MWIJAKU AKUTANA NA KISANGA CHA KUMPA MIMBA MWANAMKE / AKIMBILIA POLICE
HTML-код
- Опубликовано: 10 июл 2023
- MWIJAKU AKUTANA NA KISANGA CHA KUMPA MIMBA MWANAMKE / AKIMBILIA POLICE
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Развлечения
Kitu napenda kuhus mwijaku he’s always proud of his wife Mashallah 🥰
Dada ang VING’AST wote ndyo style zao dada ang ILA huyu yuko REALLY kwa MKEWE .
Always proud of his wife or proud of her money?!!
Is a good man ❤❤❤❤
anaajiosha tu, si ndiio alimdhalilisha dada wa watu
Alafu izi siku unauwa Sana Sanya kama unakubali Gong link apa love from🇧🇮
huyu dada ni mwigizaji mzuri sanaaa aendeleze kipaji chake
Dada ni 🔥🔥🔥anajua anajua na anajua tena
Mwijaku is a good Actor😂😂😂
😁
Jaman na mm sija chelewa sana kipindi cha leo nipeni like zangu
Kwani ulikuwa umetupa tukuekee hizo "like" unazodai
@@makenaOG Watakao towa watatowa Kam we unaona vp kausha
@@saidseleman2829 basi twambieni mwazifanyia nini coz kila mmoja "nipeni likes zangu"
yaani mwanaume unaomba like hata aibu huna ?
like unazipeleka wapi kenge wewe ?
acha ushamba 😏
@@makenaOG nambiee my
😂😂😂 Mdada yuko vizur alafu pia mzuri na sauti nzuri
Yote tisa huyu dada anajua kuigiza bongo movie wamuone jamani😂😂😂😂
Sanaa
Sanaa
Motown mwambie mwijaku apunguz ujinga anaoufanya kwawatoto wakike .naitwa saidi hamissi from rwanda
Mwijaku kalamba maziwa ya papa 😂😂😂😂😂
Kama na wew umegundua motown Sanya kashindwa kuwa serious kwa mwijaku gonga like tujuanee😂😂😂😂😂😂
😅
Tatizo mwijaku ana chamba sana ndo maana Motown sanya akawa hayupo serious
Mzee kwa mwijaku ni muongeaji sana Kisha ni mtangazaji anauzowefu sana, anaemuwez ni Babalevo tu😅, wa
like unazipeleka wapi kenge wewe ?
acha ushamba 😏
Mwijaku shehe wa mchongo😂😂😂😂
Eti yeye hawezi kuonana na nguo ya uchi lakini hao anaohangaika nao ni uchi mtupu
Maisha ya mwijaku huyu bhana, ni kama wavuta bangi kabisa!
Ahahahhahaahha hatimayee kapatikana😂😂😂😂😂😂😂😂
Alafu dada mrembooo check miguu yake🔥🔥🔥🔥
Mwijaku anaogopa msimuache peke yake. Acje akaolewa. 😂😂😂😂😂
😂😂 huyu jamaa leo kanichekesha kuliko siku zote dah Mwijaku
Mwijaku unapenda kufunga dah😢😢😢😢😢
Mamae leo mwijaku kapatikana
Mko vizuri kuigiza jama mpo serious kama kweli vile😂😂😂😂
AAahahahaah Mwijaku ni Profesa! apewe maua yake
Mwijaku kasema hawezi, kumuanglia sababu hjajistir 😂😂😂ikabid avue miwani
Ila mwijaku😅
dada mzuri huyu kuliko mkeo mwinjaku,sema unafanya vizuri kweli kumsifia mkeo
Kwakweli Sanya nakubali mwijaku umemuweza kabisa😂
Demu anajua 😂 ira na mwijaku yuko vizuri kujitetea
Hahahqh mwijaku fara kweli hapa nina nini 😂😂😂😂😂😂😂
Mzeee Barton anapenda sana Polisi asee 😅😅😅
Dada anasauti nzuri nimeipenda shogaangu 😊
Oya saiv unaua sana hii imeenda kwa ukubwa mno😂😂😂
😅😅😅😅😂😂😂😂😂mwijaku kalamba maziwa ya papa
😂😂Sanya alivyo chungulia simu ya mwijaku sasa😂😂😂
Hivi ni kweli nimeipenda sana uwaga naalia anytime
Mwijaku hapo hata kama unachepuka mkewako hawezi amini lazima ajue uko pekeyako 😅😅😅😅😂😂😂
Nipeni izo like za kumuwahi sanya jaman
Nataka nikutie ndani, namtia ndani, nataka nimtie ndani, watu kama wewe wanatakiwa watiwe ndani😀😃😁😆
Ni mwendo wa kutiwa tyu
😂😂😂😂ule msemo wa diamond umeingia cha kike 😂😂😂😅mwijaku nae kashaingia°°°🤣
Interview ni Ile TU Moja ambayo mwijaku kwa mara ya kwanza kufanya exclusive na wasafi but hii interview sio hit kama Ile
Masha Allah
Kaka anajielewa sana Mwjk Allah akuongoze zaidi
Na pochi lako la bei rahic😂😂😂😂 mwijaku ❤❤❤❤❤
Kidole na jicho mwijaku😂😂😂😂
Kwl Content ya Leo mmekwama Wakuu Gar wakat mwanzo wakufungua Kipind Mo_town hamkuwona Gar ilo gar la mwijaku kule mwisho mkatoa Mmechomaa hii 😅😅😅😅😅😅😅😅
Wakuanza leo yani mwijaku 😂😂😂😂
Alivo wahi simu kupigia police na kanzu yakooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Talented Sanya
Dads hapa ameweza kuigiza ameweza
Dada apo unatakiwa ujiengeze ndio ushajulikana usipoyeze nafasi iyo ❤❤❤
Ahahhahaa
Hivi kujulikana kunakusaidia nini?,Kutaka umaarufu Dunia lkn mbinguni hamna anae kujua inasaidia nn?
hongera kwa kipindi umetengeneza vizur
Sikuhz uhalisia unapungua inaonyesha kabisa kuwa mnaigiza na watu wanapangwa..uhalisia unaanza kupotea
sikuwahi kujua mwijaku uko smart sanaa
Tulokua hatuna kaz kumbe ndo tunafatilia .maana kipind kipo siku zote. Iweje mwinjaku asishtuke au hafuatilii haya mambo.
😂😂😂😂Ety hapa nina Alama gan mwijaku bhna huyu dada anajua kuigiza kuliko fahima
Siku hizi mnaigiza tu. Mo!! Binafsi siku hizi sioni kama kitu kipo ni serious. Naona mnapanga kwanza
M mwenyewe siwaamini ni scripted hii kabsa
Mwijaku amekiri kweli amekamatika😂😂😂😂😂😂😂😂
Nikuwa naisubiri kwa makini sana 😂😂🥹
Loool Mwijakuuuu pole sana, Leo umepatikanaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka sana nyie mwijaku kapatikana
Amekazaaa mwishoo kaingia cha kike yani wakitikiswa kidogo wanakimbilia polisi😂😂😂😂
Aisee mwijaku anafurahisha eti vidume sita dada anarekodi eti chagua hapoo🤣🤣🤣
😂😂😂 Hapa Nina nini in mwijaku's voice 😂😂
Hahahaha
Nipeni namba ya uyo dada anajua kabisa
This nigga mwijaku is a comedian ....this shit is funny asf 😂
😂😂😂😂😂
Daaaah mwijaku so bravo 🔥🔥🔥🔥🔥
Mwijaku leo kapatikana ni cheka nyiyeeeeee😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤niipenda sana
Nimeipenda hiyo
Mwijaku ana alphald ipo pale afu kelele nyingi kwa mondi mwenye Rolls
Nice....!🎉
😅😅😅😅😅😅😅 dada wa watu mzuri hv alafu mwijaku analeta mdm
Hivi n kwel .Mo Town sanya. 🔥
Aisee mo sanya ni 🔥🔥🔥
HAHAAA MWIJAKU KAKAMATIKA HADI UNAKIMBILIA POLICE IMEKULA KWAKO
Noma sanaa
Dada yuko vizurii hebu Juwa kalii na Huba" wamuangaliee😂😂😂🙌 vipaji vipo vya serious kweli, Mwijaku kaingia cha kike" Sanya fanya nyengine tafuta mtoto umpeleke kwa Baba Levo Ajifanye ni mtoto wakee alimzaa nje ya ndoa kisha mtoto Akaze nakulia😂😂😂😂
Ata Mimi naona ivyo
Duh chakike
kumbe alama ni muhimu kiasi iko😂
Mwijaku ni pumbe sana ni mwanaume Asiejielewa 😂😂
😆😂😂😆😆 mamae chezea mwanamke wewe hatari sana
Umeharibiwa jina take the action
Kubali umepatikana 😂😂😂😂😂
Duh hi Dunia amakwel yani police anatak kumwek ndani mtu bila hata kumsikiluz kisa anajua n police, mama yangu SAMIA ANGALIA HII, KISA STAR ANAJUAN N POLICE BAS MTU ATIWE NDAN NA DIFENDA KWANN ASIJ NA GAR KAWAIDA MMMMH
Huo mbichwa kwenye t-shirt😂😂😂😂
hao macamera man wametisha wanatia chumvi hatariiiii😹😹😹😹😹😹
Hich kipindi kipo kwenye tv ikabidi niifatilie kwenye RUclips
Huyo dada mzuri kinoma daah
Hahahhaha mwijaku ako smart sana anajielewa
Napochilako la bei raisi meijaku weeeeee😂😂😂😂😂😂😂
Noma
Na irudiya Mara mbilimbi😂😂😂😂😂âme naswa leo
so creative 😅😅🤣🤣
Jamani huyo mwijaku katoka makka juzi hawezi fanya kitu kama hicho.....
Hahahahaha mwijakuu DC umepowaaa umaepatkaa
Iyi Una weza ila tuna subiriya wewe na boss wako Diamond
Acheni kutuectia iyo gari aliyokuja nayo uyo Mwijaku si ndo ile iliyokuwa inaonekana kwa mbali kule nyuma...wakati iyo gari ya uyo demu inaondoka iyo gari ya Mwijaku inaonekana kulee...stori zenu za kutunga
Mwijaku leo umekamatika..na hujashtuka
Mwijaku itabidi utuambie una nn apo😂😂
Mwijaku eti hapa nina nini 😀😀😀😀mbavu zangu mieee 😂😂😂
Kumbukaaaaa mwenzio kapatikan sasa kwaushauri njo na Masha tu
Hii nimeipenda baba😂😂
Napenda sana kipindi chenu! Nimecheka sana 😅😅😂
Sophia anajua kuigiza
Mwijaku ehee kanasaaa
😂😂😂❤❤❤ mwijaku mtu WA Dini hawezi
Mwijakuuu hivooo unavyoo sema utamtia ndani utazani kituo cha polisi unakimiloki ww heee umuwekee miezi mitatu kauwa heeee
Sem hii ijawa serious San ikiwa kwak ndo ikitisha San Mo,