LEONARDO ALIVYOWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB!

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 247

  • @nugwiziwe7577
    @nugwiziwe7577 25 дней назад +44

    Watu wa bank wagumu atakumtunza😂😂😂😂😂

  • @rebbywealth9869
    @rebbywealth9869 День назад +1

    😂😂😂😂😂 this was good.....
    Mnaosema anarudia rudia acheni ngenga mwe mwenyewe ndo mara ya kwanza nimesikia hizi jokes

  • @bigbro-my6xj
    @bigbro-my6xj 21 день назад +16

    Watu wanaosema anarudia jokes,,mbona wenyewe wanarudia ugali ule ule kila siku

  • @samwelipaschal6412
    @samwelipaschal6412 24 дня назад +40

    MNAOKOSOA KARUDIA " MNADHANIA KUANDAA NI SIMPLE" KAUSHA KAMA UNAONA KARUDIA MNAWATOA WATU KWENYE MOOD MBONA NYIMBO MNARUDIAA

    • @VisitTZ
      @VisitTZ  17 дней назад +1

      Nakubali samweli umechafukwa🔥🔥

  • @user-jk6we5qu2x
    @user-jk6we5qu2x 25 дней назад +8

    Hongera keep it up kuchekesha staff sio rahis

  • @wilsonshasha4747
    @wilsonshasha4747 День назад

    Watu walicheka sana skuiyo wanangu sema muaandaaji alichukua sana sauti ya leonard kuliko sisi wasikilizaj

  • @LucasHaule-kc6bb
    @LucasHaule-kc6bb 23 дня назад +8

    Staff wanatoa fungu lake ndio wanampa,,na nahic katumia marudio kutokana na audience kwa muonekano hawana muda wa kumfatilia sana hivyo ni vitu vipya kwao ..

  • @godsontesha2734
    @godsontesha2734 17 дней назад +7

    Sio mbaya nadhani wakati mwingine atajipanga zaidi.

  • @hundahazeze
    @hundahazeze 20 дней назад +10

    Uko vzur Engineer,🥇 big up xana

    • @VisitTZ
      @VisitTZ  17 дней назад

      Karibu tena!

  • @IBEATZ-kq9qm
    @IBEATZ-kq9qm 22 дня назад +4

    Leonard talent Yako ni kubwa sana🎉🎉🎉🎉

    • @VisitTZ
      @VisitTZ  17 дней назад

      Pamoja sana ibeatz

  • @sebastiankimendo8333
    @sebastiankimendo8333 20 дней назад +1

    Ameanza na mpya fresh ila akacheki muda bado upo wa kutosha ikabid aweke zile za moto zingine lazima ujue kujiongeza kwenye maisha dogo anaijua kazi yeke vizuri na usisahau kuchekesha audience kama hyo sio mchezo, watu na phd zao unarudia tu

  • @georgekagwebe2461
    @georgekagwebe2461 25 дней назад +12

    Umetisha mkuu

  • @IsackMagessa
    @IsackMagessa 24 дня назад +11

    Huwa namwelewa sana mwamba

    • @VisitTZ
      @VisitTZ  17 дней назад

      Usisahau kusubscribe atakuwa sana hapa

  • @SundayNgalomba
    @SundayNgalomba 23 дня назад +7

    Yupo vizur anajua kwa kweli

    • @VisitTZ
      @VisitTZ  17 дней назад

      Nakubali Sunday,umesubscribe?

  • @silvestermanase6101
    @silvestermanase6101 17 дней назад +2

    Mbona wanacheka jamani

  • @ramadhanali7985
    @ramadhanali7985 5 дней назад +1

    Mtiririko wake wa mawazo bila kupotea kwanzia mwanzo wa show hadi mwisho nikipaji tosha

  • @rebbywealth9869
    @rebbywealth9869 День назад

    Mnaosema hawajacheka... are we watching the same video?????

  • @emmanuelbaraka2217
    @emmanuelbaraka2217 23 дня назад +2

    Congrats

  • @tarikijafari1111
    @tarikijafari1111 22 дня назад +1

    For me namkubali na bhana ndaro wote wa2 wangu sana yaan Leonard anajuwa sana

    • @VisitTZ
      @VisitTZ  17 дней назад

      Usisahau kusubscribe,content zao zaidi zitakuwa hapa

  • @BenardChegere-nl4mj
    @BenardChegere-nl4mj 22 дня назад +1

    Leonardo Mimi ni shabiki yako saana siku Moja nataman nije nikuone the way unavyotoa izo context zako ata kama ni repetition but still watu Wana enjoy apo ndo utajua unaweza na unajua let's go brooh am benard chegere @leonardo you are first comedian in tz

    • @VisitTZ
      @VisitTZ  17 дней назад

      Bernad umetisha sana kuwa na moyo wa kuappreciate wengine

  • @JustinEmmanuel-lt3vh
    @JustinEmmanuel-lt3vh 21 день назад +3

    😂😂😂😂😂 muwe makini na uncle huyo

  • @LaisonDaudi
    @LaisonDaudi 20 дней назад +4

    Big up brooo unajua mnooo anaesema unarudia Kwan lazima acheke yeye

    • @VisitTZ
      @VisitTZ  17 дней назад

      Nakubali Daudi

  • @LauMjanja
    @LauMjanja 18 дней назад +2

    Bravo katisha

  • @AmmyjayAmina-xk9ck
    @AmmyjayAmina-xk9ck 3 дня назад

    Perfect 👍

  • @BrayoDimpoz
    @BrayoDimpoz 25 дней назад +17

    Sema anarudia sana content

    • @user-hi5pg4vp2u
      @user-hi5pg4vp2u 24 дня назад

      Kweli jamaa anarudia sana

    • @iankomba4253
      @iankomba4253 24 дня назад +1

      Content anazozirudia si ni za kwake? All master comedians (mc) wanarudia contents zao.

    • @erickhaule8680
      @erickhaule8680 24 дня назад

      ​@@iankomba4253KUchEkesha sio mchezo wao wanakalili tu

    • @petersagala7756
      @petersagala7756 23 дня назад +2

      Anarudia manake siyo kila mtu anakua amesikia hiyo content anakutana na audience tofauti

    • @Jitu_Lisilofikirika.
      @Jitu_Lisilofikirika. 21 день назад

      Hii sio akili, kwahiyo Leo Ali kina arudie rudie wimbo eti ksa kisa Kuna ambao hawakuusikia alivotoa mwanzo.? We unaona ni akili hiyo.? Ehee, wengine hawajasikia, na sisi wengine ambao tulisikia alafu tunasikia kitu kile kile mara ya 8 saivi, na ni shabiki zake tufanye nini.

  • @nestorylwaly3364
    @nestorylwaly3364 23 дня назад

    Well done, lkn ukerewe imeingiaje hapo mwisho?????

  • @simulizitanzania2571
    @simulizitanzania2571 21 день назад +3

    Kachekesheni ninyi msio rudia,msitupigie kelele hapa

  • @YakoboYotham
    @YakoboYotham 19 дней назад +1

    Brother unajua xana

  • @allykamila3445
    @allykamila3445 22 дня назад +3

    Safi kaka, kurudia ni tatizo dogo la kiufundi😂

  • @hassanlubola414
    @hassanlubola414 10 дней назад

    Namuona Kelvin Kimbinje

  • @DJJO255
    @DJJO255 24 дня назад +12

    Hii ndiyo tofauti yako na Eliud... unarudia sana content.....

    • @isacksamuel5503
      @isacksamuel5503 24 дня назад +3

      kila cku kuna member mpya ambae hajawah kusikia hzo content

    • @josiahjoas8526
      @josiahjoas8526 23 дня назад +1

      Panda wewe tuone kama utaweza

    • @clarkcian2857
      @clarkcian2857 21 день назад

      Haka Kachalii kanafikiri watu wote wanafatilia RUclips kam yeye

    • @ibrahimweston9504
      @ibrahimweston9504 21 день назад +1

      Anatumia akili, audience kama hiyo sio watu ambao wanafuatilia contents zake kila siku so why waste all the good new jokes wakati hata za zamani hawajazisikia. Akiwa kwenye stage kubwa kama ya Cheka tu hutosikia akirudia contents.

    • @Jitu_Lisilofikirika.
      @Jitu_Lisilofikirika. 21 день назад +1

      Kwahiyo Diamond alitoa wimbo, wasiposikiliza watu kadhaa huo wimbo ndo anatakiwa kuuimba tena.?
      Hizo ni akili.? Sikia,sisi wengine ni fans wa Leonardo toka siku ya kwanza tu akiwa kwenye usajili wa cheka tu. Lakini hii kurudia rudia contents ni ujinga na sioni mnatetea nini. Yani imagine mimi naingia RUclips kuangalia Cheka tu au kwenye platform yoyote Leonardo kaja na joke ipi, nakuta joke nafurahi. Kufungua nakuta 90% ni vitu vile vile.! Alafu unatetea, sjui unatetea nini hapo. Anahitaji kubadilika, walau anaweza rudia joke moja out of 12 kila baada hata ya miezi mitatu. Sasa we unasema wengine hawakuona, so what.?

  • @KiboJoseph-cc5eu
    @KiboJoseph-cc5eu 24 дня назад +1

    Kuchekesha unahitaji kutekenya sana, kwa maneno so fikili kwa kina na upana na uwezo usio rudia ndo unakuwa na talent sio kihivyo lakini unajitahidi

  • @FectureTV
    @FectureTV 18 дней назад

    Sound engineer kazingua sout n video camera n roll za watazamaji ila jamaa katem madini

  • @eliasmgendi
    @eliasmgendi 16 дней назад +4

    kwaswara la kuludia sio kesi coz alikaa mwenyewe akatunga, mbona nyimbo hupigwa hata show zaidi ya 23

  • @arackiusevarist9399
    @arackiusevarist9399 8 дней назад

    Smart

  • @EdsonDaud-rg5jk
    @EdsonDaud-rg5jk 16 дней назад

    Hajachekesha vzr

  • @lucas_Tz
    @lucas_Tz 12 дней назад

    sema kwa NMB ulitisha balaa kuliko CRDB

  • @user-lp7rg6uz6o
    @user-lp7rg6uz6o 25 дней назад +3

    Leonard

  • @bukurufreddy28
    @bukurufreddy28 25 дней назад +9

    Hahhaha kama hauna DD apo mwamba hautamuelewa

    • @VisitTZ
      @VisitTZ  17 дней назад

      Vichwa panzi

  • @erickadolph8974
    @erickadolph8974 22 дня назад

    Hao watu kuwachekesha na mostly parent siyo vijanq ni kaz

  • @MohamediKalanje
    @MohamediKalanje 21 день назад +1

    Mike zko vzur sana aisee😂znqsikika vzur

  • @elibarikisengasenga1376
    @elibarikisengasenga1376 21 день назад +2

    Kuchekesha kazi watu hata hawacheki 😅😅😅😅😅😅😅😅😅 sema namkubali Leonardo

    • @VisitTZ
      @VisitTZ  17 дней назад +1

      Endelea kumsport mwana

  • @felixkamguna7101
    @felixkamguna7101 22 дня назад +1

    Gud job bro achen jamaaa apambane kutafta tonge

    • @VisitTZ
      @VisitTZ  17 дней назад

      Nakubali kaka

  • @travispiccasso-ho3rv
    @travispiccasso-ho3rv 21 день назад

    Okeii

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 22 дня назад +2

    Issue unarudia sana

  • @user-xg7tv5je6b
    @user-xg7tv5je6b 14 дней назад

    Sio kila siku utakua ktk form

  • @mrmartinipaul2464
    @mrmartinipaul2464 16 дней назад +1

    Kwenye NMB ndo kauwa saaana

  • @Juli-ep9dn
    @Juli-ep9dn 25 дней назад +10

    Anajua sana huyu jamaa 😂

    • @VisitTZ
      @VisitTZ  17 дней назад

      Ni mnyama eeh?

  • @AndrewMalembela
    @AndrewMalembela 24 дня назад +2

    Jamaa anajua ila anarudiabsana contect mpk anakera

    • @enockluse1346
      @enockluse1346 18 дней назад

      Aisee hata kama ameludia ila ila tambua kuwa kuchekesha kazi Tena woote ni wasomi humo! So kwa kiasi jamaa kajiatahidi sana bcos huwa wengine huwa wanashindwa hata kustaimili mbele hapo!

  • @senetornkwarz5714
    @senetornkwarz5714 10 дней назад

    KASIMAMA DAKIKA 17 ni nyingi sana na HE DESERVES TO BE A MASTER HABOI YANI YUPO POA

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 21 день назад

    Nimependa , aliposema tutafute vya kwetu 💯

    • @VisitTZ
      @VisitTZ  17 дней назад

      Major point

  • @user-vt2oj3sr4k
    @user-vt2oj3sr4k 21 день назад

    Leo apo amekutana na watu benk alitakiwa achekeshe kwenye mazingira yao

  • @kassororoboassenga1885
    @kassororoboassenga1885 20 дней назад +1

    We unaesema anarudia,haikuhusu izo content nizake,acha arudie

  • @SMLS995
    @SMLS995 21 день назад

    jokes za huyu jamaa, zina kuwaga na fundisho sana

  • @JohnMgonjo
    @JohnMgonjo 5 дней назад

    Usipige story chekesha

  • @YusuphKagoma
    @YusuphKagoma 17 дней назад

    Si0 rahisi kama mnavy0jua

  • @sleimankhamiss4586
    @sleimankhamiss4586 15 дней назад

    Game kama ilimkataa ivii sku iiii

  • @charleschogamturi
    @charleschogamturi 19 дней назад

    hii kali

  • @sebomanyotakali761
    @sebomanyotakali761 24 дня назад +3

    Kaza mwamba

  • @hassanaliamin1104
    @hassanaliamin1104 23 дня назад +1

    Upo vizuri dogo ila acha kurudia content Bz jokes sio wimbo

    • @eddienahum
      @eddienahum 22 дня назад +1

      writing jokes for stand up comedy is hard it is not easy, no wonder if you go in developed countries comedian don't allow people to record with there phones nor take videos for fear of people getting hold of the materials.

  • @LucasHaule-kc6bb
    @LucasHaule-kc6bb 23 дня назад

    Bila d mbili huwezi elewa

  • @kingdeniscrocodile
    @kingdeniscrocodile 22 дня назад

    Kw mara ya Kwanza kuona watu kavu

  • @user-io2jx6ct5p
    @user-io2jx6ct5p 19 дней назад

    Iv umaskin min?

  • @enockluse1346
    @enockluse1346 18 дней назад

    Jamaaa umetisha co jambo lahic hapo mbele kucmama kwa madk zote hizo!

  • @JohnMgonjo
    @JohnMgonjo 5 дней назад

    Mbna awacheki

  • @issamakamba5569
    @issamakamba5569 19 дней назад

    Wale mnao waona wanacheka sana wengi wanastress ..hapo watu WAPO kazini

    • @VisitTZ
      @VisitTZ  11 дней назад

      Stress au kazi?

  • @user-ni2kv3yf6e
    @user-ni2kv3yf6e 24 дня назад

    Watu wanacheka bna achane uongo wabongo

  • @yusuphmwanza4405
    @yusuphmwanza4405 21 день назад

    Leo kazini kulikuwa kuna kazi

  • @user-bc9pe6io1b
    @user-bc9pe6io1b 21 день назад

    Acha kurudia rudia vichekesho unatuchosha bro

  • @LincolnMoshi
    @LincolnMoshi 18 дней назад

    Kuchekesha wasome kazi kwel

  • @user-vi4ge8hm6o
    @user-vi4ge8hm6o 9 дней назад

    15:29

  • @EvansGodfrey-tj5op
    @EvansGodfrey-tj5op 23 дня назад

    Haya majaa hayacheki

  • @saloumtz6596
    @saloumtz6596 24 дня назад +1

    Unarudiaaaaaaaaa😢

  • @erickkagisa833
    @erickkagisa833 24 дня назад

    Mbona hawacheki?

  • @rockyvlogs2214
    @rockyvlogs2214 23 дня назад

    Bonge ya Stage na Ukumbi

  • @peternyambui7492
    @peternyambui7492 24 дня назад

    🤛🤛👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @SkillfulNgenje
    @SkillfulNgenje 21 день назад +2

    Bado mda upo utafika unapopataka

  • @user-pn3cl7iw7y
    @user-pn3cl7iw7y 16 дней назад

    Unarudi kaka unatuangusha wadau

  • @fadhilimashaka2728
    @fadhilimashaka2728 24 дня назад

    Mnaboa bana mnarudia vichekesho

  • @miso-bg2xl
    @miso-bg2xl 20 дней назад

    Apo amegonga mwamba wa2 hawachek wamekaza

  • @allenjefwa835
    @allenjefwa835 19 дней назад

    Hapa alichemka

  • @BenardChegere-nl4mj
    @BenardChegere-nl4mj 22 дня назад

    Leonardo first

  • @henrymushi8340
    @henrymushi8340 23 дня назад

    Bro upo vizur ila jipe muda kubuni,utaaza kupoteza mashabiki

  • @kharidmadanganya
    @kharidmadanganya 19 дней назад

    Wanafanya poa mno maana kuchekesha staff so raisi.

  • @dastanfyondi2159
    @dastanfyondi2159 21 день назад +1

    Anarudia sana mpaka anaboa

  • @optatmallya1283
    @optatmallya1283 20 дней назад

    Karudia content

  • @siphaeldavid206
    @siphaeldavid206 15 дней назад

    Amna ki2 hapo

  • @enocknguku
    @enocknguku 25 дней назад +5

    Good but unarudia content

  • @levygasper7438
    @levygasper7438 23 дня назад

    kalibu kubuni vitu jipyaa

  • @moidasimo9955
    @moidasimo9955 20 дней назад

    Asilimia 90 % karudia content

    • @VisitTZ
      @VisitTZ  11 дней назад

      Izo 10% zinatosha

  • @ThomasfrancisMvella
    @ThomasfrancisMvella 18 дней назад

    Mwamba anajua sana tu...

  • @JoyceAbdallah-bm4fi
    @JoyceAbdallah-bm4fi 25 дней назад

    😅😅😅🥰

  • @erickkagisa833
    @erickkagisa833 24 дня назад

    Mbn hii aliwah kuiongea sehem,,,au anarudiarudia content?

  • @clementhiddi1486
    @clementhiddi1486 25 дней назад +1

    Them guys got stiff faces or don't get the jokes

  • @JoyceAbdallah-bm4fi
    @JoyceAbdallah-bm4fi 25 дней назад

    😅😅😅😅🥰

  • @deblacktz2981
    @deblacktz2981 19 дней назад

    STAND UP COMEDIANS ANDIKENI MUWE NA CONTENT ZA KUTOSHA MSIWABOE WATU. BANK YA CONTENT NDO MTAJI

  • @fratilupembe3479
    @fratilupembe3479 13 дней назад

    Mwamba huyu

  • @Kingsman2713
    @Kingsman2713 18 дней назад

    Butindi 😂😂

  • @hyasintkisika8848
    @hyasintkisika8848 22 дня назад

    Wewe dogo, sasa unabowa kurudia content

  • @user-cq8nl8if6c
    @user-cq8nl8if6c 21 день назад

    Mnalia nini kontent hapo ziliitajika za namba hiyo ni benki wakikaa ofisin wanakumbushana wewe katafute D mbili urud kusikiliza