AHMED ALLY: MSITUKANE WACHEZAJI/ MO ANIPAMBANIA SIMBA/KALETA MAFANIKIO | PART 2
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- #MoDewji #AhmedAlly #Simba
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
- www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Kuna uwezekano mzur sana na mkubwa wa Ahmed Ally kuwa ndo msemaji Bora ndan ya ligi yetu ya Tz..... 🙏🙏
Ahmed Ally umeongea kwa ufasaha sanaa ✊✊ #hapaninyumbani
Hongera sana Ahmed Ali umejaaliwa kipaji kwa hiyo kz yako kwa hapa Tanzania hupaswi kufananishwa na yeyote upo makini huropoki unaongea point
Na like sio kwajili ya simba au kwajili ya ahmed ally like kwajili ya crown media
Pafect
Utajua ww mchaw
Wanasimba huyu kijana ni rubi ya kujivunia uwezo wake wa uelewa ni mkubwa Sana hongera ahamedy ally ❤❤❤❤👏👏👏👏👏👏mahuta oyeee tupunguze fitina tufanye kazi
Crown nawaomba mnipe kipindi cha kuzungumzia masuala ya jinsi na jinsia mana naipenda Crown napenda pia gender issues
Semaji wangu umesema kweli❤❤👍👍🙏
Aijawahi kutokea katika nchi hiii ya Tanzania kutokea msemaji mwenye akiki mwenye ufahamu mwenyekipaji mwenye kira kitu cha usemaji kama Ahamerdy Ally mungu akuweke kaka 🙏🙏🙏✍️✍️✍️
Unaumwa ww
22qqq222222
Wengine hawajui
Crown Média tunaomba kipindi champila live kupitia Crown Média ❤❤❤🎉🎉🎉😅😅😅.
Crown 👑 naomba muwe mnaweka hata beat kwa mbali ya kunogasha mazungumzo
Hatutaki mikelele Sisi mziki wa nn sasa hapa hakutakikani fujo Kama wataka mziki fungua redio
Ingia Dm au nenda ofsini kaka
😂😂@@YogweMwakulola
Hatutaki kelele iwe hivyo hivyo tusikilize tuelewe
Kaka wew unajua.. maisha marefu semaji la CAF 👏
✍️ Mabetu &Co
Kaza kazi bwana mdogo Hemed Ali
hapa ni home kabisa
hakuna msemaji kama ahmedi🎉🎉
Kwa ukilaza
Hapa ni nyumbani ndo kauli mbio yetu CROWN 👑❤❤❤❤
Kuna watu wanasema atuachie hata umuambie mnumulie mchezaji mmoja chai yasiku moja hawezi
Jaman Crown Fm ipo sehem gan kwa hapa dar.
nikweli kabisa kaka ,,,hakuna mwanasimba wenye akili anae weza mzungumzia vibaya Mo dewj , hao ni yanga sio simba hao
Kweli uyu ahamed ni mtu mzur sana wa wa kuongea point
Ahmed Ally ndio journalist m
I love @CROWN MEDIA
Maturity ya hali ya juu kwa ongea yake congrats...
Mimi ni arsenal tangu mwaka 1982 bado nipo na mapitio yote nipo na simba ni timu yangu tangu nipo mdogo na bado nipo nitakuwepo tu
Hapa n nyumbaniii
Siyo kumfagilia tuu ,msemaji Kama mnamuogopa,,lah hasha,,palipo na ukweli lazima watu waseme,,viongoji mmeliwa mamruki mnaiharibu Simba,,watu mtaani tunateseaka Sana kwaajiri ya ujinga wa watu wachsche,,hasajiri watu wampira mnatuletea wacheza dance uwanjani,,Kama nikweli tajiri Ana toa pesa,,ninyi mpiga mgao,,alafu mnatuletea magalasa
Ya kwangu kwaajili ya ahmedy na mo
Uko sahihi ila muda mwingine ujuwe uongozi ni mbovu mwenyekiti na c o na wengine wanaoiongoza timu hawana mpiganaji wapo kimaslahi yao mo hana tatizo ila tatizo lipo kwa uongozi tumeelewana sijuw
Tuko pamoja na CROWN Media 💪
Wanaomtukana mo sio simba watuachie mo wetu na simba yetu ila mangungu atoke hao utopolo wanawafaranakisha wanasimba ili simba yetu ipoteane pia wako mashabiki wanafiki wakijifanya wanasimba na kuitukana simba yetu wasiikatishe tamaa
CROWN media❤❤❤
Huyu mwamba kweli👍💯
Point tupu za msingi, Hapana ni Nyumbani imefaana vema.
Naenda kuku follow bro ally uk vzr
Sumba imeshinda mara nyingi kwa viporo tu,Sumba hawana uvumilivu tu eanadahau kama mbio za ubingwa zina muda Mara huyu na miaka mengine huyu.Mo bado no tegemeo na hamuwezi kuwa mabingwa muda wore kama Yanga nae ataacha ubingwa wachukue wengine.
Safi sana ahmed alli umeongea point sana
Nice #Crown media
Hapa ni nyumbani....
Fact
Safi sana
Nikweli mhamed Aly Mo ndio kilakitu katika mafanikio ya Simba, hao watu wanaompinga mo hawaujui mpira na hata kama walicheza mpira Kwan sio Kila mwanafunz anaesoma anahakiri kunawengine wanasoma lakin hawaelewi. Ndio sawa na hao wanaompinga mo Kwan ukiujua mpira hua unamatokeo ya kikatiri sana hakuna timu itafanya vizur milele mafanikio ni zamu huwez kulazimisha zamu ya mwingine iwe yako bac huo ni ujinga watu wakulaumiwa hapo ni viongoz na usajili wanaotufanyia kua ni mbovu sana wanasfata majina makubwa na sio watu wenye hamu na mafanikio
Semaji, shida ya Simba ni kufanya uzembe kwenye usajili na mnakuwa wasiri sana làkn mwisho wa siku mnaleta wachezaji wa kawaida sana, kwani Phir alikuwa na shida gani
Hapo ni hm 2
Mwamba kaongea ukweli mtupu 🙏🙏🙏
Wewe leo kwenye hao viongozi hapo naomba nikutukane kidogo kuma yako ya nyuma viongozi wabovu
#winning_team
Ushind razima wanasimba
Ahmed acha kutukana mashabiki kumbuka hao ni wengi na wanamchango mkubwa kwa timu ndio maana huwa unaungua jua kuwafuata hao washambq wajae uwanjani kama hawana mchango unawatafuta wanini kuja uwanjani,kununnua jezi nk,kazi ya shabiki ni kupongeza na kukosa ama kushangilia na kuzomea,kumtukana mo si sahihi lkn hayo yanatokea kwa ukimya wake malalamiko yoyote yasipo PATA ufafanizi huzua taflani Alisha wahi kusema atawataja viongozi wanamkwamisha aliwasema? Ama alichukua hatua,na wewe umevimba umaarufu ndio maana unatutukana sana
Siku zote Hutu tu kichaa anaropokaga Sanaa ila Leo kaongea kiutu uzima sanaaaa
Huyu kweli msemaji mchambuzi sana❤❤❤❤
Semaji nguli
Ahmed ni Simba .
Hapa ni nyumban
Bro sijui pabro fanya mazoezi ya sautu ni nzito haisikirizik
Hapa ni home
Pablo umemkimbia manara basi sasa hivi ataanza vita na crown media
huna baya ahmed alliy
Crown media
Muulize Ahmed kwanini Simba imepoteza ubingwa misimu mitatu sababu ni nini?
Semajiiii umesema kwl nakuonga mkono
Mabadiliko yawepo kwenye wàchezaji hadi viongozi. Ndipo timu itakuwa tamu sana. Lakini kama mo atatoa fedha kutafuta wachezaji na kuacha uongozi ule ule Tutaferi vibaya mno.
Simba nguvu. Moja
Izo camera ni humu tu humu tu kubababake 😂😂😂😂
Wakupe tuzo ya msemaji Africa mashariki umeongea vyema ila tengenezeni jobo zuri la usajili
Moo ana moyo Sanaa kutege eza,Hadi kiwanja hawa maruki wametoka wapi
Kila kitu kitakaa sawa sisi tunaimani na tim yetu huu ni mpito
Upo sahihi sana semaji
❤
Hamkai vizur nawachezaji Chemalony ameongea tatizo uongoz Ahmerd hapo usitudanganye kaeni vizr nawachezaji mchezaji usipo ishinao vizur lazima wakuonyeshe uwanjani tunaewa uwezo wachezaji Kwann sehemu tu yakushkuma mpira uende golin mtu anaekt amekosea
Nani kaona huu jama mwalikwa ame fanana na Ali Kiba
Point tatu muimu
Semaji sasa umeelewa kinachoendelea. Mercenaries wako wengi, na waandishi wa habari wako humo. Simba Nguvu moja 🎉
Daima Mimi n shabiki wa Simba sio shabiki wa matokeo
Mo dewj ndio alie itunza Simba ad leo Hakuna muwekezaji mwenye moyo wa mapenz ya dhati na Simba #crownmediahapaninyumbani welcome home at crownmedia visit rutalekigoma visitgombenationalpark
Ni sahihi kabisa, maana hata kama timu haijafanya vizuri baadhi ya michezo, siyo vurugu zinazosemwa mitandaoni, ni mamluki tu.
Kabisa semaji ata sisi tuko shamba tunaipenda simba yetu ila tunapata changamoto kubwa na mashabiki wa upande wa pili ao ndo watukanaji sio wanasimba
Tupeni kadi za uwanachama hili ndio tatizo kwenu mkitupa kadi za uwanachama matatizo haya yote yatapotea tunataka kuwa wanachama halali wa Simba
HII Tv Ina Quality Kubwa Ya maudhui
simba nguvu moja naimani itakuwa sw 2 kilakit kinamwaz na mwisho kwahiy naiman haya tunayo pitia itafika mwisho yatapita 2
Baba wewe ni msemaji
Identity Identified🎉
🔥🔥
Uko sahh
Semaj kiukweri umenena ukweri hao wamevaa nguo zayanga yanajidai simba sio simba hao
Hao wote ni mamluki tu hawana mapenzi na club ya simba sports club wala asiwe na shaka yeye afanye kazi aachane na mamluki hao
🎉
Mimi ni simba damdam miaka yote mbaka siku ya mwisho
Mo hana ttz shida ni viongozi naww kwakua ndo mabosi zako ila kiukweli hawatufai
Semaj
Hakika semaji hakuna km MO,wanao mubeza akili ni fupi.
semaji bora
Simba inahitaji muda tu
❤❤❤
we una uchawa wakitoto sana uwoni aibu
Semaji
Nakubal
Mimi sina kadi ila naipenda simba na huwa naishangilia,inapo fungwa huwa nasikitika na sijamzodoa MO, ila huwa naamini katika ninyi viongozi huwa mnamuangusha MO'hasa kamati ya usajili ,kwanini ?kwa sababu mnasajili wachezaji ambao ni mizigo wachezaji mnao wasajili ni wachezaji ambao kwanza wameachwa na vilabu vyao wengine wametolewa kwa mkopo ukaona mchezaji anae tolewa kwa mkopo huyo ni mzigo.
Kijana sancho yupo dortimund kwa mkopo na anakiwasha
❤❤🎉🎉🔥🔥
SIMBA MNAPIGA KELELE SANA
Semaji Mimi nazani liziki ya mo pale Simba imeisha aende tu wawekezaji niwengi tu wanaoitaka simba
Mwekezaji babako!? Tuletee basi huyo mwekezaji au kuna aliyetuma maombi ya kutaka kuiendesha!? Haya tajiri gani mwingi muarabu au muingereza!? Matajiri bongo ni azam,mo na GSM kuna tajiri mwingine!? unazungumzia oil com,azania,victoria oil com!?? Au demu wako?😅
Wee pimbi nn timu inaenda viba tukae kimyaa ukua ccm ni hataki kumbiwa ukweli mkizingua tutawanyoosha
viongozi hampo serious hata mechi Kagera mmetoa draw
Hapo kwenye makombe hapo 😂😂😂😂
Jamaangu upo vinzuri kweli un akipaji
Umeongea ukweli mtupu semaji
Wanasimba tutulie TU; ipo siku tutafurahi TU,