SIMPENDI H BABA/NIKIKUTANA NAYE NAMZIBUA/HANA LOLOTE - (MARA PAAP WAKAKUTANA😂😂🙌🏾)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • SIMPENDI H BABA/NIKIKUTANA NAYE NAMZIBUA/HANA LOLOTE - (MARA PAAP WAKAKUTANA😂😂🙌🏾)
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 923

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge9071 2 года назад +92

    Wooooyoooooooo team Baba Levo tujuane🤣🤣hata mm nitachagua Baba Levo ili nicheke vituko vyake

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 2 года назад +25

    H.baba nafikiri Chama Letu la Wasafi wampe Kitengo cha Utangazaji sababu amechangamsha sana Kipindi cha Hivi ni Kweli. Wasafi for Life Baby.

  • @jordaniemusangwa1154
    @jordaniemusangwa1154 2 года назад +10

    Moyo wangu hunafuraishwa sana na h baba kuwa w.c.b afu ana anaonesha lav ya kweli 🥰👌👋👋

  • @captenndunga6745
    @captenndunga6745 2 года назад +11

    Huyo jamaa mwemye tishet nyekundu ana tamaa sana...

  • @Max-kl8hv
    @Max-kl8hv 2 года назад +14

    Wapi like za h Baba🤣🤣🤣🤣🕺🕺Mimi nakupenda Sana H Baba watching from 🇰🇪 Kenya

    • @Kingtiger98
      @Kingtiger98 2 года назад

      Gry ruclips.net/video/HLqvhu8vj98/видео.html

  • @reganclarence4657
    @reganclarence4657 2 года назад +3

    H. Baba umepiga mia yya mia kamatia umeua.....oyeeeeee H.dangote.🙌🙌🙌🙌

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 2 года назад +25

    Baba wa blue Tshirt leo anaenda kuwaambia wanawe n wajukuu kua kaonana na Diamond Platinumz Simba 🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂

  • @bongelabwana7523
    @bongelabwana7523 2 года назад +30

    Hiki kipindi nomaaa sana 🙌💥💥 nimechekaa mpaka nimelia 😂😂😂😂😂 hahahh hahahaha hahahh hahahaha 😂😂🙌💥🙌💥🙌💥💥😂

  • @agakibelden
    @agakibelden 2 года назад +5

    From 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪🇰🇪Kenya
    Motown sanya unyamwezi mwingi in the building
    Mambo freshi barida

  • @jastinsimon5677
    @jastinsimon5677 2 года назад +26

    H. Baba now una trend very proud

  • @malimindilla3564
    @malimindilla3564 2 года назад +6

    Napenda sana vpindi kama hivi kwani zinanifanya kusahau ugumu wa maisha, love kwako mwandaaji

  • @pollarlaizzer143
    @pollarlaizzer143 2 года назад +7

    Ebu nipe kwanza mkono ulinioteaje yani umeniotea chifu🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @daudpius130
    @daudpius130 2 года назад +5

    H baba unaroho nzuri sana ubalikiwe kwa moyo wako huo ila usipende kujiita majina ambayo sio yako

    • @batulimabewa6953
      @batulimabewa6953 2 года назад

      Badala awatambulishe watu jina lake anamfagilia Mond

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 года назад +8

    Huyu jamaa wa mwisho daa mhh. Mtihani sana

  • @jn_mustonez7842
    @jn_mustonez7842 2 года назад +4

    Leo h'baba amepata niaje, sema fresh jamaa alitaka kuendekeza njaa

  • @simbawatown2729
    @simbawatown2729 2 года назад +22

    Mungu anawaona yaaani Mzee wa watu mnamuimbisha kweli🤣🤣🤣🤣🤣 pesa mwanaharamu

  • @azaniayoub6971
    @azaniayoub6971 2 года назад +7

    You are kind man.... Hakuna hivi ni kweli zaid ya hii mo hujai fanya hivi ni kwel kam hii... More bless H baba😍🙏

  • @givembwilo8486
    @givembwilo8486 2 года назад +8

    waliotisha leo ni yule wa kwanza kuhojiwa na jamaa alievaa nyekundu katumia fursa vizuri mno🤣😂

  • @Conshamusic
    @Conshamusic 2 года назад +8

    Dah! Eti huyu jamaa mchonganishi😂😂😂mchizi wa mwanzo katingwa sana

  • @hamedatanzani6
    @hamedatanzani6 2 года назад +6

    Baba kajua kujiongeza haamini kama anarudi home na ugali dah maisha haya🤣🤣🤣🤣

  • @allanaluma20
    @allanaluma20 2 года назад +15

    much love H. Baba....u made my day
    I am Allan doing University in Zimbabwe but Origin Tanzania. One love for Country

  • @mozespatinam9296
    @mozespatinam9296 2 года назад +15

    H baba hatareee sanaaaa you kill it🔥🔥🔥💪💯

  • @emmanuelibrahim9138
    @emmanuelibrahim9138 2 года назад +8

    H'baba umetuwakilisha mwanza safi Sana umeuwa 😁🙏

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 2 года назад +10

    kaka h baba umeuwa kabisa
    imekuwa interview yamfano kabisa
    umetoa msaada mkubwa sana
    ongelen sana sana sana
    kwa uyu jamaa ambae halishiwa
    chakula cha nyumban kwake
    #AVATASTAR255 🎵👈👈👈👈🙏🇹🇿

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Год назад +6

    🤣🤣🤣🤣🤣 nilichojifunza kupitia hiki kipindi usimchukie mtu ambae hajawahi kukosea

  • @ibraimoselemane17ibraimo29
    @ibraimoselemane17ibraimo29 2 года назад +6

    H BABA estás de parabéns gostei de Show, sanya unyama nimwingi sana

  • @fatmabhai2812
    @fatmabhai2812 2 года назад +17

    Diamond batan, diamond paltam😂😂😂 diamond plantam. Maana apo kwanza ncheke🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @felicianboss6953
    @felicianboss6953 Год назад +1

    Huyo mkaka jaman amejigamba mpaka basi na H.baba 😂😂😂😂huyooo anataka amtext°°

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 2 года назад +22

    Baba levo fundi majumba💪😀🇹🇿.dogo wa mwanzo anamkukubali fundi majumba.

    • @captenndunga6745
      @captenndunga6745 2 года назад

      Huyo ni h baba sio baba levo.

    • @mahmoudaziz4717
      @mahmoudaziz4717 2 года назад

      @@captenndunga6745 nilimanisha jamaa wa mwanzo anamkubali baba levo.

    • @captenndunga6745
      @captenndunga6745 2 года назад +1

      @@mahmoudaziz4717 poa nilikua sijakuelewa ndugu yangu.

    • @mahmoudaziz4717
      @mahmoudaziz4717 2 года назад

      @@captenndunga6745 poa ndugu

  • @solangebagal3496
    @solangebagal3496 2 года назад

    Ya Allah ukosefu una tufanya wakati moja ma comedian kwa Ku omba rizki

  • @JUSTWANGUI
    @JUSTWANGUI 2 года назад +20

    The guy in blue is so clueless it's too crazy 🤣🤣🤣🤣🤣🤣na Ako dar jameni ata mamangu kijijini anajua bongo music kama zote

  • @aminijuma9627
    @aminijuma9627 2 года назад +6

    Tatzo tamaa msengee ww mala unga mala kodi ya nyumba utaolewa msenge wewe🤣🤣

  • @lazalonzo4607
    @lazalonzo4607 2 года назад +4

    Show ya kinyama sanaaa nimependa H BABA He’s a good actor

  • @Ericoh..467
    @Ericoh..467 2 года назад +5

    Yaani kuna watu Tanzania hawajui diamond😂😂😂😂

    • @peterkondo9889
      @peterkondo9889 2 года назад

      Tanzania mbali Daresalam Yan mtu upo dar alafu mond humjui dar

  • @bahatimtatah5680
    @bahatimtatah5680 2 года назад +4

    Nimecheka hatari ...eti msifie ngoma yako nzuri😄😄😄😂😂

  • @sharifashaibu4051
    @sharifashaibu4051 2 года назад +2

    Huyo jamaa mwenye t shirt nyekundu aliamua kutumia fursa vzur 🤣🤣

  • @pilimwanza8117
    @pilimwanza8117 2 года назад +3

    Loh unamkunja mtu kisa kakuponda. Haaa mimi ndio ningefuguka kabisa kuwa sikupendiiiii😅

  • @makokoaizack2531
    @makokoaizack2531 2 года назад +20

    Daa nmelazimika kurudi Tena ku comment h baba na Sanya niwaambieni tu mapema mkishindwa shughuli mnazo fanya ingieni commedy yaan mna weza sana da nme checka Sana hasa scene ya h baba anaitwa huku na huko alaf pia kuruka kulipa vtu nyie watoto mtatoa watu rogo mjin big up Sana wanagu. Sanya nadhani umeona unaweza ukatumia watu wachache korotete kpnd na uka fanya poa Sana na hata usipo hoji weng h baba mmetishaa

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz4427 2 года назад +5

    Tunakupata sana Motown SONYA unyama sanaana kutoka Australia we love U brother 🙌

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 2 года назад +1

    Kama hupendwi hupendwi tu 😄😄 taja nyimbo yangu inatajwa na hamonize

  • @joyzach8820
    @joyzach8820 2 года назад +3

    🤣🤣🤣🤣🤣 uyu baba inamana amjui kweli mond jamani dhambi 🤣😂

  • @appolonation
    @appolonation 2 года назад

    WASAFI salama!! Eee kuna swala nataka kukwambi!! Ni tofauti na kipindi. Mimi naitwa Appolo Gideon kutoka Rwanda 🇷🇼. I am Blogger ! Kuna tatizo huku Mshindi Wa miss East Africa Miss Shanitha Paka saaa hajapewa Gari lake alilo shindia mwaka Jana !. Kama inawezekana Mina we mukawauliza walio anda. Mr RenaCallist . Asanteni.

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 2 года назад +4

    JAMAA KAWA MCHWA TENA, CHAKULA, MARA KODI...😃😀😁😂🤣💪

  • @azibossladykenny2455
    @azibossladykenny2455 2 года назад +2

    Nimechekaa uyo baba wanguo nyekundo yani anaomba vitu vingi mpak azinguw🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @shameemrashid5219
    @shameemrashid5219 2 года назад +17

    🤣🤣🤣🤣🤣huyu baba amenichekesha wa tishet blue

  • @thomasmartinez786
    @thomasmartinez786 2 года назад +1

    😃😃😃😃🔩ila watu wanashida mtaani sio poa jamaa kachemka anaomba mpaka kodi ya nyumba😃😃🙌

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 2 года назад +14

    Bongo sihami heshima kwako sananya 🔥 Fire you are unstoppable

    • @eliasmaspela6539
      @eliasmaspela6539 2 года назад

      Ina maana baba levo anukii ata kidogo🤣🤣🤣🤣

  • @youngsimba2054
    @youngsimba2054 2 года назад +1

    Daaaah hiyo maiki ya wasafi imekupendeza unafaa kuwa mtangazaji wa wasafi

  • @christianfelex5078
    @christianfelex5078 2 года назад +10

    Diamond platnam ame tishaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥✌️🤣🤣🤣

  • @Userog254
    @Userog254 2 года назад +1

    Huyu mwenye shati nyekundu anaomba mpk anakera, mkwewe anakazi hapa😄😄😄

  • @hagaimadonda9145
    @hagaimadonda9145 2 года назад +7

    Sema mo Town unatisha San na hii show yako.. Ulivokuw unamchongea dogo sas😁😁

  • @yassinmiraji2921
    @yassinmiraji2921 2 года назад +1

    Huyo Mzee kanichekesha sn eti Platinomu mara platamu d, ha ha haaaa.…!!!

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge9071 2 года назад +30

    Aisee kumbe kuna watu hawamfahamu Diamond 😄

    • @jordplatnumz
      @jordplatnumz 2 года назад

      Njoo inbox mama

    • @rasvegas8991
      @rasvegas8991 2 года назад

      Ht we kuna watu awakufaham nawapo ndanii ya ukoo wako tz nzima awez dili na mziki

    • @muwezahasani4017
      @muwezahasani4017 2 года назад

      Uongoo t kataniaa xio kwelii hamjuii diamond

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 2 года назад

      @@rasvegas8991 ni kweli hasa kama huna smartphone

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 2 года назад

      @@muwezahasani4017 inawezekana kweli hamjui

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 2 года назад +2

    et uyu jamaa mchonganishi nyie kweli binadamu wanabadilika 😂😂😂😂🙌🏻

  • @praxedaandrewkato7472
    @praxedaandrewkato7472 2 года назад +13

    Huyu boy iko na tamaaa they say buy for 10.000K.but still want to get food for 18000 K.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 2 года назад

    Eti na kodi ya nyumba muhimu 😀😃😄😁😆😅🤣😂 umeuwaaaaaaaaa

  • @salamasaid8983
    @salamasaid8983 2 года назад +7

    kodi ya nyumba muhimu😂😂😂😂😂

  • @Aswan-f8r
    @Aswan-f8r 6 месяцев назад +1

    If u are still watching 2024 like back much love from Kenya❤😂

  • @praxedaandrewkato7472
    @praxedaandrewkato7472 2 года назад +22

    This man doesn't know between who is diamond platnumz or H. Baba😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @jmkentertainment..8247
      @jmkentertainment..8247 2 года назад

      Fala sana huyu ashindwa na yule mtu aonekana chizi na yuajua huyu ni H baba yy akili yake timamu na hajui Diamond ni yupi na H baba ni yupi fala sana huyu

    • @strong8534
      @strong8534 Год назад

      Kwanini usiandike tu kiswahili kaka

    • @strong8534
      @strong8534 Год назад

      Kwanini usiandike tu kiswahili kaka

  • @khuzeimazubeir6673
    @khuzeimazubeir6673 2 года назад

    H baba na baba levo roho zenu ni safi kulko mwijaku

  • @shd12m55
    @shd12m55 2 года назад +8

    Uyo mwamba atupe raha ya ngoma moja na mond

  • @jordaniemusangwa1154
    @jordaniemusangwa1154 2 года назад

    H baba mnda si mrefu atakuwa maarufu tena sana apo ndo w.c.b bwana akuna sho ndogo hapo hongera sana h dangote

  • @Aswan-f8r
    @Aswan-f8r 6 месяцев назад +3

    Kama ungali unawatch hii video 2024gonga like😂

  • @bluechawa3492
    @bluechawa3492 2 года назад +2

    Me nimempenda uyo mzee wa tatu amekuwa kweli 😎

  • @josephluvanga5233
    @josephluvanga5233 2 года назад +4

    Jamaa kasema yeye amfahamu hbaba 🦁🦁😁😁😁😁😁

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 2 года назад +1

    Huyo mzee wa pili aliye vaa tisheti kanichekesha ki fala kweli 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nuraynmakoya803
    @nuraynmakoya803 2 года назад +4

    Baba wa tishet bluu mbavu zangu 😂🤣🤣🤣😅😅😅😅😅😅

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 2 года назад

      Hana lolote h.baba sasaivi alivyo ata sigida ana ila wasafi mashetani kweli🤣🤣🤣

    • @ashamohamed1461
      @ashamohamed1461 2 года назад +1

      6

  • @jayseven6011
    @jayseven6011 2 года назад

    N0maa kweli, leteni vipindi kama hivi mwanza piah, H baba pam0ja sana, cheka kid0g0 ni0ne wak0 mwanya, ulitisha sana kaka.

  • @shedrackmwaipopo219
    @shedrackmwaipopo219 2 года назад +4

    Kweli watu wanafiki 😂😂😂😂😂😂

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 2 года назад +2

    HAHAHAHA Uyu magazijuto mwenejina la hesabu aliyogundua pesa sikitoto aisee

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 2 года назад +2

    Binadamu wengi ni wanafki sana 😀😀😀😀😀

  • @edinamogela384
    @edinamogela384 2 года назад

    KIPINDI KIMEENDA POA NA MISAADA NDANI, SAFI WASAFI NA H BABA PIA.

  • @samiaarimkonekonko5096
    @samiaarimkonekonko5096 2 года назад +3

    Uyu kaka wamisho asipoangaria ataorewa yaani anatamaa atari😭😭

  • @beatriceleo660
    @beatriceleo660 2 года назад +2

    Kha yan upewe unga sabuni sukari...nauli et Kodi ya nyumba muhimu😂😂😂😂😂

  • @Tanzania_habari1
    @Tanzania_habari1 2 года назад +8

    Nimecheka Kisenge Yan🤣🤣🤣🙌🙌🙌

  • @rachelmuhehe7789
    @rachelmuhehe7789 Год назад

    Umekua na ujana umeshakukataa fanya tu maisha acha usela

  • @agakibelden
    @agakibelden 2 года назад +3

    Huyo H baba ni generous sana🤩🤩
    Let him continue being on top

  • @makokoaizack2531
    @makokoaizack2531 2 года назад +1

    Da jmn h baba kumbe bado kioaji Cha uigizaji hakija potea tangu kpnd Cha jully tax yaaan nme checka Sana kwa comedy zenu pia scene mlvyo z wena utazan zme pangwa kumbe n mmekutana nazo huko huko mtaandaa big up more town sanya watu wanna h baba toka Rock City mail kirumba tuna kusoma Sana pande hizi

  • @molomiraj809
    @molomiraj809 2 года назад +3

    Huyu baba kanifurahishi nyimbo za amapenzi😛😀😀😀

  • @salmaathman7634
    @salmaathman7634 2 года назад

    Hik kipind kinatoa stress maana unajikuta unacheka sometimes wana wanatia huruma jaman ila nimecheka sana big gup wasaf

  • @kelbertkiza8233
    @kelbertkiza8233 2 года назад +5

    Daaah nimecheka mpaka basi 😂😂😂

  • @AhmedSalah-wm6tq
    @AhmedSalah-wm6tq 2 года назад +2

    Daah jamaa kakuta nuksi sana hakuna mcheele

  • @dr.eliasm.chrisant4110
    @dr.eliasm.chrisant4110 2 года назад +3

    Nilichojifunza H Baba watu wengi hawamjui vizuri pamoja na mziki wake…. Japo anajina kubwa.

  • @nassoogdogojanja3756
    @nassoogdogojanja3756 2 года назад +2

    Dainon tatinami haaaa mzee anajuwa kusema diamond platinum 😂😂😂😂😂

  • @tee_3nes._
    @tee_3nes._ 2 года назад +11

    Uyu Mwamba wa Kodi😂😂😂😂😂

  • @tofaboy6549
    @tofaboy6549 2 года назад +1

    Serious nime enjoy sana sana Asanteni sana Kwa Kipindi kizuri

  • @shameemrashid5219
    @shameemrashid5219 2 года назад +4

    Huyu jamaa nyekundu haridhiki

  • @japhetlust5050
    @japhetlust5050 2 года назад +6

    Diamond 🤣🤣🤣 uluzipateje😄😄 wekamche

  • @mariyamsalalah8204
    @mariyamsalalah8204 2 года назад +6

    😂😂😂😂😂😂😂🏃🏃🏃🏃🏃🏃huyu jamaaa wa pili 😂😂😂😂😂😂

  • @princehamad4225
    @princehamad4225 Год назад

    Akuna kama motown sanya..miaka mia, H baba comedy sana

  • @nevers7561
    @nevers7561 2 года назад +6

    Mo town cukua ya baridi nakuja kulipa😂😂😂😂
    Inabidi nikafanyiw upasuwaji wa mbavu mana nimeceka adi naskia mbavu zina umaaa😂😂😂😂

    • @michaelmolato7008
      @michaelmolato7008 2 года назад

      Pole Yani wanachekesha kweli awa kama yule kaka wa Kwanza hafai kabisa anakigeugeu

  • @abuuyasirshaban9377
    @abuuyasirshaban9377 2 года назад +1

    Huyo jamaa arusha mkukii kweli hahaaa

  • @mjungatv8172
    @mjungatv8172 2 года назад +3

    Jamaa wakwanza kanifurahisha Sanaa😂😂😂🔥🔥🔥🙌

  • @bahaticometian7717
    @bahaticometian7717 2 года назад +1

    Hahahaha braza kodi ya nyumba"ulinioteajeee!""

  • @officialAlAbdul
    @officialAlAbdul 2 года назад +9

    Uzuri h baba anazingatia code anavyaa kinachompendeza

  • @owenjuniorkravecki7874
    @owenjuniorkravecki7874 2 года назад +14

    From New Zealand 🇳🇿, i am still learnig Swahili

  • @praxedaandrewkato7472
    @praxedaandrewkato7472 2 года назад +9

    Buying food for him and still carrying h. Baba diamond 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @lazalonzo4607
      @lazalonzo4607 2 года назад +1

      Still carrying or calling smh 🤦‍♂️

  • @nassoogdogojanja3756
    @nassoogdogojanja3756 2 года назад +2

    Ume nyonywa sasa H baba 😂😂

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 2 года назад +12

    H Baba & Baba Revo❤️❤️❤️❤️

  • @rehemalukali8326
    @rehemalukali8326 2 года назад +1

    Ila kuna watu wanazaririka kidgo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂