokumpanga angempasua dereva wa watu sema mwishoni inaonekana walmtonya😂😂😂😂😂😂

  • @seiphomary834
    @seiphomary834 Год назад +3

    Ujitahd sana mwamba

  • @adinanmkombozi351
    @adinanmkombozi351 Год назад +12

    Sanya ,,SIKU NYINGINE HUYO ANATAKIWA AWE NA KITOII CHA BUNDUKI ,, ANGEKIMBIAA DOTTO😅😅😅

  • @diclopar4687
    @diclopar4687 11 месяцев назад +1

    Noma

  • @neyney1907
    @neyney1907 11 месяцев назад +3

    creativity 💯💯

  • @MbongoBoy-yg9tq
    @MbongoBoy-yg9tq 7 месяцев назад +2

    Big up dotomagarii

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 2 месяца назад

    Daaah sema dotto ulishaingia king

  • @AyubuSanga-hr7tr
    @AyubuSanga-hr7tr Год назад +4

    Hatari

  • @embeteidi5023
    @embeteidi5023 Год назад +5

    Tatizo uchebe alikuwa nacheka sana😂😂😂😊

  • @dickcharles8386
    @dickcharles8386 Год назад +11

    😂😂😂😂😂😂 Doto magar

  • @mannabu9333
    @mannabu9333 Год назад +15

    😂😂😂😂😂 Doto kweli una magumashi

  • @balakasalim7735
    @balakasalim7735 Год назад +3

    Duh.aisee nilikua nastles zangu nimejikuta nacheka2. oya doto unajua

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 11 месяцев назад

    Ditto upo vizuri sana

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Год назад +35

    Dotto umebadilika sana, hao wote hapo hakuna hata mmoja aliyekuwepo wakati ule ulivyokua Ngoma ngumu....enzi za PELASOPELASO manyanya hakukaliki hiyo, NGOMA NGUMU tupu..!

    • @kennethbenjamin275
      @kennethbenjamin275 Год назад +1

      Wote hao hawamjui,watu tunamjua tokea akiwa mpiga debe s3ma nampa big up kabadilika sana

    • @IdarousPossy
      @IdarousPossy Год назад +4

      Sas inahusiana nin?watu kumjua au kumtomjua kipindi hicho inahusiana nini? Maneno ya vijiwenu bana dah

    • @munnahbakari725
      @munnahbakari725 Год назад +2

      @@IdarousPossy yani ilimradi tuu sasa kumjua mtu enxi za mwalim ndo kusema eti alikua mpiga debe sasa vinahusiana nn watu bhana🤣🤣🤣mwenzenu kajitafutaa na tayar Mungu kamuona na kajipata

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Год назад +3

      @@IdarousPossy ....Ni vyema kumjua alikuwaje, Ili na wengine wasikate TAMAA wakiwa kwenye URAHIBU...!

    • @mokilisasunya8084
      @mokilisasunya8084 Год назад +2

      Dotto kanyooooka na alikuwa sahihi kusema aende police anapo paamini yeye

  • @petromsomba4523
    @petromsomba4523 Год назад +1

    Et we mwenyewe adui to sa we unanini unapost fundi gereji kumbe unauza sambusa to nmeipenda hii kwa dotto

  • @shebyhassani2369
    @shebyhassani2369 Год назад +4

    daaaaaa sanya ww nibaraaa

  • @beniardajuna2580
    @beniardajuna2580 Год назад +4

    Huyo jamaa alitaka dotto afe kwa presha jaman sanyaaaaaaaa

  • @abdullysige8740
    @abdullysige8740 8 месяцев назад +1

    Mme Tisha sana aisee doto jicho lime mtoka

  • @jumastamu1543
    @jumastamu1543 10 месяцев назад

    noma sana

  • @joelyngomuo7441
    @joelyngomuo7441 11 месяцев назад +9

    Bonge la sinema nimemkubali doto magari jamaa anafaa kuwa muigizaji

  • @alimbarouk9353
    @alimbarouk9353 Год назад +9

    Dah nimecheka kama mpumbavu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @kakaaignas3675
    @kakaaignas3675 Год назад +4

    Doto aujajinyea kwel

  • @LucyAndrew-rr9ew
    @LucyAndrew-rr9ew 11 месяцев назад

    Umepatikana leo

  • @tumsifujoachim5877
    @tumsifujoachim5877 Год назад +1

    Ndo tupate somo hapa msi8ziane gari kama big G

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Год назад +1

    Nime cheka mpka jikojelea jamani daaaaa mamaeeee mpka melia daaaa

  • @emmamga5495
    @emmamga5495 10 месяцев назад

    Sema jamaa Dotto mstaarabu sana hakutaka kupigana

  • @godymynga3029
    @godymynga3029 Год назад +2

    Uchebe na ww mnafiki sana yaan unajifanya hujui kitu😂😂😂

  • @rachaelmungai5194
    @rachaelmungai5194 10 месяцев назад +1

    Sanya unajua unajua unajua tena!!!

  • @simbaevarist-ut5es
    @simbaevarist-ut5es 10 месяцев назад

  • @seifamani6364
    @seifamani6364 11 месяцев назад +1

    Dotto kawa mpoulee maneno yote kwisha kawa kama nyamwiga hapo akifa anaoza aiseee😂😂😂

  • @lastkinglastking3326
    @lastkinglastking3326 Год назад +3

    Jama Dotto sio muongo au mwizi alafu ana busara
    Angekuwa miongo hangeomba kuwahi polisi

  • @shanifesto9037
    @shanifesto9037 Год назад +1

    Dotto angeanguka presha dahh😂😂😂😂

  • @mossesramadhani501
    @mossesramadhani501 Год назад

    Next time jipangeni vzr

  • @adamzachariakinyekile6948
    @adamzachariakinyekile6948 Год назад +7

    Dotto kapatikana,pressure kama zote bado haamini kama mnarekodi

  • @CharlesKanjanja-zz6bo
    @CharlesKanjanja-zz6bo Год назад +5

    Show ya magenius

  • @emmanuelcharles3410
    @emmanuelcharles3410 Год назад +1

    Umeuwa doto 😂😂😂😂

  • @modazen7178
    @modazen7178 6 месяцев назад

    mnaacha kuibua vipaji mtaan mnaenda kuhoji majitu ambao wameshapata maisha na wanatamba nazo mitandaoni Wasafi media tafakarin vzur ibueni vipaj ambavyo vitakua ni nguvu kaz badae kwa Tanzania

  • @newline-jh3hg
    @newline-jh3hg 6 месяцев назад

    Duh leo wamemuweza.

  • @ismailmasanilo7018
    @ismailmasanilo7018 Год назад +9

    Pindi la kijanja nimeona clip tu nimeifata full nakubar maujanja👊👊👊

  • @clydesaidcde
    @clydesaidcde 11 месяцев назад

    nice one ila too many effects

  • @happymshana8693
    @happymshana8693 Год назад +9

    hahaha yan sanya kuna siku utapigwa wew yan

  • @maligeltabatholomeo8128
    @maligeltabatholomeo8128 Год назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂doto jamani uwiiii

  • @diclopar4687
    @diclopar4687 11 месяцев назад

    Kapata moto

  • @ellybaha6146
    @ellybaha6146 Год назад +3

    😂😂😂😂 content ya maana sana

  • @AhmedAli-ur3uc
    @AhmedAli-ur3uc Год назад +4

    Ingelikuwa mm hapo nishampiga mtu kibanoooo sio kwakunileteya ujinga huo hao mambululaaaaa

    • @athumanfuko199
      @athumanfuko199 Год назад

      Unatakiwa kujizuia mihemuko na kusolve issue in good way😅😅😅

  • @danielimeshack3712
    @danielimeshack3712 Год назад +6

    Mi nasoma comments tu😂😂😂😅😅

  • @ericmambele1230
    @ericmambele1230 Год назад +5

    Eti mfate dada hhhhhh kavunjiwa kibanda chake kabebe mbao

  • @kassimdrake9527
    @kassimdrake9527 Год назад +1

    😭

  • @MustafaMvulla-fv8eh
    @MustafaMvulla-fv8eh 7 месяцев назад

    Dotto we unajua

  • @hamzamsophe570
    @hamzamsophe570 10 месяцев назад

    Show kali

  • @emptysoulzproduction9980
    @emptysoulzproduction9980 7 месяцев назад

    next time jamaa asigonge mic kifuani ila nimeipenda show 😀😂🤣

  • @barakakomba6087
    @barakakomba6087 10 месяцев назад +1

    Polisi hawa waungo dah nimecheka sana🤣🤣😅

  • @YoungLovedii
    @YoungLovedii Год назад +2

    Utaenda na Gali yanguu

  • @emanuelcosmas395
    @emanuelcosmas395 Год назад +3

    akili kubwa

  • @jamily_.99
    @jamily_.99 Год назад +1

    Watu wanatengeneza content

  • @alawisalim9139
    @alawisalim9139 Год назад +1

    🔥🔥🔥

  • @AndrewPaul-wy6qq
    @AndrewPaul-wy6qq Год назад

    Hom boy wagwani✌️

  • @ezekiel120386
    @ezekiel120386 4 месяца назад

    Dotto uliingia upepo. Ila nadhani kama wasingesanua mapema mkono ungetembea

  • @mchumiajuani1993
    @mchumiajuani1993 Год назад +1

    Doto anajikaza bhna, alishachanganyikiwa bhna......

  • @oyay2821
    @oyay2821 10 месяцев назад +1

    Hii kali

  • @hildakilale7313
    @hildakilale7313 Год назад +2

    🤣🤣🤣🤣dotto my friend naona jinsi ulivyopanic nimecheka sanaaa,waiingize mjini haooo

  • @Imanikkk
    @Imanikkk 2 месяца назад

    Dotto magari vp naona kimya hujasema kama nahapa ipo kimyaaaa tondo kwanza unatafuta boda boda ukimbilie police 🚔

  • @ilhammsaad-oe4lg
    @ilhammsaad-oe4lg 11 месяцев назад

    Simjui mimi uchebe baba angu alokufa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 yan nmecheka

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 10 месяцев назад +2

    Nyinyi mnaweza kuua mtu kwa pressure😂😂

  • @adamsiwakwi7845
    @adamsiwakwi7845 Год назад +7

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣 nimecheka

  • @africano98.
    @africano98. Год назад +4

    Uyo doto mpk majasho ya kwapa yamemtoka kumbe muogaa tu

  • @universitylink
    @universitylink 6 месяцев назад

    Leo Doto kapatikana

  • @user-jw2gf2gk4i
    @user-jw2gf2gk4i 6 месяцев назад

    aiseee dotto magari weye nimwigizaji mkubwa sana

  • @qwirinishao1003
    @qwirinishao1003 11 месяцев назад

    Mwezi jana😂😂

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk Год назад +1

    Ila sanya kipindi chako unaweza kuua watu

  • @nathanijotham652
    @nathanijotham652 Год назад +4

    Doto kaloa 😂😂😂😂

  • @rukkysayid6613
    @rukkysayid6613 10 месяцев назад +1

    Nimecheka mpaka nimejamba duh Doto kapatikana maneno yooote yalimruka😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @jojigeorige1056
      @jojigeorige1056 10 месяцев назад

      You have issues with valve seal aisee..😂😂 hupaswi kujamba ukicheka

    • @lemburisimolle8806
      @lemburisimolle8806 7 месяцев назад

      Njoo unizambie mimi

  • @hasandon6801
    @hasandon6801 Год назад +1

    Huhuhuhuhuh

  • @theresiamwandara7990
    @theresiamwandara7990 6 месяцев назад

    Wasenge kweli nyinyi mnamsumbua doto akili nyingi

  • @ahmadmohd3771
    @ahmadmohd3771 10 месяцев назад

    Sema maisha kinafiki sana uchebe mwanzo kamcheka doto baaada kuambiwa anauza sambusa kaamua amsifie tu😅😅

  • @robsonwisdom1994
    @robsonwisdom1994 Год назад +2

    Sema jamaaa akuwa seriously 😅😅😅😅😅😅😅 sana

  • @annamachaki3644
    @annamachaki3644 4 месяца назад

    kuna mtu karibu ajinyeer😅😅😅

  • @mossesramadhani501
    @mossesramadhani501 Год назад

    Alieuziwa gari hajiamini

  • @elishajailosy4916
    @elishajailosy4916 Год назад

    Uyu jamaaa atar nimecheka ad so pw🤣🤣🤣

  • @giftmwanga
    @giftmwanga 11 месяцев назад

    Dotoo leo anakumbilia police😂😂😂😂😂😂

  • @kingkinye1419
    @kingkinye1419 9 месяцев назад

    jamaa anajikubali sana apunguze

  • @Imanikkk
    @Imanikkk 2 месяца назад

    13:52

    • @Imanikkk
      @Imanikkk 2 месяца назад

      Dotto magari umechemka naona kimyaaa hujasema kama na hapa ipo