First: Niwapongezi Crown Media kwa kazi mnayoifanya ila mahojiano mengi mnayoyafanya ni kama MARKETING STRATEGIES za pande mbili Interviewer na interviewee and we are the product.
CRDB Bank haimilikiwi moja kwa moja na shirika la umma moja. Hata hivyo, moja ya wamiliki wakubwa wa benki hiyo ni Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (Public Service Social Security Fund - PSSSF), ambao ni shirika la umma linaloshughulika na masuala ya pensheni kwa watumishi wa umma. PSSSF inashikilia sehemu kubwa ya hisa za CRDB, na hivyo kuwa miongoni mwa wamiliki wakuu wa benki hiyo. Pia, kuna wawekezaji binafsi, taasisi za kifedha, na wateja binafsi walio na hisa katika benki hiyo.
Tatizo la benki hii hisa zake huwa hazikui!! Walianza kuuza hisa miaka ya '90 na mwaka 2009 nikanunua hisa karibu 1280 hivi kwa bei ya wastani wa sh.150/- wakati huo nao NMB wako sokoni. Leo hii ulizia bei ya hisa zao pia za NMB na wakwambie tatizo la hisa zao kutokukua linatokana na nini?
Kikeke naumbe umuulize huyo mkurugenzi mwambiye sisi tuliopo zanzibarr mbona tukiomba mikopo CRDB mbona masharti ynakuwa makubwa lkn mkopo huohuo ukiomba upande wa pili unapewa bila masharti makubwa
CRDB ni mali ya washirika kama jina lake kwa kirefu ni COPERATIVE RURAL DEVELOPMENT BANK ilipoanzishwa cooperative za Tanzania waliweka hisa zao na kujenga jumba la Rumumba pale. Naibu Waziri Mkuu siku ya Ushirika Duniani aliagiza Cooperative waazishe Bank, Nauliza hii Bank kwa nini wasirudishwe kwa Washirika wenyewe??? Tanzania mbona wataalam na wanasiasa wanatubabaisha kuchezea mali za wananchi big WHY??
@@infosolution1323iliorodheshwa kwenye soko la hisa. Ndio maana sio kurudishwa, tukitaka unanunua hisa. Soko la hisa ni somo la mitaji, ndio maana mtaji wake umekuwa mkubwa sana
CRDB Bank ni benki inayoongozwa na Serikali ya Tanzania, ikishikiliwa na Shirika la Umma. Imeanzishwa mwaka 1996 na imekuwa ikitoa huduma mbalimbali za kifedha kwa wateja wake, ikiwa ni pamoja na akaunti za akiba, mikopo, na huduma za benki mtandao.
@@rukundorwiza5223 DANIDA is just one of the bigger shareholders. There are few other bigger ones and thousands of others. The fact that foreigners have invested in a local Bank's shares means that value is being created. A vote of confidence for our country
Tunatamani kuiyona taarifa ya habr kutoka crown ten msomaji pia awe Imani luvunga.
First: Niwapongezi Crown Media kwa kazi mnayoifanya ila mahojiano mengi mnayoyafanya ni kama MARKETING STRATEGIES za pande mbili Interviewer na interviewee and we are the product.
Media yoyote private ni marketing agency
@@siriusa186 yes ila wanatuzingua tuu.
Nje ya tunacho jifunza King Kikeke Unatupatia zaidi ya SHULE yaani harakati na upambanaji wako 🙌🙌🙌Jah bless you🙏🙏
Crown 👑 media professional media
Nakubali
CRDB Bank haimilikiwi moja kwa moja na shirika la umma moja. Hata hivyo, moja ya wamiliki wakubwa wa benki hiyo ni Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (Public Service Social Security Fund - PSSSF), ambao ni shirika la umma linaloshughulika na masuala ya pensheni kwa watumishi wa umma. PSSSF inashikilia sehemu kubwa ya hisa za CRDB, na hivyo kuwa miongoni mwa wamiliki wakuu wa benki hiyo. Pia, kuna wawekezaji binafsi, taasisi za kifedha, na wateja binafsi walio na hisa katika benki hiyo.
The bank that listens 🎉
Noma
Niilibiwa pesa zangu CRDB naichukia sana benki hio
Really, haujafungua kesi
Nje ya Africa Crdb wanakwenda 🇨🇳
hii benki inaiba sana.. haifai
Pokea maua yako mkurugenzi wa bank kubwa Tz🎉
Tatizo la benki hii hisa zake huwa hazikui!! Walianza kuuza hisa miaka ya '90 na mwaka 2009 nikanunua hisa karibu 1280 hivi kwa bei ya wastani wa sh.150/- wakati huo nao NMB wako sokoni.
Leo hii ulizia bei ya hisa zao pia za NMB na wakwambie tatizo la hisa zao kutokukua linatokana na nini?
Mie ni mtanzamia najitafuta hapa nchin DRC natamani niwe wakala CRDB inawezekana? Napatikana Lubumbashi na kolowezi
Your number please
Kua makini unatapeliwa mda simrefure badea uanze kulia na CRDB BANK kumbe sio wao
Tafuta account yao ya instagram yenye tiki ya blue uwasiliane nao kwa msaada zaidi
👍👊✌️.
Mwambie huyo jamaa akopeshe vijana wanao jielewa
Kikeke naumbe umuulize huyo mkurugenzi mwambiye sisi tuliopo zanzibarr mbona tukiomba mikopo CRDB mbona masharti ynakuwa makubwa lkn mkopo huohuo ukiomba upande wa pili unapewa bila masharti makubwa
In general kupata mkopo CRDB ni changamoto Zanz na Tanganyka.
Swali la kizushi sawa na vipi mbona mbara kupata ardhi zenj inakuwa ni ngumu?
@@festokemibala5832 Kila Nchi inataratibu zake kk.
Mnatabia za p didy
CRDB wanafanya kazi nsuri
CRDB BANK IN UNITED STATES OF AMERICA COMING SOON
Makato makubwa kila mwezi wanakata pesa
Ongeza juhudi ya kutafuta pesa ndugu
Izo fedha niza ........ Ivyo yani
Asante
wapi kasema crdb ni ya nani?
Ili iweje
CRDB ni mali ya washirika kama jina lake kwa kirefu ni COPERATIVE RURAL DEVELOPMENT BANK ilipoanzishwa cooperative za Tanzania waliweka hisa zao na kujenga jumba la Rumumba pale. Naibu Waziri Mkuu siku ya Ushirika Duniani aliagiza Cooperative waazishe Bank, Nauliza hii Bank kwa nini wasirudishwe kwa Washirika wenyewe??? Tanzania mbona wataalam na wanasiasa wanatubabaisha kuchezea mali za wananchi big WHY??
@@infosolution1323iliorodheshwa kwenye soko la hisa. Ndio maana sio kurudishwa, tukitaka unanunua hisa. Soko la hisa ni somo la mitaji, ndio maana mtaji wake umekuwa mkubwa sana
Huku congo bank yao inaitwaje
Mundende bank
Mundende bank 😂😂😂😂😂😂
Ni CRDB ipo Lubumbashi
Kaka ukipata jibu la kwenye ni juze broo
Kikeke nikopee ml 2 basi nizungushe
😂😂😂😂😂😂
CRDB Bank ni benki inayoongozwa na Serikali ya Tanzania, ikishikiliwa na Shirika la Umma. Imeanzishwa mwaka 1996 na imekuwa ikitoa huduma mbalimbali za kifedha kwa wateja wake, ikiwa ni pamoja na akaunti za akiba, mikopo, na huduma za benki mtandao.
Sio sahihi. Ni Bank inayomilikiwa na maelfu ya Wanahisa, Serikali ikiwa mmoja wao
@@1961nungwi soma ujumbe wa chini
@@saidsalim6729 upi? Naifaham CRDB na jinsi soko la hisa lonavyofanya kazi
Crdb is Danish (DENMARK)
@@rukundorwiza5223 DANIDA is just one of the bigger shareholders. There are few other bigger ones and thousands of others. The fact that foreigners have invested in a local Bank's shares means that value is being created. A vote of confidence for our country
Mumiliki wa crdb ni Nani
Maelfu ya wanahisa kupitia soko la hisa
Toa mfano wapi mumefanikiws kuwaibia wananchi
angalia bank statement yako