Kweli yaani mtu kila siku unakuta unaenda kuangalia taarifa ya habari labda kuna ajira, unanunua bando kila siku upo mtandaoni labda kuna Updates za ajira ila wapi,God bless you 💪 Generali mstaafu Mabeyo
Huwezi tengeneza ajiri huku ukibinafsisha na kukodisha na kuuza maliasili tulizo nazo......lasilimali ndizo huzalisha ajira nyingi....ziko wapi lasilimali zilizo mikononi mwa nchi na wazawa sasa....ni ndoto kufanya mageuzi ya kiuchumi na ajira kwa fikra za kukaribisha wawekezaji wakwapuaji
Tamko zito kutoka kwa Generali Mstaafu Mabeho, "Tz ibadirike iendane na mabadiliko ya Kimataifa ya Dunia ya Kiuchumi, tusifanye kimazoea...". Kumbuka Generali Mabeho amenukuu mwanafalsa mwanajeshi wa Kichina, ambayo nchi yake (China) ndio inaongoza kwa sasa Kiuchumi Duniani. Hivyo Generali Mabeho anaishauri Tz (kupitia Rais Samia), kubadilika na kuachana na kukumbatia Mashirika ya fedha ya Kimagharibi ya IMF na WB.
Wenzie ndo wanapata ulaji humo, hiyo misaada na mikopo inakuwaga accounted for? Huyo cig huwa anakagua hiyo mikopo na misaada? Huko ndo raisi na mawaziri husika wanakula hela tena wanazipiga kweli kweli.
Mabeyo hana kitu kipya zaidi kumsifia Rais na kufurahiya nafasi aliyopewa. Mashirika gani anayosema yapo vizuri? Zaidi ya sasa wamepewa nafasi ya kuiba. CIG anasema mashirika fedha zinapotea hata shirika la ndege ambalo limenunuliwa ndege za kutosha ambazo zimekuwa za kupanda viongozi. Hawa viongozi walikuwa wazalendo wakati wa Magufuri kwa sababu ilikuwa lazima upewi nafasi. Sasa hivi kigezo ni kumsifu Rais na kumshauri vizuri. Kama tumasema hatuwezi hata kuendesha bandari tunawezaje kuendana na mabadiliko ya kidunia ambayo mabeyo anasema? Yanayotoka moyoni huitaji kuandika kwenye kalatasi mabeyo amepewa kalatasi asome ili watudanganye. Sio mabeyo yupo kwenye bodi au kamati ya kuamisha na kuandaa wamasai bandia kusema wamasai wamekubali kuamishwa wakati sio kweli? Maneno hayatudanganyi wakati matendo tunayaona.
Ameuza mali za Inchi ya Tanganyika mnasifu nini? Mnasifu ili muendelee kuwa wenye viti vya board. Acheni kutufanya watumwa wenu. Inchi hii ni yetu wote.
Kunyamaza ni hekima, ukiona mtu analalamika saana ujue anakwepa majukumu yake, fanya kazi Kijana acha Malalamiko, Bakharesa amepewa hela na nani? Familia ya MO dewji wamepewa hela na Serikali? Acha hizo kuwa serious na maisha
RAISI ALIKUWA MAGU TU,, NDO MZALENDO NA MWENYE UCHUNGU NA NCHI TAKE, sasahiv ni madudu TU,, Kila sekta upumbavu,,apo Tazara kwenye TRENI NDO huozo kabisaa,,mijitu inajipangia TU Leo tunaenda kesho atuendi,,kifupi AUNCLE NDO RAISI WA KWELI ...
MMi ni mzalendo wa tanzania kutoka Tanga tanzania 2sije tukaungana na NATO wala kufanya biashara yeyote ile maana wzungu wanatunyonyasan wa africa sana Haswa haoo wmarecani na Engeland 2sikubali watutawale kivyovyote vile 2kiamua Tanzania 2naweza ASANTE, 8:56 iv
Nakusifu ndugu Mabeyo kwa kuwa mkweli ingawa umekuwa too polite katika risala yako. Ungekuwa more direct kusudi Raisi apate picha kamili na mazito uliyoyasema. Raisi kazi hikes na watu wengi ambao hawapo serious na maisha ya Watanzania. Hawajaisoma dunia ni wapi inaelekea na nini au vipi tutumie raslimali zetu kuboresha maisha ya watanzania. Raisi umetukosea sana kuwapa mataifa ya nje raslimali zetu kuu na wazichukue burebure kwao na wakazichakate huko. Ungepigilia msumari tujenge viwanda Tanganyika, tuongeze thamani ya maligafi yetu badala ya kuwaruhusu wakachakate kwao na kukosesha Watanganyika wengi ajira nchini hasa vijana wa Somali a kazi. Kuwafukuza Wamasai na kupora ardhi na mifugo yao na kuwaruhusu wageni kuchukua ardhi zetu na kuwekeza huko. Hızı na haya maeneo ambayo ni Prime nchini kiuchumi ni makosa makubwa sana sana bila hata kuwahusisha wamasai ambao ndizo ardhi zao ni ki yüme cha sheria kikatiba ya nchi yetu na ningeshauri zirudishwe kwa Wamasai. Tumetoa raslimali kuu zote na bado hatuna dola na hii haieleweki hata kidogo. Mungu ibariki Tanzania. Wabariki viongozi wetu wakuu na kuheshimu madaraka yao na kufanya maamuzi magumu wakimtumainia Mungu kwa manufaa ya watanzania kwanza kabla ya mtu meingine yeyote. Mungu wabariki watanzania , uwalinde na kuwaongoza vyema. Amina.
Mama Samia sio kila mtu anaweza kuwa mkurugenzi wa ikulu hiyo nafasi muhimu mno angalia huyo mtoto anavyojikanyaja hapo ovyo kabisa unajaza teuzi zako zingine HAZIELEWEKI kabisa
Kuna mda kwa uchache wa akili yangu ninahisi kama UZARENDO upo JESHINI je ni mimi tu au hata nyinyi wenzangu???? Maana huyu jamaa anaongea point lkn kwa upole na utii wa hali ya juu
Asante kwa maneno mazuri mheshimiwa maana kauli MBIU ya kupata ajira wasema nasafi za kazi vigezo uwe na uzoefu wa miaka mitatu sasa vijana wamesomea kazi husika badala ya kupewa nafasi wanaambiwa uzoefu miaka mitatu je uzoefu huo unapatikana wapi
Kwa nini Mabeyo usichukuwe nchi???? Hakuna waziri yeyote anayeelewa anachofanya zaidi ya kupenda vyeo tu, inakuwaje nchi haina $$??? Wafanya biashara watafanyaje kazi???? Kama BOT hawana pesa za kuwawezesha wafanya biashara kuendeleza nchi kiuchumi??? Hizo Dollars haziko available kwa wananchi lakini wao wanazo za kutumia Dubai, Uingereza na hapa Marekani wanakuja kila mara kwa matumbuzi tu hakuna la maana, something need to be done
Raisi ndo kiongozi mkuu kama halioni hilo, wasaidizi wake wanajilia hakutaka kuyachukua mazuri ya aliyemuachia akaamua kuwakumbatia mafisadi. Watu WA kupato cha chini wanaumia kulipa Kodi na maisha magumu walio juu wanateleza, machawa nao ndo wanabugia hela za nchi kila kukicha. Angechukua nchi Magu alivyofariki kama alishindwa ndo basi tena.
Tanzania nchi yetu ina sikitisha saana hivi hiyo nchi, inashindwaje kuwalipa watu wasio na ajira, Nchi nzima hata kama ni kiasi cha laki 2 kila mwezi, Watu walio kwenye makundi maalumu kama walemavu, wa aina zote, kiasi maalumu cha Fedha kila mwezi, pamoja na watoto wadogo hadi kiasi cha miaka 18, Pamoja na Wazee hapo Tz, Bila kusahau kutoa huduma za Afyah bora Nchi Nzima pasipo malipo
Huyu mama angekua mkanuni hata asingegombea coz wewe umemaliza Magufir alipo fark sasawewe huna uchungu akakaapemben ukapishavuchaguz ila wewe ndio unafirahia kabisa da kwel madalaka
Tatizo wageni wameshika nafasi za vijana wetu wapo kibao mishahara yao mikubwa akiajiriwa mtanzania anapewa mishahara mdogo 😢😢😢 nenda kwenye makampuni uone wageni walivyo wengi wakija wanasimama nyuma ya fundi wakishajua wanakuwa ndio mafundi wakuu
Yan ivi hawez kugombea urais....hawa ndo u magufuli....tumekatishwa...tunataka mtu atakaendeleza ideas za Magu. Ila Mama anajitahid sana ku balance maendeleo na democrasia
Sisi tumepitia mafunzo ya kijeshi ila ajila hatuna tuna hangaika mtaani zinatokea ajila mnapeana wenyewe kwa wenyewe aya leo kongo kume nuka basi tuiteni mbona mnatunyima haki yetu
Kamanda Mabeyo, umenena vema sana. Tunahitaji wajumbe wa Bodi wenye umahiri, uzoefu na historia ya utendaji wenye ufanisi. ujumbe na uenyekiti wa Bodi kwa mashirika ya umma isiwe 'bakhishishi' au kiti cha kusogezea siku kwa wastaafu.
Samiah ona huruma kwa Watanganyika kabla ya kuona urais wako 2025. Muweke MUNGU mbele. Vinginevyo huupati urais kihalali. Yaani hupo kulipigania Taifa. Utashindwa hata ukishinda kimabavu.
Ninyi mnaonja kwa kuiba wanainchi wanabaki masikini tu. Endeleeni kutudang'anya wanainchi na kuwa the poorest katika Inchi za Africa ya mashariki. Kwa sababu ya uongozi mbovu.
Unemployment aisee ni kitu kidg alf mataifa yote yenye migogoro chanzo ni iko ndio maana marekani ina vitengo vingii sana vya jeshi ili wengi wenye elimu ya kawaida waendee kujiungaa jeshi. Na kupunguza hatri kubwa uasi kwenye nchi
Best is best ever ,be blessed mabeyo umesema facts sana na kiongozi imara mara zote daima.
Kweli yaani mtu kila siku unakuta unaenda kuangalia taarifa ya habari labda kuna ajira, unanunua bando kila siku upo mtandaoni labda kuna Updates za ajira ila wapi,God bless you 💪 Generali mstaafu Mabeyo
Jiajiri tu Elimu ikusaidie kutumia fursa
Mkuu wa Majeshi ulitukosea Sanaa hii nchi ungeshika wewe mpaka 2025 ndio uchaguzi ungekuja kufanyika tungepata Rais!
Congratulations you have given to Tanzanians an eye opener to see what you have said and done on your chairmanship position bravo
UNGETUSIKILIZA SISI MABEYO UNGECHUKUA NCHI KIPIND KILE YOTE YASINGETOKEA HAYA UMETUKOSEA SANA WATZ😢
Huwezi tengeneza ajiri huku ukibinafsisha na kukodisha na kuuza maliasili tulizo nazo......lasilimali ndizo huzalisha ajira nyingi....ziko wapi lasilimali zilizo mikononi mwa nchi na wazawa sasa....ni ndoto kufanya mageuzi ya kiuchumi na ajira kwa fikra za kukaribisha wawekezaji wakwapuaji
a hapo bado sijaona jipya
kweli ila kama una miaka 40+ hauna haki ya kuhoji kitu hii nchi kwasababu umeshaona marais wote na kama hatuna pesa tutulie by Chalamila.
Akili yako bado haijapevuka au bado una umri mdogo hufahamu mtizamo wa ubinafsishaji!
Shida haipo apo kaka
Niboresha mfumo wa elumu tu bc tukisha kua na uelewa mzur kila ktu tutaweza kukifanya kwa ubora
@@salehothman6144 😢😢😢
Very Softly/Politely Spoken BUT The Message delivered is Very Strong!!...You can feel the Silence & Attention from the Audience.
Best Boy in Tanzania. General VSM
He is not a boy he's a Man@@geey7893
Abusolutely....This Man is A Gentleman❤❤❤
Nlikuwa Nataka Kuona Mtu Aliye Litambua Hili Kumbe Pia Umeliona Asante👊🏿👊🏿👊🏿
Yupo vizuri sana,Mungu azidi kukuoigania
Uko vizuri sana ungefaa kuwa raisi wa tz tungekua vizuri sana tugenenepa
Hayo ni mawazo yako .
Akili Huna wewe,kila anayeongea vizuri kwako anafaa kuwa rais
Nae akiwa rais mtamlaumu kuliko samia
Mungu ibariki tanzania huwa naumia Sana inchi inakila kitu lakini watu wake wanaishi maisha magumu Sana
Yaani sijui mwisho wa haya mateso ni lini??
Kafanye kazi,Acha kulalamika hutatoboa
@@walidmgonja3644 sawa mwenye Kazi
Safi sana nchi yangu/yetu.Safi sana mhe Rais mama yangu/yetu.Hongera sana mkuu mstaafu(Mabeyo)Afande Mabeyo kwa speech nzuri.
Ni mama yako sio mama yetu.mm nina mama yangu anaitwa Mariath sio samia
Bro mi mama yangu,coz kanitangulia kuzaliwa napia kiongozi wa nchi yangu.So nampenda napia namuheshimu sana kwenye maisha yangu.
@@abdulhakeem959😂😂😂
Mkuu wetu wa Chuo Mungu Akubariki Amen
Haya ndio maneno sasa
Yes!
Mabeyo once again 💯
Mh. Mabeyo umestaafu umefanya kazi zako vizuri lkn ongea ukweli nchi sahiz iko ovyo hakuna chamageuzi wakati nchi inaizwa hiii
Mungu akupe maisha marefu Mabeyo🎉🎉🎉🎉
Hafrey. Polepole
Umeongea ukweli kabisaaa mungu akubariki sanaaa
Wewe Mungu alikuchanguwa kuwa Rais ila ukapingana na Mungu ila unazungumza pwenty nchi imekuwa maskini pesa akuna zipo kwa viongozi waserekali tu
Tamko zito kutoka kwa Generali Mstaafu Mabeho, "Tz ibadirike iendane na mabadiliko ya Kimataifa ya Dunia ya Kiuchumi, tusifanye kimazoea...". Kumbuka Generali Mabeho amenukuu mwanafalsa mwanajeshi wa Kichina, ambayo nchi yake (China) ndio inaongoza kwa sasa Kiuchumi Duniani. Hivyo Generali Mabeho anaishauri Tz (kupitia Rais Samia), kubadilika na kuachana na kukumbatia Mashirika ya fedha ya Kimagharibi ya IMF na WB.
Ahh!! kumbe na G. Mabeyo naye ameongea
Wenzie ndo wanapata ulaji humo, hiyo misaada na mikopo inakuwaga accounted for? Huyo cig huwa anakagua hiyo mikopo na misaada? Huko ndo raisi na mawaziri husika wanakula hela tena wanazipiga kweli kweli.
Wanataka kusikia kilichopo moyoni mwake
unahuakika na ulisemalo😮
Mabeyo hana kitu kipya zaidi kumsifia Rais na kufurahiya nafasi aliyopewa. Mashirika gani anayosema yapo vizuri? Zaidi ya sasa wamepewa nafasi ya kuiba. CIG anasema mashirika fedha zinapotea hata shirika la ndege ambalo limenunuliwa ndege za kutosha ambazo zimekuwa za kupanda viongozi. Hawa viongozi walikuwa wazalendo wakati wa Magufuri kwa sababu ilikuwa lazima upewi nafasi. Sasa hivi kigezo ni kumsifu Rais na kumshauri vizuri. Kama tumasema hatuwezi hata kuendesha bandari tunawezaje kuendana na mabadiliko ya kidunia ambayo mabeyo anasema? Yanayotoka moyoni huitaji kuandika kwenye kalatasi mabeyo amepewa kalatasi asome ili watudanganye. Sio mabeyo yupo kwenye bodi au kamati ya kuamisha na kuandaa wamasai bandia kusema wamasai wamekubali kuamishwa wakati sio kweli? Maneno hayatudanganyi wakati matendo tunayaona.
Kamanda mabeyo. Big up
Wanajeshi sku zote wamenyooka sana
Hawataki uchawa chawa🙏🙏
Na ndio maana wale jamaa watatu pale Sahel,AES hawataki uchawa, hawataki unafiki, they are disciplined and well straight
Asante mabeo nyinyi ndo wazarendo awamu hii haitaki wazarendo
Uzalendo wa nn 😂😂😂
Kabisa
Bandari zimeuzwa, misitu imeuzwa, unasema nini Gereli😢😢😢watu wananyanyaswa kwenye ardhi zao wanafukuzwa kwenye ardhi yao😥😥😥
Nyiebado hamjauzwa kwani,
Acha upinzani wewe hatukuelewi kabisaa
Wauze tu
Hapo muhusika hata hajakuelewa. Woiiiiii😢😢😢
Hapo kazi ni kusifiana tu hakuna laziada
Ameuza mali za Inchi ya Tanganyika mnasifu nini? Mnasifu ili muendelee kuwa wenye viti vya board. Acheni kutufanya watumwa wenu. Inchi hii ni yetu wote.
Kunyamaza ni hekima, ukiona mtu analalamika saana ujue anakwepa majukumu yake, fanya kazi Kijana acha Malalamiko, Bakharesa amepewa hela na nani? Familia ya MO dewji wamepewa hela na Serikali? Acha hizo kuwa serious na maisha
@@ndukulusudikucho_we ni mpumbav kabisa, mnaturudisha kwenye utumwa
Duu
@@ndukulusudikucho_kweli aisee😂😂😂❤❤❤
@@ndukulusudikucho_ Unaongea usenge
........tunataka fomu mbili za uchaguzi ndani ya cCm ya afande na mama wa bandari
Afande atamgaragaza traveller hadi huruma. Matokeo yatakuwa kama ifwatavyo;
Afande 98.9%
Traveller 1.1%
RAISI ALIKUWA MAGU TU,, NDO MZALENDO NA MWENYE UCHUNGU NA NCHI TAKE, sasahiv ni madudu TU,, Kila sekta upumbavu,,apo Tazara kwenye TRENI NDO huozo kabisaa,,mijitu inajipangia TU Leo tunaenda kesho atuendi,,kifupi AUNCLE NDO RAISI WA KWELI ...
.... well said bro afande
MMi ni mzalendo wa tanzania kutoka Tanga tanzania 2sije tukaungana na NATO wala kufanya biashara yeyote ile maana wzungu wanatunyonyasan wa africa sana Haswa haoo wmarecani na Engeland 2sikubali watutawale kivyovyote vile 2kiamua Tanzania 2naweza ASANTE, 8:56 iv
Ndugai Mungu akubariki popote ulipo, Mungu ibariki Tanzania mungu ibariki Africa.
Kampe na mkundu
@@Mumewangu ukimpa wewe inatosha
AIBU NA FEDHEHA KUTOA MATUSI...MDOMO MCHAFU!
@@emanuelleopod3949 wewe ndie shoga manake unampenda mwanaume mwenzako na kumsifia
Kauli tulinlvu na ujumbe nzito 🎉❤❤❤❤❤
Bukina Faso ndo ina uongozii Bora majeshii ndo Kila kitu
Idd Amin hakuwa mwanajesh Nkurunzinza hakuwa mwanajesh Kabira hakuwa mwanajesh Mzee kikwete hakuwa mwanajesh Mzee mseven sio mwanajesh hacha kukalili
Ni bora wajeshi kuliko hawa raia wapuuzipuuzi
I love you my father...
Mkuu kwani kuchua nchi unashindwa nini nyumba baba mama moyo akae nyumbani alee watoto kalia kiti mkuuu
Hakika , vijana wengi tushapotea , hatuoni umuhimu wa elimu ,zaidi ya maumivu tu ya kusota na makaratasi ya vyeti😢🇹🇿🙌
Pamoja na kujiamini lakini umejaliwa unyenyevu nakupendaga sana mkuu venance mungu akutunze na ikimpendeza natamani siku mona uwe rais wa Tanzania 🙏🙏
Nakusifu ndugu Mabeyo kwa kuwa mkweli ingawa umekuwa too polite katika risala yako. Ungekuwa more direct kusudi Raisi apate picha kamili na mazito uliyoyasema. Raisi kazi hikes na watu wengi ambao hawapo serious na maisha ya Watanzania. Hawajaisoma dunia ni wapi inaelekea na nini au vipi tutumie raslimali zetu kuboresha maisha ya watanzania. Raisi umetukosea sana kuwapa mataifa ya nje raslimali zetu kuu na wazichukue burebure kwao na wakazichakate huko. Ungepigilia msumari tujenge viwanda Tanganyika, tuongeze thamani ya maligafi yetu badala ya kuwaruhusu wakachakate kwao na kukosesha Watanganyika wengi ajira nchini hasa vijana wa Somali a kazi. Kuwafukuza Wamasai na kupora ardhi na mifugo yao na kuwaruhusu wageni kuchukua ardhi zetu na kuwekeza huko. Hızı na haya maeneo ambayo ni Prime nchini kiuchumi ni makosa makubwa sana sana bila hata kuwahusisha wamasai ambao ndizo ardhi zao ni ki yüme cha sheria kikatiba ya nchi yetu na ningeshauri zirudishwe kwa Wamasai. Tumetoa raslimali kuu zote na bado hatuna dola na hii haieleweki hata kidogo.
Mungu ibariki Tanzania. Wabariki viongozi wetu wakuu na kuheshimu madaraka yao na kufanya maamuzi magumu wakimtumainia Mungu kwa manufaa ya watanzania kwanza kabla ya mtu meingine yeyote. Mungu wabariki watanzania , uwalinde na kuwaongoza vyema.
Amina.
Jmn mabeo gombea Uraisi inchi imekuwa haina Amani kabisa tumekuwa kama panya tukiona paka tunakosa amani
Mama Samia sio kila mtu anaweza kuwa mkurugenzi wa ikulu hiyo nafasi muhimu mno angalia huyo mtoto anavyojikanyaja hapo ovyo kabisa unajaza teuzi zako zingine HAZIELEWEKI kabisa
2025 kura kwa mabeyo hata kama hatagombea😂
❤❤❤
Asante mzee mimi sikusoma sana lakini nimekuelewa sanaaa,
Kuna mda kwa uchache wa akili yangu ninahisi kama UZARENDO upo JESHINI je ni mimi tu au hata nyinyi wenzangu???? Maana huyu jamaa anaongea point lkn kwa upole na utii wa hali ya juu
Uko sahihi 100%, mfano mzuri ni akina Traore, Tiani na Goita pale Sahel States,
“Natumaini umeelewa vyema”😂
Asante kwa maneno mazuri mheshimiwa maana kauli MBIU ya kupata ajira wasema nasafi za kazi vigezo uwe na uzoefu wa miaka mitatu sasa vijana wamesomea kazi husika badala ya kupewa nafasi wanaambiwa uzoefu miaka mitatu je uzoefu huo unapatikana wapi
Kwa Mara ya Kwanza natamani CDF mstaafu huyu ateuliwe kuwa waziri, ni atakusaia Sana Mh. Rais, hatakosa kwenye the best three ktk baraza
Great
Na hilo gaiwo ni kwa kila mtanzaniaa au ni kwe nyinyi wenyewe wenye nnchi.
Mungu akutunze baba padre, Amen sana.
Haya majitu ndo yanatakiwa yawe marais
Hayo ndiyo maneno siyo mipasho mama maongezi yake yote inakuwa kuchamba watu mabeyo una faa kuwa raisi wa nchi hii
Jeshi linge kuwa na mfumo wakuwasimamia viongozi wote mpka raisi anapofanya ujinga na kumchukulia hatua,
Mabeyo ongea ukweli na ongea kwa utaifa ulio fundishwa jeshini nchi yetu aina maendereo na inazidi kushuka kiuchumi
Na tatizo la watu wengi hawataki kustafu wanangangania madalaka wao vijana hawatapata ajira kamwe
Wewe kwa mtazamo wako, wazee gani waondoke, na vijana gani ambao wewe unaona wana faa kuchukua hizo nafasi unazozisema? Baada ya kulaumu toa Ushauri.
Plan is key to success
nchi ya ahadi 😭😭📞💔
duuh
Point muhimu
Alitakiwa awe raisi
Kwa nini Mabeyo usichukuwe nchi???? Hakuna waziri yeyote anayeelewa anachofanya zaidi ya kupenda vyeo tu, inakuwaje nchi haina $$??? Wafanya biashara watafanyaje kazi???? Kama BOT hawana pesa za kuwawezesha wafanya biashara kuendeleza nchi kiuchumi??? Hizo Dollars haziko available kwa wananchi lakini wao wanazo za kutumia Dubai, Uingereza na hapa Marekani wanakuja kila mara kwa matumbuzi tu hakuna la maana, something need to be done
Raisi ndo kiongozi mkuu kama halioni hilo, wasaidizi wake wanajilia hakutaka kuyachukua mazuri ya aliyemuachia akaamua kuwakumbatia mafisadi. Watu WA kupato cha chini wanaumia kulipa Kodi na maisha magumu walio juu wanateleza, machawa nao ndo wanabugia hela za nchi kila kukicha. Angechukua nchi Magu alivyofariki kama alishindwa ndo basi tena.
Uyu anafaa kua rahisi au Ata awe mshauri wa raishi pia itasaidia nchi kwenda mbele
@@MsAggie5
Raisi anajitahid sana lkn mitazamo inatofautiana ila umeongea ktu cha maana sanaa
@@AbdulRahmanAliy-sr7gw hilo la awe msaidizi wake hata Mimi naliunga mkono, angemsaidia vzr
@@AbdulRahmanAliy-sr7gwAnajitahidi kufanya nini ndugu ? Kilasiku tunakopa nini umekiona?
Points mbili MUHIMU
1. Ajira
2. Namna ya kupata wajumbe wa Bodi
Lakini MHUSIKA hajaelewa japo Amejitahidi kupiga makofi
Xema bana
Tanzania viongozi wengi sio wabunifu wanatalawa nchi kwa mazoea sna, wanapeana kwa kijuana,
Mama hongera sanaaaaa
Wanakua howi kweli wasaidie mkuu nimefulahi kuona umepewa nafas mkuu wetu good you
Nchi inauzwa,rasilimali zinauzwa ninyi mpo kusifia tu kupongeza uozo unaofanywa na serikali ya ccm!
Huyu di ndiyo alikuwa anamuuguza magufuli ?
yeah ndo uyo apo..umegundua nn😂😂?
Tanzania nchi yetu ina sikitisha saana hivi hiyo nchi, inashindwaje kuwalipa watu wasio na ajira, Nchi nzima hata kama ni kiasi cha laki 2 kila mwezi,
Watu walio kwenye makundi maalumu kama walemavu, wa aina zote, kiasi maalumu cha Fedha kila mwezi, pamoja na watoto wadogo hadi kiasi cha miaka 18, Pamoja na Wazee hapo Tz,
Bila kusahau kutoa huduma za Afyah bora Nchi Nzima pasipo malipo
Mabeyo hoyeeeeeeee
Mabeo ni muhujumu wa jeshi hakupandisha wanajeshi vyoo na alikuwa anapendelea jamaa zake tu tunamkumbuka Gen Mwamnyange
Wew ni mwanajesh? Na je kama ndio kwa nn ukwenda kamat za jesh kulalamika? Kama sio unalalamikia vip vyeo vya jesh na wewe ukiwa na shughr nyingne??
Apandishe Vyoo gani tena ndugu
@@emanuelleopod3949 soma vizur utaona niliye mjibu Mzee
Movie mpya
Dar ni karibu na Zanzibar, heheeee, Dodoma oyeeeee, DP World oyeeeee, musukuma oyeeeee!
Hapo sasa samia hapendi kuambiwa ukweli atakuchukia na kazi atakufukuza
Vijan upep umegeuk saiv mpo na mabeyoo😂😂😂😂 kisa kagusia ajira za vijan
Huyu mama angekua mkanuni hata asingegombea coz wewe umemaliza Magufir alipo fark sasawewe huna uchungu akakaapemben ukapishavuchaguz ila wewe ndio unafirahia kabisa da kwel madalaka
Ferry Tu pale kigamboni serikali pana pesa nyingi panahitaji utendaji thabiti
Tatizo wageni wameshika nafasi za vijana wetu wapo kibao mishahara yao mikubwa akiajiriwa mtanzania anapewa mishahara mdogo 😢😢😢 nenda kwenye makampuni uone wageni walivyo wengi wakija wanasimama nyuma ya fundi wakishajua wanakuwa ndio mafundi wakuu
Yan ivi hawez kugombea urais....hawa ndo u magufuli....tumekatishwa...tunataka mtu atakaendeleza ideas za Magu. Ila Mama anajitahid sana ku balance maendeleo na democrasia
Mama ni wa hovyo sana
He speaks like Philip Mpango
Mama alimstaafisha kijanja maana anajua huyu ni mzalendo hataki makando kando
Sisi tumepitia mafunzo ya kijeshi ila ajila hatuna tuna hangaika mtaani zinatokea ajila mnapeana wenyewe kwa wenyewe aya leo kongo kume nuka basi tuiteni mbona mnatunyima haki yetu
Mzee ushauri wako nizuri sana tuige kwa kaka wa bukinafaso sisi ni matajir tupambanie nchibyetu
Maliasili zimeenda
Zimeenda na yeye ndio mwenyekiti wa bodi.
Kwel bro turhole oyeee
Umenena
Na tanesco nao watafutiwe washindani kibiashara Ili serikali ipate Kodi.
💪
Nchi imefika pabaya jamani tuamke kuwa macho na lasilimali zetu muhimu nchi
Kamanda Mabeyo, umenena vema sana. Tunahitaji wajumbe wa Bodi wenye umahiri, uzoefu na historia ya utendaji wenye ufanisi. ujumbe na uenyekiti wa Bodi kwa mashirika ya umma isiwe 'bakhishishi' au kiti cha kusogezea siku kwa wastaafu.
5:35
👀
Tanzaniaaaa korongoniiiii
Samiah ona huruma kwa Watanganyika kabla ya kuona urais wako 2025. Muweke MUNGU mbele. Vinginevyo huupati urais kihalali. Yaani hupo kulipigania Taifa. Utashindwa hata ukishinda kimabavu.
Ninyi mnaonja kwa kuiba wanainchi wanabaki masikini tu. Endeleeni kutudang'anya wanainchi na kuwa the poorest katika Inchi za Africa ya mashariki. Kwa sababu ya uongozi mbovu.
😊 in
Unemployment aisee ni kitu kidg alf mataifa yote yenye migogoro chanzo ni iko ndio maana marekani ina vitengo vingii sana vya jeshi ili wengi wenye elimu ya kawaida waendee kujiungaa jeshi. Na kupunguza hatri kubwa uasi kwenye nchi
na mleta roboti😂😂
Duh!yan mung tusaidie umechkua wazalendo umetuachia majambazi yanauza nchi kwafaida zao wenyew
Sana mwamba umeupiga mwinga umewambiliapo
Angekuwa siyo mwanajeshi angekuwa anaongea Kama Mpango
Maisha magumu hadi imefikia mahali vijana wamekata tamaa ndani ya Nchi yao