AHMED ALLY: MSITUKANE WACHEZAJI/ MO ANIPAMBANIA SIMBA/KALETA MAFANIKIO | PART 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #MoDewji #AhmedAlly #Simba
    Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Комментарии • 167

  • @waltermfikwa4361
    @waltermfikwa4361 4 месяца назад +8

    Kuna uwezekano mzur sana na mkubwa wa Ahmed Ally kuwa ndo msemaji Bora ndan ya ligi yetu ya Tz..... 🙏🙏

  • @kagenzikanala109
    @kagenzikanala109 4 месяца назад +16

    Ahmed Ally umeongea kwa ufasaha sanaa ✊✊ #hapaninyumbani

  • @hajihalid8096
    @hajihalid8096 2 месяца назад

    Hongera sana Ahmed Ali umejaaliwa kipaji kwa hiyo kz yako kwa hapa Tanzania hupaswi kufananishwa na yeyote upo makini huropoki unaongea point

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 4 месяца назад +31

    Na like sio kwajili ya simba au kwajili ya ahmed ally like kwajili ya crown media

    • @AgripaMwangobola-il3bz
      @AgripaMwangobola-il3bz 4 месяца назад +7

      Pafect

    • @Jay4gNdava
      @Jay4gNdava 4 месяца назад +2

      Utajua ww mchaw

    • @hamisimsosi6237
      @hamisimsosi6237 4 месяца назад +2

      Wanasimba huyu kijana ni rubi ya kujivunia uwezo wake wa uelewa ni mkubwa Sana hongera ahamedy ally ❤❤❤❤👏👏👏👏👏👏mahuta oyeee tupunguze fitina tufanye kazi

  • @rajaburajabu3963
    @rajaburajabu3963 4 месяца назад +10

    Crown nawaomba mnipe kipindi cha kuzungumzia masuala ya jinsi na jinsia mana naipenda Crown napenda pia gender issues

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 4 месяца назад +4

    Semaji wangu umesema kweli❤❤👍👍🙏

  • @BabaStuwartKatojo
    @BabaStuwartKatojo 4 месяца назад +11

    Aijawahi kutokea katika nchi hiii ya Tanzania kutokea msemaji mwenye akiki mwenye ufahamu mwenyekipaji mwenye kira kitu cha usemaji kama Ahamerdy Ally mungu akuweke kaka 🙏🙏🙏✍️✍️✍️

  • @DaudomataAmade
    @DaudomataAmade 4 месяца назад +2

    Crown Média tunaomba kipindi champila live kupitia Crown Média ❤❤❤🎉🎉🎉😅😅😅.

  • @mallemaOg
    @mallemaOg 4 месяца назад +11

    Crown 👑 naomba muwe mnaweka hata beat kwa mbali ya kunogasha mazungumzo

    • @YogweMwakulola
      @YogweMwakulola 4 месяца назад +2

      Hatutaki mikelele Sisi mziki wa nn sasa hapa hakutakikani fujo Kama wataka mziki fungua redio

    • @Sampovoice8088
      @Sampovoice8088 4 месяца назад

      Ingia Dm au nenda ofsini kaka

    • @abasilihundu200
      @abasilihundu200 4 месяца назад

      😂😂​@@YogweMwakulola

    • @SophiaJumbee
      @SophiaJumbee 4 месяца назад

      Hatutaki kelele iwe hivyo hivyo tusikilize tuelewe

  • @BellaTuyi-hd7tw
    @BellaTuyi-hd7tw 3 месяца назад

    Kaka wew unajua.. maisha marefu semaji la CAF 👏
    ✍️ Mabetu &Co

  • @macheramuhabe5503
    @macheramuhabe5503 4 месяца назад +3

    Kaza kazi bwana mdogo Hemed Ali

  • @jogayatheboss2224
    @jogayatheboss2224 4 месяца назад +14

    hapa ni home kabisa

  • @athumankasanzu6343
    @athumankasanzu6343 4 месяца назад +27

    hakuna msemaji kama ahmedi🎉🎉

  • @EsperanceNamagajo
    @EsperanceNamagajo 4 месяца назад +2

    Hapa ni nyumbani ndo kauli mbio yetu CROWN 👑❤❤❤❤

  • @AyubMdoe
    @AyubMdoe 4 месяца назад +2

    Kuna watu wanasema atuachie hata umuambie mnumulie mchezaji mmoja chai yasiku moja hawezi

  • @ramahassani9477
    @ramahassani9477 4 месяца назад +1

    Jaman Crown Fm ipo sehem gan kwa hapa dar.

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela8477 4 месяца назад +2

    nikweli kabisa kaka ,,,hakuna mwanasimba wenye akili anae weza mzungumzia vibaya Mo dewj , hao ni yanga sio simba hao

  • @rojasimbamooooootoroja8309
    @rojasimbamooooootoroja8309 4 месяца назад +3

    Kweli uyu ahamed ni mtu mzur sana wa wa kuongea point

  • @yaseer255
    @yaseer255 4 месяца назад +5

    Ahmed Ally ndio journalist m

  • @mohamedyally816
    @mohamedyally816 4 месяца назад +3

    I love @CROWN MEDIA

  • @freddiemwela708
    @freddiemwela708 4 месяца назад +4

    Maturity ya hali ya juu kwa ongea yake congrats...

  • @MajidMajid-ll8mf
    @MajidMajid-ll8mf 4 месяца назад +4

    Mimi ni arsenal tangu mwaka 1982 bado nipo na mapitio yote nipo na simba ni timu yangu tangu nipo mdogo na bado nipo nitakuwepo tu

  • @jameszengwe7889
    @jameszengwe7889 4 месяца назад +11

    Hapa n nyumbaniii

  • @brownkihanga688
    @brownkihanga688 4 месяца назад +2

    Siyo kumfagilia tuu ,msemaji Kama mnamuogopa,,lah hasha,,palipo na ukweli lazima watu waseme,,viongoji mmeliwa mamruki mnaiharibu Simba,,watu mtaani tunateseaka Sana kwaajiri ya ujinga wa watu wachsche,,hasajiri watu wampira mnatuletea wacheza dance uwanjani,,Kama nikweli tajiri Ana toa pesa,,ninyi mpiga mgao,,alafu mnatuletea magalasa

  • @TanaMidundo
    @TanaMidundo 4 месяца назад +4

    Ya kwangu kwaajili ya ahmedy na mo

  • @FarajiDetz
    @FarajiDetz 4 месяца назад +1

    Uko sahihi ila muda mwingine ujuwe uongozi ni mbovu mwenyekiti na c o na wengine wanaoiongoza timu hawana mpiganaji wapo kimaslahi yao mo hana tatizo ila tatizo lipo kwa uongozi tumeelewana sijuw

  • @EsperanceNamagajo
    @EsperanceNamagajo 4 месяца назад +1

    Tuko pamoja na CROWN Media 💪

  • @VenanceNtakabile
    @VenanceNtakabile 3 месяца назад +1

    Wanaomtukana mo sio simba watuachie mo wetu na simba yetu ila mangungu atoke hao utopolo wanawafaranakisha wanasimba ili simba yetu ipoteane pia wako mashabiki wanafiki wakijifanya wanasimba na kuitukana simba yetu wasiikatishe tamaa

  • @عزيزه-ر1ه
    @عزيزه-ر1ه 4 месяца назад +2

    CROWN media❤❤❤

  • @WivinaFrance-xn3mk
    @WivinaFrance-xn3mk 4 месяца назад +1

    Huyu mwamba kweli👍💯

  • @kheirahmad4064
    @kheirahmad4064 4 месяца назад +13

    Point tupu za msingi, Hapana ni Nyumbani imefaana vema.

  • @officialdana5114
    @officialdana5114 4 месяца назад +1

    Naenda kuku follow bro ally uk vzr

  • @bmkaskazinib4363
    @bmkaskazinib4363 4 месяца назад +1

    Sumba imeshinda mara nyingi kwa viporo tu,Sumba hawana uvumilivu tu eanadahau kama mbio za ubingwa zina muda Mara huyu na miaka mengine huyu.Mo bado no tegemeo na hamuwezi kuwa mabingwa muda wore kama Yanga nae ataacha ubingwa wachukue wengine.

  • @neemacharles9848
    @neemacharles9848 3 месяца назад

    Safi sana ahmed alli umeongea point sana

  • @arrickofficial
    @arrickofficial 4 месяца назад +2

    Nice #Crown media

  • @allykalumba3414
    @allykalumba3414 4 месяца назад +10

    Hapa ni nyumbani....

  • @IbrahimsolicitorIbrahimsolicit
    @IbrahimsolicitorIbrahimsolicit 4 месяца назад +4

    Fact

  • @rashidkopa
    @rashidkopa 4 месяца назад +8

    Safi sana

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh 4 месяца назад +1

    Nikweli mhamed Aly Mo ndio kilakitu katika mafanikio ya Simba, hao watu wanaompinga mo hawaujui mpira na hata kama walicheza mpira Kwan sio Kila mwanafunz anaesoma anahakiri kunawengine wanasoma lakin hawaelewi. Ndio sawa na hao wanaompinga mo Kwan ukiujua mpira hua unamatokeo ya kikatiri sana hakuna timu itafanya vizur milele mafanikio ni zamu huwez kulazimisha zamu ya mwingine iwe yako bac huo ni ujinga watu wakulaumiwa hapo ni viongoz na usajili wanaotufanyia kua ni mbovu sana wanasfata majina makubwa na sio watu wenye hamu na mafanikio

  • @sijaonamjungufinias481
    @sijaonamjungufinias481 4 месяца назад +1

    Semaji, shida ya Simba ni kufanya uzembe kwenye usajili na mnakuwa wasiri sana làkn mwisho wa siku mnaleta wachezaji wa kawaida sana, kwani Phir alikuwa na shida gani

  • @RaphaelKapinga-zr5hz
    @RaphaelKapinga-zr5hz 3 месяца назад +1

    Hapo ni hm 2

  • @malingazeboss9351
    @malingazeboss9351 4 месяца назад +2

    Mwamba kaongea ukweli mtupu 🙏🙏🙏

  • @SophiaJumbee
    @SophiaJumbee 4 месяца назад +1

    Wewe leo kwenye hao viongozi hapo naomba nikutukane kidogo kuma yako ya nyuma viongozi wabovu

  • @townkidallnight
    @townkidallnight 4 месяца назад +4

    #winning_team

  • @RamadhanMajebele
    @RamadhanMajebele 4 месяца назад +8

    Ushind razima wanasimba

    • @kassimntara6901
      @kassimntara6901 4 месяца назад

      Ahmed acha kutukana mashabiki kumbuka hao ni wengi na wanamchango mkubwa kwa timu ndio maana huwa unaungua jua kuwafuata hao washambq wajae uwanjani kama hawana mchango unawatafuta wanini kuja uwanjani,kununnua jezi nk,kazi ya shabiki ni kupongeza na kukosa ama kushangilia na kuzomea,kumtukana mo si sahihi lkn hayo yanatokea kwa ukimya wake malalamiko yoyote yasipo PATA ufafanizi huzua taflani Alisha wahi kusema atawataja viongozi wanamkwamisha aliwasema? Ama alichukua hatua,na wewe umevimba umaarufu ndio maana unatutukana sana

  • @donatusnicolaus6403
    @donatusnicolaus6403 4 месяца назад +1

    Siku zote Hutu tu kichaa anaropokaga Sanaa ila Leo kaongea kiutu uzima sanaaaa

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 3 месяца назад

    Huyu kweli msemaji mchambuzi sana❤❤❤❤

  • @selemanimusa7649
    @selemanimusa7649 3 месяца назад +1

    Semaji nguli

  • @kichenjewillian5720
    @kichenjewillian5720 4 месяца назад +1

    Ahmed ni Simba .

  • @abdulrazaqkatoma5648
    @abdulrazaqkatoma5648 4 месяца назад +7

    Hapa ni nyumban

  • @officialdana5114
    @officialdana5114 4 месяца назад +1

    Bro sijui pabro fanya mazoezi ya sautu ni nzito haisikirizik

  • @ArafaMoreno
    @ArafaMoreno 4 месяца назад +2

    Hapa ni home

  • @fahadfaraj6474
    @fahadfaraj6474 4 месяца назад +2

    Pablo umemkimbia manara basi sasa hivi ataanza vita na crown media

  • @Muswaddiq
    @Muswaddiq 4 месяца назад +3

    huna baya ahmed alliy

  • @FredrickRamadhani
    @FredrickRamadhani 4 месяца назад +1

    Crown media

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 4 месяца назад +1

    Muulize Ahmed kwanini Simba imepoteza ubingwa misimu mitatu sababu ni nini?

  • @عزيزه-ر1ه
    @عزيزه-ر1ه 4 месяца назад +2

    Semajiiii umesema kwl nakuonga mkono

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 3 месяца назад

    Mabadiliko yawepo kwenye wàchezaji hadi viongozi. Ndipo timu itakuwa tamu sana. Lakini kama mo atatoa fedha kutafuta wachezaji na kuacha uongozi ule ule Tutaferi vibaya mno.

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 4 месяца назад +1

    Simba nguvu. Moja

  • @sundaymushi9640
    @sundaymushi9640 4 месяца назад +2

    Izo camera ni humu tu humu tu kubababake 😂😂😂😂

  • @AbeidyMashamba
    @AbeidyMashamba 3 месяца назад

    Wakupe tuzo ya msemaji Africa mashariki umeongea vyema ila tengenezeni jobo zuri la usajili

  • @geophureysamsoni5033
    @geophureysamsoni5033 4 месяца назад +1

    Moo ana moyo Sanaa kutege eza,Hadi kiwanja hawa maruki wametoka wapi

  • @IvanJaphes-qt5tg
    @IvanJaphes-qt5tg 4 месяца назад +3

    Kila kitu kitakaa sawa sisi tunaimani na tim yetu huu ni mpito

  • @MathiasJohn-jq1lf
    @MathiasJohn-jq1lf 3 месяца назад

    Upo sahihi sana semaji

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640 4 месяца назад +3

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 3 месяца назад

    Hamkai vizur nawachezaji Chemalony ameongea tatizo uongoz Ahmerd hapo usitudanganye kaeni vizr nawachezaji mchezaji usipo ishinao vizur lazima wakuonyeshe uwanjani tunaewa uwezo wachezaji Kwann sehemu tu yakushkuma mpira uende golin mtu anaekt amekosea

  • @sergebaleke695
    @sergebaleke695 4 месяца назад +3

    Nani kaona huu jama mwalikwa ame fanana na Ali Kiba

  • @RamadhanMajebele
    @RamadhanMajebele 4 месяца назад +6

    Point tatu muimu

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 4 месяца назад

    Semaji sasa umeelewa kinachoendelea. Mercenaries wako wengi, na waandishi wa habari wako humo. Simba Nguvu moja 🎉

    • @yaseer255
      @yaseer255 4 месяца назад

      Daima Mimi n shabiki wa Simba sio shabiki wa matokeo
      Mo dewj ndio alie itunza Simba ad leo Hakuna muwekezaji mwenye moyo wa mapenz ya dhati na Simba #crownmediahapaninyumbani welcome home at crownmedia visit rutalekigoma visitgombenationalpark

    • @ernestkamata2555
      @ernestkamata2555 4 месяца назад

      Ni sahihi kabisa, maana hata kama timu haijafanya vizuri baadhi ya michezo, siyo vurugu zinazosemwa mitandaoni, ni mamluki tu.

  • @MichaelLinda-vd8rx
    @MichaelLinda-vd8rx 3 месяца назад

    Kabisa semaji ata sisi tuko shamba tunaipenda simba yetu ila tunapata changamoto kubwa na mashabiki wa upande wa pili ao ndo watukanaji sio wanasimba

  • @KosovoNaiiem
    @KosovoNaiiem 3 месяца назад

    Tupeni kadi za uwanachama hili ndio tatizo kwenu mkitupa kadi za uwanachama matatizo haya yote yatapotea tunataka kuwa wanachama halali wa Simba

  • @marosproduction01
    @marosproduction01 4 месяца назад

    HII Tv Ina Quality Kubwa Ya maudhui

  • @daudishaban-rl7tk
    @daudishaban-rl7tk 3 месяца назад

    simba nguvu moja naimani itakuwa sw 2 kilakit kinamwaz na mwisho kwahiy naiman haya tunayo pitia itafika mwisho yatapita 2

  • @sophialikongolo3746
    @sophialikongolo3746 4 месяца назад +1

    Baba wewe ni msemaji

  • @erickjohnglobal1536
    @erickjohnglobal1536 4 месяца назад

    Identity Identified🎉

  • @kingsmusicfans1416
    @kingsmusicfans1416 4 месяца назад +1

    🔥🔥

  • @YOHANAJOSHUA-mo8vi
    @YOHANAJOSHUA-mo8vi 4 месяца назад +4

    Uko sahh

  • @Anna-ze5no
    @Anna-ze5no 3 месяца назад

    Semaj kiukweri umenena ukweri hao wamevaa nguo zayanga yanajidai simba sio simba hao

  • @YunusiKHatibu
    @YunusiKHatibu 3 месяца назад

    Hao wote ni mamluki tu hawana mapenzi na club ya simba sports club wala asiwe na shaka yeye afanye kazi aachane na mamluki hao

  • @modykimaro5480
    @modykimaro5480 4 месяца назад +1

    🎉

  • @macheramuhabe5503
    @macheramuhabe5503 4 месяца назад

    Mimi ni simba damdam miaka yote mbaka siku ya mwisho

  • @SophiaJumbee
    @SophiaJumbee 4 месяца назад

    Mo hana ttz shida ni viongozi naww kwakua ndo mabosi zako ila kiukweli hawatufai

  • @Ester-vz4xy
    @Ester-vz4xy 3 месяца назад

    Semaj

  • @joachimgolola62
    @joachimgolola62 3 месяца назад

    Hakika semaji hakuna km MO,wanao mubeza akili ni fupi.

  • @sakarabukakimwana755
    @sakarabukakimwana755 4 месяца назад

    semaji bora

  • @Ester-vz4xy
    @Ester-vz4xy 3 месяца назад

    Simba inahitaji muda tu

  • @RaymondCharlesSaliboko-to6vx
    @RaymondCharlesSaliboko-to6vx 4 месяца назад

    ❤❤❤

  • @MchanaLive
    @MchanaLive 3 месяца назад

    we una uchawa wakitoto sana uwoni aibu

  • @eliud21savage48
    @eliud21savage48 4 месяца назад +1

    Semaji

  • @HassanSeif-up3ly
    @HassanSeif-up3ly 4 месяца назад

    Nakubal

  • @AllyHamisi-c7j
    @AllyHamisi-c7j 4 месяца назад

    Mimi sina kadi ila naipenda simba na huwa naishangilia,inapo fungwa huwa nasikitika na sijamzodoa MO, ila huwa naamini katika ninyi viongozi huwa mnamuangusha MO'hasa kamati ya usajili ,kwanini ?kwa sababu mnasajili wachezaji ambao ni mizigo wachezaji mnao wasajili ni wachezaji ambao kwanza wameachwa na vilabu vyao wengine wametolewa kwa mkopo ukaona mchezaji anae tolewa kwa mkopo huyo ni mzigo.

    • @kamgishaomary2371
      @kamgishaomary2371 4 месяца назад

      Kijana sancho yupo dortimund kwa mkopo na anakiwasha

  • @yakobojoshua3213
    @yakobojoshua3213 4 месяца назад

    ❤❤🎉🎉🔥🔥

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 4 месяца назад

    SIMBA MNAPIGA KELELE SANA

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 4 месяца назад

    Semaji Mimi nazani liziki ya mo pale Simba imeisha aende tu wawekezaji niwengi tu wanaoitaka simba

    • @leonardmhagama5828
      @leonardmhagama5828 4 месяца назад

      Mwekezaji babako!? Tuletee basi huyo mwekezaji au kuna aliyetuma maombi ya kutaka kuiendesha!? Haya tajiri gani mwingi muarabu au muingereza!? Matajiri bongo ni azam,mo na GSM kuna tajiri mwingine!? unazungumzia oil com,azania,victoria oil com!?? Au demu wako?😅

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 4 месяца назад

    Wee pimbi nn timu inaenda viba tukae kimyaa ukua ccm ni hataki kumbiwa ukweli mkizingua tutawanyoosha

  • @drallan6879
    @drallan6879 4 месяца назад

    viongozi hampo serious hata mechi Kagera mmetoa draw

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad2736 4 месяца назад

    Hapo kwenye makombe hapo 😂😂😂😂

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 4 месяца назад

    Jamaangu upo vinzuri kweli un akipaji

  • @rashidamohamed1948
    @rashidamohamed1948 4 месяца назад

    Umeongea ukweli mtupu semaji

  • @GibsonManji
    @GibsonManji 4 месяца назад

    Wanasimba tutulie TU; ipo siku tutafurahi TU,