RAIS SAMIA ASHIKA KICHWA, MZEE MAKAMBA AKIWACHANA CCM "TUACHE UNAFIKI, TUAMUE LEO"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • RAIS SAMIA ASHIKA KICHWA, MZEE MAKAMBA AKIWACHANA CCM "TUACHE UNAFIKI, TUAMUE LEO"
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 1,1 тыс.

  • @angelsylvester4795
    @angelsylvester4795 Год назад +83

    Magufuri tutakukumbuka milele baba pumzika kwa amani kipenzi cha moyo wangu💔💔💔😭😭🙏🙏

    • @mamita336
      @mamita336 Год назад +4

      Rest in peace dady

  • @jesuspowerfuldevotional
    @jesuspowerfuldevotional Год назад +18

    Kama unayapenda mazuri yote aliyofanya hayati Magufuli weka like zote hapa👍

  • @mussathomasdossa4687
    @mussathomasdossa4687 Год назад +48

    Wazuri hawafi nazani mama yerere mama mkapa mama magufuli wamelia Sana kauli hiyo daah mzee huyu mjinga Sana mungu atalifanyia kazi kaulihii

    • @Ndawoo
      @Ndawoo Год назад +1

      kwaiyo walikufa ni wabaya

    • @karaoglan9444
      @karaoglan9444 Год назад +3

      Jamani!!

    • @digitalaffiliatemarketing210
      @digitalaffiliatemarketing210 Год назад +3

      Yaani, Siku zote Mungu hutusikia na hutizama Yale yote tunayomtendea....Huyu Mzee makamba Kwa akili yake hiyoo amemkufuru mungu Kwa kiasi Kikubwa sanaaaaaaa.....Hapo inaonesha kuwa alikuwa hampendi Magufuli

  • @janechacky3810
    @janechacky3810 Год назад +112

    Rest in peace Magufuli we are always in our hearts 💕

    • @lameckbutanga2325
      @lameckbutanga2325 Год назад +4

      We are always in our hearts ndo nini sasa 🤔🤷🏼‍♂️

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 Год назад +3

      Tafadhali, ungetumia lugha unayo ifaham vizur ili tuelew vizur dhamira yako

    • @chaxpeter5789
      @chaxpeter5789 Год назад

      😂😂😥🙏

    • @mohamedturanardan8871
      @mohamedturanardan8871 Год назад +3

      Yah we missed him because no zanzibar killed yet, no more bullets like for Lissu, no founds peoples died in the sea, no others like Azori and bensanane and Ali Juma...........................

    • @jeremiapeter683
      @jeremiapeter683 Год назад +2

      Hilo Ni kosa la simu ya TECNO..🤣🤣

  • @bochchriss1412
    @bochchriss1412 Год назад +16

    R.l.p rais wa wanyonge 😭😭 tulikupenda na tutazid kukupenda daima😭😭 baba yetu

  • @mohameddikaluka3162
    @mohameddikaluka3162 Год назад +9

    Allah!! Hakulipe hapa hapa Duniani kwa kauli yako,,sisi tulipoteza wazazi wetu walikuwa wabaya na wewe mzuri Endelea kuwepo Alhabdulillah!🙏

    • @janesimonmbironikweli6826
      @janesimonmbironikweli6826 Год назад +1

      Hii kauli kumbe imetuumiza wengi,wazuri hawafi,sie tulio fiwa na wazazi,kaka na wengineo, Mhuuuuuuu

  • @josephinemeela9098
    @josephinemeela9098 Год назад +51

    Rest in HEAVENS uncle Magu 😢

  • @alinanuswe1704
    @alinanuswe1704 Год назад +66

    JPM was surrounded by wolves in shèeps clothing. RIP Magu.

  • @violethbosha1666
    @violethbosha1666 Год назад +16

    Magu pumzika kwa amani tulikumpenda mno ndo mana mungu alikuvuna Mapema. Amina

  • @johnpesambili4806
    @johnpesambili4806 Год назад +52

    Maisha ni zawadi kutoka kwa mungu, kauli ya kwamba wazuri hawafi ni kumukufuru mwenyezi mungu. Kwa hiyo hao jakaya na kinana wataishi milele kwa kuwa wao ni wazuri na wewe utaishi milele kwa kuwa wewe ni mzuri hongera Mzee wetu tumejifunza kwenu tutakuwa wazuri ili tuishi milele. Ndugu watanzania wenzangu na wanaccm wenzangu tuzidi kuwaombea viongozi wetu , kwani uongozi ni msalaba. Mungu bariki nchi yetu wabariki viongozi wa dini na serikali. Amina.

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Год назад +8

      mwehu weee. viongozi gani hawa , wakati nchi ina kila majanga hivi sasa

    • @bakariomari8758
      @bakariomari8758 Год назад +3

      Mzee kateleza ulimi kibinaadamu

    • @benjaminjoseph1747
      @benjaminjoseph1747 Год назад +5

      Mzeee mshenzi sana huyu. Wana uzuri gani. Wauwaji tu na wala nchi. Mfyuuuuuu

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Год назад +6

      @@benjaminjoseph1747 vuri hawana kaka tazama nchi walivyo ifanya , kama tambara bovu lililo jaa matundu , halafu wapo kupeana sifa za kudanganyana

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Год назад +5

      @@bakariomari8758 hakuteleza ulimi wale ni wizi na wanasherekea kurejeana kwao kuitafuna nchi , na ndio jeuti inapo anzia

  • @mwanumwanu1513
    @mwanumwanu1513 Год назад +33

    Pole mama magufuli mama yetu jipe moyo maneno hayo tunajua yamelalua moyo wako na sisi pia

    • @digitalaffiliatemarketing210
      @digitalaffiliatemarketing210 Год назад +2

      Yaani Kwa kauli hiyo ya kwamba watu wazuri hawafi na kutoa mfano Kwa Kikwete pamoja na Kinana....hiyo Ina maanisha kuwa John. Magufuli alizungukwa na watu wabaya wengi sana humo humo ndani ya Chama..na waliokuwa wanatamani waone siku amekufa Ili wao wafurahie

  • @josephatnyamageu1046
    @josephatnyamageu1046 Год назад +55

    Mungu atawaonyesha watanzania ukweli, Mzee huyu anakiburi cha uzima " Kweli watu wazuri awafi kwa mujibu wa Mlamba Asali baada ya kifo cha Rais Magufuli" tunapaswa kutafakali vizuri maneno haya yanaukweli Mkubwa ulionyuma ya pazia. Naliona giza zito katika nchi yetu ukweli unaongea daima RIP Magufuli ukweli unaongea daima.

    • @kabojamaluku7894
      @kabojamaluku7894 Год назад +1

      Ina umaa

    • @Desireyakubu
      @Desireyakubu Год назад +1

      Wazuri hawafi maana yake mazuri yao yanaendelea kuwafaa watu hata kama wao wamekwisha kuondoka duniani heroes get remembered &Legends never die🇨🇩

    • @barakajoseph2234
      @barakajoseph2234 Год назад +1

      Kuongea sana jukwaani Kuna kuharibu umeongea kauli tata Hadi watu wameshtuka na kutulia ukumbini uyo mzee cku nyngne asiruhusiwe nafasi Kama iyo Rais tunamuitaji Majaliwa 2o25 Hadi 2o35

    • @elensaid1508
      @elensaid1508 Год назад

      @@Desireyakubu ndomaana Kikwete hajafa

    • @Desireyakubu
      @Desireyakubu Год назад

      @@elensaid1508 hakuna ambae hatakufa

  • @eliudfelix7180
    @eliudfelix7180 Год назад +6

    Nakupenda sana Mama Samia. Nadhani unaona panapovuja... A Lot of pretenders.... Hawatakuweka salama hawa. You better mind what you think and feel, Hii ndio Miruzi ya kumpoteza mbwa. MY CONDOLENCES KWA FAMILIA YA MTOTO WA AFRIKA, OUR FOR EVER BELOVED JPM.

  • @theophilojohn7331
    @theophilojohn7331 Год назад +15

    Ety wazuri hawafi. Jaman kwelii, kauli hiii inaonyesha kuwa huyu mzee alikuwa hampendi uncle magu kabisa afu anakelaaa kinoma, sie tumemkumbuka rais wetu tuliempgia kura jpm hao wengne mmmh sinajibu walitoka wapi rest in peace jpm nyerere mdgo

    • @jeniphanzeran8231
      @jeniphanzeran8231 Год назад

      Ccm wanajisaha sababu vyombo vya habari vyote ccm watangazaji wote ccm hawawatu wakimbilia ccm kwa sababu gani vyeo au watanzania tunateketea haya mambo si sawa vijana

  • @happypius4192
    @happypius4192 Год назад +46

    Huyu mzee anahati miiliki ya dunia ataishi alinde dunia kwahiyo sisi yatima wazazi wetu waliokufa walikuwa watu wabaya 😭😭😭

  • @jeniphanzeran8231
    @jeniphanzeran8231 Год назад +27

    Huyu mzee ni hatari sana anaweza kuwagawa hata waccm wenyewe

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula5695 Год назад +20

    Body language ya kikwete ina onekana kuna sehemu ambayo Mzee ametereza kiasi kikubwa 🙆🙌😄

    • @raulianraphael6853
      @raulianraphael6853 Год назад +1

      Asante coz umeliona hlo

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Год назад +2

      Wote ni hao hao tu!

    • @bahiyalumelezy3016
      @bahiyalumelezy3016 Год назад +2

      Nimemuona hajui la kufanya tu

    • @bahiyalumelezy3016
      @bahiyalumelezy3016 Год назад

      Jk hakupenda kabisaa anamuona km kachanganyikiwa huyu lopolopo amekuwa.jua limeshazama inaonyesha na gari imeshawaka hiyo.

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 Год назад

      @@bahiyalumelezy3016 asingependa kaur hizo asingecheka bana hivi watanzania huon hata pc kuwa kaur hizo zime mfurahisha kikwete? tazama tena kwa mara ingine uelewe vizur yaani kikwete kafurahiya kweli alivoambiwa yeye ni mzur hafi kacheka sana so wanamtuma nandio maana wanampa hata umwenyekit jana tu wamemchagua tena kuwa mwenyekit wa makatubu sasa sijui mnalionaje hilo anaongea mavi na wanampa cheo

  • @noelkaaya2433
    @noelkaaya2433 Год назад +2

    Sijawahi kutamani mtu afe ila huyu mzee anatakiwa kufa kama mbwa mwizi wa nyama Afe kwa kansa ya koo, imtafune apate maumivu kitandani kwa miaka mingi....Mungu pokea maombi yangu kifo cha huyu mzee na familia yake kiwe cha simulizi na wengine wote wajifunze kutoka kwao. Amen.
    Sindikiza sala hii kwa kusema Amen.

  • @linnamlay3643
    @linnamlay3643 Год назад +37

    😂😂😂Wakati wenzangu mnahuzunika na hii kauli mi ni yatima lakini nimejikuta nacheka tuu. Nimejaribu kumtafakari Mungu nikawaza angekuwa ni mwanadamu halafu anasikia kauli jeuri kama hii. Ooh Mungu si wa hasira ni mwingi wa rehema,ametupa utashi tuchague wenyewe. Mungu nakuomba rehema kwa huyu mzee hajui asemalo, mpe uzee mwema, utakaokuwa na tija kiroho utakaokuwa na uwezo wa kujua jema na baya kwako. Kamkumbushe nafasi yako kwetu wanadamu uliotuumba.

  • @mnyamakambi8468
    @mnyamakambi8468 Год назад +27

    Kafie huko mbele mzee unajipendekeza .mungu yupo rest in peace magufuli

    • @meryshekoloa961
      @meryshekoloa961 Год назад

      Wewe mwenyewe utakufa mbwa ww kwa hiyo wazazi wetu walikua wabaya kipenzi chetu magufuli alikua mbaya kwa sababu kakuinua wewe mwanamke na kumfukuza huyu jambazi makamba kinana na maendeleo tumeyaona mnaiba pesa tu maisha magumu nyie na watoto wenu mnaishi vizuri Bashir u anajielewa sasa 2025 mtaisoma namba tutalinda chama kwa kuweka kichwa tu mikono vidole vyote wapinzani.

  • @yusufunguruko8080
    @yusufunguruko8080 Год назад +55

    Kumbe uhovyo wa January Makamba karithi kwa baba yake, najua anapalilia ugali wa mwanae ila mama Samia hao wanakudanganya tu piga ua galagaza 2025 CCM lazima ikufie mikononi, kama huamini tuma watu waje huku mitaani wakufanyie utafiti wakawaida ktk vikundi vya watu mbalimbali utapata majibu, kiukweli kila mtu hakukubali kabisa kwani hata hiyo 2025 watu wanaona mbali sana, ila watu wako wa karibu uliowateua watakudanganya tu kwamba usihofu utashinda kwa ajili ya kulinda position zao kiunafiki - Ulichoharibu mama ni kuonyesha waziwazi Ile tu ulivyoingia kumchukia mtangulizi wako Magufuli na kugeuza njia, misimamo na imani (attitudes) zote alizozipandikiza kwa watu ambavyo kiukweli ndivyo vilivyosaidia Tanzania kuanza kung'ara duniani, Kwa misimamo yake, tuliingia uchumi wa kati tukiwa katikati ya janga la korona, watanzania heshima ilipanda duniani, miundo mbinu bwelele kila mahali, hivi Sasa mama tumerudi kulekule mwaka 47 watu wanafanya wanavyotaka, mama watu wa magharibi wakikusifia sana ujue umeshanasa kwenye njia zao Ili waendelee kukunyonya, hakuna mzungu anaetaka eti akusaidie uwe powerfully kiuchumi kama yeye Sasa atamnyonya nani ? Kwa nini Marekani hamtaki mchina au mjapani ? kama kweli wana Nia ya kusambaza upendo wa kwamba kila mtu ainuke kiuchumi ? somo Hilo mama, ndio maana Magu walimchukia kwasababu alishawastukia... RIP JPM.

    • @chacha-255
      @chacha-255 Год назад

      2025 mama ashapita bila kupingwa, Ccm mbele kwa mbele aietaka aende kutengeneza chama chake

    • @fransiskamwinuka4750
      @fransiskamwinuka4750 Год назад

      Sio wote unaowaona wanatembea barabarani ukajua wanaakili timamu, wengine akili zilishakufa amebakiwa na box tupu kichwani.

    • @willykyando5647
      @willykyando5647 Год назад +1

      Miizi mikubwa hiyo bila kubadilisha katiba yataiba nikelo Kubwa hicho chama kipo ajili ya matumbo yao

    • @willykyando5647
      @willykyando5647 Год назад +2

      Mzee umezeeka vibaya hata huyo mamaako Hera nizake ccm muage naakili ndio aliokua anasema bashiru hela Kodi za wananchi

    • @salumsaid1545
      @salumsaid1545 Год назад

      Unajidanganya sana na upuuzi wako, huyo magufuli mnaemsifia aliiba kura na kubaka matokeo Sasa akili kichwani mwako

  • @titus_maridhia
    @titus_maridhia Год назад +29

    Wema hufa mapema, Rest in Peace Magufuli

    • @florameza3491
      @florameza3491 Год назад +1

      Mabaya hubaki ili yatubu badala ya kutubu yanabwabwaja tunajiuliza kwa mini Raid wakristo tu huaga dunia??

    • @gideonmhami9589
      @gideonmhami9589 Год назад

      Ndiyo ukweli ndugu pumzikeni salama viongozi wetu NYERERE MKAPA JPM

  • @edson2450
    @edson2450 Год назад +41

    "WATU WAZURI HAWAFI, NDIO MANA KINANA YUPO, NDIO MANA KIKWETE YUPO" WE Mzee Hutakufa mana unajiona Mungu mjomba wako

    • @allyhassan7522
      @allyhassan7522 Год назад +5

      Kwa hiyo Nabii Musa,Yesu, Ibrahim n.k ni wabaya? Kwa hiyo King Farao( Firauni) aliishi muda mrefu sana ni Mtu mzuri? Na ndo maana wanatuburuza wanavyotaka coz hatufikilii kwa kutumia kiungo kipasacho

    • @dullahkhalifa5312
      @dullahkhalifa5312 Год назад +4

      @@allyhassan7522 nikwel hawa viongozi wapambe sana hasa watoto wao wakipewa madaraka

    • @ibrahimkibira9943
      @ibrahimkibira9943 Год назад +8

      Hiki chama kimeozaaa wazee wao ndio hawa wanaongea utumbo idea hakuna sisi wananchi hatuwataki hatuwapend mpo muda mrefu madalakani lakin still mpaka leo ...umeme shida maji shida sepen😏

    • @wisperfect5320
      @wisperfect5320 Год назад +3

      Njaa inamsumbua sana

    • @marcokwiyola9107
      @marcokwiyola9107 Год назад

      @@allyhassan7522 to.q...

  • @jemimap.ndejembi8981
    @jemimap.ndejembi8981 Год назад +1

    Sema Mzee Makamba waeleze ukweli ni kwa neema zake MUNGU kabisa Mama ni MUNGU mwenyewe kakuweka hapo na mkono wake uko juu yako anakulinda
    Wanaume wote lazima mliheshimu hilo
    CCM oyee mganga wa kienyeji kashinda Tanga 😇 nanukuu maneno ya Mzee wetu Makamba 👏🏾👏🏾👏🏾
    Hongera sana Mama kwa ushindi mkubwa 👏🏾👏🏾👏🏾

  • @tanzania2559
    @tanzania2559 Год назад +32

    R.I.P Magufuli , tulikupenda na tutaendelea kukupenda daima 🙏🏾

    • @gideonmhami9589
      @gideonmhami9589 Год назад +1

      Umenena kweli kiongozi binafsi hata machozi yananitoka nikikumbuka JPM na watu wanavyomdhihaki kwa jeuri ya uhai waliopewa na MUNGU pumzika salama baba JPM

  • @djnnyandboy564
    @djnnyandboy564 Год назад +18

    Achen kujipendekeza kwan mama anatakiwa kuambiwa ukweli, nchi imemshinda kwan hakuna anacho kifanya zaidi ya madudu

  • @irmgardsamia1827
    @irmgardsamia1827 Год назад +14

    This man should rest "niujinga tu ipo kwa kichwa yake"

  • @kilalaurio9922
    @kilalaurio9922 Год назад

    Asante mzee umetuonyesha ramani ya vifo . Wewe utaishi milele?

  • @salmaqueen4382
    @salmaqueen4382 Год назад +5

    InshAllah MUNGU Mwenyezi yupo na ss waTz...2025 nataman tuwaoneshe nguvu ya wanyonge

    • @alexanderkisinini9376
      @alexanderkisinini9376 Год назад

      We mzee mpuuzi wewe mtakuja jutia na hilo genge lenu la mafisadi. MUNGU YUPO ATATOA HUKUMU.

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Год назад +5

    Team magufuri paka kufa mimi namagufuri siangaiki kupiga kula atakae pita ndio huyo mungu nijalie mwisho mwema

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Год назад +1

      kaka muda ukifika akiwepo mgombea mzuri kampigie kura ndio dawa ya kuyaondoa haya mabuku

    • @jeniphanzeran8231
      @jeniphanzeran8231 Год назад

      acha ujinga hupigi kura!!! Kwahiyo magufuli atakuja kukuletea dawa hispitali au barabara huyu amemaliza mwendo wewe piga kura

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Год назад +1

      @@jeniphanzeran8231 ukitilia maanani wenye uchungu na imani ya taifa wapo . na watajitokeza hapo mbele . Tanzania inahitaji kukombolewa kwenye mikono ya wezi na walafi walio jimilikisha hii nchi kwa muda mrefu na kuidumaza kimaendeleo

    • @PlatnamzChoma-gl4jw
      @PlatnamzChoma-gl4jw 6 месяцев назад

      Umezeka. Vibaya

    • @chusseboywcb2808
      @chusseboywcb2808 6 месяцев назад

      @@jeniphanzeran8231 nioneshe mzarendo nikampigie kura 🤣

  • @lilyjones3584
    @lilyjones3584 Год назад +38

    CCM imeshakufa, tunasubiri mazishi yake.

  • @josephatnyamageu1046
    @josephatnyamageu1046 Год назад +29

    Hakuna fikra mbaya kama kujiwekea umilele, kwa jeuli ya mafanikio ya matumbo yenu. Kama kweli Mungu yupo tusubiri tuone matokeo ya wazuri awafi. Asante Mungu jiziilishe mwenyewe na liokoe Taifa letu. Ukweli unaongea daima RIP Magufuli.

  • @sautiyamunguduniani4620
    @sautiyamunguduniani4620 Год назад +2

    Niwewe Mungu mwenye kuziumba mbingu na ardhi niwewe pekeeako ndiye mtetezi wawaTz tunakuomba sikia haja ya watu wako kilio Cha watu wako Mungu simama na taifa la Tz nilako Mungu uliliumba kwamapenzi yako nawe lifanye kuwa amani na lisimamie kwa mapenzi yako katika jina la Yesu Kristo 🙏🏼🙏🏼🙏🏼 Rest in peace wazee wetu wote waasisi wetu viongozi wetu wazee wetu nanyinyi mlikuwa na haki ya kuishi Bali n kwamapenzi yake Mungu akawapenda zaidi.

  • @hassanabdillah3325
    @hassanabdillah3325 Год назад +4

    Hongereni sana tunasubir maendeleo Tanzania ibadilike sababu mungu ametupa zaslimali nyingi

  • @salumjoka6286
    @salumjoka6286 Год назад +15

    Mama nafikiri ujumbe umeupata ukitoboa 2025 mungu mkubwa

  • @magdalenajoseph9910
    @magdalenajoseph9910 Год назад +2

    Dr. Bashiru hoyeee. Mungu azidi kukupa ujasiri, uzuri uliongea na kimewauma Sana, na maneno hayarudi👏👏👏

  • @musamusa6213
    @musamusa6213 Год назад +7

    Miss you Magufuli kipenzi cha wa Tanzania saivi kukosa maji Umeme ni kawaida na hurusiwi kusema.

  • @frederickmaringo8014
    @frederickmaringo8014 11 месяцев назад

    Mh Makamba. Very philosophical but message delivered. Ashante saana.

  • @kelvinjeremia8763
    @kelvinjeremia8763 Год назад +2

    We sio mungu

  • @paulolunyalula6394
    @paulolunyalula6394 Год назад

    Mwenyezi Mungu anawaona nafasi ya kutubu madhambi Yao na Si uzuri wa Matendo Yao.

  • @rabomunde3550
    @rabomunde3550 Год назад +10

    Ee Mungu nijalie hekima nakuzuia ulimi wangu wakati wa furaha!
    Maana furaha ikizidi unaweza ukakufuru”
    Huyu Mzee asali imezidi mpaka anakufuru.
    Imebidi Leo niwakumbuke nilio waona wakiniacha nakuelekea akhera😭😭😭😭😭🥲🥲

    • @enockfanueli3008
      @enockfanueli3008 Год назад +1

      Kweli kabisa yaani Mimi ccm naipenda lakini mzee makamba kaniweka jiapanda mama akajipime watu wanalinda matumbo yao kwa kauli ya mzee makamba sio mara ya kwanza kusema hivo

    • @rabomunde3550
      @rabomunde3550 Год назад

      @@enockfanueli3008 ndugu tuwe pole sana wenzetu asali imezidi mpaka wanakufuru.

    • @richmwaij3368
      @richmwaij3368 Год назад

      mchague wewe mzee sisi atutaki

  • @zenobiakapere1379
    @zenobiakapere1379 Год назад +21

    Yaani mzee ongea vizuri!Hapo mko na mama Magufuli hayo maneno yako siyo ya mtu mzima kama wewe! Wewe sio Mungu !!

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Год назад +1

      Mama Magufuli, watoto wake, ndugu na jamaa zake, sio ustaarabu

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 Год назад +15

    Hakika mnafiki ata kua katika daraja la chini kabisa katika Moto WA jahannam

    • @dottondege8869
      @dottondege8869 Год назад

      Kumbe kuna wazee hawamjui mungu kabisa eti wazuri hawafi jakaya yupo kwa sisi watanzania tunasema asante kwa kauli yako mungu anakuona mzee makamba

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro1552 Год назад +2

    Hapo ndipo inadhairisha walamba asali msoga timu majipu ndio mliomuangusha magufuli damu nzito mnapayuka payuka na kuwafungua watu ninyi ndio wauaji mungu amlaze mahala pema peponi jpm tulimuelewa amina

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Год назад

      Hata Mimi nawaza hivyo hivyo, wamemuua sasa wanasheherekea kweupe peee bila aibu na kashfa Tele as if wao ni Mungu

  • @mafundakhamis3337
    @mafundakhamis3337 Год назад +3

    Makamba pengine ana kinyume chake ss hatujamuelewa,WAZURI HAWAFI😳😳 pumzika kwa Amani mama,R,I,P RAIS WANGU MAGU🙏🙏

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Год назад +2

    Mungu ni mwema sana ujibu inshaalah tumshukuru kwa nyakati zote yy ndioo tegemeo kubwa dah 🙏

  • @aderickanatorypesha4004
    @aderickanatorypesha4004 Год назад +4

    Mama Mkapa,Mama Nyerere,Mama Magufuri na wengineo,Kwa lugha hii watakuwa wameguswa Sana rohoni mwao.Lakini watanzania tunasikia na kueleweshwa zaidi kinachoendelea pale ambapo hatujui.Tusiwaumize wenzetu walio hai kwa midomo yetu.Hakuna mbaya wala mzuri zaidi mbele ya Mungu wote Ni sawa.Najalibu kutafakari Sana ,ikitokea mtu unakufa unakoelekea unawakuta wale uliowaisi kuwa wabaya ndo pia viongozi mbinguni ,je kipi kinaweza kufuatia .Nasubilia majibu.

    • @zainabally4
      @zainabally4 Год назад +1

      Mzee huyu sio bure ana Lana ya Mungu kuna mzuri kuliko Mtume Mohammad na mbona alikufa? Baba ako mzazi amekufa kwahio alikua mbaya sio alafu usiseme mioyo ya watu kwani kupiga kura maana yake ni uhuru wa kumchagua umtakae sasa vip mnatutisha kwa maneno yenu? Kama mnalazimisha vilee vip au mnajihami kwa matendo yenu mabaya ya kuwauwa waTz kwa njaa?

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 Год назад +1

    Mm nauhakika asilimia 95 ccm hawataweza kuingia peponi,Tena Hawa ndo watakuwa kuni kule mbngun

  • @ericron6115
    @ericron6115 Год назад +38

    Shida miaka.mingi huyu mzee akiongea watu wacheka, mzee wetu anahisi yuko Sawa lakini it's high time akosolewe, amenisikitisha Kwa waandishi

    • @saidikasheshe6349
      @saidikasheshe6349 Год назад

      Docƙita.wakala

    • @saidikasheshe6349
      @saidikasheshe6349 Год назад

      Kwanin.uteseke.wakat.dockita.wakala.yupo

    • @ibinyoma8067
      @ibinyoma8067 Год назад

      Magufuli ni rais wa aina yake tofauti na watanzania wengi. Ndiyo maana baada ya kifo cha Magufuli sifuatilii tena habari za Tanzania. I am from Bujumbura

  • @muhidiniabdur2382
    @muhidiniabdur2382 Год назад +33

    Bashiru kweli mwanasiasa mkubwa mzee Ana zeeka vibaya🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿

  • @LumolaSteven
    @LumolaSteven Год назад +18

    Hii dhana ya Rais kuwa ndiye mwenye Fedha ni dhana potofu sana. Inaua morale ya wananchi kulipa Kodi. Ni lazima wananchi waambiwe Maendeleo hayawezi kuja mpaka walipe Kodi. Fedha ni za wananchi na wenye Nchi ni wananchi.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Год назад +1

      Hayo yalikuwa mawazo ya Magu sio sasa

    • @meryshekoloa961
      @meryshekoloa961 Год назад +2

      Samia anahela kazitoa wapi anauza nini makamba kafe mbele hizo ni kodi za watanzania azokopa mnakula tulipe cc yatima na wajane makamba mtumzima ovyo dashi mkubwa wewe unategemea vya yatima na wajane mpaka kifo chako hutauona ufalme wa mungu na utaadhibiwa hapahapa duniani .

    • @christopherbomola4151
      @christopherbomola4151 Год назад

      Sahihi kabisa nasisitiza kila mara nguvu kubwa iwekwe kwenye kufundisha elimu ya Uraia ,watoto na watu wote waijue historia ya nchi yao,katiba yao,wajibu wao,na nini wajibu wa serikali kwao badala ya kuweka nguvu kubwa watoto wajue kiingereza tu,tunatengeneza msiba mkubwa huko mbele..

  • @byamasumundele6385
    @byamasumundele6385 Год назад

    Mimi ni mukongomani anaye fatilia siasa ya Tanzania. Hakuna aliwayi kufanya kazi nzuri. Ksma magufuli. Mbona katuacha mapema. Wewe unamusifu mama eti hawezi kufa kwasababu anafanya vizuri. Maana yake JPM alikua mubaya ndio maana kafariki

  • @machoguhamery3731
    @machoguhamery3731 Год назад +48

    Mzee Makamba anasema watu "wasibanwe na Katiba, wala wasibanwe na kanuni" wavunje tu mradi watimize lengo lao.Anasahau Baba wa Taifa Mwl Nyerere katika hotuba yake mwaka 1995 Kilimanjaro Hotel aliwahi kusema "Mtu asiyeheshimu katiba hatufai" Tena Mzee Makamba nasema wazuri hawafi" maana yake Hayati Nyerere Hayati Mkapa, Hayati Magufuri walikufa kwa sababu walikuwa watu wabaya sana.!!!! Wazuri wakabaki Marais wastaafu walio hai leo na uongozi wa awamu ya sita na yeye mwenyewe mzee Makamba,watu wema sana ndio maana wako hai hadi leo. Hii inaonyesha udhaifu mkubwa wa huyu mzee kupima maneno ya kusema sifa zinamzidia hadi anakufuru. Ndiyo maana Ukatibu Mkuu ulimshinda ccm ikataka kufia mkononi mwake. Mwaka 2025 ni siri ya Mungu Mzee Makamba hajui Hilo??!!!

  • @benjaminjoseph1747
    @benjaminjoseph1747 Год назад

    We mzee mshenzi sana. Kwani samia pesa zake, pesa ni zetu, kodi zetu. Washenzi kuleni na hata nyinyie mtakufa na kuiza. Magufuli katufungua macho we are watching you. Wakuu wa mkoa wsnaoupiga mwingi ni hski kuitwa hivyo masna wanajali utu wa mtu. Ni Amana ya familia yake kijijini akazane kuwachumia.

  • @samwelnyaisanga765
    @samwelnyaisanga765 Год назад +14

    9:13>> mzee kazingua big time! +Ogopa teknologia-hii itamkost

    • @daveme9180
      @daveme9180 Год назад

      Very very sure bro ....matter of time

  • @yusuphrehema3842
    @yusuphrehema3842 Год назад

    R.I.P President Magufuri rais we2 wa wanyonge hii kauli imeniuma sana so Inshallah MUNGU ndo anaejua

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 Год назад +14

    Makamba Makamba Makamba Iam very sorry 🙏

  • @kombedavis4056
    @kombedavis4056 Год назад +18

    R.I.P JOHN JOSEPH MAGUFULI.....mzalendo wa kwel na msema kweli daima!😭😭

    • @safiamohamed635
      @safiamohamed635 Год назад +2

      Kabisa magufuli ni mfanoo

    • @kabojamaluku7894
      @kabojamaluku7894 Год назад +1

      Aisee hata Kama huna hakili lazima uwajuwe wabaya wa magufuli

    • @naomipieter4627
      @naomipieter4627 Год назад

      Wazuri ndio wanakufa Ili wasiendelee kupata visuawishi vya kutenda mema...Mzee tafuta sifa sio usimpangie Mungu usituvunje mioyo sisi tulifiwa na wenxetu.....

  • @justineerenest6172
    @justineerenest6172 Год назад +11

    Rest in peace jpm

  • @dullahkhalifa5312
    @dullahkhalifa5312 Год назад +12

    Kweli chawa hata wazee wapo

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Год назад +8

    Mmmm serekali yetu wacha tuishi tu na tusubili mungu atakapo tuchukua turidhike naviliopo 🙏🙏🙏🙏🙏mungu nipe mwisho mwema

  • @kefamkv3743
    @kefamkv3743 Год назад +16

    Huyu mzee ameamua kumdhiaki mwenzie alie tangulia mbele za haki eti watu wazuri hawafi kwan watu wote wanao kufa ni wabaya sio daah
    Huyu Mungu kama anasikiaga viliyo vya waja wake ninakuomba baba 2025 isiwe ccm madarakan uwaaibishe
    Mana wanajikuta miungu watu
    Nimekasirishwa na hii speech

    • @leticiacyprian7786
      @leticiacyprian7786 Год назад +1

      Sawa Mzee mungu ameskia kauri yako na Imani ataifannyia kazi maana hata hao wabaya aliwaumba yy hata mwl Julius alikuwa mbaya au unajitengenezea mazingira

    • @mwanumwanu1513
      @mwanumwanu1513 Год назад +1

      Namimi pia hatasina lakueleza bali naomba watanzania tufunguke macho

    • @fabianayubu6738
      @fabianayubu6738 Год назад

      tunaweza kufanyaje ili tutimize lengo hilo nipo tayari

    • @kefamkv3743
      @kefamkv3743 Год назад

      Dawa ni kujitokeza sana ktk vituo vya kupigia kura na kumchagua yule kiongozi atakae kuwa sahii kwetu sisi wanyonge
      Hata kama wanaweza kuiba kura lakin zikiwa nyingi watakosa namna

    • @enockfanueli3008
      @enockfanueli3008 Год назад

      Sio ccm tu mungu hata yeye na mwanae wasiwepo uchaguzi huo wa 2025 et mama vunja katiba wao ndio walitunga

  • @azizamvungi926
    @azizamvungi926 Год назад +31

    Muogope mwenyezi mungu..huo ni ugali unatetea Kwa mwanae..ila mungu atawaona hata nyinyi mtakufa tu.umauti hautamiacha mtu

    • @mashakanassoro3119
      @mashakanassoro3119 Год назад +1

      Hana lolote huyu Mzee anajipendekeza kwa Rais ili Mwanae aendelee kula bata

    • @sistymbombo1616
      @sistymbombo1616 Год назад

      Maana yake ni kwamba magu alikuwa mbaya ndo maana alikufa loooo mzeee hata we ni mzuri saaaaana ndo sababu unaishi bado

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 Год назад +1

    Kumbe Samia anaharibiwa na vizee hivi!
    Ndo maana hafurukuti!!!

  • @eustardrwegoshora1683
    @eustardrwegoshora1683 Год назад +20

    Ni ukweli mzeee makamba kakiweka mahapi pabaya chama Cha mapinguzi, hawa wazee wawe wanapewa vya kuongea sio kuongea TU Kisha kapewa mike akakanushe maneno aliyo Sema kuwa watu mazuri hawafi mungu atamwona

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn2047 Год назад

    Yaani mimi, nashkuru siyo Mungu, na Mungu bakia kuwa Mungu Baba,, MAGUFULI WEWE LALA BABA, lakin hakika hutoondoka mioyoni mwetu,,

  • @ahamadially8351
    @ahamadially8351 Год назад +18

    Bado tunakazi kubwa sana nchi hii

  • @emarrgeorge8536
    @emarrgeorge8536 Год назад +1

    Daaah Kiukweli Hisia Zangu Zinasafiri Mbaaali Mpaka Kusiko Julikana..Inaniuma Mmno 😭, Magu , Magu Magufuliiiii Baba Am Sure Unackia Hii Kitu, Uliko nipazuri Zaaidi,kwa Huruma Ya Wanyonge Uliokuanayo Tuombee OurDaddy🙏Aimeni

  • @graceessau2034
    @graceessau2034 Год назад +6

    Rest in peace shujaa wetu Magu

  • @benedictkihombo348
    @benedictkihombo348 Год назад +1

    Huyu Mzee nilimuheshimu sana, kumbe pumba kiasi hichi... Mungu Mwenyezi anakuona kwa kauli yako hiyo...

  • @malimanyanja562
    @malimanyanja562 Год назад +11

    Alie gundua uyu Mzee Amezeeka vibaya amna kitu kichwani..

    • @mammasud991
      @mammasud991 Год назад

      Tena unaambiwa ni mkorofi vibaya 😁😁

  • @rashidikombo9240
    @rashidikombo9240 Год назад +1

    Mzee kuwa na busara katika maongezi yako waislamu husema hakika sisi ni WA mwenzi mungu na kwake tutarejea

  • @jamessimba749
    @jamessimba749 Год назад +5

    KWAHIYO NYERERE, MKAPA , MAGUFULI, KIJAZI Ndo wabaya waliokufa . KUNA UDINI UKO HAPA

    • @professorwangwande1752
      @professorwangwande1752 Год назад

      Wewe ndiwe mchochezi kaambali tukikuambia Italia yote huja yaona umeona Hilo wakitawala wabaya nchi inalia dhuluma umangi mezaa ngoja nikubakishe hapo

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Год назад

      @@professorwangwande1752 lini dhuluma imetoweka Tanzania?

  • @mussathomasdossa4687
    @mussathomasdossa4687 Год назад +1

    Wewe mzee mjinga kuriko unakufuru mungu kwahiyo waliokufa niwabaya mungu atashugulika nanyinyi mmerewa madaraka unatukana waliokufa mungu yupo

  • @mosesmaduhu6603
    @mosesmaduhu6603 Год назад +18

    Huyu Mzee aombe msamaha kabla ya siku ya kesho kma magufuli alikuwa mbaya ndio maana alitangulia sawa lkn kma nia kuu na malengo ya JPM ilikuwa kuisukuma Tanzania mbele ata yy siku zake chache sana.

    • @lilykarim8968
      @lilykarim8968 Год назад +2

      Hili lizee ligwadukaji kila kukicha sijji anaenda wapi apunguze mukali siku za kuishi si nyingj hapa duniani makamba tubu!

    • @mwanumwanu1513
      @mwanumwanu1513 Год назад +1

      Aombe msamaha mapema

    • @festomlunya7538
      @festomlunya7538 Год назад

      Tena zimebaki chache sana namuomba Mungu ata yy asiushuhudie uchaguz 2025

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Год назад

    hata yeye ni mtu m baya kwa maana na yeye atakufa wote tuta kufa ina maana watu wote tutakuwa wabaya mbele Mwenyezi mungu kwa maana wote ni marehemu watarajiwa hata hao anawo wasema ni wazuri itafika mda wao watakufa mzeee anaitaji msaada wa kumuombea kwa Mwenyezi Mungu kwa maana kavuka mipaka

  • @ilungasalle
    @ilungasalle Год назад +15

    Vizee vinafiki sana hivi

  • @azizakiswili9063
    @azizakiswili9063 Год назад

    Hili zee linachakaa vibaya,kwahiyo sisi tuliokwisha kufiwa ndugu zetu walikuwa wabaya,Mwenyez Mungu amekusikia,unafiki ukuzidi mtu anajisahau.

  • @mzalendowaasili1727
    @mzalendowaasili1727 Год назад +5

    Makubwa nahama CCM, aibu tupu RIP MAGUFULI

    • @ibrahimkibira9943
      @ibrahimkibira9943 Год назад

      Fanya hivyo na pole kwa kuchelewa kuwajua hawa sio hiki sio chama sasa mzee wa hovyo kama huyu anasema unaogopa katiba??? Seriously 😐 ndio maana samia haifati katiba

    • @allyvuai9762
      @allyvuai9762 Год назад

      You are not a CCM potea tu

    • @ezekielmabwai482
      @ezekielmabwai482 Год назад

      Mzalendo, ilikuwa ccm unafanya Nini? Mbona asilimia 90 ya watanzania walihama siku nyingi tu? Wanaogopa risasi za mapolisi wa CCM tu na ndo maana wamekaa kimya.

  • @venturejackson6357
    @venturejackson6357 Год назад

    😢sawa bwana mzee makamba mungu akubarik 😭🙏

  • @nassorseluma9106
    @nassorseluma9106 Год назад +6

    daaaaah kufruuu kubwa sana yaani watu wazuri hawafiii......mitume yote ya mwenyezi wamekufa unazihaki wenzio kwa kuwa ww umzima ....mungu yupo

  • @abuutrikaa35
    @abuutrikaa35 Год назад

    Mzeee hii kauli yako si nzuri hata kidogo ni umemkejeli mwenyezi Mungu ila kwa Mungu ndio anaejua zaidiii

  • @kennymponezya8754
    @kennymponezya8754 Год назад +2

    Ama kweli wazuri hawafi tumuogope mungu magu pumzika kwa amani

  • @michaelmfanga3084
    @michaelmfanga3084 Год назад

    Tunaomba Mh January Makamba, umshauri baba yako ajitokeze hadharani aombe watanzania radhi.... Mungu yupo na hadhihakiwi kwa kazi zake. TAFADHALI, FANYA HIVYO

  • @tinomzungu8070
    @tinomzungu8070 Год назад +5

    jamani njaambaya sana kila nikivuta picha je angekuwa rais wetu ingekuwaje nakuwa majibu sina

  • @brother_majesty
    @brother_majesty Год назад +1

    Haya buana..Mungu atakujibu soon

  • @yuventmpiru7738
    @yuventmpiru7738 Год назад +7

    Nyie watu Mungu na awarehemu ili nchi ipate rehema,

  • @alfreddaniel2112
    @alfreddaniel2112 Год назад +1

    Congratulations

  • @farajishabani9896
    @farajishabani9896 Год назад +7

    Huyu mzee Hana akili

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 Год назад +1

    Mzee wangu sema inshaallah maana roho ni za mungu pekee

  • @hamisathadeo4870
    @hamisathadeo4870 Год назад +7

    Unasema hili mwanao aendelee kutumyanyasa hovyo

  • @rehemasmbena8392
    @rehemasmbena8392 Год назад

    Safi sana mzee makamba 20, 25 ,ni mama Samia suluhu ulipo tupo

  • @geofreymalekana8000
    @geofreymalekana8000 Год назад +4

    Sijafurahishwa ata kidogo na kauli ya mzee makamba kwamba mtu mzuri hafi, kwa hiyo mana yake watu waliokufa kabla ya kumaliza wakati si watu wazuri?? Dr. JPM kafanya kazi nzuri sana leo hii tutajisikiaje watanzania mkisema watu wazuri hawafi 🤔🤔

  • @nestorybisabiko8201
    @nestorybisabiko8201 Год назад

    Bashiru omba sana mzee makamba atakuuwa

  • @mariethajohn1433
    @mariethajohn1433 Год назад +20

    mmmmm wazuri hawafi wewe mzee akili hazikutoshi nyooo umetukwaza sana mzee mzima hovyooo pole mama Magufuli nadhani umeumia sana hapo ukumbini R.I.P Magufuli 😭😭😭

    • @mwanumwanu1513
      @mwanumwanu1513 Год назад +5

      Jamani tumekwazika sasa mama magufuli amelia tena pole mama yetu

    • @digitalaffiliatemarketing210
      @digitalaffiliatemarketing210 Год назад +1

      Yaani kweli aisee, Mama Magufuli ameumia sanaaaaaaaaaa, nahisi hata atakuwa ametokwa na machozi mengi na atakuwa amekumbuka mbali sana

  • @godgood9341
    @godgood9341 Год назад

    Asante sana watz mko conscious sana comments zenu zimenibless na nimejifunza kitu.Mungu ibariki nchi yangu TZ

  • @alfredmhana235
    @alfredmhana235 Год назад +10

    Hope umechemka mzee watu wazuri hawafi?

  • @mimiraia2531
    @mimiraia2531 Год назад

    Mungu wanafiki wataisha lini!!

  • @pamphilherman3136
    @pamphilherman3136 Год назад +5

    Kweli nchi hii imepindaa sanaa

  • @hassankaita1039
    @hassankaita1039 Год назад

    Subhannallah innalillah waa Inna ilaihi rajeoun huu ni msiba kwa maana hayo huyu mzee Ana tutukania mpaka mitume na manabii wote walio kufa kua wote ni wabaya Allah atujibie hili