FEI TOTO: AZIZI KI NDIO MPINZANI WANGU/ SIWEZI KURUDI TENA YANGA HAIWEZEKANI
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
- www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Crown media Hapa ni nyumban Karbu fei toto kaz nzur Crown 👑 ❤❤❤❤
Crown mkitaka kukuwa kwa haraka acheni kuwa wahuni mtasogea sana muwe na wafanyakazi wanaojitambua na wenye weledi hiyo content ni nzuri sana mngeotafutia heading nzuri inayoendana na maudhui kuandika heading tofauti na maudhui yenyewe ni cheating na cheat unaharibu mambo hayo wafanye tv ndogo ndogo zisiokuwa na majina nyie crown ni wageni lkn mna jina kubwa tayari.
Acha Kukurupuka. Hiyo ni Intro ungekuwa RUclipsr ungenielewa. Intro au Trailer sio Content.
Video hiyo iko Premier kwahiyo imetengewa muda wa kuruka hewani, huo muda ukifika ukaona ni usanii ndio ulete complain.
Umeambiw up coming angalia ni md gan ukifik md ukion tofaut na maudhui ndo utaanz kulaum elew mad
hiyo point ipo kati ya mazungumzo huwez andika maneno yoote
Wewe ndyo mshamba hujaelewa
Fact
Camera za crown ni nomaa sanaa
Shikamoo king KIBA hakika umeweza💪💪💪#crown tv is the best
Crown n media ya wote amna ubaguz 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hapa n nyumban 🎉🎉🎉🎉
Fundi Sana feisal na crown muko sawa
Unyamaa Pabloo crawn ❤❤❤❤❤❤
Sawa feitoto crown hapa ninyumbani
Nakuombea duwa m munguuu ukachezeee ulaya Ili uondoko na fitina za tanzania
Keshachelewa huyo ulaya sio manzese
@@RamadhaniChamuange ww ndio m munguuuu kwamunguu hakunakubwa
Hapa ni nyumbn❤
Njoo msimbazi kaka tumekusubilia
Mkal wao❤
Proud of fei toto
hii mnezingua andika kitu ambacho mmezungumza humo mnatupa taharuki mwisho wa siku mkiendelea ivi tutakuwa hatuaangalii.... sisi kama wapenzi wa crown media hatutaki izi mambo....kama kazitoa kwa manara ni uko sisi uku hatutaki.
Sema utakuwa huangaliiiii tumia umoja hutokuwa unaangalia nananiiiii?
Pablo anaweza hii kazi
Yeeebabah 😇 😇 😇
Media yenye habar mahiri
Nyie crown mshaanza kuzingua yani kichwa cha habari ni tofauti na kichozungumziwa,alafu interview ya kitambo mnapost leo
Safi nawakubari crown
Pablo Almas wewe una kitu kikubwa 🎉🎉
Interview ya muda mrefu mnaipandisha leo mzingua sana,
TITLE "FEISAL 🗣️ WATANZANIA HAWATHAMINI WACHEZAJI WA NDANI, TUNAJITUMA SANA UWANJANI"
Hiyo pia ameisema aucho na chirwa
Swala la fei limesha pita na pengo lake halipo tena
Crown kuwen seriously yan interview toka ana goli 16 mnapandisha leo ? Duuuh 😮 mnachelewesha interview ndo maana pablo anaonekana kama hayupo sahivi
🔥🔥🔥🔥
Camera za kiwango cha BBC
PABLO🔥👑🔥👑🔥👑👑🔥👑🔥👑
Hapa ni nyumbani❤
Hapa ni nyumbani
#HapaNiNyumbani 💥🔥🔥
Amazing
Huyu mwamba ni fundi na kwasasa kwa wachezaji wa ndani ndio yupo kwenye fomu ila sasa alipo ndio patamchelewesha aende simba akachukue ufalume
Hizi crown unyama
Feisal watakukataa wengi sana ila mimi nitakuwa wa mwisho kukukataa nitakusapit ila timu yako siisapot
Hata alivyokufunga mdomo
Hata Mimi Bado Feisal ni mchezaji wangu pendwa. No matter what. Hata kiatu nilitaka achukue fei sio Aziz ki hapo Mimi yanga
❤❤❤
Kwa maajabu gani uliyonayo? Hata cc hatukutaki utuache na YANGA yetu......... Uctujazie mikoc
Maswali mengine ni ya kikuma asa atakama mim umenifananisha na mtu unadhani nitaacha kujitaja
🎉🎉
mko vzuli crown hla hpo mezan xjpenda hta maji jmn ya mabonye😂
Karib unyamani FEI TOTO💪💪💪#SIMBA nguvu moja
Hii media Ina unazii mwingi
Duuuuuu, fukuza huyo atatuharibia kazi, kichwa kingine uhalisia mwingine, auto amekosea k
Ila Pablo Matako Sana Unavimba Kichwa Sas Hivi Ndo Nin Umeandika Nin Hapo
Mbona unatuka yy kaandika alichokise yy fei
Fei toto buana aty nilikaa kitako na raisi wa singida 😅 watu wa zanzibari napenda sana sleng yao🙌🏾
Ndio tulivo
Kichwa cha habar umezngua pablo
Nice
Halafu ayo mambo tunayajua muhojin mambo mapya
Hapa ni nyumbani
😂😂😂😂😂😂 dah
Hapa n nyumbani
Huo siyo msimu wake bora, hana kombe lolote, kuna misimu ameshiriki hadi fainali shirikisho
Nkane msimu wake bora upi
@@mussahamad404 musimu bora ni ule mchezaji unacheza na kutwaa makombe, musimu bora siyo kufunga.
Kwamba Aucho ana musimbu mbaya kuliko kepre cheche na bangala ambao wanamabao
Elewa kuna mafnkio ya timu na mafnkio binafsi kw hyo huu ndio msmu bora kw fei 19 goal assist 7 ila kitimu mafnkio ni madgo ni kushka nafc ya 2 so far huu ndio msimu wke bora kbsa
@@JumaJaguar elewa majukumu ya timu, alipokuwa yanga anavheza namba 6 na 8, azamu amecheza namba 10 na false namba 9, mafanikio ni kutimiza malengo ya mashindano siyo kufunga tu, mrisho ngasa asha wahi kuwa top scorer wa CAF yanga ikaishi hatua za chini, ulikuwa msimu bora kwake???
Hivii msimu Bora unakuwajee??
Huyu dogs anajuwa ila anakiburi
Pablo nakubali sana kaka ..una akili unauliza maswal vizuri
Mutajiharibia kuku nyie
Media ya kisenge tu hii...hicho kichwa cha habari nimekitoa thamani
🎉🎉❤❤
Majivuno hutokana nakipaji au kipato
Mtangazaji ni shabiki wa timu fulani hivi😂😂😂😂😂
Ronaldo alishaulizwa mara nyingi nani bora kati yake na mess na amejibu kabisaaa
We fala
Siku nyingine ni bora zaidi kuandaa maswali ya kumhoji mtu ambayo yatamfanya azungumze zaidi kuliko wewe mtangazaji..content nzuri ila iko very booring kulingana na maswali yanayoylizwa
Dogo ni wamoto sana ndio maana wanaYanga wanamchukia
Hata yanga hatumtaki pia
Unajua huyu Jamaa nilionag ana akili kumbe kilaza ndio maana wale walinzi wa ahly walimpiga huyu, anauliz maswali kama muokota MAKOPO mtaan Yan 😂😂😂😂
Kwani yanga wanakutaka?
HII interview nzuri lakin imechelewa kutolewa maana top score kajulikana na pia timu ya kwenda club bingwa imejulikana
Mnyama
Msirudie kuweka vichwa vya habari vya hovyo
Huna lolote mbwa tu
Tena kenge kabisaaaaa
Uhakika Karibu simba
Uyu fei angeaca unyodo nagukosa heshima kwawenzake agepata duwa lakini hana adabu sasa kusema guwabaguwa weka mbere wageni sikweli mutugusufiwa kwakazi amafanya kinyume naapo niuthushi
Acha ushabiki wa kijinga ww kama huwezi kucoment kaa kimya Acha matusi
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Namkubali sanaaà FEI
Munaupaga mwing
we boya 2
Huyu kijana ana kipaji ila majivuno ndio yatakayomponza.
Na anajikubali sana huyu huwezi kumfananisha na Aziz, Aziz ni zaidi ya mtu n.
Jikubali ili ukubaliwe
asa kajivunia nini apoo msaport mtu anayepambana
Wabong msiw mnapend kulaum alaf shule pia ina umuhim wak umeambia (Up Coming) maan yak ni kit kinach kuj subir md ukifik ukion maudhui na kitend ni tofaut ndo muaz kulaum kuen na uelew wa mad yenyew msikurupuk
Hawezi kurdish yanga fei maana hatuna mpango wa kumfukuza hersi said
😅😅😅😅😅
Maua yenu
Fundi sna dogo
unazungumziz sana Yanga hatuna time nawewe potea
kalibu simba
Linaota ili kolo
FEI TOTO: AZIZI KI NDIO MPINZANI WANGU/ SIWEZI KURUDI TENA YANGA HAIWEZEKANI
hii heading haiendani na content nyie waandishi wa habar acheni uchonganishi wapuuzi sana
Kenge nyie
KENGE MAMAAAKO MKUNDU WEWE
Umbwa
MAMAAKO NDYO MBWA MKUNDU WEWE HUTAKI TOKA KUMA WEWE
Unapakuliwa
Tena sana tu
Hapa ni nyumbani
❤️
Mimi Sio mtanzania but nafuatilia mpira wa Tanzania.Watanzania acheni chuki zisizo Isha kama machoko/mapapai huyo dogo anajua au ndio utanganyika unawakereketa?
Unajua maana ya chuki kweli wewe? Inaonekana kiswahili kinakusumbua
Hapa ni nyumbani
Crown 👑
Pablo next tunataka utuletee pacome
Huyu baado sanaaaa kumfananisha na Aziz alafu wachambuzi na hivi vyombo vya habari vinavyomvimbisha na kwa kuwa mwenyewe uwezo wake mdogo wa kiakili
Uwezi kukubaka na binadamu wote
Hapa ni nyumban kabisa
🔥🙌 Hapa Ni Nyumbani..
Duh! Msimu bora huna hata kombe moja.
Azam kuingia champion ligi sio ubora we Acha uyanga
Karbu sana fei
Kumbe na nyie mna upuuzi wa kuandika kuhusu maharage alafu kumbe kilichopo ni Funza
Hili ni kama tangazo ila mahojiano ni mapaka masaa 9 yajayo itakua hewan
TATIZO LAKO ELIMU NI NDOGO HUELEWI LOLOTE HAYA UONGO UPO WAP WAP HAPO MKUNDU WAKO KUMA WEWE
😂😂