DOTTO MAGARI amlipua DIAMOND ALIKIBA KUZIDUA REDIO aache kuvimba KIBA havimbi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 мар 2024
  • East African number one RUclips channel for Gossips,Sports as well as Politics News owned By BONGO PLUS
    KANUNI NA MUONGOZO
    Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
    NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
    WeAreEverywhere
    #entertainment #exclusive #trending #diamondplatnumz #wasafi #ayotv #update #updatenews #udaku #gossip #mwijaku #babalevo #tanzania #kenya #manara #hajimanara #bongo #habari #justinbieber #bieber #rap #hiphop #hiphopmusic #pop #rnb #rnbmusic #exclusivenews #tmz #tmztrends #arianagrande
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 200

  • @saula_brand
    @saula_brand 3 месяца назад +15

    King kiba fans hapa na wanao muunga mkono DOTTO MAGARI hapaaaa

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 3 месяца назад +20

    Waandishi mia3 wanakosoa maswali ya kumuhoji Dotto hadi anawachamba😂😂😂😂😂😂😂 Dotto hoyyeeeeeee

  • @user-xq5mx9if4w
    @user-xq5mx9if4w 3 месяца назад +6

    Kama unamjua mtoto wa doto magari like hapa

  • @titongholo6261
    @titongholo6261 3 месяца назад +7

    Asante sana Dotto Magari , hao waandushi wa habari ni makanjanja hawana weredi wowote ktk kuuliza maswali , umewashushua vizuri ni wapuuzi sana

  • @nicholausmukoji9720
    @nicholausmukoji9720 3 месяца назад +43

    Tatizo ni pale kila kitu mnataka kuwafananisha Ally na Diamond. Hawa ni binadamu, Mungu kawaumba tofauti na hivyo hawatokuja kufanana hata siku moja

  • @Sadikisack-ey2tu
    @Sadikisack-ey2tu 14 дней назад +1

    King

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 3 месяца назад +11

    Hatuna waandishi hapa. Mnashindwaje kumuuliza maswali muhimu

  • @jigwafrankie9420
    @jigwafrankie9420 3 месяца назад +11

    Hakuna swali mtakaloliuliza likaonekana la maana kwake, mmekubali kumhoji kubalini yote, kuna namna anawadhalilisha.

  • @omaryjuma5204
    @omaryjuma5204 3 месяца назад +13

    Mngekua mnamuoji kitaaluma angewajibu vizuri sema mmemuoji kisela na yeye anawajibu kisela hakuna mlicho hoji hapo wala mlicho jibiwa 😮😮😮

    • @erickmbilinyi2056
      @erickmbilinyi2056 3 месяца назад

      😂😂😂😂

    • @erickmbilinyi2056
      @erickmbilinyi2056 3 месяца назад

      Siomeona ilo swali la nn wazimgatie kajibu vzr

    • @hashimsultan6760
      @hashimsultan6760 3 месяца назад +2

      Bro hiyo ndio wandishi wa bongo wana maswali hata mtoto mdogo anajibu hawana point hata moja ya kuliza yaani bado kabisa wana maswali ya kijinga sana

    • @moheregetema4136
      @moheregetema4136 3 месяца назад

      Dotto anakuhudumia jinsi unavyokuja

  • @JacksonJosephat-my6dg
    @JacksonJosephat-my6dg 15 дней назад +1

    Saf dotto magar

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 3 месяца назад +3

    👑👑👑 king kiba respect kwake ##Dotto magari na hapa ipo😂😂😂

  • @moudy4realibrahim601
    @moudy4realibrahim601 18 дней назад +1

    Na hapa ipoo

  • @AmaniHusseni-gz3xq
    @AmaniHusseni-gz3xq 2 месяца назад +1

    Safi sana doti ma gari

  • @abubakarrajab4265
    @abubakarrajab4265 2 месяца назад

    TeamKiba for life 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👊💯

  • @charleskadikilo1969
    @charleskadikilo1969 3 месяца назад +5

    BANGEEEE

  • @Kingstyvesayjj
    @Kingstyvesayjj 2 месяца назад +2

    Dotto kaongea ukweli kbs

  • @deeruta9894
    @deeruta9894 3 месяца назад +3

    😂😂😂😂😂😂 dotto magari hatari kwa kuogea ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 3 месяца назад +7

    Na kweli kabisa king Kiba ni mstaarabu Sana

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 3 месяца назад +7

    😂😂😂 Leo wandishi mume patikana yani nyote mwashindwa na doto mumoja tu 😅😅😅

    • @user-jk8qn4zi5t
      @user-jk8qn4zi5t 3 месяца назад +3

      Yan huyu doto kama vile yeye ndo mwandishi🤣🤣

  • @benbest3095
    @benbest3095 3 месяца назад +5

    Ukimuuliza na wew unayo😂😂😂😂

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 3 месяца назад +7

    Leo waandishi mmepatikana mnao penda kuchonganisha Adabu yenu Leo mnapenda Sana kufananisha na kuchonganisha 😅

  • @issaswalehe200
    @issaswalehe200 3 месяца назад +3

    nyinyi washamba hiyo ndiyo habar tofaut
    na wengin na nishavu kwa wandish...

  • @Starbrunodg
    @Starbrunodg 3 месяца назад +13

    Komesha wandishi😂

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 3 месяца назад +2

    Spendi Kufananisha Baina ya Ally Kiba na Diamond Plz
    Kila Mtu Anawapewa na Mungu na Kwawakati Wake

  • @toshindugwa1085
    @toshindugwa1085 3 месяца назад +6

    Poleni sana anawadhalilisha ila ndio kazi kuwahoji watu kama hao kunahitaji busara

  • @sebastiankatalle2732
    @sebastiankatalle2732 3 месяца назад +3

    SEMA DOTTO NAWE UNABOA SANA

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1o 3 месяца назад +1

    Hata mimi nimesafiri kuanzia mwaka 2011 brother it’s nothing kupanda ………?

  • @AbdulHassan-qz2ot
    @AbdulHassan-qz2ot 3 месяца назад +1

    Unyama doto

  • @congratulationmayunga3833
    @congratulationmayunga3833 3 месяца назад +4

    Yani hiloo bichwa bhana etih mama mitano tenaa 🤣🤣 si tutakufa sasaa kwa mda huu tu tumeshanyooka 🤣🤣

  • @salimmtenzi1263
    @salimmtenzi1263 3 месяца назад +2

    Jamaa yuawatambia wanahabari kama watoto wake

  • @user-kd6vc6os2m
    @user-kd6vc6os2m 3 месяца назад

    Sanaaa ditto magari nmekubalii sanaaa interview

  • @user-rd6od6fw5q
    @user-rd6od6fw5q 3 месяца назад +1

    Nomaaa sana😂

  • @charletsada8779
    @charletsada8779 3 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂😂nimecheka cz wamekipata leoo hawata mhoji tena,bt ameongea point sana.yaan hataki uchonganishi

  • @user-cz9zu7ur1h
    @user-cz9zu7ur1h 3 месяца назад +1

    Wandishi wanaogopa ata kuhoji wasichezee vimondo😅

  • @FatimaFati-pu4lb
    @FatimaFati-pu4lb 3 дня назад

    😂😂😂😂😂🎉 anawakomesha

  • @jeykajimbo3191
    @jeykajimbo3191 3 месяца назад +2

    Yani Kila interview waonyesha hela😂

  • @mararegiononline3457
    @mararegiononline3457 3 месяца назад +1

    Jamaa anavimba sana amenikera

  • @Hashkan22
    @Hashkan22 3 месяца назад +1

    Huyuu jamaa ni comedian bwanaa watu wasimchukulie serious anapenda kuongea sio kwamba anawadhalilisha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @raymondmango5128
    @raymondmango5128 3 месяца назад +2

    Tatizo doto ujasoma ata ukimtaja mama Kizimkazi mara 200 uwezi kupata kazi labda ubalozi nyumba kumi

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf 2 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂doto magariii

  • @yadadkeybagenda5654
    @yadadkeybagenda5654 3 месяца назад +1

    Kama umefika mwisho alafu unagundua mtu muandishi anatafuna ulimi like apa 😂

  • @user-fc7mu9oj1f
    @user-fc7mu9oj1f 3 месяца назад +1

    Wanaliya sana tu wamwache

  • @user-no7pz1bz4y
    @user-no7pz1bz4y 3 месяца назад +1

    Ila Doto🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @summayessayah8584
    @summayessayah8584 3 месяца назад +2

    😂😂😂leo wamekutana na kiboko🤣🤣🤣🤣 yani Huyu 🤣🤣🤣🤣

  • @user-fc7mu9oj1f
    @user-fc7mu9oj1f 3 месяца назад +1

    Kilasiku Niko nawambiya mkubwa nimkuba tu mashabiki acheni bifu Niko congo tunamkubali wala ajachelewa ok ajachelewa alikiba kazijema

  • @sirnyoniinspirationstv5327
    @sirnyoniinspirationstv5327 3 месяца назад +1

    Fikiria kama wote hatungesoma nani angefundisha mwanao na nani angekuwa daktari akutibu? Pesa si kila kitu, ukiweza ujanja ni kuwa navyo elimu na pesa na bado lazima utategemea

  • @jessemwathi9386
    @jessemwathi9386 3 месяца назад

    From kenya napenda jinsi unazvyo wajibu mablogas hao,,they squeeze too much

  • @user-sb1fs7wf8q
    @user-sb1fs7wf8q 3 месяца назад

    Dotto Magari anawafundisha waandishi kazi 😆😆😆😆😆 safiiii

  • @elizabethmwafongo7829
    @elizabethmwafongo7829 2 месяца назад

    Sema waandishi hawana hasira duu amewachamba

  • @athanaswilliam6940
    @athanaswilliam6940 3 месяца назад +2

    Sio Kila mtu wa kumuhoji.... Mnaharibu tasnia kwa kudhalilishwa. Hamjitambui nyi waandishi

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 3 месяца назад +3

      Sasa wajitambue kwa lipi wakati hizi ni tv mbao na redio za udaku umeona hapo kama kuna ITV, BBC, CHANEL TEN, hata cloudas haipo hapo, maswali yenyewe wanauliza ya umbea na yasiyo na weledi wa kazi yao.

  • @jumajuma-fs1iq
    @jumajuma-fs1iq 3 месяца назад +2

    Doto nawew kuw mxtarab ukiw kwa mtu ucmponde m2 mwngne ucwe chawa

  • @saadatiyahyashabani-yg2xy
    @saadatiyahyashabani-yg2xy 3 месяца назад +2

    😂😂😂huyo ndio mswahili sasa

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 3 месяца назад +1

    Waandishi wa habari hawajui kuuliza maswali ukweli 😂😂😂😂😂😂..

  • @mvitahamad2126
    @mvitahamad2126 3 месяца назад +1

    😂😂 Eti kwann nmenihoji

  • @humphreymutange8165
    @humphreymutange8165 3 месяца назад

    swali ni mbona wasizungumze bila kumtaja Diamond ? ...Simba reigns banae

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 3 месяца назад

    DAH! WAANDISHI MNAJIZALILISHA HAKYAMUNGU!!

  • @fadhilidoza5639
    @fadhilidoza5639 3 месяца назад +1

    Huyu anawezaje kudharau waandishi na ndiyo wamemtangaza boya hili

  • @bibieghasia8277
    @bibieghasia8277 3 месяца назад +1

    kuna mwandishi anatafuna ulimi hadi raha

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 3 месяца назад

    Watangazaji awana fact awa ndio mana kila siku Clouds Fm inakua juu watangazaji wao ni wabunifu

  • @robertcharles9975
    @robertcharles9975 2 месяца назад +1

    Saf Dotto

  • @michaelaloyce2072
    @michaelaloyce2072 3 месяца назад +2

    Hawa wapumbavu mnaenda kuwahoji ni changamoto tupu

  • @user-rd2of7sw9b
    @user-rd2of7sw9b 3 месяца назад +1

    Sasa doto unajibu maswali au unatoa maelekezo

  • @tshibangumunyenza7383
    @tshibangumunyenza7383 2 месяца назад +1

    Mu shamba ajuwi kuongeaya na wandishi wa Habari 😂😂

  • @kayjuma2629
    @kayjuma2629 3 месяца назад +1

    Kipanki ka mcheza x wa uturuki 😀😀😀

  • @RamadhaniShabani-nc5ve
    @RamadhaniShabani-nc5ve 3 месяца назад +1

    R.m.s fashion

  • @mkamaboy2016
    @mkamaboy2016 3 месяца назад +1

    Ona km mazuzu masenge hayo aisee

  • @wilgrisernest2184
    @wilgrisernest2184 3 месяца назад

    Waandishi wa habari sikuizi wanazalaurika sana dah

  • @saidchombo5952
    @saidchombo5952 3 месяца назад +1

    Ataka kama ni sifa basi isipiuilize

  • @user-yf1zj1vo1o
    @user-yf1zj1vo1o 3 месяца назад +1

    Sasa mbona unshakable watu juuu hutaki wazungumze

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p 3 месяца назад

    Doto bangi kweli

  • @user-sp2hu8lb1c
    @user-sp2hu8lb1c 3 месяца назад +1

    Ila ndoto

  • @dogonoor8214
    @dogonoor8214 3 месяца назад

    Dotto amekuwa mjeuri sana

  • @Amanikizota
    @Amanikizota 9 дней назад +1

    😂😂😂

  • @yahyawambura9884
    @yahyawambura9884 3 месяца назад +1

    UMESOMA MASOMO YAJION😅

  • @kauzubanda3150
    @kauzubanda3150 3 месяца назад +1

    Waliwaambia wanashindana? Au midomo yawawasha

  • @Mina.15
    @Mina.15 3 месяца назад

    Umezaliwa kwa makusudi unaishi kwa bahati mbaya 😂😂😂😂😂

  • @erastobenedicto3652
    @erastobenedicto3652 3 месяца назад +1

    Dotto kanikomeshea wandishi

  • @nouraalharthy5509
    @nouraalharthy5509 3 месяца назад +2

    Alikiba no moja kwelli nilisema ilo

  • @user-jk8qn4zi5t
    @user-jk8qn4zi5t 3 месяца назад +1

    🤣🤣ila doto mbona kam wewe ndo mwandishi🥰🥰🥰

    • @Callkingb
      @Callkingb 3 месяца назад

      😂😅😊

  • @shabzismail2747
    @shabzismail2747 3 месяца назад +2

    Acha ujinga wewe doto tajiri atakuwa wewe na minywele yako micchafu

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 3 месяца назад +1

    Alie sema atatembea uchi xai ako wapi....ajipange kutombwa xaxa...hii dunia kila kitu cha wezekana😅😅

  • @Kibiriti_Sports
    @Kibiriti_Sports 3 месяца назад +1

    Dotto haelewi chochote 😂😂 ,yeye ni Hela na hapa ipo ,mitano tena 😂😂😂😂

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 3 месяца назад +6

    Ally kiba sio kama ni mstarabu huyu jamaa anadharau sana na anakibri

  • @sundaymushi9640
    @sundaymushi9640 3 месяца назад +1

    Mcheza x wa uturuki😅😅😅😅😅

  • @Kibiriti_Sports
    @Kibiriti_Sports 3 месяца назад +1

    Huwezi kumuuliza dotto swali muhimu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hajui kuchanganua

  • @Kibiriti_Sports
    @Kibiriti_Sports 3 месяца назад +1

    Nilikuwa siamini kama dotto hajui kusoma ila leo ndio nimejua 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 3 месяца назад

    Hao waandishi na huyo doto akili zao sawa sawa maswali ya hovyo majini ya hivyooo 😁😁😁

  • @robertevarist1595
    @robertevarist1595 3 месяца назад +2

    We umetokea mkoa gani kichogo ka mti denge 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-bq4ck4qw2y
    @user-bq4ck4qw2y 3 месяца назад

    Mzaramo ana baya

  • @augukambale2949
    @augukambale2949 3 месяца назад +1

    Mim sio mtanzania alakin naona nyiny watanzania muko naunjinga San

  • @alexsikab6433
    @alexsikab6433 3 месяца назад

    Diamond 💎 siku zote anakuwaka mbali sana na kila siku huwa yuko mbele ya kila msanii tanzania

    • @muhydinaden552
      @muhydinaden552 3 месяца назад

      To describe a horse you explain it's features..... that's Ali Kiba for you .....ukitaka kumjua mtu tazama watu waliomzunguka ...big politicians from Kenya & Tanzania those are called connections ...watch his space "Mfalme Kiba"

  • @isaacskylar5232
    @isaacskylar5232 3 месяца назад +1

    Mondi ni mondi tu.... Nandy mond, harmonize mond, alkiba mond

  • @alisalim5103
    @alisalim5103 3 месяца назад +1

    Mbea kifani sijapata ku ona. Weeeh. Shilling yatafutwa.

  • @zainulabideen6955
    @zainulabideen6955 3 месяца назад +1

    😂😂😂😂

  • @Economically-Growth-Musicians
    @Economically-Growth-Musicians 3 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @abuumohamed7090
    @abuumohamed7090 3 месяца назад

    Doto maninaa😂😂😂akili zakooo

  • @ChidiTz
    @ChidiTz 3 месяца назад +1

    Mi ningekua reporter nisingemuhoj huyo sijui doto kwanza hajielew anatukana waandishi kama hivyo alivyokua chizi analeta siasa anajua sijui anajua yupo ktk campeni Yan jamaa ni hovyo sana

  • @user-rn6gf3my7j
    @user-rn6gf3my7j 3 месяца назад +2

    Kazi hiyoo 😂😂😂😂

  • @kasmilmkalawa9715
    @kasmilmkalawa9715 3 месяца назад

    Mcheza x wa uturuki😂😂

  • @amosymwema4844
    @amosymwema4844 3 месяца назад +1

    Huyuu ni kingwenduu mtupuu hata msipo nipa likes