LEONARDO ALIVYOMVUNJA MBAVU NCHIMBI - AMOSS MAKALA na WANANCHI SINGIDA - ''ALI KAMWE - ALI ZETI''...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • LEONARDO ALIVYOMVUNJA MBAVU NCHIMBI - AMOSS MAKALA na WANANCHI SINGIDA - ''ALI KAMWE - ALI ZETI''...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 100

  • @connan9923
    @connan9923 3 месяца назад +9

    Wakati wa Mungu ni wakati Sahihi 🔥🔥🔥 kila mtu ana maoni yake Binafsi ila tujaribu Kuangalia Mungu anavyo mfungulia Mja wake Leonardo ❤❤, hata mimi na wewe Mungu anauwezo wa Kutufungulia Milango Tukapita kwenye Njia ambazo yeye alitupangia tupitie.Big up mwanetu Engineer Butindi

    • @hassanissah7141
      @hassanissah7141 3 месяца назад

      Maneno mazuri sana
      Yan kimasihara ndo kashatoka na hapo anauwezo ndan ya miaka kadhaa akagombea hata ubunge akawa bungeni na hivo kasoma so kwamba hana kitu kichwani

  • @emmanuelmakaya7604
    @emmanuelmakaya7604 3 месяца назад +6

    Umefanya vizuri..
    Ila umekosea sehemu ndogo tu..upo kwenye mandhari ya siasa, ulitakiwa uchekeshe watu kupitia matukio mbalimbali ya kisiasa..

  • @daudphilimon4317
    @daudphilimon4317 3 месяца назад +4

    Kuna namna Leo umechemka Kaka sema unajua sana

  • @Naahlyan
    @Naahlyan 3 месяца назад +4

    Siasa imempendeza sana

  • @sigelamussa7016
    @sigelamussa7016 3 месяца назад +4

    Makonda oyeeee❤❤❤❤❤❤❤

  • @musajoseph7896
    @musajoseph7896 3 месяца назад +5

    Watu wana stress Acha wafurahi.

  • @mshindisanga6530
    @mshindisanga6530 3 месяца назад +2

    Jukwaa la leo halioani na talent

  • @LumolaSteven
    @LumolaSteven 3 месяца назад +3

    Jamaa anarudia sana

  • @augustinomkongwa5444
    @augustinomkongwa5444 2 месяца назад +1

    Sharp minded person kongole Leonardo

  • @kamanyile
    @kamanyile 2 месяца назад +1

    Wee jamaa natamani sana uingie katika siasa angalau upate uwepo hata mkuu wa wikaya furani unaweza

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3um 3 месяца назад +2

    Nchi ngumu sana hii

  • @kenedymwamagemo1066
    @kenedymwamagemo1066 3 месяца назад +3

    He is trying really hard not to say something offensive to the government

  • @LumolaSteven
    @LumolaSteven 3 месяца назад +3

    Jamaa kazingua sana kujiingiza kwenye siasa. Angebaki kwenye kazi yake

  • @EliasHassan9
    @EliasHassan9 3 месяца назад +3

    🔥🔥

  • @thetrailerzone2791
    @thetrailerzone2791 3 месяца назад +14

    Makonda hoyee hawa wanazingua

  • @KiboJoseph-cc5eu
    @KiboJoseph-cc5eu 3 месяца назад +3

    tatizo unajua liko wapi,? mkutano wa maendeleo, ni tofauti na mazingira ya uchekeshaji watu hujiandaa kucheka kufurahi, hapa watu wamejiandaa kupewa hoja za maendeleo, so kuna namna unatakiwa kubadili jumbe na tafuta group tengeneza tafuta jumbe za vichekesho za namna mbali mbalimbali utakuwa bora hata sehemu ngumu, okay

  • @stanleyshoo
    @stanleyshoo 3 месяца назад +2

    Watu wana maisha magumu wewe unawapelekea wachekeshaji

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 3 месяца назад +2

    Hii audience sio ya comedy

  • @ThomasAlute
    @ThomasAlute 3 месяца назад +6

    Kuna viongozi wa hovyo sana katika nchi hii

  • @officialfadhilomar5249
    @officialfadhilomar5249 3 месяца назад +5

    😂😂😂wananchi bwana....sasa mtu anachekesha wao wanapiga vigelele tu

  • @barakapaulo-j9z
    @barakapaulo-j9z 21 день назад

    Wwe hatar

  • @gigoyrn4394
    @gigoyrn4394 3 месяца назад +2

    😂😂😂 wachekeshaji wengine labda stress zetu ni nyingi ndo mana hatucheki

  • @KLYLIANTHOMAX
    @KLYLIANTHOMAX 3 месяца назад +5

    Kifupi alijipanga tofauti ameona mapokeo sio kuridhisha kama mmegundua akaanza kujazia vipengele vingine

    • @ellytech9757
      @ellytech9757 3 месяца назад

      Actually, comedy ya mikoani haitaki visa vya kisomi sanaaa au kimjini sanaa. Ukiweza ongelea nyani, mbuzi na kuku 😂

  • @JilalaPawa
    @JilalaPawa 3 месяца назад +7

    Huwezi ukawachekesha watu wa mkoani kwa story za mambo ya dsm

  • @uhakikatv255.
    @uhakikatv255. 3 месяца назад +2

    utani utani hivi hivi unaweza ukajikuta leonardo unakula teuzi

  • @sigelamussa7016
    @sigelamussa7016 3 месяца назад +2

    Makonda safi

  • @tanzalandtv3311
    @tanzalandtv3311 3 месяца назад +2

    Unarudiarudia content mkuu

    • @JninjaH2R
      @JninjaH2R 3 месяца назад +1

      Sio rahisi na huyu jamaa ana kazi nyingi kuliko comedian yeyote

    • @jeffhard5773
      @jeffhard5773 3 месяца назад +2

      Ndio akafanye hizo nyingi alizo nazo hapo awaachie wasio na Mambo mengi na sio lazima ufanye kila kitu Wakati Kuna wengine Wana weza kufnya hayo hayo

    • @KishoraKishoralimbu
      @KishoraKishoralimbu 3 месяца назад

      Content hana kila anachokifanya alishakifanya kabla

    • @imamhussein1104
      @imamhussein1104 3 месяца назад +2

      Lini hao watu walienda mlimani city.?

  • @DanielMjengi
    @DanielMjengi 3 месяца назад +1

    Hivi Hawa ni viongozi au vikojozi????

  • @Goldsteinmichael
    @Goldsteinmichael 3 месяца назад +1

    Hii nchi hapana kwa kweli

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 3 месяца назад +7

    MAKONDA ANAUPIGA MWINGI ARUSHA

  • @RamadhaniMshana-gk6vm
    @RamadhaniMshana-gk6vm 3 месяца назад +1

    Makonda oyeee

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 3 месяца назад

    Audience ngumu sana watu hawacheki. Bad day at work

  • @amosmangura
    @amosmangura 3 месяца назад

    Ccm ni dhaifu kweli bidii binafsi ni Friday kwa ccm cha kikuu at maingizo ya2 wasanii

  • @michaelcharles49
    @michaelcharles49 3 месяца назад

    Anarudia rudia sana

  • @sozimelody8333
    @sozimelody8333 3 месяца назад +1

    Fundi

  • @user-xy8kl9wd2i
    @user-xy8kl9wd2i 3 месяца назад +1

    Wao hawasikilizi hata kero za wana nchi

  • @mohamedally4496
    @mohamedally4496 3 месяца назад

    Huo muda makonda hana hapo kero kama 2 zingeshamalizwaa yaani paap

  • @imanimbwaga7005
    @imanimbwaga7005 3 месяца назад +1

    hii umezinguaa

    • @JamesJoseph-l4n
      @JamesJoseph-l4n 3 месяца назад

      Kwanini

    • @djdseth
      @djdseth 2 месяца назад

      @imanimbwaga7005 we ungeweza ata kushika maiki au unalopoka tu

  • @BenardChegere-nl4mj
    @BenardChegere-nl4mj 2 месяца назад

    Achen roho mbaya ninyi

  • @danielmakelemo2395
    @danielmakelemo2395 3 месяца назад

    Kwa makonda huu muda hautumiki vibaya

  • @AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
    @AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm 3 месяца назад

    Ulikua unapuyanga tu hapo

  • @MollelMollel-il4rg
    @MollelMollel-il4rg 3 месяца назад

    Hiyo ndio kero za wananchi

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 3 месяца назад

    MAKONDA OYEEE

  • @ELIMRINGITILLYA
    @ELIMRINGITILLYA 3 месяца назад +23

    Hawa siyo viongozi ni vikojozi wanaleta comedian kwenye kero za wananchi.

    • @davisnziku
      @davisnziku 3 месяца назад +12

      Ulitaka wamlete diamond ndio ushangilie acha roho mbaya we mjinga

    • @iam_sami
      @iam_sami 3 месяца назад +4

      Weee jmaaa kweli finyu kwann uliacha shule 😂😂😂

    • @JamesPaulo-oz7tb
      @JamesPaulo-oz7tb 3 месяца назад +4

      Comedy ni Sanaa pia😂😂

    • @AllyMauga-hq5vm
      @AllyMauga-hq5vm 3 месяца назад +2

      Huna akili wew

    • @greaterjustin2231
      @greaterjustin2231 3 месяца назад +3

      Kwahio angeletwa harmonize, alikiba,diamond ndo ungeona ni sawa? acha nao wapate ridhiki

  • @octavian54
    @octavian54 3 месяца назад +1

    Unajua Sana Ila haupo mahala sahihi kikazi

  • @JilalaPawa
    @JilalaPawa 3 месяца назад +2

    Wananchi walijiandaa kusikia utatuzi wa kero zao hawakujiandaa na kuchekeshwa

  • @PiusNjelekela
    @PiusNjelekela 3 месяца назад

    tusikilize kero

  • @sylivestersalatiely8985
    @sylivestersalatiely8985 2 месяца назад

    Hajawahi kujua kuchekesha huyu,huaga analazimisha watu wacheke.Not talented

  • @robertzamani5612
    @robertzamani5612 4 месяца назад +2

    Baada ya kutatua kero mnaweka wachekeshaji

  • @fwc5552
    @fwc5552 3 месяца назад

    Kwisha kabisa

  • @Mwita171
    @Mwita171 3 месяца назад +1

    Tunawathamini lakin kama mmeanza siasa za kutumiwa tutawakwepa

  • @chage97
    @chage97 3 месяца назад

    Mavi mavi mavi

  • @josephminja7953
    @josephminja7953 3 месяца назад

    Tatueni kero kwanza komed bdae😢

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 3 месяца назад

    Tatizo mnarudilia sana comedy zenu kila siku ni zilezil

    • @JninjaH2R
      @JninjaH2R 3 месяца назад +1

      Unadhani rahisi kupata comedy mpya Kila wiki

    • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
      @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 3 месяца назад

      Ni raisi sana tu dada waweze kubuni zaidi maana tumeshachoka kila mwezi bhn kiasi kwamba tunashidwa kukata ticket 🎫 ili tuweze kuwaona maana story ni zilezil

  • @NjiranTz
    @NjiranTz 3 месяца назад

    Angalieni na umri wa kuchekesha

  • @ronaldowilson8165
    @ronaldowilson8165 3 месяца назад

    Huyu hana comedy,anarudia rudia zanyuma.Ndaro always winner.

    • @elsabio11
      @elsabio11 3 месяца назад

      Nenda kachekeshe ww utoe vitu vipya kila show

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 3 месяца назад

    Mental illness is a serious issue in bongo, this guy needs help

  • @Mwita171
    @Mwita171 3 месяца назад

    Na nyie comedian tutawatenga mkiendelea hivo