Ndaro, Steve Mweusi walivyoondoka na kijiji chao - Uzinduzi CHEKA Plus TV
HTML-код
- Опубликовано: 14 май 2024
- UZINDIZI WA @chekaplustv CH 414: Huyu hapa @ndaro__ aliyeamua kuondoka na mbavu za watu usiku kwenye uzinduzi wa chaneli mpya ya Cheka Plus TV inayopatikana kwenye #AzamTV pekee kwa kifurushi cha shilingi 17,000/= tu mwezi au 6,000/= kwa wiki.
Uzinduzi ulikuwa LIVE muda mfupi uliopita kupitia #UTV108 @utvtz
#ChekaTu #ChekaTu414 #ChekaTuPlus
Asante sana ndugu yangu
Hongereni sana Steve na Ndaro mko vizuri sana
Hiyo ajiieni mc trick ❤❤❤ Kenya to the world 🌍🌎🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪#yobramgenge
Wako chini hawa
Wako chini hawa hii ni money laundering 😅
KUBWA SANA HII, AZAM KWA WOTE
Alitisha said said
Azam tv on top 🔥🔥🔥
😢SOUND PRODUCTION MBOVUUUU
From kajiado 🇰🇪🇰🇪
Vraiment nibien sana stive nakukumbali sana
Nakubali chal wangu
Leonardo tu ndy anajua kuchekesha kuliko
Eliud unamuach wap
Kuna MC eliudi ww
Upo saaii
Hassani
Leooo umetumika ukongweeee
Yeees
Tunaomba mtuwekee na ile ya Chad Talent
❤
💥💥💥💥💥💥
Jamani hivi mnamuona poshy anavompiga kijicho mwana fa hapo......???? kheeee
Kumbe na ww umeona hapo amna Mwanamke Bali anajali maslah
Nashukuru nimepata wambea wenzangu😂
Hahaa
Bado kwa Stand Up Comedy TZ mko chini sanaaa
wapo,
Aziz ki anaelewa kweli
Aziz umekuja Hadi uku😅😅😅
❤
Kamtambulisha mwanae
Steve ni balaa
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲
😂😂😂 Steve kwamba huyo baba ni mbwa
Wabebesha kombe 😂😂😂😂😂😂😂 Stephanie
Aziz ki
Hill wotee oyeeeee
Ila nlchogundua watu weny Hela wepec kucheka😂
Nimependa ya ally kamwe mdomo uo usinifukuzie mteja wangu
Pamojasana ndalo nasitivu
😂😂😂
Ndaro najiuliza hao watu wanacheka nini
Comedy sio sehemu yako usifoce kufanana
Na pia usichukizwe na kinachowapa faraja wengine.
@@narrosmohammed169jibu zuri sana ndugu♥️
Kwani lazima wewe ucheke
Ww ulitak wachek nn
Ucheke mikopo uachie nani broo
😂😂😂 meniuwa mbav aiseh
Unayuwa
Stev simpingi
😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅
harmonize mke huna anampiga mwana FA jicho 😂😂😂😂
hhh😂
Steve kauwa
😂😂😂😂
Pia nashangaa wanacheka nn
Poshi ach kumuanglia mh FA😂🙌
Nilikua naitafuta hii comment 😂😂
Jicho la Posh Mmh
Kuogaa
Hamna kitu huyu jamaa
ulienacho sasa hicho kitu ukowap
Fany ww tukuone
@@shadracknyese3307😂😂😂😂😂 bola umemjibu
Umekuja na mastress yako ya kupiga vizinga unategemea ucheke