LEONARDO ALIVYOMVUNJA MBAVU NCHIMBI - AMOSS MAKALA na WANANCHI SINGIDA - ''ALI KAMWE - ALI ZETI''...
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- LEONARDO ALIVYOMVUNJA MBAVU NCHIMBI - AMOSS MAKALA na WANANCHI SINGIDA - ''ALI KAMWE - ALI ZETI''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Wakati wa Mungu ni wakati Sahihi 🔥🔥🔥 kila mtu ana maoni yake Binafsi ila tujaribu Kuangalia Mungu anavyo mfungulia Mja wake Leonardo ❤❤, hata mimi na wewe Mungu anauwezo wa Kutufungulia Milango Tukapita kwenye Njia ambazo yeye alitupangia tupitie.Big up mwanetu Engineer Butindi
Maneno mazuri sana
Yan kimasihara ndo kashatoka na hapo anauwezo ndan ya miaka kadhaa akagombea hata ubunge akawa bungeni na hivo kasoma so kwamba hana kitu kichwani
Umefanya vizuri..
Ila umekosea sehemu ndogo tu..upo kwenye mandhari ya siasa, ulitakiwa uchekeshe watu kupitia matukio mbalimbali ya kisiasa..
Jaribu naww tukuone
Kuna namna Leo umechemka Kaka sema unajua sana
Siasa imempendeza sana
Makonda oyeeee❤❤❤❤❤❤❤
Oyeeeeeer🎉❤
Watu wana stress Acha wafurahi.
Jukwaa la leo halioani na talent
Jamaa anarudia sana
Sharp minded person kongole Leonardo
Wee jamaa natamani sana uingie katika siasa angalau upate uwepo hata mkuu wa wikaya furani unaweza
Ili Afe😂
Nchi ngumu sana hii
He is trying really hard not to say something offensive to the government
Jamaa kazingua sana kujiingiza kwenye siasa. Angebaki kwenye kazi yake
Zingatia maokoto
🔥🔥
Makonda hoyee hawa wanazingua
tatizo unajua liko wapi,? mkutano wa maendeleo, ni tofauti na mazingira ya uchekeshaji watu hujiandaa kucheka kufurahi, hapa watu wamejiandaa kupewa hoja za maendeleo, so kuna namna unatakiwa kubadili jumbe na tafuta group tengeneza tafuta jumbe za vichekesho za namna mbali mbalimbali utakuwa bora hata sehemu ngumu, okay
Watu wana maisha magumu wewe unawapelekea wachekeshaji
Hii audience sio ya comedy
Kuna viongozi wa hovyo sana katika nchi hii
😂😂😂wananchi bwana....sasa mtu anachekesha wao wanapiga vigelele tu
Wwe hatar
😂😂😂 wachekeshaji wengine labda stress zetu ni nyingi ndo mana hatucheki
anarudia rudia hamna la Maan namkubal Ila leo hajanifrahisha
Una D ngapi kwanza?
Kifupi alijipanga tofauti ameona mapokeo sio kuridhisha kama mmegundua akaanza kujazia vipengele vingine
Actually, comedy ya mikoani haitaki visa vya kisomi sanaaa au kimjini sanaa. Ukiweza ongelea nyani, mbuzi na kuku 😂
Huwezi ukawachekesha watu wa mkoani kwa story za mambo ya dsm
Uchichemeee hivyooo
Amini
utani utani hivi hivi unaweza ukajikuta leonardo unakula teuzi
Ni kweli Kbsa
Makonda safi
Unarudiarudia content mkuu
Sio rahisi na huyu jamaa ana kazi nyingi kuliko comedian yeyote
Ndio akafanye hizo nyingi alizo nazo hapo awaachie wasio na Mambo mengi na sio lazima ufanye kila kitu Wakati Kuna wengine Wana weza kufnya hayo hayo
Content hana kila anachokifanya alishakifanya kabla
Lini hao watu walienda mlimani city.?
Hivi Hawa ni viongozi au vikojozi????
😂😂😂😂😂🎉🎉😂
😂😂😅
Wamekukojolea wewe
Hii nchi hapana kwa kweli
MAKONDA ANAUPIGA MWINGI ARUSHA
Makonda oyeee
Audience ngumu sana watu hawacheki. Bad day at work
Ccm ni dhaifu kweli bidii binafsi ni Friday kwa ccm cha kikuu at maingizo ya2 wasanii
Anarudia rudia sana
Fundi
Wao hawasikilizi hata kero za wana nchi
Huo muda makonda hana hapo kero kama 2 zingeshamalizwaa yaani paap
hii umezinguaa
Kwanini
@imanimbwaga7005 we ungeweza ata kushika maiki au unalopoka tu
Achen roho mbaya ninyi
Kwa makonda huu muda hautumiki vibaya
Ulikua unapuyanga tu hapo
Hiyo ndio kero za wananchi
MAKONDA OYEEE
Hawa siyo viongozi ni vikojozi wanaleta comedian kwenye kero za wananchi.
Ulitaka wamlete diamond ndio ushangilie acha roho mbaya we mjinga
Weee jmaaa kweli finyu kwann uliacha shule 😂😂😂
Comedy ni Sanaa pia😂😂
Huna akili wew
Kwahio angeletwa harmonize, alikiba,diamond ndo ungeona ni sawa? acha nao wapate ridhiki
Unajua Sana Ila haupo mahala sahihi kikazi
Wananchi walijiandaa kusikia utatuzi wa kero zao hawakujiandaa na kuchekeshwa
tusikilize kero
Hajawahi kujua kuchekesha huyu,huaga analazimisha watu wacheke.Not talented
Baada ya kutatua kero mnaweka wachekeshaji
Unataka kila mda walie?
😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwisha kabisa
Tunawathamini lakin kama mmeanza siasa za kutumiwa tutawakwepa
Mavi mavi mavi
Ya bibi ako😊
Tatueni kero kwanza komed bdae😢
Tatizo mnarudilia sana comedy zenu kila siku ni zilezil
Unadhani rahisi kupata comedy mpya Kila wiki
Ni raisi sana tu dada waweze kubuni zaidi maana tumeshachoka kila mwezi bhn kiasi kwamba tunashidwa kukata ticket 🎫 ili tuweze kuwaona maana story ni zilezil
Angalieni na umri wa kuchekesha
Huyu hana comedy,anarudia rudia zanyuma.Ndaro always winner.
Nenda kachekeshe ww utoe vitu vipya kila show
Mental illness is a serious issue in bongo, this guy needs help
Na nyie comedian tutawatenga mkiendelea hivo