ZOGO LA MASHA LOVE BAADA YA DALALI KUVAMIA NYUMBANI KWAKE NA MTEJA MPYA | HIVI NI KWELI
HTML-код
- Опубликовано: 3 июл 2023
- ZOGO LA MASHA LOVE BAADA YA DALALI KUVAMIA NYUMBANI KWAKE NA MTEJA MPYA | HIVI NI KWELI
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm Развлечения
Oya wadau,hii show imenitoa machozi.Masha ni chizi kinyama😂😂😂😂❤️❤️❤️
😏😏😏😏🤣🤣😂 wakusoma comments tujuane
Masha love analea wadada wenye mimba hongera sana
Du Moo uko juu nimeipenda hii keep up the good job Man
Huyo dalali ungempga na kitu kizito ....ungemuacha aingie ndani anamuonesha mpangaji unafanya yako.......umempenda sana kumfukuzia mlangoni ..Masha ❤
Masha big up mwanangu yani nimekubali sio kw timbwili hili umetisha kinoma mwanangu one love wanawake lazima tuwe ngangar tusikae kinyonge
This is what we call live show..❤
😂😂😂😂Aiseee masha hapo kweli wamekuweza dahhh
Naic wangekuacha kidiho tuu ungemgawanyisha kichwa mtu
Aliemuona mond ukutani kwa masha love tujuane😀
Tuko hapa
Pia me nimeona
😂😂😂
🙌🙌🙌🙌
🎉😂😂
Pole sana Masha umepatikana
ah unaweza kaka 🙌🙌🙌
Santa Ana anamuoneaga sanaaa mashalove
Kumbe na wew Star
Wangapi tunasubiria party 2 😅😅
Gonga like apo😊
Kumbe ni prank 😂😂😂😂
Masha 😄🙌🙌🙌🙌nampenda
Dalali ameweza sanaaaaaaaa big up
MO,NAKUFUATILIA KUTOKA KENYA, SHOW NI KALI VILE TUNAPENDA,,MAMA ANAITAKA NA BABA ANAITAKA PIA👍👍
Hujui ww masha ajui😅
Si sawa
Masha love utamfukuza kazi dada wa kazi mwenye mimba au muache ajifungue kwanza 😅😅😅😅😅
Bigap kwa mo kwakuweza kumuzuia maana mwanaume ni mwanaume tu bhana duuh😮❤
Eti, nikwambie kitu😂😂 niambiee😂😂
Mmmmmmmmmmmhhh!!! Mo hii ha leo mliipanga na Masha alikuwa anajua coz cjaona uhalisia wowote!!!!! Leo mmetupiga na kitu kizito
Siokweli
Apa paa varangati nimeparudia zaidi ya mara 1000 masha wewe umewezwa leo😂😂😂😂😂😂😂
Nilikuwa nilisha fahamu,because when she wanted to call landlord the man in a white shirt was refusing
Nasikia asilaaaaaaaaa😂😂😂
Akiamka Cha kwanza anapiga mswaki 😂😂😂😂dahh sio kumshukuru mungu Kwa kuamka salama 🙌
Amen 🙏🏼🙏🏼
🤣😅
Khaaaaa Yan wew huna Akili wew,,
We unajuaje km hasemi au kwakua ajaongea hapo,wew unamshukuru Mungu
😂😂😂😂
Masha nikamachine chavita wallah😅😅😅
Ila Masha mzurii
Saaana
Sanya umetisha
Umepatikana leo ....
🔥🔥🔥
Mtakuja Mtiane Presha Mnatangaza hasara Na hizo challenge zenu Mnazo waletea watu 😂😂😂😢😢
Nakipenda iki kipindi saaana ❤
Crietivity 💯🙌🙌🙌
🔥
Pole dada
Kajiona mjingaa😅.. nipen like
Wanapangana hawa before…. Hizi ni movie tu yani attention ya Masha inaonesha tu tayari alishapangwa hamna live bongo…. Ila kazi nzuri mmefanikiwa kuteka attention ya mashabiki👍👍👍
We nae mpaka useme si tuache tu enjoy ??😂😂😂😂😂
Hajapangwa mtu apo
Haswa atamim nilipenda sana hile ya Zuweena Yule jama alivo mzungumzia halafu akatokea apoapo nilicheka ilesijawaii kucheka 😂😅😅
Yani mbali na usanii wake,Masha sio mzima kiakili.Hyo nimwanamke alietoa fahamu kwenye maisha yke.Uongo mwingi kujikweza kwingi,kujipraudi yy.
100% kabisa
masha sema woyoo 😂😅
Kuna dada wa watu alikuwa afukuzwe kazii 😂😂
Dalali anataka sifa nanyi wapangaji waangalieni Sana madalali atawagombanisha
❤❤❤❤ata mimi nikiona nikipindi ulipo mupokonya simu masha 😅😅😅😅😅asimu call mwenye nyumba
Masha ana ruka kama mkizi. 😂😂😂
mo kipindi kizuri ila uyakuja umiza mtu kweli 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
We mooo nakupenda kweli
MOTOWN unatisha more creativity everyday haya BANDA LA VIDEO wajifunze kitu
Nyie mna gombana mondi ana mwangalieni apo🤣🤣
Mbona anaogopa sana kumuangalia sanya😂😂😂😂
Anampendaga🤣🤣🤣
😀😀😀anampenda
Masha love full ugwadu mix upwiru dadeki anafujo kama mpiga debe
Mashalove , nikiwa rais wa nchi hii nakupa wizara
😂😂😂acha ujinga basi faza faka
Part 2 pliz😂😂😂😂😂
Mwananguu moooo wewe nihatariii sanaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ame wakaaaaaaa 😂😂😂
😂😂😂😂 sijui nimepatia
Huyo dalali amekosea nyumba ina mtu alafu unataka kuingia ndani kwanza hata kusalimia hata kama nyumba yake lazamaishima iwapo jamani nimekuja sasa huyu kalipa na wewe ni vipi mnaeleweshana lakini wewe unaingia tu alafu unataka uende chumbani hujui nani yupo hupo chumbani
Wewe nitakufukuza kazi, boss hahahaaaa
ngoja nichukue cm nimpigie polisi
Hahaha hii ndio show kali sana ya mwez
Afu Mo asha mzagamua masha 🤣
Hamwangalii uson kabsa 😂kwny interview
😃😃😃😃😃banda la video wajipange😀😀😀😀😃
Niko tim masha love ktk hili,nimeumia sana
😂 eti naskia hasiraaaaaa 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 mwijaku kakimbia watu wanawahi police mapema 😂😂😂😂😂
Masha Kimemramba😂😂😂😂😂
Masha baada ya kugombana unamuona kabisa anamuwaza kwenda kugombana nao😅😅😅😅😅
Huuu mchezoo nomaaa
Nakubali sana kipindi hiki
Make kwanza ncheke😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 nimeipenda
Masha anawafuga wasichana wa biashara jamani😢
We ujuwi maisha ya mjini sio anawafuga anawapa hifadhi
Nyumba zakupanga duuu nizawu sana lawama . Munajishebeduwa mjini kumbe mnaishi maisha yazarawu hivo ? Duu mujenge ili musiendeleye kuzalilishwa
😅😅😅😅😅nilichukia mlivyomshika nilitaka amng'ate mtu😅😅😅
Kama ni ivo bac kuna nyumba za kukosea ila co ya masha yan hapo nikama ubalozi wa marekan io shengesha yake dah😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Duh kama na jiona
Masha katetemeka 😄😃
Masha kapatikana nishawayi kutumika kila kitu apa duniani 😂😂😂😂
Subhanallah madarari muwe nahuruma basi 😢😢
Jamanii😂
😄 🤣 😂 😆 😄 mmeweza
Mmh na hao ambao wamevaa shati tu 😂😂😂😂
Dalali ni mjinga hana nidhamu, Nasikia hasira ninunue kesi💪
Wajinga waandaa kipindi
@@khamismasms6095 kumbe wanacheza na hisia zetu wajinga Hawa.
Inaonekana masha anadaiwa kodi 😂😂😂
Masha Leo wamekuchemsha
Naskiaa hasiraaaaaaaaaaaaaaaaaah 😀😆😆😆
Wazee twenzetu kwa nagwa….😊
Mashaa kapatikana 😂😂😂😂
Prank 🔥🔥🔥😂😂jau
😅😅😅😅 nipepatikana na ujanja wangu wote......😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 MO... much respect 🫡
Hivi ni kweli huwa hawajui au mnatuigizia
Masha 😂😂🥰
Check km kiboko 😂😂😂
Kwani watu hawajiongezi kula siku ukimuona Mo town ujue ni plank p
Kumbe Masha anaona ayibu kwasababu ya Montana 😅😅😅😅daaah
😅😅😅😅Umeona kama mimi😅
Masha kazur
😂😂😂😂 ila mwijaku n nyokoo
Masha hawezi kumuangalia mwana Usoni ahahahaha
Mashaaaaaa😂😂😂