MZEE MAKAMBA AWAACHA HOI SAMIA, KIKWETE AKITEMA CHECHE KWENYE MKUTANO MKUU CCM, AMNADI MZEE KINANA
HTML-код
- Опубликовано: 31 мар 2022
- MZEE MAKAMBA AWAACHA HOI SAMIA, KIKWETE AKITEMA CHECHE KWENYE MKUTANO MKUU CCM, AMNADI MZEE KINANA
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
RIP magu pumzika kwa amani baba..l miss you baba 😭
Utopolo tuu muhunii
@@salma0000 pumzika kwa amani 🤣
Mfuate pumbavu
Aaaaaqaaaaqaqq@@abubakarihamissi4178
R.I.P my HERO my Heir anko MAGU 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Malipo ni hapahapa 😭😭😭
Hakuna kitu hapo, lakini bado sana kumkaribia hata kidogo JPM. Pengo aliloliacha JPM ni ngumu sana kuzibika kirahisi rahisi hivi.
RIP, BABA YETU, JPM.
Na ww ukifa lengo lako halitazibika, sote njia ni moja na hili ukutane na Mungu ni lazima ufe .
Kweli,mm,Niko,na,magufuli
Pumzika kwa amani JPM. We real mic you.
Wamerudi wezi, wahuni na porojo ni nyingi. Mtaani matatizo yamejaa. Umeme tunakatiwa, wafanya biashara wananyanyaswaa. Mungu tusaidie kwani hata matajiri wezi wanakufa na kuoza. Asali mnaramba wenyewe sasa mseme watz tunaramba asali. Tunaramba vumbiii kwa msivyotujali.
Kwani Jpm alitupa asali tukaramba?
Mambo ni hayohayo tu
Leo angalia methari zinavyotumika kuweka sawa uwezo wa kufikiri. Fumbo mpe mjinga mwelevu atafumbua tu. 🤣🤣🤣
Mungu ni wa majibu watajibiwa tu na hivyo vijembe vyao
RIP JOHN POMBE MAGUFULI😔😔🥲
Kwa watanganyika hakuna maendeleo tena, mafisadi walimuuwa ,RIP JPM
Kama una ujua walimuua basi na wewe watakuua
@@fidelismwakanyamale6787 walimuua ndio
TUNAOELEWA SISA ZA BONGO NDIO WAMEMUUA KWAAJILI YA MASLAHI YAO🥴🥲😭 . INCHI YA KISENGE SANA
Na tumefilisiwa hada. Kundi zima liko hapo mbele. Ni hatari kwa nchi yetu.
Asali hiyo mnailamba wenyewe. Watanzania hawajaiona wala kuisikia, I’m sorry to say that. And I’m sure wengi wataniunga mkono . Hawa CCM wanatufanya Watanzania shamba la bibi. Sasa basiiiii👎🏾
Exctly very correct Mery
Una ushahidi au unaropoka tu?
Wajinga hufikiri kwa ufupi,wapi duniani wanapolambishwa asali,zaidi ya fursa!?acha kulalama tumia akili
@@salma0000 Hhahahaha🤣🤣🤣umenchekesha sana dada sikutegemea🤣
Watu wanaraha zao ndio maana watoto wao wako mdarakani ,,Ila wasubiri hukumu ya Mungu,Magufuli nakukumbuka sana
😷😷😷😷😷KUMBE HUKUMU YA MUNGU IPO EEEE. OK MMMHH. TUNDU LISU ANAKUSALIMIA SANA NA WENGINE WENGI
Malipo hapa hapa duniani ahera mahesabu
Naungana nawe malipo hapa hapa
RIP jpm
Unafki mtupu na fimbo ya mungu itawahukumu
Chama kimerudishiwa matapeli na wanyonyaji
Mungu yupo ikosiku atawafedhehesha nasmini ipo siku inshallah
R.I.P JOHN JOSEPH MAGUFULI.....mzalendo mkwel daima, pumzika kwa Amani baba
Hamna kitu....nyie endeleeni kulamba asali mwisho upo jirani tuu......vijana Wana maliza vyuo wapo mitaani mnaendekeza kuteua wazee waliokula nchi Kwa miaka zaidi ya 40....this is shame!!!
Shame and too selfish....
Vijana wakina Kondakita wasiojua kuwaheshimu wazee?
Wote hawa mungu mwenye haki anaweza asiwafikishe iyo 2025 wanayotaka kutufikisha kwa mateso mungu usilipize kisasi ila pasipo haki washa moto
nonsense. nafasi moja hiyo inaweza jazwa vijana wote?badilisheni vichwa vya kusoma ili muajiriwe,soma ili uweze kutumia elimu kuyapambania maisha.
Tatizo mnasoma ili muajiriwe badala ya kusoma ili uelimike ujiajiri🤣🤣🤣🤣
Dah utafikili nchi ya babu zenu,pumbavu zenu ccm hamna lolote vitu vimepanda Bei nyie mnagawana asali dah
Wao wanalamba hawana wasi hofu na mashaka ni kwetu 😭😭😭
Hata Kenya Ni Ccm inatawala? Acha zako tatizo la dunia usitufokeee🤣🤣🤣🤣🤣makamba hoyeerr
Rest in peace our presdent Magufuli alijitoleamaishayake kwaajili yetu wa Tanzania wanyonge tunakukumbuka sasa
Acheni unafiki wazee Sasa mtuachie serikali yetu ,mkiongozwa na huyo mdoli, lala salama baba 😞
.
Rip 😭 Magufuli hatutawahi kukusahau umuhimu wako unaonekana
I MISS you my President J,P,M hatutakusahau kamwe wacha wajigambe lakn dunia ni hii hii waendao ni viumbe siku yaja mungu ataturudia tena.
Wacha maneno ya ajabu ww
RIP MAGUFULI
😜Kaingiaje hapa sasaaaa.....👌🏽
Wengine wanafiki tu.
@@christinammassy1550 akili komkichwa
Sasa tutakoma nchi imeshikiliwa na wenyewe 🙌
Jamn nimemisi Sana Rais wetu, Jpm lala salama baba daima tutakukumbuka
Kalale nae huko bwege utamkumbuka acha kuzungumza upuuz Magu ndo Nani watu walikuwa hawapumui
Kinana alijiuzulu ukatibu mkuu,,leo amekubali kuwa makamu wa CCM,maajabu sana, leo wasio mpenda magufuli wanarudi licha ya mambo yote.
Yanii siasa zina unafki sanaaa hawa wazee wanafk sanaa ila MUNGU ndy muweza wa yotee
Point less na itakuumiza Sana badirika kuringana na uongozi huu.siyoni kama ni tatizo wewe unajenga chuki ya kishamba na jifunze kuishi vizuri na watu hata kama huwapendi itakusaidia badae.
@@happynjukiz6495 mjinga ndo huyu sasa
Kama unaona mwenyekiti kichwa maji kwa nini usijiudhuru, na Kama isingekuwa ubabe kwenye uchaguzi wa 2020 tungeshuhudia anguko la CCM kuliko miaka yote
Tatizo liko wapiiiii 👌🏽Wampendeje Mungu keshampenda zaidi 😜
Jeshi Magufuri pumzika kwa Amani tunaumia sana lkn Leo najua Mungu kukuchukua alikuwa anamaama kubwa na funzo kubwa sana kwetu.
Awezi kupata tena kashayakoroga
Utampigia mwenyewe kura
Mungu wa Magufuli uko wapi? Mbona hawa wanafiki wamerudi kwa kasi? Nchi inaongozwa na familia.
Nadhani Yupo Chato huko
The higher you climb the harder you fall.
Rip magu tumekwsha wanarudi duuuu
Ya mungu mengi tuombe mungu amani idum tanzania mana hii mitandao mingine inapotosha
Kidum chama tawala
Unaramba asali wewe Mzee coz unakula bure Zanzibar mchele kilo 3000
Huyu mzee ameishiwa..mambo ya kuongea...watanzania wanaumia..unasema wanaramba asari...
Yaani wana uhakika
Acha stress ww ,, wenzio wamepambana saiv wanalamba asali tu na wajukuu zao .. na ww apo ulipo pambana ili mwanao astirike baadae .
Utafikiri hii nchi ni ya ukoo wenu
Mbona wajumbe hawajachangamka,ccm tuwe makini kazi ipo mbele kubws
Mambo yamebadilika hii Ni awamu ya Mama. Tumuunge mkono katika kusukuma gurudumu la maendeleo.
mtamchaguwa nyinyi Wana chama wa CCM lakini watanzania siyooo wakihiivyoo hatuchaguwi majizi
CCM OOOYYYEEE. THIS IS CCM
JISEMEEE WEWE NA UKOO WAKO, CCM OOYYYEEEEEE
@@ziadasadiki8196 wewe sio ccm wewe ni kinuka mavi mmoja usie jitambua
@@johnngowi6619 🤣🤣🤣CCM OOOOYEEEE, MAMA SAMIA SAFIIII. MAMA MWENYE HURUMA HAPENDI DHURUMA HAPIGI WATU BASTOLA, MAMA MPENDA AMANI NA MTULIVU. CCM OOOOYEEEE. ASIYEIPENDA CCM NA MAMA ACHIMBE SHIMO AZIBE MASIKIO.
Kuna Awamu Ambayo Haikuwa na Majizi..?na 2025 Samia. Huyo Hugo atapita Ndio mtajua Kuwa Sisi ni Mbulula na Wajunga Hao hao Ccm watapita kwa Kishindo TZ unafiki sanaaa..
Wapinzani wanchi hii mnatuangusha sana mkiwa serious, hii nchi mnaichukua kirahisi sana, ccm hawana kitu tena wamebaki kufanya comedy tu
Chuki haisaidii tena hapa ni Ujipe Raha na Amani ya moyo tu. MAISHA MAFUPI
Nyie Enzi za Awamu ya Tano kuna Madudu yalikuwa yamafanywa wakisema Mnawatukana..SHIDA Wa TZ ni fuata upepo na Mihemko.Mingi Pia Hatujajua Tunataka nini kwenye Nchi Yetu Bahati Mbaya wana Siasa wametusoma Akili zetu Wanajua pakutushikaa..
Mnoooo
Mapema Asubuhi tunawapa nchi
Yani dahh
Kumbe hii nchi niya kujuana kama hukuwahi kupita jeshi hutoboi 🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼awachagui viongoz wanachagua kulindana matumbo
Kajiunge nawewe
Vibrant speech...and very motivational...this guy is a gift to Tanzania...Makamba hoyee👏👏👏
Mzee Makamba speech. Nzuri sana
Kuleni nchi hakuna wa kuwazuia,
Kuleni mkisaza wengine tutapata
Hujaskia swali la hamna matumbo??
Umenena san mkuu
Kutesa kwa zamu
Acha wajinadi..huo hata methali wanazo ropoka
Duh..!
ongopa we kwa kula ya famila yako, RIP JPM tutampenda daima alijua kuiheshima nchi, ss tunarudishwa tulipokua unafiki tu mazuzu yanapiga makofi mwenzenu anafagilia chakula.cha wanae nyie mazuzu pigeni makofi nyambafu
wewe mbona unalopoka lopoka kweni kiswahili unakijuwa au mkongoman wewe mzee makamba hapa ajaongea chochote kibaya wewe ndio unaleta ubaya humu
@@mbaumau3565 piga makofi zuzu wee, ss wenye akili awatudanganyi kula ya familia zao hakuna jipya🤑
Naanza kumuelewa baloz wa Malawi Alisema Kuna kikundi Cha wahuni wamepiga copy serikali kwaajili ya mambo yao binafsi akakazia kataa wahuni 🙏😁
Pole pole Kapewa ubalozi kwa sababu hawe mbali na mchezo wa ndani
How old is this gentleman ? Very vibrant and dynamic..... Love his speech...
Bashiru yuko wapi...?? Tujifunze maisha uweke akiba
RIP Magufuli
Evi mnajisahau kuwa hakuna atakae ishi milele duh leo wapigaji wamerudi kwa kasi jamani eeehh Mungu wangu watanzania tuamke jamani tumepigwa vibaya JPM uko wapi baba natamani ingewezekana urudi leo hii watu wengine nchi hii watakuwa wakimbizi
Magufuri, pumzika kwa amani baba yetu.. tutakukumbuka watanzania
TIME WILL TELL WHAT NEXT LETS GO 2025,CCM SIO YA FAMILIA AU YA WATU FULANI TU,MUOSHA HUOSHWA
Kama tutakuepo Albert 2025 tutajionea wenyewe kama mpangaji ataweza kujiita mwenye nyumba au mwenye nyumba ndo mwenye nyumba
Tumechokaaaaaaaaàa
RIp JPM 😭😭🙏🙏
👍love this speech...makamba,be strong 💪
2025 Katiba na time huru vikifanyiwa kazi majigsmbo yatakuwa 0
@@yonabilshan6424 @
Hovyoooo rest in peace jpm
Makamba jinga sana
Huyu mzee khaaaa
R. I. p Magufuli.....
Rest in peace,Doctar JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI
nanji mtakufa tu.R ,I.P magufuli ama kweli ila jamani nyinyi watu mungu anawaona
Acha uongo mzee hiyo asali unaramba wewe
Wewe pia unaramba lakini macho huna ndio maana huwezi kuona. Pole sana
@@mombasa0076 sawa
@@mombasa0076 sawa
😄😄😄😄😄😄😄😄👊👊👊👊👊👊
Ulishaona matapishi yanakuwa msosi. Namba tutaisoma kweli.. Dhuuuuuuuh
Kundi hili la kujuana la kifisadi ni hatari sana kwa nchi yetu bila hawa wazee kuondoka wananchi wataendelea kuishi maisha magumu sana
Mzee makamba nakushauri Sana usimchulie mama yetu ,nakumbuka hata ndugai alimuambia magufuli akimaliza awamu zake mbili lazima ataongezewa tena miaka kumi mingine, ndugai amemchulia magufuli sasa leo magufuli hatunaye tena sasa naona mzee anamchulia mama yetu,
mnaramba na familia zenu asali situnaramba shubili mungu atatukumbuka tu ipo siku🙏🙏🙏🙏
Mwenyezi MUNGU apigie mstari hiyo 2525,sisi tutamshukuru sana maana ni 2525 ndiyo mzee wetu anamuomba MUNGU iwe, na apewe kama haja ya moyo wake hiyo 2525 amina.
Kanuni ya Mungu wakati mwingne humwinua mtu ili amdhiri. Uongo na ukweli huwa vinashindana lkn ukweli siku zote hushinda haijalishi uzito wa uongo unaojaribu kuufunika ukweli uko kiasi gani. Mungu ibariki Tanzania yetu pamoja na wanyonge walio wengi.
Ni kweli kabisa yaani unajuimbua mwenyewe watu wakuone u mtu wa namna gani na kila kitu huenda kwa wakati na maksudi yake
Tunakuomba uliyetuumba utu teteeee uumbaji wako
very intelligent speech !!
Makamba.
rest in paradise our hero JPM 🙏🙏🙏
Kiongozi yeyote duniani lazima awe na hekima;hukikosa hekima unapata hasara.
Kuishi na watu vizuri ni busara na diplomasia iliyo nzuri in within.
Mzee makamba huwasichoki kukusikiliza unakipaji Cha kuongea hayuko anayekuzidi ndani ya ccm kwa wazee
Waiting for you 2025 kazi ipo na ikitokea mkapitisha huyo kikalagosi mungu lazima atatenda tena
maajabu Tanzania
Mungu Ibariki Tanzania mungu tuokoee wanao uliyo tupa nchi hiii kama zawadi lakini Sasa tunachezewa akili zetu na wapumbafu wacheche
Uko wapi Amani yetu Iko wapi ile demokrasia tunayo isema my Young brothers and sisters let we fight
to gather ....... Waiting for 2025
Unachokisema ni kweli kabisa wanaongea tu na kupanga wanavyo jisikia hawajui kama Mungu yupo anayesikia maombi na vilio vya wa wanyonge, watashangazwa hao mpaka basi bado Mungu ajachoka kuiokoa Tanzania.
Kwaiyo Magu naye alikua kikalagosi sio!?
Go back to school
Kwenda mwana kwenda sijakufosi unijibu Elimu inakupasa uipate wewe!? .......Ukute mpka hapo ulipo Elimu uliyonayo ni ya madrasa....Kiazi wewe
Kuna msemo unasema Kila maskini hufikiri tajiri ni mtu mwenye roho mbaya,mbinafsi na kama sio mwizi basi mchawi au pesa zake si za kihalali...sababu anaishi maisha ya starehe wakati Kuna watu wanateseka na kutaabika wakati tajiri humuona maskini kama mvivu,mjinga,mchawi,anavisingizio......Fanyeni Kaz achen uninga
Acheni kumpangia Mungu...tusubiri ya Mungu..mjengoni yalipigwa makofi pale pa kuongeza miaka Mungu akasema no..jifunzeni
Asante mzee wetu makamba tuwaenzini wazee wetu haifai kuwatukana maisha kigeugeu
Comrade Makamba umeupiga mwingi. Allah akujaalie maisha marefu na afya njema Mzee wetu
Mzee wangu, ivi kuna faraja gani kama mfuko mmoja wa mbolea umepanda bei kutoka sh. 50,000/- hadi sh.120,000/-?
Mpaka muda huu, umeme umekatika muda mrefu bila hata taarifa? Hayo ni mfano tu, yapo mengi tu yasiyoridhisha.
Ogopa kuishi na mtu anayekusifia tu bila kukusaidia mchango wowote wa mawazo.
Wanandugu wakiitafuna Tanzania yetu
Kweli timu imekamilika
Mzee Makamba Hongera Sana,maneno yako Ni ya busara Sanaa;Mungu aendelee kukulinda ili tuendelee kuchota busara zako!!!Mungu akubariki Sanaa!!!
Mungu amlaze jpm mahala pema peponi amina
CCM, chama baba , chama mama , viongozi imara wenye huruma na hekima sio watu wa revange au ubabe 👏🏾👏🏾👏🏾💪🏾💪🏾💪🏾
Huyu mzee dah nimependa speech zake mungu amjalie umri mrefu
Huyu msambaa kapiga sana hela enzi zake za ukuu wa mkoa wa dar na katibu mkuu wa ccm Taifa.
Amemuona kikwete akipiga za mayele gonna like zang
Napenda sana busara zako makamba nakuombea maisha marefu mungu akulinde
Mwafulani kafurahiii ,
RIP JPM
R.I.P Magu tulikupenda ila Mungu kakupenda zaidi
Rest easy #JPM
Serikali imejiweke mafafiki je mmoja akifanya ufisadi atachukuliwa hatua,,, ila Watanzania kwishinea,,, mamiradi yote yatakufa,,,hakuna atakae Fanya kazi Kwa uaminifu
Umeme upi? Au wa Majenereta?😂😂
Kinana?
Ndo akili ya sisiem imeishia hapo kweli?????
Tyr wametuangusha.
Sio kwa kinana hapo ni zeroo kabisa
Kama ni Mfuatilliaji vizuri was Haya Mambo sio Kama.wale kwenye Vijiwe vya Kahawa..Nikukumbushe Kama Unakumbuka Mchakatto wa Vua Gambaa ndio Utaelewa na Sio Kinana tu ongeza Nape na wengine walio husika Kipindi.kileee..Japo.tukumbuke Hakuna mkamilifu asilimia.100 hata awe mbaya vipi Hakosi Mazuri.
Kinana ananini kwani ?unaemtaka wewe wengine hawamtaki na ninaemtaka mimi pengine wewe humtaki pia sasa tukae bila viongozi?hata wewe ukipata nafasi wapo watasema no na wengine watasema yes sasa wewe ni mtu mzima usifuate porojo za watu utakonda bure mkuu.
Kuzima moto tumekuelewa sana mzee acha maji yaendeleee tuonane 2025
CCM haishindi Kwa kura za wananchi wewe, ukipiga kura usipige CCM lazima itashinda t , kwahiyo Samia kama akigombea uraisi hiyo 2025 lazima atashinda t, nani anabisha?
Iledamu yadhamani iliyomwaga yampendwawetu rais wetu magufuli imetumika kamasadaka yaukombozi kwanchiyetu 2025 mungumwenyewe atashuka kuhukumu wahuni hawa.
Ameen!!! Mwenyezi Mungu wetu halali
WATU SIO WAJINGA, WANASIKIA, WANAONA, WANAELEWA. RIP MAGU.
Kinana alikutegea ufe wewe kwanza.
Tumeanza kuiba tena oyee CCM
RIP magu pumzika kwa amani baba..l miss you baba
Wazee wetu hawa Wana hekma sana mungu awape afya njema
Mzee Makamba Mungu Ampe maisha mareefu. Amenena kwa Hekima ya kiungu.
Acha upumbavu mjinga wewe unajua maana ya Hekima ya kiungu acha uzandiki ww
Chama cha familia
Yes hao ndo wazee wetu wa hekima
Asante Mama kuwaona wazee wetu BINAFSI Nimependa Mungu awafanyiye wepesi kwa kilajambo
Wao👏👏👏👏 MZEE KINANA MZEE MAKAMBA NA MZEE KIKWETE KIDUM CHAMA CHA MAPINDUZI KIDUM MADALAKANI❤
Mheshimiwa Makamba hongeragwe kwa Hotuba.
Kweli asali twalamba.
Shabiki letu la Simba.
Asante sana swahiba.
Mungu atusaidie sana.tusihukumu"tusije tukahukumiwa.
Vibaraka vya ccm without democray
Waeshimuni wenye mamlaka..ila mm kwasasa ccm hamna kiongozi bora kifupi siwaelewi..jpm next life be a leader
Hiyo mibarakowa mnajisumbua tu
YES KUWA ENZI WAZEE SIYO KUWA FETHEHESHA......NO UKUBWA.....HKEKIMA☝️💯
Hivi vizee vishakula nchini sana waviaje vipumzike
Haya n maisha ya mtoto aliyelelewa na baba na mama wa Kambo alaf mama yake akaja kumchukua mtoto wake Kwa bahati mbaya mama mzazi akafanya akarudi Tena kuishi na mama wa Kambo na baba yake unadhani maisha ya yule mtoto yatakuwaje, kwann mama yake alikuja kumchukua na akanenepa Leo mama amefariki anarudi Tena kuishi na mama wa Kambo mpeni pole sana mtoto yule
Kikundi chao wamerudi
Mungu baba unatuona ahsante
R.I.P JOHN JOSEPH MAGUFULI....mzalendo na msema kweli daima!
Alikuambia juu ya kukopa?
Alikuambia juu ya rambirambi za kagera?
Acha uzandiki wa kishamba wewe na unaonekana mwongo
@@mbwanarajab4756......Mitazamo tofaut juu ya uelewa, neno uzandik uelew hata maana yake, punguza mihemko, pa kutumia akili usitumie hisia......JOHN JOSEPH MAGUFULI mzalendo mkwel ambae WATANZANIA wazalendo tuu ndio waliomuelewa!
@@mbwanarajab4756 R.I.P JOHN JOSEPH MAGUFULI.....mzalendo mwana wa Africa mkwel...kuna mtu bila aibu anaulizia rambi rambi za kagera, aulizii standardgage,wala mradi no 4 kwa ukubwa Africa wa kuzalisha umeme! wala mtu huyo aulizii vp kuhusu ile aibu ya viongoz wetu kwenda kukodi ndege kenya
@@kombedavis4056
Wale wa kushangilia bila ya kufikiria ndio wengi na ndio mitaji ya wanasiasa , kwan wao humpa mtu sifa ambazo hana.
Wazalendo Afrika ni kina Gaddafi waliokataa kuishi nyumba nzuri mpk wananchi wao wajengewe nyumba nzuri kwanza.
Mwenzako alikua anatembea na hela za serikali huku babaako anakufa na madeni pamoja na njaa kwa Serkali kushindwa kusaidia wazee leo unaita mzalendo.
Akili za watanzania wachache ni kumsifia hata yule anayekutesa na kukugombanisha na yule anateweza kukusaidia hata chumvi ukiwa huna.
Angekua mzalendo asingeharibu uchaguzi mdogo na mkubwa hadi leo watanzania wanateseka kwa kutokua na wakuwatetea
what a speech
best dad in mastering the stage
Makamba kiboko hahahaha
Wazee wenye hekma Sana, b blessed
Maguful bora angewafunga hata jela Hawa majambazi wa taifa,ila Mungu atatupa maguful mwngne tunaamin
Haleluya nimependa mtu mwenye hekima ya mungu mwenyewe Amina 👏👏👏👏
Tukutane 2025