AHMED ALLY: MSITUKANE WACHEZAJI/ MO ANIPAMBANIA SIMBA/KALETA MAFANIKIO | PART 2
HTML-код
- Опубликовано: 8 май 2024
- #MoDewji #AhmedAlly #Simba
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz Развлечения
Kuna uwezekano mzur sana na mkubwa wa Ahmed Ally kuwa ndo msemaji Bora ndan ya ligi yetu ya Tz..... 🙏🙏
Aijawahi kutokea katika nchi hiii ya Tanzania kutokea msemaji mwenye akiki mwenye ufahamu mwenyekipaji mwenye kira kitu cha usemaji kama Ahamerdy Ally mungu akuweke kaka 🙏🙏🙏✍️✍️✍️
Unaumwa ww
22qqq222222
Wengine hawajui
Ahmed Ally umeongea kwa ufasaha sanaa ✊✊ #hapaninyumbani
Na like sio kwajili ya simba au kwajili ya ahmed ally like kwajili ya crown media
Pafect
Utajua ww mchaw
Wanasimba huyu kijana ni rubi ya kujivunia uwezo wake wa uelewa ni mkubwa Sana hongera ahamedy ally ❤❤❤❤👏👏👏👏👏👏mahuta oyeee tupunguze fitina tufanye kazi
hakuna msemaji kama ahmedi🎉🎉
Kwa ukilaza
Crown nawaomba mnipe kipindi cha kuzungumzia masuala ya jinsi na jinsia mana naipenda Crown napenda pia gender issues
hapa ni home kabisa
Semaji wangu umesema kweli❤❤👍👍🙏
Kaza kazi bwana mdogo Hemed Ali
Crown 👑 naomba muwe mnaweka hata beat kwa mbali ya kunogasha mazungumzo
Hatutaki mikelele Sisi mziki wa nn sasa hapa hakutakikani fujo Kama wataka mziki fungua redio
Ingia Dm au nenda ofsini kaka
😂😂@@YogweMwakulola
Hatutaki kelele iwe hivyo hivyo tusikilize tuelewe
Ahmed Ally ndio journalist m
Tupo pamoja Wana simba❤❤❤❤❤
Hapa ni nyumbani ndo kauli mbio yetu CROWN 👑❤❤❤❤
Nikweli mhamed Aly Mo ndio kilakitu katika mafanikio ya Simba, hao watu wanaompinga mo hawaujui mpira na hata kama walicheza mpira Kwan sio Kila mwanafunz anaesoma anahakiri kunawengine wanasoma lakin hawaelewi. Ndio sawa na hao wanaompinga mo Kwan ukiujua mpira hua unamatokeo ya kikatiri sana hakuna timu itafanya vizur milele mafanikio ni zamu huwez kulazimisha zamu ya mwingine iwe yako bac huo ni ujinga watu wakulaumiwa hapo ni viongoz na usajili wanaotufanyia kua ni mbovu sana wanasfata majina makubwa na sio watu wenye hamu na mafanikio
Point tupu za msingi, Hapana ni Nyumbani imefaana vema.
Mimi ni arsenal tangu mwaka 1982 bado nipo na mapitio yote nipo na simba ni timu yangu tangu nipo mdogo na bado nipo nitakuwepo tu
Jaman Crown Fm ipo sehem gan kwa hapa dar.
Crown Média tunaomba kipindi champila live kupitia Crown Média ❤❤❤🎉🎉🎉😅😅😅.
Hapa n nyumbaniii
Kweli uyu ahamed ni mtu mzur sana wa wa kuongea point
I love @CROWN MEDIA
Siyo kumfagilia tuu ,msemaji Kama mnamuogopa,,lah hasha,,palipo na ukweli lazima watu waseme,,viongoji mmeliwa mamruki mnaiharibu Simba,,watu mtaani tunateseaka Sana kwaajiri ya ujinga wa watu wachsche,,hasajiri watu wampira mnatuletea wacheza dance uwanjani,,Kama nikweli tajiri Ana toa pesa,,ninyi mpiga mgao,,alafu mnatuletea magalasa
Maturity ya hali ya juu kwa ongea yake congrats...
Ya kwangu kwaajili ya ahmedy na mo
Wanaomtukana mo sio simba watuachie mo wetu na simba yetu ila mangungu atoke hao utopolo wanawafaranakisha wanasimba ili simba yetu ipoteane pia wako mashabiki wanafiki wakijifanya wanasimba na kuitukana simba yetu wasiikatishe tamaa
CROWN media❤❤❤
Hapa ni nyumbani....
Uko sahihi ila muda mwingine ujuwe uongozi ni mbovu mwenyekiti na c o na wengine wanaoiongoza timu hawana mpiganaji wapo kimaslahi yao mo hana tatizo ila tatizo lipo kwa uongozi tumeelewana sijuw
Tuko pamoja na CROWN Media 💪
nikweli kabisa kaka ,,,hakuna mwanasimba wenye akili anae weza mzungumzia vibaya Mo dewj , hao ni yanga sio simba hao
Nice #Crown media
Sumba imeshinda mara nyingi kwa viporo tu,Sumba hawana uvumilivu tu eanadahau kama mbio za ubingwa zina muda Mara huyu na miaka mengine huyu.Mo bado no tegemeo na hamuwezi kuwa mabingwa muda wore kama Yanga nae ataacha ubingwa wachukue wengine.
Ushind razima wanasimba
Ahmed acha kutukana mashabiki kumbuka hao ni wengi na wanamchango mkubwa kwa timu ndio maana huwa unaungua jua kuwafuata hao washambq wajae uwanjani kama hawana mchango unawatafuta wanini kuja uwanjani,kununnua jezi nk,kazi ya shabiki ni kupongeza na kukosa ama kushangilia na kuzomea,kumtukana mo si sahihi lkn hayo yanatokea kwa ukimya wake malalamiko yoyote yasipo PATA ufafanizi huzua taflani Alisha wahi kusema atawataja viongozi wanamkwamisha aliwasema? Ama alichukua hatua,na wewe umevimba umaarufu ndio maana unatutukana sana
Kuna watu wanasema atuachie hata umuambie mnumulie mchezaji mmoja chai yasiku moja hawezi
Fact
#winning_team
Ahmed ni Simba .
Huyu mwamba kweli👍💯
Safi sana ahmed alli umeongea point sana
Kazi kazi
Crown media
Naenda kuku follow bro ally uk vzr
Semaji, shida ya Simba ni kufanya uzembe kwenye usajili na mnakuwa wasiri sana làkn mwisho wa siku mnaleta wachezaji wa kawaida sana, kwani Phir alikuwa na shida gani
Mwamba kaongea ukweli mtupu 🙏🙏🙏
Safi sana
Hapa ni nyumban
huna baya ahmed alliy
Pablo umemkimbia manara basi sasa hivi ataanza vita na crown media
Huyu kweli msemaji mchambuzi sana❤❤❤❤
Wewe leo kwenye hao viongozi hapo naomba nikutukane kidogo kuma yako ya nyuma viongozi wabovu
Simba nguvu. Moja
Semaji nguli
Siku zote Hutu tu kichaa anaropokaga Sanaa ila Leo kaongea kiutu uzima sanaaaa
Hapa ni home
Muulize Ahmed kwanini Simba imepoteza ubingwa misimu mitatu sababu ni nini?
Point tatu muimu
Kila kitu kitakaa sawa sisi tunaimani na tim yetu huu ni mpito
❤
Kabisa semaji ata sisi tuko shamba tunaipenda simba yetu ila tunapata changamoto kubwa na mashabiki wa upande wa pili ao ndo watukanaji sio wanasimba
Moo ana moyo Sanaa kutege eza,Hadi kiwanja hawa maruki wametoka wapi
🔥🔥
Wakupe tuzo ya msemaji Africa mashariki umeongea vyema ila tengenezeni jobo zuri la usajili
Bro sijui pabro fanya mazoezi ya sautu ni nzito haisikirizik
Nani kaona huu jama mwalikwa ame fanana na Ali Kiba
Mabadiliko yawepo kwenye wàchezaji hadi viongozi. Ndipo timu itakuwa tamu sana. Lakini kama mo atatoa fedha kutafuta wachezaji na kuacha uongozi ule ule Tutaferi vibaya mno.
Semajiiii umesema kwl nakuonga mkono
Upo sahihi sana semaji
Hapo ni hm 2
Hamkai vizur nawachezaji Chemalony ameongea tatizo uongoz Ahmerd hapo usitudanganye kaeni vizr nawachezaji mchezaji usipo ishinao vizur lazima wakuonyeshe uwanjani tunaewa uwezo wachezaji Kwann sehemu tu yakushkuma mpira uende golin mtu anaekt amekosea
Identity Identified🎉
Izo camera ni humu tu humu tu kubababake 😂😂😂😂
🎉
Semaji sasa umeelewa kinachoendelea. Mercenaries wako wengi, na waandishi wa habari wako humo. Simba Nguvu moja 🎉
Daima Mimi n shabiki wa Simba sio shabiki wa matokeo
Mo dewj ndio alie itunza Simba ad leo Hakuna muwekezaji mwenye moyo wa mapenz ya dhati na Simba #crownmediahapaninyumbani welcome home at crownmedia visit rutalekigoma visitgombenationalpark
Ni sahihi kabisa, maana hata kama timu haijafanya vizuri baadhi ya michezo, siyo vurugu zinazosemwa mitandaoni, ni mamluki tu.
Tupeni kadi za uwanachama hili ndio tatizo kwenu mkitupa kadi za uwanachama matatizo haya yote yatapotea tunataka kuwa wanachama halali wa Simba
HII Tv Ina Quality Kubwa Ya maudhui
👍
❤❤❤
simba nguvu moja naimani itakuwa sw 2 kilakit kinamwaz na mwisho kwahiy naiman haya tunayo pitia itafika mwisho yatapita 2
Baba wewe ni msemaji
Uko sahh
❤❤🎉🎉🔥🔥
Simba inahitaji muda tu
Hao wote ni mamluki tu hawana mapenzi na club ya simba sports club wala asiwe na shaka yeye afanye kazi aachane na mamluki hao
Nakubal
Mimi ni simba damdam miaka yote mbaka siku ya mwisho
Semaj
Semaji
Mo hana ttz shida ni viongozi naww kwakua ndo mabosi zako ila kiukweli hawatufai
semaji bora
Shida uku nikuchekana. Ni ushamba uliopo
SIMBA MNAPIGA KELELE SANA
we una uchawa wakitoto sana uwoni aibu
Bosss kiba hiki kipindi mpe shavu mziwanda
viongozi hampo serious hata mechi Kagera mmetoa draw
Jamaangu upo vinzuri kweli un akipaji
Kicheko hicho kina maana yake
Wanasimba tutulie TU; ipo siku tutafurahi TU,
Semaji Mimi nazani liziki ya mo pale Simba imeisha aende tu wawekezaji niwengi tu wanaoitaka simba
Mwekezaji babako!? Tuletee basi huyo mwekezaji au kuna aliyetuma maombi ya kutaka kuiendesha!? Haya tajiri gani mwingi muarabu au muingereza!? Matajiri bongo ni azam,mo na GSM kuna tajiri mwingine!? unazungumzia oil com,azania,victoria oil com!?? Au demu wako?😅
Mnasajoli majina badala ya wachezaji matapeli mnatutaepeli sisi
Mimi sina kadi ila naipenda simba na huwa naishangilia,inapo fungwa huwa nasikitika na sijamzodoa MO, ila huwa naamini katika ninyi viongozi huwa mnamuangusha MO'hasa kamati ya usajili ,kwanini ?kwa sababu mnasajili wachezaji ambao ni mizigo wachezaji mnao wasajili ni wachezaji ambao kwanza wameachwa na vilabu vyao wengine wametolewa kwa mkopo ukaona mchezaji anae tolewa kwa mkopo huyo ni mzigo.
Kijana sancho yupo dortimund kwa mkopo na anakiwasha