FEI TOTO: AZIZI KI NDIO MPINZANI WANGU/ SIWEZI KURUDI TENA YANGA HAIWEZEKANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Комментарии • 144

  • @DavidYamungu-rl5os
    @DavidYamungu-rl5os 3 месяца назад +2

    Crown media Hapa ni nyumban Karbu fei toto kaz nzur Crown 👑 ❤❤❤❤

  • @maddybongo
    @maddybongo 3 месяца назад +60

    Crown mkitaka kukuwa kwa haraka acheni kuwa wahuni mtasogea sana muwe na wafanyakazi wanaojitambua na wenye weledi hiyo content ni nzuri sana mngeotafutia heading nzuri inayoendana na maudhui kuandika heading tofauti na maudhui yenyewe ni cheating na cheat unaharibu mambo hayo wafanye tv ndogo ndogo zisiokuwa na majina nyie crown ni wageni lkn mna jina kubwa tayari.

    • @drcharlestz
      @drcharlestz 3 месяца назад +9

      Acha Kukurupuka. Hiyo ni Intro ungekuwa RUclipsr ungenielewa. Intro au Trailer sio Content.
      Video hiyo iko Premier kwahiyo imetengewa muda wa kuruka hewani, huo muda ukifika ukaona ni usanii ndio ulete complain.

    • @leejems142
      @leejems142 3 месяца назад +5

      Umeambiw up coming angalia ni md gan ukifik md ukion tofaut na maudhui ndo utaanz kulaum elew mad

    • @wallecyjuniorjr992
      @wallecyjuniorjr992 3 месяца назад +3

      hiyo point ipo kati ya mazungumzo huwez andika maneno yoote

    • @GeorgeKishiwa-r5g
      @GeorgeKishiwa-r5g 3 месяца назад +2

      Wewe ndyo mshamba hujaelewa

    • @issayajumanne2710
      @issayajumanne2710 3 месяца назад +2

      Fact

  • @AbdulazizMaggio
    @AbdulazizMaggio 3 месяца назад +6

    Camera za crown ni nomaa sanaa

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 3 месяца назад +1

    Shikamoo king KIBA hakika umeweza💪💪💪#crown tv is the best

  • @Oficialkb
    @Oficialkb 3 месяца назад +19

    Crown n media ya wote amna ubaguz 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
    Hapa n nyumban 🎉🎉🎉🎉

  • @AbubakarSAT
    @AbubakarSAT 3 месяца назад +10

    Fundi Sana feisal na crown muko sawa

  • @rudo_b_classic1131
    @rudo_b_classic1131 3 месяца назад +8

    Unyamaa Pabloo crawn ❤❤❤❤❤❤

  • @BakariBakari-sf4ld
    @BakariBakari-sf4ld 3 месяца назад +5

    Sawa feitoto crown hapa ninyumbani

  • @TomaTee-hu7do
    @TomaTee-hu7do 3 месяца назад +6

    Nakuombea duwa m munguuu ukachezeee ulaya Ili uondoko na fitina za tanzania

    • @RamadhaniChamuange
      @RamadhaniChamuange 3 месяца назад

      Keshachelewa huyo ulaya sio manzese

    • @TomaTee-hu7do
      @TomaTee-hu7do 3 месяца назад

      @@RamadhaniChamuange ww ndio m munguuuu kwamunguu hakunakubwa

  • @FelinucMalilwa
    @FelinucMalilwa 3 месяца назад +12

    Hapa ni nyumbn❤

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma 3 месяца назад +4

    Njoo msimbazi kaka tumekusubilia

  • @AsumaniMajesty
    @AsumaniMajesty 3 месяца назад +2

    Mkal wao❤

  • @REBEKAMGINA-dq8vm
    @REBEKAMGINA-dq8vm 3 месяца назад +1

    Proud of fei toto

  • @dicksontimotheo7617
    @dicksontimotheo7617 3 месяца назад +3

    hii mnezingua andika kitu ambacho mmezungumza humo mnatupa taharuki mwisho wa siku mkiendelea ivi tutakuwa hatuaangalii.... sisi kama wapenzi wa crown media hatutaki izi mambo....kama kazitoa kwa manara ni uko sisi uku hatutaki.

    • @FadhiliHamza-mz1wu
      @FadhiliHamza-mz1wu 3 месяца назад +1

      Sema utakuwa huangaliiiii tumia umoja hutokuwa unaangalia nananiiiii?

  • @Masabaonline
    @Masabaonline 3 месяца назад +2

    Pablo anaweza hii kazi

  • @saidjuma9782
    @saidjuma9782 3 месяца назад +2

    Yeeebabah 😇 😇 😇

  • @Jmbuilder-ly6wp
    @Jmbuilder-ly6wp 3 месяца назад +3

    Media yenye habar mahiri

  • @NyamshaMaregesi
    @NyamshaMaregesi 3 месяца назад

    Nyie crown mshaanza kuzingua yani kichwa cha habari ni tofauti na kichozungumziwa,alafu interview ya kitambo mnapost leo

  • @Jackison-lt2gt
    @Jackison-lt2gt 3 месяца назад

    Safi nawakubari crown

  • @olicendayihimbaze4074
    @olicendayihimbaze4074 3 месяца назад +2

    Pablo Almas wewe una kitu kikubwa 🎉🎉

  • @samnyambabe2529
    @samnyambabe2529 3 месяца назад +1

    Interview ya muda mrefu mnaipandisha leo mzingua sana,

  • @OchuTv.
    @OchuTv. 3 месяца назад +6

    TITLE "FEISAL 🗣️ WATANZANIA HAWATHAMINI WACHEZAJI WA NDANI, TUNAJITUMA SANA UWANJANI"

    • @mussahamad404
      @mussahamad404 3 месяца назад

      Hiyo pia ameisema aucho na chirwa

  • @SalimuRamadhani-nl7bp
    @SalimuRamadhani-nl7bp 3 месяца назад +6

    Swala la fei limesha pita na pengo lake halipo tena

  • @David_keyan
    @David_keyan 3 месяца назад +1

    Crown kuwen seriously yan interview toka ana goli 16 mnapandisha leo ? Duuuh 😮 mnachelewesha interview ndo maana pablo anaonekana kama hayupo sahivi

  • @Kimweri_tz
    @Kimweri_tz 3 месяца назад +2

    🔥🔥🔥🔥

  • @AmosKiboha-lg9ji
    @AmosKiboha-lg9ji 3 месяца назад +9

    Camera za kiwango cha BBC

  • @EMMANUELGENERAL-n1r
    @EMMANUELGENERAL-n1r 3 месяца назад +6

    PABLO🔥👑🔥👑🔥👑👑🔥👑🔥👑

  • @NivoAfrica007
    @NivoAfrica007 3 месяца назад +3

    Hapa ni nyumbani❤

  • @rashidkopa
    @rashidkopa 3 месяца назад +9

    Hapa ni nyumbani

  • @S.king_7
    @S.king_7 3 месяца назад +2

    #HapaNiNyumbani 💥🔥🔥

  • @HaronOkuu
    @HaronOkuu 3 месяца назад

    Amazing

  • @rajimuashirafa8265
    @rajimuashirafa8265 3 месяца назад +2

    Huyu mwamba ni fundi na kwasasa kwa wachezaji wa ndani ndio yupo kwenye fomu ila sasa alipo ndio patamchelewesha aende simba akachukue ufalume

  • @fanikiwadanford6772
    @fanikiwadanford6772 3 месяца назад

    Hizi crown unyama

  • @NestoryJoseph-e8s
    @NestoryJoseph-e8s 3 месяца назад +6

    Feisal watakukataa wengi sana ila mimi nitakuwa wa mwisho kukukataa nitakusapit ila timu yako siisapot

    • @MarthaGabriel-s6b
      @MarthaGabriel-s6b 3 месяца назад

      Hata alivyokufunga mdomo

    • @adolfmathew9698
      @adolfmathew9698 3 месяца назад

      Hata Mimi Bado Feisal ni mchezaji wangu pendwa. No matter what. Hata kiatu nilitaka achukue fei sio Aziz ki hapo Mimi yanga

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640 3 месяца назад +2

    ❤❤❤

  • @ZenaMsumagilo
    @ZenaMsumagilo 3 месяца назад

    Kwa maajabu gani uliyonayo? Hata cc hatukutaki utuache na YANGA yetu......... Uctujazie mikoc

  • @JumaMigezo
    @JumaMigezo 3 месяца назад +1

    Maswali mengine ni ya kikuma asa atakama mim umenifananisha na mtu unadhani nitaacha kujitaja

  • @HalimaSwedy
    @HalimaSwedy 3 месяца назад +1

    🎉🎉

  • @ashikalojr6961
    @ashikalojr6961 3 месяца назад

    mko vzuli crown hla hpo mezan xjpenda hta maji jmn ya mabonye😂

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 3 месяца назад

    Karib unyamani FEI TOTO💪💪💪#SIMBA nguvu moja

  • @TenMasumbwe-rm2zb
    @TenMasumbwe-rm2zb 3 месяца назад +2

    Hii media Ina unazii mwingi

  • @mtumeananiasjohachim8760
    @mtumeananiasjohachim8760 3 месяца назад +3

    Duuuuuu, fukuza huyo atatuharibia kazi, kichwa kingine uhalisia mwingine, auto amekosea k

  • @BasuleBasule
    @BasuleBasule 3 месяца назад +4

    Ila Pablo Matako Sana Unavimba Kichwa Sas Hivi Ndo Nin Umeandika Nin Hapo

    • @JoseWilson-vb2di
      @JoseWilson-vb2di 3 месяца назад

      Mbona unatuka yy kaandika alichokise yy fei

  • @Mcsceo
    @Mcsceo 3 месяца назад +2

    Fei toto buana aty nilikaa kitako na raisi wa singida 😅 watu wa zanzibari napenda sana sleng yao🙌🏾

  • @BimkubwaMohd-ef6hr
    @BimkubwaMohd-ef6hr 3 месяца назад +2

    Kichwa cha habar umezngua pablo

  • @manjatz7594
    @manjatz7594 3 месяца назад

    Nice

  • @JahiyahIdrissa
    @JahiyahIdrissa 3 месяца назад +1

    Halafu ayo mambo tunayajua muhojin mambo mapya

  • @Masabaonline
    @Masabaonline 3 месяца назад +3

    Hapa ni nyumbani

  • @jofreymwampamba1236
    @jofreymwampamba1236 3 месяца назад +3

    😂😂😂😂😂😂 dah

  • @SheyBonanje
    @SheyBonanje 3 месяца назад +3

    Hapa n nyumbani

  • @jumanneenos2481
    @jumanneenos2481 3 месяца назад +2

    Huo siyo msimu wake bora, hana kombe lolote, kuna misimu ameshiriki hadi fainali shirikisho

    • @mussahamad404
      @mussahamad404 3 месяца назад

      Nkane msimu wake bora upi

    • @jumanneenos2481
      @jumanneenos2481 3 месяца назад

      @@mussahamad404 musimu bora ni ule mchezaji unacheza na kutwaa makombe, musimu bora siyo kufunga.
      Kwamba Aucho ana musimbu mbaya kuliko kepre cheche na bangala ambao wanamabao

    • @JumaJaguar
      @JumaJaguar 3 месяца назад

      Elewa kuna mafnkio ya timu na mafnkio binafsi kw hyo huu ndio msmu bora kw fei 19 goal assist 7 ila kitimu mafnkio ni madgo ni kushka nafc ya 2 so far huu ndio msimu wke bora kbsa

    • @jumanneenos2481
      @jumanneenos2481 3 месяца назад

      @@JumaJaguar elewa majukumu ya timu, alipokuwa yanga anavheza namba 6 na 8, azamu amecheza namba 10 na false namba 9, mafanikio ni kutimiza malengo ya mashindano siyo kufunga tu, mrisho ngasa asha wahi kuwa top scorer wa CAF yanga ikaishi hatua za chini, ulikuwa msimu bora kwake???

  • @minermg5585
    @minermg5585 3 месяца назад

    Hivii msimu Bora unakuwajee??

  • @AllyKiduka
    @AllyKiduka 3 месяца назад +3

    Huyu dogs anajuwa ila anakiburi

  • @thirdthebadestafrodance3529
    @thirdthebadestafrodance3529 3 месяца назад +2

    Pablo nakubali sana kaka ..una akili unauliza maswal vizuri

  • @MusaDadi-pd3jd
    @MusaDadi-pd3jd 3 месяца назад +4

    Mutajiharibia kuku nyie

  • @LuqmanJamal-s6y
    @LuqmanJamal-s6y 3 месяца назад +1

    Media ya kisenge tu hii...hicho kichwa cha habari nimekitoa thamani

  • @Michaelernest214
    @Michaelernest214 3 месяца назад

    🎉🎉❤❤

  • @AliKhamisali-p6c
    @AliKhamisali-p6c 3 месяца назад

    Majivuno hutokana nakipaji au kipato

  • @JamesNgonye-nm3uz
    @JamesNgonye-nm3uz 3 месяца назад

    Mtangazaji ni shabiki wa timu fulani hivi😂😂😂😂😂

  • @egbartrwegasira1250
    @egbartrwegasira1250 3 месяца назад

    Ronaldo alishaulizwa mara nyingi nani bora kati yake na mess na amejibu kabisaaa

  • @SikuzaniJeremia-fw1nb
    @SikuzaniJeremia-fw1nb 3 месяца назад

    We fala

  • @Chelseaboy_1905
    @Chelseaboy_1905 3 месяца назад +1

    Siku nyingine ni bora zaidi kuandaa maswali ya kumhoji mtu ambayo yatamfanya azungumze zaidi kuliko wewe mtangazaji..content nzuri ila iko very booring kulingana na maswali yanayoylizwa

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 3 месяца назад

    Dogo ni wamoto sana ndio maana wanaYanga wanamchukia

  • @yummaskitchen6167
    @yummaskitchen6167 3 месяца назад +1

    Hata yanga hatumtaki pia

  • @RamadhaniChamuange
    @RamadhaniChamuange 3 месяца назад

    Unajua huyu Jamaa nilionag ana akili kumbe kilaza ndio maana wale walinzi wa ahly walimpiga huyu, anauliz maswali kama muokota MAKOPO mtaan Yan 😂😂😂😂

  • @abdullmajengo9690
    @abdullmajengo9690 3 месяца назад

    Kwani yanga wanakutaka?

  • @habibseif8989
    @habibseif8989 3 месяца назад +4

    HII interview nzuri lakin imechelewa kutolewa maana top score kajulikana na pia timu ya kwenda club bingwa imejulikana

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 3 месяца назад

    Mnyama

  • @nassorosinde6945
    @nassorosinde6945 3 месяца назад

    Msirudie kuweka vichwa vya habari vya hovyo

  • @SikuzaniJeremia-fw1nb
    @SikuzaniJeremia-fw1nb 3 месяца назад +1

    Huna lolote mbwa tu

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 3 месяца назад

    Uhakika Karibu simba

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu 3 месяца назад

    Uyu fei angeaca unyodo nagukosa heshima kwawenzake agepata duwa lakini hana adabu sasa kusema guwabaguwa weka mbere wageni sikweli mutugusufiwa kwakazi amafanya kinyume naapo niuthushi

    • @salamamaulid9114
      @salamamaulid9114 3 месяца назад

      Acha ushabiki wa kijinga ww kama huwezi kucoment kaa kimya Acha matusi

  • @khadija5761
    @khadija5761 3 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mbaruksaid5775
    @mbaruksaid5775 3 месяца назад +2

    Namkubali sanaaà FEI

  • @mohammededy7086
    @mohammededy7086 3 месяца назад +2

    Munaupaga mwing

  • @SikuzaniJeremia-fw1nb
    @SikuzaniJeremia-fw1nb 3 месяца назад

    we boya 2

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 3 месяца назад +3

    Huyu kijana ana kipaji ila majivuno ndio yatakayomponza.

    • @selemanmcharazo
      @selemanmcharazo 3 месяца назад

      Na anajikubali sana huyu huwezi kumfananisha na Aziz, Aziz ni zaidi ya mtu n.

    • @mussahamad404
      @mussahamad404 3 месяца назад

      Jikubali ili ukubaliwe

    • @MartinMadimilo-z6w
      @MartinMadimilo-z6w 3 месяца назад

      asa kajivunia nini apoo msaport mtu anayepambana

  • @leejems142
    @leejems142 3 месяца назад +2

    Wabong msiw mnapend kulaum alaf shule pia ina umuhim wak umeambia (Up Coming) maan yak ni kit kinach kuj subir md ukifik ukion maudhui na kitend ni tofaut ndo muaz kulaum kuen na uelew wa mad yenyew msikurupuk

  • @Aviwamwadin-so3vy
    @Aviwamwadin-so3vy 3 месяца назад +2

    Hawezi kurdish yanga fei maana hatuna mpango wa kumfukuza hersi said

  • @StevenSimon-zj2uk
    @StevenSimon-zj2uk 3 месяца назад

    Maua yenu

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 3 месяца назад

    Fundi sna dogo

    • @jovinkabyemera1703
      @jovinkabyemera1703 3 месяца назад

      unazungumziz sana Yanga hatuna time nawewe potea

  • @AyoubNkwera
    @AyoubNkwera 3 месяца назад +3

    kalibu simba

  • @elibarikioffical
    @elibarikioffical 3 месяца назад

    FEI TOTO: AZIZI KI NDIO MPINZANI WANGU/ SIWEZI KURUDI TENA YANGA HAIWEZEKANI
    hii heading haiendani na content nyie waandishi wa habar acheni uchonganishi wapuuzi sana

  • @amashambowe1583
    @amashambowe1583 3 месяца назад +2

    Kenge nyie

  • @mariammbwana9018
    @mariammbwana9018 3 месяца назад +3

    Umbwa

  • @NellyDibaling
    @NellyDibaling 3 месяца назад +2

    Hapa ni nyumbani

  • @elikanawilson2966
    @elikanawilson2966 3 месяца назад +1

    ❤️

  • @RashidAhmed-h7t
    @RashidAhmed-h7t 3 месяца назад

    Mimi Sio mtanzania but nafuatilia mpira wa Tanzania.Watanzania acheni chuki zisizo Isha kama machoko/mapapai huyo dogo anajua au ndio utanganyika unawakereketa?

    • @tluwaydahaye9190
      @tluwaydahaye9190 3 месяца назад

      Unajua maana ya chuki kweli wewe? Inaonekana kiswahili kinakusumbua

  • @YuzzoYuzzomaster
    @YuzzoYuzzomaster 3 месяца назад +1

    Hapa ni nyumbani

  • @kingsmusicfans1416
    @kingsmusicfans1416 3 месяца назад +8

    Crown 👑

  • @raphaelkisungura8398
    @raphaelkisungura8398 3 месяца назад +2

    Pablo next tunataka utuletee pacome

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 3 месяца назад +1

    Huyu baado sanaaaa kumfananisha na Aziz alafu wachambuzi na hivi vyombo vya habari vinavyomvimbisha na kwa kuwa mwenyewe uwezo wake mdogo wa kiakili

  • @hajimnyangwa
    @hajimnyangwa 3 месяца назад +2

    Hapa ni nyumban kabisa

  • @bonfacebonafide012
    @bonfacebonafide012 3 месяца назад +7

    🔥🙌 Hapa Ni Nyumbani..

  • @awetumtengera1147
    @awetumtengera1147 3 месяца назад

    Duh! Msimu bora huna hata kombe moja.

    • @mohamedredsea962
      @mohamedredsea962 3 месяца назад

      Azam kuingia champion ligi sio ubora we Acha uyanga

  • @JudithJackxon
    @JudithJackxon 3 месяца назад

    Karbu sana fei

  • @AldofNyankena
    @AldofNyankena 3 месяца назад +7

    Kumbe na nyie mna upuuzi wa kuandika kuhusu maharage alafu kumbe kilichopo ni Funza

    • @jasmineeomary2041
      @jasmineeomary2041 3 месяца назад

      Hili ni kama tangazo ila mahojiano ni mapaka masaa 9 yajayo itakua hewan

    • @GeorgeKishiwa-r5g
      @GeorgeKishiwa-r5g 3 месяца назад

      TATIZO LAKO ELIMU NI NDOGO HUELEWI LOLOTE HAYA UONGO UPO WAP WAP HAPO MKUNDU WAKO KUMA WEWE

    • @DismasGeraldi-i2s
      @DismasGeraldi-i2s 3 месяца назад

      😂😂