Staff wanatoa fungu lake ndio wanampa,,na nahic katumia marudio kutokana na audience kwa muonekano hawana muda wa kumfatilia sana hivyo ni vitu vipya kwao ..
Ameanza na mpya fresh ila akacheki muda bado upo wa kutosha ikabid aweke zile za moto zingine lazima ujue kujiongeza kwenye maisha dogo anaijua kazi yeke vizuri na usisahau kuchekesha audience kama hyo sio mchezo, watu na phd zao unarudia tu
Leonardo Mimi ni shabiki yako saana siku Moja nataman nije nikuone the way unavyotoa izo context zako ata kama ni repetition but still watu Wana enjoy apo ndo utajua unaweza na unajua let's go brooh am benard chegere @leonardo you are first comedian in tz
Hii sio akili, kwahiyo Leo Ali kina arudie rudie wimbo eti ksa kisa Kuna ambao hawakuusikia alivotoa mwanzo.? We unaona ni akili hiyo.? Ehee, wengine hawajasikia, na sisi wengine ambao tulisikia alafu tunasikia kitu kile kile mara ya 8 saivi, na ni shabiki zake tufanye nini.
Anatumia akili, audience kama hiyo sio watu ambao wanafuatilia contents zake kila siku so why waste all the good new jokes wakati hata za zamani hawajazisikia. Akiwa kwenye stage kubwa kama ya Cheka tu hutosikia akirudia contents.
Kwahiyo Diamond alitoa wimbo, wasiposikiliza watu kadhaa huo wimbo ndo anatakiwa kuuimba tena.? Hizo ni akili.? Sikia,sisi wengine ni fans wa Leonardo toka siku ya kwanza tu akiwa kwenye usajili wa cheka tu. Lakini hii kurudia rudia contents ni ujinga na sioni mnatetea nini. Yani imagine mimi naingia RUclips kuangalia Cheka tu au kwenye platform yoyote Leonardo kaja na joke ipi, nakuta joke nafurahi. Kufungua nakuta 90% ni vitu vile vile.! Alafu unatetea, sjui unatetea nini hapo. Anahitaji kubadilika, walau anaweza rudia joke moja out of 12 kila baada hata ya miezi mitatu. Sasa we unasema wengine hawakuona, so what.?
Aisee hata kama ameludia ila ila tambua kuwa kuchekesha kazi Tena woote ni wasomi humo! So kwa kiasi jamaa kajiatahidi sana bcos huwa wengine huwa wanashindwa hata kustaimili mbele hapo!
writing jokes for stand up comedy is hard it is not easy, no wonder if you go in developed countries comedian don't allow people to record with there phones nor take videos for fear of people getting hold of the materials.
Watu wa bank wagumu atakumtunza😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Kuna watu bahili kama bank ndugu?
Hata hawacheki...hapo file rahisi kuwa deleted
Asa wamtunze wanaela? Wao ni watunza pesa za watu
Hawanaga hela ao
😂😂😂😂😂 this was good.....
Mnaosema anarudia rudia acheni ngenga mwe mwenyewe ndo mara ya kwanza nimesikia hizi jokes
Watu wanaosema anarudia jokes,,mbona wenyewe wanarudia ugali ule ule kila siku
MNAOKOSOA KARUDIA " MNADHANIA KUANDAA NI SIMPLE" KAUSHA KAMA UNAONA KARUDIA MNAWATOA WATU KWENYE MOOD MBONA NYIMBO MNARUDIAA
Nakubali samweli umechafukwa🔥🔥
Hongera keep it up kuchekesha staff sio rahis
Watu walicheka sana skuiyo wanangu sema muaandaaji alichukua sana sauti ya leonard kuliko sisi wasikilizaj
Staff wanatoa fungu lake ndio wanampa,,na nahic katumia marudio kutokana na audience kwa muonekano hawana muda wa kumfatilia sana hivyo ni vitu vipya kwao ..
Sio mbaya nadhani wakati mwingine atajipanga zaidi.
Uko vzur Engineer,🥇 big up xana
Karibu tena!
Leonard talent Yako ni kubwa sana🎉🎉🎉🎉
Pamoja sana ibeatz
Ameanza na mpya fresh ila akacheki muda bado upo wa kutosha ikabid aweke zile za moto zingine lazima ujue kujiongeza kwenye maisha dogo anaijua kazi yeke vizuri na usisahau kuchekesha audience kama hyo sio mchezo, watu na phd zao unarudia tu
Umetisha mkuu
Muwe makini na uncle 😅😅
One love george
Huwa namwelewa sana mwamba
Usisahau kusubscribe atakuwa sana hapa
Yupo vizur anajua kwa kweli
Nakubali Sunday,umesubscribe?
Mbona wanacheka jamani
Mtiririko wake wa mawazo bila kupotea kwanzia mwanzo wa show hadi mwisho nikipaji tosha
Mnaosema hawajacheka... are we watching the same video?????
Congrats
For me namkubali na bhana ndaro wote wa2 wangu sana yaan Leonard anajuwa sana
Usisahau kusubscribe,content zao zaidi zitakuwa hapa
Leonardo Mimi ni shabiki yako saana siku Moja nataman nije nikuone the way unavyotoa izo context zako ata kama ni repetition but still watu Wana enjoy apo ndo utajua unaweza na unajua let's go brooh am benard chegere @leonardo you are first comedian in tz
Bernad umetisha sana kuwa na moyo wa kuappreciate wengine
😂😂😂😂😂 muwe makini na uncle huyo
Big up brooo unajua mnooo anaesema unarudia Kwan lazima acheke yeye
Nakubali Daudi
Bravo katisha
Perfect 👍
Sema anarudia sana content
Kweli jamaa anarudia sana
Content anazozirudia si ni za kwake? All master comedians (mc) wanarudia contents zao.
@@iankomba4253KUchEkesha sio mchezo wao wanakalili tu
Anarudia manake siyo kila mtu anakua amesikia hiyo content anakutana na audience tofauti
Hii sio akili, kwahiyo Leo Ali kina arudie rudie wimbo eti ksa kisa Kuna ambao hawakuusikia alivotoa mwanzo.? We unaona ni akili hiyo.? Ehee, wengine hawajasikia, na sisi wengine ambao tulisikia alafu tunasikia kitu kile kile mara ya 8 saivi, na ni shabiki zake tufanye nini.
Well done, lkn ukerewe imeingiaje hapo mwisho?????
Kachekesheni ninyi msio rudia,msitupigie kelele hapa
hilo nalo neno 🤣🤣🤣🤣🤣
Brother unajua xana
Safi kaka, kurudia ni tatizo dogo la kiufundi😂
Namuona Kelvin Kimbinje
Hii ndiyo tofauti yako na Eliud... unarudia sana content.....
kila cku kuna member mpya ambae hajawah kusikia hzo content
Panda wewe tuone kama utaweza
Haka Kachalii kanafikiri watu wote wanafatilia RUclips kam yeye
Anatumia akili, audience kama hiyo sio watu ambao wanafuatilia contents zake kila siku so why waste all the good new jokes wakati hata za zamani hawajazisikia. Akiwa kwenye stage kubwa kama ya Cheka tu hutosikia akirudia contents.
Kwahiyo Diamond alitoa wimbo, wasiposikiliza watu kadhaa huo wimbo ndo anatakiwa kuuimba tena.?
Hizo ni akili.? Sikia,sisi wengine ni fans wa Leonardo toka siku ya kwanza tu akiwa kwenye usajili wa cheka tu. Lakini hii kurudia rudia contents ni ujinga na sioni mnatetea nini. Yani imagine mimi naingia RUclips kuangalia Cheka tu au kwenye platform yoyote Leonardo kaja na joke ipi, nakuta joke nafurahi. Kufungua nakuta 90% ni vitu vile vile.! Alafu unatetea, sjui unatetea nini hapo. Anahitaji kubadilika, walau anaweza rudia joke moja out of 12 kila baada hata ya miezi mitatu. Sasa we unasema wengine hawakuona, so what.?
Kuchekesha unahitaji kutekenya sana, kwa maneno so fikili kwa kina na upana na uwezo usio rudia ndo unakuwa na talent sio kihivyo lakini unajitahidi
Sound engineer kazingua sout n video camera n roll za watazamaji ila jamaa katem madini
kwaswara la kuludia sio kesi coz alikaa mwenyewe akatunga, mbona nyimbo hupigwa hata show zaidi ya 23
Hahahahahahah
Sasa ndo aludie mwanzo mwisho
Smart
Hajachekesha vzr
sema kwa NMB ulitisha balaa kuliko CRDB
Leonard
Hahhaha kama hauna DD apo mwamba hautamuelewa
Vichwa panzi
Hao watu kuwachekesha na mostly parent siyo vijanq ni kaz
Mike zko vzur sana aisee😂znqsikika vzur
Kuchekesha kazi watu hata hawacheki 😅😅😅😅😅😅😅😅😅 sema namkubali Leonardo
Endelea kumsport mwana
Gud job bro achen jamaaa apambane kutafta tonge
Nakubali kaka
Okeii
Issue unarudia sana
Sio kila siku utakua ktk form
Kwenye NMB ndo kauwa saaana
Anajua sana huyu jamaa 😂
Ni mnyama eeh?
Jamaa anajua ila anarudiabsana contect mpk anakera
Aisee hata kama ameludia ila ila tambua kuwa kuchekesha kazi Tena woote ni wasomi humo! So kwa kiasi jamaa kajiatahidi sana bcos huwa wengine huwa wanashindwa hata kustaimili mbele hapo!
KASIMAMA DAKIKA 17 ni nyingi sana na HE DESERVES TO BE A MASTER HABOI YANI YUPO POA
Nimependa , aliposema tutafute vya kwetu 💯
Major point
Leo apo amekutana na watu benk alitakiwa achekeshe kwenye mazingira yao
We unaesema anarudia,haikuhusu izo content nizake,acha arudie
jokes za huyu jamaa, zina kuwaga na fundisho sana
Usipige story chekesha
Si0 rahisi kama mnavy0jua
Game kama ilimkataa ivii sku iiii
hii kali
Kaza mwamba
Upo vizuri dogo ila acha kurudia content Bz jokes sio wimbo
writing jokes for stand up comedy is hard it is not easy, no wonder if you go in developed countries comedian don't allow people to record with there phones nor take videos for fear of people getting hold of the materials.
Bila d mbili huwezi elewa
Kw mara ya Kwanza kuona watu kavu
Iv umaskin min?
Jamaaa umetisha co jambo lahic hapo mbele kucmama kwa madk zote hizo!
Ni nima
Mbna awacheki
Wale mnao waona wanacheka sana wengi wanastress ..hapo watu WAPO kazini
Stress au kazi?
Watu wanacheka bna achane uongo wabongo
Leo kazini kulikuwa kuna kazi
Namna iyo
Acha kurudia rudia vichekesho unatuchosha bro
Kuchekesha wasome kazi kwel
Sana
15:29
Haya majaa hayacheki
Unarudiaaaaaaaaa😢
Mbona hawacheki?
Bonge ya Stage na Ukumbi
🤛🤛👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Bado mda upo utafika unapopataka
Umetisha
Unarudi kaka unatuangusha wadau
Mnaboa bana mnarudia vichekesho
Apo amegonga mwamba wa2 hawachek wamekaza
Hapa alichemka
Leonardo first
Bro upo vizur ila jipe muda kubuni,utaaza kupoteza mashabiki
Wanafanya poa mno maana kuchekesha staff so raisi.
Anarudia sana mpaka anaboa
Karudia content
Amna ki2 hapo
Why?
Good but unarudia content
Kubadili sio mchezo
Eludi ndo fundi wao
kalibu kubuni vitu jipyaa
Asilimia 90 % karudia content
Izo 10% zinatosha
Mwamba anajua sana tu...
😅😅😅🥰
Mbn hii aliwah kuiongea sehem,,,au anarudiarudia content?
Tulia wewe
Them guys got stiff faces or don't get the jokes
😅😅😅😅🥰
STAND UP COMEDIANS ANDIKENI MUWE NA CONTENT ZA KUTOSHA MSIWABOE WATU. BANK YA CONTENT NDO MTAJI
Mwamba huyu
Butindi 😂😂
Wewe dogo, sasa unabowa kurudia content
Mnalia nini kontent hapo ziliitajika za namba hiyo ni benki wakikaa ofisin wanakumbushana wewe katafute D mbili urud kusikiliza