BALAA MC ANGECHOMWA MTU VISU, MAMA YANGU HIZI LAWAMA/ WE DEMU NAKUPIGA /HUTOKI HUMU NDANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 173

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 2 месяца назад +10

    Haaaaa😂 kweli muhuni ni muhuni jamn. Daaa mc balaa umeuwa aise hapa

  • @GoodluckAlex-vd6vc
    @GoodluckAlex-vd6vc 2 месяца назад +9

    Bangi ishachemka hapo kichwani😂😂

    • @yunyun799
      @yunyun799 2 месяца назад

      😂😂😂

  • @Topcentclassic
    @Topcentclassic 3 месяца назад +3

    huyo bibie alivyo serious dah ...hahahaha sema safi sana

  • @MohamediKalanje
    @MohamediKalanje 3 месяца назад +10

    Et angelala na mimi wiki nzima 😂😂😂

  • @KiduBoyJr.
    @KiduBoyJr. 2 месяца назад +3

    Yaani hapo kuna mtu kashaibiwa tayari usicheze na wahuni😂😂

  • @hirizonetz9558
    @hirizonetz9558 3 месяца назад +10

    Wahuni siyo watu wazuri atachinja mtu hapo😂😂

  • @kiddybrown7154
    @kiddybrown7154 2 месяца назад +1

    Na mna bahati mwanangu ana mwili mdogo lakini angekuwa mtu wa gyme,heehe 😂😂😂😂Namkubali sana mwanangu 🔥🔥🔥🤞

  • @kelvindendya3781
    @kelvindendya3781 3 месяца назад +7

    Kwanza angelala na mm wiki mzmaa😂😂😂

  • @kadito-kenya
    @kadito-kenya 2 месяца назад +4

    Kama kweli sanya anaunyama nipe like nimpelekee❤

  • @StephanoPaulo-x2e
    @StephanoPaulo-x2e 2 месяца назад +3

    WCB pamoja sana ❤❤

  • @zuzuutv8782
    @zuzuutv8782 3 месяца назад +11

    Sema like nyingi kwadada kajua kukiwasha

  • @NgarasaaJunior
    @NgarasaaJunior 3 месяца назад +5

    Tatzo la wasaniii wa singelii mudaa woteee wanawaza kulogwaaa ndo maana Mambo ya umetumwaaaa😅😅

    • @DakshMastermind-x8u
      @DakshMastermind-x8u 2 месяца назад

      Angalia tena video hujaelewa amemind kwasababu matukio kama aya yamemtokea na akaibiwa vifaa vya studio sasa kulogwa kumeingiaje hpo

  • @Dulla_kite
    @Dulla_kite 3 месяца назад +8

    Daah wasani wasingeli bangi nyingi 😂😂😂😂

    • @yunyun799
      @yunyun799 2 месяца назад

      😂😂😂

  • @MohamediKalanje
    @MohamediKalanje 3 месяца назад +17

    Moo Town katika hv ni kweli hii mwanang umepqtkan yan kuliko zote

  • @hamidambonea1826
    @hamidambonea1826 3 месяца назад +2

    Asimin umeuwaaaa❤❤❤

  • @felicianboss6953
    @felicianboss6953 3 месяца назад +5

    Hii vurugu ngoma nagwa anasubiri 😂😂😂😂😂😂mc balaa sio kuimba tu hadi kuigiza unajua°°

  • @issaadamu9847
    @issaadamu9847 Месяц назад

    Maisha kweli kaka 😂😂😂

  • @allyuchebe8451
    @allyuchebe8451 Месяц назад

    Hahaha Ana mkwala uyo balaa😢😢😢 eti ata oysterbay aende

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 2 месяца назад

    Show inachekesha sana hii kweli nimipinduko sema balaaa mpaka nimwmuonea huruma dah

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 2 месяца назад

    Uking'atwa na nyoka lazima uongeze unajibu safi sana balaa

  • @Thatscene2024
    @Thatscene2024 2 месяца назад

    dah huyo dada mumpe hela nyingi sana maana kahatarisha maisha yake sanaa

  • @joebinarysignals
    @joebinarysignals 3 месяца назад +2

    Watu washakula zao ndum unawaletea prank 😂😂😂

  • @ThomCleative
    @ThomCleative 2 месяца назад +2

    Nakubali

  • @Officialroykhan_255
    @Officialroykhan_255 3 месяца назад +4

    23:17 Anaingia Mlemle 😂😂

  • @aboudbalozi2338
    @aboudbalozi2338 14 дней назад

    Oya kwanza ndugu yenu kweli auuuu sio😂😂😂😂 wauni wanataka kuangusha nae wiki😅😅

  • @shaybu-nj2pe
    @shaybu-nj2pe 2 месяца назад +1

    Balaa yupo sahh wanatakiwa wabadilike uwez juwa mtu yupo ktk mawqzo gn

  • @NahimanaAisatah
    @NahimanaAisatah Месяц назад +1

    Ya leo angeumia mtu

  • @giddie_barnabas
    @giddie_barnabas 2 месяца назад

    Watu wa singel na ugomv wa silaha😅😅, ila nimemuelewa mc balaa kwa nyakat alizopitia

  • @LuckyTemu
    @LuckyTemu 3 месяца назад +2

    Mdada aleko singo nakupenda 😢❤

  • @Gee16.01
    @Gee16.01 3 месяца назад +3

    Wasafi ni media kubwa sana,, jamaa alijiiona mbali zaidi😢,, af gafra demu analeta mizengwe aaaaaa harari amind😂

  • @sosteneskebwe1028
    @sosteneskebwe1028 2 месяца назад +2

    Yani nilukuwa namkubali lkn Leo sijuh kwann kanitoka

    • @yunyun799
      @yunyun799 2 месяца назад

      😂😂labda kwa sababu ya hasira alizo zionyesha

  • @sautiyaradiramazani-xv3fr
    @sautiyaradiramazani-xv3fr 2 месяца назад

    Ivi ni kweli daah monta sanya kakutana na mc banazo kichwa bangi

  • @nurumasunga6079
    @nurumasunga6079 2 месяца назад +1

    WASANII ACHEN BANGI

  • @ngido255
    @ngido255 3 месяца назад +2

    Angekutana na chibuduma nipe Tena nipe sijaona kingewaka🤣

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe 2 месяца назад

    Balaa balaaa kweliiii😂😂😂

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 2 месяца назад

    Duuuu!!!!!' Kumbe waimba singeli uwa ni wahuni kweli

  • @kitemaog6372
    @kitemaog6372 3 месяца назад +6

    Balaaa mc kajaaa vizuri ad raha😂😂😂

  • @PhabianGetere
    @PhabianGetere 2 месяца назад +2

    sanyaaaa

  • @juniorking7123
    @juniorking7123 3 месяца назад +1

    Mmmmh ipo siku watu watapigana kwel

    • @Thisisgrace979
      @Thisisgrace979 2 месяца назад

      Watauwana kweli, maana kila mtu na hasira zake. Kujuta badae.

  • @funnytv9361
    @funnytv9361 3 месяца назад

    Angelala na mimi wiki nzima kwanza ni ndugu yenu Ausio" 😂😂😂😂

  • @NajafaEdward
    @NajafaEdward Месяц назад

    Xagent najafa ap nakubali

  • @Benny318m
    @Benny318m 2 месяца назад +1

    Leo ndio nimeamini mziki wa singeli ni wawahuni ukizingua wanaondoka na wewe😂😂😂😂😂

  • @medaicetz
    @medaicetz 2 месяца назад

    Kisu wapi umeshindwa kumchapa hata kofi na ulkua naye karbu😂😂

  • @juniorking7123
    @juniorking7123 3 месяца назад +2

    Mzee inabid uangalie na wasanii wakuwafanyia kipindi

  • @Obocriss584
    @Obocriss584 3 месяца назад +1

    Sanya leo mumeyakanyaga kwa wahuni

  • @RajabuNgore
    @RajabuNgore 2 месяца назад

    Jama yangu apo kapata moto😮😮😮

  • @AfricaQueen
    @AfricaQueen 3 месяца назад +1

    Hivi ni Kweli 🗣️🗣️🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😂🤣😂😂😂🤐🤐

  • @muckymaccode134
    @muckymaccode134 3 месяца назад +3

    🎉🎉

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 2 месяца назад +1

    Haaaa eti nikiwa nyumban naweka usanii mfukon😂😂😂 uwiiiiiiii

  • @raystudio7563
    @raystudio7563 3 месяца назад

    huyu jamaaa kweli ni BALAA😂

  • @nassororashidi33
    @nassororashidi33 3 месяца назад +1

    😂😂 wakiendaga police wanatolewaga hao

  • @fahadfifa4190
    @fahadfifa4190 2 месяца назад

    Kwanza jela ana chumba chake 😂🔥

  • @franklinmkundi201
    @franklinmkundi201 3 месяца назад +5

    Wa kwanza mimi nipeni like zangu

  • @erickmahona5357
    @erickmahona5357 3 месяца назад +1

    Ila bangi izi

  • @ce-08
    @ce-08 2 месяца назад

    Kweli wee n balaa😂😂

  • @aloycefrank3194
    @aloycefrank3194 2 месяца назад

    Hivi hivi hivi hivi 😂😂😂😂😂

  • @PiliAbdallah-vc2no
    @PiliAbdallah-vc2no 2 месяца назад

    Sema mo hiyo michezo acha itakuja ikutokee puani nakwambia kama hapo angemchoma kisu tu kesi kwako

  • @JumaJayson
    @JumaJayson 3 месяца назад +2

    NAISUBIRI YA CHID BENZ😂😂

  • @tagx_boe
    @tagx_boe 2 месяца назад

    Which name of your president 😮

  • @saidseleman2829
    @saidseleman2829 3 месяца назад

    Mo town sanya 🔥🔥🔥 Halaaaaa 😂😂😂😂

  • @HWAYtz
    @HWAYtz Месяц назад

    Mhuni hapingwi Yani Sanya me hata kama mko na kipindi chenu me sitaangalia kwamba ni challenge nitatoa mtu damu tu

  • @sokiboy
    @sokiboy 3 месяца назад

    noma sanaa kweli hii kweliii hiviiiii duuu

  • @taufikimustapha8082
    @taufikimustapha8082 2 месяца назад

    Balaaaaaaaah

  • @ndarnationsoundtz
    @ndarnationsoundtz 2 месяца назад +1

    Sanya until we die

  • @SongeaGirl0
    @SongeaGirl0 Месяц назад

    Kwahiyo mmeingizana mc mmemungiza na mc kawaingiza nyinyi kwenye 18 hatari sana

  • @mpendwalove4390
    @mpendwalove4390 3 месяца назад +1

    Kuweni makini na hawa watu 😂😂😂

  • @gundajr2883
    @gundajr2883 2 месяца назад

    Kuna siku hki kipind litatokea tukia baya maan prank mnazofany na haya maisha haya yet mach

  • @SHAFIIBITOGWA-kd7tl
    @SHAFIIBITOGWA-kd7tl 7 дней назад

    Yani naaribu show SIM yako nachukua af Amna kitu chochote mtanifanya

  • @ChinoKidds-b2q
    @ChinoKidds-b2q 3 месяца назад +1

    INGEKUWA media ndogo hapa pangewakaaa kaheshim wasafi tu 🎉😅😂

  • @kitemaog6372
    @kitemaog6372 3 месяца назад +1

    Singeli tu ze woldi😅

  • @GoldenKayage
    @GoldenKayage 3 месяца назад +6

    Bonge moja la kipindi ❤❤❤❤❤ nipe like hapa

  • @ramso98
    @ramso98 3 месяца назад

    😅😅😅😅Sanya katumia mda mwingi kumtuliza balaa ashakubali liwalo na liwe yani ile ubaya ubwela ndo hii 😂😂😂😂

  • @djhajiztz
    @djhajiztz 3 месяца назад +2

    say sanya

  • @SwahiliRecaps-h5p
    @SwahiliRecaps-h5p 3 месяца назад

    Ni hatariiii 😅😅😅

  • @PauloDoo-gy5fc
    @PauloDoo-gy5fc 2 месяца назад

    Balaa Mc kwa uhuni huu sitokuja kukuamini ukija kusema umezurumiwa na Promota hela show 😂😂😂 Mapromota nahisi wamemuelewa vzuri Balaa Mc hapa 😄

  • @JaphethChuwa
    @JaphethChuwa 2 месяца назад

    Wana vya Arusha vinakolea kichwan hapo hawaelew hapo

  • @DJINNOSSBTZ
    @DJINNOSSBTZ 3 месяца назад +1

    Mc balaa bangi zote kwisha😂😂😂

  • @Kibiriti_Sports
    @Kibiriti_Sports 3 месяца назад +1

    Mc balaaa amekamatika😂😂😂😂

  • @HerconSembuche
    @HerconSembuche 3 месяца назад +1

    hatariiiiiiii sana

  • @fauziakitenge8061
    @fauziakitenge8061 2 месяца назад

    Mumeenda kuhoji mvuta bange 😅😅😅

  • @DANY_ON
    @DANY_ON 2 месяца назад

    Bro ebu ongeza dakika basi haha😡😡😡😡😡

  • @MudyBiniomary
    @MudyBiniomary 3 месяца назад +1

    Hivi hiviii

  • @mwinyiado1129
    @mwinyiado1129 3 месяца назад

    43 namba

  • @dennisnjonanje62
    @dennisnjonanje62 2 месяца назад

    Kama ningekuwa mimi ningempasua Sanya fasta, pranki siyo ustaarabu

  • @KassimuKiponda
    @KassimuKiponda 2 месяца назад

    Kwanza ndugu yenu kweli au😂

  • @aronboy1
    @aronboy1 2 месяца назад

    Ila hiki kipind huwa cyo poakitakuja kuleta majanga ckumojah

  • @ashilafujuma7080
    @ashilafujuma7080 3 месяца назад +2

    😂😂😂 Wameyamuny

  • @yaziduabdallah2836
    @yaziduabdallah2836 3 месяца назад +1

    Balaaa

  • @wizydeko1496
    @wizydeko1496 2 месяца назад

    Kuna MTU kapigwa pochi/simu apo wahuni sio RAIA 8:23

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe 2 месяца назад

    Dk 0 tu wahuni wanachafukwa😂😂😂

  • @PiliMohamed-q4q
    @PiliMohamed-q4q 3 месяца назад +2

    Ebwana

  • @saramgeni5820
    @saramgeni5820 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂Leo angepigwa mtu

  • @jaffarmagawa3245
    @jaffarmagawa3245 2 месяца назад

    Oya Leo mmeingia mizik ya wahuni😂 ila balaa kma ameptia hayo yote pole sela

  • @Docantz
    @Docantz 2 месяца назад

    Usicheze na mhuni😂😂😂😂

  • @mwakiboy968
    @mwakiboy968 3 месяца назад +1

    Media yenu inadhalilisha watu😂😂

  • @halimaamini8015
    @halimaamini8015 3 месяца назад +1

    Jina tu mc balaaa sasa balaa ni kitu cha kawaida 😅

  • @mustaphajuma2051
    @mustaphajuma2051 3 месяца назад

    mmh hiyoo ingilishii au English 😂😂😂😂😂😂

  • @TwalibTwaha
    @TwalibTwaha 2 месяца назад

    Duh balaa mc kawaka kinoma noma 😅😅😅Bange tupu huyu mwamba

  • @JoyceElias-h1x
    @JoyceElias-h1x 3 месяца назад

    Huyu nae Hana lolote itakuw kuachwa na dem. Wake hasira zak anamalizia kwa huy dada

  • @samwesupa6906
    @samwesupa6906 2 месяца назад

    Ana machungu