AHMED ALLY: MSITUKANE WACHEZAJI/ MO ANIPAMBANIA SIMBA/KALETA MAFANIKIO | PART 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 май 2024
  • #MoDewji #AhmedAlly #Simba
    Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: profile.php?...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com/@crownmedialiv...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 161

  • @waltermfikwa4361
    @waltermfikwa4361 Месяц назад +8

    Kuna uwezekano mzur sana na mkubwa wa Ahmed Ally kuwa ndo msemaji Bora ndan ya ligi yetu ya Tz..... 🙏🙏

  • @BabaStuwartKatojo
    @BabaStuwartKatojo Месяц назад +10

    Aijawahi kutokea katika nchi hiii ya Tanzania kutokea msemaji mwenye akiki mwenye ufahamu mwenyekipaji mwenye kira kitu cha usemaji kama Ahamerdy Ally mungu akuweke kaka 🙏🙏🙏✍️✍️✍️

  • @kagenzikanala109
    @kagenzikanala109 Месяц назад +15

    Ahmed Ally umeongea kwa ufasaha sanaa ✊✊ #hapaninyumbani

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Месяц назад +28

    Na like sio kwajili ya simba au kwajili ya ahmed ally like kwajili ya crown media

    • @AgripaMwangobola-il3bz
      @AgripaMwangobola-il3bz Месяц назад +6

      Pafect

    • @Jay4gNdava
      @Jay4gNdava Месяц назад +2

      Utajua ww mchaw

    • @hamisimsosi6237
      @hamisimsosi6237 Месяц назад +2

      Wanasimba huyu kijana ni rubi ya kujivunia uwezo wake wa uelewa ni mkubwa Sana hongera ahamedy ally ❤❤❤❤👏👏👏👏👏👏mahuta oyeee tupunguze fitina tufanye kazi

  • @athumankasanzu6343
    @athumankasanzu6343 Месяц назад +27

    hakuna msemaji kama ahmedi🎉🎉

  • @rajaburajabu3963
    @rajaburajabu3963 Месяц назад +10

    Crown nawaomba mnipe kipindi cha kuzungumzia masuala ya jinsi na jinsia mana naipenda Crown napenda pia gender issues

  • @jogayatheboss2224
    @jogayatheboss2224 Месяц назад +14

    hapa ni home kabisa

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Месяц назад +4

    Semaji wangu umesema kweli❤❤👍👍🙏

  • @macheramuhabe5503
    @macheramuhabe5503 26 дней назад +3

    Kaza kazi bwana mdogo Hemed Ali

  • @mallemaOg
    @mallemaOg Месяц назад +11

    Crown 👑 naomba muwe mnaweka hata beat kwa mbali ya kunogasha mazungumzo

    • @YogweMwakulola
      @YogweMwakulola Месяц назад +2

      Hatutaki mikelele Sisi mziki wa nn sasa hapa hakutakikani fujo Kama wataka mziki fungua redio

    • @Sampovoice8088
      @Sampovoice8088 Месяц назад

      Ingia Dm au nenda ofsini kaka

    • @abasilihundu200
      @abasilihundu200 Месяц назад

      😂😂​@@YogweMwakulola

    • @user-xg5se4sy2t
      @user-xg5se4sy2t Месяц назад

      Hatutaki kelele iwe hivyo hivyo tusikilize tuelewe

  • @yaseer255
    @yaseer255 Месяц назад +5

    Ahmed Ally ndio journalist m

  • @HalfaniHassani
    @HalfaniHassani 19 дней назад +2

    Tupo pamoja Wana simba❤❤❤❤❤

  • @user-um4fk5ls3v
    @user-um4fk5ls3v Месяц назад +2

    Hapa ni nyumbani ndo kauli mbio yetu CROWN 👑❤❤❤❤

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh Месяц назад +1

    Nikweli mhamed Aly Mo ndio kilakitu katika mafanikio ya Simba, hao watu wanaompinga mo hawaujui mpira na hata kama walicheza mpira Kwan sio Kila mwanafunz anaesoma anahakiri kunawengine wanasoma lakin hawaelewi. Ndio sawa na hao wanaompinga mo Kwan ukiujua mpira hua unamatokeo ya kikatiri sana hakuna timu itafanya vizur milele mafanikio ni zamu huwez kulazimisha zamu ya mwingine iwe yako bac huo ni ujinga watu wakulaumiwa hapo ni viongoz na usajili wanaotufanyia kua ni mbovu sana wanasfata majina makubwa na sio watu wenye hamu na mafanikio

  • @kheirahmad4064
    @kheirahmad4064 Месяц назад +13

    Point tupu za msingi, Hapana ni Nyumbani imefaana vema.

  • @MajidMajid-ll8mf
    @MajidMajid-ll8mf Месяц назад +4

    Mimi ni arsenal tangu mwaka 1982 bado nipo na mapitio yote nipo na simba ni timu yangu tangu nipo mdogo na bado nipo nitakuwepo tu

  • @ramahassani9477
    @ramahassani9477 27 дней назад +1

    Jaman Crown Fm ipo sehem gan kwa hapa dar.

  • @DaudomataAmade
    @DaudomataAmade Месяц назад +1

    Crown Média tunaomba kipindi champila live kupitia Crown Média ❤❤❤🎉🎉🎉😅😅😅.

  • @jameszengwe7889
    @jameszengwe7889 Месяц назад +11

    Hapa n nyumbaniii

  • @rojasimbamooooootoroja8309
    @rojasimbamooooootoroja8309 Месяц назад +3

    Kweli uyu ahamed ni mtu mzur sana wa wa kuongea point

  • @mohamedyally816
    @mohamedyally816 Месяц назад +3

    I love @CROWN MEDIA

  • @brownkihanga688
    @brownkihanga688 27 дней назад +2

    Siyo kumfagilia tuu ,msemaji Kama mnamuogopa,,lah hasha,,palipo na ukweli lazima watu waseme,,viongoji mmeliwa mamruki mnaiharibu Simba,,watu mtaani tunateseaka Sana kwaajiri ya ujinga wa watu wachsche,,hasajiri watu wampira mnatuletea wacheza dance uwanjani,,Kama nikweli tajiri Ana toa pesa,,ninyi mpiga mgao,,alafu mnatuletea magalasa

  • @freddiemwela708
    @freddiemwela708 Месяц назад +4

    Maturity ya hali ya juu kwa ongea yake congrats...

  • @TanaMidundo
    @TanaMidundo Месяц назад +4

    Ya kwangu kwaajili ya ahmedy na mo

  • @VenanceNtakabile
    @VenanceNtakabile 17 дней назад +1

    Wanaomtukana mo sio simba watuachie mo wetu na simba yetu ila mangungu atoke hao utopolo wanawafaranakisha wanasimba ili simba yetu ipoteane pia wako mashabiki wanafiki wakijifanya wanasimba na kuitukana simba yetu wasiikatishe tamaa

  • @user-cz9me7mq9r
    @user-cz9me7mq9r Месяц назад +2

    CROWN media❤❤❤

  • @allykalumba3414
    @allykalumba3414 Месяц назад +10

    Hapa ni nyumbani....

  • @FarajiDetz
    @FarajiDetz 21 день назад +1

    Uko sahihi ila muda mwingine ujuwe uongozi ni mbovu mwenyekiti na c o na wengine wanaoiongoza timu hawana mpiganaji wapo kimaslahi yao mo hana tatizo ila tatizo lipo kwa uongozi tumeelewana sijuw

  • @user-um4fk5ls3v
    @user-um4fk5ls3v Месяц назад +1

    Tuko pamoja na CROWN Media 💪

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela8477 20 дней назад +1

    nikweli kabisa kaka ,,,hakuna mwanasimba wenye akili anae weza mzungumzia vibaya Mo dewj , hao ni yanga sio simba hao

  • @arrickofficial
    @arrickofficial Месяц назад +2

    Nice #Crown media

  • @bmkaskazinib4363
    @bmkaskazinib4363 Месяц назад +1

    Sumba imeshinda mara nyingi kwa viporo tu,Sumba hawana uvumilivu tu eanadahau kama mbio za ubingwa zina muda Mara huyu na miaka mengine huyu.Mo bado no tegemeo na hamuwezi kuwa mabingwa muda wore kama Yanga nae ataacha ubingwa wachukue wengine.

  • @RamadhanMajebele
    @RamadhanMajebele Месяц назад +8

    Ushind razima wanasimba

    • @kassimntara6901
      @kassimntara6901 Месяц назад

      Ahmed acha kutukana mashabiki kumbuka hao ni wengi na wanamchango mkubwa kwa timu ndio maana huwa unaungua jua kuwafuata hao washambq wajae uwanjani kama hawana mchango unawatafuta wanini kuja uwanjani,kununnua jezi nk,kazi ya shabiki ni kupongeza na kukosa ama kushangilia na kuzomea,kumtukana mo si sahihi lkn hayo yanatokea kwa ukimya wake malalamiko yoyote yasipo PATA ufafanizi huzua taflani Alisha wahi kusema atawataja viongozi wanamkwamisha aliwasema? Ama alichukua hatua,na wewe umevimba umaarufu ndio maana unatutukana sana

  • @user-pr9kq4it5c
    @user-pr9kq4it5c 20 дней назад +1

    Kuna watu wanasema atuachie hata umuambie mnumulie mchezaji mmoja chai yasiku moja hawezi

  • @IbrahimsolicitorIbrahimsolicit
    @IbrahimsolicitorIbrahimsolicit Месяц назад +4

    Fact

  • @townkidallnight
    @townkidallnight Месяц назад +4

    #winning_team

  • @kichenjewillian5720
    @kichenjewillian5720 18 дней назад +1

    Ahmed ni Simba .

  • @WivinaFrance-xn3mk
    @WivinaFrance-xn3mk Месяц назад +1

    Huyu mwamba kweli👍💯

  • @neemacharles9848
    @neemacharles9848 12 дней назад

    Safi sana ahmed alli umeongea point sana

  • @iddimmbucwa3618
    @iddimmbucwa3618 Месяц назад +9

    Kazi kazi

  • @FredrickRamadhani
    @FredrickRamadhani 20 дней назад +1

    Crown media

  • @officialdana5114
    @officialdana5114 Месяц назад +1

    Naenda kuku follow bro ally uk vzr

  • @sijaonamjungufinias481
    @sijaonamjungufinias481 Месяц назад +1

    Semaji, shida ya Simba ni kufanya uzembe kwenye usajili na mnakuwa wasiri sana làkn mwisho wa siku mnaleta wachezaji wa kawaida sana, kwani Phir alikuwa na shida gani

  • @malingazeboss9351
    @malingazeboss9351 Месяц назад +2

    Mwamba kaongea ukweli mtupu 🙏🙏🙏

  • @rashidkopa
    @rashidkopa Месяц назад +8

    Safi sana

  • @abdulrazaqkatoma5648
    @abdulrazaqkatoma5648 Месяц назад +7

    Hapa ni nyumban

  • @Muswaddiq
    @Muswaddiq Месяц назад +3

    huna baya ahmed alliy

  • @fahadfaraj6474
    @fahadfaraj6474 Месяц назад +2

    Pablo umemkimbia manara basi sasa hivi ataanza vita na crown media

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 14 дней назад

    Huyu kweli msemaji mchambuzi sana❤❤❤❤

  • @user-xg5se4sy2t
    @user-xg5se4sy2t Месяц назад +1

    Wewe leo kwenye hao viongozi hapo naomba nikutukane kidogo kuma yako ya nyuma viongozi wabovu

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp Месяц назад +1

    Simba nguvu. Moja

  • @selemanimusa7649
    @selemanimusa7649 17 дней назад +1

    Semaji nguli

  • @donatusnicolaus6403
    @donatusnicolaus6403 Месяц назад +1

    Siku zote Hutu tu kichaa anaropokaga Sanaa ila Leo kaongea kiutu uzima sanaaaa

  • @ArafaMoreno
    @ArafaMoreno Месяц назад +2

    Hapa ni home

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 20 дней назад +1

    Muulize Ahmed kwanini Simba imepoteza ubingwa misimu mitatu sababu ni nini?

  • @RamadhanMajebele
    @RamadhanMajebele Месяц назад +6

    Point tatu muimu

  • @IvanJaphes-qt5tg
    @IvanJaphes-qt5tg Месяц назад +3

    Kila kitu kitakaa sawa sisi tunaimani na tim yetu huu ni mpito

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640 Месяц назад +3

  • @MichaelLinda-vd8rx
    @MichaelLinda-vd8rx 2 дня назад

    Kabisa semaji ata sisi tuko shamba tunaipenda simba yetu ila tunapata changamoto kubwa na mashabiki wa upande wa pili ao ndo watukanaji sio wanasimba

  • @geophureysamsoni5033
    @geophureysamsoni5033 Месяц назад +1

    Moo ana moyo Sanaa kutege eza,Hadi kiwanja hawa maruki wametoka wapi

  • @kingsmusicfans1416
    @kingsmusicfans1416 Месяц назад +1

    🔥🔥

  • @AbeidyMashamba
    @AbeidyMashamba 5 дней назад

    Wakupe tuzo ya msemaji Africa mashariki umeongea vyema ila tengenezeni jobo zuri la usajili

  • @officialdana5114
    @officialdana5114 Месяц назад +1

    Bro sijui pabro fanya mazoezi ya sautu ni nzito haisikirizik

  • @sergebaleke695
    @sergebaleke695 Месяц назад +3

    Nani kaona huu jama mwalikwa ame fanana na Ali Kiba

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 14 дней назад

    Mabadiliko yawepo kwenye wàchezaji hadi viongozi. Ndipo timu itakuwa tamu sana. Lakini kama mo atatoa fedha kutafuta wachezaji na kuacha uongozi ule ule Tutaferi vibaya mno.

  • @user-cz9me7mq9r
    @user-cz9me7mq9r Месяц назад +2

    Semajiiii umesema kwl nakuonga mkono

  • @MathiasJohn-jq1lf
    @MathiasJohn-jq1lf 11 дней назад

    Upo sahihi sana semaji

  • @RaphaelKapinga-zr5hz
    @RaphaelKapinga-zr5hz 16 дней назад +1

    Hapo ni hm 2

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 11 дней назад

    Hamkai vizur nawachezaji Chemalony ameongea tatizo uongoz Ahmerd hapo usitudanganye kaeni vizr nawachezaji mchezaji usipo ishinao vizur lazima wakuonyeshe uwanjani tunaewa uwezo wachezaji Kwann sehemu tu yakushkuma mpira uende golin mtu anaekt amekosea

  • @erickjohnglobal1536
    @erickjohnglobal1536 Месяц назад

    Identity Identified🎉

  • @sundaymushi9640
    @sundaymushi9640 Месяц назад +2

    Izo camera ni humu tu humu tu kubababake 😂😂😂😂

  • @modykimaro5480
    @modykimaro5480 Месяц назад +1

    🎉

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 Месяц назад

    Semaji sasa umeelewa kinachoendelea. Mercenaries wako wengi, na waandishi wa habari wako humo. Simba Nguvu moja 🎉

    • @yaseer255
      @yaseer255 Месяц назад

      Daima Mimi n shabiki wa Simba sio shabiki wa matokeo
      Mo dewj ndio alie itunza Simba ad leo Hakuna muwekezaji mwenye moyo wa mapenz ya dhati na Simba #crownmediahapaninyumbani welcome home at crownmedia visit rutalekigoma visitgombenationalpark

    • @ernestkamata2555
      @ernestkamata2555 Месяц назад

      Ni sahihi kabisa, maana hata kama timu haijafanya vizuri baadhi ya michezo, siyo vurugu zinazosemwa mitandaoni, ni mamluki tu.

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u 11 дней назад

    Tupeni kadi za uwanachama hili ndio tatizo kwenu mkitupa kadi za uwanachama matatizo haya yote yatapotea tunataka kuwa wanachama halali wa Simba

  • @marosproduction01
    @marosproduction01 Месяц назад

    HII Tv Ina Quality Kubwa Ya maudhui

  • @sebastianmbazi2811
    @sebastianmbazi2811 Месяц назад +1

    👍

  • @user-ut4vs9qo2e
    @user-ut4vs9qo2e Месяц назад

    ❤❤❤

  • @daudishaban-rl7tk
    @daudishaban-rl7tk 3 дня назад

    simba nguvu moja naimani itakuwa sw 2 kilakit kinamwaz na mwisho kwahiy naiman haya tunayo pitia itafika mwisho yatapita 2

  • @sophialikongolo3746
    @sophialikongolo3746 Месяц назад +1

    Baba wewe ni msemaji

  • @YOHANAJOSHUA-mo8vi
    @YOHANAJOSHUA-mo8vi Месяц назад +4

    Uko sahh

  • @yakobojoshua3213
    @yakobojoshua3213 Месяц назад

    ❤❤🎉🎉🔥🔥

  • @Ester-vz4xy
    @Ester-vz4xy 7 дней назад

    Simba inahitaji muda tu

  • @user-wu2yn1lb2e
    @user-wu2yn1lb2e 14 дней назад

    Hao wote ni mamluki tu hawana mapenzi na club ya simba sports club wala asiwe na shaka yeye afanye kazi aachane na mamluki hao

  • @HassanSeif-up3ly
    @HassanSeif-up3ly Месяц назад

    Nakubal

  • @macheramuhabe5503
    @macheramuhabe5503 26 дней назад

    Mimi ni simba damdam miaka yote mbaka siku ya mwisho

  • @Ester-vz4xy
    @Ester-vz4xy 7 дней назад

    Semaj

  • @eliud21savage48
    @eliud21savage48 Месяц назад +1

    Semaji

  • @user-xg5se4sy2t
    @user-xg5se4sy2t Месяц назад

    Mo hana ttz shida ni viongozi naww kwakua ndo mabosi zako ila kiukweli hawatufai

  • @sakarabukakimwana755
    @sakarabukakimwana755 27 дней назад

    semaji bora

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 Месяц назад +2

    Shida uku nikuchekana. Ni ushamba uliopo

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Месяц назад

    SIMBA MNAPIGA KELELE SANA

  • @MchanaLive
    @MchanaLive 11 дней назад

    we una uchawa wakitoto sana uwoni aibu

  • @jakuvuai1428
    @jakuvuai1428 14 дней назад

    Bosss kiba hiki kipindi mpe shavu mziwanda

  • @drallan6879
    @drallan6879 Месяц назад

    viongozi hampo serious hata mechi Kagera mmetoa draw

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu Месяц назад

    Jamaangu upo vinzuri kweli un akipaji

  • @cantonamaster9001
    @cantonamaster9001 Месяц назад +1

    Kicheko hicho kina maana yake

  • @GibsonManji
    @GibsonManji Месяц назад

    Wanasimba tutulie TU; ipo siku tutafurahi TU,

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 Месяц назад

    Semaji Mimi nazani liziki ya mo pale Simba imeisha aende tu wawekezaji niwengi tu wanaoitaka simba

    • @leonardmhagama5828
      @leonardmhagama5828 Месяц назад

      Mwekezaji babako!? Tuletee basi huyo mwekezaji au kuna aliyetuma maombi ya kutaka kuiendesha!? Haya tajiri gani mwingi muarabu au muingereza!? Matajiri bongo ni azam,mo na GSM kuna tajiri mwingine!? unazungumzia oil com,azania,victoria oil com!?? Au demu wako?😅

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb Месяц назад

    Mnasajoli majina badala ya wachezaji matapeli mnatutaepeli sisi

  • @user-bc2wd1sq3k
    @user-bc2wd1sq3k Месяц назад

    Mimi sina kadi ila naipenda simba na huwa naishangilia,inapo fungwa huwa nasikitika na sijamzodoa MO, ila huwa naamini katika ninyi viongozi huwa mnamuangusha MO'hasa kamati ya usajili ,kwanini ?kwa sababu mnasajili wachezaji ambao ni mizigo wachezaji mnao wasajili ni wachezaji ambao kwanza wameachwa na vilabu vyao wengine wametolewa kwa mkopo ukaona mchezaji anae tolewa kwa mkopo huyo ni mzigo.

    • @kamgishaomary2371
      @kamgishaomary2371 Месяц назад

      Kijana sancho yupo dortimund kwa mkopo na anakiwasha