MWIJAKU AKUTANA NA KISANGA CHA KUMPA MIMBA MWANAMKE / AKIMBILIA POLICE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 июл 2023
  • MWIJAKU AKUTANA NA KISANGA CHA KUMPA MIMBA MWANAMKE / AKIMBILIA POLICE
    www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 567

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 10 месяцев назад +36

    Kitu napenda kuhus mwijaku he’s always proud of his wife Mashallah 🥰

    • @kbmsouth
      @kbmsouth 10 месяцев назад +2

      Dada ang VING’AST wote ndyo style zao dada ang ILA huyu yuko REALLY kwa MKEWE .

    • @rahmaalphonce7684
      @rahmaalphonce7684 9 месяцев назад +1

      Always proud of his wife or proud of her money?!!

    • @rukiyanaeba7894
      @rukiyanaeba7894 9 месяцев назад +1

      Is a good man ❤❤❤❤

    • @zuenampandeni3347
      @zuenampandeni3347 9 месяцев назад +1

      anaajiosha tu, si ndiio alimdhalilisha dada wa watu

  • @benboyburundi2429
    @benboyburundi2429 10 месяцев назад +64

    Alafu izi siku unauwa Sana Sanya kama unakubali Gong link apa love from🇧🇮

  • @georgeascona5457
    @georgeascona5457 10 месяцев назад +18

    huyu dada ni mwigizaji mzuri sanaaa aendeleze kipaji chake

  • @LeylatVlogs
    @LeylatVlogs 10 месяцев назад +45

    Dada ni 🔥🔥🔥anajua anajua na anajua tena

  • @jaylazorschannel5681
    @jaylazorschannel5681 10 месяцев назад +50

    Mwijaku is a good Actor😂😂😂

  • @saidseleman2829
    @saidseleman2829 10 месяцев назад +95

    Jaman na mm sija chelewa sana kipindi cha leo nipeni like zangu

    • @makenaOG
      @makenaOG 10 месяцев назад +1

      Kwani ulikuwa umetupa tukuekee hizo "like" unazodai

    • @saidseleman2829
      @saidseleman2829 10 месяцев назад +2

      @@makenaOG Watakao towa watatowa Kam we unaona vp kausha

    • @makenaOG
      @makenaOG 10 месяцев назад +1

      @@saidseleman2829 basi twambieni mwazifanyia nini coz kila mmoja "nipeni likes zangu"

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu 10 месяцев назад +1

      yaani mwanaume unaomba like hata aibu huna ?
      like unazipeleka wapi kenge wewe ?
      acha ushamba 😏

    • @adamsegeja875
      @adamsegeja875 10 месяцев назад

      @@makenaOG nambiee my

  • @godloveemanuel1417
    @godloveemanuel1417 10 месяцев назад +34

    😂😂😂 Mdada yuko vizur alafu pia mzuri na sauti nzuri

  • @abbashussein-hz4dr
    @abbashussein-hz4dr 10 месяцев назад +48

    Yote tisa huyu dada anajua kuigiza bongo movie wamuone jamani😂😂😂😂

  • @SaidHamisi-ng4pv
    @SaidHamisi-ng4pv 2 месяца назад +1

    Motown mwambie mwijaku apunguz ujinga anaoufanya kwawatoto wakike .naitwa saidi hamissi from rwanda

  • @ziadamauwa4196
    @ziadamauwa4196 10 месяцев назад +17

    Mwijaku kalamba maziwa ya papa 😂😂😂😂😂

  • @way9tv821
    @way9tv821 10 месяцев назад +79

    Kama na wew umegundua motown Sanya kashindwa kuwa serious kwa mwijaku gonga like tujuanee😂😂😂😂😂😂

    • @mnyamwezijuma1140
      @mnyamwezijuma1140 10 месяцев назад +2

      😅

    • @user-py6mn1uq7z
      @user-py6mn1uq7z 10 месяцев назад +6

      Tatizo mwijaku ana chamba sana ndo maana Motown sanya akawa hayupo serious

    • @hassansaul7098
      @hassansaul7098 10 месяцев назад +2

      Mzee kwa mwijaku ni muongeaji sana Kisha ni mtangazaji anauzowefu sana, anaemuwez ni Babalevo tu😅, wa

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu 10 месяцев назад +2

      like unazipeleka wapi kenge wewe ?
      acha ushamba 😏

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 10 месяцев назад +25

    Mwijaku shehe wa mchongo😂😂😂😂

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 10 месяцев назад +3

      Eti yeye hawezi kuonana na nguo ya uchi lakini hao anaohangaika nao ni uchi mtupu

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 10 месяцев назад +35

    Maisha ya mwijaku huyu bhana, ni kama wavuta bangi kabisa!

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 10 месяцев назад +27

    Ahahahhahaahha hatimayee kapatikana😂😂😂😂😂😂😂😂
    Alafu dada mrembooo check miguu yake🔥🔥🔥🔥

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 10 месяцев назад +5

    Mwijaku anaogopa msimuache peke yake. Acje akaolewa. 😂😂😂😂😂

  • @Officialkeeler
    @Officialkeeler 10 месяцев назад +4

    😂😂 huyu jamaa leo kanichekesha kuliko siku zote dah Mwijaku

  • @buoliofficial
    @buoliofficial 10 месяцев назад +12

    Mwijaku unapenda kufunga dah😢😢😢😢😢

  • @neemajob2905
    @neemajob2905 10 месяцев назад +5

    Mamae leo mwijaku kapatikana

  • @Igweezysirleem
    @Igweezysirleem 10 месяцев назад +8

    Mko vizuri kuigiza jama mpo serious kama kweli vile😂😂😂😂

  • @nextchapterpro
    @nextchapterpro 10 месяцев назад +6

    AAahahahaah Mwijaku ni Profesa! apewe maua yake

  • @shaababy2570
    @shaababy2570 10 месяцев назад +9

    Mwijaku kasema hawezi, kumuanglia sababu hjajistir 😂😂😂ikabid avue miwani

  • @williamnsonda2070
    @williamnsonda2070 10 месяцев назад +10

    dada mzuri huyu kuliko mkeo mwinjaku,sema unafanya vizuri kweli kumsifia mkeo

  • @dannykatahunga5452
    @dannykatahunga5452 10 месяцев назад +11

    Kwakweli Sanya nakubali mwijaku umemuweza kabisa😂

  • @user-qs7lj7kj1k
    @user-qs7lj7kj1k 10 месяцев назад +6

    Demu anajua 😂 ira na mwijaku yuko vizuri kujitetea

  • @nicolausmapunda9470
    @nicolausmapunda9470 10 месяцев назад +4

    Hahahqh mwijaku fara kweli hapa nina nini 😂😂😂😂😂😂😂

  • @meditation5min
    @meditation5min 10 месяцев назад +7

    Mzeee Barton anapenda sana Polisi asee 😅😅😅

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 10 месяцев назад +12

    Dada anasauti nzuri nimeipenda shogaangu 😊

  • @giddie_barnabas
    @giddie_barnabas 10 месяцев назад +6

    Oya saiv unaua sana hii imeenda kwa ukubwa mno😂😂😂

  • @Mazembenakushe
    @Mazembenakushe 10 месяцев назад +14

    😅😅😅😅😂😂😂😂😂mwijaku kalamba maziwa ya papa

  • @mnyamwezijuma1140
    @mnyamwezijuma1140 10 месяцев назад +8

    😂😂Sanya alivyo chungulia simu ya mwijaku sasa😂😂😂

  • @shabanibosss9151
    @shabanibosss9151 10 месяцев назад +12

    Hivi ni kweli nimeipenda sana uwaga naalia anytime

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 10 месяцев назад +4

    Mwijaku hapo hata kama unachepuka mkewako hawezi amini lazima ajue uko pekeyako 😅😅😅😅😂😂😂

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 10 месяцев назад +11

    Nipeni izo like za kumuwahi sanya jaman

  • @yazidusaidi8843
    @yazidusaidi8843 10 месяцев назад +16

    Nataka nikutie ndani, namtia ndani, nataka nimtie ndani, watu kama wewe wanatakiwa watiwe ndani😀😃😁😆

  • @felicianboss6953
    @felicianboss6953 10 месяцев назад +7

    😂😂😂😂ule msemo wa diamond umeingia cha kike 😂😂😂😅mwijaku nae kashaingia°°°🤣

  • @shabaniddy9967
    @shabaniddy9967 10 месяцев назад +5

    Interview ni Ile TU Moja ambayo mwijaku kwa mara ya kwanza kufanya exclusive na wasafi but hii interview sio hit kama Ile

  • @sein.208
    @sein.208 10 месяцев назад +19

    Masha Allah
    Kaka anajielewa sana Mwjk Allah akuongoze zaidi

  • @ibrahimsaid4263
    @ibrahimsaid4263 10 месяцев назад +2

    Na pochi lako la bei rahic😂😂😂😂 mwijaku ❤❤❤❤❤

  • @mishikalama5448
    @mishikalama5448 10 месяцев назад +4

    Kidole na jicho mwijaku😂😂😂😂

  • @giftlema9478
    @giftlema9478 10 месяцев назад +2

    Kwl Content ya Leo mmekwama Wakuu Gar wakat mwanzo wakufungua Kipind Mo_town hamkuwona Gar ilo gar la mwijaku kule mwisho mkatoa Mmechomaa hii 😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @mrwadata34
    @mrwadata34 10 месяцев назад +10

    Wakuanza leo yani mwijaku 😂😂😂😂

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba591 10 месяцев назад +2

    Alivo wahi simu kupigia police na kanzu yakooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌

  • @Bongo.255
    @Bongo.255 10 месяцев назад +4

    Talented Sanya

  • @kibetyegon6281
    @kibetyegon6281 10 месяцев назад +4

    Dads hapa ameweza kuigiza ameweza

  • @sampachino5184
    @sampachino5184 10 месяцев назад +11

    Dada apo unatakiwa ujiengeze ndio ushajulikana usipoyeze nafasi iyo ❤❤❤

    • @user-em3uf8wz6r
      @user-em3uf8wz6r 10 месяцев назад

      Ahahhahaa

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 10 месяцев назад +2

      Hivi kujulikana kunakusaidia nini?,Kutaka umaarufu Dunia lkn mbinguni hamna anae kujua inasaidia nn?

  • @MwitaJohn-rt4hu
    @MwitaJohn-rt4hu 10 месяцев назад +3

    hongera kwa kipindi umetengeneza vizur

  • @eng.hamisim.maliki9133
    @eng.hamisim.maliki9133 10 месяцев назад +3

    Sikuhz uhalisia unapungua inaonyesha kabisa kuwa mnaigiza na watu wanapangwa..uhalisia unaanza kupotea

  • @nadildylan6124
    @nadildylan6124 10 месяцев назад +2

    sikuwahi kujua mwijaku uko smart sanaa

  • @mussamc641
    @mussamc641 10 месяцев назад +4

    Tulokua hatuna kaz kumbe ndo tunafatilia .maana kipind kipo siku zote. Iweje mwinjaku asishtuke au hafuatilii haya mambo.

  • @khadijarashidy9304
    @khadijarashidy9304 10 месяцев назад +2

    😂😂😂😂Ety hapa nina Alama gan mwijaku bhna huyu dada anajua kuigiza kuliko fahima

  • @benymathew4277
    @benymathew4277 10 месяцев назад +8

    Siku hizi mnaigiza tu. Mo!! Binafsi siku hizi sioni kama kitu kipo ni serious. Naona mnapanga kwanza

    • @palistrofruly
      @palistrofruly 9 месяцев назад

      M mwenyewe siwaamini ni scripted hii kabsa

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 10 месяцев назад +3

    Mwijaku amekiri kweli amekamatika😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ziadamauwa4196
    @ziadamauwa4196 10 месяцев назад +31

    Nikuwa naisubiri kwa makini sana 😂😂🥹

  • @saudalilingani9264
    @saudalilingani9264 10 месяцев назад +1

    Loool Mwijakuuuu pole sana, Leo umepatikanaaa

  • @agathaabogast4598
    @agathaabogast4598 10 месяцев назад +7

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka sana nyie mwijaku kapatikana

    • @athumanfuko199
      @athumanfuko199 10 месяцев назад

      Amekazaaa mwishoo kaingia cha kike yani wakitikiswa kidogo wanakimbilia polisi😂😂😂😂

  • @yousouph8792
    @yousouph8792 10 месяцев назад +1

    Aisee mwijaku anafurahisha eti vidume sita dada anarekodi eti chagua hapoo🤣🤣🤣

  • @dicksonmwita9263
    @dicksonmwita9263 10 месяцев назад +13

    😂😂😂 Hapa Nina nini in mwijaku's voice 😂😂

  • @amisibilly5084
    @amisibilly5084 10 месяцев назад +3

    Nipeni namba ya uyo dada anajua kabisa

  • @Life_of_collin
    @Life_of_collin 10 месяцев назад +16

    This nigga mwijaku is a comedian ....this shit is funny asf 😂

  • @user-px3yf1mz7q
    @user-px3yf1mz7q 8 месяцев назад

    Daaaah mwijaku so bravo 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @nyotajules1732
    @nyotajules1732 10 месяцев назад

    Mwijaku leo kapatikana ni cheka nyiyeeeeee😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤niipenda sana

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida2437 10 месяцев назад +1

    Nimeipenda hiyo

  • @Nalitumpaboy-dm4tk
    @Nalitumpaboy-dm4tk 10 месяцев назад +3

    Mwijaku ana alphald ipo pale afu kelele nyingi kwa mondi mwenye Rolls

  • @JohnMahundi
    @JohnMahundi 10 месяцев назад +6

    Nice....!🎉

  • @agnestemu8382
    @agnestemu8382 10 месяцев назад +3

    😅😅😅😅😅😅😅 dada wa watu mzuri hv alafu mwijaku analeta mdm

  • @mcgb5725
    @mcgb5725 10 месяцев назад +3

    Hivi n kwel .Mo Town sanya. 🔥

  • @jafarykadinda6385
    @jafarykadinda6385 10 месяцев назад

    Aisee mo sanya ni 🔥🔥🔥

  • @madechambila6683
    @madechambila6683 10 месяцев назад +8

    HAHAAA MWIJAKU KAKAMATIKA HADI UNAKIMBILIA POLICE IMEKULA KWAKO

  • @deluxwoiso999
    @deluxwoiso999 10 месяцев назад

    Noma sanaa

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul3212 10 месяцев назад +18

    Dada yuko vizurii hebu Juwa kalii na Huba" wamuangaliee😂😂😂🙌 vipaji vipo vya serious kweli, Mwijaku kaingia cha kike" Sanya fanya nyengine tafuta mtoto umpeleke kwa Baba Levo Ajifanye ni mtoto wakee alimzaa nje ya ndoa kisha mtoto Akaze nakulia😂😂😂😂

  • @shacool9627
    @shacool9627 10 месяцев назад +5

    kumbe alama ni muhimu kiasi iko😂

  • @shabanibosss9151
    @shabanibosss9151 10 месяцев назад +4

    Mwijaku ni pumbe sana ni mwanaume Asiejielewa 😂😂

  • @danielimeshack3712
    @danielimeshack3712 10 месяцев назад +5

    😆😂😂😆😆 mamae chezea mwanamke wewe hatari sana

  • @SilasOwino-gc1gp
    @SilasOwino-gc1gp 5 дней назад

    Umeharibiwa jina take the action

  • @mashiassenga8849
    @mashiassenga8849 10 месяцев назад +4

    Kubali umepatikana 😂😂😂😂😂

  • @Estherbongo
    @Estherbongo 10 месяцев назад

    Duh hi Dunia amakwel yani police anatak kumwek ndani mtu bila hata kumsikiluz kisa anajua n police, mama yangu SAMIA ANGALIA HII, KISA STAR ANAJUAN N POLICE BAS MTU ATIWE NDAN NA DIFENDA KWANN ASIJ NA GAR KAWAIDA MMMMH

  • @emmanuelmasabo8194
    @emmanuelmasabo8194 8 месяцев назад

    Huo mbichwa kwenye t-shirt😂😂😂😂

  • @coolson2925
    @coolson2925 5 месяцев назад

    hao macamera man wametisha wanatia chumvi hatariiiii😹😹😹😹😹😹

  • @mwitaryoba2407
    @mwitaryoba2407 10 месяцев назад

    Hich kipindi kipo kwenye tv ikabidi niifatilie kwenye RUclips

  • @arushalivetv4021
    @arushalivetv4021 10 месяцев назад +2

    Huyo dada mzuri kinoma daah

  • @adamelly6051
    @adamelly6051 10 месяцев назад +8

    Hahahhaha mwijaku ako smart sana anajielewa

  • @dannykatahunga5452
    @dannykatahunga5452 10 месяцев назад +4

    Napochilako la bei raisi meijaku weeeeee😂😂😂😂😂😂😂

  • @EddieCyrano
    @EddieCyrano 2 месяца назад

    Noma

  • @RosetteMaarachi
    @RosetteMaarachi 9 дней назад

    Na irudiya Mara mbilimbi😂😂😂😂😂âme naswa leo

  • @gimdatdee1812
    @gimdatdee1812 10 месяцев назад +5

    so creative 😅😅🤣🤣

  • @abdallahsharif426
    @abdallahsharif426 24 дня назад

    Jamani huyo mwijaku katoka makka juzi hawezi fanya kitu kama hicho.....

  • @giddyyunky7025
    @giddyyunky7025 8 месяцев назад

    Hahahahaha mwijakuu DC umepowaaa umaepatkaa

  • @sedrickmwimbi4089
    @sedrickmwimbi4089 10 месяцев назад +5

    Iyi Una weza ila tuna subiriya wewe na boss wako Diamond

  • @LizoCambiasso
    @LizoCambiasso 9 месяцев назад

    Acheni kutuectia iyo gari aliyokuja nayo uyo Mwijaku si ndo ile iliyokuwa inaonekana kwa mbali kule nyuma...wakati iyo gari ya uyo demu inaondoka iyo gari ya Mwijaku inaonekana kulee...stori zenu za kutunga

  • @lelaiddy6856
    @lelaiddy6856 10 месяцев назад +2

    Mwijaku leo umekamatika..na hujashtuka

  • @FatimaFatima-xu2ff
    @FatimaFatima-xu2ff 10 месяцев назад +2

    Mwijaku itabidi utuambie una nn apo😂😂

  • @uwizeyimanazuwena825
    @uwizeyimanazuwena825 10 месяцев назад +3

    Mwijaku eti hapa nina nini 😀😀😀😀mbavu zangu mieee 😂😂😂

  • @user-sv6zy3hc8o
    @user-sv6zy3hc8o 10 месяцев назад +1

    Kumbukaaaaa mwenzio kapatikan sasa kwaushauri njo na Masha tu

  • @tobiasjuma395
    @tobiasjuma395 10 месяцев назад +1

    Hii nimeipenda baba😂😂

  • @clevermngao7565
    @clevermngao7565 10 месяцев назад +7

    Napenda sana kipindi chenu! Nimecheka sana 😅😅😂

  • @kibombi
    @kibombi 10 месяцев назад +2

    Sophia anajua kuigiza

  • @EdisonGodwin-lb7il
    @EdisonGodwin-lb7il 10 месяцев назад +1

    Mwijaku ehee kanasaaa

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 Месяц назад

    😂😂😂❤❤❤ mwijaku mtu WA Dini hawezi

  • @rizikiabdalla2501
    @rizikiabdalla2501 10 месяцев назад +1

    Mwijakuuu hivooo unavyoo sema utamtia ndani utazani kituo cha polisi unakimiloki ww heee umuwekee miezi mitatu kauwa heeee

  • @HusseinBig-do3bd
    @HusseinBig-do3bd 10 месяцев назад +1

    Sem hii ijawa serious San ikiwa kwak ndo ikitisha San Mo,