DOTTO MAGARI AMUWASHIA MOTO JUMA LOKOLE ,AWEKA WAZI TABIA ZAKE “ATATUHARIBIA WATOTO“

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 ноя 2023
  • DOTTO MAGARI AWAVAA ICU “ WALE WOTE NI UPINDE“ NKIPATA CHEO WATAPATA TABU | WANANIOMBA HELA SANA
    Hakika ni za kweli
    #simba #yanga #simbayanga #mpira #sport #kombeladunia #worldcup
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 217

  • @shambashareef7316
    @shambashareef7316 6 месяцев назад +5

    Dotto anajua alipotoka mwacheni ajiachie ,sema mwana hugeki maisha big up dotto

  • @abdishakurhassan7651
    @abdishakurhassan7651 Месяц назад

    Dotto magari self made keep it up the sky is the limit

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 6 месяцев назад +17

    Kaka doto unanifuraisha kweli kweli,Yani nakusikiliza nacheka mpka naugua.Juma nikiherehere kma ngoma yamdundiko

  • @OmarKipanyakhamis-pe2qx
    @OmarKipanyakhamis-pe2qx 6 месяцев назад +2

    Semaaa kkaa nmkuelewa sanaaaa point yko sem allh bless 🇹🇿🇹🇿❤️💯💯

  • @saidharith5643
    @saidharith5643 6 месяцев назад +2

    Doto hapa kaongea kwa hisia kali sana ukimuelewa cz yeye ni mpambanaji kwanini wanamfatilia maisha yake ya undani hakupenda ndio maana yeye anawajua undani na hakuwasemea mbele za watu leo katoboa Yao pia

  • @LtkMfs-hd5zf
    @LtkMfs-hd5zf 6 месяцев назад +7

    Uyu jamaa anaakili sana naanapambana na ipo sku atafika mbali saba doto magari saluti

  • @WaziriRamadhan-ML
    @WaziriRamadhan-ML 6 месяцев назад +5

    Daaah nimecheka leooo😂😂😂 walahi hii hata samia km kaiona naye atakuwa kacheka had kajamba😂😂

  • @jerryjackson3464
    @jerryjackson3464 6 месяцев назад +8

    Original wenyewe hawaja pinda😂😂😂 daaah kiswahili na WA Swahili kinanoga sana

  • @user-hp3bx8ih4y
    @user-hp3bx8ih4y 6 месяцев назад +4

    nakubali broo kimsingi wa bongo tunafeki sana maisha binafsi najifuza sana

  • @kitovasaidi6753
    @kitovasaidi6753 6 месяцев назад +8

    Masaki kabisa apatimenti😂😂😂😂 Safi sana nimekukubali sana ukweli utakuweka huru.

  • @andreamtitunathan9644
    @andreamtitunathan9644 6 месяцев назад +7

    Wamekupaisha tu
    Mtu wangu
    Maisha ya wengi ni ulio nayo ww ndio haijasumbua jamii

  • @amosimussa3360
    @amosimussa3360 2 месяца назад

    Dotto magari unajua bro nini unajua ni hayo tu na wish kukuona live hivyo tu♥️♥️♥️

  • @amoonatnzani9834
    @amoonatnzani9834 6 месяцев назад +7

    Haya wambea wa I C U kula chuma iyo 😂😂😂😂😂😂😂

  • @neemaberny3598
    @neemaberny3598 6 месяцев назад +41

    Wenye akili timamu Ndio atamuelewa huyu jamaa...Dotto kapitia magumu mengi,na hata hapo alipo Bado anaendelea kujitafuta...uwezi kisa umeanza kupokea rizki wakati unajitafuta uhame nyumba ya 50000 ukahamie nyumba ya millioni kwa mwezi!!Huyu anatambua kwamba Huwa wanapata madili..hayo madili yanamsimu awezi akajitoa kwenye uhalisia na kujitoa amani kwa maisha ya kuwqfurahisha watu wa mitandaoni alafu aje adhalilike mara hana Kodi ..tunawaona mastar kibao yanawakuta..

    • @msouthqualitymabati4657
      @msouthqualitymabati4657 6 месяцев назад +4

      Ni kweli

    • @kivuswahilitv6833
      @kivuswahilitv6833 6 месяцев назад +1

      Jamaa huyu kapitia mengi n'a Pia anaweza tajirika kama utani maaana alikotoka huyu bwana sio hapa wenzio wengi wamekufa tayari na madawa ila doto katumia mesadon hadi Leo anajitafuta

    • @muuminsaid-bd6cm
      @muuminsaid-bd6cm 6 месяцев назад +1

      Doto mm nakukbali kicha wangu

    • @chandeyusufu9570
      @chandeyusufu9570 6 месяцев назад

      Kweli tunakuangalia mimi nikiwa dubai wale kweli mashoga

    • @OmarKipanyakhamis-pe2qx
      @OmarKipanyakhamis-pe2qx 6 месяцев назад

      🇹🇿🙏💯💯

  • @koffilove2796
    @koffilove2796 6 месяцев назад +18

    Ndoto katika siku leo nimekupa saluti umeongea ukweli mimi niko Europe ila unaongea ukweli wa senge hao

    • @elizajoseph7209
      @elizajoseph7209 6 месяцев назад +1

      Wewe doto eti wanapinda migongo huku wanapiga miruzi😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @suleimankitango
    @suleimankitango 6 месяцев назад +2

    Kk dotto upo vizuri

  • @user-pt7qj4qg8p
    @user-pt7qj4qg8p 6 месяцев назад +3

    Hahahhahahahahahahaa Dotto una mdomo sana ww duuuuuuh niatari Sana juma njoo huku uruke kichura chura tuone na ndooo juu bro

  • @partickkessy5997
    @partickkessy5997 6 месяцев назад +7

    😂😂😂ila Doto Leo nimecheka sana

  • @madinakitemo8902
    @madinakitemo8902 6 месяцев назад +2

    Doto magari nakupenda bureeee umemkomesha uyo shoga juma lokole na wenzie

  • @ellymzera2457
    @ellymzera2457 5 месяцев назад +1

    Hata kwetu wapo.🇰🇪 🇹🇿

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 6 месяцев назад +5

    Eti kw sisi waislamu😢 na shingoni ana libonge la msalaba dah!!! Uislamu wa kibingo bana😂

  • @angelinamwakilufi8881
    @angelinamwakilufi8881 6 месяцев назад +2

    Doto Wa kizimkazi😂😂😂😂 anewawezaa ,JUMA HUYU NDO KIBOKO YAKO

  • @amosimussa3360
    @amosimussa3360 2 месяца назад

    Unajua nn unafanya kaka mzaramo og big up

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 6 месяцев назад +8

    Tanzania in inchi ya comedy watu wote

  • @michaelkonga2975
    @michaelkonga2975 6 месяцев назад +3

    Hela nyingi mpaka balabendi haitoshi😂😂

  • @DeborahChristopher-th6nl
    @DeborahChristopher-th6nl 5 месяцев назад

    Nakupenda Bure Dotto❤❤❤❤

  • @edwardpeter8569
    @edwardpeter8569 6 месяцев назад +1

    😂😂😂 ila dotto kawaweza kwa majibuu daaah anajua

  • @hezronsanga5197
    @hezronsanga5197 6 месяцев назад +4

    Team Doto magari gonga like

  • @kismarthashvan
    @kismarthashvan 6 месяцев назад +4

    Wazalamo atufeki maisha doto aowa2 wanapenda kitonga awali mbaka wapinde mgogo

    • @malikzegega3179
      @malikzegega3179 6 месяцев назад +1

      Nakubali kaka wazaramo akuna machoko

  • @user-tj2jq1xx1n
    @user-tj2jq1xx1n 6 месяцев назад +1

    Doto kwanz mjini imeingia juzi mbuzi wew

  • @elizajoseph7209
    @elizajoseph7209 6 месяцев назад +5

    Wanapinda mgongo afu mwingine ni mgonjwa Doto wewe😂😂😂😂

  • @neitherherenorthere8367
    @neitherherenorthere8367 6 месяцев назад +10

    Yaani i love tzanian's confidence. Their mouths runs faster than their wallets!

  • @wilfredmwakatwila6295
    @wilfredmwakatwila6295 6 месяцев назад +1

    Umeongea vizuri

  • @AlexJohn-gp6bu
    @AlexJohn-gp6bu 6 месяцев назад +2

    Kweli apo umeongea fact mashoga wauliwe wote

  • @benancejohn1198
    @benancejohn1198 6 месяцев назад +1

    Duh 🤔 na umewanyea sana kaka

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 6 месяцев назад

    Doto nomaa wameleft group

  • @mpozenzidavid4801
    @mpozenzidavid4801 6 месяцев назад +4

    Niko nawewe kaka

  • @tatukarume6140
    @tatukarume6140 6 месяцев назад +2

    Wape vidonge vyao hakuezi tunakuoenda mpka bas yani mtu ukiwa na stress zako mtu akikuskiliza tu anaenjoy

  • @gilliardgodfriend5745
    @gilliardgodfriend5745 6 месяцев назад +6

    ❤❤❤ hapo hapo Dotto wala usinyamaze😂😂😂

  • @ayshazambia6509
    @ayshazambia6509 6 месяцев назад +1

    Msema kweli kipenz cha mungu umeongea ukweli kabisa

  • @mpozenzidavid4801
    @mpozenzidavid4801 6 месяцев назад +2

    Mbona baba levo hajawahi kujibu??😂😂😂

  • @sleyumomar3637
    @sleyumomar3637 6 месяцев назад +1

    Weeeh dotto apo umepigajee, huyu ndo dotto keto tajiri wa maneno 😂😂

  • @GodfreyMoshi-mk7fn
    @GodfreyMoshi-mk7fn 6 месяцев назад +1

    Kaka Dotto yani umenifurahisha sana leo sioni sababu yaku fake maisha kabisa yani kama wew ni mkubwa utakua mkubwa tuuu

  • @AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
    @AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm 6 месяцев назад +1

    haya juma piga pushap km za doto kisha upost ili tujirizishe 😅😅😅😅😅😅

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 4 месяца назад

    mganga wako yupo vizuri kama mganga wa John bocco

  • @victorjems1865
    @victorjems1865 6 месяцев назад +1

    eti rangi kama afkeki michilizi kama tango😂😂

  • @user-nl5mm5pu1g
    @user-nl5mm5pu1g 6 месяцев назад +1

    Dotto umeomgea ukweli uyoo juma lokole hamna kitu jumba bovu anatuabosha Sana wanaume wenzake hongera Sana kumwambia ukweli uyoo abadilike tabiya yake sio mzuri ya kupinda mgongo

  • @jacklineanthony5191
    @jacklineanthony5191 6 месяцев назад +1

    Kweli 😅kabisaa mji wameukuta na watauwacha😂😂chezea wazaramo wwe😂😂😂

  • @neemammbaga227
    @neemammbaga227 6 месяцев назад +3

    Lakin dotto kipindi anaanza anza kujulikana alifanyiw interview kwake anapokaa na palikua palepale icu walipoenda sema tu wambea hawajalitilia maanani kuitafuta hiyo interview dotto alisema kabsa hapa ndo kwangu na ni zamani sana kama miaka miwili

  • @mohamedrajabu2734
    @mohamedrajabu2734 6 месяцев назад +3

    Dotto magari😂😂😂

  • @HappyGreenTea-fo8lz
    @HappyGreenTea-fo8lz 3 месяца назад

    Mitungi yao kama nguzo za tanesco😅😅😅😅😂

  • @joharyMussa-kc5vs
    @joharyMussa-kc5vs 3 месяца назад

    doto magar ww hua msema ukweli hukosegi anae kuchukia wivu unasumbua

  • @mohammedkombo9798
    @mohammedkombo9798 5 месяцев назад

    Wazaramo acha tu watu wa Dar balalaa @!Dotto from MK @uk

  • @user-gy3bv7nm7d
    @user-gy3bv7nm7d 28 дней назад

    Mpaka wapinde migongo😂😂😂

  • @arafatkasu
    @arafatkasu 25 дней назад

    😂😂 mtungi mirefu 😂😂😂

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 6 месяцев назад +1

    😂😂wakijamba tu sema

  • @HappyGreenTea-fo8lz
    @HappyGreenTea-fo8lz 3 месяца назад

    Kweliii kabisa wasanii wanafeki sana maishaaa😅😅😅😢

  • @user-ez5br4gu1m
    @user-ez5br4gu1m 4 месяца назад

    Wemukweli sana😅😅😅😅

  • @allybobsaith
    @allybobsaith 6 месяцев назад +7

    Doto magari umewaweza ICU, umewajibu kisomi sana

  • @firereal001
    @firereal001 6 месяцев назад +7

    Eti hawal kabla hawajapinda mgongo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌

  • @ashurasaid1315
    @ashurasaid1315 6 месяцев назад +2

    Hatakae piga mruzi apite huku😂😂😂😂

  • @johnkitwima6963
    @johnkitwima6963 6 месяцев назад +1

    Mwite Olamide😂😂

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 6 месяцев назад +2

    Doto magari mara hii unampoteza mwijaku

    • @JumaJuma-fu7ji
      @JumaJuma-fu7ji 6 месяцев назад

      Kweli mwijaku nababa levo wanapotea

  • @ireneimbuhira7759
    @ireneimbuhira7759 6 месяцев назад +4

    Hehehe na mpenda sana Doto ❤❤❤ nani Mgonjwa?

  • @MussaNassoro-vj9li
    @MussaNassoro-vj9li 4 месяца назад

    Mama kizimkazi na hapa ipo

  • @user-se5rz8fh6f
    @user-se5rz8fh6f 5 месяцев назад

    Mh huyu jamaa noma

  • @OmaryKaniki-hs5mz
    @OmaryKaniki-hs5mz 5 месяцев назад

    Sema mzaramo mwenzangu

  • @fortunataphilipo9049
    @fortunataphilipo9049 2 месяца назад

    visokolokwinyo 😂😂😂😂😂😂ila Dotto

  • @filemonniariraahadieleliam3275
    @filemonniariraahadieleliam3275 5 месяцев назад

  • @edithhassan4196
    @edithhassan4196 5 месяцев назад

    😂😂😂😂 huyu ni balaaah!!

  • @user-dr1su7pf7w
    @user-dr1su7pf7w 5 месяцев назад

    leo umeongea point sana

  • @davidtz4595
    @davidtz4595 6 месяцев назад +1

    😂😂😂😂Et eti waluke kichula😂😂

  • @mohdmbarouk8116
    @mohdmbarouk8116 6 месяцев назад

    Hhhhhhh yani huyu jmaa anaburdisha

  • @user-nl5mm5pu1g
    @user-nl5mm5pu1g 6 месяцев назад +1

    Kaka doto Niko zanzibar jumapili nakuja dar umenifurahisha Sana juma lokole kumwambia ukweli tabiya yake aache anatuabosha Sana wanaume wenzake juzi kavaa chupi doto hongera milioni Yako iko😂

  • @jacklineanthony5191
    @jacklineanthony5191 6 месяцев назад +1

    Dotto magari mzaramo wa kizzy mkazi 😂😂😂😂😂

  • @FrancoisElesambo
    @FrancoisElesambo 5 месяцев назад

    Congo tunamuelewa

  • @user-oh2rz6sn5r
    @user-oh2rz6sn5r 6 месяцев назад +1

    Dotto bhana et mludhi 😅😅😅

  • @zachariajustine873
    @zachariajustine873 6 месяцев назад

    Mwamba huyu hapa sass😂😂😂😂😂

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 6 месяцев назад

    Hapa ipo

  • @issaswalehe200
    @issaswalehe200 6 месяцев назад +1

    👍👍👍👍👍👍👍

  • @hansmsangi9828
    @hansmsangi9828 5 месяцев назад +3

    Nakukubali sana dotto asante sana unatubeba sana sisi watu kawaida tumezaliwa tuishi hapa duniani dhamira ya Molla sio kuwa tuwe matajiri km wao hapa ni vile Muumba kapendezwa atupe pumzi tuishi maisha ss km wao wamepata basi washkuru tu lkn sio kutuona ss km wakukosa tu hapana tuna haki ya kuishi maisha ya kawaida na katika mazingira yyte... Dotto asante kwa kutetea mazingira yetu km mabaya ndio Mungu katupa... Mwambie huyo mshamba wa dunia atakuelewa tu ss ndio mkazi wa mama Samia....😂

  • @AishaTarimo
    @AishaTarimo 6 месяцев назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka jmn

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 6 месяцев назад +2

    😂😂😂😂😂 nimecheka kwenye miluzi

  • @EricaBizuru-jp9by
    @EricaBizuru-jp9by 6 месяцев назад

    Ety"Balabendi"haitosh haha😂😂😂😂😂 ila dotto

  • @user-sr4ow9wi4k
    @user-sr4ow9wi4k 6 месяцев назад +1

    😅😅😅😅😅 kavurugwa

  • @mwinyisarai-rm5oo
    @mwinyisarai-rm5oo 6 месяцев назад

    Atakae piga mluzitu..hahahaaaaa swiiiiiiii

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du 5 месяцев назад

    Mr. Influencer

  • @HansBwoi
    @HansBwoi 6 месяцев назад +1

    Dotto kaongea ukweli mtupu

  • @malikzegega3179
    @malikzegega3179 6 месяцев назад +3

    Kaka Doto watoto wamjin tunakuelewa nini usema😂😂😂

  • @koffilove2796
    @koffilove2796 6 месяцев назад

    Haaa 😅😅

  • @husseinrashidi5828
    @husseinrashidi5828 6 месяцев назад

    Inforensa

  • @CAN.164
    @CAN.164 6 месяцев назад

    Doto doto kubali dana

  • @suleimanikimwagas-tk1zq
    @suleimanikimwagas-tk1zq 6 месяцев назад +3

    Yaani Leo umeongea mawe tupo, kufeki maisha 😂😂 Ila hahaha kitengo utapata nawachukia Sana hao wapiga miruzi

  • @marcominja8850
    @marcominja8850 6 месяцев назад

    Infolensa

  • @ndayisengaamissi6102
    @ndayisengaamissi6102 6 месяцев назад +3

    Watu walio Left Draft😂😂😂😂

  • @nicolausmavoa7909
    @nicolausmavoa7909 6 месяцев назад +1

    Mluziii😂😂😂😂😂

  • @rehemamillasi2858
    @rehemamillasi2858 6 месяцев назад

    Twenye jiji letu Dar

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 6 месяцев назад

    Waadishi hawa wanasoma wapi jamani

  • @SelemaniSaid-ip6se
    @SelemaniSaid-ip6se 6 месяцев назад +1

    we doto mluzi ndo nini hahahaha😅😅😅😅😅

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 6 месяцев назад

      Kujamba 😂😂😂😂😂😂

  • @jumahamis5758
    @jumahamis5758 6 месяцев назад

    brother wachane