Комментарии •

  • @ChainesBoufee
    @ChainesBoufee 2 часа назад +1

    Tunatamani kuiyona taarifa ya habr kutoka crown ten msomaji pia awe Imani luvunga.

  • @universaldesign4295
    @universaldesign4295 11 часов назад +10

    First: Niwapongezi Crown Media kwa kazi mnayoifanya ila mahojiano mengi mnayoyafanya ni kama MARKETING STRATEGIES za pande mbili Interviewer na interviewee and we are the product.

    • @siriusa186
      @siriusa186 6 часов назад +1

      Media yoyote private ni marketing agency

    • @universaldesign4295
      @universaldesign4295 5 часов назад

      @@siriusa186 yes ila wanatuzingua tuu.

  • @maulidkilongola1691
    @maulidkilongola1691 12 часов назад +2

    Nje ya tunacho jifunza King Kikeke Unatupatia zaidi ya SHULE yaani harakati na upambanaji wako 🙌🙌🙌Jah bless you🙏🙏

  • @Sampovoice8088
    @Sampovoice8088 8 минут назад

    Crown 👑 media professional media

  • @live_love1
    @live_love1 7 часов назад +3

    Nakubali

  • @saidsalim6729
    @saidsalim6729 8 часов назад +3

    CRDB Bank haimilikiwi moja kwa moja na shirika la umma moja. Hata hivyo, moja ya wamiliki wakubwa wa benki hiyo ni Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (Public Service Social Security Fund - PSSSF), ambao ni shirika la umma linaloshughulika na masuala ya pensheni kwa watumishi wa umma. PSSSF inashikilia sehemu kubwa ya hisa za CRDB, na hivyo kuwa miongoni mwa wamiliki wakuu wa benki hiyo. Pia, kuna wawekezaji binafsi, taasisi za kifedha, na wateja binafsi walio na hisa katika benki hiyo.

  • @shamsirwaikondos1767
    @shamsirwaikondos1767 6 часов назад +1

    The bank that listens 🎉

  • @HamisiMwazikeni
    @HamisiMwazikeni 9 часов назад +1

    Noma

  • @abdallahomary9614
    @abdallahomary9614 7 часов назад +4

    Niilibiwa pesa zangu CRDB naichukia sana benki hio

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 13 часов назад +5

    Nje ya Africa Crdb wanakwenda 🇨🇳

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 5 минут назад

    hii benki inaiba sana.. haifai

  • @shamsirwaikondos1767
    @shamsirwaikondos1767 6 часов назад +1

    Pokea maua yako mkurugenzi wa bank kubwa Tz🎉

  • @festokemibala5832
    @festokemibala5832 11 часов назад +6

    Tatizo la benki hii hisa zake huwa hazikui!! Walianza kuuza hisa miaka ya '90 na mwaka 2009 nikanunua hisa karibu 1280 hivi kwa bei ya wastani wa sh.150/- wakati huo nao NMB wako sokoni.
    Leo hii ulizia bei ya hisa zao pia za NMB na wakwambie tatizo la hisa zao kutokukua linatokana na nini?

  • @BoniphaceManyama-y2s
    @BoniphaceManyama-y2s 14 часов назад +6

    Mie ni mtanzamia najitafuta hapa nchin DRC natamani niwe wakala CRDB inawezekana? Napatikana Lubumbashi na kolowezi

    • @Muba-rf1eb
      @Muba-rf1eb 12 часов назад

      Your number please

    • @Lebabaz
      @Lebabaz 10 часов назад

      Kua makini unatapeliwa mda simrefure badea uanze kulia na CRDB BANK kumbe sio wao

    • @Lebabaz
      @Lebabaz 10 часов назад +1

      Tafuta account yao ya instagram yenye tiki ya blue uwasiliane nao kwa msaada zaidi

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 11 часов назад +1

    👍👊✌️.

  • @smallscaleminingsupplies9670
    @smallscaleminingsupplies9670 8 часов назад +2

    Mwambie huyo jamaa akopeshe vijana wanao jielewa

  • @abdallahamad7841
    @abdallahamad7841 14 часов назад +4

    Kikeke naumbe umuulize huyo mkurugenzi mwambiye sisi tuliopo zanzibarr mbona tukiomba mikopo CRDB mbona masharti ynakuwa makubwa lkn mkopo huohuo ukiomba upande wa pili unapewa bila masharti makubwa

    • @universaldesign4295
      @universaldesign4295 12 часов назад

      In general kupata mkopo CRDB ni changamoto Zanz na Tanganyka.

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 11 часов назад

      Swali la kizushi sawa na vipi mbona mbara kupata ardhi zenj inakuwa ni ngumu?

    • @universaldesign4295
      @universaldesign4295 11 часов назад

      @@festokemibala5832 Kila Nchi inataratibu zake kk.

    • @elipidiusgerazi1924
      @elipidiusgerazi1924 7 часов назад

      Mnatabia za p didy

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 12 часов назад +3

    CRDB wanafanya kazi nsuri

    • @piuskusenge-jf2ob
      @piuskusenge-jf2ob 8 часов назад

      CRDB BANK IN UNITED STATES OF AMERICA COMING SOON

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 3 часа назад +1

    Makato makubwa kila mwezi wanakata pesa

  • @Jamesmwakisambwe
    @Jamesmwakisambwe 7 часов назад +1

    Izo fedha niza ........ Ivyo yani

  • @BongerwaFanincialservices
    @BongerwaFanincialservices 12 часов назад +1

    Asante

  • @georgewilliam6001
    @georgewilliam6001 12 часов назад +3

    wapi kasema crdb ni ya nani?

    • @barakamanga5502
      @barakamanga5502 10 часов назад

      Ili iweje

    • @infosolution1323
      @infosolution1323 8 часов назад

      CRDB ni mali ya washirika kama jina lake kwa kirefu ni COPERATIVE RURAL DEVELOPMENT BANK ilipoanzishwa cooperative za Tanzania waliweka hisa zao na kujenga jumba la Rumumba pale. Naibu Waziri Mkuu siku ya Ushirika Duniani aliagiza Cooperative waazishe Bank, Nauliza hii Bank kwa nini wasirudishwe kwa Washirika wenyewe??? Tanzania mbona wataalam na wanasiasa wanatubabaisha kuchezea mali za wananchi big WHY??

    • @1961nungwi
      @1961nungwi 6 часов назад

      ​@@infosolution1323iliorodheshwa kwenye soko la hisa. Ndio maana sio kurudishwa, tukitaka unanunua hisa. Soko la hisa ni somo la mitaji, ndio maana mtaji wake umekuwa mkubwa sana

  • @abdallahamad7841
    @abdallahamad7841 14 часов назад +4

    Huku congo bank yao inaitwaje

  • @DochWholesale
    @DochWholesale 14 часов назад +2

    Kikeke nikopee ml 2 basi nizungushe

    • @miye2215
      @miye2215 5 часов назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @saidsalim6729
    @saidsalim6729 8 часов назад

    CRDB Bank ni benki inayoongozwa na Serikali ya Tanzania, ikishikiliwa na Shirika la Umma. Imeanzishwa mwaka 1996 na imekuwa ikitoa huduma mbalimbali za kifedha kwa wateja wake, ikiwa ni pamoja na akaunti za akiba, mikopo, na huduma za benki mtandao.

    • @1961nungwi
      @1961nungwi 6 часов назад

      Sio sahihi. Ni Bank inayomilikiwa na maelfu ya Wanahisa, Serikali ikiwa mmoja wao

    • @saidsalim6729
      @saidsalim6729 6 часов назад

      @@1961nungwi soma ujumbe wa chini

    • @1961nungwi
      @1961nungwi 6 часов назад +1

      @@saidsalim6729 upi? Naifaham CRDB na jinsi soko la hisa lonavyofanya kazi

    • @rukundorwiza5223
      @rukundorwiza5223 4 часа назад +1

      Crdb is Danish (DENMARK)

    • @1961nungwi
      @1961nungwi 4 часа назад

      @@rukundorwiza5223 DANIDA is just one of the bigger shareholders. There are few other bigger ones and thousands of others. The fact that foreigners have invested in a local Bank's shares means that value is being created. A vote of confidence for our country

  • @RobertBitambaOfficial
    @RobertBitambaOfficial 10 часов назад

    Mumiliki wa crdb ni Nani

    • @1961nungwi
      @1961nungwi 6 часов назад +1

      Maelfu ya wanahisa kupitia soko la hisa

  • @kindysuleiman5935
    @kindysuleiman5935 12 часов назад

    Toa mfano wapi mumefanikiws kuwaibia wananchi